15 Sept 2010

Dharau inayoonyeshwa na mgombea wa CCM Jakaya Kikwete kuendelea kutoa ahadi zaidi ilhali nyingi ya alizotoa mwaka 2005 hazijatimizwa,sasa imehamia kwa mkewe.Katika ukurasa wake wa Twitter (@salmakikwete),mke huyo wa Rais ameandika "“Tuwasikilize,tupembue chuya zikae upande wake,chenga upande wake na mchele ukae upande wake,tuseme lililo lililo la kweli,kama serikali haitatoza kodi,itaendeshaje shughuli zake?” Kauli hiyo pia inapatikana kwenye ukurasa wake wa Facebook.

Kwanza,pamoja na kumheshimu kama First Lady lakini ilipaswa huyu mama akae kimya.Anatumia raslimali za taifa kumkapeni mumewe wakati anafahamu fika yeye (Salma) si mgombea.Huu ujasiri wa kinafiki wa kutetea kodi sijui unatoka wapi kwa vile tatizo letu kama taifa sio tu kwenye uzembe katika ukusanyaji kodi bali pia matumizi mabaya ya hata hiyo kodi ndogo inayokusanywa baada marafiki wa watawala kupewa misamaha ya kido kifisadi.

Hivi huyu mama anafahamu kuwa mumewe alipofanya ziara ya ghafla Bandari ya Dar es Salaam alitamka waziwazi kuwa anawafahamu watu wanaofanya ufisadi bandarini hapo?Na miongoni mwa ufisadi mkubwa sehemu hiyo ni dili za kukwepa kodi.

Sasa kama kweli ana uchungu na mapato ya serikali kwanini asimkumbushe mumewe kuhusu majina ya mafisadi wa Bandari ambao hadi dakika hii hajawataja au kuwasilisha majina yao kwa wahusika?

Kama unadhani namsingizi Kikwete hebu soma habari ifuatayoiliyochapishwa na gazeti la Nipashe la Machi 3 mwaka huu

Nawajua wanaosaidia kukwepa kodi TRA- Kikwete
2009-03-03 10:59:53
Na Joseph Mwendapole
Rais Jakaya Kikwete amesema ana orodha ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) wasio waaminifu ambao wanashirikiana na wafanyabiashara kukwepa kodi kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
Alisema anaifanyia kazi orodha hiyo na akishamalizana nayo atamkabidhi Kamishna Mkuu wa TRA, Harry Kitilya, ili achunguze na kuwafukuza kazi wafanyakazi watakaothibitika kujihusisha na vitendo hivyo.
Aliyasema hayo jana wakati akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) na wadau wa bandari Tanzania alipotembelea Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni ufuatiliaji wa agizo alilotoa mwezi uliopita kupunguza msongamano wa makontena.
Alisema serikali haiwezi kuvumilia watu wanaoikosesha mapato.
Akitoa mfano namna wizi huo unavyofanywa, Rais Kikwete alisema wanaweza kuendesha zoezi hilo kwa simu ambapo mtu aliyeko Dubai anapewa maelezo namna atakavyojaza fomu ili mzigo wake usipite kwenye scanner, hali inayoweza kupitisha mizigo haramu kama dawa za kulevya.
Alisema wafanyakazi na wafanyabiashara hao wanatumia udanganyifu kuwa kontena hizo zimebeba mitumba, kumbe ndani ya mitumba hiyo wakati mwingine inatumika kufunika magari.
``Ninayo orodha ndefu na nitaikabidhi kwa Kamishna Mkuu wa TRA, Kitilya ili awafuatilie na ahakikishe anawatimua kazi mara moja wale watakaobainika wanahusika na mchezo huo ili tuanze upya,`` alisema.
Alisema serikali haiwezi kuvumilia kuwa na wafanyakazi wanaokula njama za kuipotezea mapato.
Kikwete alisema bandarini kuna uzembe mkubwa ambao hauvumiliki na aliuagiza uongozi kuondoa matatizo yaliyopo badala ya kukaa na kunung`unika.
Alisema msongamano wa makontena umekuwa ukiisababishia serikali kukosa mapato mengi na alisisitiza kuwa bandari ni sehemu muhimu ambayo serikali haiwezi kuiacha iwe ya hovyo.
Akiwa katika kitengo cha kuchunguza bidhaa katika kontena, Tiscan, Rais Kikwete alisema maelezo aliyopewa na TPA yanatofautiana na yale aliyopewa na viongozi wa Tiscan.
``Hapa mbona mimi sielewi naomba mnieleweshe, hawa Tiscan wanasema wana uwezo wa kuchunguza hata makontena 200 kwa siku ila wanasema tatizo ni nyinyi hamleti kontena za kutosha... Jamani fanyeni kazi na muachane na visingizio na malalamiko,`` alisema Kikwete.
Aliagiza mamlaka hiyo impe taarifa ya maendeleo ya utekelezaji wa upunguzaji wa makontena ndani ya wiki mbili zijazo na aliahidi kutembelea tena bandari hiyo.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama cha Wakala wa Forodha, Otieno Igogo, alimweleza Rais Kikwete kuwa wadau wa Bandari ya Dar es Salaam walikubaliana kulipa dola 30 ikiwa ni gharama za kuhamishia kontena moja katika bandari kavu.
Igogo alimweleza Rais kuwa ingawa wadau wote wamekuwa wakichangia, Kampuni ya Kimataifa ya Kupakua Kontena Bandarini (TICTS), imegoma kutoa fedha hizo.
Alisema dola 30 ambazo TICTS walipaswa kulipa kwa kila kontena linalohamishiwa bandari kavu kama wanavyolipa wadau wengine, zimekuwa zikitolewa na TPA.
Baada ya kauli hiyo ya Igogo, Rais alisema anashangaa kuona jeuri hiyo ya TICTS na kusema kuwa TPA ina mamlaka, lakini haitaki kuyatumia.
Kikwete alisema TPA imefanya vizuri kulipa gharama ambazo TICTS imekataa kuzilipa, lakini aliagiza mamlaka hiyo ihakikishe TICTS inazirudisha mara moja.
``Nyinyi mnashangaza sana, mna mamlaka, lakini hamyatumii... Sasa hizi gharama lazima walipe na wakiwashinda mwelezeni waziri na waziri akishindwa niambieni mimi,`` alisema.
Wakati huo huo, Kikwete alikataa maelezo marefu ambayo Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Ephraem Mgawe, alitaka kuyasoma mbele yake na badala yake akamtaka amweleze sababu za msongamano kutoma lizika.
Baada ya kuelezwa hivyo, Mgawe alimweleza Rais Kikwete kuwa kikosi kazi kilichoundwa kufuatia agizo lake kinaendelea kujitahidi kuondoa msongamano uliopo.
Alisema Mamlaka inatarajia kuwa utekelezaji wa mikakati iliyowekwa itafanikisha kupunguza hali ya msongamano mwezi Machi mwaka huu.
Mgawe alisema katika kipindi cha mwaka 2007/08, TPA ilihudumia tani milioni 6.239, ambalo ni ongezeko la tani 227,222 au asilimia 3.8 ikilinganishwa na tani milioni 6.003 zilizohudumiwa mwaka 2006/07.
Alisema katika kipindi hicho mamlaka ilipata ziada ya Sh. bilioni 37.879 kutokana na mapato ya Sh. bilioni 168.789 na matumizi ya Sh. bilioni 133.909.
SOURCE: NIPASHE

Wito wangu kwa Salma Kikwete ni simple: kama alikuwa anataka kugombea uongozi angegombea lakini sio kuendelea kutumia raslimali za taifa kumkampenia mumewe.Anapaswa kutambua kuwa raslimali hizo zinagharamiwa na walipa kodi ambapo wengi wao si wana-CCM (takwimu za karibuni zinaonyesha wanachama wa CCM ni takriban milioni 5 tu kati ya Watanzania takriban milioni 45).

Tunatambua kuwa Salma anataka kuendelea kuwa First Lady lakini asifanye hivyo kwa kuwabebesha gharama Watanzania wote hata wasio wana-CCM.Anaweza kuitumia WAMA kumfanyia kampeni mumewe lakini Watanzania hawataki kuona ufisadi wa mchana mweupe unaofanywa kwa misingi ya kifamilia.

Naamini mwanamama huyu anafuatilia habari za kimataifa,na hivyo amesikia yaliyomkumba Vera Chiluba,mke wa aliyekuwa Rais wa zamani wa Zambia,Frederick Chiluba,aliyehukumiwa kwenda jela kwa ufisadi.

Ni vema Salma akasoma alama za nyakati ili pindi mumewe atakapokabidhi madaraka kwa Dokta Wilbroad Slaa hapo Novemba familia ya Kikwete isianze "kutafutana".

