9 May 2009
9.5.09
Evarist Chahali
IKULU, SECURITY
2 comments

Kibaka aduwaza walinzi Ikulu
2009-05-08 13:51:35
Na Jacqueline Mosha
Mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, Ally Nasoro (41) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la kuingia Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete na kuiba ua moja lenye thamani ya Sh. 5,000, mali ya Ikulu hiyo.
Mshitakiwa huyo alifikishwa mbele ya Hakimu Mwajuma Diwani wa Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es Salaam jana, na kusomewa shitaka hilo.
Akisoma hati ya mashitaka, karani wa mahakama hiyo, Caphren Maduhu, alidai mbele ya hakimu Diwani kuwa mshtakiwa alifanya kitendo hicho Mei 2 mwaka huu.
Mahojiano mahakamani hapo yalikuwa kama ifuatavyo:
Karani: Kesi hii ni ya wizi na imefunguliwa na mlalamikaji ambaye ni askari mwenye namba E 4716 Koplo Mnyaga.
Mshitakiwa katika shitaka hili ni Ally Nasoro, anaishi eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam na anakabiliwa na kosa wizi alilofanya Mei 2, mwaka huu, saa 4:24 usiku huko Ikulu ya Rais.
Hakimu: Mshitakiwa umesikia mashitaka ya kosa lako, unajibu nini?
Mshitakiwa: Mimi nilikuwa napima uwezo wa akili wa walinzi waliowekwa Ikulu ili kumlinda Rais wa nchi, maana isije ikawa wako wako tu kumbe hawana hata uwezo wa kumlinda.
Hakimu: Ile ni sehemu ya heshima na inalindwa iweje wewe upate wazo la kutaka kuingia ndani, ulikuwa na nia gani?
Mshitakiwa: Nilichokigundua siku hiyo ni kwamba kumbe naweza kuingia Ikulu kiulaini bila hata ya kuguswa na mtu. Kwanza nilipofika pale getini nilitaka kufahamu kama naweza kufanikiwa kuingia, hivyo, nilisimama kwa saa nne nje ya geti bila hata kuulizwa chochote na walinzi. Baadaye nilifanikiwa kupata mwanya wa kuingia ndani na kweli niliingia kiulaini bila hata 'shobo'.
Hakimu: Ilikuwaje mpaka ukaiba hilo ua?
Mshitakiwa: Nilipolichukua lile ua na kulibeba ndipo walinzi waliniona na baada ya kuniona walinzi hao walibaki wakitetemeka huku mimi nikiwa nimeshikilia ua na ndipo waliponikamata na kunichukulia hatua. Kama naweza kuchukua ua si ningeweza hata kuingia ndani kwa Rais kiulaini? Yaani walinzi wamelala pale. Hawako makini kama nilivyodhani.
Hakimu: Unajibu nini kuhusu shitaka la wizi huo?
Mshitakiwa: Si kweli, sijaiba ua.
Hakimu Diwani aliahirisha kesi hiyo mpaka itakapotajwa tena mahakamani hapo Mei 11 mwaka huu. Mshitakiwa alipelekwa mahabusu baada ya kushindwa kutimiza masharti ambayo ni kuwa na wadhamini wawili.
2009-05-08 13:51:35
Na Jacqueline Mosha
Mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, Ally Nasoro (41) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la kuingia Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete na kuiba ua moja lenye thamani ya Sh. 5,000, mali ya Ikulu hiyo.
Mshitakiwa huyo alifikishwa mbele ya Hakimu Mwajuma Diwani wa Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es Salaam jana, na kusomewa shitaka hilo.
Akisoma hati ya mashitaka, karani wa mahakama hiyo, Caphren Maduhu, alidai mbele ya hakimu Diwani kuwa mshtakiwa alifanya kitendo hicho Mei 2 mwaka huu.
Mahojiano mahakamani hapo yalikuwa kama ifuatavyo:
Karani: Kesi hii ni ya wizi na imefunguliwa na mlalamikaji ambaye ni askari mwenye namba E 4716 Koplo Mnyaga.
Mshitakiwa katika shitaka hili ni Ally Nasoro, anaishi eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam na anakabiliwa na kosa wizi alilofanya Mei 2, mwaka huu, saa 4:24 usiku huko Ikulu ya Rais.
Hakimu: Mshitakiwa umesikia mashitaka ya kosa lako, unajibu nini?
Mshitakiwa: Mimi nilikuwa napima uwezo wa akili wa walinzi waliowekwa Ikulu ili kumlinda Rais wa nchi, maana isije ikawa wako wako tu kumbe hawana hata uwezo wa kumlinda.
Hakimu: Ile ni sehemu ya heshima na inalindwa iweje wewe upate wazo la kutaka kuingia ndani, ulikuwa na nia gani?
Mshitakiwa: Nilichokigundua siku hiyo ni kwamba kumbe naweza kuingia Ikulu kiulaini bila hata ya kuguswa na mtu. Kwanza nilipofika pale getini nilitaka kufahamu kama naweza kufanikiwa kuingia, hivyo, nilisimama kwa saa nne nje ya geti bila hata kuulizwa chochote na walinzi. Baadaye nilifanikiwa kupata mwanya wa kuingia ndani na kweli niliingia kiulaini bila hata 'shobo'.
Hakimu: Ilikuwaje mpaka ukaiba hilo ua?
Mshitakiwa: Nilipolichukua lile ua na kulibeba ndipo walinzi waliniona na baada ya kuniona walinzi hao walibaki wakitetemeka huku mimi nikiwa nimeshikilia ua na ndipo waliponikamata na kunichukulia hatua. Kama naweza kuchukua ua si ningeweza hata kuingia ndani kwa Rais kiulaini? Yaani walinzi wamelala pale. Hawako makini kama nilivyodhani.
Hakimu: Unajibu nini kuhusu shitaka la wizi huo?
Mshitakiwa: Si kweli, sijaiba ua.
Hakimu Diwani aliahirisha kesi hiyo mpaka itakapotajwa tena mahakamani hapo Mei 11 mwaka huu. Mshitakiwa alipelekwa mahabusu baada ya kushindwa kutimiza masharti ambayo ni kuwa na wadhamini wawili.
CHANZO: Nipashe
SOMEONE SOMEWHERE IS NOT UP TO THE TASK.AWALI,RAIS MSTAAFU MWINYI ALIZABWA KIBAO HADHARANI,A COUPLE OF WEEKS AFTER MSAFARA WA JK KURUSHIWA MAWE HUKO MBEYA.SUPPOSE HUYU KIBAKA HAD INTENDED TO,NOT TEASE THE GUARDS WITH A STOLEN FLOWER BUT, CAUSE HARM TO THE PRESIDENT.....
SECURITY SLACKNESS
8 May 2009
8.5.09
Evarist Chahali
No comments

