1 May 2011


Wanasema "kisasi ni sawa na chakula ambacho ladha yake inaongezeka kinapokuwa kimepoa".Maana ya msemo huo ni kwamba kisasi kinamuumiza zaidi mkosaji pale mkosewa anapomvutia muda mkosaji hadi anasahau kuwa alishawahi kumkosea mtu,kisha mkosewa analipiza kisasi.Inakuwa kama kuchonokoa kidonda kilichokwishapona.

Lakini inaelekea Rais Barack Obama hakutaka kusubiri hadi Donald Trump asahau kuwa alikuwa kinara wa fitna kwamba Obama si raia wa Marekani.Na jana alipata fursa mwanana ya "kumfanyizia" tajiri huyo wa uwekezaji kwenye majengo.

Katika hafla ya kila mwaka ya Waandishi wa Habari wanaoripoti habari kutoka Ikulu ya Marekani ambapo mgeni rasmi huwa Rais,Obama alimrushia Trump vijembe vikali lakini katika hali ya utani,kama ilivyo desturi ya halfa hiyo.

Hikuwa siku nzuri kwa Trump aliyehudhuria hafla hiyo kwa mwaliko wa gazeti la Wahington Post.Alipowasili tu alikumbana na sauti za kuzomewa.Lakini alikuwa Obama aliyemnyong'onyeza tajiri huyo kwa vijembe vikali vya utani wenye ukweli.

Obama alimkebehi Trump kwa kijembe kwamba ana furaha suala la wanaodadisi uraia wake sasa limekwisha kwahiyo Trump atapata wasaa wa kuchunguza kama kweli wataalamu wa anga walifika kweli mwezini,na iwapo Tupac na Biggie (Notorious B.I.G) kweli waliuawa.

Lakini kimbembe kwa tajiri huyo hakikuishia kwa vijembe vya Obama pekee kwani mchekeshaji maarufu Seth Meyer hakubaki nyuma katika "kummaliza" Trump.Alimgalagaza kwa kutanabaisha kuwa "Donald Trump amekuwa akieleza kuwa atagombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican,jambo ambalo ni la kushangaza...nilidhani jambo pekee analoweza kugombea ni kuwa kituko".

Kadhalika,Obama aliwatania pia baadhi ya wagombea urais watarajiwa wa Republicans kwa kusema tetesi zinaonyesha kuwa Michelle Buchmann,mwanamama kipenzi cha wahafidhana wa Tea Party Movement,alizaliwa Canada na sio Marekani (na kumkumbusha kuwa majungu huwa yanaanza kihivyo).Pia alimtania mgombea mwingine mtarajiwa Tim Pawlenty kwa kudai amesikia kwamba jina kamili la mwanasiasa huyo ni Tim HOSNI Pawlenty (akimaanisha pengine ana asili ya Misri kwa akina HOSNI Mubarak).

Sio siri.Kwa mara ya kwanza kabisa nilimwonea huruma Trump alipokuwa akipigwa vijembe na Obama na Meyer huku ukumbi ukilipuka kwa mayowe.Lakini ndio hivyo,mkuki mtamu kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu.

Angalia clip ifuatayo kisha jiburudishe kwa video za Tupac na Biggie (kwa vile walitajwa katika hafla hiyo)




Mimi ni Rais wenu,na huyu ndiye mwanangu mpendwa ninayependezwa na ufisadi,oops..ujasiriamali wake

na Mwandishi wetu

RAIS Jakaya Kikwete anakabiliwa na kashfa nzito kutokana na utajiri wa mtoto wake, Ridhiwani. Sasa anatuhumiwa kuitumia Ikulu kumtajirisha mwanawe, ambaye anasemekana ni bilionea.

Kwa nyakati mbalimbali, ukwasi wa mtoto huyo wa rais uliibuliwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila.

Katika moja ya mikutano yake ya hadhara hivi karibuni mkoani Tabora, Dk. Slaa alisema Ridhiwani amemaliza shule miaka michache iliyopita, lakini hivi sasa ni tajiri bilionea na kwamba ameupata utajiri huo katika mazingira ya kutatanisha.

