Showing posts with label MI6. Show all posts
Showing posts with label MI6. Show all posts

29 Jan 2015

AlexanderLitvinenko.jpg
Ushushushu unaendelea kuwa ni moja ya taaluma hatari kabisa kwa maana ya kutembea na roho mkononi pindi mambo yakienda mrama. Tatizo kubwa la ushushushu sio kutoka kwa maadui wa nje (kwa maana ya taifa la nje au maadui wasio wa kitaifa- non-state actors) bali pia hata maadui wa ndani. Kiasili, migogoro au kukosana ni sehemu ya 'kawaida' katika maisha yetu wanadamu.

Mie katika familia yetu tumejaaliwa kuwa na mapacha. Vitinda mimba katika familia yetu ni Kulwa na Doto. Hawa walipishana kuzaliwa kwa dakika chache tu, na wamefanana mno kiasi kwamba ninapokutana nao baada ya kupotean kidogo tu inabidi niwaulize yupi ni Kulwa na yupi ni Doto. Pamoja na hali hiyo, kuna nyakati hutofautiana na hata kugombana. 

Kwa mantiki hiyo, si suala la ajabu kwa mwajiriwa kukosana na mwajiriwa wake. Wakati kukosana na mwajiri wako katika taaluma nyingine kwaweza kupelekea kushushwa cheo, kuhamishwa au kupoteza ajira, kwa ushushushu hali ni tofauti kabisa. Kutibuana na mwajiri kwaweza kupelekea kifo, kama stori hii hapa chini inavyotanabaisha.

Ukisoma au kusikia balaa lililomwandama Alexander Litvinenko (pichani juu) hadi kifo chake, waweza kudhani ni simulizi kutoka kwenye filamu au riwaya flani. Litvinenko aliwa shushushu wa shirika la ushushushu la Russia, FSB, katika kitendo cha kubaliana na uhalifu mkubwa (organised crime). Kabla ya kuwa shushushu, Litvinenko alikuwa mwanajeshi ambapo alipanda cheo hadi kufikia ngazi ya ukamanda wa platuni.

Mwaka 1986, Litvinenko alianza kuingia kwenye taaluma ya ushushushu baada ya kuwa 'recruited' kuwa mtoa habari (informant) Shirika la zamani la ushushushu la Russia KGB, katika kitengo cha kupambana na ujasusi (counterintelligence). Miaka miwili baadaye, Litvinenko alihamishiwa rasmi KGB kwenye Kurugenzi Kuu ya Tatu iliyokuwa inahusika na military counterintelligence. Mwaka huohuo, baada ya kuhudhuria mafunzo ya ushushushu, Litvinenko akawa shushushu kamili katika eneo la kupambana na ujasusi hadi mwaka 1991, ambapo alipandishwa cheo na kuingia katika Federal Counterintelligence Service, shirika la ushushushu baada ya KGB, ambalo lilidumu kutoka mwaka 1991 hadi 1995lilipoundwa upya kuwa shirika la sasa la ushushushu la Russia yaani FSB. Shushushu huyo alipangiwa kitengo kilichohusika na kukabiliana na ugaidi sambamba na kujipenyeza (infiltration) kwenye makundi ya uhalifu mkubwa. Kadhalika, alikuwa na jukumu la kufuatilia 'maeneo ya moto' (hot spots), yaani maeneo nyeti ndani ya Russia na katika nchi znyingine zilizokuwa ndani ya USSR. Wakati wa vita ya Chechnya, Litvinenko alifanikiwa kupandikiza mashushushu kadhaa ndani ya Chechnya.

Mwaka 1994, Litvitenko alikutana na mmoja wa waliokuwa matajiri wakubwa nchini Russia, Boris Berezovsky (pichani chini) alipokuwa anafuatilia jaribio la mauaji dhidi ya tajiri huyo.


 Hatimaye akaanza kufanya kazi za pembeni kwa ajili ya Boris, na baadaye akawa msimamizi mkuu wa ulinzi wa kibopa huyo. Ofkoz 'ajira' hiyo ya Litvitenko kwa tajiri huyo ilikuwa sio halali lakini dola iliwavumilia hasa ikizingatiwa kuwa mishahara ya mashushushu kama yeye ilikuwa kiduchu.