Venance George, Kilombero
BAADHI ya wadau katika Wilaya ya Kilombero, wameitahadharisha serikali kuhusu uanzishwaji wa taasisi zenye mtazamo kama wa Deci ili kuwanusuru wananchi wasipoteze mali zao.
Tahadhari hiyo inafuatia kuanzishwa kwa PUFDIA, katika mji mdogo wa Ifakara ambayo watu wanaifananisha na Deci. Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wadau hao, Ibrahim Madon na Kenedy Haule waliishauri serikali kudhibiti uanzishwaji wa taasisi kama hizo. Walisema kama serikali haitakuwa makini, baadhi ya watu wachache wanaojali maslahi yao, watakuwa wanaanzisha taasisi hizo na kuendelea kuwakamua wananchi maskini.
Walitolea mfano wa Deci ambayo ilipigwa marufuku na serikali hivi karibuni, baada ya kuanzisha kwa mchezo wa upatu ambao baadaye ungesababisha hasara kubwa kwa wateja wengi wao wakiwa ni wananchi maskini. Taasisi ya PUFDIA imeingia wilayani humo hivi karibuni na kujinadi kwamba ni taasisi mpya inayotoa huduma za miradi mitano endelevu kwa ajili ya maendeleo ya watu wa nchi nzima.
Miradi inayoshughulika na taasisi hiyo ni pamoja na udhamini wa masomo ya sekondari hadi chuo kikuu kwa kwa mtoto wa mtu yeyote. Katika mchakato wake taasisi hiyo inaeleza kuwa chini ya mradi wa elimu, itatoa fedha za kulipia gharama zote za masomo na bajeti inayotolewa kwa kila mtoto ni Sh 570,000 kwa wale wanaosoma shule za msingi wakati wale wanaosoma shule za sekondari watapewa Sh980,000 na Sh 2.64 milioni kwa vyuo vikuu.Gharama hizo ni kwa kila muhula.
Mradi mwingine ni wa kujengewa nyumba za thamani ya Sh 6 milioni kama msaada kwa mwananchi yeyote mwenye shida ya nyumba wakati wanaotaka kujengewa shule wanatakiwa kwenda katika ofisi hiyo kujaza fomu yenye uwezo wa kujengewa shule yenye thamani ya Sh 46.2 milioni
Taasisi hiyo pia imesema itasaidia wananchi kwa kuwapa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya Sh 2,470,000. Mwandishi wa habari hizi alikwenda katika ofisi za PUFDIA na kuwahoji maofisa wake ambao hata hivyo, hawakutaka kutaja majina yao. Maafisa hao walidai kuwa huduma wanazotoa ni halali na kwamba wanalipia kodi.
Kwa mujibu wa maelezo yao, taasisi hiyo inafadhiliwa na taasisi kubwa ya kidini iliyoko nje ya nchi. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, alikiri kuwepo kwa taasisi hiyo na kwamba maafisa wake, walikwenda ofisini kwake kuomba kutoa huduma hiyo.
Alisema hata hivyo atalipitia upya jalada la taasisi hiyo na kuelezea mustakhabali wake.
BAADHI ya wadau katika Wilaya ya Kilombero, wameitahadharisha serikali kuhusu uanzishwaji wa taasisi zenye mtazamo kama wa Deci ili kuwanusuru wananchi wasipoteze mali zao.
Tahadhari hiyo inafuatia kuanzishwa kwa PUFDIA, katika mji mdogo wa Ifakara ambayo watu wanaifananisha na Deci. Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wadau hao, Ibrahim Madon na Kenedy Haule waliishauri serikali kudhibiti uanzishwaji wa taasisi kama hizo. Walisema kama serikali haitakuwa makini, baadhi ya watu wachache wanaojali maslahi yao, watakuwa wanaanzisha taasisi hizo na kuendelea kuwakamua wananchi maskini.
Walitolea mfano wa Deci ambayo ilipigwa marufuku na serikali hivi karibuni, baada ya kuanzisha kwa mchezo wa upatu ambao baadaye ungesababisha hasara kubwa kwa wateja wengi wao wakiwa ni wananchi maskini. Taasisi ya PUFDIA imeingia wilayani humo hivi karibuni na kujinadi kwamba ni taasisi mpya inayotoa huduma za miradi mitano endelevu kwa ajili ya maendeleo ya watu wa nchi nzima.
Miradi inayoshughulika na taasisi hiyo ni pamoja na udhamini wa masomo ya sekondari hadi chuo kikuu kwa kwa mtoto wa mtu yeyote. Katika mchakato wake taasisi hiyo inaeleza kuwa chini ya mradi wa elimu, itatoa fedha za kulipia gharama zote za masomo na bajeti inayotolewa kwa kila mtoto ni Sh 570,000 kwa wale wanaosoma shule za msingi wakati wale wanaosoma shule za sekondari watapewa Sh980,000 na Sh 2.64 milioni kwa vyuo vikuu.Gharama hizo ni kwa kila muhula.
Mradi mwingine ni wa kujengewa nyumba za thamani ya Sh 6 milioni kama msaada kwa mwananchi yeyote mwenye shida ya nyumba wakati wanaotaka kujengewa shule wanatakiwa kwenda katika ofisi hiyo kujaza fomu yenye uwezo wa kujengewa shule yenye thamani ya Sh 46.2 milioni
Taasisi hiyo pia imesema itasaidia wananchi kwa kuwapa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya Sh 2,470,000. Mwandishi wa habari hizi alikwenda katika ofisi za PUFDIA na kuwahoji maofisa wake ambao hata hivyo, hawakutaka kutaja majina yao. Maafisa hao walidai kuwa huduma wanazotoa ni halali na kwamba wanalipia kodi.
Kwa mujibu wa maelezo yao, taasisi hiyo inafadhiliwa na taasisi kubwa ya kidini iliyoko nje ya nchi. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, alikiri kuwepo kwa taasisi hiyo na kwamba maafisa wake, walikwenda ofisini kwake kuomba kutoa huduma hiyo.
Alisema hata hivyo atalipitia upya jalada la taasisi hiyo na kuelezea mustakhabali wake.
CHANZO: Mwananchi
8.5.09
Evarist Chahali
ASHANTI
No comments
ASHANTI ft CROOKED I "Baby-Remix"
Featured by FAT JOE in What's Love
Foolish (TERRENCE HOWARD cameo)
Ja Rule ft. Ashanti & Rkelly - Wonderful
by Shameek
MTV NEWS reports that Ashanti and Murder Inc will soon be partying company.
It's weekend,let's have some fun.How about this?
8.5.09
Evarist Chahali
PAKISTAN, TALIBAN
No comments
Pakistan's army declared a "full-scale" offensive against Taliban insurgents holed up in the Swat valley today as warplanes pounded militant bunkers and caused thousands more residents to flee.The fighting was concentrated in the main town, Mingora, where an estimated 4,000 Taliban fighters are heavily dug in. Artillery and helicopter gunships battered militant-held buildings, while the Taliban planted mines across the city in expectation of a major ground offensive... continue
SOURCE: The Guardian and YouTube/Al-Jazeera
8.5.09
Evarist Chahali
TAFAKURI
No comments