Na hiyo "tweet" yake ya kuchambua pumba na mchele nadhani ni vema akiielekeza kwa mumewe ambaye so far anaonekana kunogewa na "ugonjwa" wa kutoa ahadi.Mara uwanja wa ndege Kigoma,mara kuboresha kilimo cha kakao,mara atawapatia akinamama chanjo ya cervical cancer,mara vijiji 11 vya Mkinga vitapatiwa maji,mara hili mara lile alimradi ni "vurugu mechi ya ahadi".Kwani Rais wa Tanzania 2005-hadi sasa alikuwa nani kama sio Jakaya Mrisho Kikwete?Kwanini hayo anayoahidi sasa hakuyatekeleza katika awamu yake ya sasa?Na kwani tuamini kuwa atayatekeleza katika awamu yake ya mwisho-kipindi atakachokuwa bize kujitengenezea mazingira ya "kumpumzika kwa amani" kama Mkapa?

Blogu hii inawakumbusha tena wapiga kura kwamba Kikwete hayuko serious ndio maana ameamua kurejea nyingi ya ahadi zake za 2005 bila aibu wala kuwaomba msamaha Watanzania kwa kutozitekeleza.Kumrejesha tena Ikulu itakuwa ni kosa kubwa kupita kiasi kwani katika awamu yake ya mwisho atairejesha nchi yetu kwenye zama za mawe.

TANZANIA BILA UFISADI INAWEZEKANA
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA
TANZANIA BILA KIKWETE,SIO TU INAWEZEKANA,BALI NI MUHIMU LAZIMA KWA USTAWI WA TAIFA LETU.
CHAGUA DOKTA SLAA KWA UKOMBOZI NA "UHURU WA PILI",CHAGUA CHADEMA KWA TANZANIA YENYE NEEMA.


Dharau inayoonyeshwa na mgombea wa CCM Jakaya Kikwete kuendelea kutoa ahadi zaidi ilhali nyingi ya alizotoa mwaka 2005 hazijatimizwa,sasa imehamia kwa mkewe.Katika ukurasa wake wa Twitter (@salmakikwete),mke huyo wa Rais ameandika "“Tuwasikilize,tupembue chuya zikae upande wake,chenga upande wake na mchele ukae upande wake,tuseme lililo lililo la kweli,kama serikali haitatoza kodi,itaendeshaje shughuli zake?” Kauli hiyo pia inapatikana kwenye ukurasa wake wa Facebook.

Kwanza,pamoja na kumheshimu kama First Lady lakini ilipaswa huyu mama akae kimya.Anatumia raslimali za taifa kumkapeni mumewe wakati anafahamu fika yeye (Salma) si mgombea.Huu ujasiri wa kinafiki wa kutetea kodi sijui unatoka wapi kwa vile tatizo letu kama taifa sio tu kwenye uzembe katika ukusanyaji kodi bali pia matumizi mabaya ya hata hiyo kodi ndogo inayokusanywa baada marafiki wa watawala kupewa misamaha ya kido kifisadi.

Hivi huyu mama anafahamu kuwa mumewe alipofanya ziara ya ghafla Bandari ya Dar es Salaam alitamka waziwazi kuwa anawafahamu watu wanaofanya ufisadi bandarini hapo?Na miongoni mwa ufisadi mkubwa sehemu hiyo ni dili za kukwepa kodi.

Sasa kama kweli ana uchungu na mapato ya serikali kwanini asimkumbushe mumewe kuhusu majina ya mafisadi wa Bandari ambao hadi dakika hii hajawataja au kuwasilisha majina yao kwa wahusika?

Kama unadhani namsingizi Kikwete hebu soma habari ifuatayoiliyochapishwa na gazeti la Nipashe la Machi 3 mwaka huu

Nawajua wanaosaidia kukwepa kodi TRA- Kikwete
2009-03-03 10:59:53
Na Joseph Mwendapole
Rais Jakaya Kikwete amesema ana orodha ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) wasio waaminifu ambao wanashirikiana na wafanyabiashara kukwepa kodi kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
Alisema anaifanyia kazi orodha hiyo na akishamalizana nayo atamkabidhi Kamishna Mkuu wa TRA, Harry Kitilya, ili achunguze na kuwafukuza kazi wafanyakazi watakaothibitika kujihusisha na vitendo hivyo.
Aliyasema hayo jana wakati akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) na wadau wa bandari Tanzania alipotembelea Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni ufuatiliaji wa agizo alilotoa mwezi uliopita kupunguza msongamano wa makontena.
Alisema serikali haiwezi kuvumilia watu wanaoikosesha mapato.
Akitoa mfano namna wizi huo unavyofanywa, Rais Kikwete alisema wanaweza kuendesha zoezi hilo kwa simu ambapo mtu aliyeko Dubai anapewa maelezo namna atakavyojaza fomu ili mzigo wake usipite kwenye scanner, hali inayoweza kupitisha mizigo haramu kama dawa za kulevya.
Alisema wafanyakazi na wafanyabiashara hao wanatumia udanganyifu kuwa kontena hizo zimebeba mitumba, kumbe ndani ya mitumba hiyo wakati mwingine inatumika kufunika magari.
``Ninayo orodha ndefu na nitaikabidhi kwa Kamishna Mkuu wa TRA, Kitilya ili awafuatilie na ahakikishe anawatimua kazi mara moja wale watakaobainika wanahusika na mchezo huo ili tuanze upya,`` alisema.
Alisema serikali haiwezi kuvumilia kuwa na wafanyakazi wanaokula njama za kuipotezea mapato.
Kikwete alisema bandarini kuna uzembe mkubwa ambao hauvumiliki na aliuagiza uongozi kuondoa matatizo yaliyopo badala ya kukaa na kunung`unika.
Alisema msongamano wa makontena umekuwa ukiisababishia serikali kukosa mapato mengi na alisisitiza kuwa bandari ni sehemu muhimu ambayo serikali haiwezi kuiacha iwe ya hovyo.
Akiwa katika kitengo cha kuchunguza bidhaa katika kontena, Tiscan, Rais Kikwete alisema maelezo aliyopewa na TPA yanatofautiana na yale aliyopewa na viongozi wa Tiscan.
``Hapa mbona mimi sielewi naomba mnieleweshe, hawa Tiscan wanasema wana uwezo wa kuchunguza hata makontena 200 kwa siku ila wanasema tatizo ni nyinyi hamleti kontena za kutosha... Jamani fanyeni kazi na muachane na visingizio na malalamiko,`` alisema Kikwete.
Aliagiza mamlaka hiyo impe taarifa ya maendeleo ya utekelezaji wa upunguzaji wa makontena ndani ya wiki mbili zijazo na aliahidi kutembelea tena bandari hiyo.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama cha Wakala wa Forodha, Otieno Igogo, alimweleza Rais Kikwete kuwa wadau wa Bandari ya Dar es Salaam walikubaliana kulipa dola 30 ikiwa ni gharama za kuhamishia kontena moja katika bandari kavu.
Igogo alimweleza Rais kuwa ingawa wadau wote wamekuwa wakichangia, Kampuni ya Kimataifa ya Kupakua Kontena Bandarini (TICTS), imegoma kutoa fedha hizo.
Alisema dola 30 ambazo TICTS walipaswa kulipa kwa kila kontena linalohamishiwa bandari kavu kama wanavyolipa wadau wengine, zimekuwa zikitolewa na TPA.
Baada ya kauli hiyo ya Igogo, Rais alisema anashangaa kuona jeuri hiyo ya TICTS na kusema kuwa TPA ina mamlaka, lakini haitaki kuyatumia.
Kikwete alisema TPA imefanya vizuri kulipa gharama ambazo TICTS imekataa kuzilipa, lakini aliagiza mamlaka hiyo ihakikishe TICTS inazirudisha mara moja.
``Nyinyi mnashangaza sana, mna mamlaka, lakini hamyatumii... Sasa hizi gharama lazima walipe na wakiwashinda mwelezeni waziri na waziri akishindwa niambieni mimi,`` alisema.
Wakati huo huo, Kikwete alikataa maelezo marefu ambayo Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Ephraem Mgawe, alitaka kuyasoma mbele yake na badala yake akamtaka amweleze sababu za msongamano kutoma lizika.
Baada ya kuelezwa hivyo, Mgawe alimweleza Rais Kikwete kuwa kikosi kazi kilichoundwa kufuatia agizo lake kinaendelea kujitahidi kuondoa msongamano uliopo.
Alisema Mamlaka inatarajia kuwa utekelezaji wa mikakati iliyowekwa itafanikisha kupunguza hali ya msongamano mwezi Machi mwaka huu.
Mgawe alisema katika kipindi cha mwaka 2007/08, TPA ilihudumia tani milioni 6.239, ambalo ni ongezeko la tani 227,222 au asilimia 3.8 ikilinganishwa na tani milioni 6.003 zilizohudumiwa mwaka 2006/07.
Alisema katika kipindi hicho mamlaka ilipata ziada ya Sh. bilioni 37.879 kutokana na mapato ya Sh. bilioni 168.789 na matumizi ya Sh. bilioni 133.909.
SOURCE: NIPASHE

Wito wangu kwa Salma Kikwete ni simple: kama alikuwa anataka kugombea uongozi angegombea lakini sio kuendelea kutumia raslimali za taifa kumkampenia mumewe.Anapaswa kutambua kuwa raslimali hizo zinagharamiwa na walipa kodi ambapo wengi wao si wana-CCM (takwimu za karibuni zinaonyesha wanachama wa CCM ni takriban milioni 5 tu kati ya Watanzania takriban milioni 45).

