25 Sept 2010

(Katuni kwa hisani ya FEDE)
Si maneno yangu,bali nimenukuu kutoka gazeti la Mwananchi


...Kikwete aliyeonyesha uchovu katika mkutano huo alishuka ghafla jukwaani na kuondoka baada ya kuwatambulisha wagombea ubunge, akiwaacha wananchi wakimsubiri...Hata hivyo, kuteremka ghafla jukwaani kwa Kikwete kulimaliza mkutano huo bila kufungwa rasmi huku wananchi wakibaki na maswali juu ya mustakabali wa mkutano huo uliofunguliwa na mwenyekiti wa CCM wilaya.Marwa Mwita, mkazi wa Mugumu, alisema bado anajiuliza ilikuwaje mgombea huyo akaondoka bila ya kuaga.

"Hilo ni jambo la kujiuliza, lakini huenda amechoka na anasahau alitakiwa kufanya nini. Kwanza amechelewa kufika, hakuomba radhi, kahutubia mambo yale yale ya kila mwaka".

Jamani wapiga kura,huyu mtu kachoka na anastahili apumzishwe.Yawezekana kabisa kuwa udhaifu katika uongozi wake unachangiwa na uchovu huo ambao chanzo chake kimeendelea kuwa muujiza kama ulivyo muujiza wa nani anamiliki kampuni ya kifisadi ya Kagoda.

Na ukichanganya na utitiri huu wa ahadi za kuchakachua.....

(Katuni kwa hisani ya FEDE)


Dr Shukuru Kawambwa,Minister of Infrastructure Development of Tanzania,begging for votes for his boss,President Jakaya Kikwete.Is this POLITICAL HUMILITY or a PUBLIC INSULT TO the good name of  DOCTORATE OF PHILOSOPHY (PhD)?
 Shukuru Kawambwa
1995-2005: University of Dar es Salaam Senior Lecturer & Development Engineer
1990-1993: PhD Candidate (Engineering) - Surrey University
1989-1995: University of Dar es Salaam Development Engineer
1984-1989: University of Dar es Salaam Assistant Development Engineer
1983-1984: Postgraduate Student - MSc Engineering - Reading University
1982-1984: University of Dar es Salaam Tutorial Assistant - Dept of Engineering
1978-1982: University of Dar es Salaam Undergraduate Student - BSc Engineering


23 Sept 2010


You posted the following comment on this blog.I have tried to reply on your blog but it doesn't seem to work.I know my reply will offer you a rare chance of publicity,but,well,there's nothing I could do about that.Perhaps that's all you wanted: cheap publicity.You wrote (I quote):

you should tellus about your political status and knowledge,sio kuanza kuponda tu,mbona you dont look on the p[ositive side?we are not interested na watu wanaoponda wenzao bila kuchangia mawazo ya nini kifanyike kuiwezesha tanzania kupiga hatua,afu kumbuka bila uzuri hakuna ubaya wa kuzungumziwa,so tell us about uzuri wa jk ili tupime wenyewe siyo unatoa one side tu unless you are apoliticia.”

In reply to your above comment on my blog,I first would encourage you to check a dictionary as to what “political status” means. As a human being, I don’t have any. As to your inquiry on my political knowledge, I’m just a Political Studies research student. However, you could read my full profile HERE

Mheshimiwa Meya, if you were not interested “na watu kuponda ya wenzao” you could have simply not visited my blog. I believe nobody held you at a gun point when you decided to pay my blog a brief visit. And I think you did not do me justice when you lamented that I did not “kuchangia mawazo ya nini kifanyike kuiwezesha Tanzania kupiga hatua”. Of course I did, unless you are allergic to letters. I clearly urged Tanzanians to vote Kikwete out of office. In my view, which you have every right to oppose, economic sabotage (ufisadi) is one of the stumbling blocks which hinder our country from attaining desired progress, and removing their patron, Kikwete, would most likely be a way forward towards achieving that goal.

I’m left speechless on your assertion that “bila uzuri hakuna ubaya wa kuzungumziwa”. I would expect to hear that not from msomi like yourself. Tell me one good thing about Ukimwi, which is a menace to society. Or, tell me just one “uzuri” of ufisadi. You surely know there are things which are absolutely evil, and one couldn’t find any good quality from them. But even if you personally think Kikwete has good and bad qualities, as a msomi you should have acknowledged my point of view. I hope you have been taught there’s no such a thing as a universal point of view. So if I think Kikwete is a hack, I don’t have to convince you to agree with me. And you too don’t have to convince me to believe otherwise.

