1 Aug 2011

The Biggest Spending Tanzanian Embassies 

- Budget 2011/12

A Rapid Analysis of the biggest spending Tanzanian Embassies - Budget 2011/12
Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation Budget 2011/12
  • UN Missions alone to spend 5,051,259,000/-
  • Missions in Europe and Moscow to spend 12,481,913,000/-
  • Embassies in four EA capitals allocated 3,746,956,000/- 
  • The Africa allocation is 10,945,095,000/-
  • Administration costs nearly half of ministerial vote
  • Salaries for London mission the highest (Pensionable posts & non-pensionable) at 868,142,918/- and Kigali the lowest at 80,201,559/-

Programme 20 - Diplomatic MissionsTshs
Permanent Mission to the UN - New York2,882,502,000
Permanent Mission to the UN - Geneva2,168,757,000
Embassy of Tanzania - Paris2,133,493,000
Embassy of Tanzania - London2,009,942,000
Embassy of Tanzania - Moscow1,907,166,000
Embassy of Tanzania - Rome1,891,547,000
Embassy of Tanzania - Berlin1,776,946,000
Embassy of Tanzania - Washington DC1,714,958,000
Embassy of Tanzania - Abu Dhabi1,710,597,000
Embassy of Tanzania - Tokyo1,662,626,000
Embassy of Tanzania - Nairobi1,625,277,000
Embassy of Tanzania - Brasilia1,532,748,000
Embassy of Tanzania - Brussels1,465,353,000
Embassy of Tanzania - Ottawa1,367,032,000
Embassy of Tanzania - Beijing1,352,422,000
Embassy of Tanzania - Stockholm1,297,466,000
Embassy of Tanzania - Pretoria1,269,178,000
Embassy of Tanzania - New Delhi1,215,144,000
Embassy of Tanzania - Kuala Lumpur1,160,872,000
Embassy of Tanzania - Riyadh1,156,879,000
Embassy of Tanzania - Addis Ababa892,277,000
Embassy of Tanzania - Maputo873,151,000
Embassy of Tanzania - Kampala822,513,000
Embassy of Tanzania - Kinshasa797,422,000
Embassy of Tanzania - Abuja778,726,000
Embassy of Tanzania - Muscat765,066,000
Embassy of Tanzania - Harare722,034,000
Embassy of Tanzania - Lusaka692,592,000
Embassy of Tanzania - Bujumbura659,258,000
Embassy of Tanzania - Kigali639,908,000
Embassy of Tanzania - Cairo595,191,000
Embassy of Tanzania - Lilongwe577,568,000
TOTAL Programme42,116,611,000
Administration Programme 1038,486,246,000
Total of Vote 34 80,602,857,000
Less Retention Scheme funds14,872,492,146
Net total of vote65,730,364,854
 


Idd Simba aitabiria kifo CCM

• AKERWA NA MALUMBANO NDANI YA BUNGE

na Waandishi wetu

MWANASIASA mkongwe nchini, Idd Simba, amekitabiria kifo Chama cha Mapinduzi (CCM) endapo hakitachukua hatua za haraka kudhibiti makundi yaliyo ndani yake ambayo mengi yanatokana na baadhi wanachama kuanza mapema mbio za kukimbilia Ikulu wakitaka urais.

Idd Simba, mwenyekiti wa baraza la wazee wa mkoa wa Dar es Salaam alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kufungua semina ya maimamu na wanazuoni wa Kiislamu, iliyofanyika katika hoteli ya Starlight, Dar es Salaam.

Alisema makundi yaliyojengeka ndani ya CCM yamesababisha chama hicho kupoteza kuaminika na wananchi hali ambayo inahatarisha amani nchini.

Alisema kutokana na hali hiyo moja ya mkakati wa kwanza wa baraza la wazee wa mkoa wa Dar es Salaam ni kuhakikisha linadhibiti hali hiyo ili kuweka mazingira mazuri ndani ya CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga na uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Pamoja na mambo mengine, aliwaonya wanachama wanaojiundia makundi ya mtandao kwa kuelekeza nguvu zao za kuelekea Ikulu badala ya kukisaidia chama kuwa imara mbele ya wananchi.

“Kupoteza mwelekeo kwa chama chetu kunatokana na makundi ya watu ambao wana nia ya kukimbilia Ikulu na hali hii sisi wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwa kushirikiana na wenzetu nchi nzima tumejipanga kuthibiti hali hii.

“Kila anayesema hivi sasa anamtolea mfano Mwalimu Nyerere, sasa hayupo nani anayeendeleza na kukienzi chama kama ilivyokuwa wakati wake? Ili kuondokana na tabaka hili sisi wazee tunajipanga kukishauri chama kama kunatokea matatizo kama ilivyo sasa wazee tuweze kushauri kwa maslahi ya chama na wanachama kwa ujumla pamoja na kujenga misingi imara ya uzalendo na siasa zilizotukuka ndani na nje ya CCM,” alisema Simba ambaye amepata kuwa waziri katika serikali ya awamu ya tatu.

