18 May 2009



That's according to The Daily Mail.Word of encouragement for the little angel is,however,what doesn't kill you makes you stronger.

17 May 2009

KATIKA KUZURURA KWANGU MTANDAONI NIMEKUTANA NA HABARI IFUATAYO,AMBAYO KAMA ITAKWENDA SAWA BASI INAWEZA KUFUNGUA FURSA KUBWA YA KUWAADABISHA MAFISADI.HEBU ISOME KWANZA,KISHA TUJIULIZE

A senior judge in Paris is about to cause the French government serious embarrassment with an investigation into the allegedly stolen wealth of three African presidents who are closely allied to France.

Two previous complaints by an anti-corruption group have been buried under pressure by the French authorities. But the most senior investigating magistrate in Paris, Françoise Desset, has now agreed to investigate the portfolios – from chateâux to Ferraris to multiple bank accounts – owned by the ruling families of Gabon, Equatorial Guinea and Congo-Brazzaville.

President Nicolas Sarkozy, who is close to one of the three accused African leaders, Omar Bongo of Gabon, must decide in the next few days whether to order an appeal against the decision.

The investigation, which could last for many months, follows a formal complaint by a French open government pressure group, Transparence International. Daniel Lèbegue, the organisation's president, said the ruling

by Judge Desset was a "historic decision, which could mean the end of the impunity for corrupt leaders around the globe".

"This is the first time, anywhere in the world, that a judge has recognised the right of a non-governmental organisation to bring a law suit in the names of victims of corruption," he said.

The NGO's legal complaint claims that the three families' wealth "could only have been assembled through the embezzlement of public money". The organisation's lawyer, William Bourdon, said: "Each luxury apartment bought by President Bongo's clan is a public hospital less in Libreville."

Two previous law suits brought by Transparence International were blocked after pressure by the French public prosecutor's office,which is under government control. Judge Desset decided this week that there was a possible case.

According to information leaked to the French newspaper Libération, President Bongo – the longest serving leader in sub-Saharan Africa – has property in France worth tens of millions of euros. He and his family are thought to have 70 different bank accounts, several chateaux and 11 houses and apartments in and around Paris.

They also have a family compound in Nice, extending to three houses, two apartments and a swimming pool. The Bongo family car fleet is said to include two Ferraris and five Mercedes.

The family of President Sassou-Nguesso of Congo-Brazzaville – one of the poorest countries in the world – is estimated by French police to have 11 bank accounts, 13 luxury cars and nine properties in the Paris area. President Obiang of Equatorial Guinea is reported to have a more modest portfolio of a private jet, two luxury cars and a $35m villa in Malibu, California.

M. Bourdon predicted that the state prosecution service would appeal against the judge's decision. "I fear that it will become obvious that the prosecution service is the tool of raison d'etat in France," he said.

If the investigation does go ahead, it could lead to a prosecution of the African leaders but this would be unlikely to succeed without state backing. Transparence International's main objective seems to be to embarrass the three presidents – something that it has already achieved.

President Sassou-Nguesso has dismissed the legal moves against him as an "echo of neocolonialism". In 2007, he said: "Every leader in the world has chateaux and palaces in France, whether they are from the Gulf, from Europe or from Africa."



SIE TUNANGOJA NINI?

How a deported `EPA mogul` enjoys Dar`s life

His dodgy deals cost the government $100million in 1994, but he is today walking and living freely in Dar es Salaam despite the Parliamentary recommendations that he should be arrested and prosecuted immediately.

The man who in 1994 set up and then stole from the debt buy-back programme that is now known as the External Payment Arrears (EPA) account has been living in the country for the last five years despite being declared a prohibited immigrant.

Vidyadhar G. Chavda, an Indian citizen, first came to Tanzania in 1978 without a penny to his name, according to his own words quoted in a 1994 parliamentary report, but after years of working here as an architect he moved into the finance services industry and orchestrated a number of very lucrative, very shoddy deals.

Chavda approached the government with his idea for the creation of the Debt Conversion Programme (DCP) - which sought to reduce the country’s outstanding debts by selling them off to third parties at discounted prices - the deal that cost the country Sh50bn/- ($100m at that time prevailing exchange rate) in taxpayer money from the programme.

“I came to this country without a single penny, a beggar…but I came with a brain worth millions of dollars supported by education and exposure,” Chavda said after the news of his multibillion-shilling scandal broke in 1994.

“The DCP funds were brought totally by my idea and efforts,” he said at the time. “What I have done is beyond the sphere of understanding Parliament…it is a purely financial issue which nobody is capable of grasping.”

To repair the economic damage caused by his sleazy deals, the Central Bank of Tanzania (BoT) was forced to print billions of shillings in 1994.

After his scandal was thoroughly investigated by the Parliamentary Committee chaired by Edward Oyombe Ayila, Chavda was finally deported in 1996, though he was not charged with any wrongdoing.

Despite being deported, Chavda had already caused a strong political rift within the ruling party, and then-minister for home affairs Augustine Mrema resigned because he disagreed with the way the scandal was handled.

In its recommendations, the Parliamentary Committee advised Chavda’s immediate arrest and prosecution for fraud, violation of the Foreign Exchange Act of 1992 and giving false statements contrary to section 122, 309 and 346 of the country’s penal code.

The Committee further recommended that legal action be taken against all traders and lawyers who conspired with Chavda for economic sabotage, and it urged the concerned authorities to cancel the business licenses for those who collaborated with him, including Subhash Patel.

Surprisingly only one recommendation was implemented - to revoke Chavda’s residence permit and deport him - essentially letting him and his partner off the hook.

He is now back in Tanzania where he has been living in the Masaki suburb of Dar es Salaam for the last five years, according to reliable details obtained by The Guardian on Sunday this week.

