1 Apr 2009


Msafara na ulinzi wa "kufa mtu"
Obama akiwasili Na.10 Mtaa wa Downing baada ya kushuka kutoka kwenye "The Beast"
Siku ya kumbukumbu kwa askari huyu,pc Michael Zamora

Obama na mkewe Michelle na Gordon Brown na mkewe Sarah,nje ya Na 1o Mtaa wa Downing.
Obama na Gordon Brown katika Mkutano na waandishi wa habari.

NA SASA NI MAANDAMANO YA MAKUNDI MBALIMBALI JIJINI LONDON DHIDI YA MKUTANO WA G-20 (NA SABABU NYINGINEZO)







BONYEZA HAPA KWA PICHA ZAIDI ZA MAANDAMANO .

VYANZO: The Guardian,The Daily Mail na ITN


30 Mar 2009

HAYA NI MAONI YA NDUGU YANGU,BLOGA MWENZANGU DAVID MUSIKA.NAYAWASILISHA KAMA YALIVYO

ajali ngapi zilizowahi kutokea bila kuundiwa tume ya uchunguzi kwani hii ina nini? tena watu walikufa ni wawili tu! kule arusha,Tanga watu wangapi walikufa katika ajali na hatukusikia tume? kuna nini kinataka kufichwa hapa? kwanza kabisa inabidi chenge awe jela kwa kuendesha gari bila bima ya gari kwa miaka 2! ebu fikiria ungekuwa wewe unaedesha bila bima ya gari wacha kupata ajali? nahisi bado tanzania hatuna usawa!mbona yule kijana aliyemuua chacha wangwe hakupewa dhamana? au tuseme hao marehemu ndiyo walioua chenge katika ajili hiyo wangepewa dhamana? jamani lazima tutenda haki kwa kila mtanzania kwa vile ni haki ya mtanzania kuwa na haki katika nchi yake.kumwachia mzee chenge huru ni kuendeleza matabaka ya walionacho na wasio nacho. .

NAAMINI WAPENDA HAKI WOTE WANAUNGA MKONO MTIZAMO WA MR MUSIKA.HAKI SHURTI ITENDEKE PASIPO KUANGALIA MATABAKA.
(Pichani juu ni siku Chenge alipopokelewa kishujaa jimboni kwake baada ya kulazimika kujiuzulu kufuatia tuhuma za kumiliki vijisenti huko Jersey,UK.Unaweza kujiuliza inakuwaje watu wenye akili zao timamu wajazane namna hiyo kumlaki mtuhumiwa wa ufisadi.....jibu la swali hilo linaweza kutoa mwangaza wa namna vita ya ufisadi ilivyo ngumu,hususan kwenye kuondoa mentality ya kuwaenzi white-collar criminals).


LONDON, England (CNN) -- Leading British Cabinet minister Jacqui Smith's political future is in doubt after her husband admitted to paying for adult movies with taxpayers' money.

The home secretary's husband, Richard Timney, has apologized for the "embarrassment" he caused his wife, while she has promised to repay the money spent, including the £10 ($14) charge for the two films, the British Press Association reported.

According to British media reports, Smith had not seen the videos and was "mortified" that they had "mistakenly" been paid for using her MP's expense account.

Timney, who Smith pays £40,000 ($56,000) a year to be her office manager, submitted an expense claim last June for a £67 ($95) Virgin Media bill for television services in the couple's family home in Redditch, Smith's constituency, The Guardian newspaper reported.

It reported the bill included two adult films, at a cost of £5 ($7) each, as well as two viewings of the heist movie "Ocean's 13" and one of "Surf's Up," a children's film about a penguin.

The revelations could not come at a worse time for Smith, who is already being investigated by the Parliamentary Commissioner for Standards over her decision to claim at least £116,000 ($164,000) in second-home allowances for her family home since becoming an MP.

She has claimed the second-home allowance for her family home while living with her sister in London. Smith designated her sister's house as her "main" residence, allowing her to claim the money for her family home.

Conservative and opposition leader David Cameron described the latest news as "deeply embarrassing" for Smith.

He said Smith had "questions to answer," PA reported.

"I do not think this individual thing is the issue. I think she has got some questions to answer about the second home issue. It does seem to me pretty incredible to claim that the home where her family is, that is not her main home.

"I think this goes to a deeper problem, which is the second home allowance for MPs. The prime minister has ordered a review but he has sort of kicked it into the long grass.