Alisema ili kujenga misingi imara lazima siasa ndani ya CCM, zijengwe na watu hasa kwa kuongozwa na itikadi kama aliivyokuwa ikisimamiwa na Mwalimu Nyerere na wasaidizi wake.

“Sisi wazee na wanachama wote wa CCM tusiposimama imara kuna hatari ya chama kupoteza mwekelekeo; sasa juhudi zinazofanywa za kurudisha misingi ya chama na mwenyekiti wa taifa, Rais Jakaya Kikwete, na sekretarieti tunahitaji kusimamia na kukomesha makundi yanayokitafuna chama ndani,” alisema Simba.

Hali ya kisiasa nchini

Akizungumzia mwenendo wa kisiasa alisema hivi sasa amani imekuwa ikivurugwa na vyama vya siasa kutokana na kila chama kutanguliza utashi na maslahi ya chma husika kuliko wananchi na taifa kwa ujumla.

Alisema malumbano yanayotokea mara kwa mara bungeni, siku moja yanaweza kuwaingiza wananchi barabarani kwa kuhisi wawakilishi waliowachagua hawana tija kwao.

“Haya yanayoendelea hivi sasa bungeni ni ya kusikitisha sana kwani hivi sasa muhimili muhimu wa Bunge unayumba na hata kukosa mwelekeo kutokana na baadhi ya wabunge kuona pale ni jukwaa la kisiasa.

“Huwezi ukawa na wabunge wenye kuonyesha ufundi wa kuzungumza na kila mara mwongozo wa Spika au taarifa wakati hivi sasa Watanzania wanahitaji kutatuliwa matatizo yao na watunga sheria hao,” alisema mwenyekiti huyo wa wazee wa mkoa wa Dar es Salaam.

Amani ya nchi

Kuhusu suala hilo, Simba ambaye alikuwa waziri katika utawala wa awamu ya tatu kisha baadaye kuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi Taifa, alisema hivi sasa amani ya nchi iko shakani kutokana na kauli za viongozi wa vyama vya siasa wanazozitoa katika Bunge na mikutano yao ya kisiasa.

“Kila mbunge au kiongozi ametanguliza maslahi yake binafsi kwa kugombea vyeo vya uwakilishi na kulumbana kupitia Bunge kuliko watu waliomchagua huku akisahau lilolompeleka pale, kwa hatua hii kuna kila dalili za kuchafua amani yetu,” alisema Simba.

CCK yasikitishwa na Bunge

Katika hatua nyingine, Chama cha Kijamii (CCK), kimesema Bunge limepoteza heshima kutokana na wabunge kusimama kutetea maslahi ya vyama vyao na kusahau wananchi ambao walichagua serikali yao kukaa madarakani.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa CCK, Renatus Muabhi, alisema kuwa kupoteza heshima kwa Bunge kumetokana na wabunge kuwakilisha vyama na kuacha wananchi wakiwa hawana imani na serikali yao katika kupata maisha bora.

Alilaani wabunge kutohudhuria kwa wingi bungeni hali inayosababisha wabunge wanaopitisha bajeti kuwa wachache hivyo kuwafanya wananchi wengi kukosa kuwakilishwa ipasavyo.

Dowuta yatoa tamko

Wakati huo huo, Chama cha Wafanyakazi wa Shughuli za Meli na Bandari (DOWUTA) kimesema Buge la sasa limekosa dira na kutokana na hali hiyo kuna haja ya kuwepo kwa chuo kinachofundisha uongozi kabla ya watu hao kuteuliwa katika nafasi za uongozi.

Akizungumza na Tanzania Daima, ofisini kwake mwishoni mwa wiki, Katibu Mkuu wa Dowuta, Abdallah Kibunda, alisema Bunge la sasa linatia aibu machoni mwa jamii hivyo kulifanya kukosa dira.

“Bunge la sasa ni la ghasia tu, wabunge wamejisahau kwani badala ya kujadili masuala ya maendeleo wanalumbana bila mpango wakati malumbano yalishaisha wakati wa kampeni
“Hao ni wawakilishi wa wananchi hivyo hawana budi kujirekebisha. Hata hivyo suala la uongozi linahitaji taaluma na kungekuwa na chuo ambacho moja ya sifa ni viongozi wakiwemo mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa na wengine kupitia huko kabla hawajateuliwa ingekuwa vizuri,” alisema Kibunda.

