6 May 2010

Leo ni siku ya uchaguzi mkuu hapa Uingereza.Vituo vya kupiga kura vilifunguliwa mapema asubuhi na inatarajiwa kuwa matokeo ya uchaguzi huo yatakuwa ya 'kukabana koo' kati ya vyama vikuu vya Labour,Conservative na Liberal Democrats.Hadi usiku wa jana,kura za maoni zilikuwa zikionyesha kwamba chama cha Conservative kingevuna viti vingi lakini visivyotosha kuunda serikali ZAIDI SOMA HAPA.

5 May 2010

Je una ndoto za kupata shahada ya juu?Basi jaribu shahada ya uzamifu (doctorate) ya ndoto,jambo linalotarajiwa kuwa halisi nchini Saudi Arabia. 

Yusuph al-Harthy,Msaudia mahiri katika kutafsiri ndoto,ana mpango wa kuanzisha taasisi ya kitaaluma itakayotoa shahada ya kwanza na ya uzalimi,na hata shahada ya uzamifu (PhD) katika ndoto na maono,kwa mujibu wa gazeti la Al-Hayat.

"Kutafsiri ndoto ni kwa asili yake ni njia ya kutoa ushauri nasaha,alisema Harthy ambaye anaendesha tovuti ya kufundisha namna ya kukokotoa maana ya ndoto.Taasisi anayotarajia kuanzisha kitashirikiana na chuo kikuu kimoja cha Uarabuni ambacho bado hakijatajwa.

Dini ya Kiislam ina historia ndefu ya kutafsiri ndoto,huku mwananzuoni wa aliyezaliwa karne ya 7,Muhammad Ibn Sirin,mwenyeji wa Basra katika Iraki ya leo,akitambulika kwa mchango wake wa kuhariri daftari (catalogue) za tafsiri za ndoto.

Harthy,ambaye hujadili ndoto kwenye vituo vya radio na shoo za runinga,haafikiani na mtizamo wa Wizara ya Saudia inayoshughulikia masuala ya Uislamu kwamba tafsiri ya ndoto sio sayansi inayoweza kufundishwa bali ni jambo linalotokana na hamasa (inspiration).

Imetafsiriwa kutoka tovuti ya Shirika la Habari la AFP


Latest voting intention 4th May

Tue, 04/05/2010 - 20:00
by Anthony Wells
Our latest daily polling figures for The Sun (fieldwork 3rd - 4th May; sample size 1,461) are:
Conservative 35%
Labour 30%
Liberal Democrat 24%
Others 11%

SOURCE: YouGov

Marc-Anotine Fortune, outjumps Steven Smith to head Celtic in front
Rangers' Maurice Edu is felled by Celtic's Andreas Hinkel


The airspace over Scotland and Ireland was closed last night because of an ash cloud in the atmosphere. Some ascribed that to the outpourings of a certain Icelandic volcano.




Those present in the east end of Glasgow on Tuesday night know better. It came from the dying embers of the Scottish season as they flared into life with the final Old Firm derby of the campaign.

This collision incorporated enough oddities for a lively quiz, although not Mastermind. The two goalkeepers who started did not finish, Allan McGregor departing the scene after only five minutes with a medial ligament injury and Artur Boruc leaving seven minutes after the break nursing two broken fingers.

David Weir, the Rangers captain, having won the first accolades of his career at the age of 40, capped an eventful passage by colliding with McGregor at the incident which saw the keeper stretchered off. After a lengthy stoppage, play resumed with a free kick awarded to Celtic for a foul committed by Kevin Thomson on Aiden McGeady.

The script called for Lee Naylor to test Neil Alexander with some form of direct effort from 25 yards, but the twist in the plot was that the Celtic full back kept his kick low and the Rangers defenders jumped, creating the gap through which the ball sped past McGregor's replacement, helped on by a deflection off the most unfortunate Weir.

Celtic Park erupted as it has rarely done in this dismal season for the club and the players responded by controlling proceedings with a passion and guile that has also been largely absent.
Neither Celtic nor Rangers, of course, can be sure who will be in charge of them when the new season opens, but the word on the pavement has been that Neil Lennon would emerge as prime contender to raise his status from caretaker manager if he could emerge from this fixture with the Parkhead side's first derby victory of the campaign.However, just when he was entitled to believe that his men would usher their narrow lead into the interval, the contest flipped.

