
5 May 2009

4 May 2009
4.5.09
Evarist Chahali
CCM, IKULU., JK
No comments

HALAFU HAWA NDIO WA KUWATEGEMEA KUTULETEA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?LABDA MAISHA BORA KWA MAFISADI NA VIBARAKA WAO!
SHAME ON THEM!

Masha anatuhumiwa kupendelea raia wa Ubelgiji, Brigitte de Floor, katika mgogoro kati yake na Wiebke Gaetje ambaye anatoka Ujerumani, jambo ambalo limeingiza serikali katika mgogoro wa kidiplomasia.
Brigitte de Floor na Wiebke Gaetje ni wajane wa Klaus Gaetje ambaye anatoka Ujerumani. Klaus Gaetje ambaye alikuwa mfanyabiashara mkoani Mwanza, alifariki dunia katika mazingira ya kutatanisha Julai 2004 huko Port Bell, nchini Uganda.
Waziri Masha anatuhumiwa na Wiebke Gaetje kuwa kikwazo katika upatikanaji wa urithi wa mume wake.
Gaetje anadai kuwa kampuni ya uwakili ya Masha, IMMMA Advocates, imehusika katika kushughulikia baadhi ya nyaraka ambazo zimesaidia “kupora mali” ya marehemu mume wake.
Miongoni mwa mali ambazo Masha anatuhumiwa kusaidia Brigitte de Floor kupora ni vivuko vitatu, viwanja vinne na “baadhi ya magari ya kampuni.”
Vivuko vinavyohusika ni Kamanga, mv Uzinza na mv Karumu. Vyote viko katika eneo la Kamanga.
Taarifa kutoka ubalozi wa Ujerumani nchini zinasema tayari serikali ya Ujerumani imelalamikia hatua hiyo ya waziri Masha ikiiita, “Matumizi mabaya ya madaraka.”
Naye Ofisa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jijini Dar es Salaam, ambaye aliomba jina lake lisiwekwe wazi, alithibitisha kwamba “serikali ina taarifa hizo.”
Klaus Gaetje na Wiebke Gaetje walifunga ndoa tarehe 12 Oktoba 1979 nchini Ujerumani na kuzaa mtoto mmoja wa kiume, Mark Gaetje (28). Mtoto huyo na mama yake wanalalamikia Masha kushirikiana na Brigitte de Floor kutapanya mali yao.
Kwa sasa, Mark Gaetje anaishi Uholanzi na alitarajiwa kuwasili nchini juzi, Jumatatu saa nne usiku kwa ndege ya Shirika la Ndege la Uholanzi (KLM) ili kushughulikia suala hilo. Tayari mama wa Mark amewasili nchini.
Mgogoro huu uliomuingiza Masha katika kashifa nyingine, umetokana na hatua ya Brigitte de Floor, ambaye anajiita mjane wa Klaus Gaetje kudaiwa kugushi baadhi ya nyaraka ikiwamo cheti cha ndoa na wosia kwa lengo la kujimilikisha mali hizo.
Cheti cha ndoa kinachodaiwa kugushiwa ni Na. E 087887 kinachoonyesha kuwa kimetolewa 10 Oktoba 1999 wilayani Magu, mkoani Mwanza. Kimesainiwa na Msajili Msaidizi wa Ndoa, Anthony Jakonyango.
Hata hivyo, katika hati yake ya kiapo ya 5 Julai 2008 mbele ya kamishina wa viapo, Elias Kitwala, ambayo gazeti hili linayo nakala yake, Jakonyango anakana kufungisha ndoa hiyo; anasema cheti hicho ambacho waziri Masha anang’ng’ana nacho kimegushiwa.
Anasema, “Mimi nilihama Magu, 20 Mei 1999 kwenda Bukoba, mkoani Kagera. Hivyo kwa vyovyote vile, nisingeweza kufungisha ndoa Magu 10 Oktoba 1999.” Jakonyango anasema cheti cha ndoa anachodaiwa kusaini siyo halali.
MwanaHALISI limefahamishwa kwamba kwa msaada wa Masha, Brigitte de Floor amefanikiwa kumuondoa Mark na mama yake Wiebke Gaetje katika umiliki wa hisa za kampuni ya Kamanga Ferry Limited (KFL).