Tunatambua kuwa Salma anataka kuendelea kuwa First Lady lakini asifanye hivyo kwa kuwabebesha gharama Watanzania wote hata wasio wana-CCM.Anaweza kuitumia WAMA kumfanyia kampeni mumewe lakini Watanzania hawataki kuona ufisadi wa mchana mweupe unaofanywa kwa misingi ya kifamilia.

Naamini mwanamama huyu anafuatilia habari za kimataifa,na hivyo amesikia yaliyomkumba Vera Chiluba,mke wa aliyekuwa Rais wa zamani wa Zambia,Frederick Chiluba,aliyehukumiwa kwenda jela kwa ufisadi.

Ni vema Salma akasoma alama za nyakati ili pindi mumewe atakapokabidhi madaraka kwa Dokta Wilbroad Slaa hapo Novemba familia ya Kikwete isianze "kutafutana".

Na hiyo "tweet" yake ya kuchambua pumba na mchele nadhani ni vema akiielekeza kwa mumewe ambaye so far anaonekana kunogewa na "ugonjwa" wa kutoa ahadi.Mara uwanja wa ndege Kigoma,mara kuboresha kilimo cha kakao,mara atawapatia akinamama chanjo ya cervical cancer,mara vijiji 11 vya Mkinga vitapatiwa maji,mara hili mara lile alimradi ni "vurugu mechi ya ahadi".Kwani Rais wa Tanzania 2005-hadi sasa alikuwa nani kama sio Jakaya Mrisho Kikwete?Kwanini hayo anayoahidi sasa hakuyatekeleza katika awamu yake ya sasa?Na kwani tuamini kuwa atayatekeleza katika awamu yake ya mwisho-kipindi atakachokuwa bize kujitengenezea mazingira ya "kumpumzika kwa amani" kama Mkapa?

Blogu hii inawakumbusha tena wapiga kura kwamba Kikwete hayuko serious ndio maana ameamua kurejea nyingi ya ahadi zake za 2005 bila aibu wala kuwaomba msamaha Watanzania kwa kutozitekeleza.Kumrejesha tena Ikulu itakuwa ni kosa kubwa kupita kiasi kwani katika awamu yake ya mwisho atairejesha nchi yetu kwenye zama za mawe.

TANZANIA BILA UFISADI INAWEZEKANA
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA
TANZANIA BILA KIKWETE,SIO TU INAWEZEKANA,BALI NI MUHIMU LAZIMA KWA USTAWI WA TAIFA LETU.
CHAGUA DOKTA SLAA KWA UKOMBOZI NA "UHURU WA PILI",CHAGUA CHADEMA KWA TANZANIA YENYE NEEMA.




13 Sept 2010



Hii ndiyo Bunda ya Dk. Slaa

Leo tuko Bunda. Acha picha hizi ziseme zenyewe. Maelezo mengine
baadaye. Itoshe tu kusema kwamba miongoni mwa maelfu ya wana Bunda waliofurika kumsikiliza Dk. Slaa katika viwanja vya Sabasaba ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Francis Isack. Alikaa jukwaa moja na Dk. Slaa, naye alimsifu kwa ukomavu wa kisiasa, lakini akamuonya kwamba kama alikuwa amekwenda pale kwa nia tofauti, atazame umma, apime nguvu yake na apeleke taarifa za kile anachosikia na kuona. Alimsimamisha DC huyo akawasalimia wananchi kwa kunyosha mikono juu.

Picha na Habari kwa Hisani ya NGURUMO

Je wajua kuwa licha ya mgombea wa CCM Jakaya Kikwete kukacha mdahalo na wagombea wa vyama vingine anapatikana kirahisi mtandaoni ambapo "anauza" sera zake na "mafanikio" yake?Kama ulikuwa hufahamu basi nenda Twitter kisha tafuta @Kikwete2010 au nenda Facebook kisha tafuta Jakaya Kikwete.

I know siasa za chama kimoja zimeacha kasumba ya kufurahia kugusana mabega na watawala.No wonder kuna wenzetu muda huu wanakenua meno yote thelathini na kitu kwa vile wamepokea ujumbe kama huu "Kikwete2010 is following you..." au "Salma Kikwete is Following you..." 

Si ajabu kuna wenzetu wamefotokopi meseji za aina hiyo wakiamini kuwa Kikwete na mkewe Salma wanawajali saaaana hadi wameamua kuwa-follow up huko Twitter au kuungana nao hapo Facebook.KALAGABAHO!Kwanini hujiulizi WHY NOW?Kikwete na mkewe walikuwa Ikulu tangu Desemba 2005 na HAWAKUKUTAFUTA.Hushangai kwanini leo wanataka urafiki nawe?Well,sio kosa kuwa rafiki na rais au mkewe lakini urafiki huu hauna tofauti na ule wa mtenda tendo la ndoa na kondomu.Zana hiyo (kondom) huwa na umuhimu wa kipekee (kwa wale wanaojali) kabla na wakati wa tendo la ndoa,lakini pindi shughuli ikimalizika kondom huwa ni uchafu usiovumilika.ANGALIA,usijetumika kama kondomu: Kikwete akuone muhimu sasa kwa vile anahitaji kura lakini akakusahau (kama alivyokusahau 2005-till now) baada ya kurejea Ikulu.

Badala ya ku-retweet kila anachoandika,tumia haki yako kama Mtanzania kuhoji masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.Twende mbali zaidi ya kupongeza na kuona sifa "kugusana mabega" na watawala.Sio kosa kushabikia lakini ushabiki wenye maana ni ule unaombatana na matumizi sahihi ya akili.

Now you-in case you didn't.Muulize Kikwete,je ile kauli aliyotoa mwaka 2006 kuwa anawafahamu wala rushwa kwa majina ila anawapa muda wa kujirekebisha imefikia wapi?Je wameshajirekebisha?Je anaweza kututajia majina ya waliojirekebisha na waliogoma kufuata ombi hilo la kichovu?

Muulize pia kwamba kabla ya sakata la Richmond aliahidi kuwa tatizo la umeme lingebaki kuwa historia.A few months later,matapeli wa Richmond wakaingia kwenye picha.Today,tatizo la umeme ni as sugu as ufisadi.Mkalie kooni na kumhoji,kama huko nyuma alitoa ahadi ya kutupatia ufumbuzi wa umeme na hakutimiza,kwanini tumwamini sasa?

Muulizie pia kama bado anaamini kuwa mimba za wanafunzi wa kike zinasababishwa na kimbelembele chao.Yah,muulize swali hilo kwa vile hadi sasa bado hajakanusha au kuwaomba msamaha Watanzania kwa kauli hiyo ya kizembe.

Usikose kumuuliza pia kama hadi sasa hajui sababu zinazoifanya Tanzania kuwa masikini maana alinukuliwa akijiuliza swali hilo.Nenda mbali kidogo na kumhoji kama alikuwa hajua kwanini Tanzania ni masikini sasa anafanya nini hapo Ikulu?

Sasa hivi amenzisha hash tag #Mafanikio huko Twitter.Hapo utapata nafasi nzuri ya kujionea waziwazi namna Awamu ya Nne ya Kikwete ilivyoshindwa kuikomboa Tanzania kutoka kwenye umasikini licha ya raslimali lukuki tulizonazo.Hapo Kikwete na wapambe wake wanataja mapato yaliyotokana na utalii na madini.Mkalie kooni na kumhoji kama mapato ndio hayo,kwanini sie bado masikini?Fedha hizo zimeenda wapi kama sio kwenye akaunti za mafisadi?Na kwenye utalii muulize pia kuhusu meno ya tembo yaliyokamatwa huko Hong Kong yakitokea Tanzania.

Kumbuka,usikubali kutumika kwa maslahi ya mtu mwingine.Kumhoji mwanasiasa anayeomba kukuongoza ni haki yako.Usiichezee.Badala ya kujipendekeza kwa RT (Retweets za Kikwete2010) tumia fursa hiyo kumuuliza maswali ya msingi yanayohitaji majibu ya haraka.

PAMOJA TUNAWEZA

12 Sept 2010












Sijui ndio dalili kuwa mwenendo wa kampeni unakwenda ovyo au ni ubabaishaji tu,lakini "mkwara" uliochimbwa na mnajimu mahiri,Sheikh Yahya Hussein,kwamba anampatia Rais Jakaya Kikwete ulinzi wa majini ni suala linalopaswa kukemewa kwa nguvu zote.Na ukweli kwamba mtajwa-i.e. Kikwete- amekaa kimya ni ushahidi tosha kuwa ananufaishwa na majini hayo.

