8 May 2009

Pakistan's army declared a "full-scale" offensive against Taliban insurgents holed up in the Swat valley today as warplanes pounded militant bunkers and caused thousands more residents to flee.The fighting was concentrated in the main town, Mingora, where an estimated 4,000 Taliban fighters are heavily dug in. Artillery and helicopter gunships battered militant-held buildings, while the Taliban planted mines across the city in expectation of a major ground offensive... continue


KUNA JAMAA YANGU,MMOJA MWINGEREZA LAKINI AMEKAA TANZANIA KWA MUDA KIASI.KWAHIYO LUGHA YA TAIFA INAPANDA,NA ANACHUNGULIA MAGAZETI YETU MTANDAONI.KAUNIULIZA SWALI "LA KIZUSHI": HIVI MBONA MUDA MWINGI VIONGOZI WENU WAKO ZIARANI?KAMA SIO RAIS YUKO NJE YA NCHI AU ZIARANI MKOA FLANI,BASI MAKAMU WA RAIS YUKO ZIARANI SEHEMU FLANI,AU WAZIRI MKUU YUKO ZIARANI MKOA FLANI!JE MAENEO HAYO WANAYOZURU HAYANA VIONGOZI?KAMA WAPO,HAWAWEZI KUWAPELEKEA RIPOTI ZA MAENDELEO WAKUU WAO PASIPO UMUHIMU WA WAKUU HAO KUZURU?

NIMEKOSA JIBU,SO FAR.MAANA SIKUMBUKI MARA YA MWISHO NI LINI WAZIRI MKUU WA HAPA,GORDON BROWN ALIKUWA KATIKA ZIARA YA BANDIKA BANDUA.SIJUI YUKO BUSY SANA!?
SIJUI MWENZANGU UNGEJIBU NINI!


Dar es Salaam, Tanzania (PANA) 16/09/2005- Tanzania's controversial opposition leader, the Reverend Christopher Mtikila alleged Friday that ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) presidential candidate Jakaya Kikwete had used funds from Iran to defeat his opponents at the party's recent convention.

The Chairman of the Democratic Party claimed at a press conference that the Iranian government through Tanzanian MP Rostam Aziz, had funded Kikwete's campaign for over 10 years.

The press conference was held ahead of a meeting by eight opposition parties to plan a common strategy against the CCM in Tanzania's October elections.

Mtikila alleged that the Iranian government had set aside a substantial amount to prop presidential candidates in countries where the Asian country has economic interests.

Aziz, a Tanzanian of Iranian extraction is representing Igunga constituency in Tanzania's Union Parliament on the platform of the CCM.

Mtikila did not say how much Aziz had allegedly received from the Iranian government for Kikwete's presidential campaign, but cited Tanzania's uranium deposit as possible motivation for the alleged assistance.

He said the Iranian government could not have given Aziz money for nothing: "they must be harbouring interests in Tanzania."

This is the second time that Aziz, Kikwete's campaign manager, would be accused of securing foreign funds for Kikwete's presidential campaign.

Last April, London-based journal, Africa Confidential claimed that he had been given two million US dollars by the Oman government as campaign funds for Kikwete.

Kikwete, Tanzania's Foreign Affairs and International Co-operation Minister had vowed to sue the journal over the report, but since his nomination as CCM presidential candidate in May, he has said nothing about the report.

The London journal has challenged him to go to court insisting it has overwhelming evidence to back its claims.

There was no immediate reaction to Mtikila's allegations from either Aziz or Kikwete.


SOURCE: PANAPRESS

NA KUNA MJADALA UNAENDELEA HUKO JAMII FORUMS KUHUSU URAIA WA BWANA ROSTAM AZIZ.



Na Frederick Katulanda, Busanda

KAMPENI za uchaguzi za CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Busanda jana zilizidi kukumbana na upinzani mkali baada ya makamu mwenyekiti wa chama hicho, Pius Msekwa na makamu mwenyekiti wa zamani, John Malecela, kujikuta wakizomewa wakati walipokuwa wakijinadi katika mkutano uliofanyika Nyarugusu wilayani Geita.

Mbali na vigogo hao wa CCM, mgombea wa chama hicho katika uchaguzi huo mdogo, Lolencia Maselle Bukwimba na mumewe, Maselle Buziku walizomewa wakati walipotambulishwa kwenye mkutano huo wa kampeni.

Tukio hilo limetokea siku moja baada ya chama hicho kujikuta kikiwa na watu wachache wakati wa kuzindua kampeni zake kwenye kata ya Kaseme, tofauti na mikutano ya vyama pinzani vya Chadema na CUF.