Alisema malumbano hayo hayawanufaishi wapigakura kwani asilimia kubwa ya wapigakura si wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF wala TLP bali waliwapigia kura wabunge hao kutokana na kunadi sera zao kwao wakitegemea watapata maendeleo lakini kinyume chake wabunge hao wamekuwa wakilumbana siku hadi siku badala ya kupaza sauti zao bungeni kusaidia kuondoa kero za wananchi.

Alisema kwa hali hiyo wabunge hawana budi kurekebisha mara moja tabia hiyo kabla haijaleta athari zaidi.

Kwa mujibu wa katibu huyo, mkutano huo wa Bunge ni muhimu kwa sababu unajadili maendeleo ya taifa yakiwemo ya wafanyakazi katika kukuza uchumi wa taifa ili kukuza uchumi.

Alisema badala ya wabunge hao kujadili matatizo ya wafanyakazi kama vile mazingira mabovu ya kazi waliyonayo, kukatwa kodi na mengine badala yake kila mtu anafanya jambo analojisikia.

Alitoa rai kwa wabunge kufanya kazi kwa hekima, umakini na busara wawapo bungeni kwa maslai ya taifa.



يجوز للشهر Ø§Ù„كريم Ù…Ù† ÙˆØ­ÙŠ Ø§Ù„Ù‚Ø±Ø¢Ù† Ø§Ù„حاجب Ø¹Ù„يكم Ø§Ù„سلام والسعادة والازدهار

30 Jul 2011


Mitandao ya jamii ya Facebook na Twitter imetengeneza kizazi kinachoendekeza umimi kupita kiasi kiasi kwamba watu hawajali masuala mengine huku wakiwa na tamaa kama watoto wadogo kuona watu wanasema mazuri kuhusu wao,picha zao,wanayoandika kwenye mitandao hiyo,nk.

Kuendelea kuwepo kwenye mitandao hiyo kwa muda mrefu kunamwacha mtumiaji akiwa na mgogoro wa kujitambua (identity crisis),tamaa ya kutambulika katika namna ileile mtoto mdogo anamwambia mzazi wake, "Mama,nimefanya hivi."

Baroness Greenfield,profesa wa taaluma ya madawa (pharmacology) katika Chuo Kikuu cha Oxford,anaamini kuwa kukua kwa urafiki wa mtandaoni-sambamba na matumizi makubwa ya michezo ya kompyuta-vinaweza kupelekea kuuchanganya ubongo.

Hii inaweza kusababisha upungufu kwenye kukazani mambo ya muhimu,hitaji la kutamani kusifiwa na uwezo mdogo wa mawasiliano yasiyohitaji kutumia maneno (non-verbal communication) kwa mfano kumwangalia mtu usoni wakati wa maongezi.

Zaidi ya watu milini 750 duniani wanatumia mtandao wa Facebook kuonyeshana picha na video na mara kwa mara hubandika maelezo kuhusu mienendo na mawazo yao.

Mamilioni pia wamejiunga na mtandao wa Twitter ambao huwawezesha watumiaji kusambaza ujumbe mfupi na picha kuhusu wao wenyewe.

Baroness Greenfield,mkurugenzi wa zamani wa taasisi ya utafiti ya Royal Institution alisema, "kinachonipa wasiwasi ni ile hali ambapo unaweza kutarajia mtu atawaza au kusema nini ambayo ni hali ya kawaida huko Twitter."

"Kwanini mtu ahitaji kujua umekula nini wakati wa kifungua kinywa?Inanikumbusha jinsi mtoto mdogo anavyosema, 'mama angalia ninachofanya' "

"Ni kama mgogoro wa kujitambua.Kimsingi,hali hii inaufunga ubongo kwenye kuhusisha wakati/muda"

Mwanataaluma huyo alidai kuwa baadhi ya watumiaji wa Facebook wanajisikia wanapaswa kuwa "watu maarufu wadogo wadogo" (mini celebrities) ambao wanaangaliwa na kunyenyekewa na watu wengine kila siku.

"Wanafanya vitu vinavyoendana na Facebook kwani njia pekee wanayoweza kutumia kujitambulisha kwa umma ni kwa kuwafahamisha watu wengine kuhusu kinachoendelea kwenye maisha yao."

"Ni kana kwamba watu wanaishi katika dunia isiyo halisi bali dunia ambayo kinachomata ni nini watu wanafikiria kuhusu wewe au kama wanaweza kubonyeza kwenye picha au ulichoandika," alisema Profesa huyo.

"Fikiria kuhusu madhara kwa jamii ikiwa watu wanajali zaidi kuhusu nini watu wengine wanafikiria kuhusu wao kuliko nini wanachofokiria kuhusu wao wenyewe."

Mawazo ya mwanazuoni huyo yaliungwa mkono na Sue Palmer,mtaalam wa fasihi andishi na mtunzi wa vitabu,ambaye alisema kuwa wasichana hususan wanaamini wao ni bidhaa ambayo lazima iuzwe kwenye Facebook.