KUNA JAMAA YANGU,MMOJA MWINGEREZA LAKINI AMEKAA TANZANIA KWA MUDA KIASI.KWAHIYO LUGHA YA TAIFA INAPANDA,NA ANACHUNGULIA MAGAZETI YETU MTANDAONI.KAUNIULIZA SWALI "LA KIZUSHI": HIVI MBONA MUDA MWINGI VIONGOZI WENU WAKO ZIARANI?KAMA SIO RAIS YUKO NJE YA NCHI AU ZIARANI MKOA FLANI,BASI MAKAMU WA RAIS YUKO ZIARANI SEHEMU FLANI,AU WAZIRI MKUU YUKO ZIARANI MKOA FLANI!JE MAENEO HAYO WANAYOZURU HAYANA VIONGOZI?KAMA WAPO,HAWAWEZI KUWAPELEKEA RIPOTI ZA MAENDELEO WAKUU WAO PASIPO UMUHIMU WA WAKUU HAO KUZURU?
8.5.09
Evarist Chahali
ROSTAM AZIZ
1 comment
Dar es Salaam, Tanzania (PANA) 16/09/2005- Tanzania's controversial opposition leader, the Reverend Christopher Mtikila alleged Friday that ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) presidential candidate Jakaya Kikwete had used funds from Iran to defeat his opponents at the party's recent convention.
The Chairman of the Democratic Party claimed at a press conference that the Iranian government through Tanzanian MP Rostam Aziz, had funded Kikwete's campaign for over 10 years.
The press conference was held ahead of a meeting by eight opposition parties to plan a common strategy against the CCM in Tanzania's October elections.
Mtikila alleged that the Iranian government had set aside a substantial amount to prop presidential candidates in countries where the Asian country has economic interests.
Aziz, a Tanzanian of Iranian extraction is representing Igunga constituency in Tanzania's Union Parliament on the platform of the CCM.
Mtikila did not say how much Aziz had allegedly received from the Iranian government for Kikwete's presidential campaign, but cited Tanzania's uranium deposit as possible motivation for the alleged assistance.
He said the Iranian government could not have given Aziz money for nothing: "they must be harbouring interests in Tanzania."
This is the second time that Aziz, Kikwete's campaign manager, would be accused of securing foreign funds for Kikwete's presidential campaign.
Last April, London-based journal, Africa Confidential claimed that he had been given two million US dollars by the Oman government as campaign funds for Kikwete.
Kikwete, Tanzania's Foreign Affairs and International Co-operation Minister had vowed to sue the journal over the report, but since his nomination as CCM presidential candidate in May, he has said nothing about the report.
The London journal has challenged him to go to court insisting it has overwhelming evidence to back its claims.
There was no immediate reaction to Mtikila's allegations from either Aziz or Kikwete.
The Chairman of the Democratic Party claimed at a press conference that the Iranian government through Tanzanian MP Rostam Aziz, had funded Kikwete's campaign for over 10 years.
The press conference was held ahead of a meeting by eight opposition parties to plan a common strategy against the CCM in Tanzania's October elections.
Mtikila alleged that the Iranian government had set aside a substantial amount to prop presidential candidates in countries where the Asian country has economic interests.
Aziz, a Tanzanian of Iranian extraction is representing Igunga constituency in Tanzania's Union Parliament on the platform of the CCM.
Mtikila did not say how much Aziz had allegedly received from the Iranian government for Kikwete's presidential campaign, but cited Tanzania's uranium deposit as possible motivation for the alleged assistance.
He said the Iranian government could not have given Aziz money for nothing: "they must be harbouring interests in Tanzania."
This is the second time that Aziz, Kikwete's campaign manager, would be accused of securing foreign funds for Kikwete's presidential campaign.
Last April, London-based journal, Africa Confidential claimed that he had been given two million US dollars by the Oman government as campaign funds for Kikwete.
Kikwete, Tanzania's Foreign Affairs and International Co-operation Minister had vowed to sue the journal over the report, but since his nomination as CCM presidential candidate in May, he has said nothing about the report.
The London journal has challenged him to go to court insisting it has overwhelming evidence to back its claims.
There was no immediate reaction to Mtikila's allegations from either Aziz or Kikwete.
SOURCE: PANAPRESS
NA KUNA MJADALA UNAENDELEA HUKO JAMII FORUMS KUHUSU URAIA WA BWANA ROSTAM AZIZ.

Na Frederick Katulanda, Busanda
KAMPENI za uchaguzi za CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Busanda jana zilizidi kukumbana na upinzani mkali baada ya makamu mwenyekiti wa chama hicho, Pius Msekwa na makamu mwenyekiti wa zamani, John Malecela, kujikuta wakizomewa wakati walipokuwa wakijinadi katika mkutano uliofanyika Nyarugusu wilayani Geita.
Mbali na vigogo hao wa CCM, mgombea wa chama hicho katika uchaguzi huo mdogo, Lolencia Maselle Bukwimba na mumewe, Maselle Buziku walizomewa wakati walipotambulishwa kwenye mkutano huo wa kampeni.
Tukio hilo limetokea siku moja baada ya chama hicho kujikuta kikiwa na watu wachache wakati wa kuzindua kampeni zake kwenye kata ya Kaseme, tofauti na mikutano ya vyama pinzani vya Chadema na CUF.
Dalili za hali mbaya katika mkutano huo zilianza wakati viongozi hao wakiingia eneo la Nyarugusu ambalo ni maalumu kwa wachimbaji wa dhahabu. Viongozi hao walipokelewa na alama ya vidole viwili kila walikopita. Alama ya vidole viwili hutumiwa na Chadema.
Zomea zomea hizo ziliwakabili viongozi hao wa CCM wakati walipokuwa wakimnadi mgombea wao. Hali mbaya ilianza kwa katibu mwenezi na uhamasishaji, Simon Mangelepa wakati aliposimama jukwaani na kuanza kuwatambulisha wageni walioambatana nao na kufuatiwa na mbunge wa viti maalum mkoani Mwanza, Maria Hewa ambaye alizomewa baada ya kuwaeleza wananchi kuwa wanapaswa kutulia.
Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Clement Mabina alisimama jukwaani kabla ya kumkaribisha Malecela ili amnadi mgombea wa chama hicho na kuwaeleza kuwa anazo taarifa kuwa kuna watu ambao wamepangwa hapo kwa ajili ya kuzomea, naye kuzomewa.
Baadaye ikawa zamu ya Malecela ambaye baada ya kusimama jukwaani aliwaeleza wananchi kuwa shutuma za ufisadi hazina nafasi katika kampeni kwa sasa na kuwataka wenye ushahidi wa ufisadi kuupeleka polisi, kauli ambayo iliwafanya wananchi ambao walikuwa wametulia, kuanza kuzomea wakimtaka aondoke huku wakionyesha vidole viwili.
Hata hivyo, Malecela aliwatuliza na kuwaeleza kuwa hiyo ndio njia sahihi ya kushughulikia mafisadi na kuendelea kuwaeleza wananchi kuwa iwapo wataichagua CCM katika uchaguzi huo watapatiwa umeme pamoja na kutengewa maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo.

“Nataka kuwaeleza iwapo mtamchagua mgombea huyu, basi serikali italeta umeme eneo hili….na kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo," alisema lakini akakatwa kauli na kelele za wananchi ambao walisema miaka yote wameichagua CCM na kuahidiwa mambo hayo bila ya kufanikiwa.
Kutokana na hali hiyo Malecela aliamua kuwatuliza na kuomba Busanda isigeuke kama Tarime na kwamba wao CCM wanataka kampeni za amani na utulivu.
Ndipo ilipofika zamu ya Msekwa kumnadi mgombea na baada ya kupanda jukwaani alimkaribisha mgombea aliyemsimamisha mumuwe, Maselle Buziku, ambaye naye alipoeleza kuwa iwapo watamchagua mkewe atatumia nafasi yake SEDA kuhakikisha wanapata mikopo, lakini akazomewa na wananchi hao.

Hata hivyo zomea zomea hizo hazikuweza kuhatarisha amani katika mkutano huo na mgombea huyo alijieleza bila ya matatizo na kupiga magoti lakini alipoomba kura, naye akajikuta anazomewa.
Katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba amekiri kuwa kuna hali ngumu kwenye Jimbo la Busanda na kuwataka viongozi wa chama hicho kupigana kufa au kupona ili kuhakikisha jimbo haliangukii mikononi mwa upinzani kwa kuwa machungu ya kushindwa Tarime anayajua.
Kauli hiyo ilitolewa na Makamba juzi mchana wakati alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama hicho katika mkutano wa ndani kwenye ofisi za CCM wilayani Geita baada ya kuwasili kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni wa chama chake zilizofanyika juzi katika kata ya Kaseme.
Makamba alikiri kuwa hali ni ngumu na hivyo kuwaomba kila mmoja kuhakikisha mgombea wa CCM anashinda, akilalamika kuwa makali ya kushindwa alishayaonja Tarime.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho na kuthibitishwa na mmoja wa viongozi wa chama wilayani humo zimeeleza kuwa Makamba aliamua kufanya mkutano huo kwa lengo la kuwekana sawa kutokana na CCM kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wale walioenguliwa katika kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa chama hicho.
Makamba amesema "jamani kushindwa ni kubaya, mwenzenu Tarime nilionja ubaya wake mpaka ilibidi nitoroshwe na Green Guard ili kuepuka kuzomewa, sasa tusiposhikamana mambo yatakuwa magumu tutoe tofauti zetu,'” alisema mmoja wa wajumbe waliokuwa kwenye kikao hicho akimnukuu Makamba.
Hata hivyo, baada ya kauli hiyo Makamba alishtuka na kuhoji iwapo walikuwemo waandishi wa habari ukumbini humo na kuonya utoaji wa taarifa hizo baada ya kujibiwa hawakuwemo.
Aidha baada ya kujibiwa kuwa hakuna waandishi Makamba alishtuka baada ya kubaini kuwa kulikuwa na mpiga picha wa chama na kumuagiza kuhakikisha mkanda huo anaukabidhi kwa katibu wa CCM wa mkoa.
Makamba alipoulizwa kuhusu suala hilo alijibu kuwa hajawahi kukiri kuwepo kwa hali ngumu kwa vile hana wasiwasi na uchaguzi huo na kusema alikuwa akieleza masuala ya kushikamana.

