8 Oct 2008




Mitihani zaidi kidato cha nne yavuja Necta iko njia panda
BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) bado liko njia panda kuhusu hatua za kuchukua baada ya mtihani mwingine wa kuhitimu kidato cha nne mwaka huu kuthibitika kuwa umevuja.

Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kwa siku kadhaa sasa unaonyesha kwamba, wanafunzi wa kidato cha nne tayari walishakuwa na mitihani hiyo, hivyo wamekuwa wakijibu maswali katika maeneo mbalimbali ya nchi kabla ya kuingia kwenye chumba cha mtihani.

Juzi Baraza lilitangaza kuufuta mtihani wa somo la Hisabati ambao ulikuwa uanze kufanywa kwa kile kilichoelezwa kuwa umevuja na kwamba, vyombo vya usalama vinafanya uchunguzi zaidi kwa mitihani mingine ya Kiswahili, Kiingereza, Fizikia na Uraia inayodaiwa kuvuja.

Lakini jana Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova aliwaambia waandishi wa habari kuwa jeshi lake linawashikilia wanafunzi wawili kutoka kituo cha Perfect Vision, mmoja kwa tuhuma za kukutwa na majibu ya mtihani wa somo la Civics (Uraia) na mwingine kwa kumfanyia mwenzake.

Kamanda Kova alisema watuhumiwa hao, walikamatwa juzi saa 11:00 jioni wakiwa katika kituo hicho kilichopo maeneo ya Ubungo karibu na nyumba za Shirika la Nyumba nchini.

Kwa mujibu wa Kamanda Kova, mwanafunzi wa kwanza kukamatwa ni mtahiniwa wa kujitegemea Rhoda Juma Mombora (37) ambaye alikamatwa na majibu ya mtihani wa somo hilo uliofanywa juzi mchana. Mtuhumiwa wa pili, Clara Haule (20) mkazi wa Makumbusho alikamatwa akimfanyia mtihani Anjela Maganga mwenye namba P1475/0023.

Kova alisema watuhumiwa hao, wanashikiliwa na polisi na uchunguzi ukikamilika watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili. Idadi ya watuhumiwa inafikiriwa kuongezeka.

Japokuwa ni watahiniwa hao tu walionaswa, wanafunzi mbalimbali waliozungumza na Mwananchi katika maeneo mbalimbali nchini na jijini Dar es Salaam walidai kuwa wana mitihani yote na kwamba hata waliyofanya juzi walikuwa nayo. Walisema baada ya kuingia katika chumba cha mtihani walibaini kuwa ndiyo yenyewe.

"Mitihani yote tunayo hata ule wa jana (juzi) wa somo la Uraia (Civics), tulikuwa nao na baada ya kuingia katika chumba cha mtihani tulibaini kuwa ndiyo wenyewe, swali mpaka swali," alidai mwanafunzi mmoja wa jijini Dar es Salaam (jina tunalo).

Mwanafunzi huyo alidai kuwa walipata mitihani hiyo kutoka kwa watu walio karibu na Baraza baada ya kuchanga fedha na kuwapatia watu hao.

Mazingira ya kuvuja kwa mitihani hiyo yanaonyesha kuwa iliibwa kutokana na mpango wa ndani uliosukwa na baadhi ya watumishi wasio waaminifu kwa lengo la kujipatia kipato.

Kwa mujibu wa uchunguzi huo baada ya kupata mitihani wanafunzi hao wamekuwa wakitumia simu za mikononi kupeana maswali au majibu kabla ya kuingia katika chumba cha mitihani.

Katika hatua nyingine Umoja wa Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya juu nchini (Tahliso) umetaka mtihani wote wa kidato cha nne ufutwe na kisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe na watendaji wakuu wa Baraza kujiuzulu kutokana na kashfa hiyo ambayo mara ya mwisho ilitokea mwaka 1998.

Katibu Mkuu wa Tahliso, Mtatiro Julius alisema jana jijini kuwa, kashfa ya kuvuja kwa mitihani hiyo inawahusu viongozi hao moja kwa moja na hivyo hawapaswi kukwepa kuwajibika.

"Waziri anapaswa kuwajibika mwenyewe kwa kulinda heshima yake, lakini zaidi kwa manufaa ya umma kwani ameshindwa kuwasimamia vema watendaji wa chini yake," alisema Mtatiro na kuongeza:

"Kitendo cha mitihani kuvuja na serikali kuufuta mmoja na kuacha mingine iendelee kitazalisha wasomi wasiokuwa na uwezo,".

Kwa mujibu wa Mtatiro, inasikitisha kuona serikali inakiri kuvuja kwa mtihani wa Hisabati kwani kauli hii inaleta uwezekano wa mitihani yote kuwa imevuja kwa kuwa mitihani hiyo iliandaliwa pamoja na kusambazwa pamoja.

"Hali ya kuvuja kwa mitihani nchini imekuwa ya kawaida sana ingawa miaka mingine serikali inakanusha tuhuma hizo. Katika hili la mwaka huu, ni lazima Rais Jakaya Kikwete atumie nafasi yake kuwawajibisha watendaji wake," alisema.

Mtatiro alibainisha kuwa tatizo la kuvuja kwa mitihani nchini linatokana pamoja na mambo mengine tamaa ya fedha na walimu kutolipwa mishahara mizuri.

Aliitaja sababu nyingine ya kuvuja kwa mitihani kuwa ni ubinafsi na uzembe unaofanywa na baadhi ya watendaji wakuu katika kusimamia mitihani na upole wa Rais Kikwete katika kuwachukulia hatua watendaji wake wanaoboronga kazini.

"Upole wa Rais Kikwete ndiyo unaosababisha watendaji wa chini wajione kuwa wako huru na hakuna wa kuwawajibisha," alisema.

Juzi Baraza lilifuta mtihani wa Hisabati baada ya kubainika umevuja. Hata hivyo Baraza halikuwa tayari kutaja sehemu wala watu waliokamatwa na mtihani ambao sasa utatungwa mwingine na kufanywa Oktoba 27, mwaka huu.

Mwaka 1998, Baraza hilo lilifuta mitihani yote baada ya kubaini kuwa mingi ilivuja na hivyo kulazimika kusogeza mbele tarehe ya kuanza kwa mitihani na hali inaonekana inaweza kujirudia mwaka huu kutokana na mitihani hiyo kuzagaa kama njugu.