Alisema: 'Watu walizowea kuwa na picha ya kuchora (zinazowaonyesha wao) lakini sasa tunaweza kujichora wenyewe mtandaoni.Ni kama kuwa mshiriki kwenye shoo yako mwenyewe ya TV ambayo umeiunda na kuiweka hadharani kwa dunia kuiona.'

CHANZO: Habari hii imetafsiriwa kutoka gazeti la Daily Mail




50 Cent - From hip-hop to Hollywood
Curtis Jackson, aka 50 Cent, is moving into movies. He tells Kaleem Aftab about his next lead role and his $200m production company
Friday, 29 July 2011 
Well, it's a pretty fair exchange: in exchange for not being able to walk around in the mall, you can buy everything in it." Curtis Jackson, aka 50 Cent, is fairly relaxed about the price of fame. Nor does he have to worry about heeding the mantra of his first album Get Rich or Die Tryin'. Album sales galore, a burgeoning film and writing career and several sound investments – including a multi-million dollar payday when the vitamin water company he had shares in sold to Coca-Cola – have seen the latest estimates of his wealth hit half a billion dollars. 
Eight years after his debut album turned the former New York drugs-runner into an international superstar, the 36-year old proffers the following assessment of his wealth and success: "I see money as a facilitator," he elaborates. "If airlines don't have a plane that goes to where you want to go, a private jet will. If a studio doesn't go after a project and think it's the right project for right now, I can go and get it made. I think that to some people I may appear a little off, but they're just not on the same page as me."
His back story has been told many times, most notably on that best-selling debut album, which in turn inspired Jim Sheridan's 2005 movie, starring Jackson, and in his autobiography From Pieces to Weight: Once Upon a Time in Southside Queens. Briefly, Jackson grew up in Queens, New York. His drug-dealing mother died when he was aged eight, he was bought up by his grandmother, and started dealing crack at the age of 12. Then, just days before he was about to film his first music video, the rapper was shot multiple times in front of his grandmother's house. 
It was his musical hero Tupac who made the "thug life" tag a badge of honour for rappers and to start with 50 Cent tried hard to live up to the stereotype: "My first CD contained all of the dysfunctional behaviour that was affecting me. And you become your music to the general public, so I became exactly what the CD was in their eyes. Having it go on to be the widest-selling hip-hop album and sell 12 million CDs worldwide made it intense. So people have a perception of me that's going to be like that until I continue to be successful in other fields. Eventually that will open people's minds up so they think in different ways about me." 
One of the ways he's trying to change those perceptions is through film. I meet him after the international premiere of his new film, Things Fall Apart, in Aruba. He wrote, produced and stars in the film, all under his real name Curtis Jackson, distancing himself from his musician persona. "Growing up, I had to be two people anyway," he says. "I had to be aggressive enough to get by in the environment that I grew up in, and I had to be my grandmother's baby in the house. You wouldn't believe it, but I wasn't allowed to curse in the house at all." 
I admit that I have quite a fondness for his third cognomen "Fiddy" but apparently only close friends or Robert De Niro get to call him that. Jackson met De Niro and Al Pacino when he appeared with them in Righteous Kill in 2008. "It's interesting being around them, because when you are around someone that has that much aura, and so much attention focused on them, I get a chance to be a regular guy on the side, so it's kind of cool to hang out with them." 
Try as he might, Jackson has so far failed to find that breakout role that will make people see him as something other than a rapper-turned-actor. In his only major starring role, Get Rich... he pretty much played himself, in the newsroom comedy Morning Glory he did play himself, Righteous Kill saw him play a drug dealer who meets with an untimely death, and Joel Schumacher's lamentable Twelve found him selling drugs once again. 
So it's no surprise that he had to write and produce himself to land a lead role. Things Fall Apart is another tale from Jackson's childhood in which he plays a promising young American footballer whose chances of a professional career are dashed when he is diagnosed with an aggressive form of cancer. "Charles Pringle was my best friend growing up," explains Jackson. "Some of the dialogue in the film is close to what he actually said to me. Over 12 million people will die this year from cancer and hopefully this film will help us to become more conscious of it. 
But I don't want to become a spokesperson for cancer. I could have done that without making this film. I thought to be part of a project that has some personal value was interesting. I try to be part of projects that have some sort of artistic integrity. It was a passion project and that helped me to have the discipline to make the physical transformation." 
Indeed, the most remarkable moment of Things Fall Apart comes after a time lapse when Jackson goes from bodybuilder physique to gaunt and skinny. The actor lost 60lbs in three months, citing Tom Hanks in Philadelphia, Robert De Niro in Raging Bull and Christian Bale in The Machinist as inspirations. In difficult dieting moments, he would find solace by reading interviews online in which the actors talked about how tough it was to lose weight. 
A keen sports fan – he follows only basketball star Carmelo Anthony and his best friend, the boxer Floyd "Money" Mayweather, on Twitter, though he has 4.7million followers – Jackson is now back to his physical peak. When we meet, he's wearing a natty suit and sunglasses adorned with gold cheetahs for arms. This is dressing "business", he says, and in keeping with that mode he wants to talk about the $200 million (£120m) he has raised for his company Cheetah Vision to make 10 films, in the action genre and in which he will appear: "The first of the 10 is Setup, which stars myself, Bruce Willis and Ryan Phillippe. My character has a revenge plot. And then there is Freelancers with Robert De Niro and Forest Whitaker in which I play a rookie police officer." Also upcoming is Vengeance with Danny Trejo. 
Jackson feels strongly that he's capable of transcending artistic fields: "When you make it in one portion of art, people doubt you in others. I don't take it personally," he says. "I think it's a reflection of how they feel about themselves. They doubt themselves in different areas and they just reflect that off on you. When I'm passionate about something I pretty much get to it. People say, 'He's a rapper, he can't act'. I guess they forgot about Will Smith, right? And they forgot about Mark Wahlberg, and they forgot about Queen Latifah. They forgot about a lot of people."
Jackson has also turned to books and next year will publish Playground a tale of a 13-year-old facing up to the consequences of his actions, aimed at teenagers who have been bullied in school. 
Mall boast aside, he feels that emotional well being cannot be sated by mere untold riches: "When you grow up without money, money feels like it's the answer to all your problems, because every problem in front of you is financial. But when you acquire money, you realise that it just creates other problems, and they have nothing to do with money." 
His major problems at the moment seem to be largely music related. His fourth album, Before I Self Destruct, flopped in 2009. That album was attached to a film that 50 Cent wrote and directed, which in turn flopped. His fifth album, inspired by his experiences listening to dance music in UK clubs, has been continually delayed. "That album", he says. "Will only play in the comfort of my own home". Recently he announced that he expects his next record to drop in November – and he's feeling the weight of expectation: "I've got a lot of pressure on me releasing the next record. I'm still trying to top my first album. I don't think I can match the actual sales on that record, but I can match the energy." 
'Things Fall Apart', 'Vengeance' and 'Setup' are released later this year