Katika nyaraka kadhaa ambazo ziko mikononi mwa MwanaHALISI, Masha amesaini, kama Katibu wa kampuni ya Kamanga Ferry Limited huku kampuni yake ya IMMMA Advocates ikithibitisha baadhi ya nyaraka ukiwamo wosia wa marehemu Klaus Gaetje.
Tayari wosia huo umelalamikiwa na mke wa kwanza wa Klaus Gaetje, Wiebke na mtoto wake Mark kwa hoja kwamba mke wa pili Brigitte de Floor amegushi.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Idara ya Uhamiaji, Brigitte de Floor aliingia nchini kama mtalii na amekuwa akiishi nchini bila kibali cha kufanya kazi, lakini kutokana na mahusiano yake na Masha, serikali imeshindwa kumchukulia hatua.
Taarifa zinasema tayari mipango inasukwa ili kumpatia mama huyo kibali cha kuishi nchini ili kuendeleza kile kinachodaiwa na Wiebke, “urafiki wa damu na waziri Masha.”
Anasema, “Ninajua ukaribu wa familia ya Masha na de Floor. Baba yake Masha amekuwa akipewa misaada na de Floor. Tayari ameipa familia hiyo viwanja vinne ambavyo ni mali ya mwanangu.”
Katika wosia huo, Brigitte de Floor ambaye anatambulishwa kama shahidi amesaini kila karatasi, wakati saini ya marehemu inaonekana katika karatasi moja tena ya mwisho.
Aidha, familia ya Masha inatuhumiwa kumilikishwa viwanja vinne vilivyopo Kamanga, na kwamba suala hilo tayari limewasilishwa Ofisi ya Rais, kwa Waziri Mkuu, Wizara ya Sheria na Katiba, Taasisi ya Kuzuia na Kupamban na Rushwa (TAKUKURU) na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP).
Wiebke Gaetje alitalikiana na mumewe, Klaus Gaetje, mwaka 1996 na baadaye Klaus alimwoa Brigitte de Floor, mtalaka mwenye watoto wa kike wawili ambao si wa Klaus Gaetje.
Hata hivyo, katika hali ambayo haijulikani chanzo chake, Masha ameridhia mali za Klaus Gaetje, zimilikiwe na watoto wa mke wake, jambo ambalo limelalamikiwa na mke wa kwanza Wiebke na mtoto wake Mark.
Brigitte de Floor anadaiwa kuhamisha fedha nyingi na kuzipeleka kwenye akaunti zake zilizoko nje ya nchi, jambo ambalo vyombo vya dola na taasisi nyingine za serikali zimearifiwa, lakini bado kimya kimetanda.
Imefahamika kuwa de Floor alitumia kampuni ya KFL kujipatia mkopo kutoka Benki ya CRDB na fedha hizo alizihamishia kwenye akaunti yake iliyopo Ubeligiji.
Klaus na Wiebke waliishi Kamanga kuanzia mwaka 1974 hadi 1994 na mtoto wao, Mark Gaetje, alilelewa kwenye eneo hilo la Ziwa Viktoria na hivyo kuusiwa na baba yake kuwa mrithi wa mali zote.
Kamanga ndipo makao makuu ya Kamanga Ferry Limited yenye vivuko vitatu vinavyofanya safari zake katika eneo hilo la ziwa Viktoria.
Baada ya kifo cha Klaus Gaetje Julai 2004, Brugitte de Floor aliamuru mwili wake uchomwe moto na kuzikwa Kamanga, tendo lililofanyika haraka na bila kushirikisha familia ya marehemu wala kuufanyia mwili uchunguzi.
“Baada ya hapo de Floor alighushi wosia wa pili wa Klaus kwa kusaidiwa na mwanasheria wake,” anasema mmoja wa watu walio karibu na Wiebke.
Tangu hapo de Floor amekuwa anadai kuwa alipewa mamlaka ya kufanya mambo yote ya KFL kwa niaba ya Mark na ametumia fursa hiyo kuwafukuza wafanyakazi wengi wa zamani na kuajiri wageni kutoka nje ya nchi.
Kutokana na hali hiyo, Mark Gaetje alilazimika kuandika barua, Oktoba mwaka jana, kwa Ofisa Uhamiaji wa Mkoa wa Mwanza, kulalamikia hatua ya mama yake huyo wa kambo kughushi cheti cha ndoa ili kufaidi huduma za uhamiaji nchini.