Awali Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania, Dk Joyce Ndalichako alisema baraza hilo limeanza kufanya uchunguzi wa uvujaji wa mitihani mingine nchi nzima baada ya kupata taarifa juu ya kuwepo kwa mitihani zaidi kwenye mikono ya watahiniwa ikiwemo Kingereza, Kiswahili, Fizikia na Uraia.

Akizungumza na waandishi wa habari juzi kuhusu kuvuja kwa mitihani, Dk Ndalichako alisema vyombo vya usalama vimekamata mitihani ya Kiswahili, Kiingereza, Uraia, Fizikia pamoja na Historia na kwamba, uchunguzi zaidi unafanyika, lakini hakutaja sehemu ambazo mitihani hiyo ilikamatwa kwa kile alichoeleza kuhofia kuharibu uchunguzi unaoendelea.

Kashfa ya kuvuja kwa mitihani ni mwendelezo wa kashfa mbalimbali zinazoendelea kulikumba Baraza hilo baada ya hivi karibuni kuripotiwa kuibwa vyeti 4,000 vikiwa na namba bila ya majina.

SOURCE: Mwananchi

MBONA HII INATOKEA KILA MWAKA LABDA TATIZO KWA MITIHANI YA MWAKA HUU NI HIYO MEDIA ATTENTION.KUNA WATU WENYE JUKUMU LA KUHAKIKISHA MITIHANI HAIVUJI,NA WANALIPWA KWA KAZI HIYO LAKINI MWAKA HADI MWAKA MAMBO YANAENDELEA KUWA YALEYALE.NA SIJUI KWANINI HADI MUDA HUU UONGOZI WA NECTA HAUJAWAJIBIKA.ANYWAY,WANAJUA KWA UTAMADUNI WETU KUBORONGA SIO SABABU TOSHA YA KUJIUZULU MAJUKUMU WALIYOKABIDHIWA.


7 Oct 2008

Mwaka:1992
Mahala: Ruvu JKT
Miss Independent: Binti mrembo wa haja.Lakini kikwazo ni kwamba ni mtoto wa Mkuu wa Kikosi (CO).Na kwa wale ambao hawakuwahi kukanyaga JKT,CO ni Mungu-mtu wa Kikosi.You can imagine what would be the consequence ya "kuziingiza" kwa Miss Independent ambaye ni Mkuu wa Kikosi.

Mwaka: 1995
Mahala: Chuo flani (location withheld)
Miss Independent: Mmoja wa mabosi wa chuo hicho.Unajua kuna warembo ambao nadhani Mola alitumia siku nzima kuwa-design na siku nyingine nzima kuwaumba.Sheria za mahala hapo ziko wazi: speak to the boss only when they speak to you.

Mwaka: 2008
Mahala:Dar es Salaam.
Miss Independent: Kumwita huyu binti mrembo ni kutomtendea haki.Angeweza kuonewa donge hata na malaika.Hakuna neno linaloweza kuelezea urembo wake.Kikwazo ni kwamba anatoka familia yenye kujiweza mno.Hapo mahala pake pa kazi alikuwa anaondoka na tips za haja nyingi zikiwa in foreign currencies,achilia mbali fedha zisizohesabika alizokuwa akipewa na wale wanaoamini kuwa dawa ya kumpata mrembo yeyote ni fedha.Lakini they say when all luck is gone miracles happen in strangest form.This episode had a happy ending just like Ne-yo couldnt believe his ears when Miss Independent,Gabriele Union,apologized and....see the clip below





A French scientist awarded the Nobel Prize for discovering the Aids virus has  predicted there would be a 'therapeutic vaccine' for the disease within four years.

Luc Montagnier and his team discovered HIV at the French Pasteur Institute in Paris 25 years ago, and have been awarded the prestigious prize along with other scientists who worked on discovering the root of the virus.

Montagnier, 76, said a treatment could be possible in the future with a 'therapeutic' rather than preventive vaccine for which results might be published in three or four years if financial backing is forthcoming.

'I think it will be possible with a therapeutic vaccine rather than preventative vaccinations. We would give it to people who are already infected.

A therapeutic vaccine prevents disease from flourishing after it has taken hold.

The Nobel Assembly of Sweden's Karolinska Institute praised their work, saying: 'The discovery was one prerequisite for the current understanding of the biology of the disease and its antiretroviral treatment.'

The other half of the Nobel prize was awarded for the German scientist's research that 'went against current dogma' by setting forth that oncogenic human papilloma virus (HPV) caused cervical cancer, the second most common cancer among women.

Medicine is traditionally the first of the Nobel prizes awarded each year.

The prizes for achievement in science, literature and peace were first awarded in 1901 in accordance with the will of dynamite inventor and businessman Alfred Nobel.

The economics prize is a later addition, established by the Swedish Riksbank in 1968.

The Nobel laureate for physics will be announced tomorrow, followed by the chemistry Nobel on Wednesday, literature on Thursday and the Nobel Peace Prize on Friday in Oslo.

SOURCE: Daily Mail


6 Oct 2008



CLICK HERE to read the story.


Here's a summary of the smartest new political analysis on the Web: by Gerald F. Seib and Sara Murray 

It's been a bad stretch for Sen. John McCain, but few have been willing to go this far: Former Hillary Clinton spokesman Howard Wolfson, now writing for The New Republic, declares flatly "The race is over." Sen. Barack Obama will win, he says. 

"John McCain's candidacy is as much a casualty of Wall Street as Lehman or Merrill. Like those once vibrant institutions, McCain's collapse was stunning and quick. One minute you are a well-respected brand. The next you are yelling at the messengers of your demise as all around you the numbers start blinking red and stop adding up." Before the Wall Street collapse, Wolfson writes, "Senator McCain was ahead." But today, "an election dominated at its inception by the war in Iraq is now overwhelmingly focused on the economy. More than half of voters in polls say that the economy is their top concern and Senator Obama enjoys double digit leads among voters asked who can better fix our economic mess. Put simply, there is no way Senator McCain can win if he continues to trail Senator Obama by double digits on the top concern of more than half of voters."