"The review doesn't start until September, it is not going to report until after the next election. That is hopeless. We have got to get on with it."

Prime Minister Gordon Brown defended Smith.

"The home secretary is doing a great job and I do not think this issue should be allowed to detract from everything she is doing to ensure we protect the public and keep our neighborhoods safe," he said.

"She has done the right thing by taking steps to rectify the mistake that was made as soon as she became aware of it.

"This is very much a personal matter for Jacqui. She has made her apology, her husband has made clear that he has apologized."

Last week Brown ordered a review of the complex and opaque system of MPs' pay and allowances.

29 Mar 2009

A retired US police chief said he was robbed by “probably the dumbest criminal in Pennsylvania” at a police officers’ convention attended by 300 narcotics officers.

John Comparetto said that as he came out of a stall in the men’s room, a man pointed a gun in his face and demanded money.

Mr Comparetto gave up his money and mobile phone. But when the man fled, Mr Comparetto and some colleagues chased him.

They arrested 19-year-old Jerome Marquis Blanchett of Harrisburg as he was trying to leave in a taxi.

When a reporter asked Mr Blanchett for comment as he was led out of court, he said: “I’m smooth.”

About 300 police from Pennsylvania and Ohio were attending the narcotics officers’ convention near Harrisburg.


SOURCE: AP
Well,may be he's not the dumbest criminal ever...Look at the list below according to the Daily Mirror:
1: A stupid armed robber held up a petrol station in Vancouver and then returned to ask the cashier for directions. The 22-year-old man was chased by cops at 100mph after holding up staff at knifepoint but got lost and so pulled into a petrol station for help unaware it was the same one he had just robbed.

2: Dozy Californian thief Claud Gipson-Reynolds stole a fire engine and then radioed for help when it got stuck in the mud. Drunk Gipson-Reynolds called for a tow truck on the vehicle's radio – and was surprised when cops turned up instead. He said: "I could probably get on that show, World's Dumbest Criminals. I was pretty intoxicated at the time. My thinking was not the best." Sure was…

3: Brainless burglar John Pearce was left dangling upside down from the window of a house he was breaking into for an hour after getting his foot stuck. Home owner Paul Ives said: "He must be the world's dumbest thief." Pearce admitted a charge of burglary with intent to steal at Dartford magistrates.

4: A not so clever thief obviously didn't consider how easy it would be to spot him when he stole the prototype of a unique high-performance sports car worth £2m. The British-built Delfino Feroce, which has a maximum speed of 150mph, was being driven from a film studio when it was stolen from outside a flat in Fulham, west London
5: Dim-wit joyriders smiled for a speed camera as they raced past in a car they had just pinched. Police later used the photograph in court which clearly showed the teenage louts - nicknamed Dumb, Dumber and Dumbest by cops - turning round to make sure the camera got their best side. Police could not believe their luck when they found the speed trap picture - taken three hours before the Escort was torched.

6: Yob Andrew Kellett was slapped with an Asbo banning him from posting films of his antisocial antics on YouTube. Kellett, 23 - who calls himself Mr Chimp - was seen taking part in high speed car chases and boasting of 140mph speeds. In one of 80 clips, a car drives from a petrol station without paying, in another a wheelie bin is blasted with a firework and a third shows a man taking drugs. He said: "I'm not Britain's dumbest criminal - I'm just misunderstood."

7: Dopey burglar Peter Addison made it easy for police to track him down - by scrawling his name on a wall at the crime scene. The 18-year old wrote "Peter Addison was here" with black marker pen as he and friends raided a campsite for underprivileged children and went on a drunken wrecking spree. And when police tracked him down he did them another favour, by wearing a T-shirt he had stolen from the site to prove they had the right man.

8: Two would-be car thieves had their plans scuppered when they couldn't understand how to drive a manual. After holding up the owner at gunpoint the duo then spent several minutes trying to fathom out how to drive the Honda Accord to make good their escape in Georgia, U.S. However, before they could drive off police arrived and arrested them.

9: Germany's dumbest criminal was jailed for four years after he attempted to rob a bank wearing a mask that he couldn't see out of. He had to lift up his mask so he could demand money from the cashier which allowed cops to identify him.

10: Dim thieves stole presents from under a Christmas tree at a council's offices only to find out they were fake. Despite the boxes being unbelievably light and when shaken, would make no sound, they still made off with them thinking they had got their hands on a festive haul.