Kwa baadhi yetu tunaofahamu yanayofanyika "nyuma ya pazia" (behind the scene) hatushtushwi kihivyo na habari hizo kwa vile siasa za Tanzania na ushirikina ni kama samaki na maji.Hakuna msimu mzuri kwa waganga wa kienyeji kama huu wa uchaguzi ambapo wanasiasa wababaishaji wanajaribu kupata msaada wa nguvu za giza ili wapate ushindi.

Awali,Sheikh Yahya alitoa tishio kuwa atakayejitokeza kuwania nafasi ya urais na Kikwete atakutwa na mauti.Well,so far tukio pekee la kutishia uhai wa mwanasiasa katika harakati za uchaguzi wa mwaka huu ni kudondoka jukwaani kwa Kikwete wakati anazindua kampeni zake kwenye viwanja vya Jangwani.Whether majini yaligoma kutumikishwa au Kikwete alikiuka masharti ya mganga wake Sheikh Yahya leaves a lot to be desired.

Binafsi natafsiri tishio hili jipya la Sheikh Yahya kama mkakati mufilisi wa Kikwete na CCM yake kuwatisha wapiga kura.Yea,kwani kama si hivyo kwanini basi mhusika asikanushe hadharani na kusema "ulinzi pekee nilionao ni huu unaotolewa na Idara ya Usalama wa Taifa".Hawa ni wataalam wa ulinzi wa viongozi na wanalipwa kwa ajili ya kazi hiyo.Sasa kama kuna ulinzi mwingine wa nguvu za giza,na ambao Kikwete anauamini,basi pengine ni muhimu kuokoa fedha za walipa kodi kwa kusitisha ulinzi anapotatiwa na "walinzi binadamu" na abaki na hayo majini ya Sheikh Yahya.

Samahani kama nitakuudhi lakini nashawishika kueleza kuwa napatab tabu sana kuelewa kwani pamoja na madudu yote haya-from sera to ushirikina,from afya mgogoro to kurudia ahadi za 2005 as if hii ndio mara ya kwanza kwa JK kuwania urais-bado kuna Watanzania wenzetu wanatamani mwanasiasa huyu na chama chake warejee madarakani.Jamani,hivi Kikwete na CCM wafanye nini zaidi ili mfikie hatua ya kusema "aah sasa basi,just go away!"?

Hivi mkiweka kando ushabiki,hizi "ahadi za fotokopi" anazotoa Kikwete zilishindikana vipi kutekelezwa katika miaka yake mitano aliyokuwa madarakani?Hata kama angejitetea kuwa muda mwingi alikuwa nje ya nchi kutalii bado alikuwa na baraza kubwa la mawaziri ambalo lingeweza kabisa kutekeleza maagizo yake.

Kama mnampenda kwa dhati basi bora msimpe kura ili aweze kupumzika kwa amani kwani kumrejesha tena Ikulu hapo Oktoba ni kumbebesha mzigo ule ule uliomshinda katika miaka mitano tunayomaliza.Hii ni kwa faida yake na yenu.Na anazidi kuwaonyesha kuwa badala ya kutegemea mambo halisi kufikia malengo yaliyokusudiwa,sasa kageukia majini.Nchi haiwezi kuongozwa kwa msaada wa majini.Na kamwe Tanzania haiwezi kupiga hatua kama miongoni mwa wasaidizi wa Rais ni majini.

MPIGA KURA,SHEIKH YAHYA AMEKUPA SABABU NYINGINE KATI YA NYINGI ZILIZOPO ZA KUMNYIMA KURA YAKO KIKWETE.KURA KWA KIKWETE ITAKUGHARIMU MIAKA MITANO IJAYO AMBAPO LICHA YA UFISADI,FEDHA ZA WALIPAKODI ZITATUMIKA KULIPA FADHILA KWA MAJINI WANAOMPATIA ULINZI WAKATI HUU WA KAMPENI.

KUMBUKA JINI LIKITOKA KWENYE CHUPA HALIRUDI.IN CASE YOU FORGET,VIDEO IFUATAYO ITAKUKUMBUSHA(GENIE IN A BOTTLE)




Yesterday,the world joined Americans in remembering the 9/11 terrorist attacks which left scores dead and many others injured.The aftermath of the attacks has completely transformed global politics and rekindled hostile relations between the West and the Muslim world.Is the US,and the world in general,safer from further terrorist attacks?Is there a possibility of another 9/11 in the future (God forbid)?

Despite varying opinions on the subject,it is fair to conclude that terrorism remains the main threat to mankind to-date.Unfortunately,some of the actions taken by the Americans after the 9/11 attacks have somehow served as recruitment tools for future terrorists.The Iraq invasion,for instance,had little to do with 9/11 although George Bush and his fellow neo-cons tried their best to sell the idea,and eventually failed.Of course,it was necessary to bring an end to Saddam Hussein's evil rule,but, arguarbly,not at the cost the world is likely to pay.The invasion has most likely acted as a huge recruitment tool for terrorist in the Gulf region.Presence of the US troops in the country became an instant pull factor for terrorists from different parts of the world.

Although the US invasion of Afghanistan could be justified,mainly due to the fact that the Taliban offered a safe haven for Osama bin Laden,the alleged mastermind of the 9/11 attacks,there are growing signs that the war would ultimately be concluded without a clear victory,just as the case has been in Iraq.Worse still,Osama is still at large,and his capture-if it ever happens-would probably be by sheer luck than the US military and intelligence might.

The 9/11 terrorist attacks escalated the West-Muslim world relations, already uneasy,to  more confrontational stance.The US and other Western countries were willing to sacrifice civil liberties in the name of national security.As a result,the minority Muslim population in these countries became even more alienated as they became the prime targets of some draconian anti-terror legislations.Scores have since then been arrested and put into detention with most denied access to legal representation.The mere existence of the Guantanamo facility is a clear evidence as to how a nation many tend to turn to for global  leadership of the free world is in fact abusing civil liberties.

However,intelligence and security matters are quite complex.Actually,speaking from a professional point of view,the fact that there has never been another terrorist attack in the US should certainly be perceived as quite a success for the various organisations entrusted by the Americans to keep them safe.While such organisations are required to be vigilant 24/7,a terrorist needs only a minute if not seconds to succeed in their evil mission.

All in all,for the world to be such a nice place to live,the threat from terrorism needs to be eliminated at least to a maximum level.Unfortunately,the future does not look so promising.In some way,the West is still not doing enough to address what some objective observers regards to be the pull factors in Islamic radicalisation.I will mention a few with Tanzania being a specific case.

Many studies on Islamic radicalism have shown that poverty plays a crucial role in attracting secular Muslims to turn into Islamic extremists.My own research has so far pointed out that one of the major factor for the rise of Islamism in Tanzania is,putting it bluntly,poverty.During my fieldwork,some respondents who supported the Islamist cause in the country confirmed that their participation in various Islamist groups in Tanzania was a way to protest against the State.Such groups offered them a platform to address social and economic problems facing the country.

Tanzania has emerged as "darling of the West" despite rampant corruption and inherent social injustices.The current regime under President Jakaya Kikwete who is vying for a second term in the coming elections in October has wrecked the fragile economy while trading in dangerous grounds by promising unrealistic solutions to the grievances by the disgruntled Muslim population e.g. promising re-establishing Kadhi courts and joining the OIC.Five years later,such promises which were given during the 2005 General Election campaigns are yet to be realised,putting the country in a compromising position for possible troubles in the future.

Ironically,Kikwete has been showered with praises for his leadership,with the latest coming from the UN Secretary General,Ban Ki-Moon wishing him victory in the forthcoming election.He was also the first leader from Africa to meet President Barack Obama since he got into the White House.It is widely known in the security circles that the American interest on Tanzania is in their effort to contain a growing terrorist threats posed by various Islamist groups in Somalia.The West has turned a blind eye to what is currently happening in Tanzania just because their strategic interest in the country are far more important than the welfare of the majority of Tanzanians.Undoubtedly,Kikwete and his party will portray themselves to voters as being trusted by the West,and therefore try to win some cheap votes.

It is fair to say that the huge share of Africa's stolen wealth is in some Western financial institutions.It also makes no sense at all to see the West pouring aid to African countries when some part of such aid is either used to oppress democracy at a local level or strengthening corrupt regimes such as Tanzania's.As a result,the majority poor would readily fall victim to religious fanatics who promise heaven to them while doing their best to fill the vacuum caused by the State in provision of basic social and economic needs.

I am not calling for suspension of aid but what Africans need is transparent and responsible aid.For such aid to be effective,donor countries have to make sure that the money they offer benefit the whole population and not just a clique of corrupt politicians.The same strictness that some Western governments have shown towards recipients of stimulus packages in their countries should be applied to recipients of their aid.