Lakini pia 11 Februari mwaka huu, Mark aliandika barua kwenda kwa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), akilalamikia mambo manne, likiwamo la kampuni kukosa mkurugenzi baada ya aliyekuwapo kufukuzwa.
“Tangu kifo cha baba yangu sijawahi kuhudhuria kikao chochote cha bodi wala kupewa taarifa yoyote na de Floor…Isitoshe, sijawahi kupewa fedha zozote kama mkurugenzi na wala sijapokea habari kuwa de Floor ametumia kibali changu kufanya mambo kwa niaba yangu. Nakanusha kuwa sijampa ruhusa yoyote,” anasema.
Anaeleza kuwa kama kuna mabadiliko yoyote katika KFL, “Uongozi, anwani au vingine ambavyo vinaathiri kampuni na ambavyo vinadaiwa kufanyika nikiwa mshiriki kati ya mwaka 2004 na sasa, visichukuliwe umuhimu kwa kuwa vitaathiri kampuni ambayo mimi ni mkurugenzi wake,” anasema Mark.
Akizungumza kwa njia ya simu juzi Jumatatu na MwanaHALISI, Wiebke amesema tayari ubalozi wa nchi yake nchini umeomba hati ya kifo cha mumewe Klaus kutoka Uganda, kutokana na utata mkubwa uliogubika kifo chake.
Hii ni mara ya tatu mwaka huu waziri Masha kutuhumiwa kutenda kinyume cha utawala bora.
Januari alituhumiwa kuingilia mchakato wa zabuni ya vitambulisho vya taifa na Februari akatuhumiwa kufanya upendeleo kwa Mwingereza Douglas Hume Claxton kwa kufuta amri ya Mkurugenzi wa Uhamiaji ya kumfukuza nchini.

ANYWAY,HEBU TUSIKIE HADITHI ZA ROSTAM KUHUSU TUHUMA ZILIZOTOLEWA (NA REGINALD MENGI) DHIDI YAKE NA WAHINDI WENZIE KWAMBA WAO NI MAFISADI PAPA.
Rostam amlipua Mengi, amwita nyangumi wa ufisadi
Ramadhan Semtawa na Salim Said
MFANYABIASHARA wa jijini Dar es salaam, Reginald Mengi aliwabatiza wafayabiashara wenzake watano jina la "mapapa wa ufisadi", na sasa mmoja wa waliotuhumiwa amejibu mapigo kwa kumbatiza jina la "nyangumi wa ufisadi".
Rostam Aziz, ambaye ni mmoja wa wafanyabiashara watano waliotuhumiwa na Mengi kuwa mapapa wa ufisadi, jana alitoa mlolongo wa tuhuma za ufisadi dhidi ya mwenyekiti huyo mtendaji wa makampuni ya IPP, na kueleza kuwa atawasilisha vielelezo kwa vyombo husika ndani ya saa 48 ili Mengi aanze kuchunguzwa.
Mapigo ya Rostam, ambayo yanazidi kupandisha joto la vita hiyo ya maneno, yametokana na tuhuma nzito ambazo Mengi alizitoa Aprili 23 wakati alipotaja wafanyabiashara watano akitaka wadhibitiwe mapema, akiwemo mbunge huyo wa
Igunga. Tofauti na Mengi ambaye hakutoa vielelezo na kusema yuko tayari kupandishwa kizimbani ili ukweli udhihirike, Rostam aliorodhesha tuhuma nyingi na kuahidi kuzikabidhi kwenye vyombo vya serikali ili hatua zichukuliwe. Huku akimtaja Mengi kwa majina yote matatu kila wakati, Rostam, aliwaambia waandishi jana akisema: "... nataka niweke wazi kwamba tuhuma zote zilizotolewa na Mengi dhidi yangu ni za uongo na ni upuuzi mtupu. Tuhuma hizo ni mwendelezo wa wimbo ule ule ambao amekuwa akiuimba kwa muda mrefu sasa na tayari nilikwishazitolea kauli huko nyuma.