Jana Mtikila alizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Travertine, akidai Ridhiwani amegeuka bilionea kwa muda mfupi “kwa mgongo wa baba yake.”
Akibainisha zaidi uwezo wa kifedha wa kijana huyo, Mtikila alisema hivi karibuni mtoto huyo ambaye ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM), aliingiza magari makubwa ya mizigo aina ya “semi trailer” zaidi ya 100 na kudai kuwa yanafanya kazi ya kusomba mizigo DRC na mengine ameyauza.

Alidai pia mtoto huyo wa rais anamiliki makampuni ya ujenzi wa barabara na maeneo mengi ya ardhi kwa lengo la kujenga maghorofa ya kupangisha.

“Huyu ni mtoto mdogo, kamaliza shule juzi, pesa za utajiri wote huu kazipata wapi?” alihoji Mtikila.

Hata hivyo, wiki iliyopita, Ridhiwani alikaririwa na moja ya vyombo vya habari akisema kuwa yuko tayari kutoa ushirikiano kwa Dk. Slaa kuonyesha kila anachomiliki.

Kutokana na tuhuma hizo, Mtikila alimtaka Rais Kikwete naye ajivue gamba kwa kuonyesha mfano, vinginevyo ni uendawazimu kujivua gamba bila mkuu huyo wa nchi kujiuzulu urais na uenyekiti wa CCM.

Huku akionekana kuwatetea Edward Lowassa (Monduli), Andrew Chenge (Bariadi Magharibi) na Rostam Aziz (Igunga), Mtikila alisema Kikwete anawachezea wana CCM na Watanzania kwamba ana nia ya kuwatimua makada hao kwa madai kuwa ni mafisadi wakati yeye ni mshirika wao.

“Kikwete aanze kutoka yeye ndipo awanyoshee vidole hawa Mapacha Watatu alioshirikiana nao kwenye ufisadi wa EPA, Richmond na Dowans, vinginevyo anawadanganya Watanzania. Aanze yeye,” alisema Mtikila.

Alisema anashangazwa na Kikwete kuibuka na dhana ya kujivua gamba kwa kuwatosa marafiki zake watatu wakati chama hicho kina mafisadi lukuki.

Mchungaji Mtikila pia aliorodhesha miradi ya ufisadi aliyomhusisha nayo Kikwete na watendaji wengine serikalini kuwa ni pamoja na IPTL, uuzaji wa iliyokuwa Benki ya NBC, Meremeta, Richmond, Dowans, EPA na nyingine, kwamba zinawahusu watendaji wengi na si mapacha watatu pekee.

”Kikwete aliunda tume kubaini waliochota fedha za EPA na kutakiwa warudishe, lakini hadi sasa hatujui kina nani wamehusika, na kiasi gani cha fedha kilichorudishwa. Kama rais hahusiki na ufisadi huu, usiri wa nini?” alihoji Mtikila.

Alisisitiza kuwa hana maana kuwa Lowassa, Rostam na Chenge ni wasafi, bali anataka orodha ya kuwatimua mafisadi wa CCM iwe kubwa, akiwamo Rais Kikwete kwani ndilo gamba kubwa kuliko yote.

Kuhusu hatima ya CCM na kile alichokiita usanii wa kujivua gamba, Mchungaji Mtikila alisema chama hicho kina ugonjwa wa ‘Nambulila’ ambao mgonjwa hufa na kuzikwa akijiona.

“Wapangwa wana ugonjwa unaitwa Nambulila. Ni ugonjwa unaotokana na tego la mke. Mtu akitembea na mke wa mtu anaupata na anapokufa, anawaona watu wanavyomlilia, wanavyomuingiza kwenye kaburi, lakini hana uwezo wa kusema, hivyo anazikwa akiwa hai, akiona kila kitu. Ndivyo ilivyo CCM, inakufa ikijiona. Hii ndiyo Nambulila,” alisema Mtikila.

Alisema usanii wa kujivua gamba hauwezi kuinusuru CCM kwani ni dhana ya uendawazimu yenye lengo la kuwaghilibu Watanzania.

Sambamba na hilo, Mtikila aliwataja mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye, Joseph Warioba na Cleopa Msuya, kuwa ni miongoni mwa watu wachache wasafi ndani ya CCM.