Finally,as this year's 9/11 commemoration was overshadowed by  the crazy threat  by a Florida-based "twisted pastor" Terry Jones that he would burn the Holy Koran,it is worth reminding all peace-loving people of the world that replicating what the terrorists are doing will only give them further excuses to continue with their evil acts.A blank hate towards all Muslims would only encourage even those who are totally opposed to religious extremism to join forces with terrorists.

Let's work together,regardless of our faiths, to keep the world a better place to live.

9 Sept 2010

Image and video hosting by TinyPic
Waandishi Wetu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewazuia wagombea wake wa ubunge kushiriki katika mdahalo unaoendeshwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwa kuhusisha wagombea wa vyama vyote katika kila jimbo.
Kipindi hicho kinarushwa kila Jumanne kupitia Kituo cha Televisheni cha TBC1 kwa lengo la kuwasikiliza wagombea wakijinadi pamoja na kunadi sera za vyama vyao.
Habari zilizolifikia gazeti hili jana zimeeleza kuwa wagombea wa CCM wamezuiwa kushiriki mdahalo huo kwa barua iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,Yusuf Makamba kwenda kwa makatibu wa chama wa wilaya na mikoa yote nchini.

"Ninawaandikia kuwajulisha kwamba, wagombea wetu wasishiriki katika aina hiyo ya mdahalo, mpaka hapo mtakapoelezwa vinginevyo.” imesema sehemu ya barua hiyo ambayo nakala yake imepelekwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania, TBC.

Hata hivyo tayari wagombea kadhaa wa ubunge wa CCM wameshiriki kipindi hicho kilichoanza kurushwa hewani mbili zilizopita kwa kuwakutanisha wagombea ubunge wa vyama mbalimbali vya siasa nchini.

Baadhi ya wagombea ubunge wa CCM waliokwisha shiriki mdahalo huo ni pamoja na Hawa Ngh’umbi wa Jimbo la Ubungo na Chrispin Meela anayegombea ubunge katika jimbo la Vunjo.
"Kipindi hicho kimerushwa hewani kwa mara ya kwanza katika Jimbo la Ubungo Dar es Salaam na mgombea wa CCM alishiriki, sijui kwa maelekezo ya nani. Sina tatizo na kipindi. Nina tatizo na ushiriki wetu," ainasema sehemu ya barua hiyo ya Katibu Mkuu.

Katika kipindi hicho wagombea ubunge wa vyama mbalimbali huulizwa maswali na wasikilizaji na watazamaji wanahudhuria katika mdahalo huo.

Kipindi hicho kiliporushwa kwa mara ya kwanza katika Jimbo la Ubungo, mgombea wa CCM (Hawa Ngh’umbi )alipata wakati mgumu kujibu maswali ya watazamaji wa kipindi hicho na kuishia kupandwa na jazba nakutishia kumshitaki, mtu aliyemuliza swali gumu.

Katika barua yake hiyo ya Agosti 31, mwaka huu, Makamba licha ya kukitilia mashaka kipindi hicho na alihoji mgombea wao wa Ubungo alishiriki kwenye mdhahalo huo kwa maelekezo ya nani.
Katika kile kinachoweza kutafsiriwa kwamba agizo hilo la Makamba limeanza kutekelezwa, juzi mgombea ubunge wa CCM katika Jimbo la Arusha Mjini, Batilda Buriania hakushiriki kipindi hicho.

Hata hivyo, Batilda alisema hakuhudhuria mdahalo wa Arusha kutokana na chama chake kutopewa taarifa na yeye ni mgombea wa CCM sio mgombea binafsi.


“Nimekuwa nikitumiwa ujumbe wa simu kuwa nimeingia mitini katika mdahalo…mimi siwezi kuingia mitini nimedhuria midahalo mikubwa tena ya kimataifa ndani na nje ya nchi siwezi kukimbia hivi sasa,”alisema Dk Batilda.

Barua hiyo yenye kumbukumbu namba CCM/OND/SG/194/9 ya Agosti 31 ambayo Mwananchi imefanikiwa kuiona, Makamba aliwaambia makatibu hao wa CCM kuwa wagombea wote wa chama hich wasishiriki kipindi hicho hadi CCM itakapotafakari kwa kina manufaa itakayopata kwa kushiriki kwao
Alisisitiza kuwa CCM ina utaratibu wake wa kujinadi na kunadi sera zake kwa wananchi ambao anaamini kuwa bado unakidhi haja.

“Tuna utaratibu mzuri wa kijinadi na kunadi sera zetu kwa wananchi; utaratibu wa mikutano ya hadhara na mikutano ya ndani. Utaratibu huo bado unakidhi haja. Tunaendelea nao,” alisema Makamba.

Akizungumza na gazeti hili jana, Makamba alisisitiza akisema: "Hatutaki. Tumekataa ndio. Sisi yetu ni mikutamo ya hadhara. Tutaeleza huko malengo, ilani yetu na sera zetu kwa wananchi. Hatuoni sababu ya kukaa katika chumba kidogo na kuwapa nafasi ya ushiriki watu wachache."

Aliendelea: "Hatuoni sababu ya kwenda kwenye huo mjadala kwa kuwa mikutano yetu ya hadhara inajitosheleza."

Alipotakiwa kueleza kama chama kitawachukulia hatua wagombea wake waliokwishashiriki kipindi hicho, Makamba alijibu: "Hakuna adhabu watakayochukuliwa kwa sababu chama kilikuwa hakijatoa maagizo."

Taarifa zilizopatikana baadaye jana zilieleza kwamba, agizo hilo la Makamba pia limepokelewa katika jimboni Karatu ambako mgombea ubunge wa CCM aliamua kujitoa kwenye mdahalo huo juzi.

Mdahalo wa wagombea wa jimbo hilo, ulipangwa kufanyika juzi katika ukumbi wa maendeleo Karatu, lakini wakati wagombea wengine wakiwa wanajiandaa, taarifa zilitolewa kuwa mgombea wa CCM, Dk Wilbard Lorry hawezi kuhudhuria.

Viongozi wa vyama vya Chadema na CUF, katika wilaya hiyo, walilalamikia kuahirishwa ghafla kwa mdahalo huo wakati walikuwa wamesitisha kampeni vijijini na kurudi Karatu.

Katibu wa CUF Wilaya ya Karatu, Stivin Siay alisema chama chao kilikuwa kimemwandaa mgombea wake kwa mdahalo huo.

“Tunashangaa kujiondoa kwa CCM katika mdahalo huu kumesababisha mdahalo kuahirishwa…,” alisema Siay.

Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Karatu, Moshi Darabe alisema walipata taarifa za kuahirishwa mdahalo huo dakika za mwisho kwa maelezo kuwa mgombea wa CCM hatahudhuria.

Alisema taarifa hizo kwanza zilipatikana ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, ambao ndio awali walitoa taarifa za kuwepo maombi ya TBC kuandaa mdahalo huo.

Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Karatu, Clemence Berege akizungumzia kuahirishwa kwa mdahalo huo alisema kwamba, ofisi yake haihusiki kwani waliotaka kuendesha mdahalo huo ni TBC.

Habari hii imeandaliwa na Mussa Juma, Arusha na Exuper Kachenje

Chanzo: Mwananchi


8 Sept 2010

Image and video hosting by TinyPic
Josephine Mushumbusi, amezungumza kupitia Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ambaye pia ni wakili wa Dk Willibrod Slaa, Tundu Lissu, akaviambia vyombo vya habari kuhusu tuhuma zinazowakabili yeye na Dk. Slaa kuwa kwa mara nyingine, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimerejesha mfumo wa uchaguzi unaobadilishwa kuwa mfumo ya kijinga (a silly season). Akasema kwamba CCM wamekuwa wakikishambulia Chadema kuwa ni chama Wachagga; kwamba baadhi ya viongozi wake ndio walimuua Chacha Wangwe; na kwamba Dk Slaa ametumwa na kanisa Katoliki kugombea urais; lakini baada ya kuona hadithi hizo zimepuuzwa, sasa wameibuka na suala jipya na “ndoa za Dk. Slaa” wakidhani zitawasaidia kugeuza macho ya umma kutoka kwenye masuala muhimu ya wakati huu.

Akasema CCM hawataki Dk. Slaa na Chadema wajadili wizi, ubadhirifu wa fedha na mali za umma; hawataki wajadili wizi wa Sh. bilioni 772 zilizoibwa katika mwaka 2008/9 tu, kwa mujibu wa ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali; hawataki Chadema itaje majina ya wezi wa Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT); hataki Chadema wajadili jinsi JK na rafiki zake, akina Edward Lowasaa, Nazir Karamagi, Andrew Chenge na Rostam Azizi walivyofilisi taifa hili; hawataki Chadema ijadili madai halali ya wafanyakazi wa Tanzania na ahadi za ‘maisha bora kwa kila Mtanzania.’ CCM hawataki Chadema kijadili sera mbadala ambazo zinalenga kuwakomboa Watanzania kutoka lindi la umaskini.