"... nimeamua kuitisha mkutano huu ili kuwaeleza, na kupitia kwenu kuwaelimisha Watanzania, wamjue Reginald Abraham Mengi katika sura yake halisi na dhamira yake chafu na ovu, na kumtambua kwamba mtu huyu ni nyangumi wa ufisadi katika nchi hii," alisema Rostam katika moja ya aya zake za utangulizi. Nyangumi ni samaki wa baharini aliye mkubwa kuliko papa. Rostam alianza kwa kuorodhesha matukio 10 ya ugomvi ambayo anadai Mengi aliuanzisha dhidi ya watu mbalimbali, kuanzia maaskofu hadi kikundi cha uchekeshaji, wakati kwa mujibu wa Rostam maslahi ya Mengi ya kibiashara yalipoingiliwa na baadaye kuyageuza kuwa ni ugomvi wa nchi nzima.
"Sasa ameanzisha ugomvi na mimi baada ya kuona kwamba mimi nimekuwa mshindani wake mkubwa katika umiliki wa vyombo vya habari hapa nchini, anataka kuufanya ugomvi wa nchi nzima," anaeleza Rostam. Akiorodhesha tuhuma za ufisadi dhidi ya Mengi, Rostam alidai mwenyekiti huyo wa IPP alianza kuifilisi nchi kwa kushiriki kwenye vitendo vilivyochangia kuifilisi Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na kusababishwa iuzwe "kwa bei poa".
Alidai kuwa Mengi, akitumia kampuni yake ya Anche Mwedu Ltd katika miaka ya themanini, alichukua mkopo wa fedha NBC na amegoma kulipa hadi leo, huku akilazimisha suala hilo lifikishwe mahakamani. Rostam alidai kuwa mkopo wa kwanza uliotolewa kupitia hati ya maandishi ya makubaliano, ulifikia jumla ya Sh3.2 bilioni na kwamba hadi Januari mwaka 1996 ulifikia riba ya Sh 1.7 bilioni.
Alidai mkopo wa pili chini ya kampuni hiyo ulikuwa wa mpango wa Loan Agreements na ulihusu jumla ya Sh386,746,631.06 hadi kufikia Januari 1996. Akiongeza kudai kuwa mkopo wa tatu ulikuwa chini ya utaratibu wa udhamini wa serikali (government guarantee) ambao ulikuwa wa jumla ya Sh1,803,137,210 hadi kufikia Januari 1996. Rostam alidai kupitia utaratibu mwingine, Mengi alichukua mkopo mwingine ambao ulihusu jumla ya Sh417.6 milioni hadi kufikia Januari 1996.
"Jumla ya fedha zote za NBC ambazo amekuwa akidaiwa Mengi kupitia kampuni yake ya Anche Mwedu Limited (AML) hadi kufikia Januari 1996 zilikuwa ni Sh 5.8 bilioni, fedha hizi hadi kufikia sasa 2009 pamoja na riba zinafika takriban Sh28 bilioni," alidai Rostam huku akitaka akaunti za benki ambazo mikopo hiyo ilipitia. "Hivi ndivyo Mengi alivyochangia kuifilisi NBC, benki ya wananchi masikini wa Tanzania. Fedha hizi zilizochukuliwa na Mengi Sh28 bilioni zinaweza kujenga shule za sekondari 100 ambazo zingeweza kuwanufaisha watoto wa kimaskini wa Tanzania." Rostam pia alidai kuwa Mengi aliteketeza Sh2.5 bilioni kwa kutumia kampuni ya uwekezaji ya wazalendo ya NICO, kwa kununua hisa za kiwanda cha Interchem Pharma Ltd kinachomilikiwa na familia yake ambacho Rostam alidai kuwa Mengi alijua kuwa kingekufa.
"Huku akijua hali mbaya ya kiwanda hicho alitumia nafasi yake kuziteketeza Sh2.5 bilioni fedha za Watanzania masikini wasiopungua 22,000 wenye hisa NICO kwa kuifanya inunue asilimia 51 ya hisa. Kiwanda hicho sasa kimewekwa kwenye orodha ya kufilisiwa baada ya kushindwa kujiendesha chini ya mwaka mmoja tokea Mengi kuizamisha NICO," alisema. Rostam, ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM, pia alidai Mengi kwa kutumia mpango wa Mfuko wa Kuagiza Bidhaa kutoka Nje (Commodity Import Support-CIS), alichukua fedha nyingi kupitia msaada wa nchi wafadhili, lakini hadi jana alikuwa hajazilipa.