“Wewe unataka nikueleze mikakati yangu, kama nilikuwa nawahimiza watoto wangu kulima we unakutakia nini,” alihoji katibu huyo wa CCM alipoulizwa na Mwananchi kuhusu kikao hicho.
Sambamba na hatua hiyo Makamba alimtaka mjumbe wa halmshauri kuu ya chama hicho mkoani Mwanza, Anthony Diallo kutumia uwezo wake kuhakikisha kampeni hizo zinakuwa na hamasa ya kutosha ikiwa ni pamoja na kurusha taarifa zake katika vyombo vya habari.
Uchaguzi katika jimbo la uchaguzi la Busanda umepangwa kufanyika Mei 24 kwa lengo la kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Faustine Kabuzi Rwilombe.
Vyama vingine vinavyowania kiti hicho ni Chadema, CUF na UDP.
KAMPENI za uchaguzi za CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Busanda jana zilizidi kukumbana na upinzani mkali baada ya makamu mwenyekiti wa chama hicho, Pius Msekwa na makamu mwenyekiti wa zamani, John Malecela, kujikuta wakizomewa wakati walipokuwa wakijinadi katika mkutano uliofanyika Nyarugusu wilayani Geita.
Mbali na vigogo hao wa CCM, mgombea wa chama hicho katika uchaguzi huo mdogo, Lolencia Maselle Bukwimba na mumewe, Maselle Buziku walizomewa wakati walipotambulishwa kwenye mkutano huo wa kampeni.
Tukio hilo limetokea siku moja baada ya chama hicho kujikuta kikiwa na watu wachache wakati wa kuzindua kampeni zake kwenye kata ya Kaseme, tofauti na mikutano ya vyama pinzani vya Chadema na CUF.
Dalili za hali mbaya katika mkutano huo zilianza wakati viongozi hao wakiingia eneo la Nyarugusu ambalo ni maalumu kwa wachimbaji wa dhahabu. Viongozi hao walipokelewa na alama ya vidole viwili kila walikopita. Alama ya vidole viwili hutumiwa na Chadema.
Zomea zomea hizo ziliwakabili viongozi hao wa CCM wakati walipokuwa wakimnadi mgombea wao. Hali mbaya ilianza kwa katibu mwenezi na uhamasishaji, Simon Mangelepa wakati aliposimama jukwaani na kuanza kuwatambulisha wageni walioambatana nao na kufuatiwa na mbunge wa viti maalum mkoani Mwanza, Maria Hewa ambaye alizomewa baada ya kuwaeleza wananchi kuwa wanapaswa kutulia.
Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Clement Mabina alisimama jukwaani kabla ya kumkaribisha Malecela ili amnadi mgombea wa chama hicho na kuwaeleza kuwa anazo taarifa kuwa kuna watu ambao wamepangwa hapo kwa ajili ya kuzomea, naye kuzomewa.
Baadaye ikawa zamu ya Malecela ambaye baada ya kusimama jukwaani aliwaeleza wananchi kuwa shutuma za ufisadi hazina nafasi katika kampeni kwa sasa na kuwataka wenye ushahidi wa ufisadi kuupeleka polisi, kauli ambayo iliwafanya wananchi ambao walikuwa wametulia, kuanza kuzomea wakimtaka aondoke huku wakionyesha vidole viwili.
Hata hivyo, Malecela aliwatuliza na kuwaeleza kuwa hiyo ndio njia sahihi ya kushughulikia mafisadi na kuendelea kuwaeleza wananchi kuwa iwapo wataichagua CCM katika uchaguzi huo watapatiwa umeme pamoja na kutengewa maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo.

“Nataka kuwaeleza iwapo mtamchagua mgombea huyu, basi serikali italeta umeme eneo hili….na kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo," alisema lakini akakatwa kauli na kelele za wananchi ambao walisema miaka yote wameichagua CCM na kuahidiwa mambo hayo bila ya kufanikiwa.
Kutokana na hali hiyo Malecela aliamua kuwatuliza na kuomba Busanda isigeuke kama Tarime na kwamba wao CCM wanataka kampeni za amani na utulivu.
Ndipo ilipofika zamu ya Msekwa kumnadi mgombea na baada ya kupanda jukwaani alimkaribisha mgombea aliyemsimamisha mumuwe, Maselle Buziku, ambaye naye alipoeleza kuwa iwapo watamchagua mkewe atatumia nafasi yake SEDA kuhakikisha wanapata mikopo, lakini akazomewa na wananchi hao.
Hata hivyo zomea zomea hizo hazikuweza kuhatarisha amani katika mkutano huo na mgombea huyo alijieleza bila ya matatizo na kupiga magoti lakini alipoomba kura, naye akajikuta anazomewa.
Katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba amekiri kuwa kuna hali ngumu kwenye Jimbo la Busanda na kuwataka viongozi wa chama hicho kupigana kufa au kupona ili kuhakikisha jimbo haliangukii mikononi mwa upinzani kwa kuwa machungu ya kushindwa Tarime anayajua.
Kauli hiyo ilitolewa na Makamba juzi mchana wakati alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama hicho katika mkutano wa ndani kwenye ofisi za CCM wilayani Geita baada ya kuwasili kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni wa chama chake zilizofanyika juzi katika kata ya Kaseme.
Makamba alikiri kuwa hali ni ngumu na hivyo kuwaomba kila mmoja kuhakikisha mgombea wa CCM anashinda, akilalamika kuwa makali ya kushindwa alishayaonja Tarime.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho na kuthibitishwa na mmoja wa viongozi wa chama wilayani humo zimeeleza kuwa Makamba aliamua kufanya mkutano huo kwa lengo la kuwekana sawa kutokana na CCM kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wale walioenguliwa katika kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa chama hicho.
Makamba amesema "jamani kushindwa ni kubaya, mwenzenu Tarime nilionja ubaya wake mpaka ilibidi nitoroshwe na Green Guard ili kuepuka kuzomewa, sasa tusiposhikamana mambo yatakuwa magumu tutoe tofauti zetu,'” alisema mmoja wa wajumbe waliokuwa kwenye kikao hicho akimnukuu Makamba.
Hata hivyo, baada ya kauli hiyo Makamba alishtuka na kuhoji iwapo walikuwemo waandishi wa habari ukumbini humo na kuonya utoaji wa taarifa hizo baada ya kujibiwa hawakuwemo.
Aidha baada ya kujibiwa kuwa hakuna waandishi Makamba alishtuka baada ya kubaini kuwa kulikuwa na mpiga picha wa chama na kumuagiza kuhakikisha mkanda huo anaukabidhi kwa katibu wa CCM wa mkoa.
Makamba alipoulizwa kuhusu suala hilo alijibu kuwa hajawahi kukiri kuwepo kwa hali ngumu kwa vile hana wasiwasi na uchaguzi huo na kusema alikuwa akieleza masuala ya kushikamana.