Wanataka kulielekeza taifa zima katika kujadili masuala ya ‘chumbani’ kwa Dk. Slaa; analala na nani, ana wake wangapi, kawapata wapi na kadhalika; ili kwa kufanya hivyo mgombea wao awarubuni wananchi kwa ziara mikoani na ahadi kemkem zisizotekelezeka.

Tundu Lissu amesisitiza kuwa kila wanapoona wamebanwa, CCM huwa wanabuni njama za kukomoa washindani wao, kama walivyofanya huko nyuma. Alitoa mifano ya kilichotokea miaka ya 1995 na 2005.

Mwaka 1995: Kwa kumwogopa Mrema aliyekuwa tishio kwa CCM, walimtumia mwanamke mmoja, aitwaye Angelina, wakidai ni kimada aliyezaa na Mrema; akawa analala getini kwa Mrema, Masaki, Dar es Salaam. Wakamdhalilisha. Baada ya uchaguzi, Mrema akashindwa, na suala la Angelina halikujadiliwa tena.

Mwaka 2005 tishio la CCM ilikuwa Chama cha Wananchi (CUF), hasa Zanzibar. CCM wakamtumia Inspekta Jenerali wa Polisi, Omar Mahita, siku chache kabla ya uchaguzi, kudai kuwa amekamata lori lenye mapanga, majambia, visu na silaha nyingine zenye nembo ya CUF. Wakakipaka chama matope. Baada ya uchaguzi, hatukuelezwa lolote kuhusu visu hivyo.

Mwaka huo huo, katika uchaguzi wa ndani ya chama, baada ya kundi la JK kuona limezidiwa mno, likaamua kumzushia Dk. Salim Ahmed Salim likidai ni Mwarabu, na muuaji wa Rais Abeid Amani Karume. Wakamhujumu, Na baada ya uchaguzi hawakuzungumzia tena uarabu wa Dk. Salim.

Mwaka 2010: Tishio la CCM ni Chadema na Dk. Slaa. Baada ya kuona upepo unawaendea vibaya, CCM wameamua kufanya siasa za mtaro wa maji taka; hizi wanazotumia watu kumwandama Dk Slaa.

Tundu Lissu alisema kuwa Chadema hawako tayari kufanya siasa za majitaka; na kwamba Watanzania hawako katika kujadili mambo hayo, kama hali ya afya za wagombea, ambao baadhi wanadaiwa kuwa na virusi vya ukimwi kiasi cha kubadili damu kila baada ya miezi, na kwamba kwa sababu ya unyonge huo, baadhi yao waanguka mara kadhaa jukwaani.

Akasema wao hawatazungumzia baadhi ya wagombea urais wana wake wangapi, mahawara wangapi, na wamewaweka katika ofisi gani za umma, wapi wamepewa mikataba minono ya fedha kwa upendeleo, na kadhalika. Akasisitiza kwamba Chadema haitajibu uchafu unaosambazwa na vyombo vya habari, lakini akasema, “sauti yetu itasikika iwapo wataenda mahakamani.”
Akasema Chadema itazungumzia umaskini wa Watanzania na namna ya kuupunguza au kuuondoa; jinsi Tanzania ilivyo nchi ya tatu katika Afrika lakini wanakijiji wanalazimishwa kujenga shule za kata huku serikali ikifuja mabilioni ya pesa (kama hizo bilioni 772/- zilizotafunwa ndani ya mwaka mmoja.

Akasema Chadema itajadili malipo ya anasa kwa mawaziri, maisha duni ya polisi, walimu, wauguzi na makundi mengine yanayonyonywa katika jamii. Akasema Chadema itajadili jinsi ya kuboresha afya za wananchi.

Akasema, “hatutaki siasa za chumbani, bali za hadharani.”

Kwanini wamshambulie Dk Slaa? Kwa sababu ni Dk. Slaa.

- Ana rekodi ya kuwashinda CCM mara tatu, kwa miaka 15 mfululizo
- Amekuwa sauti kuu ya wananchi Bungeni, inayotetea masilahi ya umma
- Kuliko kiongozi yeyote aliyewahi kuwapo Tanzania ndani ya miaka 50, ni Dk Slaa pekee aliyetaja hadharani mafisadi 11 bla woga wowote. Walioathirika kwa ujasiri wake ndio hao wanaomsakama sasa kwa mambo ya chumbani badala ya mambo ya hadharani.


7 Sept 2010


Picha na Habari: Daily Mail

6 Sept 2010



Balozi Mpya wa Tanzania nchini Uingereza Mh Peter Kallaghe aliwaalika Watanzania na kuftari pamoja nyumbani kwake jumamosi tarehe 04.09.10. Baada ya kuftari Mh Kallaghe alijitambulisha na kuwashukuru Watanzania wote waliofika nyumbani kwake. Pia aliahidi kuwa karibu na Watanzania.
Urban Pulse Creative Imewaletea video ya tukio hili. 


From:
Mr. Ban Ki-Moon
To: [email protected]
Eco Bank Compensation unit, maro militaire Boulevard
St Michel face Fedas Building Plot 433, YAYI BONI
Crescent Asokoro District Cotonou Benin republic
P.O. Box 280, Cotonou.
In affiliation with the United Nations
Send a copy of your response to official

Contact person Mr. Traval Cheick
Email: [email protected]
Director Eco Bank Benin plc
Direct Line: +22998717333 Fax: +22998717337

ATTN: Sir / Madam,

How are you today, Hope all is well with you and family? You may not understand why this mail came to you. In regards to the recent meeting between the United Nations and the Present United States Government to restore the dignity and Economy of the Nations Base on the Agreement with the World Bank Assistance to help and make the world a better place for all with the sole aim of abolishing poverty.

We have been having a meeting for the passed 7 months which ended 2 days ago with the then secretary to the UNITED NATIONS.


This email is to all the people that have been scammed in any part of the world, the UNITED NATIONS have agreed to compensate them with the sum of $1.500.000.00 {One Million Five Hundred Thousand United States Dollars} This includes every foreign contractors that may have not received their contract sum, and people that have had an unfinished transaction or international businesses that failed due to Government problems etc.


Your name and email was in the list submitted by our Monitoring Team of Economic and Financial Crime Commission observers and this is why we are contacting you, this have been agreed upon and have been signed.

You are advised to contact Mr. Traval Cheick of Eco BANK BENIN PLC, as he is our representative in Benin, contact him immediately for your ATM master card of {$1.5Million} This funds are in a ATM Master Card for security purpose ok? So he will send it to you through Courier Company of your choice.

This meeting was first held on the 8th of April 2003. You can view this page for your perusal: 

http://www.un.org/News/Press/docs/2003/ik344.doc.htm

Therefore, you should send him your full Name and telephone number/your correct mailing address where you want him to send your ATM Master Card immediately:

Contact: Mr. Traval Cheick 
Director Eco Bank Benin plc
Phone: +22998717333 Fax: +22998717337

Good luck and kind regards,
Making the world a better place


Mr. Ban Ki-Moon

Secretary (UNITED NATIONS)

http://www.un.org/sg/

5 Sept 2010


Courtesy of NGURUMO


Kuna msemo wa Kiingereza usemao "unchallenged,a lie often assumes a status of truth",yaani uongo usipokabiliwa unaweza kupata hadhi ya ukweli. Msemo huu unaweza kuwa na umuhimu wa kipekee kwa mgombea wa tiketi ya urais kupitia Chadema,Dokta Wilbroad Slaa.Tangu atangazwe kuwa mgombea wa chama hicho,kumekuwa na mashambuli lukuki yanayoelekezwa kwake katika jitihada za kuifanya jamii imwone kuwa mchafu na asiyefaa kumrithi Jakaya Kikwete,mgombea kwa tiketi ya chama tawala CCM.

Ni dhahiri kuwa wanaoeneza sumu hiyo dhidi ya Dkt Slaa wanafanya hivyo kwa malengo makuu mawili.Kwanza,kama nilivyobainisha hapo juu,ni kumfanya aonekane hafai kuwa rais wa Tanzania.Aonekane hafai,kisha akose kura za kutosha kumwingiza Ikulu,na mafisadi waendelee kuvuna wasichopanda katika nchi yetu iliyogeuzwa shamba la bibi.

Lakini la pili ni kupoteza malengo au kwa ufasaha ku-divert attention.Yaani wanachotaka ni Dkt Slaa na Chadema waanze kuhangaika kujibu shutuma,jambo ambalo litawapunguzia muda na focus ya kampeni.Yaani badala ya mgombea huyo kuwashawishi Watanzania atawafanyia nini,mafisadi wanataka aanze jukumu la kujitetea kuhusu tuhuma zinazoelekezwa kwake.