Rostam alikiri kwamba wafanyabiashara wengi akiwemo yeye walikopa, lakini wamelipa na wanaendelea kulipa hadi sasa na kuongeza kwamba Mengi "anayejidai ana uchungu na Watanzania amekuwa akiwaongezea umasikini kwa kuchota fedha hizo baadaye kuruka na kukataa kuzilipa". Rostam pia alitoa mchanganuo huo wa fedha za CIS ambazo alidai Mengi alizipata na kutaja nchi zilizotoa, akianza na Norway ambayo alidai mwaka 1988 hadi 1989 iliisaidia kampuni ya IPP kupitia kampuni ya Anche Mwedu kupata Krona 6milioni, na baadaye kupitia kampuni hiyo hiyo ilipata Krona 4 milioni.
Alidai mwaka 1991/92, Japan ilisaidia Bonite Bottlers kuchukua Yen 160 milioni na baadaye ikasaidia Medicare kupata Yen 115 milioni na Canada mwaka 1988/89 ikasaidia Anche Mwedu dola za nchi hiyo 0.5milioni. Pia alidai mwaka 1988/89 Italia ilisaidia Anche Mwedu kupata Lira 1.7milioni, Japan 1997 ilisaidia Anche Mwedu Yen 20milioni na Japan tena 1994 ilisaidia Bonite Bottlers kupata Yen nyingine 160 milioni.
Pia alidai Tume ya Uchumi ya Ulaya (European Economic Commission-EEC), katika kipindi cha mwaka 1988/89 ilisaidia Bonite Bottlers kupata EEU 0.5199. "Fedha hizi zilizo katika sarafu tofauti za kigeni zikibadilishwa kwa shilingi za Tanzania na riba kwa miaka yote tokea zilipochukuliwa zinafikia mabilioni ya shilingi," alisema Rostam. "... badala ya kurejesha fedha hizi... Mengi alizitumia kujitajirisha."
Pia alidai kuwa Mengi aliingia ubia na serikali katika umiliki wa kiwanda cha Tanpack Industries Ltd, lakini bila ya kumjulisha mbia wake (serikali) alitumia dhamana ya kiwanda kukopa Sh600 (sic) kutoka benki ya NBC na "kuzitumia kwa njia anazozijua yeye". "Benki hiyo ilipochachamaa kutaka ilipwe fedha zake, Mengi alitaka Tanpack ilipe lakini serikali ikakataa kulitambua deni hilo... Matokeo ya ufisadi huo wa Mengi, Tanpack ikafilisiwa na kufa," alidai Rostam. Miongoni mwa matukio ambayo Rostam alidai Mengi alikorofishana na watu mbalimbali ni pamoja na zabuni ya ubinafsishaji hoteli ya Kilimanjaro (sasa Kempiski).
"Alianzisha ugomvi na aliyekuwa Waziri wa Utawala Bora Mheshimiwa Wilson Masilingi baada ya kushindwa zabuni ya ubinafsishaji wa hoteli ya Kilimanjaro, akataka kuufanya kuwa ugomvi wa nchi nzima," alidai Rostam. "Katika kudhihirisha jinsi alivyo na chuki na visasi kutokana na kuikosa tu hoteli hiyo, amekuwa hakanyagi na hata kushiriki shughuli yoyote inayofanyika katika hoteli hiyo." Kuhusu kutajwa kwenye ufisadi katika Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), Dowans na tuhuma nyingine, Rostam alisema "hizo zote nimekwishazitolea maelezo... ni porojo tu hakuna hata moja ninayohusika nayo".
Ni vema Watanzania wakafahamu kwamba kila anapokabiliwa na matatizo au anapotenda maovu, kimbilio lake la haraka la kujifichia limekuwa ni kusaka huruma kwa wananchi kwa kutaka aonekane ni sehemu yao na kwamba anaonewa kwa kuwatetea wao. Ukweli ni kwamba amekuwa akifanya hivyo ili kutafuta hifadhi na kinga akijua ana madhambi mengi."
Akijibu tuhuma chache kati ya hizo huku akikataa kuzungumza kwa kirefu, Mengi alisema "mafisadi papa wana uwezo mkubwa sana siyo tu kwa mali za umma bali hata kutunga uongo kama ilivyofanywa na Rostam Aziz leo (jana)".
"Naomba nimpe Rostam Aziz ushauri wa bure kama kweli anataka kujisafisha ama kuondokana na shutuma zinazomkabili za ufisadi aende mahakamani ikiwezekana kesho (leo) asubuhi," alisema Mengi.
