4 Jun 2009


PICHANI NI NICK GRIFFIN,KIONGOZI WA CHAMA CHA KINAZI CHA BNP.CHAMA HICHO PAMOJA NA VINGINE VYENYE MRENGO WA KULIA KUPITA KIASI (FAR-RIGHT) WANATARAJIWA KUFANYA VIZURI KWENYE UCHAGUZI HUO HASA KUTOKANA NA ATHARI ZA MTIKISIKO WA UCHUMI WA DUNIA MIONGONI MWA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA ULAYA.The Guardian LINA RIPOTI MAALUM KUHUSU VYAMA HIVYO



WELL,NI LAZIMA IWE HIVYO KWA JINSI MAREKANI ILIVYO UNPOPULAR HUKO MASHARIKI YA KATI.LAKINI MBALI YA ISHU HIYO YA OPERESHENI YA AINA YAKE KIUSALAMA,TUKIO LA OBAMA "KUMSUJUDIA" MFALME ABDULLAH WA SAUDI ARABIA LIMEIBUA KELELE KALI,HUKU BAADHI YA WALALAMIKAJI HAO WAKIDAI OBAMA ANATAKA KUIFANYA USA IWE TAIFA LA KIISLAM.


O'Reilly: Obama bows down to the king of Saudi Arabia
by Fox_News

3 Jun 2009


By Costantine Sebastian

President Jakaya Kikwete is set to announce a bail out package worth billions of shillings to rescue local companies that have been hit hard by the global economic crisis.

The Government's stimulus package, which awaits cabinet approval on Thursday, could be unveiled by Saturday, Finance and Economic Affairs minister Mustafa Mkulo said yesterday.

He said the bail out plan, compiled by a team of experts led by Bank of Tanzania (BoT) governor Prof Benno Ndulu, would be the major point in President Kikwete's address to the Parliament next week.

The Citizen has established that the package primarily seeks to keep the current economic growth on track and provide a form of social security amid fears of massive job losses due to looming company closures.

Addressing members of the Parliamentary Committee on Finance and Economy yesterday, Mr Mkulo said the stimulus package was critical "given the weight and importance of the current situation".

"The stimulus plan will target companies-mainly banks - to help them sustain their operations for a period of between six months and two years,"the minister said.

He also announced the approval of a $224 million (approx. Sh292 billion) advance from the $336 million (over Sh436 billion) released to the Government by the International Monetary Fund (IMF) to help fight the adverse effects of the global crisis.

Treasury officials, who spoke on condition of anonymity since they were not allowed to divulge details of the rescue package to the media, said the plan also targeted to control food prices.

And Prof Ndulu said the Government was trying to boost the economy amid concerns the slowdown could reverse nearly a decade of buoyant economic growth in the country.

He said Tanzania would do whatever was possible to "protect the hard-earned macroeconomic stability".

"The most crucial thing for us to do is to minimise the possible interruption in the growth process during the 2009/10 financial year, and cushion workers against lay offs and high costs of food," the central bank chief said early this year in a presentation on the crisis.

Prof Ndulu urged cooperation between the private sector and Government saying the downturn posed a real challenge to the country's economy and food security.

This was despite earlier remarks by the Government that the recession would not have any major effect on Tanzania since the country was remotely linked to the global economic system.

But there seems to be consensus now between key economic stakeholders in the country that the downturn is a major threat to Tanzania's economy.

However, some economic analysts criticise the Government for "dragging its feet" and taking too long to wake up to the reality of the magnitude of the economic crisis.

Dr Honest Ngowi, a lecturer at Mzumbe University warned that if not properly administered, the bail out plan could spark massive spending, which could lead to hyperinflation.

"While it is important to stimulate the economy through bailing out specific key industries, there is need to guard against the negative implications of such interventions," he said.

Prof Ndulu, who headed the team that drew up the stimulus package, said the Government, which had poor revenue collections this year, would seek collaboration with banks in its response to the crisis.

The banks would be encouraged to open lines of credit, especially to local horticultural, cotton, coffee and sisal farmers, whose exports have plunged due to falling demand from the traditional European markets.

The other major focus area of the rescue plan would be promoting infrastructure investments to boost agricultural production, which is projected to decline to 2.4 per cent in 2009 from 3.6 per cent in 2008.