Mwaka 1997 shushushu huyo alipandishwa cheo na kuingia Kurugenzi ya Uchambuzi na Ukandamizaji wa makundi ya uhalifu mkubwa, akiwa na wadhifa wa mtendaji mwandamizi na naibu mkuu wa Idara ya Saba.

Mwishoni mwa mwaka huo, shushushu huyo alitoa tuhuma nzito kuwa alipewa amri ya kumuua Boris.Mwaka uliofuata, Boris alimtambulisha Litvinenko kwa Vladmir Putin, rais wa sasa wa Russia lakini wakati huo akiwa shushushu mwandamizi wa FSB.
Putin akiwa amezungukwa na walinzi wake

Tatizo ni kwamba Litvinenko alikuwa akipeleleza ufisadi ambao Putin anadaiwa kuwa mhusika. Mwaka huohuo, shushushu huyo na baadhi ya wenzake wallijitokeza hadharani kueleza kuhusu njama za kutaka kumuuwa tajiri Boris.Baada ya tukio hilo, shushushu huyo alitimuliwa FSB na Putin alitanabaisha kuwa ndiye aliyetoa uamuzi huo.

Oktoba 2000, Litvinenko alitoroka Russia na familia yake na kwend Uturuki ambako aliomba hifadhi ya ukimbizi katika Ubalozi wa Marekani jijini Ankara lakini maombi yake yalikataliwa. Inaaminika kuwa kukataliwa huko kulitokana na hofu kuwa kuyakubali maombi hayo kungezua matatizo kati ya Marekani na Russia. Mwaka huohuo,shushushu huyo alinunua tiketi ya kusafiri kwa ndege kutoka Ankara kwenda Moscow kupitia London, Uingereza. Alipofika uwanja wa ndege wa Heatrhow kusbiri ndege ya kwenda Moscow, shushushu huyo aliomba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa, ambapo maombi yake yalikubaliwa mwaka mmoja baadaye, si kwa sababu ya uelewa wake wa mambo ya ushushushu bali kwa sababu za kibinaadamu (humanitarian grounds).

Wakati akiwa London, Litivnenko alijihusisha na uandishi wa habari, sambamba na kumsapoti tajiri Boris (aliyekimbilia Uingereza) katika mapambano ya kiharakati dhidi ya utawala wa Putin. Oktoba 2006, shushushu huyo alipatiwa uraia wa Uingereza.

Wakati huohuo, gazeti la Independent la hapa, liliripoti kuwa Litvinenko alikuwa akitumia na shirika la ujasusi la Uingereza, MI6 kutokana na ushahidi wa malipo yaliyokuwa yakifanywa na shirika hilo kwa shushushu huyo.

Makao makuu ya shirika la ujasusi la Uingereza MI6 kwenye kingo za Mto Thames, eneo la Vauxhall, jijini London


Mwaka 2007, gazeti moja la Poland lilidai kuwa picha ya Litvinenko ilikuwa ikitumika kwenye mazoezi ya kulenga shabaha (kama huelewi, hiyo ni ishara ya kuwindwa kuuawa). Kabla ya hapo, mwaka 2002, shushushu mmoja wa FSB, Mikhail Trepashkin, alimwonya Litvinenko kuwa kulikuwa na mpango wa kumuuwa uliokuwa ukiandaliwa na FSB. Mwaka huohuo, shushushu huyo alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa tuhuma za rushwa, japo alikuwa nje ya Russia.
50pxx50pxpx
Nembo ya Shirika la Ushushushu la Russia FSB

Hata hivyo, wakati flani, wasifu wa shushushu huyo ulichafuka baada ya kupatikana taarifa kuwa alikuwa akiwatishia kuwaumbua matajiri kadhaa wa Russia kuhusu uhusika wao kwenye uhalifu mkubwa, na kudai pauni 10,000 kila mara ili asiwaumbue.