"Hata baada ya kukutana na waandishi wa habari leo, hoja ya kushutumiwa kama fisadi papa inabakia pale pale. Watanzania wanasubiri kwa hamu kubwa kusikia kwamba Rostam Aziz ameenda mahakamani kwa sababu Watanzania wengi hasa wanyonge wana hasira nyingi dhidi ya ufisadi."
CHANZO: Mwananchi
LET'S HOPE SOPHIA SIMBA NA KAPTENI MKUCHIKA WATAMKOMALIA ROSTAM AS THEY DID TO MENGI ALIPOTOA TUHUMA DHIDI YA MAFISADI PAPA.I CANT SEE SOPHIA SIMBA SAYING "WATOTO WA MJINI WANASEMA ROSTAM AMECHEMKA" AS SHE DESCRIBED MENGI'S STATEMENT.
SOONER OR LATER HAWA MAFISADI WA KIASIA WATAINGIA IKULU KAMA RAIS KAMA WENYE UCHUNGU WA DHATI NA NCHI YETU HAWATAAMKA SASA.WAMESHAIFANYA NCHI HII KUWA IKO MIFUKONI MWAO,WANATUPUUZA NA KUONGEA CHOCHOTE WANACHOJISKIA KUSE,A,SIMPLY BECAUSE OF JEURI YA FEDHA ZAO ZA KIFISADI.COULD YOU EXPECT MHINDI MWENYE ASILI YA KITANZANIA KUFANYA HIVYO INDIA AU YEMEN,OR WHEREVER THESE FISADIs ORIGINATE FROM?
3 May 2009

TABIA SUGU ZA WANACHUO1.Hupenda kwenda baa na kumbi za starehe kuliko Lecture na Semina.2.Hushinda room kuliko Library.3.Hufahamu mitindo ya mavazi kuliko Module.4.Huogopa CARRY,SUP na DISCO kuliko dhambi.5.Hufahamu waziri wa mikopo kuliko wahadhiri.6.Huudhulia birthdays,harusi na starehe weekend kuliko Ibada.7.Hutoa zawadi kubwa kwa boyfriend au girlfriend kuliko kwa yatima na wajane.8.Hulinda ATM Cards na PENZI kuliko DESA na VITABU.9.Wapo makini na ratiba ya BOOM kuliko UE.10.Wanapenda haki ila wanakosa mbinu sahihi ya kuzipigania.


Marking the 10th anniversary of the first Scottish election, the First Minister said the prospect of splitting up the United Kingdom is now closer than at any time since the Act of Union was signed in 1707.

SOURCE: The ScotlandOnSunday
RELATED STORY: 10 Years After Scottish Devolution,What is the Verdict?.

The Italian mob has probably never had it so good. Italy's various crime syndicates – lumped together colloquially as Mafia Inc – are gobbling up petrol stations, muscling in on supermarket franchises, making loans to cash-starved businesses, taking over trattorias and acquiring buildings in swanky neighbourhoods in Rome and Milan, investigators say...continue
SOURCE: The Independent

The divide within the Kenyan coalition government over the control of the National Assembly widened further yesterday when Prime Minister Raila Odinga demanded fresh elections.
Mr Odinga's demand came as President Kibaki's PNU arm of government accused ODM of trying to mount a coup.
Speaking in his Lang'ata constituency, Mr Odinga said ODM will not retreat on its push to take the two positions of Leader of Government Business and chair of the House Business Committee held in the last session of Parliament by Vice President Kalonzo Musyoka.
Mr Odinga led the crowds in his constituency in showing support for fresh elections through a show of hands.
"We shall not relent in our quest. We have had enough. Therefore, if this issue cannot be resolved and our partners see the sense, we should go back to the ballot for an election. That's our message," he declared.
The PM, who was accompanied to the rally by Higher Education minister Dr Sally Kosgei and MPs Yusuf Chanzu (Vihiga) and Rachael Shebesh (Nominated) scoffed at claims that his party was out to wrestle power from President Kibaki.
Mr Odinga spoke just a day after the President wrote to the Speaker of the National Assembly Kenneth Marende, informing him that there was nothing new to consult about since he had appointed Mr Musyoka as the Leader of Government Business and also nominated him to chair the House Business Committee as required by the relevant Standing Orders.