29 Jul 2011

Pseudomonas aeruginosa bacteria on an agar plate. (Center for Disease Control)

No matter how jaded you become, there is always room to be awed by the little shimmers of magic nature deals us on a regular basis. There's something just plain cool about a world that offers up coral shaped like organ pipes, peppermint shrimp, and monkeys feasting on fermented leaves. A handful of unrelated studies this week added a few more life forms to Earth's roster of biological weirdness. 
The smallest — but easily the most dramatic — of the new critters are the suicide-bomber bacteria discovered by researchers at the University of Oxford and ETH Zürich (think Switzerland's MIT) and reported in a paper in The American Naturalist. Known by the misleadingly unremarkable name Pseudomonas aeruginosa, the little bugs have a nasty habit of blowing themselves up and releasing a spray of toxins when too many of their fellow Pseudomonas aeruginosa are in the vicinity. The detonation kills some of the bystanders and reduces competition for food among the survivors. 
This seems like an awfully egalitarian act, especially for a bacterium, but the paradoxical reason behind the suicide is to increase the deceased's chances of leaving descendants. That ought to be pretty hard when you've just blasted yourself to bits, but according to ETH team-leader Fredrik Inglis, the behavior is likeliest to occur in “clonal” bacterial communities, in which all individuals share the same genes. In this situation, it doesn't much matter who survives to divide and who doesn't, since the whole reason all creatures — ourselves included — are impelled to reproduce in the first place is to pass on their genes. If everyone's got the same DNA blueprint, the next guy's descendants are as good as your own. The Inglis team admits that they can't say what causes any single bacterium to be the one that takes a bullet for the team, but the research is already pointing in other, more practical directions. Studying how bacterial toxins work and interact could help explain how bacteria themselves cause disease. 
A better — and decidedly less messy — way to ensure that you pass on your genes has been perfected by the self-fertilizing female scale insects, as reported in a study in The American Naturalist, also by researchers at Oxford. Hermaphroditism – in which the same individual produces both male and female gametes – is hardly unknown, but it is rare, occurring in less than 6% of all animal species. The scale insects, take it to a new, and arguably ickier, level. Instead of producing two kinds of gametes and simply allowing the male variety to fertilize the female variety within the body, these bugs produce eggs that are fertilized by a parasitic tissue derived from leftover sperm from the female's father. That's an odd family arrangement that could get a lot odder before too long: According to a mathematical model developed by study author Laura Ross and her team, once the parasitic “fathers” become widespread within a population, the need for males in that population may be eliminated entirely. 
Prolific reproduction can mean high-speed evolution, with every generation offering a chance to introduce upgrades to the product line, and no one's doing that better than the rapidly evolving fanged frog known as Limnonectes, which, according to a study by evolutionary geneticist Ben Evans of McMaster University, is flourishing in nine different varieties on the Philippines island of Sulawesi — each variety different enough to qualify as a separate species. All of the species have their own unique body size, amount of foot-webbing, and method of raising their young. The reason for this explosion of species is that the island is relatively free of frog competition — unlike the Philippine archipelago at large, in which the Limnonectes must fight for resources alongside the Platymantis species. Sulawesi Limnonectes are thus free to experiment with all kinds of adaptive innovations, as opposed to coming up with just one sturdy model that can go toe to toe with the competition. 
All this clever R&D is an enduring feature of evolutionary biology, which is good for the planet, good for biodiversity — and really good for the scientists who go hunting for new critters. Nature is one manufacturer, after all, that never runs out of ideas.
Tara Thean is a TIME contributor. Find her on Twitter at @TaraThean. You can also continue the discussion on TIME's Facebook page and on Twitter at @TIME.