How he played the game
Having managed to shake the Parliamentary Committee that was formed to investigate him, Chavda carefully planned his comeback in 1997 just three years after he was deported.

On March 18, 1997, Chavda, acting through his lawyers Mkono & Company, asked the High Court of Tanzania to issue a Witness Summons to allow him to testify on August 5 of that year in a pending civil case brought by his wife against him, Civil Case No 130 of 1993.

His wife, an Indian citizen who had continued living in Tanzania legally after Chavda was deported, was suing him over a family financial dispute.

On April 1, 1997, the High Court wrote to the Director of Immigration seeking clarification on the legal position of Chavda’s status once he arrived in the country to testify.

As such, the Director of Immigration informed Mkono & Company on September 25, 1997, that Chavda had been given a visa for 30 days to allow him to enter the country only to testify in court.

Later findings from the court show, however, that during that 30-day period, the civil case was not scheduled for a hearing and Chavda’s claims that he needed to appear in court lacked grounds. His visa expired and he left the country, but with the intention to come back yet again.

Having identified a loophole in the system that could be exploited, Chavda planned a comeback in January 2002 centred on another ‘necessary’ appearance in court.

Chavda again had his lawyers - this time from the firm Gomba & Tadayo - write to the High Court requesting a Witness Summons to testify in Civil Case No 74 of 1996, a separate civil case filed by the National Bank of Commerce against him for an alleged 800m/- in outstanding loan repayments.

He was again allowed to enter the country after being given Entry Visa No 0000695 dated March 4, 2002. Chavda should have left within 28 days of the visa’s issuance, but he had stayed almost a year until the Director of Immigration caught on and ordered him to leave the country immediately.

According to details in our possession, Chavda then filed Miscellaneous Civil Case No 60 of 2003 asking the court to force the immigration department to grant him a visa so that he could testify in the two civil cases facing him.

On March 11, 2004, the High Court issued its ruling in Chavda’s favour, ordering the Director of Immigration to issue a two-year visa to the deportee.

One senior immigration official in Dar es Salaam told The Guardian on Sunday this week that the decision to grant Chavda the visa was both illogical and indefensible.

“The law is very clear; he should be outside the country and is only allowed to come once needed or summoned by the court,” said the official, who asked for anonymity on the grounds that he is not the department’s official spokesperson.

“A hearing can’t take two years, it is just one or a few weeks as long as the pending cases are civil cases.”

Chavda’s two-year visa expired in April 2006, but again neither of the two cases had been heard, and not even preliminary hearings had been held for either of them.

Following of the expiry of his visa, the office of the Attorney General wrote a letter on May 6, 2006, directing the Director of Immigration to act accordingly.

“Since the ruling date was March 11, 2004 then the time for stay in Tanzania has elapsed, and given the fact that Chavda didn’t appeal against the decision, now act according to the law on this issue,” reads part of the letter signed by D.L Chidowu on behalf of the AG.

Despite the AG’s letter, the immigration department has still not taken any action against Chavda.

In a May 25, 2007, letter to Professor Abdullah Safari of Safari Law Chambers - Chavda’s newest lawyer - the AG’s office wrote that it seemed the ministry of home affairs had flipped its position on the matter and was complicit in allowing Chavda to remain in the country.

“The issue of Chavda has taxed much this office. We as advocates of the government and chief legal advisers did our best to defend the position of the government in court to declare Chavda a prohibited immigrant…however it is now clear that the parent ministry [home affairs] has changed its previous position,” reads part of the letter signed by P. J Ngwembe on behalf of the AG.

When asked on Friday why Chavda was still being allowed to remain in Tanzania, Minister for Home Affairs Lawrence Masha was deliberately vague.

“It’s the government that has decided that he should stay in the country because he is still needed,” Masha told The Guardian on Sunday.

The minister would not elaborate on why Chavda was ‘needed’ in the country when he was no longer involved in any currently pending civil cases.

The minister’s response is a curious departure from what his boss, Prime Minister Mizengo Pinda, told Parliament on April 30 this year, in response to a question asked by Kigoma North MP Zitto Kabwe.

The Prime Minister said he wasn’t aware whether Chavda was still in the country, but he promised to thoroughly investigate on which grounds the Asian tycoon was allowed to stay in Tanzania if he were.

The senior immigration official said this ‘confusion’ among top-ranking government officials speaks to the deliberate obfuscation and questionable protection surrounding Chavda and his status in the country.

“This is a man who was supposed to be arrested and charged with criminal offences but surprisingly he is today a free man enjoying the protection of some government officials and a group of Asian traders,” the senior immigration official said.

SOURCE:
Guardian on Sunday







CLICK HERE to read more about this little princes.
But,hers wasn't the only act last night to wow the judges and viewers of Britain's Got Talent.Watch this teen-version of Usher,Ne-Yo,You-Name-It...it's Aidan Davis ,an 11-year-old kid from Birmingham,who not only knows how to dance but also holds a Black Belt in karate!


NIMEKUTANA NA HABARI ILIYONISHTUA KIDOGO,KWAMBA MMOJA WA WANA-CCM WALIOOMBA KUGOMBEA KITI CHA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA BUSANDA,DONALD MAX, AMEREJESHEWA GHARAMA ALIZOTUMIA WAKATI WA KUJIPIGIA DEBE.INADAIWA HILO LIMEFANYIKA ILI AWEZE KUSHIRIKI KWENYE KAMPENI ZA MGOMBEA ALIYEPITISHWA NA CCM,LORENCIA BUKWIMBA.