Wapo wanaoshauri kuwa dawa ya kudili na tuhuma ni kuzipuuza.Kuna wakati mkakati huo ni mzuri lakini hilo linawezekana katika aina flani ya jamii.Katika jamii yetu ambapo bado asilimia kubwa ya watu wananyimwa uhuru wa kujua ukweli na kuchanganua mambo,uongo usiokanushwa unaweza kabisa kuchukua nafasi ya ukweli.Na ukidhani nachoandika hapa ni hisia zangu tu basi rejea zengwe aliloundiwa Dokta Salim Ahmed Salim alipotangaza dhamira yake ya kugombea urais mwaka 2005.Kikwete na wanamtandao wenzake walimwaga sumu kubwa dhidi ya Dkt Salim hadi wakafanikiwa kumdhibiti.Jitihada zake za kujisafisha hazikuweza kufua dafu kwa character assassination strategy ya wanamtandao.

Ikumbukwe kuwa tunaishi katika jamii iliyolazimika kutegemea umbea na tetesi kubashiri ukweli.Haya ni baadhi ya matokeo ya mfumo dhalimu wa chama kimoja ambapo mambo pekee yaliyopaswa kufahamika kwa umma ni yale yaliyoonekana mazuri kwa watawala.

Kadhalika,kinachotokea kwa Dokta Slaa ni sehemu ya uchafu unaoambatana na fani ya siasa (politics is a dirty game).Huko Marekani,baada ya Barack Obama kuonekana ana nguvu za kumpeleka Ikulu,zilianza kampeni chafu kuhusu imani yake ya dini ikidaiwa alikuwa Muislam (kana kwamba Uislam ni sawa na uhaini nchini humo).Baadaye wakamzushia kuwa sio raia wa Marekani.Timu ya Obama haikukaa kimya bali ilipambana kwa nguvu dhidi ya kampeni hizo chafu na hatimaye Obama akafanikiwa kuingia Ikulu.

Chadema na Dokta Slaa wanaweza kuamua kuwapuuza wanaoeneza sumu kali dhidi yao.Lakini kwa namna hali ilivyo ambapo vyombo vya serikali (vinavyoendeshwa kwa fedha za walipa kodi) kama gazeti la Habari Leo vinapojiunga na kampeni hizo za siasa za maji taka basi ni muhimu kukabiliana nao mapema.

Na kwa kuanzia,nadhani kuna umuhimu wa kulichukulia hatua gazeti la Habari Leo hususan pale lilipoandika "Dokta Slaa padri msomi".Sentensi hiyo ilikuwa na lengo la kumkosesha mgombea huyo kura za wasio Wakatoliki.Ni dhahiri sentensi hiyo ililenga kuendeleza kashfa kuwa Dokta Slaa ni kiongozi wa dini na anataka kuingia Ikulu kuwatumikia Wakatoliki/Wakristo na sio Watanzania wote kwa ujumla.Kulipeleka gazeti hilo kwa Baraza la Habari ni kupoteza muda kwa vile sana sana wataishia kupewa onyo tu.Wanachostahili sio onyo bali adhabu kali ya kuwakumbusha kuwa wanatumia vibaya fedha za walipa kodi kwa maslahi ya watu binafsi.Ni mafisadi kama wale wa Kagoda au Richmond.

Sijui sheri za Tanzania zinasemaje kuhusu super injunctions zinazokataza kuzungumzia maisha ya mtu binafsi.Hapa Uingereza baadhi ya watu maarufu wamekuwa wakizitumia taratibu hizo za kisheria kuwabana vimbelembele wanaoishi kwa kuchokonoa maisha ya wenzao.Naamini Chadema wana wanasheria mahiri wanaoweza kuangalia namna ya kukabiliana na wazushi hawa wanaofadhiliwa na mafisadi.

Blogu hii inatoa wito kwa Dokta Slaa na Chadema kwa ujumla kutokalia kimya uhuni huu ambao pasipo kudhibitiwa unaweza kabisa kuathiri matokeo ya uchaguzi.Hatuhitaji kujiuliza kwanini wamwandame Dkt Slaa pekee na sio wagombea wengine kwani rekodi yake dhidi ya mafisadi ni siri iliyo wazi,na hofu kubwa ya wanaoeneza sumu dhidi yake ni kuwa akiingia Ikulu itawalazimu watafute mahala pa kujificha.


Pasipo kutarajia,CCM inaweza kulazimika kuuambia umma kwanini mafisadi waliotajwa kwenye List Of Shame (orodha ya mafisadi sugu iliyowekwa wazi na Chadema viwanja vya Mwembeyanga) hawajachukuliwa hatua hadi leo.Kama ambavyo chama hicho tawala kilivyokosa umakini katika kuongoza nchi ndivyo walivyokurupuka na kuwasilisha malalamiko yao NEC wakidai "wametukanwa kwa kuitwa mafisadi".Sijui ni ulevi wa madaraka au ubabaishaji tu kiasi kwamba walisahau kuwa wote waliotajwa katika List of Shame hawajathubutu kwenda mahakamani kama walivyotishia kwa kuogopa "kuwekwa uchi zaidi".Sasa wamejipeleka mahakamani wenyewe kwa kudai tuhuma hizo ni kashfa.Utamu wa stori hii uko kwenye ukweli kwamba ukidai nimekukashifu basi unawajibika kuthibitisha tuhuma nilizotoa dhidi yako sio za kweli.Kibaya zaidi kwa mafisadi waliotajwa,CHADEMA wana ushahidi mzito dhidi ya watajwa.Patamu hapo!

Hebu soma habari husika

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewasilisha ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) majibu ya utetezi wake kuhusu malalamiko ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa kimeikashifu viongozi wake waandamizi wakati wa uzinduzi wa kampeni huku kikitoa orodha ya mafisadi kama moja ushahidi kwake.
Katika majibu hayo imo orodha ya majina 12 ya watuhumiwa wa ufisadi ambayo iliwahi kutangazwa na Chadema mwaka 2007 katika viwanja vya Mwembeyenga.
Naibu katibu wa Chadema John Mnyika jana aliwaambia waandishi wa habari kuwa wamechukua hatua hiyo ili kuthibitisha kauli zao walizozitoa kwenye uzinduzi wa kampeni zao wiki moja iliyopita katika viwanja vya Jangwani.
“Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015 ya Chadema inaeleza wazi kuwa viongozi wote ambao walishabainisha kuhusika na tuhuma za ufiasadi na ubadhilifu wa mali ya umma ambao serikali imeshindwa kuwafikisha mahakamani, watafiishwa mahakamani ndani ya siku 180, iwapo tutaingia madarakani,” alisema Mnyika.
Alisema watuhumiwa hao wakiwamo marais wastaafu ambao wataondolewa kinga yao na Bunge ili wafikishwe mahakamani.
Mnyika alifafanua kuwa hatua hiyo imelenga katika kujenga uongozi bora na kuimarisha utawala wa sheria hapa nchini.
Kuhusu kutaja orodha ya majina ya mafiasadi kwenye mkutanio huo chama hicho kilisema huo si ukiukaji wa maadili ya uchaguzi kwakuwa tuhuma hizo zipo na wahusika hadi sasa hawajachukuliwa hatua na baadhi yao wanagombea nafasi za uongozi kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Alisema madai yote waliyoyatoa kwenye viwanja hivyo wana ushahidi nayo na mengi ni yale ambayo tayari waliwahi kuyaweka wazi siku za nyuma.
Kwa sababu hiyo, Chadema iliitaka Nec kutupilia mbali malalmiko ya CCM kwa sababu waliwasilisha bila kusoma sheria za maadili.
CHANZO: Mwananchi

Hatimaye watajwa kwenye List of Shame wanaweza kulazimika kuuthibitishia umma kwanini wasiwe jela muda huu wanaopita huku na kule kuomba wachaguliwe tena.


Patamu hapo!!!


ONE of the trapped Chilean miners is dreading his rescue - his wife has discovered his secret mistress.
Yonni Barrios' wife Marta Salinas and lover Susana Valenzuela were both holding vigils for him

Marta was stunned when she heard Susana shouting his name amid a crowd of miners' loved ones.

Marta, 56, is said to be "horrified" - but is determined not to give up her man to her love rival.

She told friends: "Barrios is my husband. He loves me and I am his devoted wife. This woman has no legitimacy." But Susana said the 50-year-old miner, who she met on a training course five years ago, has been planning to leave his wife for her.

She said: "We are in love. I'll wait for him."

Barrios has been one of the heroes of the landslide drama - using his first-aid training to treat sick colleagues.

He has also vaccinated all 33 men, including himself, against flu and pneumonia. Meanwhile, the captives have been hit with a booze and tobacco ban by Nasa experts helping the rescue.

The space agency's doc James Michael Duncan said: "We need to get their nutrition up before we consider drinking." Two of the smokers have been dropped nicotine patches and gum to deal with their cravings.

But the miners - who may not be drilled out until Christmas - have started eating proper meals of 2,000 calories a day.

Their rations include yoghurt and cereal for breakfast, chicken sandwiches for lunch and jam sarnies for dinner. They each have tea and five litres of water daily.

And yesterday the stranded men had their first hot meal in a month, shredded beef and rice. But they were denied the traditional side dish of beans - to stop them getting wind.