Prof Ndulu also said there were efforts to eliminate red tape, aimed at attracting investments at a time some foreign investors are either rescheduling or cancelling their projects.

In a paper titled The Global Financial and Economic Crisis: Challenges and Responses, the central bank chief said the Government would not bail out companies that had solvency problems, which only got worse due to the crisis.

"Beneficiaries of the stimulus package should be sectors, projects and organisations with systematic risks and whose demise will negatively affect the economy and lives of ordinary people," he said.

Additional reporting by Damas Kanyabwoya and Ray Naluyaga


SOURCE: The Citizen

LET'S HOPE THE BAILOUT PLAN WON'T BECOME ANOTHER EPA,RICHMOND,AND THE LIKE.I AM STILL UNCONVINCED IF THE PLAN IS ACTUALLY FOOLPROOF TO MAFISADI,ESPECIALLY AS THE NATION IS HEADING FOR POLLS IN A YEAR'S TIME.CAN'T CONNECT THE DOTS?WELL,IT'S RUMOURED THAT THE LAST ELECTION WAS "EFFECTIVELY" USED BY THE FISADIs TO CONVINCE THE POWERS THAT BE TO RELEASE THE EPA LOOT.


JUST THINKING ALOUD!

2 Jun 2009


Na Lilian Lugakingira, Bukoba

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeanza safari ndefu ya kumnadi Rais Jakaya Kikwete ili awe mgombea pekee katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na tayari wilaya ya Bukoba Mjini imetoa hundi ya Sh1milioni za kulipia fomu yake ya kuwania nafasi hiyo.

Hundi hiyo ilitolewa jana na Umoja wa Vijana wa CCM wilaya ya Bukoba Mjini kwa maelezo kuwa umeridhishwa na uongozi wa Kikwete katika kutekeleza na kutimiza ilani ya CCM, na hivyo kuungana na jumuiya nyingine, vikundi na watu mbalimbali waliojitokeza kuanza kumkapenia Kikwete.

Hata hivyo, katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba aliiambia Mwananchi jana kuwa hajui kwa nini jumuiya hiyo ya vijana wa chama chake imefanya hivyo na kwamba atawatafuta ili kupata ukweli na sababu za kitendo hicho.

"Niano msimamo wa chama, lakini siwezi kusema kwa sababu sijajua wamefanya nini. Bila shaka wanayo sababu," alisema Makamba baada ya kuuliza maswali mengi kuhusu kitendo hicho cha UVCCM Bukoba.

Katika halfa iliyofanyika mjini hapa, mwenyekiti wa UVCCM wa Bukoba Mjini, Chifu Kalumuna alimkabidhi mwenyekiti wa CCM wilayani Bukoba Mjini, luteni mstaafu Ally Shamte hundi ya fedha za kuchukulia fomu hizo.

Katika hafla hiyo, Kalumuna pia alimkabidhi mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki hundi ya Sh 100,000 kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania ubunge katika uchaguzi huo.

Akizungumzia sababu za kutoa fedha kwa Kikwete na Kagasheki kwa ajili ya kuchukulia fomu, katibu wa vijana wa Bukoba Mjini, Yusuph Kaliat alisema wamefanya hivyo kutokana na kuridhika na ufanisi katika utekelezaji wa ilani ya CCM.

“Sisi kama vijana na nguzo ya taifa, tumeamua kutoa zawadi hiyo ili viongozi hao waendelee kuongoza, kila mmoja kwa nafasi aliyokuwa nayo,” alisema Kaliat katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na viongozi kadhaa wa CCM na UVCCM, akiwemo Kagasheki.

Chifu Kalumuna alikabidhi hundi zote mbili kwa Balozi Kagasheki ambaye naye alimkabidhi Shamte.Hakuna maelezo yaliyotolewa kwa nini UVCCM wilaya ya Bukoba imeamua kutoa fedha hizo sasa, ikiwa ni mwaka mmoja kabla ya mchakato wa uteuzi za majina ya wagombea na kuanza kampeni.

Kwa kawaida, CCM ina kipindi chake cha kuanza kampeni za ndani kwa wagombea wa nafasi zote za kuanzia serikali za mitaa, udiwani, ubunge na urais, lakini muda rasmi unaoruhusiwa na Tume ya Uchaguzi kwa ajili ya kuanza kampeni ni miezi minne kabla ya tarehe ya uchaguzi.