KWA MUJIBU WA GAZETI LA Mwananchi:


Taarifa...za ndani zilisema kukubali kwa Max kupanda jukwaani, kunatokana na makubaliano ya faragha baina yake na Malecela kwa niaba ya Kikwete ambaye aliagiza arejeshewe gharama zake za kampeni katika mchakato wa kura za maoni...Kutokana na makubaliano hayo CCM kiliagizwa kusaka fedha za kumrudishia Max ambazo zililetwa na mbunge mmoja wa Kanda ya Magharibi, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu, ambaye imeelezwa aliingia Geita kimya kimya na kufanya mazungumzo naye.

NASEMA HABARI HIYO IMENISHTUA "KIDOGO" KWA VILE CCM SI NGENI KATIKA ULIMWENGU WA MAIGIZO YA KISIASA.KWA MFANO,TUME YA MAADILI YA CHAMA HICHO BADO IKO CHINI YA UONGOZI WA MZEE WA VIJISENTI,MWANASIASA AMBAYE MAADILI YAKE YA UONGOZI NI QUESTIONABLE KUTOKANA NA TUHUMA ZA KUJILIMBIZIA VIJISENTI HAPO JERSEY.

LAKINI INAPOFIKIA HATUA YA CHAMA HICHO KUREJESHA GHARAMA ZA MGOMBEA ALIYESHINDWA KWENYE NOMINATION PROCESS INAMWAGA ZEGE ZAIDI KWENYE UKWELI KWAMBA CHAMA HICHO TAWALA KINA UHABA MKUBWA ZA BUSARA ZA UONGOZI.HIVI KUREJESHA GHARAMA HIZO KUNA TOFAUTI GANI NA KUMHONGA MWANASIASA HUYO ILI APANDE JUKWAANI?HIVI,TUKIAMINI KUWA HABARI HIZO NI ZA KWELI,CCM ITOE FEDHA HIZO KISHA MAX APANDE JUKWAANI KUMNADI MGOMBEA BUKWIMBA,KISHA CHAMA HICHO KISHINDWE KWENYE UCHAGUZI (WHICH IS POSSIBLE KAMA KUTAKUWA NA UCHAGUZI HURU NA HAKI)........FILL IN THE BLANKS,MZALENDO MWENZANGU.

KAMA LEO CCM INADIRIKI KUTOA FEDHA KUMSHAWISHI MAX APANDE JUKWAANI,ITASHINDWAJE KUWAPA FADHILA MAFISADI KATIKA UCHAGUZI WA MWAKANI IWAPO CHAMA HICHO KITAELEKEA KUSHINDWA?HAYA YALITOKEA 2005,NA NDIO VYANZO VYA SKANDALI ZA EPA NA NYINGINEZO.SIJUI INGEKUWAJE LAITI MAREHEMU BABA WA TAIFA ANGERUDI DUNIANI NA KUKUTA CHAMA ALICHOKIASISI KINAFANYA UTUMBO KAMA HUU!

16 May 2009


Na Leon Bahati

MAKAMU wa Rais wa Kenya, Kalonzo Musyoka amekiri kuwa mlima Kilimanjaro umekuwa ukiisaidia nchi yake kukuza sekta ya utalii kutokana na Wakenya wengi kuutumia katika kujitangaza hasa wawapo kwenye nchi za ulaya.

Pamoja na kufaidika huko, alisema kuwa hiyo haifuti ukweli kwamba mlima huo mrefu kuliko yote Afrika, upo Tanzania, ingawa pia huweza kuonekana kutokea Kenya.

Musyoka alisema hayo kwenye hafla fupi ya chakula cha mchana alichoandaliwa na mwenyeji wake, Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Ali Mohamed Shein.

“Wakenya wanapoenda Ulaya wanawaambia wazungu: Njooni Kenya ili muone mlima Kilimanjaro,” alisema Musyoka katika ziara hiyo ya kiserikali kwa mwaliko wa Tanzania...
endelea

CHANZO: Mwananchi


WELL,HUWEZI KUWALAUMU IWAPO SIE "WENYE MLIMA HUO" TUNAENDEKEZA ZAIDI POLITIKI KULIKO KUTANGAZA VIVUTIO VYETU.WANAOPEWA DHAMANA YA KUTANGAZA RASLIMALI ZETU WAKO BIZE ZAIDI NA "TENI PASENTI" YA MIKATABA YA MATANGAZO KULIKO UFANISI WA MATANGAZO HAYO.


MSIKIE MATTAKA ANAVYOONGEA KWA KUJIAMINI KANA KWAMBA ALIJITEUA MWENYEWE KUWA MKURUGENZI WA ATCL NA KUJIPA UJUMBE WA NIC.


Mattaka ajiweka kando ATCL
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 16th May 2009

Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL),
David Mattaka ametangaza kutoiongoza kampuni hiyo kwa miezi sita kutokana na kuteuliwa kuwamiongoni mwa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Bima la Taifa (NIC).

Katika taarifa ya barua hiyo iliyotolewa na ofisi yake kwa wafanyakazi Mei 11, mwaka huu, inaonyesha kuwa Mattaka amelazimikakutofanya kazi ATCL kwa kipindi hicho kutokana na nafasi yake hiyo aliyoteuliwa naWaziri wa Fedha na Uchumi, Aprili 23, mwaka huu kuwamo katika Bodi ya Wakurugenzi ya NIC kazi ambayo zinamtaka awapo wakati wote kazini.

Uteuzi huo sambamba na wa Rais Jakaya Kikwete wa Februari 23, mwaka huu wa kuwamo katika kikosikazi cha kulifufua shirika hilo, Mattaka alisema “Katika nafasi zote nilizoteuliwa zinanitaka nifanye kazi muda wote kuanzia Mei mosi.” Kutokana na nafasi hizo mpya, kwa kipindi cha miezi sita ambayo hatakuwao ATCL, Bodi ya Wakurugenzi imemteua William Haji kukaimu nafasi yake.