In another peculiarity of the evening, each side fielded a makeshift centre back. Rangers had withdrawn Lee McCulloch from midfield to make up for the absences of Madjid Bougherra and Danny Wilson, the usual partners for Weir at the heart of the Ibrox back line. Celtic, meanwhile, had drafted Mark Wilson to cover for Josh Thompson, who made up the numbers on the bench.
It was Celtic's sticking plaster that peeled off first as Steven Whittaker made ground on the right to hang a cross into the box, where Kenny Miller beat Wilson to the jump for a glanced header between Boruc and his right hand post.

The Rangers forward then tempted fate and a caution – although he escaped censure from the referee – by making towards the Celtic support while kissing his badge – but it was the home support who savoured the last laugh within seconds as their team restored its lead with an identical strike.

In this case the overlapping full back was Naylor, the man on the end of the cross was Marc Antoine Fortune and the full back asked but unable to do a centre half's job was Steven Smith. Half time was enlivened by a repeated announcement declaring that an emergency had arisen within the stadium and instructing spectators to leave the stadium in an orderly fashion.

Having spent much of the season staying away from the place because of disdain at the fare on offer, the Celtic fans responded loudly that they had no intention of heading for the exits when their team had reached such a propitious juncture, thus providing proof that Bill Shankly might have been on the mark when he uttered his famous dictum about football and life and death.

The second half was almost inevitably an anti climax after what had gone before but there was still a slice of notoriety to be prised from the proceedings and it came when Lee McCulloch, who had been cautioned earlier, acquired another yellow card for a somewhat soft foul on McGeady. Off he went, on came members of the backroom staff on both sides to break up a mêlée.

Honour was eventually satisfied, the imbroglio calmed down and Celtic were able to celebrate their first triumph over Rangers in 15 months. Enough to earn Lennon the job? That's another tale for another time.


4 May 2010

Wiki moja baada ya kusherehekea mwaka wake wa 115 tangu azaliwe,binadamu mwenye umri mkubwa zaidi duniani amefariki katika kisiwa cha kaskazini mwa Japan cha Okinawa.Kama Chinen alizaliwa tarehe 10 ya mwezi Mei mwaka 1895 na kubahatika kushuhudia karne tatu tofauti,kwa mujibu wa wa taasisi ya utafiti wa vipengele (aspects) vya kijamii,saikolojia na baiolojia vya ukuaji wa binadamu (Gerontology Research Group)


Kikongwe huyo alifariki Jumapili iliyopita kwenye nyumba ya kutunza wazee/wagonjwa (care home)japokuwa taarifa za kifo chake hazijatolewa kwa nduguze ambao wamekuwa wakilinda faragha ya bibi hiyo kwa makini.

Kisiwa cha Okinawa kina sifa ya kuwa na wakazi wenye maisha marefu hali inayohusishwa na mlo wa asili wa mchaichai (green tea),supu ya 'miso',mbogamboga,wali na samaki.

Kama ameshikilia rekodi ya umri mkubwa duniani tangu mwezi Sptemba mwaka jana,baada ya kikongwe Gertrude Baines kufariki akiwa na umri wa miaka 115 huko Los Angeles nchini Marekani.Baada ya kifo cha Kama,rekodi yake sasa inabaki kwa bibi wa Kifaransa,Eugenie Blanchard,aliyezaliwa mwezi Februari mwaka 1896.Mwingereza Florence Emily Baldwin,wa Leeds,anashikilia nafasi ya pili akiwa na umri wa miaka 114 pia.Japo bibi huyo anasema kuwa kula sandiwichi ya mayai (egg sandwich)ndio siri ya kuishi kwake miaka yote hiyo,wataalam wanahisi maisha yasiyohusisha uvutaji sigara,unywaji pombe na kufanya kazi kwa bidii kumechangia zaidi.

Imetafsiriwa kutoka kituo cha runinga cha Sky


3 May 2010

Video courtesy of Michuzi Blog

Americans worry that illegal immigrants are putting a strain on schools, hospitals and the depressed job market but still are sympathetic to their plight.

Eight in 10 Americans, 84%, are very or somewhat concerned that illegal immigrants are burdening government services, and 77% worry that they are driving down wages, a USA TODAY/Gallup Poll finds.