(Picha kwa hisani ya KENNEDY)

Gazeti la Majira limepotea mtandaoni kwa muda mrefu sasa,na kwa akina sie tunaotegemea habari za nyumbani kupitia nakala za kielektroniki za magazeti husika mkombozi wetu mkuu amebaki Mr Kennedy.Na ni kwa kupitia tovuti yake ndipo nilikutana na version isiyopendeza ya habari kuhusu ajali iliyomhusisha Mzee wa Vijisenti,Andrew Chenge,na kupelekea vifo vya akinadada wawili.

Gazeti la Majira lilidai kuwa marehemu hao ni "machangudoa waliokuwa wanatokea Maisha Club".Sijui vyanzo (sources) vyao vya habari husika ni vipi lakini mwandishi yeyote mwenye busara angepaswa kujiridhisha kuhusu identity halisi ya marehemu hasa kwa vile tunazungumzia watu waliopoteza maisha.Hivi mwandishi huyo atajisikiaje iwapo baada ya uchunguzi itagundulika kuwa marehemu hao hawakuwa machangudoa?In fact,magazeti kadhaa yameripoti maelezo ya ndugu za marehemu yanayoeleza kwamba mmoja wao alikuwa mfanyabishara na mwingine mfanyakazi wa hoteli jijini Mwanza.

Pengine haikuwa nia ya mwandishi kuwa-describe marehemu hao kama changudoa (labda kutokana na haraka ya kuwahisha habari kwa mhariri) lakini taswira ya haraka iliyopatikana kutoka katika habari hiyo ni ujenzi wa matabaka:kigogo (mzee wa vijisenti) kagonga fukara (changudoa).By the way,hata hata kama hao mabinti wangekuwa machangudoa as suggested by the Majira reporter bado haiondoi haki yao ya kuwa hai muda huu!

Kingine ambacho hakihusiani na uandishi japo kinahusu tukio hilo la kusikitisha ni namna Jeshi la Polisi linavyoonekana "kubabaika" katika kushughulikia ajali hiyo.Kwa mujibu wa vyombo vya habari,Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Suleiman Kova,ameunda TUME MAALUM ya kuchunguza ajali hiyo eti kwa "kuzingatia uzito wa tukio hilo".Chenge ni Mtanzania kama mie na wewe,na kama amehusika na ajali basi sheria za uslama barabarani zifanye kazi yake.Sijui ni madereva wangapi walalahoi wanaopata "bahati" kama ya Chenge ya kuundiwa tume!

Kamanda Kova anadai kuwa tume hiyo imeundwa ili "kusiwepo mwanya wowote ,taratibu zote zitafuatwa bila kujali nani na wala nafasi aliyonayo....na kuleta uwazi na utawala bora" (kwa mujibu wa gazeti la Majira) na pia amenukuliwa na gazeti la Mwananchi akisema kuwa "hapa bwana hakuna mchezo wala hakuna kuangalia vyeo wala nani ni nani...".Hivi matamshi kama hayo (iwapo kesi itapelekwa mahakamini) hayawezi kutumiwa na wakili wa Chenge kudai "ameonewa kwa vile Kamanda Kova alishadai hawataangalia vyeo-which directly points to Chenge ambaye licha ya kuwa ex-minister,pia ni munge na kigogo wa CCM?"

Kama nilivyoandika jana,tuendelee kuwapa polisi benefit of doubt kwa matarajio kwamba wanafahamu bayana kuwa tukio hilo linaangaliwa na Watanzania wengi kama kipimo cha haki sawa kwa wote (huku wakiwa na kumbukumbu ya kesi ya marehemu Ditto).

SHAHIDI katika kesi ya kuomba na kupokea rushwa ya sh 600,000 inayomkabili Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Mbelekese, wilayani Iramba, Singida, Iddi Mughenyi, juzi alipata kipigo kutoka kwa mwanasheria wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwenye viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Iramba, kwa madai kuwa alimgeuka katika ushahidi alioutoa mahakamani hapo.

Mtuhumiwa alipata kipigo kutoka kwa mwanasheria huyo aliyetambulika kwa jina moja la Mchumi, kwa madai kwamba alimgeuka katika ushahidi aliuotoa mahakamani hapo.