Wakati wa uhai wake, shushushu huyo alitoa tuhuma kadhaa dhidi ya Putin, Russia na mwajiri wake wa zamani FSB. Miongoni mwa tuhuma hjizo ni Russia kuhusika na mashambulizi katika bunge la Armenia yaliyopelekea kifo cha Waziri Mkuu wa nchi hiyo Vazgen Sargsyan, FSB kufanya mauaji nchi Russia na kuwalaumu magaidi wa nje ili kupata uhalali wa kufanya ubabe nje ya nchi hiyo, mdai ya uhusiano kati ya Russia na Al-Qaeda, nk.

Novemba 2006, Litvinenko aliugua ghafla na kulazwa. Baadaye, vipimo vilibaini kuwa alidhuriwa kwa kemikali ya sumu ya Radionuclide Polonium-210. 

Litvinenko akiwa hospitalini jijini London baada ya kudhuriwa na sumu

Katika mahojiano, shushushu huyo alieleza kuwa alikutana na mashushushu wawili wa FSB Dmitry Kovtun na Andrei Lugovoi.Japo wote wawili walikanusha kumdhuru shushushu mwenzao, nyaraka zilizovuja za Ubalozi wa Marekani zinaeleza kuwa chembechembe za kemikali iliyomdhuru Litvinenko zilikutwa kwenye gari alilotumia Kovtun huko Ujerumani.

Dmitry Kovtun, right, with Andrei Lugovoi in 2007. Both deny murdering Alexander Litvinenko
Andrei Lugovoy (kushoto) na Dmitr Kovtun 

Baadaye mwezi huo, Litvinenko alifariki baada ya moyo wake kushindwa kufanya kazi kutokana na sumu iliyomdhuru. Kabla ya kifo chake, shushushu huyo aliandika taarifa iliyoeleza ameuawa.

Juzi, taarifa ya uchunguzi wa kifo chake ilieleza kuwa njia iliyotumika kumuuwa ilikuwa ni ya hatari zaidi kutokea katika Nchi za Magharibi.

Dokta Nathaniel Cary alieleza kuwa kifo cha shushushu huyo mwili wake ulidhurika vibaya mno kabla ya kifo chake kiasi kwamba ililazimu awekwe katika wodi maalum amapo wagonjwa hutengwa kwa ajili ya uchunguzi wa hali ya juu. Alisema kuwa shushushu huyo aliuawa kwa mionzi ya sumu. Kifo chake kilitokea takriban wiki tatu baada ya kunywa chai ambayo baadaye ilifahamika kuwa ilinyunyiziwa sumu ya Polonium.

Dokta Cary alieleza kuwa yye na timu yake walilazimika kuvaa suti mbili za kujikinga (kama zile za matabibu wa Ebola) ambazo ziliwekwa hewa ndanikupitia mirija maalum ili kukwepa athari za sumu husika. Alisema, "uchunguzi huo wa maiti ulikuwa ni usio wa kawaida kabisa katika historia ya nchi za Magharibi"

Natumaini habari hii imekusaidia msomaji kutambua hatari zinazowakabili mashushushu katika utendaji kazi wao, na hasa pale 'wanapotibuana' na aidha waajiri wao au watawala.





24 Jan 2011

Makao Makuu ya MI6 jijini London
Makao Makuu ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) jijini London

Mashirika ya ushushushu ya Uingereza,MI5 na MI6,leo yalitarajiwa kuieleza Mahakama Kuu ya hapa kwamba siku zijazo  taarifa za kiusalama zitazokusanywa nje ya nchi hazitawekwa hadharani kortini hata kama zimepatikana kwa kuwatesa watuhumiwa (torture).

Mwaka jana,mahakama ya rufaa ilitupilia mbali kesi kwa kile ilichokiita jaribio la kudhoofisha kanuni ya msingi ya sheria: mshtakiwa lazima aone na kusikia ushahidi uliotumiwa kujenga kesi dhidi yake.