By Guy Adams

She tells lies. She's a lousy tipper. She billed the Republican Party more than $3,000 for the underwear she bought during the last Presidential election, including dozens of Spanx girdles. Oh, and for all the cutesy charm that Sarah Palin projects in public, she's got a nasty habit of bullying staff, losing her temper with friends and family, and, when particularly upset, throwing tin cans at her husband, Todd.

Fresh from a week that seemed to cement her status as the most valuable brand in American conservatism, and saw her both receive top billing at a vast "tea party" rally in Washington, and almost single-handedly alter the direction of a Senate race in her native Alaska, Palin is on the receiving end of a brace of vintage journalistic hatchet jobs from the left and right sides of the political spectrum.

The first, a vast profile of the self-proclaimed "Mamma Grizzly," which covers 18 pages of next month's Vanity Fair, devotes more than 10,000 words to a mixture of revelation, allegation and innuendo regarding both her public and private persona, detailing what it calls her "erratic behaviour," her "pattern of lying," and what the magazine's reporter Michael Gross describes as the "sad, mouldering strangeness" of her everyday existence.

The second comes courtesy of Meghan McCain, the daughter of Palin's former running mate John, whose new book Dirty, Sexy Politics, describes the former Governor of Alaska as a "a time bomb" who is addicted to attention and whose eccentric behaviour brought "drama, stress, complications, panic, and loads of uncertainty," to the 2008 campaign trail.

Like almost everything else that involves Palin – who, despite her habit of avoiding interviews in what she calls the "lamestream media," has still not ruled out a run for the 2012 Presidency – the broadsides are receiving endless attention. As befits an increasingly polarised nation, they are sparking outrage in conservative circles and a mixture of mirth and disbelief in liberal ones. Palin takes issue with the allegation and has responded with an attack on Vanity Fair, calling into question its facts and reporting standards.

In truth, Vanity Fair's article is a curious mixture of un-sourced innuendo and minor revelation which was mostly staggering for its sheer scale. The magazine spent four months trailing the former Alaska governor on the various speaking engagements that have helped her earn $13m since quitting last year.

It alleges she is "warm and effusive in public, and angry in private," that she is paranoid and vindictive towards former friends, and it revels the details of the occasional sense-of-humour failures which inspired the headline: "The Sound and the Fury."

The piece quotes a "friend" of Palin and her husband Todd, who once witnessed a domestic dispute. "They took all the canned goods out of the pantry, then proceeded to throw them at each other," recalls the friend. "As soon as she enters her property and the door closes, even the insects in that house cringe. She has a horrible temper, but she has gotten away with it because she is a pretty woman."

During the campaign, an un-named "aide" is quoted as claiming that Palin "lashed out" at the slightest provocation, sometimes screaming at staff and throwing objects. Asked about her temper, Todd told a staffer: "You just got to let her go through it... Half the stuff that comes out of her mouth she doesn't even mean."

Vanity Fair also claims that Palin signs the autographs in her books with an autopen, requires three hairstylists and make-up artists before public appearances, and despite her principled opposition to immigration, employs an Hispanic housekeeper.

She is also a bad tipper, the article claims. During a recent stay at the Hyatt in Wichita, she gave the bellboy just $5 for seven bags, making her the "all time worst tipper" of the famous people who have stayed there. She also failed to leave money for the maids who cleaned her room.

As suggested by Levi Johnston, the estranged father of her teenage daughter Bristol's child, the magazine also claims that Palin is a lousy and only occasional angler, who exaggerates her interest in fieldsports to win support in conservative circles.

"This whole hunter thing, for Sarah? That is the biggest fallacy," a friend of the family was quoted as saying. "That woman has never hunted. She never helps with the fishing either. It's all a joke." Bristol, by the by, has made several hundred thousand dollars from media appearances, and was this week unveiled as a contestant on the popular US television programme Dancing With the Stars.

The Vanity Fair article wasn't all tittle tattle. It also explored Palin's links to extremist Christians – the "prayer warriors" she often cites in speeches – and explored her somewhat opaque finances. It revealed that Timothy Crawford, treasurer of Sarah-PAC, her political action committee, is being investigated in Ohio for alleged campaign finance misdemeanours, and has refused to respond to a subpoena issued by the state's investigators.

Meanwhile, Palin's famously scant general knowledge may be even more flaky than originally thought. When McCain aides prepared her for television interviews in 2008, they allegedly found that – besides thinking Africa was a country rather than a continent – she had never heard of Margaret Thatcher. Palin now cites Thatcher as one of her all-time heroines.

Responding yesterday, Douglas McMarlin, a spokesman for Sarah-PAC, said: "The article is a collection of lies cobbled together by an outlet without standards. As the message continues to succeed, the messenger will continue to be attacked by yellow journalists seeking to increase sales."

Miss McCain, for her part, has attempted to put a marginally more sympathetic gloss on things. Her book reveals that the Republican inner circle was "waiting for her [Palin] to explode" during the 2008 campaign. She adds: "There was a fine line between genius and insanity, they say, and choosing her as the running mate was starting to seem like a definition of that line."


The policeman who found the body of MI6 codebreaker Gareth Williams said it was submerged in ‘fluid’, The Mail on Sunday has learned.An inquest heard last week that the 31-year-old spy was padlocked in a sports hold-all and left in the bath of his two-bedroom flat in Pimlico, Central London.But the disclosure that he was also covered by liquid – not thought to be blood or water – has raised fears that a substance was used to accelerate decay and complicate toxicology tests.

The revelation came as new details emerged of the highly sensitive nature of Mr Williams’s work.A source said he had the highest security clearance available to an intelligence officer and was part of a secretive ‘cell’ that created devices that can steal data from mobiles and laptops.

Now, nearly two weeks after cycling enthusiast Mr Williams was found in his flat, police are apparently no nearer to learning how or when he died.This is despite a post-mortem, a second examination and toxicology tests, the results of which might not be available for weeks.

Sources close to the inquiry say the PC who found the body described it as being in ‘fluid’ when he radioed for assistance. Detectives at the scene are understood to have used the same word in their reports.Immediately after making the discovery at the flat, the PC said: ‘This is a murder scene.’

Mr Williams, from Anglesey, North Wales, worked as a cipher and codes expert for the Government’s eavesdropping centre GCHQ in Cheltenham.He was on a year-long secondment to MI6 which was due to end days after he was found dead.Police and security sources have indicated that the explanation for his death is more likely to be found in his personal life rather than his work.

But speculation that he was the victim of a professional ‘hit’ was given credence last night after further details of his work were disclosed.‘He was involved in some very sensitive projects, known as codeword protected,’ said a security expert.‘This meant that only the people in his cell would know what he was working on, and nobody else in his organisation.

‘You are signed in to these projects and once you finish one you are signed out and you no longer have access to any data or news about what is happening in the project.’Mr Williams – a child prodigy who had a degree in maths at 17 and then a PhD in the subject – was part of a team that created devices which ‘hook’ on to mobiles and laptops. ‘It is an aggressive form of Bluetooth or similar wireless technology,’ said the security expert.

He said such devices would be used by spies on the ground to steal data from the handsets of unsuspecting terrorists, organised criminals or officers from rival intelligence agencies.‘Traditionally, there has been a separation of MI6 and GCHQ,’ said the expert. ‘MI6 has been full of the James Bond types working on the ground and GCHQ is filled with boffins with beards who are doing their scientific stuff. ‘But recently there has been a merger of these agencies’ work and Williams was at the forefront of that. This was why he was on secondment to MI6.’

He added that Mr Williams did similar work when he had stints at the National Security Agency in America.The NSA is the equivalent of GCHQ and has been leading the West’s attempts to intercept communication between Al Qaeda cells. Mr Williams worked for the Special Delivery Team, a unit set up in the NSA to create advanced bugging and intercepting devices.

‘If you just look at Williams’s CV, you know he has worked in some of the most important data-mining centres in the UK and US. His salary is no indication of his rank,’ said the expert.

It has also emerged that before his secondment to MI6, Mr Williams worked briefly for MI5, the domestic security agency. As part of that work, he was sent to Bulgaria on a secret mission.A source close to the investigation said that on August 23 police were asked to check on Mr Williams’s flat as he had not shown up for work. Just before 6pm, a PC went to the Georgian townhouse in Alderney Street, which has been converted into four flats on four floors. Mr Williams had the top one.

The PC could not get into the house so the letting agent, W.  A. Ellis, was called and a woman employee arrived with keys.She hovered at Mr Williams’s door as the PC went inside. Within minutes he emerged quickly from the en suite bathroom and escorted the woman back downstairs. He then told her: ‘You stay here. This is now a murder scene.’

This weekend, staff at W. A. Ellis, of Knightsbridge, refused to confirm details.A spokeswoman said: ‘36 Alderney Street is owned by a private company, New Rodina.‘There has been speculation that it is linked to MI6 or that it is a front for MI6. Our clients do not have any links to MI6 whatsoever and are distressed by the death of Mr Williams.’

SOURCE: Daily Mail

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.