But the Obama campaign isn't taking any chances. Politico's Mike Allen reports that his campaign "on Monday is launching a multimedia campaign to draw attention to the involvement of Sen. John McCain (R-Ariz.) in the ‘Keating Five' savings-and-loan scandal of 1989-91, which blemished McCain's public image and set him on his course as a self-styled reformer." The move is a reaction to the McCain camp's new efforts to tie Sen. Obama to 1960s radical William Ayers and scandal-plagued Chicago businessman Tony Rezko. Overnight, Allen says, the Obama campaign "began e-mailing millions of supporters a link to a website, KeatingEconomics.com, which will have a 13-minute documentary on the scandal beginning at noon Eastern time on Monday. The e-mails urge recipients to pass the link on to friends. The Obama campaign, including its surrogates appearing on radio and television, will argue that the deregulatory fervor that caused massive, cascading savings-and-loan collapses in the late ‘80s was pursued by McCain throughout his career, and helped cause the current credit crisis."

The Huffington Post's Thomas B. Edsall writes that "At a time of extreme economic crisis at home and two wars abroad, John McCain is gambling that an attack mounted by Sarah Palin on Barack Obama's tangential ties to 1970s radical bomber Bill Ayers will reverse the Arizona Senator's steadily diminishing prospect of victory on November 4. This strategy carries high risks. First and foremost, a number of experts in the field doubt that when the economy has been on the brink of collapse, when the situation in Afghanistan is worsening, and the debate over the US war in Iraq has intensified, negative campaigning is an effective political tool." 

It's also naive to expect that Obama won't fight back. Plus, negative campaigning tends to damage both candidates. Edsall quotes polling expert Nate Silver as saying "It may be quite difficult for McCain to attack Obama in this fashion without significantly damaging his own brand. What's interesting is that, with the exception of the past couple of weeks, McCain's and Obama's ratings have been fairly strongly correlated, tending to rise and fall together. This is not to say that negative campaigning doesn't work - it sometimes does - but it works at diminished efficiency, because you may be giving back 50 cents on the dollar by harming your own approval scores."

Now onto battleground states. Washingtonpost.com's Chris Cillizza has updated his electoral map, which puts Obama above the 300 mark. "The movement is most noticeable in states - particularly in the Industrial Midwest - where the economy has been a front-burner issue for years...With that in mind, we have moved Ohio from McCain's column to Obama's - amid polling including a new Columbus Dispatch survey that shows the Illinois senator with an edge. The other major change in this week's Fix map is Virginia, which we are moving from McCain to Obama. Electoral history in the state is daunting for Obama - the last Democrat to carry the state at the presidential level was Lyndon Johnson way back in 1964 - but the Democratic candidate is lavishing time and money on the Commonwealth. And, even top Virginia Republicans are starting to express their concern publicly about McCain's dimming prospects there

SOURCE: Wall Street Journal



With 30 days until Nov. 4, Karl Rove projects that Sen. Barack Obama (D-Ill.) would get at least 273 electoral votes – three more than are needed to win – if the presidential election were held today.

But Rove warns that this race is “susceptible to rapid changes,” so no definite prediction is possible.

The remarkable forecast from the architect of the last two nationwide political victories underscores the straits that have rapidly enveloped Sen. John McCain (R-Ariz.) as the banking and credit crisis spread.

Rove writes on Rove.com: “39 new state polls released in the first three days of October have given Barack Obama his first lead over the magic number of 270 since mid-July. Minnesota (10 EV) and New Hampshire (4 EV) both moved from toss-up to Obama, giving him 273 electoral votes to McCain’s 163, with 102 votes remaining as a toss-up.

“If the election were held today, Obama would win every state John Kerry won in 2004, while adding New Mexico (5 EV), Iowa (7 EV), and Colorado (9 EV) to his coalition. Remember, though, that these state polls are a lagging indicator and most do not include any surveying done after the vice-presidential debate on Thursday night.”

Rove cautioned on “Fox News Sunday”: “Remember, the campaign ebbs and flows. What we're seeing here is a result of the focus of the American people, voters, on the economic problems that have dominated the news the last several weeks. What's happened then is a shift to Obama.

“Just remember, 17 days ago in the electoral college, McCain led 227 to 216. Fifteen days ago, on the eve of the news on the bailout, he led 216-215.This race is susceptible to rapid changes and we're likely to see, in the remaining four weeks, more changes.”

On “Meet the Press” on Sunday, NBC News Political Director Chuck Todd said Obama is still one state away from solidifying the 270 electoral votes he needs to win the White House. Colorado, Virginia or Florida would put it away for Obama if the election were held today, Todd said.

“Even if it’s Nevada [making the total] 269, it sends it to the House, where Democrats have an advantage,” Todd said. “As it stands today, John McCain would have to run the table. Now, good news for him: They’re all states that voted Republican four years ago.

“However, he’s behind right now a little bit in Ohio. There’s a dispute of who’s ahead or who’s behind in Florida but it feel as if Obama’s a little bit ahead in Florida. Obama’s a little bit ahead in Colorado. And it’s a dead even race in Virginia. Dead even in Nevada. And even Missouri, which we almost put in tossup this week, is getting very close, where McCain just has a very narrow lead.”

Todd said a landslide could be 364 electoral votes – “the high-water mark.” In 1980, Ronald Reagan got 489. In 1988, George H.W. Bush got 426. “The McCain folks now have to hold everything … to keep this thing competitive,” Todd said.


Mike Murphy, a Republican strategist who was the architect of McCain’s 2000 campaign said on “Meet the Press”: “It’s McCain’s barn that’s on fire. … Thirty days out, I think McCain can win. But the fact is, [if the] election were held today, he’d lose. And I think he’s on a losing path.

“I think the McCain campaign has to look in the mirror now and decide, do we need to change up the strategy? They’ve been running the grinding campaign on Obama. There’s a lot of good things to attack Obama about – people have a lot of doubts about Obama. But they’ve got to fix McCain. McCain has to connect with voters on the economy. He’s got to get ticket-splitters. Get out of base Republican issues and get people who are worried about the economy and health care over. Or in this anti-Republican environment, this trend line is very, very bad.”