“Bodi ya Wakurugenzi imemteua William Haji kukaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu na CEO kuanzia Mei 8 na wakati huohuo kuendelea na nafasi yake ya Mkurugenzi wa Fedha,” alisema Mattaka. Bodi ya Wakurugenzi ya NIC iliyoanza kazi Mei mosi, inaongozwa na Mwenyekiti Balozi Charles Mutalemwa na wajumbe ni Michael Mhando kutoka Bima ya Afya, Msajili wa Hazina Agnes Bukuku, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Kate Bandawe na Charles Kilasile.

CHANZO: Habari Leo

KWA UPANDE FLANI,HATUWEZI KUMLAUMU KWANI KWA HAKIKA ALIYEMTEUA AMEONEKANA KURIDHISHWA NA UTENDAJI WAKE.USHKAJI KATIKA TEUZI NI MIONGONI MWA VYANZO VIKUU VYA KUSUASUA NA HATIMAYE VIFO VYA TAASISI MBALIMBALI ZA UAMMA,BILA KUSAHAU KUSHAMIRI KWA UFISADI.KWANI HAKUNA WATU WENYE UWEZO ZAIDI YA MATTAKA?KAMA AMECHEMSHA ATCL,ATALETA MIUJIZA GANI HUKO BIMA?


YANI TUNAVYOENDESHA MAMBO KIHOLELA UTADHANI TUSHAPIGA HATUA KUJIKWAMUA KIUCHUMI KUMBE WAPI.VICHWA VILIVYOISHIWA MAWAZO NA MBINU ZA KUNUSURU TAASISI ZA UMMA HAVIWEZI KULETA MAPYA YOYOTE VINAVYOZUNGUSHWA KIUSHKAJI KUTOKA TAASIS MOJA KWENDA NYINGINE KANA KWAMBA NI ZA KIFAMILIA.



UMASIKINI WA WATANZANIA (KAMA UNAVYOONYESHWA KATIKA PICHA YA JUU kwa hisani ya Dr Faustine) UNACHANGIWA ZAIDI NA MAFISADI WACHACHE WASIONYIMWA USINGIZI NA MISHANGAO KAMA HIYO YA BALOZI WA SAUZI.HAWANA MUDA WA KUJALI NANI ANASEMA NINI,ALIMRADI VOGUE ZAO (kama katika picha ya mfano hapo chini) ZINAENDELEA KUWAPA UJIKO MTAANI!YALEYALE YA MTU ANAKUPORA MKEO KISHA ANAMPTISHA MBELE YAKO MAKUSUDI KUKURUSHA ROHO!
Na Claud Mshana

BALOZI wa Afrika Kusini nchini amesema anashangazwa kuona nchi iliyojaliwa rasilimali nyingi kama Tanzania kujiendesha kwa kutegemea misaada kutoka nchi wahisani na marafiki.

Balozi huyo, Sindiso Mfenyana alisema rasilimali zilizo nchini zinaweza kugeuzwa na kuwa tegemeo la misaada kwa nchi nyingine.

Mfenyana alisema hayo wakati akizungumza na wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari jijini Dar es salaam. Mfenyana alisema inashangaza kuona Tanzania ambayo imebarikiwa kuwa na rasilimali za kila aina ikiendelea kutegemea misaada katika uchumi wake.

"Kama rasilimali zilizopo zitatumiwa vizuri kwa maendeleo ya nchi hii na pia kukawa na usawa katika matumizi ya rasilimali hizo, nchi hii ingekimbiliwa na watu wengine kwa misaada," alisema balozi huyo.

Mfenyana alisisitiza kuwa Tanzania haina haja kuhofia wawekezaji kutoka Afrika Kusini, hasa wazungu kwa sababu zama za ubaguzi wa rangi zimeshapita na kwamba kilichopo sasa ni kuona nchi inakuwa na ushirikiano wenye manufaa bila kujali rangi wala historia baina ya nchi za Afrika.

"Ni ajabu kuona mtu anakuwa na wasiwasi kuingia ubia wa kiuchumi na 'Mzungu', pengine ni kutokana na historia iliyokuwepo kabla… inawezekana kuwa vyombo vya habari havikutangaza vya kutosha kuwa vita vya ubaguzi wa rangi vimekwisha," alisema.

"Leo hii mtu mweusi wa Afrika Kusini anakuwa na chuki na mtu mweusi mwenzake kuliko hata Mzungu, jambo hili linaonyesha kuwa enzi za kuchukiana kwa misingi ya rangi imeshapita.

Ni lazima tuendeleze uhusiano wetu kwa manufaa ya nchi zetu." Kwa upande wake, Meneja wa Jukwaa la Wafanyabishara wa Tanzania na Afrika Kusini, ambaye pia ni meneja wa hoteli ya Southern Sun, Adam Fuller alisema kumekuwa na maendeleo chanya ya ushirikiano wa kibiashara kwa nchi hizi mbili.

Alifafanua kuwa tofauti na zamani, Tanzania ilikuwa ikijitenga kiushirikiano na nchi nyingine labda kwa kuhofia ushindani, hivi sasa kuna tofauti kubwa na kuongeza kuwa wataendelea kushirikiana zaidi kwa kutumia fursa zilizopo kibiashara.

Kuhusu tatizo la umasikini nchini humo ambalo linachangia kwa kiasi kikubwa kuwepo na wimbi la uhalifu, Mfenyana alisema serikali ya nchi yake imejipanga kukabiliana na hali hiyo na tayari hatua madhubuti zimeshachukuliwa kukabiliana na
tatizo hilo.