Alipobanwa kueleza usafi wa Sumaye wakati miaka sita iliyopita alipata kumtaja kwamba ni fisadi namba moja, Mtikila alikiri kutoa kauli hiyo na kuongeza kwamba baada ya kufuatilia walibaini kashfa dhidi yake zilikuwa za uongo na zilipikwa ili kumrahisishia Kikwete njia ya kuwa rais.

“Kweli niliwahi kumtaja kama fisadi namba moja, tulipofuatilia tulibaini kwamba haikuwa sahihi na ndiyo maana leo namtaja kama mmoja ya viongozi wachache wasafi,” alisema.

Aliwataka wana CCM kutobeza ushauri wa viongozi hao wachache wasafi na kutolea mfano wa Warioba na Sumaye walivyoshambuliwa na UVCCM walipotoa mawazo yao.




Opinion by Jerome McCollom
(8 Hours Ago) in Society

President Obama, in far beyond what he is legally required to do, released his long-form birth certifiate from the state of Hawaii. He had already released the short-form certificate, the one that Hawaii gives to those born there, and which was already good enough to get issued a U.S. passport.

Who takes credit, well Donald Trump. See, Trump wants attention, and he says he is going to run for the presidency, and to do so he is trying to attract birther support. Well, Trump had stated before Obama released the long form in an interview with Meredith Vieira.

DONALD TRUMP:

" …You are not allowed to be a President if you are not born in this country. He may not have been born in this country, and I tell you what: three weeks ago I thought he was born in this country — right now I have some real doubts. I have people that actually have been studying it, and they cannot believe what they’re finding."

MEREDITH VIEIRA:
"You have people now, down there, searching, I mean in Hawaii?"

DONALD TRUMP:
"Absolutely. Absolutely, and they cannot believe what they’re finding."

When George Stephanopoulos asked him about these supposed investigators, after Obama's release of the original birth certificate, The Donald responded, "That’s none of your business right now.”

What?! The Donald runs for the presidency by saying he has investigators who "cannot believe what they are finding', and now that isn't a concern? Who are these incompetent investigators on Trump's payroll? Because he sure needs to say you're fired to them, if anyone. Look at the ego on a man who gets angry that anyone dare question or point out that either he has incompetents/liars on his payroll or that he was lying himsef. Actually, it is pretty clear that Trump lied about this.

Or, maybe he was just believing the blather of one of those birthers writing books attacking Obama as a non-citizen, the Jerome Corsis and Joseph Farahs of the birther movement The Donald is actually taking credit for his absurd crusade to get Obama to release a certificate that wasn't necessary to prove he was a citizen, because Obama already released the short form version that the state of Hawaii releases to everyone. We don't need an energy solution in America, we need just to power our electronics and lights from the hot air that is Donald Trump.



Donald Trump -- star of NBC's birther movement "Celebrity Apprentice" -- decided to show his hair, er, face at the White House Correspondents' Association Dinner on Saturday.

Trump, who began the week taking credit for the White House's decision to release President Obama's birth certificate, was promptly booed on arrival.

Trump arrived on the red carpet at Washington’s Hilton Hotel with his wife, Melania, shortly at 7:00 p.m. (ET). After giving a brief interview with a group of several of media outlets, Trump -- who was invited to the event as a guest of the Washington Post -- walked away to a chorus of audible boos from the media members on the press line. (And it wasn't because they wanted to hear Trump talk more.)

Trump's entrance briefly took the spotlight away from the other celebrity arrivals, including Mila Kunis, Scarlett Johansson, Sean Penn, David Arquette, Elizabeth Banks, Erin Andrews, Mira Sorvino, Jeremy Piven and at least one of the Wayans Brothers.

Obama and his wife are scheduled to arrive at the 8 p.m. (ET).

I didn't see New Yorker editor David Remnick -- who earlier this week called Trump a "race-baiting, irrepressible jackass" [4] -- but Zach Galifianakis, Jon Hamm and the Coen Brothers were among the guests invited to sit alongside him at the magazine's table.