I don’t have to tell you “uzuri wa Kikwete” if I couldn’t find any. By the way, if you sincerely believe that I did not do him justice,you can now shower him with praises now you have your own blog.Why expect praises for Kikwete from my blog when you could do the same on your own blog?So,be a good blogger,stop forcing other bloggers to write what you want to read,and do just that yourself,instead.And just a polite word of advice,you better write such article in Swahili.

Finally, try to do a little proof reading before you post your articles. You wrote “Guys WORDWIDE i welcome you "instead of "WORLDWIDE”. And you also wrote “For those who are interested in politics especially with the CONCIDERATION...” instead of “CONSIDERATION”. You see, it’s easy criticising someone but hard for yourself to do a simple right thing as getting your spelling right.

Honestly,Honourable Mayor, you are not just a disgrace to Mzumbe University but also a public insult to the entire higher education sector in Tanzania.



Ukichanganya "nyomi" kama hilo la kampeni za Dokta Slaa mjini Moshi na matokeo "yaliyominywa" ya Synovate,ni dhahiri Kikwete na mafisadi wako tumbo joto na sasa wanahangaika namna ya kuchakachua matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao.Washindwe na walegee.HATUDANGANYIKI!

Slaa anasa waraka mzito
• NI ULE WA SERIKALI KUIMALIZA CHADEMA
na Janet Josiah na Charles Ndagula, Moshi
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ametangaza kunasa waraka wa siri ulioandikwa siku nne zilizopita, ambao pamoja na mambo mengine unawaagiza watendaji wakuu wa serikali kufanya kila wawezalo kuhakikisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashinda uchaguzi.
Dk. Slaa mwanasiasa mwenye rekodi ya kunasa taarifa mbalimbali nyeti za serikali, alitangaza kuhusu kuuona waraka huo wakati akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza katika Manispaa ya Moshi.
Akizungumzia suala hilo, Dk. Slaa alimtahadharisha mgombea wa urais wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha anachukua hatua ya kuvidhibiti vyombo vyake vya usalama ili visimwage damu isiyo na hatia kwa sababu tu ya kutaka kushinda urais kwa gharama zozote zile.
Dk. Slaa aliyekuwa akihutubia katika Uwanja wa Mashujaa mjini hapa, alisema dalili zimeanza kujitokeza katika mikoa mbalimbali aliyopita, ambako kumekuwapo na matukio ya watu kuonewa na viongozi wa serikali.
Akifafanua, alisema waraka huo unaokwenda kwa vyombo vya usalama, wakiwemo wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, unawataka wafanye lolote ili kuhakikisha CCM inashinda.
“Ninao waraka ulioandikwa Septemba 19 (Jumapili iliyopita), mwaka huu na leo ni siku ya tatu, unakamilishwa na kusambazwa kwa viongozi hao kuwakumbusha kuwa lazima wahakikishe CCM inashinda, sikuupata hapa hapa, ila tayari umesambazwa nchi nzima,” alisema Dk. Slaa.
Dk. Slaa ambaye ni Katibu Mkuu wa chama hicho, kwa nafasi yake anatoa tamko hilo ili kumtahadharisha Rais Kikwete kuacha mara moja hujuma hiyo, na kuwa dalili zinaonyesha kwamba Watanzania wameamka na wanahitaji mabadiliko.
Alisema pamoja na kupata hujuma hizo, chama chake kimejipanga vyema kukabiliana na mashambulizi ya CCM na serikali yake, kwa kuweka mfumo imara wa ulinzi kwa viongozi wao na wapiga kura wao.
Alivitaka vyombo vya usalama kuacha kuhujumu msafara wake pamoja na watendaji wake, ambao wanatangulia katika vituo ambavyo anafanyia mikutano ya kampeni, kwa kuwa leo serikali ni ya CCM na kesho serikali itakuwa ya CHADEMA.
Dk. Slaa alitoa kauli hiyo baada ya kupata taarifa za polisi kutaka kuwakamata vijana wa chama hicho, ambao wanapima viwanja vya kufanyia mikutano yao, ambavyo helikopta itaweza kutua kwa urahisi (GPS).
Akizungumza na Tanzania Daima, mmoja wa vijana hao, Gwakisa Gwakisa, alikiri kutaka kukamatwa na polisi hao na kudai kuwa alipowaona alifungua mlango wa gari na kukimbia pamoja na wenzake wachache na kuacha gari la chama hicho, ambalo lilichukuliwa na polisi.
Hata hivyo, Tanzania Daima ilipomuuliza Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa Kilimanjaro, Lucas Ng’hoboko, alikiri kuwa wanalishikilia gari la CHADEMA na kwamba wanamsaka mpima ramani ili wamkamate.
“Bado tunamtafuta mpima ramani wa chama hicho ili baadaye tutoe taarifa kwenu nyinyi waandishi wa habari,” alisema RPC Ng’hoboko.
Akizungumzia tukio hilo, Dk. Slaa amewataka polisi kuwaacha Watanzania wanaotimiza mapenzi yao bila kuwabughudhi na kwamba kero hizo mwisho ni Oktoba 31.