CHANZO: Mwananchi

INA MAANA BALOZI HUYU HAJUI KUWA RASILIMALI ZETU TAYARI NI MSAADA KWA MAFISADI?NCHI YETU IMEGEUZWA SHAMBA LISILO NA MWENYEWE,WATU WANAJICHUMIA WEE MPAKA WANAKINAI NA KULETA NYODO!INATIA UCHUNGU LAKINI NDIO HIVYO TENA.


15 May 2009

Pombe bwana!Huyu si "shoga",ni mwanaume ila tu kinywaji kimemkolea kaamua atinge gauni.Na sijui hiyo pozi kajifunzia wapi!

Huyu "Beyonce Mweupe" anaonyesha ufundi wa kunengua.

Hao si watoto wa shule,na huo "upole" ni sehemu ya kinywaji pia!

"Kwanini Mungu aliwapendelea ng'ombe kuwa na miguu minne na sie wanadamu miguu miwili?"Yaelekea ndio "malalamiko ya muungwana huyo anayetambaa.Au anakumbukia alivyokuwa akitambaa wakati wa utoto?Katika pombe,lolote linawezekana!

Kilio tena!?

Pombe huwafanya wanyonge wajione majabali,only kinywaji kinapoyeyuka kichwani hujikuta wakiwa wanyonge vilevile PLUS majeraha.
"Yes!Nimeweza.Si mlisema siwezi kulibalansi hilo boksi la take-away eti nimelewa?Mbona nimeweza.Watu tumeanza pombe zamani,in fact kabla ya kunyonya maziwa ya mama...teh teh teh"
"Basi nikwambie shoga,mwaka 1978 nili....halafu kabla ya hapo mwaka 1749 nilikuwa....na mwaka huu 2004 nita....".Stori za kilevi hazihitaji kuwa makini na tarehe au muda.Na zinaweza kuendelea milele.Kimsingi huwa haziishi,na mada hubadilika kama bendera na upepo.

" Nahisi kama niko 'leba' mtoto najifungua.Hee nimezaa mtoto wa kiume".Si ajabu huyu akiamka asubuhi anamaizi kuwa kweli "alizaa" lakini mtoto ni "pooh" (ile kitu inayotupeleka msalani).
Duh.Hapa ni ujenzi wa mahekalu hewani
Huyu ashukuru ufanisi wa polisi wa doria wanaosaidiwa na CCTV.Ukaaji huo mitaa ya uswahilini ingeweza kumfanya huyo jamaa kwa siku kadhaa asitoke nyumbani kutokana na aibu.Ni mkao hatari sana!
Hoi!

Ah,nani kasema kitanda lazima kiwe chumbani.Hapa napata 'nepu' ya bure buleshi.
" Hee hawa vipi tena?",dada wa kushoto haamini anachokiona."Ahaaa,ndio mana wanaume wa kiskotishi wanapenda hizo kilt zao wanapokwenda out..." Anazidi kutafakari mdada wa watu.

"Kuanzia leo mto wangu utakuwa tairi..."Chapombe afanya uvumbuzi usiku wa manane.
Huy kibonge sijui anatoa nasaha gani kwa wenzake.Pombe huleta "busara" za ajabu kabisa.
Oh dear dear....
Picha hizi zimepigwa na mwanafunzi wa KiPolish jijini Cardiff,Wales.Habari zaidi kuhusu picha hizo na utamaduni wa chapombe (binge culture) BONYEZA HAPA.





Hiyo ni kwa mujibu wa The Guardian




Now, most footballers are partial to a flash motor or two as an ultimate status symbol.But to say this show-stopping chrome Mercedes-Benz SLR McLaren is just slightly attention-seeking would be something of an understatement.The garish £420,000 supercar belongs to proud owner Blackburn Rovers' striker El Hadji Diouf (below)....CONTINUE
SOURCE: The Daily Mail


SOMA HABARI HII KISHA UNGANA NAMI MWISHONI KATIKA KUHOJI LOGIC YA TCRA.


Kusajili simu lazima
:: Ambazo hazitasajiliwa hadi kufikia Desemba kufungwa
:: Serikali, kampuni zote za simu kushirikiana pamoja
:: Usajili kuanza rasmi Julai mosi, lengo kuthibiti uhalifu

Na Debora Sanja

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imewataka watumiaji wa simu za mikononi kusajili simu zao kabla ya Desemba, mwaka huu.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Connie Shirima kwa niaba ya Mhandisi wa mamlaka hayo James Kilaba, wakati akiwasilisha mada ya usajili wa kadi za simu kwa wahariri wa vyombo vya habari.

Shirima alisema, kwa wale wote ambao hawatasajili kadi zao za simu, ifikapo Desemba zitafungwa na hawatakuwa na uwezo wa kuzitumia
tena.

“Kazi ya kusajili kadi za simu za mikononi itaanza rasmi Julai mosi, mwaka huu, kwa kuwa wajumbe wote wa mamlaka husika wameshakaa na kujadili ni jinsi gani kadi hizo zitasajiliwa,” alisema Shirima.

Alisema wajumbe wa kamati hiyo ya usajili ni kampuni zote za simu nchini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka, Idara ya Uhamiaji na TCRA
wenyewe.

Shirima alisema wameamua kushirikisha idara hizo zote, ili kuhakikisha zoezi hilo halikwami kutokana na kuacha kushirikisha idara ambayo ni
muhimu katika usajili huo.

Alisema Tanzania bado haijawa na vitambulisho vya uraia kwa watu wake, lakini vitambulisho mbalimbali vitatumika wakati wa kusajili simu hizo.

“Vitambulisho ambavyo vitatumika katika usajili huo ni kitambulisho cha kazi, leseni ya gari, kitambulisho cha benki, kitambulisho cha kupiga kura, kitambulisho cha bima ya afya, hati ya kusafiria, vitambulisho vya vyuo, vitambulisha vya umoja wa kikundi, na kadi za magari,” alisema Shirima.