Sasa mashirika hayo ya usalama wa ndani (security) na ujasusi (intelligence) yanapambana na uamuzi huo.Baadhi ya vyombo vya habari vya hapa,magazeti ya The Guardian na The Times,na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC)-chombo cha umma hicho kama TBC1,Daily News na Habari Leo-pamoja na vikundi vya haki za binadamu vya Liberty na Justice,vilitarajiwa kutoa hoja mbele ya majaji waandamizi kabisa wa hapa kuwa kama hoja ya mashirika hayo ya kishushushu ikikubaliwa,itabomoa nafasi ya kesi kuwa ya haki na kumomonyoa  imani ya umma kwa maamuzi ya mahakama.Mawakili wa taasisi hizo za habari na haki za binadamu walitarajiwa kudai kuwa kanuni hizo ni muhimu hasa panapokuwa na madai ya maafisa wasiomudu majukumu yao ipasavyo (incompetent) au kutenda makosa.

Shauri hilo linatokana na madai ya raia (citizens) sita na mkazi (resident) mmoja wa Uingereza waliokuwa wakishikiliwa katika jela ya kuhifadhi watuhumiwa wa ugaidi ya Ghuba ya Guantanamo,kwa kile wanachodai ushirika wa siri kati ya MI5 na MI6 na mamlaka za Marekani.Watuhumiwa hao waliyataka mashirika hayo ya ushushushu kuonyesha ushahidi wa nyaraka kuhusu ufahamu wa  mashirika hayo katika uamuzi wa siri wa Marekani kuwapeleka jela hiyo,na ushiriki wa MI5 na MI6 katika suala hilo.

Japo watuhumiwa hao wameshafikia makubaliano ya fidia inayokisiwa kuwa mamilioni ya pauni za Kiingereza  (baada ya kuachiwa kutoka Guantanamo),mashirika hayo ya kishushushu yanataka kuanzisha kanuni mpya kwamba hakuna taarifa ya kiusalama itakayowekwa hadharani kwenye kesi yoyote ile ya madai au ya jinai.Tayari MI5 na MI6 wameshaonyesha wasiwasi wao katika mgogoro wa kitambo sasa kati yao na majaji wa mahakama kuu juu ya shinikizo kwa mashirika hayo kuonyesha ushahidi wa kuhusika kwao katika mateso aliyopewa (mmoja wa watuhumiwa hao) Binyam Mohamed,mkazi wa Uingereza aliyeshikiliwa kwa siri katika jela nchini Pakistan na Morocco kabla ya kupelekwa Guantanamo.Majaji waruka pingamizi la aliyekuwa 'Waziri wa Mambo ya Nje' (Foreign Secretary) wa hapa ,David Miliband,na kuweka hadharani muhtasari wa taarifa za (Shirika la Ujasusi la Marekani) CIA kwa MI5 na MI6.

Kama mashirika hayo ya usalama na ujasusi yakishinda madai yao,taarifa yoyote ya kiusalama na/au kijasusi inayohusu kesi ya madai au jinai itaonyeshwa kwa majaji na waendesha mashtaka pekee na sio washtakiwa au hata mawakili wao.Badala yake,taarifa hizo zitaonyeshwa kwa "mawakili maalumu" waliohakikiwa kiusalama (vetted).

Mwaka huu, Serikali ya Uingereza inatarajiwa kuchapisha muswada kupendekeza kipengele cha sheria kinacholitaka Bunge kuzuwia ushahidi wa uliopatikana kwa njia za ushushushu kuwekwa hadharani kortini,hatua ambayo inapingwa na majaji.  

Habari hii nimeitafsiri (kadri nilivyoweza) kutoka toleo la jana la gazeti la The Guardian la hapa Uingereza.Lengo la kutafsiri na kuiweka habari hiyo hapa bloguni ni kutoka changamoto kwa vyombo vyetu vya habari-hususan vya umma-kusimamia haki za jamii.Wengi wetu tumekuwa tukihudhunishwa na namna TBC,Daily News na Habari Leo,taasisi za habari zinazoendeshwa kwa fedha za walipakodi (pasipo kujali itikadi zao za kisiasa) wanavyoendesha shughuli zao kana kwamba ni vyombo vya habari vya CCM.Ikumbukwe kuwa vyombo vya habari ni mhimili  wa nne wa utawala wa nchi (pamoja na Bunge,Mahakama na Serikali),na hivyo kuwa na wajibu wa kutopendelea au kuegemea upande wowote dhidi ya maslahi ya umma.
    