Raia Mwema Ughaibuni
Ya Rupert Murdoch na somo kwa wabunge wetu
Evarist Chahali
Uskochi
27 Jul 2011
Toleo na 196
Rupert Murdoch
MOJA ya matukio yatakayobaki kama historia, kwa mwaka huu, hapa Uingereza, ni lile lililojiri wiki iliyopita ambapo tajiri mkubwa wa vyombo vya habari duniani, Rupert Murdoch, alihojiwa na kamati moja ya Bunge dogo(House of Commons) kuhusu tuhuma za udukuzi wa simu (phone hacking simu).
Murdoch, Mmarekani mwenye asili ya Australia, pamoja na mwanaye James, walihojiwa na Kamati ya Bunge ya Utamaduni, Vyombo vya Habari na Michezo kuhusiana na kashfa ambayo tayari imesababisha tajiri huyo kufunga lililokuwa gazeti lake maarufu duniani la News of the World. Gazeti hilo linatuhumiwa kuwa kwa miaka kadhaa limekuwa likifanya udukuzi wa simu za watu mbalimbali kwa minajili ya kupata siri zao.
Lengo la makala hii sio kueleza kwa undani kuhusu kashfa hiyo; bali kuonyesha namna wenzetu hawa wanajivyojitahidi kadri wawezavyo kuweka kando kujuana pale inapohitajika kusaka ukweli kuhusu masuala yenye umuhimu kwa jamii.
Murdoch amekuwa na mahusiano ya karibu na wanasiasa mbalimbali hapa Uingereza na huko Marekani huku akitumia vyombo vyake vya habari kuwasapoti wanasiasa anaotaka washinde kwenye chaguzi kwa matarajio ya kudumisha himaya yake ya kibiashara ambayo imesambaa nchi kadhaa duniani.
Lakini ukaribu wake huo na wanasiasa haukuweza kumwepusha kuwekwa kitimoto na kamati hiyo ya bunge ambapo alibanwa vilivyo na wabunge.
Awali, tajiri huyo na mwanaye walionyesha kutotaka kuitikia mwito wa kamati hiyo kuhudhuria mahojiano hayo, lakini tishio kwamba hatua za kisheria zingechukuliwa hatua zao liliwafanya wabadilishe mawazo.
Siku moja baadaye, Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, alilazimika kukatisha ziara yake barani Afrika ili kuhudhuria kikao cha dharura cha Bunge na kutoa tamko rasmi kuhusiana na suala hilo la hacking.
Cameron anaguswa na kashfa hiyo kwa vile aliyekuwa Mkurugenzi wake wa Habari, Andy Coulson (aliyelazimika kujiuzulu wadhifa huo kutokana na kashfa hiyo) alikuwa mhariri wa gazeti la News of the World huko nyuma.
Laiti wabunge wetu Tanzania wangepata fursa ya kuona jinsi Waziri Mkuu huyo alivyobanwa na maswali ya wabunge mbalimbali kuhusiana na uamuzi wake wa kumwajiri Coulson, ninaamini wangeweza kubaini kwa kiasi kikubwa mapungufu yao katika kuibana serikali yetu iwapatie majibu ya maana kwa maswali mbalimbali yanazowasilishwa bungeni.
Lakini kama hiyo haitoshi, kashfa hiyo tayari imesababisha kujiuzulu kwa aliyekuwa afisa wa juu kabisa wa polisi wa hapa, Sir Paul Stephenson, pamoja na aliyekuwa msaidizi wake, John Yates. Wawili hao pamoja na maafisa wengine wa Scotland Yard wanatuhumiwa kuwa na ushirika usiofaa na vyombo vya habari vya Murdoch, sambamba na tuhuma za kupokea rushwa.
Hadi hapa unaweza kujiuliza: Kwa nini hadi sasa hakuna mtendaji yeyote wa chombo cha dola huko Tanzania aliyewajibishwa katika kashfa ya wizi wa fedha za EPA; japo ni ukweli usiopingika kuwa kufanikiwa tu kwa wizi huo ni mapungufu ya wazi ya viongozi hao na taasisi wanazoziongoza.
Kwa bahati nzuri au mbaya, wakati matukio hayo yakijiri hapa Uingereza, huko nyumbani nako kulitokea matukio mawili makubwa. La kwanza ni kujiuzulu kwa aliyekuwa Mbunge wa Igunga kwa tiketi ya CCM, Rostam Aziz na jingine ni sakata la tuhuma za rushwa dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo.
Kama alivyobainisha mwenyewe kwenye hotuba yake ya kujiuzulu, uamuzi wa Rostam unatafsiriwa na wengi kama kuepukana na tuhuma zilizokuwa zikimwandama kwa muda mrefu kuhusu ufisadi. Wakati uamuzi huo unaweza kustahili pongezi kwa vile kujiuzulu si utamaduni uliozoeleka katika Tanzania yetu, baadhi yetu tunaendelea kutarajia kuwa vyombo vya dola vitatekeleza wajibu wake na kumchunguza mfanyabiashara huyo.