Yet 77% are concerned that stricter immigration laws would mean illegal immigrants and their families who have lived productively in the United States for years would be forced to leave



"People seem to be more concerned about that than the hypothetical things like civil rights," Gallup pollster Jeffrey Jones said.

The seemingly contradictory sentiments reflect the difficulty in grappling with the immigration issue, said Tomas Jimenez, a fellow at the New America Foundation think tank and a sociology professor at Stanford University.

"On the one hand, they don't like the idea that people are breaking our immigration laws, that it appears we have a Southern border that is out of control," Jimenez said. "On the other hand, they think the people coming here who work hard, who have dreams of a better life, are really participating in an American tradition that is as old as this country."

The poll of 1,049 adults Saturday and Sunday has a margin of error of +/- 4 percentage points.

SOURCE: USAToday


.


Waziri Mkuu wa Australia,Kevin Rudd,amekuwa akifuatilia tovuti za ngono (porn sites),kwa mujibu wa kituo cha runinga cha Sky. 


Rudd,hata hivyo,amekuwa 'mfuatiliaji' wa tovuti hizo kutokana na mapungufu katika nyenzo za usalama/udhibiti (setting) katika akaunti yake ya Twitter.Kutokana na mapungufu hayo,kiongozi huyo amekuwa akifuatilia watu kama bloga wa mambo ya ngono,duka linalouza bidhaa za ngono,mwanamama aliye kifua wazi huku amjifunga pingu,na kadhalika.

Msemaji wa Waziri Mkuu ameeleza kuwa tatizo hilo lilitokana na akaunti ya Twitter ya Rudd kufuata wale wote wanaomfuata (auto-follow those who follow him)."Japo Waziri Mkuu anajitahidi kutoa majibu kwa wale wanaosema chochote kwake,kazi hiyo ni ngumu ukizingatia idadi ya watu ni 900,000", alieleza msemaji huyo.

Japo inamhitaji mtumiaji wa Twitter kuangalia kwanza wasifu wa mtu anayeomba kukufuata,kuna kipengele kinachoiwezesha akaunti imkubali moja kwa moja mtu anayeomba kumfuata pasipo haja ya mwenye akaunti kufanya hivyo.Uwezo huo unaonekana kuwa muhimu kwa watumiaji wa Twitter wenye wafuasi (followers) wengi.Katika akaunti yake KevinRuddPM,Waziri Mkuu huyo ni mfuasi wa wana-twitter wengine 200,000.

Wataalam wa teknolojia wanatahadharisha kuwa nyenzo za habari kwa jamii (social media)zinaweza kuhatarisha usalama wa mtuamiaji kama hataokuwa makini."Kuna imani kwamba kwenye vitu kama Twitter unaweza tu kufungua akaunti na mambo yakaenda mwanana",anasema Handsley,makamu mwenyekiti wa kampuni ya Young Media Australia."Tunapaswa kufahamu kwa undani kuhusu usalama wa chanzo husika cha habari kwa jamii kabla ya kuamua kukitumia",aliongeza alipoongea na gazeti la Herald Sun.

Kwa mujibu wa gazeti hilo,baadhi ya wengine 'waliofuatiliwa' na Waziri Mkuu Rudd ni pamoja na tovuti ya kamera-mtandao (webcams) za ngono na mmiliki wa kiota cha watenda ngono wa jinsia moja (gay resort) cha Phuket,Thailand.

Rudd amekuwa mtumiaji mzuri wa teknolojia ya habari huku nyakati nyingine akitumia nyenzo kama Twitter kubainisha sera zake.

Imetafsiriwa kutoka Sky News

1 May 2010




Message from JESTINAI will be hosting a brand new talk show ALL ABOUT WOMEN.It explores issues and the progress made by women of Black origin who work and live in and outside London. The show is presented by Jestina George and Kayisha.On this show, the girls talk about everything from fashion to music and general gossip. The show will start showing on Sky Channel 184 BEN TV every monday 10:30 PM. The first show goes out on Monday the 3rd of May 2010. Also the show can be watched on AILTV just log on http://www.ailtv.com or you can purchase a set top box and watch the show and many other programs on a normal television set. For more info Please contact us [email protected] or call us on 07595040952

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.