Tukio hilo la aina yake limedaiwa kutokea muda mfupi baada ya Mughenyi kutoa ushahidi katika kesi namba 14/2009 inayomkabili ofisa mtendaji huyo.

Akizungumza kwa njia za simu kutoka Iramba, mmoja wa watumishi wa mahakama hiyo ambaye hakutaka kutajwa jina, alisema kuwa kuna kila dalili kuwa ushahidi uliotolewa na shahidi huyo haukumridhisha mwanasheria Mchumi, kwa madai kwamba ulikuwa kinyume cha walivyokubaliana.

“Idd Mughenyi ni shahidi wa upande wa TAKUKURU kwenye kesi hiyo ambayo Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Mbelekese anatuhumiwa kuomba na kupokea rushwa, lakini juzi aliposimama kizimbani aliikana taasisi hiyo, kitendo ambacho kinawezekana kilimuudhi mwanasheria huyo ambaye ndiye alikuwa mwendesha mashtaka katika kesi hiyo,” alifafanua mtumishi huyo wa mahakama.

Aidha, mtumishi huyo alisema baada ya kesi hiyo kuahirishwa na kutoka nje ya mahakama, ndipo Mchumi alipomweka chini ya ulinzi shahidi huyo na kumtaka apande kwenye gari ili waende ofisi za TAKUKURU Wilaya ya Iramba.

Alisema kutokana na shahidi huyo kugoma kupanda gari kwa madai ya kutofahamu kosa, ndipo mwanasheria huyo alipoanza kumpiga makofi hadi kumuumiza kwenye jicho la upande wa kushoto na kumchania shati.

Alibainisha tukio hilo lilishuhudiwa na baadhi ya mahakimu, na kuongeza kuwa waliwaamru askari kwenda kuamua ugomvi huo, kisha kuwapeleka kituo cha polisi.


RUSHWA NI RUSHWA,IWE NDOGO AU KUBWA.LAKINI INGEPENDEZA ZAIDI KUONA TAKUKURU IKITUMIA MISULI MINGI KWENYE RUSHWA KUBWA NA UFISADI SAMBAMBA NA HIZO RUSHWA NDOGO.MAPAPA WA KAGODA NA RICHMOND (achana na yule Mdosi aliyepandishwa kizimbani) BADO WANAPETA URAIANI SAMBAMBA NA MAFISADI WA RADA.

28 Mar 2009

(Photo credit:JIJI LA DAR)

Mayor threatens legal action against street name changers

SEBASTIAN MRINDOKO
Dar es Salaam

A TOP local government official in Dar es Salaam has roundly rebuked the ongoing trend of people clandestinely changing street names in the city without following proper channels, including getting the blessing of the City Fathers.

According to the Mayor of the Ilala Municipality, Abuu Jumaa, legal action will certainly be taken against such people once sufficient proof is obtained.

Referring specifically to a query by THISDAY on the name-change applied to one of the city’s most historically famous thoroughfares Kisutu Street, now apparently going by the name of ’PRAMUKH SWAMI’, Mayor Jumaa stated unequivocally:

’’My office has never received an official application to change the Kisutu Street name into an Indian name. Therefore, such an action is an insubordination to the city authority.’’

The mayor’s statement is a direct contradiction of that made last year by the former deputy mayor of the same Ilala Municipality, Mohamed Yakoub, who asserted in an interview with THISDAY that the Kisutu Street name-change had been given a formal stamp of approval.

’’All the (Ilala) municipality legal procedures were properly followed in changing the name of not only Kisutu Street, but also some other streets around the city centre,’’ Yakoub said.

But according to current mayor Jumaa, there are no records whatsoever showing the change of the traditional Kisutu name to ’PRAMUKH SWAMI.’

THISDAY last year ran a series of articles on the increasing trend of various streets within Dar es Salaam’s central business district, suddenly acquiring bizarre-sounding new names in highly mysterious circumstances.

It has been noted that skepticism is on the rise amongst members of the general public over the supposed ’secrecy’ shrouding the whole exercise, with open suggestions that corruption at certain local government levels may be involved.

The Dar es Salaam City Director, Bakari Kingobi, has conceded in the past that such street name changes could very easily cause confusion particularly for tourists who may be trying to find their way around the metropolis using officially-approved city maps.

According to Kingobi, only the city authorities have the mandate to administer such street name changes.