President Kibaki said he had fulfilled his constitutional duty and would not be available for any other consultations.
When the matter came to a deadlock in Parliament last Thursday, the Speaker announced that he would seek the audience of both the President and the Prime Minister in an effort resolve the situation.
Mr Marende is expected to make a ruling in the matter on Tuesday, but has already warned Parliament that the Chair cannot adjudicate on political disputes within the government or between political parties.
Even as Mr Odinga spoke on Sunday at a rally at the Kamukunji grounds in the sprawling Kibera slums, Mr Musyoka led a group of 20 PNU MPs in dismissing his quest for the seat of Leader fof Government Business, saying that it was "illegal, unconstitutional and unacceptable."
And later, while addressing a rally in Lari constituency, Mr Musyoka said the President's word on who should be the Leader of Government Business in Parliament "was final."
His views were shared by Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta who said the PM was greedy for power.


A paratrooper who underwent a sex-change operation has been accepted by the police as a trainee woman constable.Jan Hamilton, formerly Captain Ian Hamilton, quit the Army in 2007 after 20 years’ decorated service and embarked on a full gender reassignment programme...continue
1 May 2009
1.5.09
Evarist Chahali
WEIRD NEWS
No comments
A woman who twisted her knee while playing the children's game of 'stuck in the mud' has been left in constant pain and paralysed for life. Devastated Hannah Boyle, 20, thought she had suffered only a minor injury when she jarred her knee while 'messing around' with youngsters at a martial arts class...continue
A man who slept with his gun may have to rethink that particular life strategy, after he shot himself while sleeping. The 24-year man, of Northport, Alabama, told police that he must have accidentally let off the .40-caliber pistol by knocking it with his hand.
The gun discharged, hitting the man in the shoulder. (Source)
Black people are almost eight times as likely as whites to be stopped and searched a decade after the Stephen Lawrence inquiry branded the police “institutionally racist”.
Use of ordinary stop and search tactics in England and Wales rose sharply to more than one million in 2007-08, the highest figure since 1998.
The rise has had a disproportionate impact on ethnic minorities. When Stephen Lawrence was murdered in 1993 black people were six times as likely to be stopped and searched as whites. By 2006/7, that had risen to seven times.
Figures published by the Ministry of Justice yesterday for stops and searches in 2007/08 under Section 44 counter-terror laws were even starker. The number of people stopped and searched tripled in a year to 117,000 but fewer than1 per cent were arrested for alleged terrorism-related offences.
There was a 322 per cent rise in black people stopped and searched, 277 per cent in Asians and 185 per cent in white people under anti-terror laws.
Civil liberty campaigners and politicians accused police of heavy-handedness and said that vastly increased use of their powers threatened to alienate large sections of the community.
Cindy Butts, who is leading the Metropolitan Police Authority’s race and faith inquiry, said that she was concerned about the “huge disproportionality” revealed by the figures.
She said: “One could argue there is a pressure-cooker situation developing. There is a sense of a number of issues that all have the potential to impact on the same groups in our community, young males from black and Asian communities — the very people who we cannot afford to switch off from the police, the very people we need to feel confident in the police.”
Stephen Lawrence’s mother, Doreen, said that she would rate progress since the inquiry report a decade ago as “work in progress, five out of ten”. She told MPs this week: “Officers do not understand the powers they have and misuse them. I don’t feel there is much accountability.”
The report comes as police struggle to retain public confidence after the G20 protests, the Damian Green affair and the resignation of the anti-terror chief Bob Quick. Last night the Independent Police Complaints Commission announced a fourth investigation linked to the G20 protests — a woman alleging that she was assaulted by officers. The commission has received 256 complaints, including 121 about the use of force by officers.
The official figures on race and the criminal justice system revealed increases in police stops and searches in relation to both ordinary and terrorist crimes. Black people were nearly eight times as likely to be stopped and searched per head of population as whites. Asians were twice as likely to be searched.
Nearly 90 per cent of the searches under counter-terror powers were carried out in London by the Metropolitan Police. Vernon Coaker, the Police Minister, said that the increase in anti-terror stops and searches was in part linked to the failed bombings in Haymarket. London, in 2007.
Civil liberties campaigners accused the police of abusing the counter- terror law because they do not need to have “reasonable suspicion” before stopping a person.