Alisema vitambulisho ambavyo vitakuwa havina picha, mteja atatakiwa kupiga picha na kuipeleka kwa ajili ya usajili. Shirima alisema zoezi hilo linawezekana, kwa kuwa kuna nchi nyingi kama vile Afrika ya Kusini na Ufilipino ambako Serikali zimeweza kusajili simu zao za mikononi, japokuwa hawana vitambulisho vya uraia.

Alisema vitendo vya uhalifu wa kutumia simu za mkononi havitakuwapo tena kwa kuwa kila mwenye kadi ya simu atajulikana kutokana na taarifa zake ambazo atakuwa amejaza kabla ya kusajiliwa.

Akizungumzia tatizo la uuzaji wa kadi za simu kiholela, alisema wamiliki wote wa mitandao ya simu watatakiwa kuwasajili wachuuzi wanaouza kadi za simu kwa kuwapa namba maalumu, ambazo zitawezesha kujua mteja amenunua wapi kadi hiyo.

Wale wote watakaokuwa wanauza line za simu barabarani watapewa namba maalumu na fomu ambazo zitamuwezesha mteja kujaza taarifa zake muhimu kabla ya kununua kadi ya simu,” alisema.

Alisema kamati ya usajili imeamua fomu zote atakazojaza mteja kabla ya kununua kadi ya simu zitakuwa zinafanana, ili kuondoa utata ambao unaweza kujitokeza.

Katika fomu hizo, mteja atatakiwa kujaza jina lake kamili, namba yake ya simu, mkoa na wilaya anayotoka, kabila, namba ya kadi ya simu yake na namba ya sehemu ambapo amenunua kadi hiyo.

Vile vile alisema kuna sheria ambayo inaandaliwa kwa ajili ya kuboresha usajili wa simu za mikononi.

Akizungumzia suala la utumiaji wa namba za siri katika kupiga simu, amesema TCRA walishapiga marufuku tangu Machi mosi, mwaka huu.

TCRA imeanza jana kuadhimisha wiki ya Mawasiliano na Habari Jamii Tanzania (WTSD), ambapo jana imeanza na semina kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini.

Miongoni mwa mada zilizojadiliwa, ni ujumbe wa mwaka huu wa kuwalinda watoto na utumiaji wa mtandao, shughuli za TCRA na nafasi iliyonayo ya udhibiti, jinsi ya kutumia teknolojia ya kisasa(digital) na usajili wa simu na kadi za simu.

Uzinduzi rasmi wa siku hiyo unafanyika leo katika hoteli ya Ubungo Plaza, ambako mada mbalimbali zitatolewa kujadili jinsi gani ya kumlinda mtoto na matumizi ya mtandao, na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia, Profesa Peter Msolla.

CHANZO:
Mtanzania


HII IMEKAA MKAO WA KURA ZA MAONI YA WAUAJI WA ALBINO.KAMA HUJANIELEWA,NAMAANISHA UTARATIBU ULIOZOELEKA WA KUJA NA MAAGIZO YASIYO PRACTICAL.MAMLAKA YA MAWASILIANO (TCRA) INALETA HADITHI ZA KULAZIMISHA KUSAJILI SIMU ZA MIKONONI.SABABU WANAYOONA YA MSINGI KUTOA AMRI HIYO NI KUPUNGUZA UHALIFU.HII NI SABABU DHAIFU KWA VILE KWANZA,UHALIFU ULIKUWAPO HATA KABLA YA UJIO WA MOBILE PHONES MWISHONI MWA MIAKA YA 90,NA TCRA HAWAJAELEZA LINI WALIFANYA UTAFITI ULIOONYESHA KUWA USAJILI WA SIMU ZA MIKONONI UTASAIDIA KUPUNGUZA UHALIFU. WANASEMA ZOEZI KAMA HILO LIMEWEZEKANA AFRIKA KUSINI NA UFILIPINO (SIO KWAMBA LIMEKOMESHA UHALIFU BALI LIMEWEZEKANA PASIPO VITAMBULISHO VYA URAIA)

ETI WANASEMA BAADA YA USAJILI HUO UHALIFU WA KUTUMIA SIMU UTAKOMA?KWA MIFANO IPI HAI?WHAT IF MTU ATANIOMBA SIMU YANGU,KISHA AKAITUMIA KWA SHUGHULI YA UHALIFU PASIPO RIDHAA YANGU?SI YANAKUJA YALEYALE YA KURA ZA MAONI KUHUSU MAUAJI YA ALBINO AMBAPO BAADHI YETU TULIONYA HATARI YA KURA ZA CHUKI?

LAKINI KUNA SUALA LA MUHIMU ZAIDI YA WHETHER MPANGO HUO UTAFANIKIA AU LA,NALO NI RIGHT TO PRIVACY.NASHANGAA MAKUNDI YA HAKI ZA BINADAMU YAMEKUWA KIMYA KUHUSU SUALA HILI.KAMA SUALA NI KUPUNGUZA ( AU KUTOKOMEZA UHALIFU) TAYARI TUNA MAMLAKA KAMA POLISI LENYE JUKUMU HILO NA SIJAWAHI KUSIKIA LIKIDAI KUWA UHALIFU UNAONGEZEKA KWA VILE SIMU HAZIJASAJILIWA.VILEVILE,JESHI HILO LINAPASWA KUWA NA TEKNOLOJIA YA KU-TRACE SIMU SIMU ZINAZOSHUKIWA KUHUSIKA NA UHALIFU.