There was some question whether Trump would attend the dinner at all -- though not because of the "birther" controversy. Trump was also scheduled to attend the wedding of fellow real estate mogul (and noted Obama hater) Steve Wynn in Las Vegas on Saturday, and delivered an expletive-filled speech [5] there on Thursday.

Guessing there may be more than a few of those muttered at tonight's so-called "nerd prom" -- and plenty of firesworks in store.




VATICAN CITY — Pope John Paul II moves a step closer to sainthood on Sunday when his successor beatifies him before an expected crowd of several hundred thousand people. Pilgrims from all over the world, many from the pope's native Poland, have flocked to Rome to witness the beatification mass and take part in the biggest event in the Italian capital since the late pope's funeral in 2005.

Groups carrying national flags and singing songs have gathered over the weekend where the ceremony will take place, in St Peter's Square, which is bedecked with posters and photos of the late pope.

Up to 200,000 people attended a prayer vigil on Saturday evening in the Circus Maximus, the huge oval once used by the ancient Romans for chariot races. Some Rome churches threw their doors open all night to give pilgrims a space to pray.

John Paul's successor Pope Benedict XVI will pronounce a Latin formula on Sunday declaring one of the most popular popes in history a "blessed" of the Church.

A place of honor is reserved for Sister Marie Simon-Pierre Normand, a French nun who suffered from Parkinson's disease but whose inexplicable cure has been attributed to John Paul's intercession with God to perform a miracle, thus permitting the beatification to go ahead.

The Vatican will have to attribute another miracle to John Paul's intercession after the beatification in order for him to be declared a saint.

Some 90 official delegations from around the world, including members of five European royal families and 16 heads of state, will attend the beatification.

They include Zimbabwean President Robert Mugabe, who has been widely criticized for human rights abuses in his country. Mugabe is banned from traveling to the European Union, but the Vatican – a sovereign state – is not a member of the bloc.

Coffin on display

Pope John Paul's coffin was exhumed on Friday from the crypts below St Peter's Basilica and will be placed in front of the main altar. After Sunday's beatification mass, it will remain there and the basilica will remain open until all visitors who want to view it have done so.

It will then be moved to a new crypt under an altar in a side chapel near Michelangelo's statue of the Pieta. The marble slab that covered his first burial place will be sent to Poland.

John Paul's beatification has set a new speed record for modern times, taking place six years and one month after his death on April 2, 2005.

While the overwhelming number of Catholics welcome it, a minority are opposed, with some saying it happened too fast.

Liberals in the church say John Paul was too harsh with theological dissenters who wanted to help the poor, particularly in Latin America. Some say John Paul should be held ultimately responsible for the sexual abuse scandals because they occurred or came to light when he was in charge.

Ultra-Conservatives say he was too open toward other religions and that he allowed the liturgy to be "infected" by local cultures, such as African dancing, on his trips abroad.

The pope is being beatified on the day the Church celebrates the movable Feast of Divine Mercy, which this year happens to fall on May 1, the most important feast in the communist world.

The coincidence is ironic, given that many believe the pope played a key role in the fall of communism in Eastern Europe. 

 SOURCE: GMA News

30 Apr 2011



Kuna wapuuzi wanajaribu kutuminisha usanii unaoitwa "kujivua magamba" kwa chama tawala CCM kilichozaa serikali iliyopo madarakani.Lakini hata tukiweka kando ukweli kwamba nyoka anayejivua magamba anakuwa hatari zaidi kuliko awali,porojo hizi za kuchefua za CCM ni miongoni tu mwa jitihada zake kuwapumbaza Watanzania kuhusu matatizo ya msingi yanayotishia uhai wa taifa letu.

Wakati akili za Watanzania zimeelekezwa Samunge "kwa Babu wa Loliondo" na "magamba" ya akina Lowassa,Chenge na Rostam,mafisadi wanaitumia vizuri nafasi hiyo kubaka uchumi wetu kwa kasi ya kimbunga.Hebu angalia habari zifuatazo ambazo ni mwendelezo tu wa mkakati wa kuiflisi Tanzania yetu.