5 Sept 2010

The policeman who found the body of MI6 codebreaker Gareth Williams said it was submerged in ‘fluid’, The Mail on Sunday has learned.An inquest heard last week that the 31-year-old spy was padlocked in a sports hold-all and left in the bath of his two-bedroom flat in Pimlico, Central London.But the disclosure that he was also covered by liquid – not thought to be blood or water – has raised fears that a substance was used to accelerate decay and complicate toxicology tests.

The revelation came as new details emerged of the highly sensitive nature of Mr Williams’s work.A source said he had the highest security clearance available to an intelligence officer and was part of a secretive ‘cell’ that created devices that can steal data from mobiles and laptops.

Now, nearly two weeks after cycling enthusiast Mr Williams was found in his flat, police are apparently no nearer to learning how or when he died.This is despite a post-mortem, a second examination and toxicology tests, the results of which might not be available for weeks.

Sources close to the inquiry say the PC who found the body described it as being in ‘fluid’ when he radioed for assistance. Detectives at the scene are understood to have used the same word in their reports.Immediately after making the discovery at the flat, the PC said: ‘This is a murder scene.’

Mr Williams, from Anglesey, North Wales, worked as a cipher and codes expert for the Government’s eavesdropping centre GCHQ in Cheltenham.He was on a year-long secondment to MI6 which was due to end days after he was found dead.Police and security sources have indicated that the explanation for his death is more likely to be found in his personal life rather than his work.

But speculation that he was the victim of a professional ‘hit’ was given credence last night after further details of his work were disclosed.‘He was involved in some very sensitive projects, known as codeword protected,’ said a security expert.‘This meant that only the people in his cell would know what he was working on, and nobody else in his organisation.

‘You are signed in to these projects and once you finish one you are signed out and you no longer have access to any data or news about what is happening in the project.’Mr Williams – a child prodigy who had a degree in maths at 17 and then a PhD in the subject – was part of a team that created devices which ‘hook’ on to mobiles and laptops. ‘It is an aggressive form of Bluetooth or similar wireless technology,’ said the security expert.

He said such devices would be used by spies on the ground to steal data from the handsets of unsuspecting terrorists, organised criminals or officers from rival intelligence agencies.‘Traditionally, there has been a separation of MI6 and GCHQ,’ said the expert. ‘MI6 has been full of the James Bond types working on the ground and GCHQ is filled with boffins with beards who are doing their scientific stuff. ‘But recently there has been a merger of these agencies’ work and Williams was at the forefront of that. This was why he was on secondment to MI6.’

He added that Mr Williams did similar work when he had stints at the National Security Agency in America.The NSA is the equivalent of GCHQ and has been leading the West’s attempts to intercept communication between Al Qaeda cells. Mr Williams worked for the Special Delivery Team, a unit set up in the NSA to create advanced bugging and intercepting devices.

‘If you just look at Williams’s CV, you know he has worked in some of the most important data-mining centres in the UK and US. His salary is no indication of his rank,’ said the expert.

It has also emerged that before his secondment to MI6, Mr Williams worked briefly for MI5, the domestic security agency. As part of that work, he was sent to Bulgaria on a secret mission.A source close to the investigation said that on August 23 police were asked to check on Mr Williams’s flat as he had not shown up for work. Just before 6pm, a PC went to the Georgian townhouse in Alderney Street, which has been converted into four flats on four floors. Mr Williams had the top one.

The PC could not get into the house so the letting agent, W.  A. Ellis, was called and a woman employee arrived with keys.She hovered at Mr Williams’s door as the PC went inside. Within minutes he emerged quickly from the en suite bathroom and escorted the woman back downstairs. He then told her: ‘You stay here. This is now a murder scene.’

