Showing posts with label US ELECTION 2008. Show all posts
Showing posts with label US ELECTION 2008. Show all posts

11 Oct 2008


Siasa ni mchezo mchafu,hilo halina ubishi.Wapo wanaotumia uzushi,udini,ubabaishaji,haiba na hata ndumba  kufikia malengo yao ya kisiasa.Pamoja na uchafu katika mchezo uitwao siasa,kuna wanasiasa wastaarabu wenye kutumia kanuni na taratibu kufikia malengo yao.Hadi hivi karibuni,John McCain alikuwa mmoja wao.Lakini baada ya kuona kura zinamwendea kombo akaamua kuwasikiliza wapambe wake wanaodhani kuwa njia ya mkato ya kumkabili Barack Obama ni ku-assassinate character yake:muite terrorist,tumia jina lake la kati Hussein,fananisha Obama na Osama,na upuuzi mwingine kama huo.

Wakati McCain anatafakari kama mkakati wa aina hiyo ungeweza kuleta mabadiliko,Sarah Palin akaingia kichwa kichwa na kumhusisha Obama na watu kama Ayers na Rev Wright.Wafuasi wakawa motivated,na wengine wakafikia hatua ya kumuita Obama terrorist.Kwa Palin (na bila shaka McCain),ilionekana kuwa picha inaanza kukamilika.Lakini vitendo hivyo vya kishenzi vikawafanya baadhi ya watu wanaomheshimu McCain kuhoji iwapo amefilisika kisiasa kiasi hicho.Na inaelekea ujumbe umefika kwake kama inavyoonekana kwenye clip ya hapo chini.

Hata hivyo,McCain anakabiliwa na mtihani mgumu pengine zaidi ya kushinda uchaguzi hapo Novemba 4.Kwa upande mmoja,ana-risk kupoteza sapoti ya wale wanaopenda kuona Obama akishambuliwa kwa nguvu zote.Miongoni mwa hao ni wasaidizi wa karibu wa McCain ambapo wamekuwa wakitoa matangazo ya kumchafua Obama.Kwahiyo,akiacha kumuandama Obama itamaanisha kujitenga na wanaomsapoti,na dalili ya hilo ni hapo jana ambapo baadhi ya waliohudhuria mkutano wake waliishia kumzomea (angalia clip hapo chini).Kwa upande mwingine,undecided voters na independents wanataka kusikia McCain atawafanyia nini iwapo atakuwa rais,au kwa lugha nyingine kwanini wampe kura zao na si Obama.Matusi na maneno mengine machafu yatalikimbiza kundi hili ambalo analihitaji mmno ili aweze kushinda uchaguzi huo.

Japo McCain anaweza kuwa na hoja za msingi kuhoji kuhusu background ya Obama,swali linabaki why now kama sio dalili za desperation na panic ya kuelekea kushindwa uchaguzi?Kibaya zaidi,kinachowatatiza wapiga kura wa Marekani ni namna rais ajaye atakavyoweza kurekebisha hali mbaya ya uchumi wa taifa hilo.Kuhoji undani wa Obama muda huu (hasa wakati Obama ana-concentrate katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya uchumi) ni sawa na kuyapuuza matatizo yanayowakabili wapiga kura,na it goes without saying how they would pay him back come November 4.




CLICK HERE To Read the Full Report.

8 Oct 2008

CLICK HERE to read the story.


Inapotokea pundits wa Fox News,Mort Condracke,Bill Kristal,Nina Easton na Fred Barnes, wanakubaliana kitu kimoja "kummaliza" John McCain basi hapo huhitaji kwenda mbali kuhitimisha kwamba mgombea huyo kachemsha.And that's exactly what happened mara baada ya mdahalo kati ya Obama na McCain ambao ulichukua format ya town hall meeting.Kadhalika,mtizamo wa undecided voters kwa mujibu wa Frank Luntz ni kwamba Obama ameshinda tena mdahalo huo ambao ni wa pili kati ya midahalo mitatu iliyokubaliwa na wagombea hao.