Akiwahutubia wananchi hao mara baada ya kutoa tamko la chama chake, Dk. Slaa aliwaomba wawachague wagombea wa chama chao ili waweze kufufua viwanda ambavyo vimekufa kutokana na sera mbovu za CCM.
“Ndugu zangu wana Moshi, ichagueni CHADEMA kwa kuwa CCM imeshindwa kuwaletea maendeleo, kwa kushindwa kufufua viwanda vyenu kama vile kiwanda cha ngozi, magunia, vyuma na viwanda vingine,” alisema Dk. Slaa.
Mapema akimnadi mgombea huyo, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, aliwataka Watanzania kuufanya mwaka huu kuwa wa maamuzi na si wa utani, kwa kuwachagua wagombea makini wa chama hicho.
“Mwaka 2010 hatudanganyiki ndugu zangu wa Moshi…kwa kuwa tutaingia Ikulu na watu makini kama Dk. Slaa, kwa kuwa na nyie ni makini, hivyo mtatuchagua.
“Kwa kuwa CCM ilitumia woga wenu Watanzania kuwatawala na kuwanyanyasa, lakini sasa Watanzania mmeondokana na woga…lakini imani kubwa ipo kwenu wana Moshi, kwa kuwa mmechangia mafanikio ya wana CHADEMA,” alisema Mbowe.
Mkutano huo ulitanguliwa na maandamano makubwa yaliyoanzia katika ofisi za wilaya za chama hicho zilizopo katika Kata ya Majengo na kupita katika barabara za Ghala na Mawenzi, maarufu kama Double Road, Florida hadi katika viwanja vya Mashujaa, huku waandamanaji wakisindikizwa na helikopta iliyokuwa ikiyahamasisha kwa saa nzima.
CHANZO: Tanzania Daima
PICHA KWA HISANI YA Jamii Forums


NAMNA MWAFAKA YA KUMWADHIBU KIKWETE NA MAFISADI NI KWA KUMPIGIA KURA DOKTA WILBROAD SLAA SIKU YA UCHAGUZI HAPO TAREHE 31 OKTOBA.KIKWETE NA CCM YAKE WATAJARIBU KUCHAKACHUA MATOKEO LAKINI HILO LITAWEZEKANA TU KAMA TOFAUTI YA KURA ZA DKT SLAA NA KIKWETE ITAKUWA NDOGO.LA MUHIMU NI KUMPATIA KURA NYINGI MKOMBOZI WETU DOKTA SLAA ILI KIKWETE NA MAFISADI WASHINDWE KUBADILI MATOKEO.KAMA KENYA WALIWEZA KUMG'OA MOI NA KANU BASI HATA SISI PIA TUNAWEZA KUING'OA CCM.


TIMIZA WAJIBU WAKO


Nimetundika tangazo la taasisi ya Policy Forum ambalo kimsingi ni kwa maslahi ya kila Mtanzania mzalendo.Sababu zilizopelekea Shirika la Utangazaji la Tanzania kuzuwia kurushwa kwa tangazo hilo ni bayana; hawataki Watanzania wafumbuke macho na kuondoa kikwazo kikuu cha maendeleo ya nchi yetu,yaani Chama Cha Mafisadi (CCM).