This weekend, staff at W. A. Ellis, of Knightsbridge, refused to confirm details.A spokeswoman said: ‘36 Alderney Street is owned by a private company, New Rodina.‘There has been speculation that it is linked to MI6 or that it is a front for MI6. Our clients do not have any links to MI6 whatsoever and are distressed by the death of Mr Williams.’

SOURCE: Daily Mail

25 Aug 2010

  • Body had multiple stab wounds and was decomposing
  • Flat owned by private company called New Rodina, which means 'motherland' in Russian
  • Acting PM Clegg to be briefed on spy's death today
  • Dead man was employed at govt 'listening post'
This is the first picture of the murdered British spy who detectives have said could have been killed up to two weeks ago.The body of Gareth Williams, 31, was discovered stuffed in a large sports bag in his bath in a flat just a few hundred yards from the headquarters of MI6.It is understood Mr Williams had been stabbed, possibly several times, and his body was decomposing when it was found.
MI6 Headquarters

Elsewhere in the top-floor flat - in a bizarre ritualistic scene - his mobile telephone and a collection of SIM cards were carefully laid out.Scotland Yard has launched a murder inquiry into the grim find in Pimlico, Central London. Detectives have told local residents today that the murder may have taken place two weeks ago.

Mr Williams was employed as a communications officer at the Government's ' listening post' - better known as GCHQ in Cheltenham, Gloucestershire.But it is thought he was on secondment to the headquarters at MI6, the Secret Intelligence Service, near the flat.MI6 gathers secret information about Britain's overseas enemies, making the spy a possible target of terrorists
Mr Williams was employed as a communications officer at the Government's ' listening post' - better known as GCHQ (pictured) in Cheltenham, Gloucestershire

Mr Williams was described by neighbours as mild-mannered and a keen cyclist. He joined the University of Cambridge in 2000 to undertake a postgraduate certificate in advanced studies in mathematics but dropped out.

'I'm told the man lived at the top-floor flat but we haven't ever seen him. It's not like you'd tell your neighbours if you were a spy'

A spokeswoman said he was a member of St Catharine's College but left without completing the qualification the next year.The course is described as 'demanding' and normally only accepts students with first-class degrees in physics, mathematics or engineering.He lived in a street where houses sell for more than £1million, and it has been cordoned off at both ends since Monday night. Access is being granted only to residents.

The street remained cordoned off this morning and police officers stood outside No 36, which is divided into three flats.Land Registry documents revealed the block at number 36 is owned by a private company, New Rodina.Its details are hidden because it is registered in the British Virgin Islands and is not listed with Companies House.The word rodina means 'motherland' in Russian and Bulgarian.The property was bought for £675,250 in 2000 with a mortgage from the Royal Bank of Scotland and has been remortgaged twice, in September 2005 and February 2006.

The documents revealed the owner operated through a law firm known as Park Nelson. The firm once occupied a rented office block in Bell Yard, off Fleet Street, but no longer appears to exist.Curtains were drawn in the top-floor flat, where it was believed the attack took place.Public documents revealed that several current and former residents of the freehold block have links to London and Cheltenham.

Police continued to scour the two-floor flat for evidence today and cordons remained in place on the prestigious street where two former home secretaries live.Ex-Tory leader Michael Howard and Sir Leon Brittan are among a host of politicians and bankers who have homes there, residents said.Mr Howard, who lives several doors down the road, was at home when the body was taken away by forensic officers, one resident, Andy Perkins, said.Neighbour Laura Houghton said Mr Williams was an 'extremely friendly' man.The 30-year-old secretary said: 'I have spoken to him only once. I met him in the entrance hall of the set of flats because of a boring plant issue about a year ago.

'He was extremely friendly and had a Welsh accent.'

She said he had an athletic build, and added: 'He was not especially tall. He had medium to short brown hair.'
Mrs Houghton added: 'His windows were always shut and curtains were often closed. I could never tell if anyone was in.

'It was strange that we never saw him come and go. I just assumed he worked away.