HII NI VICTIMIZATION OF WATUMIAJI WOTE WA SIMU IN THE SENSE KUWA KILA MTUMIAJI SIMU NI POTENTIAL CRIMINAL.TUKIRUHUSU SUCH ABUSE OF OUR HUMAN RIGHTS INAWEZA KUPELEKEA FURTHER ABUSES KWENYE MAENEO MENGINE KAMA VILE INTERNET.KWA VILE KUNA TOVUTI ZINATUMIA TEKNOHAMA KUFANYA MAMBO YASIYOSTAHILI SIO EXCUSE KWA MAMLAKA HUSIKA KUZI-CRIMINALIZE TOVUTI ZOTE.IN THE SAME LINE OF THINKING,KWA VILE BAADHI YA WAHALIFU HUTUMIA SIMU KATIKA KUTENDA UHALIFU SIO SABABU YA KU-CRIMINALIZE KILA MTUMIAJI WA SIMU.

NA PENGINE CHA MUHIMU ZAIDI NI USALAMA WA HIZO PERSONAL DETAILS ZITAKAZOHITAJIKA WAKATI WA KUKAMILISHA USAJILI WA SIMU.KAMA MITIHANI INAVUJA HUKO NECTA,FEDHA ZINAIBIWA BENKI KUU (NOT MENTIONING KUIBIWA KWA LAPTOP YA IGP OFISINI KWAKE),KWANINI TUSIHOFU KUWA SIKU YA SIKU PERSONAL DETAILS HIZO ZINAWEZA AIDHA KUIBIWA AU KUUZWA? HIVI KWANINI TCRA HAIZUNGUMZII USALAMA WA DATA HIZO,ITAZIHIFADHI KWA MUDA GANI,NA HATUA ZIPI ZITACHUKULIWA PINDI DATA HIZO ZITAKAPOTUMIKA NDIVYO SIVYO?

HIVI TAASISI ZA HAKI ZA BINADAMU HUKO NYUMBANI ZIKO WAPI?AU ZIKO BUSY NA KUOMBA POSHO KWA WAFADHILI FOR PERSONAL PURPOSES?

14 May 2009


From Ms Mariam Savimbi,
Ouagadougou,Burkina Faso.

Dearest one,

Good day,my name is Mariam.J.Savimbi the only daughter of Mr. JANTORE K.SAVIMBI a licensed solid mineral (gold, diamond and cocoa)exporter during his days.

Before the death of my father, he apparently married a woman who became my stepmother because my mother died when i was six years and since then my father took me special than any other person till his point of death, but I discovered that there was some ill-feeling from my stepmother towards me since after the death of my late Dad, since after then I have been badly treated; being forced to undertake work befitting like a servant in my own father's house. When my father died instead of her being in the state of mourns as custom and traditional demanded, she went as much as desired and claimed my father's house properties etc which in future regarded as a possible danger to my live.

Before my father passed away recently, he called to informed me privately that he had a deposit
valued Seven million three hundred thousand USD ($7,300.000.00usd)and a deposit of 350 kilos of 22 carat annuval gold dust for safe keeping in a security company here , he further told me that he intended to move the said funds and gold dust abroad to his foreign associate for investment on my behalf, this properties was acquired from the diamond/gold export contract he secured and executed under the umbrella of the government.

Truly i don't know you but considering my situation and security, couple with an uncontrollable
crisis between me and my stepmother, I discover my life is no more safe here.I therefore confided on your assistance and write with due respect and ask for your kind assistance to please help me and get the funds and the gold moved to your country on my behalf for investment.

Meanwhile I am willing to offer you 15% of the total funds/gold dust as a compensation towards
your assistance.And 5% will also be set aside should in case of any income expenses handled by you during the depositing of the funds into your bank account while the remaining 80 % will be for me and the investment under your care.I have plans to do investment in your country, like real estate, industrial production or any other lucrative investment you bring to my notice in your country.

Please if you are willing to assist me, indicate your interest by sending your response so that I can communicate with you for more details and immediate procedure.

Thanks and waiting for your urgent response.

Yours sincerely.

Mariam Savimbi.


Former Tanzanian beauty queen Mona Lewis, who was dumped from The Apprentice, has admitted that it may have been because she was too boring.The 28-year-old from Kent also defended claims that she had not enjoyed this week's task - to revitalise Margate's tourist industry - because her team chose to attract gay people...continue



TOLEOJIPYA39 TOLEOJIPYA39 JIMMY PHILEMON

12 May 2009


11 May 2009






Read it HERE.


HIVI KARIBUNI,WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI NA UTUMISHI WA UMMA),USTAADHA HAWA GHASIA,ALITOA ONYO KALI DHIDI YA WATU WANAOJIHUSISHA NA KILE ALICHOKIITA "WIZI WA NYARAKA ZA SERIKALI".NISINGEPENDA KUREJEA REACTIONS MBALIMBALI ZILIZOTOKANA NA KAULI HIYO LAKINI MMOJA YA SAUTI ZILIZOPINGA VIKALI TAMK HILO LA GHASIA NI MBUNGE WA KARATU NA KATIBU MKUU WA CHADEMA,DR WILBROAD SLAA.MWANASIASA HUYO NGULI WA MAPAMBANO DHIDI YA UFISADI ALIELEZA WAZIWAZI KWAMBA NYARAKA ZINAZOFICHA UFISADI HAZIPASWI KUWEKWA KWENYE KUNDI LA NYARAKA ZA SIRI ZA SERIKALI.DR SLAA ALIELEZA BAYANA KWAMBA PINDI AKILETEWA NYARAKA ZA AINA HIYO ATAZIMIA PASI UOGA KWA VILE NI KWA NJIA HIYO NDIO TUMEFANIKIWA KUBAINI SKANDALI KAMA ZA EPA,RICHMOND NA NYINGINEZO.