CAG abaini ufisadi wa Sh50 bilioni serikalini

Saturday, 30 April 2011 10:00

Boniface Meena

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amebaini ufisadi wa Sh50.6 bilioni serikalini ukiwamo wa malipo yanayotia shaka ya Sh15.7 bilioni katika kipindi cha mwaka wa fedha 2009/2010.

Katika ripoti yake ya ukaguzi iliyoishia Juni, 30, 2010, CAG amesema fedha nyingi zilitumika kufanya ununuzi bila kufuata taratibu.

Katika ripoti yake, amesema wizara, idara, wakala na sekretarieti za mikoa, zilitumia fedha katika kipindi cha mwaka 2009/2010 kufanya ununuzi ambao haukuwa kwenye mpango wa mwaka.

Alisema matumizi hayo ni kinyume cha kifungu cha 45 cha Sheria ya Ununuzi ya Umma ya mwaka 2004 kinachozitaka taasisi za ununuzi kuweka mpango wa mwaka kwa lengo la kuepuka ununuzi wa dharura, kupata thamani ya fedha, kupunguza gharama za matumizi na kufanya ununuzi sahihi kwa njia ya kandarasi.

"Ukaguzi umebainisha kwamba katika mwaka wa fedha 2009/2010, taasisi zilizoonyeshwa hapa chini zilifanya ununuzi yenye thamani ya Sh50.6 bila kufuata kifungu cha sheria," imeeleza sehemu ya ripoti hiyo.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, kati ya fedha hizo, Sh650.7 milioni zilitumika katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, kununulia samani kwa maofisa wanaoishi katika nyumba binafsi

Wizara nyingine ni Nishati na Madini, Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Maliasili na Utalii, Habari, Vijana na Michezo na Tume ya kurekebisha Sheria.

"Ununuzi wa samani kwa maofisa hao ulikuwa si sawa kwa kuwa hawana stahili ya kununuliwa vitu hivyo na ni kinyume cha waraka wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (Utumishi) Na. C/CA/134/213/01/G/69 wa Januari 30, 2006, unaohusu malipo ya posho ya nyumba na ununuzi wa samani kwa nyumba za Serikali kwa maofisa wenye stahili," imesema ripoti hiyo.

CAG ameeleza pia kuwa eneo jingine ambalo fedha hizo zimetumika vibaya ni matengenezo ya magari ya serikali na taasisi zake ambako Jumla ya Sh176.7 milioni zimeliwa.

Alisema wakati kanuni ya 5 ya Kanuni za Ununuzi wa Umma (mali, kazi, huduma zisizo za ushauri na uuzaji wa mali ya umma kwa zabuni) ya mwaka 2005, ikitaka wizara, idara, wakala na sekretarieti za mikoa kutengeneza magari yake Temesa (Wakala wa Ufundi na Umeme), au kupeleka katika karakana zilizoidhinishwa na wakala huyo, magari mengi yalikuwa yanatengenezwa kwenye karakana binafsi.

"Magari hayo yametengezwa kwenye karakana hizo bila kuwa na kibali kutoka Temesa kama sheria inavyotaka."

CAG amebaini pia kuwa serikali na taasisi zake imetumia Sh13.8 bilioni kulipia mali na vifaa ambavyo hata hivyo, havikupokewa au vilipokewa pungufu.

"Hii ni kinyume na kanuni ya 122 ya kanuni za Ununuzi ya Umma (mali, kazi, huduma zisizo za ushauri na uuzaji wa mali ya umma kwa zabuni) ya mwaka 2005," alisema.

Taarifa hiyo ilisema katika kipindi cha mwaka wa fedha 2009/2010, wizara, idara, sekretarieti za mikoa mitatu zilifanya malipo yenye shaka yanayofikia Sh15.7 bilioni.

Malipo hayo yalikosa viambatanisho ambavyo vingeonyesha taarifa za kina pasipo kuacha shaka yoyote kuhusiana na usahihi wa malipo hayo.

CHANZO: Mwananchi

Mamilioni yafujwa Mambo ya Nje

na Mwandishi wetu

WIZARA Ya Mambo ya Nje na Ushirikinao wa Kimataifa imegumbikwa na ufisadi mkubwa wa upotevu wa mamilioni ya dola katika ubalozi wake wa heshima nchini Israel na ubalozi wa Marekani.