Appearing with Murphy, Democratic consultant Paul Begala, who helped mastermind Bill Clinton’s 1992 win, said he had talked to the Obama high command. “They’re flooding the zone,” Begala said. “They’re going into places where Democrats used to never dare go. Indiana! I cannot believe we’re sitting here 30 days before an election, talking about Indiana, a potential tossup state. Or North Carolina and Virginia.

“Barack Obama would be the first non-Southerner from my party to carry a Southern state since JFK – before I was born, before Barack was born. This is an incredible map.

Source: POLITICO



AND FINNALY (This is not a Classic,and it's not from the US of A.Just listen to the message)

REMINISCING THE DAYS WHEN I JUST LANDED INTO THE UK
AND THIS REMINDS OF THE OLD JKT DAYZ
AND FINALLY,I JUST HOPE SOMEONE IS READING BETWEEN THE LINES WHEN WATCHING THIS CLIP BELOW


5 Oct 2008


JAJI Kiongozi, Salum Massati, amesema kuanzia sasa madereva watakaosababisha vifo katika ajali za barabarani watanyang’anywa leseni na hata kufungwa miaka miwili jela ili kupunguza matukio hayo.

Akizungumza mjini hapa, Jaji Massati alisema ili kufanikisha mkakati huo, Mahakama ya Tanzania imewaagiza mahakimu wake kutafsiri vizuri na kwa usahihi sheria ya makosa ya barabarani ili kuwabana madereva wazembe. 

Agizo hilo lilitolewa alipokuwa akizungumza na watumishi wa mahakama hiyo Kanda ya Iringa. 

Alisema kwa kipindi kirefu madereva wanaopatikana na hatia za kuua kutokana na makosa ya barabarani wamekuwa wakipata adhabu ndogo, jambo linalolalamikiwa kuchochea matukio ya ajali. 

“Hivi sasa mahakama zimebebeshwa mzigo huu wa lawama kana kwamba sisi ndio chanzo cha kuendelea kwa ajali nyingi barabarani kwa kuwa adhabu tunazotoa haziwiani na makosa yanayofanywa yakiwamo ya kusababisha vifo,” alisema. 

“Sheria inataka anayesababisha kifo kwa makosa ya barabarani ahukumiwe miaka miwili jela na anyang’anywe leseni yake, lakini mahakimu wetu hawatoi hukumu hiyo,” alisema. 

Alisema badala yake madereva wengi wanaokutwa na hatia za makosa hayo hupigwa faini ndogo na kuachiwa. 

Jaji Massati alisema mianya iliyopo katika sheria ya Usalama Barabarani imesababisha wakati mwingine dereva aliyesababisha ajali ambayo hata kama imeua watu 20 apigwe faini na kurudishiwa leseni yake. 

“Pale Kibaha, Pwani aliwahi kukamatwa dereva mwenye leseni feki aliyesababisha ajali na kuua, hata hivyo alipofikishwa mahakamani alihukumiwa kwa faini ya Sh 10,000 na kurudishiwa leseni yake. 

“Sidhani kama hukumu hiyo ilikuwa sahihi na inatoa fundisho kwa madereva wengine kuzingatia sheria zote za barabarani,” alitoa mfano.


Kwa mujibu wa sheria,kila mvunja sheria anapaswa kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria (kifungo ikiwa ni mojawapo ya adhabu hizo).Ajali za barabarani zinapoteza maisha ya Watanzania wenzetu kila kukicha,lakini ufisadi nao unaathiri (na pengine hata kupoteza) maisha ya mamilioni ya Watanzania kila dakika.Madereva wanaosababisha ajali na mafisadi wote ni wavunja sheria na wanapaswa kudhibitiwa kwa kuchukuliwa hatua kali ili,kwa upande mmoja,iwe fundisho kwa wengine,na kwa upande mwingine,wavunja sheria wavune wanachopanda.

Lakini pamoja na kuunga mkono mtazamo wa Jaji Kiongozi,nadhani kuna umuhimu wa kwenda mbali zaidi kuangalia vyanzo vya ajali mbali ya uzembe wa madereva.Tuchukulie madereva wa daladala kwa mfano.Mazingira yao ya kazi yanafanywa kuwa magumu na wamiliki wa daladala wenye uchu wa faida pasipo kujali sana mazingira ya kazi ya wanaowaletea faida hiyo.Na hapo tumewaweka kando askari trafiki wenye kudai rushwa waziwazi kana kwamba ni haki yao.

Hivi anayeamua kuweka chasis ya lori kwenye basi la abiria ni dereva au mmiliki wa basi hilo?Je linapopata ajali kutokana na mechanical corruption hiyo wa kulaumiwa ni dereva au mmiliki wa basi hilo?Na vipi kuhusu trafiki wanaokagua mabasi ya abiria?Au vipi kuhusu wiki ya usalama barabarani ambayo inaadhimishwa kila mwaka?Kwa mmiliki wa basi bovu kulikabidhi kwa dereva kwa ajili ya biashara inamaanisha kwamba ametoa baraka kwa lolote litakalotokea,ikiwa ni pamoja na ajali.Same could be concluded about mamlaka zinazoruhusu gari bovu kuwepo barabarani.

Hapa tunarudi kwenye tatizo lilelile la kila mara la kuangalia matokeo badala ya chanzo.Au kwa mtazamo mpana zaidi,kuhukumu vidagaa badala ya papa.Madereva wengi wa mabasi ya abiria wanalazimika kuyakubali mazingira magumu ya kazi hiyo sio kwa vile wanaipenda sana bali kutokana na tatizo zima la ajira huko nyumbani.Hakuna mtu mwenye akili timamu aliye tayari kuendesha "jeneza linalotembea" (a walking coffin),yaani magari ambayo yako barabarani kwa kudra za Mwenyezi Mungu pekee.

Sawa,madereva wanaosababisha ajali wanapaswa kuchukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kifungo.Lakini pasipo kukomesha tatizo la kuwepo kwa magari mabovu barabarani,vifungo vitaendelea na ajali zitaendelea pia.By the way,kama vifungo pekee vingekuwa kizuizi cha kuvunja sheria,idadi ya wafungwa waliopo magerezani (na mazingira ya kutisha wanayoishi huko) ingetosha kukomesha uvunjifu wa sheria unaoweza kupelekea mtu kwenda gerezani.Pasipo kuangalia upande wa pili wa tatizo,yaani wamiliki wa vyombo vya usafiri wanaoweka mbele faida kuliko uhai wa abiria wao,na trafiki wanaothamini rushwa kuliko maisha ya Watanzania wenzao,basi ajali zitaendelea hata kama adhabu kwa kosa la kusababisha ajali itakuwa hukumu ya kifo.