Kwa mujibu wa wachambuzi wa uchaguzi huo,McCain alihitaji a kcock-out punch,yaani ilikuwa ni lazima afanye vizuri katika mdahalo huo ili kujiweka vizuri katika jitihada zake za kushinda uchaguzi hapo Novemba 4.Kura nyingi za maoni zinaonyesha mgombea huyo wa Republican akiwa nyuma ya Obama,na ilitarajiwa kwamba kufanya kwake vizuri katika mdahalo huo kungemsaidia kupunguza gap hiyo.Kilichokuwa kinawapa matumaini wafuasi wa McCain ni uzoefu wake katika town hall meetings.Hata hivyo,uzoefu huo unaonekana kutomsaidia mgombea huyo,na pengine fursa yake pekee ni aidha kitoke kitu kisichotarajiwa (hata kama hakihusiani na uchaguzi huo) ambacho kitabadili kabisa landscape ya uchaguzi huo au afanye vizuri kupita kiasi katika mdahalo wa mwisho (na wakati huohuo Obama afanye vibaya).

Moja ya kauli ambazo zinaweza kumgharimu McCain ni ile ya kumuita Obama "that one",na kinyume na mdahalo uliopita ambapo wagombea hao walishikana mikono kabla na baada,safari hii hilo halikutokea baada ya shughuli hiyo pevu ambapo McCain alikuwa wa kwanza kuondoka kitini (pengine kukwepa handshake na Obama).

Kwa uchambuzi na habari zaidi bofya HAPA na HAPA na HAPA

6 Oct 2008



CLICK HERE to read the story.


Here's a summary of the smartest new political analysis on the Web: by Gerald F. Seib and Sara Murray 

It's been a bad stretch for Sen. John McCain, but few have been willing to go this far: Former Hillary Clinton spokesman Howard Wolfson, now writing for The New Republic, declares flatly "The race is over." Sen. Barack Obama will win, he says. 

"John McCain's candidacy is as much a casualty of Wall Street as Lehman or Merrill. Like those once vibrant institutions, McCain's collapse was stunning and quick. One minute you are a well-respected brand. The next you are yelling at the messengers of your demise as all around you the numbers start blinking red and stop adding up." Before the Wall Street collapse, Wolfson writes, "Senator McCain was ahead." But today, "an election dominated at its inception by the war in Iraq is now overwhelmingly focused on the economy. More than half of voters in polls say that the economy is their top concern and Senator Obama enjoys double digit leads among voters asked who can better fix our economic mess. Put simply, there is no way Senator McCain can win if he continues to trail Senator Obama by double digits on the top concern of more than half of voters."

But the Obama campaign isn't taking any chances. Politico's Mike Allen reports that his campaign "on Monday is launching a multimedia campaign to draw attention to the involvement of Sen. John McCain (R-Ariz.) in the ‘Keating Five' savings-and-loan scandal of 1989-91, which blemished McCain's public image and set him on his course as a self-styled reformer." The move is a reaction to the McCain camp's new efforts to tie Sen. Obama to 1960s radical William Ayers and scandal-plagued Chicago businessman Tony Rezko. Overnight, Allen says, the Obama campaign "began e-mailing millions of supporters a link to a website, KeatingEconomics.com, which will have a 13-minute documentary on the scandal beginning at noon Eastern time on Monday. The e-mails urge recipients to pass the link on to friends. The Obama campaign, including its surrogates appearing on radio and television, will argue that the deregulatory fervor that caused massive, cascading savings-and-loan collapses in the late ‘80s was pursued by McCain throughout his career, and helped cause the current credit crisis."

The Huffington Post's Thomas B. Edsall writes that "At a time of extreme economic crisis at home and two wars abroad, John McCain is gambling that an attack mounted by Sarah Palin on Barack Obama's tangential ties to 1970s radical bomber Bill Ayers will reverse the Arizona Senator's steadily diminishing prospect of victory on November 4. This strategy carries high risks. First and foremost, a number of experts in the field doubt that when the economy has been on the brink of collapse, when the situation in Afghanistan is worsening, and the debate over the US war in Iraq has intensified, negative campaigning is an effective political tool." 

It's also naive to expect that Obama won't fight back. Plus, negative campaigning tends to damage both candidates. Edsall quotes polling expert Nate Silver as saying "It may be quite difficult for McCain to attack Obama in this fashion without significantly damaging his own brand. What's interesting is that, with the exception of the past couple of weeks, McCain's and Obama's ratings have been fairly strongly correlated, tending to rise and fall together. This is not to say that negative campaigning doesn't work - it sometimes does - but it works at diminished efficiency, because you may be giving back 50 cents on the dollar by harming your own approval scores."