’’There is only one city authority - not two - responsible for administering such name-changes to the city streets. Anyone who tries to do so without informing this city authority, is violating the law and is liable for prosecution,’’ he said.

Speaking to THISDAY yesterday, Ilala Municipality mayor Jumaa said it amounted to sacrilege for anyone to change a street name on the basis of racial, tribal, or religious beliefs.

’’There are some basic criteria used to endorse suggestions for street name changes. Bias of any sort is not one of them,’’ he asserted.

He also said streets with traditionally famous names like Kisutu should be left alone, while anyone wanting to recommend a street name to suit their own needs should look for streets with no names at all � of which apparently there are still many.

According to Jumaa, the municipal authorities will seek explanations from the local government authorities regarding the Kisutu Street name-change in particular.

Any official found to have been responsible for wrongdoing in the whole episode will be taken to task through legal channels, he added.

SOURCE: ThisDay


Aliyekuwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge (61), amewekwa chini ya ulinzi katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, Dar es Salaam, kwa zaidi ya saa saba baada ya kuhusishwa na ajali ya gari na bajaj ambayo imeua watu wawili. Waliokufa ni wanawake wawili ambao ndugu amejitokeza na kudai kuwa wote ni wageni, waliwasili juzi Dar es Salaam kutoka Mwanza na mmoja alikuwa njiani kwenda Zanzibar kuolewa. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, ajali hiyo ilitokea saa 10 alfajiri usiku wa kuamkia jana wakati Chenge akiendesha gari namba T 512 ACE aina ya Toyota Hilux na kuigonga bajaj hiyo namba T 736 AXC iliyokuwa na abiria hao wawili wanawake.

Chanzo hicho kilidai kuwa baada ya ajali hiyo, Chenge alikwenda kwanza nyumbani kwake na kuripoti kituoni hapo saa moja asubuhi jana na kuwekwa chini ya ulinzi na kuhojiwa hadi saa saba mchana, huku nje akisubiriwa na ndugu zake. Gazeti hili lilimshuhudia mbunge huyo wa Bariadi Magharibi akiingizwa kwenye gari la Polisi namba PT 0217 na kwenda eneo la tukio karibu na shule ya msingi ya Oysterbay katika makutano ya barabara za Karume na Haile Selassie, ambako alieleza namna ajali hiyo ilivyotokea.

Wakati mbunge huyo akitolewa katika kituo cha Polisi, kulitokea vurugu baina ya ndugu zake na waandishi wa habari, ndugu hao wakitaka kuzuia Chenge kupigwa picha, hali iliyosababisha kusukumana na kurushiana maneno makali. “Ninyi mmezidi kumwonea huyu kwani ni lazima mumpige picha ndio muuze? Hebu tokeni hapa,“ alisikika mwanamke ambaye alikuwa mstari wa mbele kusukuma waandishi, huku akilia na almanusra wapigane na mmoja wa wapigapicha waliokuwa kazini.

Hata hivyo, vurugu hizo zilimalizika baada ya waandishi kuwazidi nguvu ndugu hao na kung’ang’ania kumpiga picha mbunge huyo ambaye awali alikuwa akifunikwa magazeti na nduguze, lakini aliyatoa na kupisha waandishi wampige picha vizuri. Akiwa katika eneo la tukio, Chenge alimwelezea Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Peter Kivuyo, namna ajali hiyo ilivyotokea na alidai ilitokea baada ya bajaj hiyo kutaka kupita gari jingine kwa kasi.

“Bajaj ile ilikuwa inataka kupita gari jingine lililokuwa likitoka Morogoro Stores, bahati mbaya kukawa na gari lingine linakuja, ile bajaj ikabana upande wangu na mimi nilikuwa katika mwendo wa kati ya kilometa 80 hadi 100 kwa saa,“ alidai Chenge. Alidai kuwa baada ya kuona bajaj ile inakwepa gari la mbele wasigongane uso kwa uso, alirudi upande wa kulia ndipo alipoigonga ubavuni kushoto. "Gari la nyuma lingesimama, dereva wake angeweza kueleza vizuri, ila baada ya ajali nikasikia watu wanaita 'Chenge! Chenge!’ nikajua niko salama, nikashuka,“ alidai.