Uchaguzi mkuu utafanyika mwezi Agosti mwaka 2010.

Kitendo cha wilaya hiyo kutoa fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu kinaelekea kuwa ni mkakati mpya wa kumnadi Kikwete pamoja na Kagasheki, ambaye hivi karibuni alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari akisema hatawania kiti hicho tena.

Fedha hizo za jumuiya ya vijana ya Bukoba Mjini ni sehemu ya kampeni kadhaa ambazo zimekuwa zikionekana katika miezi ya karibuni kumpigia debe Kikwete, ambaye alipata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa mwaka 2005.

Hivi karibuni Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Manyara ulimpendekeza Kikwete kuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais katika chama chao cha CCM.Umoja huo ulitoa msimamo huo Mei 30 katika mkutano mkuu wa mkoa uliofanyika kata ya Magugu wilayani Babati ambako mgeni rasmi alikuwa katibu mkuu wa UWT, Hasna Sudi Mwilima.Risala ya akina mama hao iliyosomwa na katibu wa mkoa, Venosa Mjema ilisema wamenufaika zaidi na uongozi wa Rais Kikwete tangu alipoingia madarakani mwaka 2005.

Pia mkoa wa Rukwa ulionyesha kuridhishwa na uongozi wa Kikwete katika hafla ya kuchangisha pesa kwa ajili ya ujenzi wa shule za mkoa huo.Katika hafla hiyo iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam na ambayo mgeni rasmi alikuwa Kikwete, kiasi cha Sh 1.4bilioni kilichangwa kwa fedha taslimu au ahadi.

Wanachama wengine wa CCM waliowahi kutoa kauli za kutaka Kikwete awe mgombea pekee wa chama hicho ni pamoja na makamu mstaafu wa rais, Samuel Malecela, mwenyekiti wa zamani wa CCM mkoani Dodoma, Pancras Ndejembi na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoani Dar es Salaam, Mzee Hemed Mkali.

Baada ya wazee hao kutoa kauli hiyo mapema mwaka huu, Mbunge wa Sumve, John Shibuda alidai kwamba atachukua fomu kuwania urais mwaka 2010. Shibuda pia alikuwa miongoni mwa wana-CCM 11 waliochukua fomu kuwania urais mwaka 2005.

Wengine ni makamu mwenyekiti wa zamani wa CCM, Malecela, waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Prof Mark Mwandosya, Balozi Patrick Chokara, Balozi Ali Karume, Dk Abdallah Kigoda, Dk William Shija, Dk Salim Ahmed Salim na Idd Simba.

Akionekana kunogesha kampeni za chini kwa chini hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi Shinyanga, Rais Kikwete mwenyewe alisema haoni sababu kwa nini akina mama waliofaidika na mradi huo wamnyime kura mwakani.

Nasema, kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kupata usingizimimi sioni kwa nini akina mama walionufaika na mradi huu waninyime kura,” alisema Kikwete huku akishangiliwa na akina mama waliofika kwenye uzinduzi
huo.

CHANZO: Mwananchi
HABARI INAYOSHABIHIANA NA HII: UWT Wamteua Kikwete Kuwa Mgombea Pekee

PENGINE NI MUHIMU KUJIULIZA HAO UVCCM WILAYA YA BUKOBA MJINI WANA MRADI GANI WA KUWAWEZESHA KUWAKIRIMU "WAGOMBEA" HAO WATARAJIWA!PENGINE UTAULIZA KWANINI NI MUHIMU.WELL,NI RAHISI SANA KWA MAFISADI KUTUMIA COVER KAMA HIYO KUJIPENYEZA KWENYE ANGA ZA KITAIFA KWA MINAJILI YA KUFISADI NCHI BAADA YA UCHAGUZI HUO.

LAKINI CHA SEHEMU MUHIMU ZAIDI KATIKA HABARI HIYO HAPO JUU NI HIYO NUKUU NILIYOI-HIGHLIGHT KWA RANGI NYEKUNDU.IT SAYS IT ALL

1 Jun 2009

That's confirmed.He will reportedly have more than £50 Million to spend on signing new players.Rumours has it that Salomon Kalou and Florent Malouda could face the chop.