Imebainika kuwa dola za Marekani milioni 615 zimeyeyuka katika ubalozi wake Israel na hivyo jana kuifanya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali kumuweka kiti moto Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Hayo yalibainika jana katika kikao cha pamoja cha Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), kilichoketi chini ya mwenyekiti wake, John Cheyo, ambaye alihoji matumizi ya fedha hizo ambayo yalipingana na ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Cheyo, alisema mwaka 2008/2009 imeonekana katika ubalozi huo kupotea kwa kiasi hicho cha fedha hasa katika utoaji wa viza na kutotolewa risiti kwa wahusika.

“Hapa inaonyesha Balozi wa heshima Madam Rinit Hershkovity wa Israel alitumia fedha za serikali vibaya na kamati yetu inahitaji kupata maelezo ya kina inakuaje kiasi cha dola milioni 615 za Marekani kupotea katika mazingira ya kutatanisha.”

“Hii kamati si ya kuchezea hasa katika kudai matumizi ya fedha za walipa kodi wa nchi hii sasa tunahitaji majibu mazuri na hatua zilizochukuliwa juu ya mtu huyu aliyefanya ufisadi wa aina hii,” alisema Cheyo.

Akijibu maswali hayo Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa, John Haule, alisema serikali ilipogundua ubadhirifu huo ililazimika kuufunga ubalozi huo toka Februari 2, mwaka 2009 na kumtaka balozi huyo kurejesha fedha hizo.

Haule, alisema kwa kuwa yeye ni mgeni katika wizara hiyo amegundua kukabiliwa na changamoto ya kuweka mahesabu sawa ikiwemo kupambana na matumizi mabaya ya fedha za umma.

“Mwenyekiti mimi ni mgeni toka niripoti wizarani; nina siku 21, lakini hivi sasa tumefanikiwa kuufunga ubalozi wa heshima wa Israel; hata hivyo bado ninakiri kuwa nina kazi ya kurekebisha mifumo ya fedha na utendaji wa kazi,” alisema Haule.

Majibu hayo ya Katibu Mkuu Haule, yalimuinua Mbunge wa Kibiti, Abdul Marombwa (CCM), ambaye alitaka kufahamua matumizi ya kiasi cha cha dola za Marekani 7,600,000 zilizotolewa kwa ajili ya kununua jengo la ghorofa sita nchini Marekani kwa kiasi cha dola 10.4 milioni.

Alisema ripoti ya watalaamu ilionyesha kuwa badala ya kufanya kazi hiyo wizara iliagiza kutumika kiasi cha dola milioni 151.0 huku kukiwa hakuna haja ya kufanya hivyo.

“Ripoti hiyo ilibainisha kazi iliyofanyika sio ukarabati bali ni kukata vyumba… sasa kwa hili tunahitaji maelezo ya kina, na hatua zote hizo hakuna kibali kilichothibitisha matumizi ya fedha hizo wala uhalali wa matumizi hayo,” alisema Marombwa.

Hata hivyo hali hiyo ilimfanya katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa kumwachia naibu katibu Mkuu wake kutoa maelezo ya kina kwa kamati hiyo ambaye alisema kuwa hivi sasa wanalazimika kuzifunga balozi nyingi za heshima kutokana kutokuwepo udhibiti.

Kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inaonyesha kuwa zaidi ya euro 144,202 hazijalipwa kwa mujibu wa jalada namba TZBR/A.20/11 la Agosti 26, 2009 na kuonyesha kuwa deni hilo bado halijalipwa hadi sasa.

Balozi ambazo zimekumbwa na upotevu wa fedha na kuthibitishwa na CAG ambazo hadi sasa hazijatoa maelezo ya kina kuhusu matumizi yake ni pamoja na Italia waliotakiwa kurejesha kiasi cha sh 6,060,519.00 ambapo wahusika walitakiwa kufanya hivyo.

Mbali na upotevu wa fedha hizo kati ya mwaka 2007/2008 ubalozi ulitakiwa kuwasilisha kibali cha ukaguzi na kufanya matuzi ya sh 517,741,802 zilizotumika kinyume cha sheria




Zaidi mtembelee katika Blogu yake inayopatikana HAPA



By The Associated Press 04/29/11 04:16 PM ET

LONDON -- Tina Lannin, a professional lip reader who was born deaf, caught the private whispers during the royal wedding that television microphones couldn't capture.