Now onto battleground states. Washingtonpost.com's Chris Cillizza has updated his electoral map, which puts Obama above the 300 mark. "The movement is most noticeable in states - particularly in the Industrial Midwest - where the economy has been a front-burner issue for years...With that in mind, we have moved Ohio from McCain's column to Obama's - amid polling including a new Columbus Dispatch survey that shows the Illinois senator with an edge. The other major change in this week's Fix map is Virginia, which we are moving from McCain to Obama. Electoral history in the state is daunting for Obama - the last Democrat to carry the state at the presidential level was Lyndon Johnson way back in 1964 - but the Democratic candidate is lavishing time and money on the Commonwealth. And, even top Virginia Republicans are starting to express their concern publicly about McCain's dimming prospects there

SOURCE: Wall Street Journal



With 30 days until Nov. 4, Karl Rove projects that Sen. Barack Obama (D-Ill.) would get at least 273 electoral votes – three more than are needed to win – if the presidential election were held today.

But Rove warns that this race is “susceptible to rapid changes,” so no definite prediction is possible.

The remarkable forecast from the architect of the last two nationwide political victories underscores the straits that have rapidly enveloped Sen. John McCain (R-Ariz.) as the banking and credit crisis spread.

Rove writes on Rove.com: “39 new state polls released in the first three days of October have given Barack Obama his first lead over the magic number of 270 since mid-July. Minnesota (10 EV) and New Hampshire (4 EV) both moved from toss-up to Obama, giving him 273 electoral votes to McCain’s 163, with 102 votes remaining as a toss-up.

“If the election were held today, Obama would win every state John Kerry won in 2004, while adding New Mexico (5 EV), Iowa (7 EV), and Colorado (9 EV) to his coalition. Remember, though, that these state polls are a lagging indicator and most do not include any surveying done after the vice-presidential debate on Thursday night.”

Rove cautioned on “Fox News Sunday”: “Remember, the campaign ebbs and flows. What we're seeing here is a result of the focus of the American people, voters, on the economic problems that have dominated the news the last several weeks. What's happened then is a shift to Obama.

“Just remember, 17 days ago in the electoral college, McCain led 227 to 216. Fifteen days ago, on the eve of the news on the bailout, he led 216-215.This race is susceptible to rapid changes and we're likely to see, in the remaining four weeks, more changes.”

On “Meet the Press” on Sunday, NBC News Political Director Chuck Todd said Obama is still one state away from solidifying the 270 electoral votes he needs to win the White House. Colorado, Virginia or Florida would put it away for Obama if the election were held today, Todd said.

“Even if it’s Nevada [making the total] 269, it sends it to the House, where Democrats have an advantage,” Todd said. “As it stands today, John McCain would have to run the table. Now, good news for him: They’re all states that voted Republican four years ago.

“However, he’s behind right now a little bit in Ohio. There’s a dispute of who’s ahead or who’s behind in Florida but it feel as if Obama’s a little bit ahead in Florida. Obama’s a little bit ahead in Colorado. And it’s a dead even race in Virginia. Dead even in Nevada. And even Missouri, which we almost put in tossup this week, is getting very close, where McCain just has a very narrow lead.”

Todd said a landslide could be 364 electoral votes – “the high-water mark.” In 1980, Ronald Reagan got 489. In 1988, George H.W. Bush got 426. “The McCain folks now have to hold everything … to keep this thing competitive,” Todd said.


Mike Murphy, a Republican strategist who was the architect of McCain’s 2000 campaign said on “Meet the Press”: “It’s McCain’s barn that’s on fire. … Thirty days out, I think McCain can win. But the fact is, [if the] election were held today, he’d lose. And I think he’s on a losing path.

“I think the McCain campaign has to look in the mirror now and decide, do we need to change up the strategy? They’ve been running the grinding campaign on Obama. There’s a lot of good things to attack Obama about – people have a lot of doubts about Obama. But they’ve got to fix McCain. McCain has to connect with voters on the economy. He’s got to get ticket-splitters. Get out of base Republican issues and get people who are worried about the economy and health care over. Or in this anti-Republican environment, this trend line is very, very bad.”