UMASIKINI AU KUTOKUWA MAARUFU KUNA FAIDA ZAKE,HASA LINAPOKUJA SUALA LA KIFO.UKIENDA KWENYE MSIBA WA TAJIRI NA KUKUTA WATU WANALIA KWA UCHUNGU MKUBWA,USIDHANI NI MAJONZI PEKEE;KUNA WANAOLILIA FEDHA ZA MAREHEMU.PENGINE KUNA UKWELI KWENYE MSEMO KUWA UKIWA TAJIRI AU MTU MAARUFU BASI UTAANDAMWA HADI KABURINI.

HABARI KUTOKA HUKO BONDENI KWA MZEE MANDELA ZINADOKEZA KWAMBA KUNA KIMBEMBE KINAENDELEA KWENYE FAMILIA YA MWANASIASA HUYO MKONGWE BAADA YA MMOJA WA WAJUKUU WAKE KUTUHUMIWA KUUZA HAKI ZA KUTANGAZA MAZISHI YA BABU YAKE NA KUCHIKICHIA ZAIDI YA RANDI ZA KISAUZI MILIONI 3.MJUKUU HUYO MANDLA MANDELA (Pichani KUSHOTO),ANAYETARAJIWA KUWA MRITHI WA KISIASA WA MANDELA,AMEKANUSHA TUHUMA HIZO KWAMBA AMEUZA HAKI ZA MAZISHI YA MANDELA KWA SHIRIKA LA RUNINGA LA SABC.

MANDELA ANA UMRI WA MIAKA 91,LAKINI KAMA TUJUAVYO,NI UCHURO KATIKA JAMII NYINGI ZA KIAFRIKA KUANZA MAANDALIZI YA MAZISHI YA MTU ALIYE HAI HATA KAMA UMRI UMEMTUPA MKONO.WANANDUGU KATIKA FAMILIA HIYO WAMECHUKIZWA SANA NA KITENDO HICHO. LAKINI KWA VILE UMAARUFU NI BI DEAL,INATARAJIWA KUWA PINDI MZEE HUYO AKIFARIKI KILA CHOMBO KIKUBWA CHA HABARI DUNIANI KITAHITAJI KUPATA NAFASI YA KURUSHA TUKIO HILO HEWANI....NA MJUKUU AKAONA LIWALO NA LIWE.

LAKINI SI MARA YA KWANZA KWA MJUKUU HUYO KUMGEUZA BABU YAKE NI MTAJI WA NAMNA FLANI.MWEZI FERBAURI MWAKA HUU ALIRUSHIWA MAKOMBORA YA SHUTUMA PALE ALIPOFANIKIWA "KUMSOMESHA2 BABU YAKE (ALIYEDHOOFIKA KIAFYA) HADI AKAKUBALI KUPANDA JUKWAANI KATIKA KAMPENI ZA MANDLA KUGOMBEA UBUNGE.JAPO BABU MANDELA HAKUWEZA KUHUTUBIA KUTOKANA NA KUWA DHOFUL HALI,TAYARI MJUKUU WAKE ALISHANUFAIKA NA PRESENCE YA MWANASIASA HUYO MKONGWE MWENYE MVUTO

MWEZI JANA,MANDLA ALIZUSHA KIMBEMBE KINGINE BAADA YA KUFANYA NJAMA ZA KUMWONDOSHA BINAMU YAKE KUTOKA KWENYE NYUMBA ANAYOISHI (BINAMU HUYO) ILI BAADAYE AIGEUZE NYUMBA HIYO KUWA KIVUTIO CHA WATALII (KWA VILE INA UHUSIANO NA HISTORIA YA MANDELA,WHICH IN TURN NI DILI LA MAANA).


The former head of MI6 says he is concerned about the big brother surveillance society and the 'loss of liberties' in Britain. Sir Richard Dearlove said the extensive use of anti-terrorist stop and search powers by the Metropolitan Police in London was one of the worst examples. He warned it could even be an 'abuse' of the law to use the power so excessively.

The former boss of the Secret Intelligence Service, who was in charge of combating Al-Qaeda in Britain in the aftermath of the September 11 attacks, made the comments during a speech at the Hay Festival in Wales...
CONTINUE

SOURCE: The Daily Mail.