Dalili za hali mbaya katika mkutano huo zilianza wakati viongozi hao wakiingia eneo la Nyarugusu ambalo ni maalumu kwa wachimbaji wa dhahabu. Viongozi hao walipokelewa na alama ya vidole viwili kila walikopita. Alama ya vidole viwili hutumiwa na Chadema.

Zomea zomea hizo ziliwakabili viongozi hao wa CCM wakati walipokuwa wakimnadi mgombea wao. Hali mbaya ilianza kwa katibu mwenezi na uhamasishaji, Simon Mangelepa wakati aliposimama jukwaani na kuanza kuwatambulisha wageni walioambatana nao na kufuatiwa na mbunge wa viti maalum mkoani Mwanza, Maria Hewa ambaye alizomewa baada ya kuwaeleza wananchi kuwa wanapaswa kutulia.

Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Clement Mabina alisimama jukwaani kabla ya kumkaribisha Malecela ili amnadi mgombea wa chama hicho na kuwaeleza kuwa anazo taarifa kuwa kuna watu ambao wamepangwa hapo kwa ajili ya kuzomea, naye kuzomewa.

Baadaye ikawa zamu ya Malecela ambaye baada ya kusimama jukwaani aliwaeleza wananchi kuwa shutuma za ufisadi hazina nafasi katika kampeni kwa sasa na kuwataka wenye ushahidi wa ufisadi kuupeleka polisi, kauli ambayo iliwafanya wananchi ambao walikuwa wametulia, kuanza kuzomea wakimtaka aondoke huku wakionyesha vidole viwili.

Hata hivyo, Malecela aliwatuliza na kuwaeleza kuwa hiyo ndio njia sahihi ya kushughulikia mafisadi na kuendelea kuwaeleza wananchi kuwa iwapo wataichagua CCM katika uchaguzi huo watapatiwa umeme pamoja na kutengewa maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo.


Nataka kuwaeleza iwapo mtamchagua mgombea huyu, basi serikali italeta umeme eneo hili….na kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo," alisema lakini akakatwa kauli na kelele za wananchi ambao walisema miaka yote wameichagua CCM na kuahidiwa mambo hayo bila ya kufanikiwa.

Kutokana na hali hiyo Malecela aliamua kuwatuliza na kuomba Busanda isigeuke kama Tarime na kwamba wao CCM wanataka kampeni za amani na utulivu.

Ndipo ilipofika zamu ya Msekwa kumnadi mgombea na baada ya kupanda jukwaani alimkaribisha mgombea aliyemsimamisha mumuwe, Maselle Buziku, ambaye naye alipoeleza kuwa iwapo watamchagua mkewe atatumia nafasi yake SEDA kuhakikisha wanapata mikopo, lakini akazomewa na wananchi hao.


Hata hivyo zomea zomea hizo hazikuweza kuhatarisha amani katika mkutano huo na mgombea huyo alijieleza bila ya matatizo na kupiga magoti lakini alipoomba kura, naye akajikuta anazomewa.

Katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba amekiri kuwa kuna hali ngumu kwenye Jimbo la Busanda na kuwataka viongozi wa chama hicho kupigana kufa au kupona ili kuhakikisha jimbo haliangukii mikononi mwa upinzani kwa kuwa machungu ya kushindwa Tarime anayajua.

Kauli hiyo ilitolewa na Makamba juzi mchana wakati alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama hicho katika mkutano wa ndani kwenye ofisi za CCM wilayani Geita baada ya kuwasili kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni wa chama chake zilizofanyika juzi katika kata ya Kaseme.

Makamba alikiri kuwa hali ni ngumu na hivyo kuwaomba kila mmoja kuhakikisha mgombea wa CCM anashinda, akilalamika kuwa makali ya kushindwa alishayaonja Tarime.

Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho na kuthibitishwa na mmoja wa viongozi wa chama wilayani humo zimeeleza kuwa Makamba aliamua kufanya mkutano huo kwa lengo la kuwekana sawa kutokana na CCM kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wale walioenguliwa katika kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa chama hicho.

Makamba amesema "jamani kushindwa ni kubaya, mwenzenu Tarime nilionja ubaya wake mpaka ilibidi nitoroshwe na Green Guard ili kuepuka kuzomewa, sasa tusiposhikamana mambo yatakuwa magumu tutoe tofauti zetu,'” alisema mmoja wa wajumbe waliokuwa kwenye kikao hicho akimnukuu Makamba.