Appearing with Murphy, Democratic consultant Paul Begala, who helped mastermind Bill Clinton’s 1992 win, said he had talked to the Obama high command. “They’re flooding the zone,” Begala said. “They’re going into places where Democrats used to never dare go. Indiana! I cannot believe we’re sitting here 30 days before an election, talking about Indiana, a potential tossup state. Or North Carolina and Virginia.

“Barack Obama would be the first non-Southerner from my party to carry a Southern state since JFK – before I was born, before Barack was born. This is an incredible map.

Source: POLITICO

3 Oct 2008

Mdahalo kati ya running mates wa vyama vya Democrat na Republican,Joe Biden na Sarah Palin,respectively,umemalizika hivi punde.Uchambuzi wa haraka haraka unaonyesha kuwa Palin amejitahidi kufanya vizuri kuliko ilivyotarajiwa.Matarajio kwamba Palin angefanya vibaya yalitokana na performances zake za hivi karibuni katika mahojiano (ya nadra) na wanahabari.Hofu zaidi ilikuwa ni kweli u-kilaza wake kwenye mambo mbalimbali.Kwa upande wa Biden,huku akitarajiwa kuutumia vizuri uzoefu wake wa muda mrefu kwenye ulingo wa siasa,hofu zaidi ilikuwa ni katika tabia yake ya "kusema ovyo" na kuwa gaffe-prone.Hata hivyo,uchambuzi wa awali unaonyesha kuwa Biden amefanya vizuri sana katika mdahalo huo,kiasi cha mchambuzi mmoja kudai kwamba it was his best ever performance.

Kwa upande mwingine,Palin ameonekana kama amethibitisha kwamba McCain hakufanya kosa kumchagua yeye kuwa running mate wake lakini ameshindwa kum-portray McCain kama mtu anayefaa zaidi  kuwa rais kuliko Barack Obama.Lakini Biden,pengine kwa kuhofia kuonekana kuwa ni sexist dhidi ya Palin,ametumia muda mwingi kuonyesha kwanini Obama anafaa zaidi kuwa rais kuliko McCain na wakati huohuo kuonyesha kuwa tiketi ya McCain-Palin ni mwendelezo mwingine wa miaka minane ya George W Bush.

Kiujumla,na kama ilivyotarajiwa na wengi,Biden ameonekana kuwa msindi katika mdahalo huo japo hilo haliwezi kukubalika among the Republicans.Pia matokeo ya awali ya kura kadhaa za maoni baada ya mjadala huo zinaonyesha ushindi mzuri kwa Biden hasa miongoni mwa undecided voters.


1 Oct 2008

29 Sept 2008

CLICK HERE to read the full story.

27 Sept 2008

Hatimaye mdahalo wa kwanza kati ya wagombea urais wa Marekani kwa vyama vya Democrat na Republican,Barack Obama na John McCain,respectively,umemalizika dakika chache zilizopita,mdahalo huo ulikuwa katika hatihati ya kufanyika kufuatia uamuzi wa McCain kusimamisha kampeni zake na kuomba mdahalo huo usogezwe mbele,kabla ya kubadili uamuzi huo (wa kushiriki mdahalo) mapema jana asubuhi.

Uchambuzi wa haraka haraka unaonyesha mambo kadhaa yaliyojitokeza kwenye mdahalo huo.Baadhi ya wachambuzi wanaona kwamba udhaifu wa Obama ulikuwa kwenye kuunga mkono hoja za McCain takriban mara saba (saying John is right on...) wakati McCain alikazania kuonyesha udhaifu wa Obama akitumia maneno kama "naivety","Obama doesnt seem to undestand",nk takriban mara nane.Kwa kuafikiana na McCain katika mitazamo au hoja zake,Obama anaweza kuonekana kama alikuwa defensive huku mpizani wake akiwa offensive,and that matters in politics.