“Wewe unataka nikueleze mikakati yangu, kama nilikuwa nawahimiza watoto wangu kulima we unakutakia nini,” alihoji katibu huyo wa CCM alipoulizwa na Mwananchi kuhusu kikao hicho.
Sambamba na hatua hiyo Makamba alimtaka mjumbe wa halmshauri kuu ya chama hicho mkoani Mwanza, Anthony Diallo kutumia uwezo wake kuhakikisha kampeni hizo zinakuwa na hamasa ya kutosha ikiwa ni pamoja na kurusha taarifa zake katika vyombo vya habari.
Uchaguzi katika jimbo la uchaguzi la Busanda umepangwa kufanyika Mei 24 kwa lengo la kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Faustine Kabuzi Rwilombe.
Vyama vingine vinavyowania kiti hicho ni Chadema, CUF na UDP.
CHANZO: Mwananchi
WANACHOHITAJI CCM NI BUSARA ZA KI-UTU UZIMA,YAANI KUKIRI PALE WALIPOKOSEA,NA KUAHIDI KUJIREKEBISHA BADALA YA KUENDELEZA AHADI HUKU ZILE WALIZOTOA MWANZO ZIMEENDELEA KUBAKI AHADI TU PASIPO KUZITEKELEZA.WAINGEREZA WANASEMA " A PROMISE MEANS NOTHING UNTIL DELIVERED."
HALAFU HIZI KAULI ZA KIBAGUZI KUWA "ICHAGUENI CCM IWALETEE HIKI AU KILE" (AS IF AWALI ILIYOCHAGULIWA ILIKUWA CHADEMA AU CUF) NI KUWAFANYA WAPIGA KURA WAJINGA AU WASAHAULIFU.KAMA WALIKUWA NA NIA YA KULETA HUO UMEME,SI WANGEFANYA HIVYO WAKATI WAPIGA KURA WALISHAWAPA HESHIMA YA KUMCHAGUA MGOMBEA WA CCM KWENYE UCHAGUZI ULIOPITA?SASA HIZI HABARI KUWA MKITUCHAGUA TENA NDIO TUTAFANYA HIKI AU KILE NI MITHILI YA KUWAHADAA WANANCHI.
I HOPE WAPIGAKURA WA BUSANDA HAWATAISHIA KUFIKISHA UJUMBE KWA CCM KWA KUZOMEA TU BALI PIA KUINYIMA KURA ILI IKIAMSHE CHAMA HICHO KUTOKA USINGIZINI KWAMBA THIS IS 2009,AND SO FAR THE ASSESSMENT OF HOW THE PARTY HAS IMPLEMENTED ITS ELECTION MANIFESTO LEAVES A LOT TO BE DESIRED.KAMA TARIME WALIWEZA,BUSANDA PIA WANAWEZA.NA KAMA WOTE WASIORIDHIKA NA MWENENDO WA CCM WATAAMUA KUWA ENOUGH IS ENOUGH,NO MORE FALSE PROMISES,THEN CHANGE IS NOT ONLY COMING BUT WILL EVENTUALLY BE ACHIEVED.
AS OBAMA SAID,YES WE CAN IF WE BELIEVE IN CHANGE.
7 May 2009


NADHANI TAFSIRI SAHIHI YA "WORLD'S MOST INFLUENTIAL PEOPLE" INAWEZA KUWA NGUMU KWA LUGHA YETU YA TAIFA.SIJUI TUITE "WATU MAARUFU ZAIDI DUNIANI" AU "WENYE MVUTO ZAIDI" AU...?SINA HAKIKA KAMA INFLUENCE NI UMAARUFU AU MVUTO.ANYWAY,KWA MUJIBU WA ORODHA YA WATU 100 INFLUENTIAL KABISA DUNIANI KWA MWAKA 2009 INAYOANDALIWA KILA MWAKA NA JARIDA LA TIME LA MAREKANI,RAIS PAUL KAGAME AMESHIKA NAFASI YA 13.MARA NYINGI ORODHA HIYO HUPATA PIA UPINZANI NA KEJELI HUSUSAN KUTOKA KWA WAHAFIDHINA WANAOTAFSIRI JARIDA LA TIME NA ORODHA HIYO KUWA NA MRENGO WA KUSHOTO AU KILIBERALI ZAIDI.
"NDANI YA NYUMBA" PAMOJA NA KAGAME,NI MCHANYATO WA WANASIASA KAMA SENETA TED KENNEDY NA WAZIRI MKUU WA UINGEREZA GORDON BROWN,KIONGOZI WA KIYAHUDI MWENYE MSIMAMO MKALI KABISA AVIGDOR LIEBERMAN (Pichani Chini)
NA "MFALME WA UNGA" (COCAINE), JOAQUIN GUZMAN,"PABLO ESCOBAR MPYA" AMBAYE PIA NI MIONGONI MWA WATU MATAJIRI KABISA DUNIANI NA AMBAYE KICHWA CHAKE KIMEWEKWA REHANI YA US$ 5MILLION NA VYOMBO VYA DOLA VYA MAREKANI (Pichani Chini)
,MCHEZA SINEMA MWENYE MVUTO BRAD PITT,TAPELI LA PONZI BERNIE MADOFF,GWIJI LA "KUSEMA OVYO" RUSH LIMBAUGH,MWANAMUZIKI JOHN LEGEND(Pichani Chini),
MWANADADA WA KIZAMBIA DAMISA MOYO (Pichani Chini)
BILA KUMSAHAU RAIS OBAMA NA MKEWE MICHELLE (Pichani chini na Oprah)
NA USUAL SUSPECTS KAMA TOM HANKS,GEORGE CLOONEY,TIGER WOODS NA WENGINEO.

NA "MFALME WA UNGA" (COCAINE), JOAQUIN GUZMAN,"PABLO ESCOBAR MPYA" AMBAYE PIA NI MIONGONI MWA WATU MATAJIRI KABISA DUNIANI NA AMBAYE KICHWA CHAKE KIMEWEKWA REHANI YA US$ 5MILLION NA VYOMBO VYA DOLA VYA MAREKANI (Pichani Chini)



BILA KUMSAHAU RAIS OBAMA NA MKEWE MICHELLE (Pichani chini na Oprah)

NA USUAL SUSPECTS KAMA TOM HANKS,GEORGE CLOONEY,TIGER WOODS NA WENGINEO.
BONYEZA HAPA KUANGALIA ORODHA KAMILI.HONGERA RAIS KAGAME.WANYARWANDA WANA KILA SABABU YA KUJIVUNIA UONGOZI WAKO HASA KWA TAIFA LILILOWEZA KUSIMAMA KIDETE KUTOKA KWENYE MAUAJI YA KIMBARI HADI KUWA HADITHI YA KUPIGIWA MFANO BARANI AFRIKA.ANYWAY,SIE TWAENDELEA KUJIVUNIA AMANI NA UTULIVU WETU UFISADI STYLE!!!
5 May 2009

Sarah Baxter
A COMEDIAN who had a walk-on part in the Rutles film spoof of the Beatles is poised to deliver a 60-seat super-majority to the Democrats in the Senate as President Barack Obama consolidates his grip on the levers of power.
Al Franken, 57, a satirist turned Democrat politician, is expected to be proclaimed the winner of the protracted race for the US Senate in Minnesota, in time to give Obama a free hand to appoint a Supreme Court replacement for retiring Justice David Souter without fear of Republican blocking tactics.
If Franken wins, Obama will hold an unassailable majority after Senator Arlen Specter’s sudden defection from the Republicans to the Democrats last week. A 60-seat majority would deprive the Republicans of the ability to scupper appointments and legislation by filibustering...continue
SOURCE: The Times