'The first I heard of anything happening was when the police knocked on my door and asked me if I had heard anything happening. I told them the walls were so thick that I couldn't hear a thing.

'All they told me was that there had been a serious incident. I'm amazed it's taken this long to all come out.'

A landlady who rented Mr Williams a flat in Cheltenham, said: 'He was polite and mild-mannered and wouldn't hurt a fly. He was forever off on bike rides but never really had friends around.

'Sometimes you could hear tapes whirring from his flat. It must have been audio cassettes he used for work. He never told me what they were.'

Eileen Booth, 73, who lives opposite, said detectives told her the murder may have taken place two weeks ago.She said: 'A few years ago, I would definitely have known who it was that had been killed.

'Detectives came round and asked for our eye colour and height. They said this probably happened two weeks ago.'

Rob Mills, 35, who lives two doors away, said today: 'We've got two children - it's shocking.

'I'm told the man lived at the top-floor flat but we haven't ever seen him. It's not like you'd tell your neighbours if you were a spy.'

Jason Hollands, 41, a City worker, who also lives nearby, said: 'It's truly gruesome - this is a very mixed area of bankers and politicians. I've spoken to the next-door neighbour, who knew nothing.'

The one bedroom flat in Cheltenham where Gareth Williams also lived

The case is being investigated by officers from the Murder Squad with assistance from their counter-terrorist and security service colleagues. No arrests have been made.Forensic teams are continuing to search for clues at the five-storey terraced townhouse.A Met Police spokesman said: 'Officers were called to reports of a suspicious death at 4.40pm on Monday. They attended a top floor flat in Alderney Street and gained entry and found the body of a man in his 30s.'

One resident said: 'My neighbours said it was a stabbing.It sounds like it was really gruesome.'

 Scotland Yard said no cause of death was known. A post-mortem examination is due today.

A Downing Street spokesman refused to comment, saying: 'Any potential case is a matter for the police.' Details of the incident will be contained in the Prime Minister's intelligence briefing which will be handed to Deputy Prime Minister Nick Clegg today. David Cameron is also expected to be kept abreast of developments.

A Foreign Office spokesman said: 'There is an ongoing police investigation.

'It is long-standing Government policy not to confirm or deny that any individual works for the intelligence agencies.'

Patrick Mercer, former chairman of the Commons counter-terrorism subcommittee, said: 'This underlines the danger that our outstanding security services have to face on a minute-by-minute basis every single day.'

The last spy to have been killed on British soil was former Russian Federal Security Service officer Alexander Litvinenko in November 2006. He was poisoned with polonium-210.

Bulgarian defector Georgi Markov was killed by an assassin who used an umbrella to fire a ricin pellet into his leg as he crossed Waterloo Bridge in September 1978.A spokesman said the body was yet to be formally identified.A post-mortem examination is due to take place today.

SOURCE: Daily Mail

1 Jun 2009


The former head of MI6 says he is concerned about the big brother surveillance society and the 'loss of liberties' in Britain. Sir Richard Dearlove said the extensive use of anti-terrorist stop and search powers by the Metropolitan Police in London was one of the worst examples. He warned it could even be an 'abuse' of the law to use the power so excessively.

The former boss of the Secret Intelligence Service, who was in charge of combating Al-Qaeda in Britain in the aftermath of the September 11 attacks, made the comments during a speech at the Hay Festival in Wales...
CONTINUE

SOURCE: The Daily Mail.

29 Sept 2008

Shirika la Ujasusi la Uingereza (MI6) limeanza kutumia mtandao wa Facebook katika harakati zake za kusaka majasusi watarajiwa.Mpango huo wa mashushushu hao umeanza takriban wiki mbili zilizopita na unalenga kupata waajiriwa wapya kutoka katika kaliba mbalimbali za jamii.
Source: The Guardian



Pichani ni jengo la mashushushu wa MI6 (Shirika la Ujasusi la Uingereza)

Mkasa huu unachekesha kwani ni kama comedy flani vile,au pengine ni ajali kazini USOME HAPA

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.