4 Oct 2008

STORY NUMBER 1,Source: The Guardian

De Beers calls it quits at Mwadui Diamonds
 
2008-09-10 10:02:53 

By Guardian Reporter

Williamson Diamonds Limited`s all-time majority shareholder, De Beers, yesterday concluded a deal that saw its entire 75 per cent stakes changing ownership to Petra Diamonds Limited (Petra). 

The transaction earned De Beers, which has operated its interests at WDL through Willcroft Company Limited in a joint venture with the government of Tanzania over the past 50 years, an instant USD10 million (about 11.7bn/-). 

The deal is expected to be completed mid next month, according to a just-released statement. 

WDL operates the open-pit Williamson Mine at Mwadui in northwestern Tanzania`s Shinyanga Region. 

Petra is said to have proven diamond mining expertise and to have acquired a number of other mines in recent years from De Beers Consolidated Mines, a South African subsidiary of De Beers. 

Mining industry watchers see the transaction boding well for the future of Williamson Mine largely because it gives Petra the opportunity to use its expertise to unlock the significant value at the Mwadui diamond deposits.

Mwadui is still considered the world`s largest kimberlite mine currently in production in a 146-hectare area. 

Commenting on the sale, Energy and Minerals minister William Ngeleja said: �The government is pleased to welcome Petra to Tanzania as its new partner in Williamson Diamonds Limited. 

This is an exciting opportunity to breathe new life into Williamson Mine and Tanzania`s diamond mining sector.`` 

Meanwhile, Petra CEO Johan Dippenaar noted: ``Petra already owns three of the world`s major diamond mines, Cullinan, Koffiefontein and, on completion, Kimberley Underground. 

Williamson will add a fourth world-class mine to our portfolio, with the potential to deliver considerable value to our shareholders.`` 

``This acquisition also marks Petra`s entry into Tanzania. We thank Tanzania for their support in completing this transaction and look forward to working with the government as our partner in taking the mine forward,``added a visibly elated Dippenaar. 

De Beers Group managing director Gareth Penny explained that the sale of the shareholding in WDL was part of the company`s ongoing drive to position itself for long-term growth by reviewing the portfolio of mining assets and focusing on those with the best strategic potential. 

Petra Diamonds was established in 1888 and operates in South Africa as well as Angola, Botswana and Sierra Leone. 

Canadian geologist John Williamson discovered the Mwadui kimberlite in 1940 and began mining activities in the area soon after. 

De Beers purchased half the total shareholding in WDL upon his 1958 death, with the then colonial government of Tanganyika taking the other half in lieu of death duties. 

De Beers managed Mwadui Mine between 1958 and 1973, when the government of Tanzania took over the management of day-to-day operations. 

De Beers was invited back in 1994 to oversee the mine�s management operations and, following recapitalisation, the shareholding was adjusted to 75 per cent De Beers and 25 per cent Tanzanian government. 

The mine, which has a workforce of about 800 people and also uses the services of 400 independent contractors, last year earned USD23 million from 220,209 carats.

STORY NUMBER 2,Source: The Citizen

Govt rejects Mwadui acquisition
By Mwanamkasi Jumbe and Michael Kimaro 

An investment row is simmering between the Government and South Africa's mining giant, De Beers, over the ownership of Williamson Diamond mine in Mwadui, Shinyanga Region. 
Energy and Minerals minister William Ngeleja yesterday denounced De Beer's reported sale of its 75 per cent shares at the mine to Petra Diamonds Limited. 
The denunciation at a press conference came almost a month after Willcroft Company Limited, which owns the 75 per cent shares at Mwadui announced it had sold its stake for $10 million to UK based Petra Diamonds Limited. 
Willcroft held the shares at the famous Mwadui mine on behalf of Cheviot Holdings Limited that is the investing arm of De Beers. 
But in an interesting twist, Mr Ngeleja told a packed press conference that the Government of Tanzanian, as a joint shareholder in the venture did not bless the sale of the shares. 
He said the reported sale was illegal and insisted the Government was not allowed the right to buy the shares as stipulated in the 1994 agreement with De Deers when it first bought into the mine. 
Ngeleja who was flanked with two officials from De Beers and Petra Limited at the press briefing insisted what had been sold to Petra was Willcroft and not the shares. 
But talking to The Citizen soon after the press conference De Beers' representative Mr Tony Guthrie said they had decided to sell the shares owing to financial difficulties at the Mwadui mine. 
"Following the financial problems Williamson Diamonds is facing we saw it important to look for another investor. What was needed for the sustainability of the company is intensive capital investment," said Mr Guthrie. He did not specify if the company will refund he money it indicated receiving from Petra for the shares nor did he want to speak on the statement issued by the minister. 
The press conference yesterday was also witnessed by chief executive officer of Petra Diamonds. 
Mr Ngeleja said he had decided to put the matter in the open since Petra Diamonds Company limited announced it had bought the mine from Willcroft Company while it is not true. 
"De Beers has not followed and put into consideration the procedure put forward in an affiliated agreement reached on October 1994 between Government and Willcroft that the Government has to be advised before the sale of the share" said the minister for energy. 
He explained that according to their agreement if the Willcroft company Limited wants to sale the shares they should consult the Government first to see if the Government was in a position to buy them or not. 
"It was a must that the Government should be given the offer to buy the shares first," Mr Ngeleja insisted. 
The minister added that the Government had no problem with sale of Willcroft Company to the Petra diamonds Limited so long as the shares were not interfered with. 
"Willcroft is an international company, based abroad so we are not concerned with its sale but when it comes to the Mwadui mines they should follow regulations of our agreement," said the minister. 
Speaking on the Government position in buying the shares, the minister for energy said that since the Government has its own ways of working they will have to communicate with treasury to know the position. 
He said that at the moment the Government is in discussion with the two companies on the matter. 
"We do not need to delay, before end of this year we expect to finish the discussion since we depend much on the Williamson Diamonds Limited," said Mr Ngeleja and added that, "We want this matter to go quickly but without destroying the regulations of our agreement. 
Recently, Petra Diamonds an international diamond mining group has announced the acquirement of 75 per cent in Tanzania's Williamson Diamond Mines at $10million that raised a number of questions from different people. 
Petra, which operates in various countries in Africa, has paid the $10million in cash to Cheviot Holdings, a unit of De Beers to acquire Tanzania's longest operating Diamond mine. 
Petra's corporate communications manager, Ms Cathy Malins, was recently quoted in a local newspaper in Tanzania saying the company has planned to invest $28 billion (approximately Sh33 billion) to expand the Mwadui mine over the next two years. 
The sale had raised queries among the public because the Government had not issued any statement on the move. Workers at the mine issued a statement challenging the Government to come out clean on the sale and assure them of their job security.