The government's electronic eavesdropping centre has issued a rare response to accusations that it plans to install thousands of black boxes to monitor all internet and telephone use in Britain.
In a statement, GCHQ denied its £1bn plan – called Mastering the Internet (MTI) – was a "snooping project" and said the technology being developed at its complex in Cheltenham was solely to keep pace with developments in internet technology.
In an unusual move in response to a weekend report, the agency, which does not usually comment on media stories, said in a statement: "GCHQ is not developing technology to enable the monitoring of all internet use and phone calls in Britain, or to target everyone in the UK. Similarly, GCHQ has no ambitions, expectations or plans for a database or databases to store centrally all communications data in Britain."
It was suggested that the MTI project would give GCHQ the ability to "spy at will" on all internet traffic in Britain, including emails, website visits, social networking sessions, and telephone calls, 14% of which are made using internet protocol (Voip) systems such as Skype...CONTINUE
In a statement, GCHQ denied its £1bn plan – called Mastering the Internet (MTI) – was a "snooping project" and said the technology being developed at its complex in Cheltenham was solely to keep pace with developments in internet technology.
In an unusual move in response to a weekend report, the agency, which does not usually comment on media stories, said in a statement: "GCHQ is not developing technology to enable the monitoring of all internet use and phone calls in Britain, or to target everyone in the UK. Similarly, GCHQ has no ambitions, expectations or plans for a database or databases to store centrally all communications data in Britain."
It was suggested that the MTI project would give GCHQ the ability to "spy at will" on all internet traffic in Britain, including emails, website visits, social networking sessions, and telephone calls, 14% of which are made using internet protocol (Voip) systems such as Skype...CONTINUE
SOURCE: The Guardian
5.5.09
Evarist Chahali
TURKEY
No comments

Forty-five people were reported to have been killed tonight when unidentified gunmen opened fire at a wedding reception in south-eastern Turkey.
Ahmet Ferhat Ozen, the acting governor of Mardin province, told Reuters that the assailants had stormed a hall in the village of Sultankoy and attacked guests with automatic rifles and hand grenades.
Local media said the families of both the bride and the groom included members of the state-sponsored militia, the Village Guard, which was set up to combat Kurdish separatist guerrillas in the area...CONTINUE
Ahmet Ferhat Ozen, the acting governor of Mardin province, told Reuters that the assailants had stormed a hall in the village of Sultankoy and attacked guests with automatic rifles and hand grenades.
Local media said the families of both the bride and the groom included members of the state-sponsored militia, the Village Guard, which was set up to combat Kurdish separatist guerrillas in the area...CONTINUE
SOURCE: The Guardian

A senior Labour MP has prompted outrage by claiming that the Conservatives had 'prepared the ground' for a surge by the British National Party.
Former Foreign Office minister Denis MacShane said the Tories''xenophobic' attacks on the EU would be to blame if the far-Right party made ground in next month's European elections...continue
Former Foreign Office minister Denis MacShane said the Tories''xenophobic' attacks on the EU would be to blame if the far-Right party made ground in next month's European elections...continue
SOURCE: The Daily Mail
5.5.09
Evarist Chahali
BUNGE, SAMUEL SITTA
No comments