Hata hivyo,kama ilivyotarajiwa,Obama ameonekana kufanya vizuri kwenye eneo ambalo anaaminika kuwa stronger kuliko McCain:uchumi.Kwa mwenendo wa mdahalo ulivyokuwa,yayumkinika kuhitimisha kuwa Obama alifanya vizuri kwenye nusu ya kwanza (takriban dakika 40 za mwanzo) ambapo hoja kuu ilikuwa uchumi.Kwa upande mwingine,McCain ameonekana kutawala zaidi kwenye nusu ya pili ya mdahalo huo ambayo iliangalia suala la sera za nje za Marekani.Kwa upande mwingine,pamoja na kutoonekana mshindi kwenye eneo hilo la sera za nje (ambalo McCain anachukuliwa kama mwenye uzoefu zaidi) Obama ameonekana kufanya vizuri zaidi kuliko ilivyotarajiwa kwa kusimamia anachokiamini na kutoyumbishwa na kauli za McCain kwamba mgombea huyo wa Republican ni mzoefu zaidi.Wapo wanaoona kwamba Obama ameweza kufanya kile alichotarajiwa kwenye "eneo lake la kujidai" yaani uchumi ilhali McCain ameshindwa kumfunika Obama kwa namna ilivyotarajiwa kwenye eneo la sera za nje.

Kadhalika Obama ameonekana kushindwa kuipigilia msumari ipasavyo hoja kwamba McCain amekuwa mshirika wa Bush katika kipindi cha miaka minane iliyopita.McCain nae kwa upande wake anaonekana ameshindwa kuitumia ipasavyo fursa ya kuonyesha yeye ni mzoefu zaidi katika eneo la sera za nje (kwa mantiki kwamba japo alifanya vizuri,hakufanya vizuri sana kama ilivyotarajiwa).Kwa kigezo cha hali mbaya ya uchumi nchini Marekani,Obama alipaswa kuwa mshindi lakini hilo halijalishi sana kwa vile mada ya mdahalo huo ilikuwa sera za nje,ambalo ni "eneo la kujidai" la McCain ambaye hata hivyo hakupata ushindi mnono kama ilivyotarajiwa.Kwa maana hiyo,kwa kushindwa kutumia vizuri "eneo lake la kujidai" (foreign policy) McCain anajiweka katika nafasi ngumu kwenye mijadala miwili ijayo ambayo inatarajiwa kuwa na mada ambazo ni strong points kwa Obama,kwa mfano uchumi na domestic affairs.

Japo sio hoja ya muhimu,yayumkinika kusema kwamba baadhi ya kauli za McCain kwa Obama zilikuwa kana kwa yuko patronizing.Ni muhimu kuonyesha kwamba wewe ni mjuzi zaidi katika eneo flani kuliko mpinzani wako lakini unapaswa kuwa makini kutoonekana "patronizing."Lakini pengine la muhimu zaidi,and this is my conclusion,Obama ameonekana kuzungumzia zaidi future ya Marekani na hivyo wakala wa mabadiliko (change) wakati McCain,kwa kusisitiza rekodi na uzoefu wake,ameonekana kuwa anapingana na msisitizo wake kwamba nae yuko for change.

BONYEZA HAPA kusikia mdahalo mzima.

24 Sept 2008

19 Sept 2008


Ni jambo lililo wazi kwamba miongoni mwa wasiotaka kumuona Obama akiingia White House ni pamoja na wale wanaompinga sio kwa sera au uwezo wake bali asili yake (weusi wake).Katika hili kuna weupe wengi na weusi wachache,lakini wote ni wabaguzi wa rangi.Kwa weupe hao,kuongozwa na mtu mweusi ni jambo lisilofikirika kwao.Akilini mwao,mtu mweusi hajafikia hatua ya kuongoza taifa hilo.Kwa weusi wachache,Obama si mwenzao.Ni mtu wa tabaka tofauti na wao.Ukaribu wake na weupe unamtenga na wao.Makundi yote haya mawili yanaongozwa zaidi na hisia kuliko akili.Ni wazembe flani.Hata hivyo,hawa si wa kupuuzwa japo ni vigumu kuwabadili misimamo yao.Kuhusu namna suala la race linavyoweza kumuathiri Obama,SOMA MAKALA HII.Soma na HII kuhusu McCain anavyochomekea ishu za race.

According to the latest Gallup polls,Obama now leads McCain by 5 points.Sounds good,doesn't it?