Picha kwa hisani ya BONGOPICHA

Kumbe mauaji ya watoto Tabora yangeweza kuepukwa
Victor Kinambile, Tabora na Kizitto Noya

KAMA mamlaka za mkoa mkongwe wa Tabora zingejua kusoma alama za nyakati, basi maafa ya watoto 19 kwenye ukumbi wa Bubbles Night Club yaliyotokea siku ya Iddi Mosi, yasingetokea.

Ukumbi huo ulishapata hitilafu kwa miaka miwili mfululizo na kusababisha watoto kadhaa kuzirai, lakini wakanusurika kifo, lakini hakukuwepo na hatua zozote thabiti zilizochukuliwa kuepusha uwezekano wa maafa kabla ya msiba huo mkubwa wa kitaifa.

Watoto hao, waliofariki kwa kukosa pumzi na kukanyagana, walizikwa jana mjini Tabora na Kigoma.

Mkuu wa mkoa wa Tabora, Abeid Mwinyimsa, aliwaambia waandishi wa habari njana kuwa ukumbi huo, ulio katika jengo la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), ulianza kuwa na hitilafu tangu mwaka 2006 wakati watoto 26 walipopata tatizo kama hilo, lakini wakaokolewa na kukimbizwa hospitalini ambako maisha yao yaliokolewa.

Siku hiyo pia ilikuwa ni siku kuu ya Idd el Fitr.

Mwaka jana, tukio kama hilo lilitokea kwenye ukumbi huo na watoto wapatao 14 walidhurika kutokana na hitilafu kama hizo na wakakimbizwa haraka kwenye Hospitali ya Mkoa ya Kitete, ambako kwa mara nyingine madaktari walifanya kazi ya ziada kuokoa maisha yao.

Miongoni mwa walionusurika alikuwemo mtoto wa mbunge wa viti maalum Tabora, Mwanne Mchemba.

"Mkoa uliunda tume iliyowashirikisha watu muhimu kutoka katika makundi mbalimbali muhimu ya kijamii, lakini mpaka linatokea tukio hili tume ilikuwa haijatoa ripoti," alisema Mwinyimsa.

Mkuu huyo wa mkoa hakutaja watu waliokuwemo kwenye tume hiyo na kama ripoti yake walikuwa wakiitarajia lini.

Mji wa Tabora ulikuwa umekumbwa na simanzi baada ya watoto hao waliokosa hewa baada ya viyoyozi viwili vilivyo kwenye ukumbi huo wa disko, ambao ulijengwa ili utumike kwa mikutano, kuzima ghafla. Inasemekana kutokana na umeme kuzima na viyoyozi kushindwa kufanya kazi, watoto walikosa hewa na baadaye kukanyagana wakati wakijaribu kujiokoa na hivyo kusababisha maafa hayo.

Jengo hilo linamilikiwa na NSSF na awali ukumbi unaotumiwa kwa disko ulikuwa maalum kwa ajili ya mikutano, ambayo huchukua watu wachache, lakini uligeuzwa na kuwa wa burudani na hivyo kufunikwa sehemu za kutolea hewa ili kuzuia sauti kutoka nje.

Shirika hilo la hifadhi ya jamii, lilikuwa la kwanza miongoni mwa watoa ubani baada ya kutoa ubani wa Sh 500,000 kwa kila familia iliyopoteza mtoto na Sh100,000 kwa kila familia ambayo iliathirika, ahadi ambazo pia zilitolewa mapema kabisa na Rais Jakaya Kikwete, ambayo aliahidi viwango hivyo kwa familia zilizoathirika.

Wakati huohuo, Mwinyimsa alisema Jeshi la Polisi mkoani Tabora, linawashikilia wakurugenzi wawili na mameneja waliokuwa wakiendesha disko toto katika siku hiyo ya Idd.

Aliwaeleza waandishi wa habari kwamba wakurugenzi hao na mameneja wanashikiliwa na polisi kwa ajili ya kuhojiwa na polisi kuhusu chanzo cha tatizo lililosababisha watoto hao kupoteza maisha.

Aliwataja wanaoshikiliwa kuwa ni mkurugenzi wa disko hilo, Oneten Teck, Projestus Fidelis na meneja wake Jaffar Rashid. Wengine ni mkurugenzi wa Bubbles Night Club, Shashikant Manji Patel na meneja wake Vituko Salala.

Alisema jeshi hilo limempa taarifa rasmi ya kushikiliwa kwa watu hao, huku likimuarifu kwamba walinzi wa milangoni katika madisko hayo mawili "mabaunsa", nao wanasakwa ili waweze kuhojiwa kuhusu sakata hilo.

Alisema wakurugenzi hao watahojiwa pia na tume huru iliyoundwa kwa ajili ya kuchunguza mkasa huo, ambayo alisema imeanza kazi jana na kuwataka wananchi watoe ushirikiano kwa tume hiyo ili iweze kupata taarifa za ukweli zitakazofanyiwa kazi na serikali.

Akizungumzia watoto waliokuwa bado wamezirai hospitalini, alisema wamepatiwa huduma nzuri za afya na kwamba wote wamelazwa wodi za daraja la kwanza.

Alisema vijana wanne waliruhusiwa mara baada ya maendeleo ya afya zao kuwa nzuri na kuwataja vijana hao kuwa ni Msimu Rehani, Sakina Alli, Kulwa Idd na Tatu Hamad, huku akibainisha kuwa vijana wawili bado wako hospitalini ambao ni Jumanne Mashaka na Naomi

Joseph.