(Photo courtesy of ZENJIDAR)
By Rodgers Luhwago, Dodoma
Speaker of the National Assembly Samuel Sitta has sturdily defended the proposal by legislators to increase their monthly package to 12m/- ($9,078), adding that the move has been wrongly judged by critics.
Tanzanian MPs, who currently make 7m/- ($5,292) per month - only 1.8m/- of which is their taxable basic salary - want to increase their base salary to 3m/- and additional allowances to 9m/-.
The proposed 12m/- ($9,078) package would put parliamentarians in the range of Kenya`s MPs, who earn a minimum of Ksh851,000 ($11,335) every month, of which only the basic salary of Ksh200,000 ($2,664) is taxed. Some of the allowances making up additional Ksh651,000 ($8,560) include funds for gym memberships and unspecified ‘entertainment` costs.
Ugandan lawmakers pocket the least of MPs in the region, bringing home Ush2.6m ($1,214) in basic monthly salary and Ush7m ($3,271) including night, subsistence and fuel allowances, according to The Monitor newspaper.
This income is still far above average salaries in most other sectors, the newspaper says.
To put things in perspective, with the proposed salary Tanzanian MPs would make $108,936 per year, while Kenyan MPs currently make $136,020 per year.
Members of Congress in the United States make $174,000 a year, which is all taxable income unlike the Tanzanian and Kenyan salaries.
Tanzania`s GDP is $16.18bn and Kenya’s is $29.3bn, while the United States GDP is around $14 trillion, close to 1,000 times the size of Tanzania`s economy.
Should the proposed increase in pay go through for Parliamentarians, Tanzanian MPs will be earning close to $30,000 more than their South African equivalents, who now earn R714,618 ($79,822) a year after giving themselves an 11 percent annual salary increase effective last April.
But reacting to the ongoing debate about the newly proposed package, the Speaker furiously described the reports as total exaggeration aimed at pursuing a malicious agenda against the legislature.
In an exclusive interview with The Guardian on Sunday over the weekend in his Dodoma office, Speaker Sitta said he was surprised at how closely some individuals and members of the press were following legislators` salaries while turning a blind eye to the wages of the other working cadres in the government.
``Is it fair to include a sitting allowance, per diem and other charges into an MP`s monthly pay? Is it also justifiable to include the salary of an assistant to an MP`s monthly pay? By the way, why are MPs the only ones targeted when it comes to emoluments?`` Sitta queried.
He said permanent secretaries, regional and district commissioners, ministers and judges are among the senior working cadres in society but you rarely hear people talking about their earnings.
``Let`s just take a simple example: the fuel charge for the district commission is separately paid, and this applies to the charges for water, electricity and the salary of his aides.
Why don’t you include all this in the DC’s salary? Instead we find it simple to do this to an MP?`` he said.
According to the Speaker, the implementation of the Five-Year Corporate Plan 2009-13 that the Parliament launched mid this week, includes employing research assistants for MPs whose salaries would be paid by the government. ``Is it logical and fair to take the salaries of these research assistants from the legislators’ monthly salaries?`` he asked.
``In the public service sector there is what is described as personal emoluments, which is a salary of the public servant and other charges.
However, due to the absence of MPs` offices in their constituencies, the salaries for their assistants are being included in the legislators` salaries but this does not mean that the whole money belongs to the MP,`` he said.
The Speaker said the allowances paid to the MPs are just the same as the allowances paid to all other public servants of such a rank, adding that all senior officers are paid per diems and sitting allowances.
He said, according to the public service system, per diems and sitting allowances are never taken as an official income of the person.
``In fact the per diem paid to the MPs is sometimes not sufficient when he travels to places like Arusha. We are sometimes forced to pay for hotel accommodation in Arusha.
Now, why make other charges as part of an individual`s income? Very unfortunately this is done to MPs only. No one is saying that permanent secretaries are highly paid,`` Sitta said.
If the same calculations were made for the permanent secretaries, he said, they would be found to be earning between 14m/- and 15m/- per month.
He said people have diverted public attention from deliberating on embezzlement of public funds and corruption to questioning legal expenditures by combining personal income and other charges paid to MPs, describing them as the legislators` monthly salaries.
``Things paid for in the office of the legislator are stationeries, water, power and telecommunication and all this costs 735,000/- per month.
The same items may cost higher in the office of the DC but we don’t include such costs in the DC`s salary,` he said. He said the salary of an MP is 1.8m/-.
The Speaker was reacting to reports that Parliament last year passed the National Assembly Act, 2008 which, among other things, improves legislators` salaries and other charges.
The new Act is expected to be operational after the 2010 general election.
Speaking last Wednesday during the launching of the Five-Year Corperate Plan 2009-2013 Sitta said the Plan aimed at making Parliament an effective institution that is more people-centred.
According to the Speaker, the strategic objectives of the plan include enhancing MPs` overall effectiveness for better service to the general public and enhancing individual effectiveness of MPs by providing them with properly equipped offices at constituencies and Parliament premises.
The plan, which is expected to cost 373.9bn/- during implementation, will involve giving Members of Parliament staff assistants and upgraded data services and constantly reviewing their emoluments and welfare packages to keep MPs and staff appropriately motivated.
Commenting on the for MPs’ per diem and allowances to be taxed, Speaker Sitta said that is subject to the change of the Income Tax Act, 2004.
However, he said if allowances are to be taxed then that has to be applied to all workers in the country and not MPs alone.
``To be frank I don`t agree with people who want allowances to be taxed. You can’t give a person a subsistence allowance and again tax it. It is absolutely meaningless,`` he said.
Speaker of the National Assembly Samuel Sitta has sturdily defended the proposal by legislators to increase their monthly package to 12m/- ($9,078), adding that the move has been wrongly judged by critics.
Tanzanian MPs, who currently make 7m/- ($5,292) per month - only 1.8m/- of which is their taxable basic salary - want to increase their base salary to 3m/- and additional allowances to 9m/-.
The proposed 12m/- ($9,078) package would put parliamentarians in the range of Kenya`s MPs, who earn a minimum of Ksh851,000 ($11,335) every month, of which only the basic salary of Ksh200,000 ($2,664) is taxed. Some of the allowances making up additional Ksh651,000 ($8,560) include funds for gym memberships and unspecified ‘entertainment` costs.
Ugandan lawmakers pocket the least of MPs in the region, bringing home Ush2.6m ($1,214) in basic monthly salary and Ush7m ($3,271) including night, subsistence and fuel allowances, according to The Monitor newspaper.
This income is still far above average salaries in most other sectors, the newspaper says.
To put things in perspective, with the proposed salary Tanzanian MPs would make $108,936 per year, while Kenyan MPs currently make $136,020 per year.
Members of Congress in the United States make $174,000 a year, which is all taxable income unlike the Tanzanian and Kenyan salaries.
Tanzania`s GDP is $16.18bn and Kenya’s is $29.3bn, while the United States GDP is around $14 trillion, close to 1,000 times the size of Tanzania`s economy.
Should the proposed increase in pay go through for Parliamentarians, Tanzanian MPs will be earning close to $30,000 more than their South African equivalents, who now earn R714,618 ($79,822) a year after giving themselves an 11 percent annual salary increase effective last April.
But reacting to the ongoing debate about the newly proposed package, the Speaker furiously described the reports as total exaggeration aimed at pursuing a malicious agenda against the legislature.
In an exclusive interview with The Guardian on Sunday over the weekend in his Dodoma office, Speaker Sitta said he was surprised at how closely some individuals and members of the press were following legislators` salaries while turning a blind eye to the wages of the other working cadres in the government.
``Is it fair to include a sitting allowance, per diem and other charges into an MP`s monthly pay? Is it also justifiable to include the salary of an assistant to an MP`s monthly pay? By the way, why are MPs the only ones targeted when it comes to emoluments?`` Sitta queried.
He said permanent secretaries, regional and district commissioners, ministers and judges are among the senior working cadres in society but you rarely hear people talking about their earnings.
``Let`s just take a simple example: the fuel charge for the district commission is separately paid, and this applies to the charges for water, electricity and the salary of his aides.
Why don’t you include all this in the DC’s salary? Instead we find it simple to do this to an MP?`` he said.
According to the Speaker, the implementation of the Five-Year Corporate Plan 2009-13 that the Parliament launched mid this week, includes employing research assistants for MPs whose salaries would be paid by the government. ``Is it logical and fair to take the salaries of these research assistants from the legislators’ monthly salaries?`` he asked.
``In the public service sector there is what is described as personal emoluments, which is a salary of the public servant and other charges.
However, due to the absence of MPs` offices in their constituencies, the salaries for their assistants are being included in the legislators` salaries but this does not mean that the whole money belongs to the MP,`` he said.
The Speaker said the allowances paid to the MPs are just the same as the allowances paid to all other public servants of such a rank, adding that all senior officers are paid per diems and sitting allowances.
He said, according to the public service system, per diems and sitting allowances are never taken as an official income of the person.
``In fact the per diem paid to the MPs is sometimes not sufficient when he travels to places like Arusha. We are sometimes forced to pay for hotel accommodation in Arusha.
Now, why make other charges as part of an individual`s income? Very unfortunately this is done to MPs only. No one is saying that permanent secretaries are highly paid,`` Sitta said.
If the same calculations were made for the permanent secretaries, he said, they would be found to be earning between 14m/- and 15m/- per month.
He said people have diverted public attention from deliberating on embezzlement of public funds and corruption to questioning legal expenditures by combining personal income and other charges paid to MPs, describing them as the legislators` monthly salaries.
``Things paid for in the office of the legislator are stationeries, water, power and telecommunication and all this costs 735,000/- per month.
The same items may cost higher in the office of the DC but we don’t include such costs in the DC`s salary,` he said. He said the salary of an MP is 1.8m/-.
The Speaker was reacting to reports that Parliament last year passed the National Assembly Act, 2008 which, among other things, improves legislators` salaries and other charges.
The new Act is expected to be operational after the 2010 general election.
Speaking last Wednesday during the launching of the Five-Year Corperate Plan 2009-2013 Sitta said the Plan aimed at making Parliament an effective institution that is more people-centred.
According to the Speaker, the strategic objectives of the plan include enhancing MPs` overall effectiveness for better service to the general public and enhancing individual effectiveness of MPs by providing them with properly equipped offices at constituencies and Parliament premises.
The plan, which is expected to cost 373.9bn/- during implementation, will involve giving Members of Parliament staff assistants and upgraded data services and constantly reviewing their emoluments and welfare packages to keep MPs and staff appropriately motivated.
Commenting on the for MPs’ per diem and allowances to be taxed, Speaker Sitta said that is subject to the change of the Income Tax Act, 2004.
However, he said if allowances are to be taxed then that has to be applied to all workers in the country and not MPs alone.
``To be frank I don`t agree with people who want allowances to be taxed. You can’t give a person a subsistence allowance and again tax it. It is absolutely meaningless,`` he said.
SOURCE: The Sunday Observer
AT LEAST SOME OF US NOW CAN FINALLY MAKE SENSE WHY HIS HONOURABLE SAMUEL SITTA BRANDED HIMSELF "THE SPEAKER OF STANDARDS AND SPEED."