Video ya tangazo hilo ipo hapo juu ya picha ya Rais Mtarajiwa Dokta Wilbroad Slaa.Hiyo haimaanishi kuihusisha Policy Forum na Dkt Slaa au Chadema bali nimeonelea ni vema kuitundika mahala itakapoonekana kirahisi.

Wito wangu na blogu hii kwako Mtanzania mzalendo ni kuibonyeza video hiyo kisha pale chini ya maneno "YouTube" utaona kitufe kinachokuwezesha kuisambaza kwa mwenzio.Tafadhali sana,kwa maslahi na ustawi wa taifa letu,jitahidi kuisambaza kwa watu wengi kadri inavyowezekana.

Njia nyingine nyepesi ya kuisambaza video ya tangazo hilo ni kwa kukopi kiungo (link) kifuatacho kisha mtumie mwezio kwa barua pepe,SMS au hata katika maongezi ya simu.Kiungo chenyewe ni hiki

http://www.youtube.com/watch?v=A3fJTCd9PWY


Tafadhali tuwasiliane kama una tatizo la namna ya kukopi.

ASANTE.KWA PAMOJA TUNAWEZA

Who's more hopeless?The Daily News which,upon realising their online opinion poll (on whether Dr Willbroad Slaa would emerge a winner in the coming election) was going contrary to their expectations,decided to withdraw it,or Raia Mwema which quoted the results of the removed polls?YOU DECIDE.


Leave Daily News out of that hopeless adventurism, please

EDITOR, 23rd September 2010 @ 01:55,
A vividly pro-Willibrod Slaa weekly tabloid has used our name in a shameful attempt to prop up the Chadema presidential candidate’s campaign, suggesting that he was being backed by three quarters of local internet surfers.
In its lead story on Tuesday, the September 22-28 edition of the tabloid deliberately misused an online poll involving a mere 161 visitors to purport that the whole nation was behind Slaa. While noting the tabloid editors’ virtual confession that they cannot be believed without quoting the Daily News, we abhor the unprofessional decision to use our name to lend credence to their wildly hopeless adventure.
The editors of the tabloid know that the figures they used are quoted out of context and are absolutely unrealistic. That is why they confess in the fabricated report that very few Tanzanians have access to the internet and that the purported poll results do not reflect
what will come out of the October 31 ballot.
So why would they venture out with old poll results today? Vicious anti-establishment fervor at best and malicious conspiracy to settle old scores at worst. That is typical activist journalism practiced by a section of the media, which has openly identified with the opposition and plays down any positive achievement of President Kikwete’s government while orchestrating purported failures, mostly made up ones.
The attempt to enlist the support of the Daily News was apparently meant to save another tabloid blushes after carrying an equally wild fabrication to the effect that Synovate had censored results of a poll showing Slaa leading president Kikwete by four points in popularity. The pollster has publicly derided the tabloid and lodged a complaint with the Media Council.
It is high time that section of the media learnt its lessons and returned to professional practice. We think there is nothing particularly wrong in covering presidential aspirants favourably, but the reports must at least be true. And the truth is that DrWillibrod Slaa will not be the fifth president of Tanzania.
The Chadema candidate has a lot of issues to settle, beginning at family level, from which he will need to practice leadership upwards. He will, indeed, garner some votes in October, just like Augustine Mrema in 1995, but that will be it, and the media behind the former priest can quote us on that.
SOURCE; Daily News


WHY DID THEY REMOVE THE POLLS IN FIRST PLACE?AND WHY NOT RUN A FRESH ONE?WELL,JUST LIKE SYNOVATE AND REDET,THEY CERTAINLY KNOW WHAT THE POLL RESULTS WOULD BE,AND THAT MAKES THEM VERY,VERY SCARED.


WHY ON EARTH WOULD A STATE-OWNED PAPER ASSUME A ROLE OF A CLAIRVOYANT BY DECLARING OPENLY THAT DR SLAA WILL NOT BE THE 5th PRESIDENT OF TANZANIA?


THE ONLY VIABLE WAY TO SHAME AND PUNISH THE DAILY NEWS IS TO VOTE DR SLAA COME OCTOBER 31.YOU COULD ONLY SPECULATE HOW THE DAILY NEWS EDITOR AND HIS STAFF WOULD REACT TO DR SLAA'S VICTORY.APOLOGISE?HIDE THEIR FACES?ONLY TIME CAN TELL!