Naye Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana, Prof. Juma Kapuya

alisema kuwa serikali itachukua hatua madhubuti dhidi ya wote

watakaobainika kuhusika katika kadhia hiyo, na kueleza kuwa nia ya

serikali ni kuona tukio hilo lililotekea Tabora, halijirudii tena wala

kutokeza katika sehemu nyingine hapa nchini.

Hadi kufikia jana, idadi kamili ya watoto waliokuwa kwenye kumbi hizo mbili za disko haijajulikana na imebainishwa kuwa idadi hiyo itajulikana baada ya tume iliyoundwa kukamilisha kazi yake.

Wakati huohuo, mazishi ya watoto waliokufa kwenye ukumbi huo yalianza juzi jioni na baadhi kuzikwa jana mjini hapa, huku miili

ya watoto wawili ikisafirishwa kuelekea Kigoma na Goweko.

Mazishi ya watoto hao yamevuta umati wa wakazi wa Tabora.

Mkazi mmoja, Sheikh Ali Kondollah, akizungumza mara baada ya maziko ya ndugu wawili - Mwanahamis Waziri na Hadija Waziri- yaliyofanyika Rufita, aliitaka serikali iharakishe kutoa ripoti ya uchunguzi wa tume na kuchukua hatua kali dhidi ya wahusika kwani wananchi wanahitaji kuona hatua zikichuliwa badala ya kuwepo kwa mlolongo wa tume zisizokuwa na majibu.

Nacho Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kulisema maafa hayo ni matokeo ya ufisadi unaotokana na uporaji wa viwanja vya wazi.

Mkurugenzi mtendaji wa Tamwa, Ananilea Nkya alisema jana kuwa watoto wamekosa maeneo ya wazi ya kucheza kutokana na viwanja vingi kuporwa na mafisadi na kubadilishwa matumizi.

Alisema Tamwa inaamini kwamba watoto wa Tabora waliokufa ama kuumia kwa kukosa hewa hawakupaswa kucheza disko ndani ya kumbi za starehe na badala yake wangeweza kucheza kwenye eneo la wazi lililoandaliwa kwa shughuli hiyo.

"Tamwa tunaamini kuwa kuvamiwa kwa maeneo ya wazi na hasa mijini kunatokana na kushamiri kwa vitendo vya ufisadi hasa rushwa na uroho wa watu wachache waliopewa mamlaka katika ngazi za serikali za mitaa, kata, halmashauri na wizara inayohusika na ardhi," alisema.

Kwa mujibu wa Nkya, katika miaka ya hivi karibuni rushwa na ufisadi vimechangia maeneo mengi yaliyotengwa kwa ajili ya viwanja vya michezo na burudani hasa mijini, kugeuzwa viwanda vidogo, gereji, mabaa, migahawa, maduka, hoteli na vituo vya mafuta.

Alisema kutokana na hali hiyo watoto mijini wamekuwa hawana mahala pa kucheza badala yake wanalazimika kutumia haki yao ya msingi kucheza katika maeneo hatari ikiwamo barabarani na kwenye kumbi za starehe.

"Tunawaomba Watanzania wote tutafakari ni watoto wangapi wamepoteza maisha yao kwa kugongwa na magari wanapokuwa wakicheza barabarani? Watoto wangapi wanafanyiwa vitendo vya kikatili kama vile kubakwa kutokana na kucheza kwenye baa ambazo nyingi ziko katikati ya maeneo ya makazi ya watu," alihoji.

"Sisi Tamwa tunaamini serikali ikitaka kuhakikisha janga kama hili la Tabora halitokei tena nchini kwetu, basi ihakikishe kuwa viwanja vyote vilivyotengwa kwa ajili ya shughuli za umma mijini na vijijini, vinarejeshwa hata kama waliopora watakuwa wamejenga vitega uchumi vyenye thamani kubwa ya fedha."

SOURCE: Mwananchi


LAS VEGAS (AP) - O.J. Simpson, who went from American sports idol to celebrity-in-exile after he was acquitted of murder in 1995, was found guilty Friday of robbing two sports-memorabilia dealers at gunpoint in a Las Vegas hotel room.

The 61-year-old former football star could spend the rest of his life in prison. Sentencing was set for Dec. 5.

A weary and somber Simpson released a heavy sigh as the charges were read by the clerk in Clark County District Court. He was immediately taken into custody.

The Hall of Fame football star was convicted of kidnapping, armed robbery and 10 other charges for gathering up five men a year ago and storming into a room at a hotel-casino, where the group seized several game balls, plaques and photos. Prosecutors said two of the men with him were armed; one of them said Simpson asked him to bring a gun.

The verdict came 13 years to the day after Simpson was cleared of murdering his ex-wife, Nicole Brown Simpson, and her friend, Ronald Goldman, in Los Angeles in one of the most sensational trials of the 20th century.

"I don't like to use the word payback," defense attorney Yale Galanter said. "I can tell you from the beginning my biggest concern ... was whether or not the jury would be able to separate their very strong feelings about Mr. Simpson and judge him fairly and honestly."

Simpson's co-defendant, Clarence "C.J." Stewart, 54, also was found guilty on all charges in the Las Vegas case and taken into custody.

Simpson showed little emotion as officers handcuffed him and walked him out of the courtroom. His sister, Carmelita Durio, sobbed behind him in the arms of Simpson's friend, Tom Scotto, who said "I love you" as Simpson passed by. As spectators left the courtroom, Durio collapsed.

Jurors made no eye contact with the defendants as they entered the courtroom. They declined to answer questions after the verdict was read.

Galanter said his client had expected the outcome, and in a courthouse conversation with an Associated Press reporter on Thursday, Simpson had implied as much.

Simpson said he felt melancholy and that he was "afraid that I won't get to go to my kids' college graduations after I managed to get them through college."

Galanter said it was not a happy day for anybody. "His only hope is the appellate process," he said.

Clark County spokesman Dan Kulin said prosecutors would not comment until the case was "completely resolved."

Judge Jackie Glass made no comment other than to thank the jury for its service and to deny motions for the defendants to be released on bail.

She refused to give the lawyers extended time to file a motion for new trial, which under Nevada law must be filed within seven days. The attorneys said they needed time to submit a voluminous record.