Corinna Ferguson, a barrister with the campaign group Liberty, said: “A threefold increase in anti-terror stop and search is the clearest signal that these powers are being misused.”
Keith Vaz, the chairman of the Commons Home Affairs Select Committee, said that the figures accent- uated concerns that the powers disproportionately affect members of the minority ethnic community.
A Scotland Yard spokesman said that the use of Section 44 was under review and stressed that people from ethnic minority groups were not a focus of stop and search operations. “Terrorists can come from all backgrounds,” he said.
30 Apr 2009
30.4.09
Evarist Chahali
EINSTEIN, ELISE TAN ROBERTS, I.Q, MENSA
No comments

'What's this?' she asks, forming fingers and thumbs into a pointy shape and peering through the gap. Before I can answer she declares: 'Equilateral triangle. Three sides the same.'
Of course it is. I should have known. But then I'm not a child genius with a startlingly high IQ.
And Elise Tan-Roberts - aged two years, four months and two weeks - is. She has just become the youngest member of Mensa, with an estimated IQ of 156. That puts her two points higher on the scoreboard than Carol Vorderman, and comfortably in the top 0.2 per cent of children her age.
Here's the best bit, though. She seems to be a sweet little girl with charming parents who simply want her to be happy. Elise was little more than five months when she looked her father Edward in the eyes and called him Dada.
She was walking three months later and running two months after that.
Before her first birthday she could recognise her written name and by 16 months she could count to ten. Yesterday she did it again - in Spanish. 'What's the capital of Russia?' asks her mother Louise, 28. 'Moscow!' comes the instant reply. Indonesia? 'Jakarta!' It is tempting for outsiders to speculate whether this is a well-rehearsed performance instilled by pushy parents to show off their daughter's extraordinary talent.
Later, at her playgroup, a mother gave her a toy animal and told her it was a rhinoceros. 'That's not a rhinoceros,' said Elise. It's a triceratops.' Other parents convinced Louise and Edward they should have Elise's intelligence assessed. Inspired by the story of Georgia Brown, who also joined Mensa when she was two, they took her last month to see Professor Joan Freeman, a specialist education psychologist.
After subjecting her to a complex, 45-minute IQ test, she concluded in a written report that Elise was 'more than very bright and capable - she is gifted'. She was recommended for Mensa and accepted. Only those with an IQ of 148 and above - the top two percent - qualify. The average IQ is 100.
Professor Freeman concluded that Elise's 'superb memory' was the source for her 'excellent learning and progress'. Reassuringly for mum and dad, she added that they were doing everything right.
Yesterday as Elise danced happily in the sunshine at her local park, Edward, a 34-year-old motor consultant and car-buyer, told me: 'Our main aim is to make sure she keeps learning at an advanced pace.
'We don't want to make her have to dumb down and stop learning just to fit in. But she's still my baby. I just want her to be happy and enjoy herself.'
So what's next - quantum physics maybe? 'Give her another couple of weeks.'
Elise was born in London in December 2006 and can boast influences from England, Malaysia, China, Nigeria and Sierra Leone in her background. There are doctors and lawyers in the couple's extended family but none was a child genius, as far as anyone knows.

Louise works part time as an account manager for Pickfords removals. Elise's love of music and dance has encouraged the couple to put her name down for education in that area.
They have added her to the long waiting list for the Young Actors' Theatre, formerly the Anna Scher school, which produced a string of celebrated actors; and for Chickenshed, which specialises in music, ballet, mime and dance.
Their major disappointment has been that none of the local state schools they contacted wanted anything to do with Elise until she reaches four and a half.
So what might the future hold? Carol Vorderman told me: 'If she's lucky enough to go to a school where she's encouraged and stretched, she'll continue to enjoy learning and she'll have a fantastic time.

Kauli hiyo ya Spika aliitoa kutokana na majibu yaliyotolewa na serikali kupitia Naibu Waziri wa Miundombinu, Hezekiah Chibulunje, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Vunjo, Aloyce Kimaro (CCM). Mbunge huyo alitaka serikali kuunda kamati huru ambayo itachunguza na kushughulikia waliohusika kuuza nyumba za serikali na kusababisha hasara. Naibu Waziri huyo alisema serikali inatekeleza maazimio ya Bunge ambayo yalitokana na Mbunge huyo kuwasilisha hoja binafsi bungeni....ENDELEA