18 Sept 2008









Picha ya hapo juu inafurahisha.Ndio namna jamaa wa The Huffington Post wanavyo-summarize masahibu yanayomkumba John McCain.Kwa mujibu wa Gallup polls,Barack Obama amefanikiwa kumwengua McCain kwenye kura za maoni ikiwa ni mara ya kwanza tangu mgombea huyo wa Republicans apande chati kufuatia convention ya chama hicho hivi karibuni.Zaidi,angalia video hii hapa chini


15 Sept 2008

Came accross this interesting examination of Sarah Palin



Sarah Palin may not have known what the Bush Doctrine was, but we're getting a pretty good idea of what the Palin Doctrine is. Or will be -- because it's still currently under construction. And what is it going to look like? Let's just say, it's going to seem familiar.

According to London's Daily Telegraph, the architects of the Palin Doctrine are a group of people who have been singularly wrong about virtually everything in the last decade -- the neocons, who have been briefing Palin for weeks.

As predicted, the fact that she didn't know anything wasn't a bug, it was a feature. She's perfect for the neocons: likeable on the outside, a blank slate on the inside. To borrow from an old cliché, if Sarah Palin didn't exist, the neocons would have had to invent her.

In fact, this is how one former White House aide describes her: "She's bright and she's a blank page. She's going places and it's worth going there with her."

Of course, the place her neocon mentors hope she's going is the White House. Given their dismal track record, they're smart enough to figure that the American public wouldn't be too keen on letting them in the front door again, so they are trying to sneak in hidden behind Palin's skirt. The Trojan Moose approaches.

The Daily Telegraph details how the neocon talent scouts spotted their political Eliza Doolittle back in the summer of '07. The love connection began, appropriately enough, on a love boat:

"Sources in the McCain camp, the Republican Party and Washington think tanks say Mrs. Palin was identified as a potential future leader of the neoconservative cause in June 2007. That was when the annual summer cruise organised by the right-of-centre Weekly Standardmagazine docked in Juneau, the Alaskan state capital, and the pundits on board took tea with Governor Palin."

So nice to meet you, Governor. And don't forget, cucumber sandwiches and preemptive invasions on the Lido Deck at four!

Not surprisingly, Palin's biggest fan is Bill Kristol, who describes her as the "specter of a young, attractive, unapologetic conservatism" that "is haunting the liberal elites."

Among her other Henry Higginses is neo-neocon Joe Lieberman, who is reportedly helping prep Palin for the big ball -- her debate with Joe Biden.

She's already passed her first test with flying colors: being willing to link 9/11 with Iraq, something not even the president is still willing to do. Last week, she told a group of Iraq-bound soldiers that they were going to "defend the innocent from the enemies who planned and carried out and rejoiced in the death of thousands of Americans."

By George (Bush), I think she's got it! Congratulations, Professor Kristol, your student is coming along just fine.

Of course, the neocons know they already have an ally at the top of the GOP ticket. McCain may have been a reformer on campaign finance, but when it comes to foreign policy, he has always been solidly in the neocon club. He loves to burnish his foreign policy bona fides by talking about how he wanted to fire Donald Rumsfeld months before Bush did. But he doesn't talk a lot about how, in the days immediately after 9/11, he was part of the neocon crowd itching to get into Iraq.

Just a few days after the attack, McCain was already talking about "some other countries" that helped Bin Laden. Countries like Syria, Iran, and...Iraq. And a few weeks later, during an October 18, 2001 appearance on David Letterman, McCain answered a question about how the war in Afghanistan was going by announcing that the invasion of Iraq would be "the second phase" of the war on terror (how prescient of him to know that Saddam wouldn't give up those nonexistent WMD). What's more, he tried to buttress the case for attacking Iraq by claiming that the recent spate of anthrax attacks "may have come from Iraq." Or Fort Detrick.

Six years later, demonstrating how little he's learned from the debacle in Iraq, McCain hired Randy Scheunemann, a neocon darling who helped form The Committee for the Liberation of Iraq in 2002, as his campaign's chief foreign policy advisor.

As TPMMuckraker noted in July, "Of all the hawkish Washington foreign-policy types pushing both before and after 9/11 for war with Iraq -- a war that an overwhelming majority of Americans now considers a mistake -- Scheunemann, though not a marquee name, was among the most energetic and influential. And in the invasion's aftermath, he consistently opposed steps that might have helped stabilize the country."