Lannin, who has worked for 7 years as a forensic lip reader for police forces and media outlets with O'Malley Communications, picked out comments from Prince William, his bride and Queen Elizabeth II in a partial transcript. Her assessment couldn't be verified.

___

10:20 a.m. – Prince William: "Looking forward to it." To Harry, "shall we go in then?

Prince Harry: "Sure, everyone has arrived."

William (to Bishop): "Make sure everything's alright. It's beautiful the way it is."

10:25 a.m. – William to lady in congregation: "You look very pretty, very pretty."

10:55 a.m. – Michael Middleton to Kate Middleton as they left hotel: "You okay?"

11:00 a.m. – Pippa Middleton to sister Kate: "You look amazing."

Michael Middleton to Kate Middleton as they entered Westminster Abbey: "You okay?"

Kate Middleton to her father: "Yeah."

11:05 a.m. – Kate to Bishop before walking down the aisle: "Yes I suppose so ... I expect I'll be worn out today. Thank you."

Harry to William: "Right, here she is now."

William to Middleton at the altar: "You look lovely ...(unclear)... You look beautiful."

William joking to Michael Middleton: "We're supposed to have just a small family affair."

12:00 a.m. – Queen Elizabeth II to Prince Philip: "It was excellent."

Prince Philip: "Yes?"

12:15 a.m. – William to Kate Middleton: "Alright?"

Kate Middleton: "Yes."

William: "Wish I was out."

Kate Middleton: "I'm beginning to find (unclear)."

William: "Yeah, alright." Hands bouquet to Kate after they climb aboard their carriage, "here you are."

Kate Middleton: "Thank you."

Kate Middleton: "Now, are you happy?"

William: "Yes ... (unclear conversation) ... wave to everybody."

Outside abbey – queen: "I wanted them to take the smaller carriage."

Camilla, Duchess of Cornwall: "It all went very well."

Queen: "Very well."

In wedding carriage – William: "I don't think you should bow quite yet. I think you should just bow your head, okay?"

Kate Middleton: "Okay."

William: "I hope I remember ... It's mad, it's mad! Oh my goodness it ... really loudly here (unclear) these people are clapping."

Kate Middleton: "Did they?"

William: "I think so. I went out here the first (unclear)."

In separate carriage – Prince Charles: "Yeah it looked nice."

Camilla: "Yes, but you have to know how to do it."

In wedding carriage – Kate Middleton to William: "You look happy."

1:30 p.m – On Buckingham Palace balcony, Kate Middleton: "Oh wow."

William: "Alright? You'll be okay?"

Kate Middleton: "Oh I'm fine, thank you."

William: "Yeah! Yeah! There's a lot of people down here." To pageboys, "I know but look up there as well." To his bride: "Okay? Look at me, let's kiss, okay."

William, shouting balcony: "Harry! Your go!"

Kate Middleton: "What's next?"

William: "They want more time I think."

William shouting across balcony, possibly to Camilla: "You could have brought up (unclear) as well."

Camilla: "Oh, very heavy."

William: "Just do a bit of everything. Do you like the balloons (unclear) they go up in the air."

Kate Middleton: "Look at these people."

William: "I want to see the plane, I think I'm (unclear)."

William to Harry: "Okay."

William to pageboys: "...to stop them coming in here, to stop them coming in this side, I mean it's hard."

William to Kate Middleton: "One more." The couple kiss for a second time. "That's it, come on!"

SOURCE: Huffington Post

29 Apr 2011



Baada ya miezi,wiki na masaa,hatimaye ile siku ya kihistoria imewadia.Leo,Ijumaa ya tarehe 29 April 2011,mjukuu wa Malkia Elizabeth wa Pili,Prince William,anafunga ndoa na mchumba wake Kate Middleton,jijini London.Inatarajiwa zaidi ya watu bilioni mbili duniani kote watakuwa wakifuatilia harusi hiyo kwenye runinga zao.