Aliendelea kudai kuwa aliposhuka, alikuta abiria wawili wanawake wakiwa bado wanapumua ingawa kwa shida, lakini walipofika trafiki hali zao zilizidi kuwa mbaya na katika kipindi hicho chote, dereva wa bajaj alikuwa haonekani. Naye askari wa usalama barabarani aliyefika katika ajali hiyo, Mustafa Salum, alimweleza Kivuyo juu ya tukio hilo, ambapo alisema alipata taarifa za ajali hiyo saa 10.30 alfajiri na alipofika eneo la tukio, alikuta tayari abiria hao wawili wameshafariki dunia. “Niliipeleka miili ya marehemu hospitali ya Mwananyamala, ila kwa mujibu wa watu waliokuwa eneo la tukio, waliowaona marehemu hao wawili katika ukumbi wa Maisha Club,“ alisema.

Naye kaka wa mmoja wa marehemu hao, January Constantine, alisema alipata taarifa za kifo cha dada yake, Beatrice Constantine (34) asubuhi na alikwenda kutambua mwili wake hospitalini, lakini kutokana na alivyopondeka alimtambua kwa alama za mwili. Alisema dada yake ni mfanyabiashara na mkazi wa Mwanza na kwamba aliwasili Dar es Salaam, akiwa na rafiki yake huyo na ilikuwa aondoke jana alfajiri kwenda Zanzibar kwa ajili ya harusi ya rafiki yake huyo. Gazeti hili lilishuhudia gari la Chenge kwa mbele likiwa na damu, nywele na mabaki ya ubongo ambao unasadikiwa kuwa wa mmoja wa marehemu hao. Polisi pia iliokota kipande cha fuvu la mtu katika eneo la tukio.

Gari hilo lilikuwa na stika ya Bima ambayo ilikatwa Juni 6, 2006 na kumaliza muda wake Juni 6, mwaka juzi. Naye Theopista Nsanzugwanko anaripoti kuwa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Suleiman Kova, alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema mmiliki wa bajaj hiyo ni Zuwena Nassoro na anatakiwa kuripoti katika kituo chochote cha Polisi huku wakiwa wanamshikilia Chenge Oysterbay ili kuisaidia Polisi. Alisema uchunguzi wa tukio hilo unafanywa chini ya Kivuyo na wataalamu mbalimbali ili kuondoa dhana ya upendeleo kwa kuwa Chenge ni mtu maarufu.

Chenge (62) alijiuzulu uwaziri wa miundombinu Aprili 20 mwaka jana, kutokana na kashfa ya rushwa ya dola milioni moja kutoka kampuni kubwa ya uuzaji vifaa vya kijeshi duniani ya BAE Systems. Alijiuzulu baada ya kudaiwa kupokea rushwa ili kuwezesha ununuzi wa rada ya kijeshi ya pauni milioni 20 za Uingereza na kwamba fedha hizo ziliwekwa katika akaunti yake ya kisiwa cha Jersey.

Baada ya kujiuzulu, alikaririwa akisema pamoja na tuhuma hizo, mapenzi kwa nchi yake na chama chake, ndivyo vilimlazimisha achukue uamuzi huo na kuongeza kuwa fedha zilizokutwa katika akaunti yake hiyo hazina uhusiano wowote na BAE Systems. Tuhuma hizo za rushwa zilichochea kelele pale alipohojiwa na waandishi wa habari na kujibu kuwa fedha anazotuhumiwa nazo ni 'vijisenti (fedha kidogo)'.

CHANZO: HabariLeo

I SMELL DITOPILE-LIKE ADMINISTRATION OF JUSTICE......KWA UBINADAMU WA KAWAIDA TU,GARI LAKO LIKIHUSIKA KATIKA AJALI INAYOPELEKEA HATARI YA MAISHA YA MAJERUHI PRIORITY INAKUWA KWENYE KUOKOA MAISHA YA MAJERUHI HAO (KWA MUJIBU WA HABARI HII MZEE WA VIJISENTI ALIKWENDA ZAKE NYUMBANI HADI SAA 1 ASUBUHI ALIPORIPOTI KITUO CHA POLISI NA KUHOJIWA KWA MASAA 7-(DOES IT REALLY MATTER HOW LONG THE INTERROGATION LASTED WHEN TWO PEOPLE HAD ALREADY LOST THEIR LIVES?).

ANYWAY,LET'S GIVE THE POLICE A BENEFIT OF DOUBT HOPING THAT THIS TIME HAKUTAKUWA NA USANII KAMA KATIKA ISHU YA MAREHEMU DITO.

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.