NI DHAHIRI TAMKO LA WAZIRI GHASIA LILENGA KUWATISHA WATU KAMA DR SLAA.LAKINI PIA WAZIRI HUYO ALIFANYA HIVYO KWA VILE NI MIONGONI MWA VIONGOZI WA SERIKALI WENYE DHAMANA NA MASUALA YANAYOHUSU IDARA MBALIMBALI ZA SERIKALI.


BILA KUUMAUMA MANENO,HEBU TUJIULIZE: HIVI ROSTAM AZIZ ALIPOITISHA PRESS CONFERENCE YAKE NA KUTOA "USHAHIDI" MBALIMBALI KUPIGILIA MSUMARI HOJA YAKE KUWA REGINALD MENGI (MWENYEKITI MTENDAJI WA MAKAMPUNI YA IPP) NI FISADI NYANGUMI,ALIZIPATAJE NYARAKA MBALIMBALI ZINAZOPASWA KUWA KATIKA HIFADHI YA TAASISI HUSIKA ZA SERIKALI?

ROSTAM SI MTUMISHI WA MAMLAKA YA MAPATO AU MWAJIRIWA KATIKA WIZARA YA FEDHA KIASI CHA KUWA NA "DATA" ALIZOTOA KUHUSU MENGI.NA KWA VILE MAMLAKA HUSIKA ZIMEKUWA KIMYA KUHUSU WAPI MBUNGE HUYO WA IGUNGA ALIPATA NYARAKA HIZO NI WAZI KWAMBA ALIPATIWA KWA RIDHAA YA WAHUSIKA.

WATETEZI WA ROSTAM,KUANZIA WAZIRI SOPHIA SIMBA NA KAPTENI GEORGE MKUCHIKA WAMEKUWA KIMYA KABISA KUKEMEA "HUKUMU" ALIYOTOA ROSTAM DHIDI YA MENGI TOFAUTI NA WALIVYOKURUPUKA MARA BAADA YA KIPENZI CHAO KUTAJWA KUWA NA MENGI KUWA NI FISADI PAPA.BY THE WAY,MENGI SI MTU WA KWANZA KUMTUHUMU ROSTAM KUWA NI FISADI.HIYO NI OPEN SECRET,NA KINACHOKWAZA WATU HAWA KUCHUKULIWA HATUA NI NJAA TU ZA HAO WENYE WAJIBU WA KUFANYA HIVYO ZINAZOKIDHIWA NA JEURI YA FEDHA ZA MAFISADI HAO.

SASA,SIJUI WAZIRI GHASIA ANAWEZA KUTUELEZA NINI KUHUSU WIZI WA NYARAKA ZA SERIKALI ULIOFANYWA NA ROSTAM.NAUITA WIZI KWA VILE ROSTAM SIO TRA,DPP,MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AU TAASISI YOYOTE YA SERIKALI YENYE DHAMANA YA KUWA NA NYARAKA ZILIZOTUMIWA NA MFANYABIASHARA HUYO KWENYE "KUJENGA KESI" YAKE DHIDI YA MENGI.

SASA NAELEWA KWANINI ROSTAM ANAWEZA KU-WISH ASINGEJIBU HOJA ZA MENGI KWANI WATAPOFIKA MAHAKAMANI ANAPASWA KUULIZWA YEYE ALIKUWA NA NYARAKA HIZO KAMA NANI?ALIZIPATAJE?NA JE KUWA NAZO SIO KOSA (KWA KUREJEA "MKWARA" WA WAZIRI GHASIA?

NA HIYO NI NJE YA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA NYINGI YA DATA ALIZOTUMIA ROSTAM NI "MAKANJANJA" (FAKE DATA) AMBAPO WAJANJA WA MJINI WALIPOSIKIA KUNA TENDA YA FEDHA NYINGI YA KUWEZESHA KUPATIKANA KWA INCRIMINATING EVIDENCE DHIDI YA MENGI WAKACHANGAMKIA TENDA HIYO LAKINI KATIKA HALI YA UFISADI.WHY NOT,KUMFISADI FISADI NI SAWA KABISA NA KULIPA KWA NOTI BANDIA MANUNUZI YA CHENI ILIYOTENGENEZWA KWA DHAHABU FEKI.


MWISHO,NAPENDA KUSISITIZA KWAMBA SINA CHUKI NA ROSTAM AU MTANZANIA YEYOTE MWENYE ASILI YA NJE YA NCHI.ILA SIFICHI UKWELI KWAMBA NINA ZAIDI YA CHUKI,HASIRA,DUA BAYA (NA MENGINE NISIYOWEZA KUTAJA HAPA) DHIDI MAFISADI.UTETEZI WA KIPUUZI WA MAFISADI UMEKUWA KWENYE VITU KAMA RANGI,DINI,KABILA,NK.MTAKUMBUKA MKURUGENZI WA IPC,EMMANUEL OLE NAIKO ALIZONGWA KUHUSU KWANINI ALITOA KIBALI CHA UWEKEZAJI KWA KAMPUNI YA KITAPELI YA RCHMOND,KIMBILIO LAKE KUU LILIKUWA UKABILA.ETI "NAANDAMWA KWA VILE NATOKA ENEO MOJA NA LOWASSA"!

LEO HII AKINA ROSTAM,MANJI,SOMAIYA,JEETU NA SUBASH WANATAKA KUTUAMINISHA KUWA TUHUMA DHIDI YAO ZINACHANGIWA NA "UTANZANIA" WAO WENYE ASILI YA NJE YA NCHI.HUU NI UTETEZI MUFILIS NA NI WA KIFISADI KAMA WANAVYOTUHUMIWA.HIVI WANATAKA KUTUAMBIA KUWA TULIPOPAMBANA NA MKOLONI,MJERUMANI NA MWINGEREZA TULIKUWA WABAGUZI WA RANGI?

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.