And now, according to the Daily Telegraph, Scheunemann is briefing Sarah Palin.

McCain's selection of Palin may have been reckless, but it was anything but random. The neocons' view of the world may be disastrous, dangerous, discredited, and deadly -- but it's far from dead. Their patron saint, Dick Cheney, the scowling embodiment of the Neocon Doctrine, had way too much baggage -- and way too low approval ratings -- to mount a run for the White House.

That's why the Palin pick was so brilliant. On the outside, she's exponentially more likable and talented at connecting with people than Cheney ever was. But on the inside, once she graduates from the neocon finishing school, she'll be a complete and total Dick. Cheney. With lipstick.



22 Mar 2008

Jana nilishuhudia kituko cha mwaka.Mwanzoni nilidhani ni porojo tu lakini asubuhi hii nimeona tukio hilo limekuwa gumzo mtandaoni.Ilikuwa takriban saa 6 mchana za hapa (hapa saa zitabadilika mwishoni mwa mwezi huu),nikaamua kupoteza muda kwa kuangalia kipindi cha Fox&Friends.Nasema kupoteza muda kwa vile waendesha kipindi hicho huwa wananikera sana kutokana na kauli zao za upendeleo wa wazi kwa wahafidhina na upinzani wao mkubwa dhidi ya Democrats na liberals.Sikujutia uamuzi wa "kupoteza muda" kwani huku watangazaji Steve Doocy na Gretchen Carlson wakishikia bango kauli ya Obama kwamba grandmom wake ni like typical White person,mwenzao Brian Kilmeade aliamua kuondoka kwa muda studioni kutokana na kukerwa na namna wenzie walivyokuwa wakimsakama Obama.Kama hiyo haitoshi,muda mfupi baadaye,mtangazaji mwandamizi wa kituo hicho,Chris Wallace,alionekana hewani wakati Fox&Friends inaendelea ambapo alielezea waziwazi kwamba alikuwa akiangalia kipindi hicho na hakupendezwa na namna kauli ya Obama kuhusu bibi yake ilivyokuwa ikipotoshwa.Wallace alieleza wazi kwamba yeye si msemaji wa kambi ya Obama lakini angependa kuona kipindi hicho kinazungumzia suala hilo ndani ya context,na kwenda mbali zaidi kwa kuwashauri wana-Fox&Friends kuangalia pia habari nyingine za muhimu kuhusu Obama kama vile endorsement ya Bill Richardson na hotuba zake mbili kuhusu uchumi na vita ya Irak.





5 Mar 2008



















Hillary Clinton amefanikiwa kuibuka mshindi kwenye kinyang'anyiro cha kugombea nafasi ya urais kupitia chama cha Democrats katika majimbo muhimu ya Ohio na Texas na pia Rhode Island  huku mpinzani wake,Barack Obama, akishinda jimbo la Vermont.Pengine ushindi huo wa Hillary unaendana na mtizamo wa baadhi ya wachambuzi wa siasa za Marekani,kama vile David Gergen,ambao wamekuwa wakionya not to count out Hillary mapema hasa kwa kuzingatia namna Clinton political machine inavyofanya kazi.Ni muhimu pia kukumbuka kwamba kwa muda mrefu sana hakuna mgombea aliyewahi kushinda urais wa Marekani pasipo kushinda Ohio,na hiyo inaweza kuelezea umuhimu wa ushindi wa Hillary katika jimbo hilo

Hatimaye Seneta wa Arizona (Republican) John McCain ameshinda nomination ya chama chake kugombea Urais wa Marekani baadaye mwaka huu baada ya kufanikiwa kupata delegates 1195.Kwa mujibu wa Breaking news hii ya CNN,inatarajiwa kuwa kesho (kwa saa za US of A,maana hapa tayari ni Jumatano) Rais George W.Bush atam-endorse rasmi McCain.Kazi kubwa iliyobaki mbele ya Seneta huyo ni kuwaunganisha Republicans wenzie,hususan wale wanaodai kuwa he's not conservative enough kama Rush Limbaugh,Sean Hannity,Ann Coulter na wengineo.Baada ya hapo kinafuatia kimuhemuhe cha kuingia 1600 Pennsylvania Avenue NW dhidi ya Barack Obama au Hillary Clinton.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.