GO DR SLAA GO!

22 Sept 2010











NA HAPA CHINI NI PICHA YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKIPOKEA TUZO YA MILENIA KWA MAFANIKIO HAYO HAPO JUU
HAPA CHINI AKIWA NA BALOZI WETU KWENYE UMOJA WA MATAIFA OMBENI SEFUE
NA KAMA ILIVYOTARAJIWA,HAPO CHINI NI PICHA INAYOONYESHA MAJIGAMBO YA KIKWETE HUKO TWITTER (Kikwete2010)
KUNA MZEMBE MMOJA KANITUMIA COMMENT YA MATUSI AKILAUMU KUWA NAANGALIA MABAYA TU YA CHAGUO LA MUNGU KIKWETE.SIJAICHAPISHA KWA VILE ANATAFUTA UMAARUFU KWA MGONGO WA BLOGU HII.AMETISHIA KUWA ATAPOREJEA HAPA BLOGUNI NIWE NIMEBALANSI STORI.NAMSHAURI AENDE MIREMBE AKABALANSI UBONGO WAKE KWANZA.VITISHO HIVYO NI DALILI KUWA UJUMBE UNAFIKA KUNAKOHUSIKA.ANAYEKERWA NA SIFA ZA BLOGU HII KWA CHAGUO LA MUNGU APONDE CHUPA AMEZE.HAPA HAONEWI HAYA MTU.BRING IT ON!!!!

20 Sept 2010

Blogu Hii inapenda kuungana na mwanahabari mkongwe,John Bwire, wa jarida la Raia Mwema,katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa baba yake mzazi .

Nimepata taarifa hizo kutoka kwa barua pepe aliyonitumia Bwire leo.

Kifo ni kifo,lakini kifo cha mzazi kinagusa mno.Hakuna maneno yanayoweza kuwa mwafaka kabisa kumliwaza mfiwa.Hata hivyo,kuna kauli ya kiroho inayoweza kuleta faraja na matumaini,kwamba SIE TULIMPENDA SANA MAREHEMU LAKINI BWANA MUNGU ALIMPENDA ZAIDI,NA NDIO MAANA AMEAMUA KUMCHUKUA.Ni maneno yanayoweza kuonekana mepesi lakini yana uzito mkubwa.

Pumziko la milele Umpe ee Bwana,na Mwanga wa Milele Umwangazie,Astarehe kwa Amani

Amen



Hii ni Kazi ama Unyanyasaji wa watoto..?

Kwakweli nimesikitika sana baada ya kuona hii video ya documentary ya Mtanzania aliewaiba watoto walemavu  na kuwapeleka nchini Kenya na kuwafanya omba omba, Anawapeleka asubuhi na mapema sa kumi na Moja na kuwasambaza maeneo mbali mbali na usiku anawapitia kuwachukua na baaae anakusanya mafao, kijana huyo wakitanzania nchini Kenya hana kazi ingine zaidi ya hiyo hapo,Je hii ni sawa na watanzania wenzangu tunalizungumziaje swala hili? maana ni zaidi ya unyanyasaji wa wa watoto.

Video husika ni hii hapa chini



Last night,I wrote an email to Synovate Tanzania Country Manager,Aggrey Oriwo.I am really grateful to him for responding to my email in which I enquired why their recent survey intentionally avoided disclosing which presidential candidate was leading in the race.In his reply,Oriwo categorically refuted my allegation that his organisation was playing politics in favour of the ruling party CCM.He went further to point out that Synovate is a company owned by Aegis Group,a global giant which is listed on the London Stock Exchange.

However,although Oriwo explained that their recent  survey  primarily focused on how local media covered the election campaigns,he did not clarify as to why it lacked a question,or rather an answer to the public,on voting intentions.

Well,one doesn't have to be a genius to assume that had Kikwete or CCM been leading in the polls,Synovate-and most likely REDET,would have already publicised their "findings".

Now I see the logic in the saying "ACTIONS SPEAK LOUDER THAN WORDS".Synovate's silence has unintentionally revealed what the pollster is trying to conceal to the public: Kikwete is certainly trailing in the polls.

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.