Ikumbukwe kuwa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete, alimpigia kampeni Rostam na “kumsafisha” kwa utetezi kuwa hajawahi kushtakiwa kwa kosa lolote lile.
Kila anayafahamu mwenendo wa nchi yetu anafahamu bayana kuwa kati ya muda huo hadi Rostam anajiuzulu, hakujawahi kutokea tukio lolote lile la kuashiria kinyume na utetezi wa Kikwete kwa mfanyabiashara huyo.
Haihitaji japo kozi ya muda mfupi ya uchambuzi wa siasa kubashiri kuwa kilichosababisha Rostam ajiuzulu sio “kelele za akina Nape na Chiligati” pekee; bali ukweli kuwa “kelele” hizo zilikuwa na Baraka za Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho; yaani Rais Kikwete.
Swali linalohitaji majibu ni ni hili: Kwa nini Rais Kikwete alim-kapenia Rostam na “kumsafisha”; ilhali wakati huo alikuwa na tuhuma ambazo hatimaye ziliibua dhana ya “uvuaji gamba” ya CCM na kuanzisha “kelele za kina Nape” ambazo mwishowe zilimfanya Rostam “kukubali yaishe”?
Hapa, simaanishi kuwa kila mwanasiasa anayejiuzulu wadhifa wake anastahili kuchunguzwa; bali ninaamini takriban kila Mtanzania anafahamu kuwa tuhuma za ufisadi dhidi ya Rostam hazikuanza jana na haziwezi kumalizwa kwa uamuzi wake wa kujiuzulu.
Kama Rostam amejiuzulu kwa vile yeye alikuwa miongoni mwa “magamba” yaliyopaswa kuvuliwa, na magamba hayo yanamaanisha tuhuma za ufisadi, basi lazima vyombo vya dola vianze uchunguzi dhidi yake haraka.
Kuhusu Jairo, tukiweka kando kichekesho cha kumsimamisha kazi kwa siku 10 “ili ajibu tuhuma zinazomkabili” (sijui kuna mahabusu wangapi huko mahabusu walipewa japo siku 1 ya kujitetea kabla ya kutupwa selo), na tukiweka pembeni kusuasua kwa Waziri Mkuu Pinda kuchukua hatua dhidi ya mtendaji huyo (huku akimtupia mpira bosi wake Kikwete), kisichoingia akilini ni kwa nini Katibu Mkuu wa wizara ahangaike kuhonga wabunge ili bajeti ya wizara ipite!
Sote tunafahamu anayewasilisha bajeti ni waziri wa wizara husika. Kama kuna mtu “anayeumbuka” pindi bajeti ya wizara ikikwamishwa, ni waziri na si katibu mkuu wa wizara husika. Kwa nini basi Jairo abebeshwe mwenyewe lawama. Vipi bosi wake (waziri)? Vipi wakuu wa idara? Vipi asasi za wizara zilizotoa fedha hizo za rushwa kinyume cha taratibu?
Kwa nini tusihisi kuwa mtendaji huyo alikuwa akitekeleza maagizo aliyopewa na mabosi wake? Swali la msingi zaidi ni je mabosi hao wanaishia ngazi ya wizara tu au ni zaidi ya hapo?
Lakini suala hili la Jairo linaweza kutupa mwamko wa namna fulani kuhusu muundo wa sasa wa serikali ambapo licha ya waziri mkuu kuwa mkuu wa shughuli za serikali bungeni, mkuu halisi wa serikali ni Rais. Katika mazingira ya siasa za kibabaishaji, ni rahisi sana kwa waziri mkuu kukwepa majukumu muhimu kwa kisingizio cha “mwenye uamuzi wa mwisho ni Rais”.
Kwa bahati mbaya, hakuna mahala ambapo wananchi au wawakilishi wao (wabunge) wanapata fursa ya kumbana Rais (isipokuwa wakati wa Uchaguzi ambapo kwa wakati huo maji yanaweza kuwa yameshamwagika na hayazoleki).
Hivi katika umasikini huu mkubwa tulionao kuna umuhimu kweli wa kuwa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu ambao kimsingi mmoja tu kati yao angeweza kutekeleza majukumu ya vyeo vyote hivyo vitatu?
Na kama inafika mahala Waziri Mkuu anakuwa kama Naibu Waziri (kwa maana ya Naibu kusema “mwenye kuweza kujibu swali hili ni Waziri” na Waziri Mkuu kusema “mwenye uwezo wa kutoa maamuzi haya ni Rais), basi, pengine ni muhimu kwa mabadiliko tarajiwa ya Katiba yakaangalia uwezekano wa kuunganisha nyadhifa hizi mbili (urais na uwaziri mkuu).
Kuna wanaolalamika kuwa ziara za Rais Kikwete nje ya nchi zinaelekea kuvunja rekodi. Lakini pengine kama Rais ndio angekuwa “bize” kwa kukabiliwa na majukumu ya uendeshaji wa serikali kila siku (kwa kuunganisha wajibu wa Rais na Waziri Mkuu), basi, huenda hata huo muda wa ziara mfululizo za nje ya nchi zingepungua.