NIMEMALIZA KUSOMA RIWAYA YA KWANZA YA MATUKIO YA KWELI (NON-FICTION) KWA MTUNZI MAHIRI WA RIWAYA ULIMWENGUNI,JOHN GRISHAM.BINAFSI,GRISHAM NA SIDNEY SHELDON NDIO WALIOJAZA KIJIMAKTABA CHANGU CHA VITABU MBALIMBALI.NILIANZA KUSOMA RIWAYA ZA LUGHA YA KIINGEREZA NILIPOKUWA SHULE YA MSINGI,NA SHUKRANI ZIMWENDEE BABA MZEE CHAHALI KWA KUTUSIMULIA WANAWE YALIYOMO KWENYE RIWAYA YA JAMES HADLEY CHASE YA COME EASY GO EASY,KISHA NIKAJITUTUMUA KUISOMA MWENYEWE NA KUFANIKIWA KUELEWA.TANGU MUDA HUO,MIE NA NOVELS TUMEKUWA DAM DAM.KWA UJUMLA MIONGONI MWA INTERESTS ZANGU NI PAMOJA NA KUSOMA VITABU PAMOJA NA UANDISHI BUNIFU (CREATIVE WRITING).

RIWAYA HIYO YA GRISHAM INAITWA THE INNOCENT MAN.PASIPO KUINGIA KWA UNDANI ZAIDI,INAHUSU SHERIA INAPOKWENDA MRAMA.MWAKA 1982 YALITOKEA MAUAJI YA BINTI AITWAYE DEBRA CARTER KATIKA MJI MDOGO WA ADA,PONTOTOC COUNTY JIMBONI OKLAHOMA POLISI WAKASUASUA KUMPATA MUUAJI,"KESI IKABAMBIKWA" KWA RON WILLIAMSON (MHUSIKA MKUU KATIKA STORI HIYO) AMBAYE KIMSINGI ALIKUWA NA MATATIZO YA AKILI,HALI AMBAYO ILIPELEKEA "AKIRI KUWA MUUAJI" LAKINI KATIKA SIMULIZI YA NDOTO ALIYOOTA USIKU MMOJA.RAFIKI YAKE WA KARIBU,DENNIS FRITZ NAE AKAFANYWA MTUHUMIWA NAMBARI MBILI,KWA VILE TU "RAMLI YA POLISI" (KAMA HIYO ILIYOPIGWA KWENYE
AJALI YA MWAKYEMBE) ILIONYESHA KUWA ISINGEKUWA RAHISI KWA MAUAJI HUSIKA KUFANYWA NA MTU MMOJA.HATIMAYE,RON ALIHUKUMIWA KIFO NA KUPELEKWA DEATH ROW NA DENIIS ALIHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA.KUSALIMIKA KWA "WAUAJI HAO" NI TEKNOLOJIA YA D.N.A AMBAYO ILIONYESHA KUWA HAWAKUHUSIKA NA MAUAJI HAYO.

SI LENGO LANGU KUWASIMULIA SIMULIZI KUTOKA KWENYE RIWAYA BALI THE INNOCENT MAN IMENIFANYA NIJIULIZE KUHUSU HUKUMU YA KWENDA JELA MIAKA 11 ALIYOPEWA ALIYEKUWA HAKIMU WA MAHAKAMA YA WILAYA YA TEMEKE,
JAMILA NZOTA.MWANAMAMA HUYO ALIKUTWA NA HATIA YA KOSA LA KUOMBA NA KUPOKEA RUSHWA YA SHILINGI LAKI 7 (AWALI ALIDAI MLUNGULA WA SHS MILIONI 4).