Kwa bahati nzuri,dada yetu Miss Jestina,anatarajia kufuatilia tukio hilo la kihistoria kwa karibu zaidi,na kila kitu kikienda kama kilivyopangwa basi atatuletea up-to-the-minute updates kuhusu tukio hilo la aina yake.Pamoja na mengineyo,anatarajiwa kufanya mahojiano na watu mbalimbali watakaohudhuria shughuli hiyo.

Wakati tunawatakia Prince William na mkewe mtarajiwa Kate ndoa njema na ya amani basi usikose kufuatilia shughuli hiyo ya kihistoria katika blogu ya dada yetu Miss Jestina,live and direct from London hapa Uingereza.

Bonyeza  picha ifuatayo kutembelea blogu ya Miss Jestina





Stay tuned

28 Apr 2011


As Donald Trump tries to leverage his brand with a reality-show campaign for president, surging to the top of the 2012 GOP polls, the past is coming back to bite him. The media establishment has been treating him more as colorful sideshow than serious candidate. But now that it seems The Donald might actually run, it’s time to take a closer look at the darker corners of his empire.

Take John Robbins. When the retired Army officer heard Trump, in a music-filled tent, talk of putting up the tallest building in Tampa, Fla., he wanted in—“because of the Trump name.” But Robbins lost half his $150,000 down payment when the condo project went bankrupt and was “floored” to learn that Trump had merely licensed his gold-plated moniker: “I just don’t see Trump fitting the role of commander in chief. Somebody has to stand up to Mr. Trump.”

Hamed Hoshyarsar invested $54,000 in a condo at the Trump Ocean Resort Baja for one reason: he was a fan of The Apprentice. He lost every dime when the project was never built. “I want to throw up every time I see him,” says the Los Angeles accountant. “I see all these people talking about him being president, and I would never vote for that guy.”

Trump, who exudes a blustery charm, doesn’t miss a beat. “What about the 50 deals that worked out great—are you going to cover that too?” he asks me. Let the record show he has built some fabulous properties—but has also filed for corporate bankruptcy four times, most recently with his casino unit. “I do play with the bankruptcy laws—they’re very good for me” as a way of cutting debt, Trump says.

He says he’s not responsible in lawsuits over the two failed condo projects because his partners were the actual builders—and, his attorney says, such confidential licensing agreements are standard. Besides, says Trump, the buyers are “lucky” because they would have lost more money in a tanking market had the projects been built.

Another venture, Trump University, had to change its name after New York authorities ruled it wasn’t properly licensed; the school is also under scrutiny in Texas, where officials are examining possibly deceptive practices. Tarla Makaeff spent $35,000 to “Learn from the Master,” as a brochure put it, but the marketer says she didn’t get much beyond two “mentors” who were barely available after showing her some properties needing rehab. “I’m just disgusted by their greed,” says Makaeff, who is suing the school.

But Trump, who is countersuing, has a tape of Makaeff calling two staffers “awesome.” “This is really bullshit stuff,” he says, citing customer surveys that rate the school highly.

Trump sells himself as a head-banging businessman who can shake up a dysfunctional Beltway culture. But as pundits belatedly put him under the microscope, they’ll find him all over the political map. While Mitt Romney is typecast as a flip-flopper, Trump declared in 2000 that “we must have universal health care”; now he says Obamacare is unconstitutional. He once pronounced himself “strongly pro-choice” but recently discovered that, guess what, he’s pro-life. Obama was “amazing” and “phenomenal,” Trump wrote in 2009; now, not so much. And while Newt Gingrich is branded an adulterer, Trump conducted a tabloid-frenzy affair with Marla Maples, the second of his three wives.

For now, the press has pushed back hardest on Trump’s strange decision to peddle the birther nonsense. But he knows his customers: polls show roughly half of Republicans don’t believe Obama is a citizen.

Trump is suddenly inescapable, all over the networks, which love Trump because he’s good for ratings and the field is dull. Remember Sarah Palin? Her spokeswoman chided news outlets on Twitter for largely ignoring her last speech.

Trump may be giving his rivals cover by dominating the stage, but if reporters keep turning over rocks, the master showman might be glad he hung onto his day job. 

SOURCE: Newsweek

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.