Kuna watu wana umuhimu wa kipekee kwa blogu hii na maudhui yake kiasi kwamba kuwatakia heri ya siku ya kuzaliwa kwenye Facebook wall yao pekee ni sawa na utovu wa nidhamu.Didi Vava,Mtanzania mwenzetu mwenye makazi yake huko Marekani,ni mdau mkubwa wa blogu hii,na ni miongoni mwa Watanzania wanaoguswa sana na jinsi nchi yetu inavyotafunwa na mafisadi wakisaidiwa na kiza cha mgao wa umeme.

Basi Mdau Didi, mimi binafsi na wasomaji wote wa blogu hii tunakutakia kila la heri kwa siku hii na katika maisha yako kwa ujumla.


Na Nova Kambota,

Nasema wazi Anne Makinda hana la kujivunia na pengine hata wanahistoria hawana la kuandika juu ya mwanasiasa huyo ambaye ni dhahiri sasa nyota yake inazidi kufifia kila sekunde.

Yanayoendelea na yatakayoendelea kutoka Bungeni ni ushahidi wa wazi wa udhaifu wa spika Makinda, Job Ndugai, Jenista Mhagama na Simbachamwene ambao kwa nyakati tofauti wameonyesha dhahiri kuwa sasa wameshindwa kazi.

Sitaki kuibua malumbano yasiyo na tija bali nataka niweke wazi kuwa tatizo si wapinzani bali udhaifu wa Makinda na wasaidizi wake.

Ni mwehu gani leo hii hakumbuki mikiki ya Dr Slaa wakati wa spika Sitta? je yalitokea haya tunayoyaona sasa? je nikisema Sitta “KAMFUNIKA” Makinda nitakuwa naongopa? NARUDIA TENA tatizo ni Makinda na wasaidizi wake!

Tangu awali wenye kuona mbali walitoa angalizo kuwa spika aliyechaguliwa kwa kigezo cha jinsia “HAFAI” na leo hii wote tu mashahidi kuwa sasa “MAKINDA ANAWABEBA WALIOMBEBA” amelivuruga Bunge na kweli limevuruga .

Kawafanya wapinzani kuwa na roho ya “KUPAMBANA” dhidi yake na wasaidizi wake na kwa bahati mbaya hana uwezo wa kulitatua hili si yeye wala “wasaidizi wake”

Watanzania hawapaswi kushangaa “eti wabunge wanataka kupigana” nini cha ajabu? au Deo Filikunjombe kutaka “kupigwa makofi?” lipi la ajabu? Lema, Msigwa na Lissu kutolewa nje ya Bunge? nini cha ajabu? pendekezo la wabunge kupimwa akili? haya yote hayana budi kutokea, hebu jaribu kufikiria haya yasipotokea watanzania mtaamini vipi kuwa “HII NI NCHI LEGELEGE?”

Nova Kambota Mwanaharakati,
+255717 709618
[email protected]
www.novakambota.com
Tanzania, East Africa
Ijumaa, Julai 29, 2011.

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.