Hata hivyo, baada ya kauli hiyo Makamba alishtuka na kuhoji iwapo walikuwemo waandishi wa habari ukumbini humo na kuonya utoaji wa taarifa hizo baada ya kujibiwa hawakuwemo.

Aidha baada ya kujibiwa kuwa hakuna waandishi Makamba alishtuka baada ya kubaini kuwa kulikuwa na mpiga picha wa chama na kumuagiza kuhakikisha mkanda huo anaukabidhi kwa katibu wa CCM wa mkoa.

Makamba alipoulizwa kuhusu suala hilo alijibu kuwa hajawahi kukiri kuwepo kwa hali ngumu kwa vile hana wasiwasi na uchaguzi huo na kusema alikuwa akieleza masuala ya kushikamana.

“Wewe unataka nikueleze mikakati yangu, kama nilikuwa nawahimiza watoto wangu kulima we unakutakia nini,” alihoji katibu huyo wa CCM alipoulizwa na Mwananchi kuhusu kikao hicho.

Sambamba na hatua hiyo Makamba alimtaka mjumbe wa halmshauri kuu ya chama hicho mkoani Mwanza, Anthony Diallo kutumia uwezo wake kuhakikisha kampeni hizo zinakuwa na hamasa ya kutosha ikiwa ni pamoja na kurusha taarifa zake katika vyombo vya habari.

Uchaguzi katika jimbo la uchaguzi la Busanda umepangwa kufanyika Mei 24 kwa lengo la kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Faustine Kabuzi Rwilombe.

Vyama vingine vinavyowania kiti hicho ni Chadema, CUF na UDP.

CHANZO: Mwananchi

WANACHOHITAJI CCM NI BUSARA ZA KI-UTU UZIMA,YAANI KUKIRI PALE WALIPOKOSEA,NA KUAHIDI KUJIREKEBISHA BADALA YA KUENDELEZA AHADI HUKU ZILE WALIZOTOA MWANZO ZIMEENDELEA KUBAKI AHADI TU PASIPO KUZITEKELEZA.WAINGEREZA WANASEMA " A PROMISE MEANS NOTHING UNTIL DELIVERED."
HALAFU HIZI KAULI ZA KIBAGUZI KUWA "ICHAGUENI CCM IWALETEE HIKI AU KILE" (AS IF AWALI ILIYOCHAGULIWA ILIKUWA CHADEMA AU CUF) NI KUWAFANYA WAPIGA KURA WAJINGA AU WASAHAULIFU.KAMA WALIKUWA NA NIA YA KULETA HUO UMEME,SI WANGEFANYA HIVYO WAKATI WAPIGA KURA WALISHAWAPA HESHIMA YA KUMCHAGUA MGOMBEA WA CCM KWENYE UCHAGUZI ULIOPITA?SASA HIZI HABARI KUWA MKITUCHAGUA TENA NDIO TUTAFANYA HIKI AU KILE NI MITHILI YA KUWAHADAA WANANCHI.
I HOPE WAPIGAKURA WA BUSANDA HAWATAISHIA KUFIKISHA UJUMBE KWA CCM KWA KUZOMEA TU BALI PIA KUINYIMA KURA ILI IKIAMSHE CHAMA HICHO KUTOKA USINGIZINI KWAMBA THIS IS 2009,AND SO FAR THE ASSESSMENT OF HOW THE PARTY HAS IMPLEMENTED ITS ELECTION MANIFESTO LEAVES A LOT TO BE DESIRED.KAMA TARIME WALIWEZA,BUSANDA PIA WANAWEZA.NA KAMA WOTE WASIORIDHIKA NA MWENENDO WA CCM WATAAMUA KUWA ENOUGH IS ENOUGH,NO MORE FALSE PROMISES,THEN CHANGE IS NOT ONLY COMING BUT WILL EVENTUALLY BE ACHIEVED.
AS OBAMA SAID,YES WE CAN IF WE BELIEVE IN CHANGE.

7 May 2009

PENGINE KUNA CHA ZIADA KINACHONIFANYA NISIAMINI MACHO YANGU KUONA JACOB ZUMA NDIO HIVYOOO ANAELEKEA KUKABIDHIWA URAIS WA AFRIKA KUSINI.NCHI ZA MAGHARIBI ZINAFUATILIA KWA KARIBU YANAYOENDELEA HUKO SAUZI,LAKINI HOFU YA WENGI NI KUWA HUENDA ZUMA NI POPULIST FLANI AMBAYE AMEFANIKIWA SANA KUKONGA NYOYO ZA WENGI NCHINI HUMO LAKINI ANAYEWEZA PIA KULIINGIZA TAIFA HILO TAJIRI MATATIZONI.BINAFSI HUWA SINA IMANI YA KUTOSHA NA WANASIASA WANAOSHINDWA KUONYESHA UDILIFU KWENYE NDOA ZAO KISHA UWATARAJIE WAWE WAADILIFU KWA TAIFA.INAELEKEA WASAUZI WAMELIPUUZA HILO.