"I've sat through the trial," Glass said. "If you want a motion for new trial, send me something."

Stewart's attorney, Brent Bryson, promised to appeal.

"If there was ever a case that should have been severed in the history of jurisprudence, it's this case," he said of unsuccessful attempts to separate Stewart's case from Simpson's because of the "spillover" effect.

From the beginning, Simpson and his lawyers argued the incident was not a robbery, but an attempt to reclaim mementos that had been stolen from him. He said he did not ask anyone to bring a weapon and did not see any guns.

The defense portrayed Simpson as a victim of shady characters who wanted to make a buck off his famous name, and police officers who saw his arrest as an opportunity to "get" him and avenge his acquittal.

Prosecutors said Simpson's ownership of the memorabilia was irrelevant; it was still a crime to try to take things by force.

"When they went into that room and forced the victims to the far side of the room, pulling out guns and yelling, 'Don't let anybody out of here!' - six very large people detaining these two victims in the room with the intent to take property through force or violence from them - that's kidnapping," prosecutor David Roger said.

Kidnapping is punishable by five years to life in prison. Armed robbery carries a mandatory sentence of at least two years behind bars, and could bring as much as 30.

Simpson, who now lives in Miami, did not testify but was heard on a recording of the confrontation screaming that the dealers had stolen his property. "Don't let nobody out of this room," he declared and told the other men to scoop up his items, which included a photo of Simpson with former FBI Director J. Edgar Hoover.

Four other men charged in the case struck plea bargains that saved them from potential prison sentences in return for their testimony. Some of them had criminal records or were otherwise compromised in some way. One, for example, was an alleged pimp who testified he had a revelation from God telling him to take a plea bargain.

Memorabilia dealer Thomas Riccio, who arranged and secretly recorded the hotel-room confrontation, said he netted $210,000 from the media for the tapes.

Similarly, minutes after the Sept. 13, 2007, incident, one of the alleged victims, sports-memorabilia dealer Alfred Beardsley, was calling news outlets, and the other, Bruce Fromong, spoke of getting "big money" from the case.

Simpson's past haunted the case. Las Vegas police officers were heard in the recordings chuckling over Simpson's misfortune and crowing that if Los Angeles couldn't "get" him, they would.

During jury selection, Simpson's lawyers expressed fears that people who believed he got away with murder might see this case as a chance to right a wrong.

As a result, an usually large pool of 500 potential jurors was called, and they were given a 26-page questionnaire. Half were almost instantly eliminated after expressing strong feelings that Simpson should have been convicted of murder.

The judge instructed the jurors to put aside Simpson's earlier case.

In closing arguments, Galanter acknowledged that what Simpson did to recover his memorabilia was not right. "But being stupid, and being frustrated is not being a criminal," he said.

He added: "This case has taken on a life of its own because of Mr. Simpson's involvement. You know that. I know that. Every cooperator, every person who had a gun, every person who had an ulterior motive, every person who signed a book deal, every person who got paid money, the police, the district attorney's office, is only interested in one thing: Mr. Simpson."

SOURCE: AP

3 Oct 2008

CLICK HERE to see how the votes were cast

Kuna nyakati huwa napatwa na hisia kwamba baadhi ya makampuni makubwa huko nyumbani (hasa ya kigeni) yanachuma faida kubwa kupita kiasi to an extent of kukurupuka na sherehe zisizo na vichwa wala miguu.Kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima,kampuni ya Multichoice leo itafanya sherehe za kumpongeza mshiriki wa kwanza kutolewa kwenye Big Brother ya Afrika,Latoya Lyakurwa wa Tanzania.Hivi anapongezwa kwa upuuzi aliofanya ndani ya jumba hilo au kwa kuwa wa kwanza kutolewa katika mashindano hayo?Kama jibu ni ndio kwa swali la kwanza basi huu ni ufisadi wa kimaadili (moral corruption) na kama jibu ni ndio kwa swali la pili basi yayumkinika kuamini kwamba Multichoice wana fedha za kuchezea (pengine kutokana na faida kubwa wanayopata) kupongeza a loser badala ya winner kama ilivyozoeleka.Yaani hata kushindwa nako kunaambatana na sherehe ya pongezi!?


Mdahalo kati ya running mates wa vyama vya Democrat na Republican,Joe Biden na Sarah Palin,respectively,umemalizika hivi punde.Uchambuzi wa haraka haraka unaonyesha kuwa Palin amejitahidi kufanya vizuri kuliko ilivyotarajiwa.Matarajio kwamba Palin angefanya vibaya yalitokana na performances zake za hivi karibuni katika mahojiano (ya nadra) na wanahabari.Hofu zaidi ilikuwa ni kweli u-kilaza wake kwenye mambo mbalimbali.Kwa upande wa Biden,huku akitarajiwa kuutumia vizuri uzoefu wake wa muda mrefu kwenye ulingo wa siasa,hofu zaidi ilikuwa ni katika tabia yake ya "kusema ovyo" na kuwa gaffe-prone.Hata hivyo,uchambuzi wa awali unaonyesha kuwa Biden amefanya vizuri sana katika mdahalo huo,kiasi cha mchambuzi mmoja kudai kwamba it was his best ever performance.

Kwa upande mwingine,Palin ameonekana kama amethibitisha kwamba McCain hakufanya kosa kumchagua yeye kuwa running mate wake lakini ameshindwa kum-portray McCain kama mtu anayefaa zaidi  kuwa rais kuliko Barack Obama.Lakini Biden,pengine kwa kuhofia kuonekana kuwa ni sexist dhidi ya Palin,ametumia muda mwingi kuonyesha kwanini Obama anafaa zaidi kuwa rais kuliko McCain na wakati huohuo kuonyesha kuwa tiketi ya McCain-Palin ni mwendelezo mwingine wa miaka minane ya George W Bush.

Kiujumla,na kama ilivyotarajiwa na wengi,Biden ameonekana kuwa msindi katika mdahalo huo japo hilo haliwezi kukubalika among the Republicans.Pia matokeo ya awali ya kura kadhaa za maoni baada ya mjadala huo zinaonyesha ushindi mzuri kwa Biden hasa miongoni mwa undecided voters.


Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.