HAKI IMETENDEKA.LAKINI KWA UPANDE FLANI INAWEZEKANA HAKI HAIJAONEKANA KUTENDEKA,SI KWA HAKIMU NZOTA BALI WALE ALIOWAHI KUWAHUKUMU WAKATI WA UTAWALA WAKE.HIVI HAKUNA UWEZEKANA KWAMBA TUKIO LILOPELEKEA HAKIMU HUYO KUKAMATWA NA MLOLONGO WA MATUKIO KADHAA KATIKA MAISHA YA UHAKIMU WA JAMILA?MAANA WASWAHILI WANAPOSEMA ZA MWIZI NI 40 WANAMAANISHA PIA KUWA MWIZI ANAENDELEA NA WIZI WAKE HADI ITAPOJIRI HIYO 40

KATIKA MANTIKI HIYOHIYO,KUKAMATWA KWA HAKIMU HUYO KULIKUWA NI SAWA NA 40 YA "WIZI" WAKE,LAKINI PIA KULIASHIRIA MWISHO WA SHUGHULI ILIYOANZA AT A CERTAIN POINT OF TIME.MIMI NA WEWE HATUJUI NI LINI LAKINI YAYUMKINIKA KUAMINI KUWA KUNA HUKUMU ZILIZOTOLEWA NA HAKIMU HUYO AMBAZO ZILIKUWA INFLUENCED NA "MCHEZO" WAKE WA KUOMBA NA KUPOKEA RUSHWA.HAPA KUNA MAWILI:KUNA WALITOA RUSHWA ILI WASIKUTWE NA HATIA KATIKA HUKUMU ZA HAKIMU NZOTA,NA KUNA WALIOHUKUMIWA KWENDA JELA LICHA YA KUWA HAWANA HATIA LAKINI WALISHINDWA KUTOA RUSHWA KWA HAKIMU HUYO.

SISHANGAI KWANINI HABARI YA KIFUNGO CHA HAKIMU HUYO IMESHASAHAULIKA.NDIO TANZANIA YETU HIYO.LICHA YA AMANI NA TULIVU,TUNASIFIKA PIA KWA USAHALIFU HATA KATIKA MAMBO YANAYOWEZA KUWA NA MADHARA MAKUBWA MBELENI.TUNGETARAJI VIKUNDI VYA UTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU AU TAASISI ZA KISHERIA ZISHIKILIE BANGO KUHUSU MAPITIO (REVIEWS) YA HUKUMU ZILIZOTOLEWA NA HAKIMU HUYO.LAKINI KATIKA UTAMADUNI WA LAISSEZ FAIRE,NDIO "IMETOKA HIYO" KAMA WASEMAVYO WATOTO WA MJINI (ILA SINA HAKIKA KAMA MSEMO HUU BADO UNATUMIKA AS KISWAHILI KINAKUA KWA KASI YA TSUNAMI).

NI UTAMADUNI HUU WA "BORA LIENDE" UNAOIMARISHA UNYONGE WA WATANZANIA NA KUDUMISHA ULAFI WA MAFISADI KATIKA KILA NYANJA.NI UTAMADUNI HUU TUTAKAOUSHUHUDIA TENA MWAKA KESHO WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI AMBAPO WABABAISHAJI WALEWALE WALIOAHIDI BAKULI ZA MAZIWA NA ASALI HAPO 2005 (LAKINI WAKAISHIA KUTUMWAGIA UJI WA MWAROBAINI NA SHUBIRI) WATAKUJA TENA NA AHADI ZILEZILE,ILA ZIKINOGESHWA NA UONGO KUWA TUMEJIPANGA VYA KUTOSHA.BADALA YA BAKULI ZENYE MAZIWA NA ASILI TUMEAMUA KUWAJENGEA MABWAWA KABISA YATAKAYOKUWA YAKITIRIRIKA MAZIWA NA ASALI 24/7.WATAKAPOULIZWA KWANINI AWALI WALIAHIDI HIVYO NA BADALA YAKE WAKATOA MWAROBAINI NA SHUBIRI,WATAJIBU KISIASA KUWA MCHAKATO WA UTEKELEZAJI ENDELEVU WA BLAH BLAH BLAH NDIO ULIPELEKEA HIVYO LAKINI SASA KILA KITU KIKO TAYARI...TUPENI KURA ZENU ILI MFAIDI UHONDO KWENYE ARDHI YA MAZIWA NA ASALI....NA WATAPEWA.

TUMEROGWA?

IN A GROUP PHOTO.
WITH SUZAN BOYLE (2nd Right) and JULIAN SMITH (Far Right)


31 May 2009







Glenn Beck is the fastest-rising star on American TV. He's part of a right-wing broadcasting boom that's become the most powerful opposition to the President...CONTINUE.


Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.