NADHANI TAFSIRI SAHIHI YA "WORLD'S MOST INFLUENTIAL PEOPLE" INAWEZA KUWA NGUMU KWA LUGHA YETU YA TAIFA.SIJUI TUITE "WATU MAARUFU ZAIDI DUNIANI" AU "WENYE MVUTO ZAIDI" AU...?SINA HAKIKA KAMA INFLUENCE NI UMAARUFU AU MVUTO.ANYWAY,KWA MUJIBU WA ORODHA YA WATU 100 INFLUENTIAL KABISA DUNIANI KWA MWAKA 2009 INAYOANDALIWA KILA MWAKA NA JARIDA LA TIME LA MAREKANI,RAIS PAUL KAGAME AMESHIKA NAFASI YA 13.MARA NYINGI ORODHA HIYO HUPATA PIA UPINZANI NA KEJELI HUSUSAN KUTOKA KWA WAHAFIDHINA WANAOTAFSIRI JARIDA LA TIME NA ORODHA HIYO KUWA NA MRENGO WA KUSHOTO AU KILIBERALI ZAIDI.

"NDANI YA NYUMBA" PAMOJA NA KAGAME,NI MCHANYATO WA WANASIASA KAMA SENETA TED KENNEDY NA WAZIRI MKUU WA UINGEREZA GORDON BROWN,KIONGOZI WA KIYAHUDI MWENYE MSIMAMO MKALI KABISA AVIGDOR LIEBERMAN (Pichani Chini)
NA "MFALME WA UNGA" (COCAINE), JOAQUIN GUZMAN,"PABLO ESCOBAR MPYA" AMBAYE PIA NI MIONGONI MWA WATU MATAJIRI KABISA DUNIANI NA AMBAYE KICHWA CHAKE KIMEWEKWA REHANI YA US$ 5MILLION NA VYOMBO VYA DOLA VYA MAREKANI (Pichani Chini),MCHEZA SINEMA MWENYE MVUTO BRAD PITT,TAPELI LA PONZI BERNIE MADOFF,GWIJI LA "KUSEMA OVYO" RUSH LIMBAUGH,MWANAMUZIKI JOHN LEGEND(Pichani Chini),MWANADADA WA KIZAMBIA DAMISA MOYO (Pichani Chini)
BILA KUMSAHAU RAIS OBAMA NA MKEWE MICHELLE (Pichani chini na Oprah)
NA USUAL SUSPECTS KAMA TOM HANKS,GEORGE CLOONEY,TIGER WOODS NA WENGINEO.

BONYEZA HAPA KUANGALIA ORODHA KAMILI.HONGERA RAIS KAGAME.WANYARWANDA WANA KILA SABABU YA KUJIVUNIA UONGOZI WAKO HASA KWA TAIFA LILILOWEZA KUSIMAMA KIDETE KUTOKA KWENYE MAUAJI YA KIMBARI HADI KUWA HADITHI YA KUPIGIWA MFANO BARANI AFRIKA.ANYWAY,SIE TWAENDELEA KUJIVUNIA AMANI NA UTULIVU WETU UFISADI STYLE!!!

6 May 2009

ANGALIA HAPA .KAMA INAZINGUA TAFUTA STREAM NYINGINE HAPA

5 May 2009








CHANZO: Jamii Forums


CLICK HERE for more about the match.


Sarah Baxter

A COMEDIAN who had a walk-on part in the Rutles film spoof of the Beatles is poised to deliver a 60-seat super-majority to the Democrats in the Senate as President Barack Obama consolidates his grip on the levers of power.

Al Franken, 57, a satirist turned Democrat politician, is expected to be proclaimed the winner of the protracted race for the US Senate in Minnesota, in time to give Obama a free hand to appoint a Supreme Court replacement for retiring Justice David Souter without fear of Republican blocking tactics.

If Franken wins, Obama will hold an unassailable majority after Senator Arlen Specter’s sudden defection from the Republicans to the Democrats last week. A 60-seat majority would deprive the Republicans of the ability to scupper appointments and legislation by filibustering...
continue


SOURCE: The Times

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.