Ikulu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhasibu Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Makamu wa Rais, Polisi, Msajili wa Vyama vya Siasa na Sekretarieti ya Maadili ni kati ya ofisi ambazo, mahesabu yake yalionekana kuwa na mapungufu na kutofuata kanuni za fedha au kufanya malipo yenye nyaraka pungufu.
Mapungufu hayo yamo kwenye ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali (CAG) kwa mwaka 2007/08 iliyowasilishwa bungeni wiki iliyopita.
Kutokana na mapungufu hayo, ripoti ya CAG inaonyesha kwamba ofisi hizo, licha ya kupewa hati ya ukaguzi inayoridhisha, kila hati imeambatana na mambo ya msisitizo yenye kuzitaka ofisi hizo zisirudie makosa hayo.
Ripoti hiyo inafafanua: ``Kimsingi, aya inayohusu `Mambo ya Msisitizo` ni tahadhari kwa Afisa Masuuli na taarifa muhimu kwa watumiaji wa taarifa za fedha. Vivyo hivyo, kama udhaifu huo haujarekebishwa, unaweza kusababisha hati isiyoridhisha (kutolewa) kwa kaguzi zijazo.``
Ofisi nyingine zilizopewa hati yenye mambo ya msisitizo ni Magereza, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) (Ngome), Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mahakama, Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikino wa Kimataifa, Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko na Wizara ya Ardhi na Makazi.
Zingine ni Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Wizara ya Fedha na Uchumi, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Tume ya Mipango, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Tume ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Kudhibiti Ukimwi.
Vilevile zipo sekreterieti za mikoa kadhaa kama vile Arusha, Mara, Iringa, Kigoma, Pwani, Kilimanjaro, Mbeya, Singida, Morogoro, Shinyanga, Kagera, Dar es Salaam na Rukwa ambazo zilipata hati inayoridhisha yenye msisitizo.
Kuhusu Ikulu, kwa mfano, ripoti ya CAG inaonyesha katika mwaka wa fedha 2007/08 hakukuwa na mpango wa mwaka wa manunuzi, kinyume na kifungu cha 45 (a) hadi (e) cha Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2004.
Pia mahesabu ya Ikuku yalikuwa na mambo yasiyosuluhishwa katika taarifa za benki, yanayofikia Sh. 2,710,000.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Ofisi ya Waziri Mkuu ilifanya malipo yenye nyaraka pungufu yanayofikia Sh. milioni 21.8 na malipo yaliyolipwa mara mbili yenye thamani ya sh. milioni 45.
Idara ya Mhasibu Mkuu imeelezwa kufanya malipo yanayofikia sh. milioni 570 kwa M/s Fifth Africa Population bila nyaraka ambatanifu, huku mishahara yenye thamani ya Sh. milioni 8.6 ikilipwa kwa watu walioondoka kwenye utumishi wa umma.
Kwa upande wa ofisi ya Makamu wa Rais, malipo ya madeni ya Sh milioni 89.2 yalifanyika kwenye bajeti ya mwaka huu bila idhini huku stakabadhi za kukiri malipo ya Sh. Milioni 8.9 zikishindwa kuwasilishwa ili kukaguliwa. Pia ofisi inalaumiwa na CAG kwa kufanya manunuzi ya Sh milioni 20.8 kutoka kwa M/s Colour Print (T) Ltd bila kufanya ushindani wa zabuni.
Kuhusu jeshi la polisi, ipo milolongo kadhaa ya makosa ya kihasibu, lakini moja wapo ni malipo ya Sh. milioni 74.1 kufanywa bila nyaraka sahihi na masurufu yasiyorejeshwa kufikia sh. milioni 131.
Ofisi zilizopewa hati yenye shaka ni pamoja na ya Bunge, Wizara za Kilimo, Chakula na Ushirika, Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mambo ya Ndani, Jinsia na Maendeleo ya Watoto, Nishati na Madini, Maliasili na Utalii, Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Miundombinu.
Sekretareti za mikoa zilizopewa hati yenye shaka ni Dodoma, Lindi, Mtwara, Mwanza, Ruvuma, Tabora na Tanga. Pia kwenye kundi hilo imo Mahakama ya Ardhi.
Ufafanuzi wa ofisi ya CAG unaonyesha kwamba hati zenye shaka hutolewa pale kunapokuwa na udhaifu wenye uzito na unaoathiri taarifa za fedha lakini hausababishi taarifa hizo kukosa maana kabisa.
Taarifa inasema Bunge lilipewa hati yenye shaka kutokana na mlolongo wa makosa ya kanuni za fedha ikiwa ni pamoja na kulipa matibabu ya Sh. Milioni 102 nje ya nchi bila kuidhinishwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Ofisi zilizopewa hati isiyoridhisha, kwa mujibu wa ufafanuzi, udhaifu unaojitokeza unapotosha kabisa tarifa za hesabu ni pamoja na Wizara ya Kazi, Idara ya Uhamiaji na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.
Wizara hiyo katika ripoti hiyo inaonyesha kulikuwa na upotevu wa Sh. milioni 90.9 na taarifa za masurufu yasiyorejeshwa ilikuwa inatofutiana.
Mapungufu hayo yamo kwenye ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali (CAG) kwa mwaka 2007/08 iliyowasilishwa bungeni wiki iliyopita.
Kutokana na mapungufu hayo, ripoti ya CAG inaonyesha kwamba ofisi hizo, licha ya kupewa hati ya ukaguzi inayoridhisha, kila hati imeambatana na mambo ya msisitizo yenye kuzitaka ofisi hizo zisirudie makosa hayo.
Ripoti hiyo inafafanua: ``Kimsingi, aya inayohusu `Mambo ya Msisitizo` ni tahadhari kwa Afisa Masuuli na taarifa muhimu kwa watumiaji wa taarifa za fedha. Vivyo hivyo, kama udhaifu huo haujarekebishwa, unaweza kusababisha hati isiyoridhisha (kutolewa) kwa kaguzi zijazo.``
Ofisi nyingine zilizopewa hati yenye mambo ya msisitizo ni Magereza, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) (Ngome), Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mahakama, Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikino wa Kimataifa, Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko na Wizara ya Ardhi na Makazi.
Zingine ni Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Wizara ya Fedha na Uchumi, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Tume ya Mipango, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Tume ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Kudhibiti Ukimwi.
Vilevile zipo sekreterieti za mikoa kadhaa kama vile Arusha, Mara, Iringa, Kigoma, Pwani, Kilimanjaro, Mbeya, Singida, Morogoro, Shinyanga, Kagera, Dar es Salaam na Rukwa ambazo zilipata hati inayoridhisha yenye msisitizo.
Kuhusu Ikulu, kwa mfano, ripoti ya CAG inaonyesha katika mwaka wa fedha 2007/08 hakukuwa na mpango wa mwaka wa manunuzi, kinyume na kifungu cha 45 (a) hadi (e) cha Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2004.
Pia mahesabu ya Ikuku yalikuwa na mambo yasiyosuluhishwa katika taarifa za benki, yanayofikia Sh. 2,710,000.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Ofisi ya Waziri Mkuu ilifanya malipo yenye nyaraka pungufu yanayofikia Sh. milioni 21.8 na malipo yaliyolipwa mara mbili yenye thamani ya sh. milioni 45.
Idara ya Mhasibu Mkuu imeelezwa kufanya malipo yanayofikia sh. milioni 570 kwa M/s Fifth Africa Population bila nyaraka ambatanifu, huku mishahara yenye thamani ya Sh. milioni 8.6 ikilipwa kwa watu walioondoka kwenye utumishi wa umma.
Kwa upande wa ofisi ya Makamu wa Rais, malipo ya madeni ya Sh milioni 89.2 yalifanyika kwenye bajeti ya mwaka huu bila idhini huku stakabadhi za kukiri malipo ya Sh. Milioni 8.9 zikishindwa kuwasilishwa ili kukaguliwa. Pia ofisi inalaumiwa na CAG kwa kufanya manunuzi ya Sh milioni 20.8 kutoka kwa M/s Colour Print (T) Ltd bila kufanya ushindani wa zabuni.
Kuhusu jeshi la polisi, ipo milolongo kadhaa ya makosa ya kihasibu, lakini moja wapo ni malipo ya Sh. milioni 74.1 kufanywa bila nyaraka sahihi na masurufu yasiyorejeshwa kufikia sh. milioni 131.
Ofisi zilizopewa hati yenye shaka ni pamoja na ya Bunge, Wizara za Kilimo, Chakula na Ushirika, Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mambo ya Ndani, Jinsia na Maendeleo ya Watoto, Nishati na Madini, Maliasili na Utalii, Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Miundombinu.
Sekretareti za mikoa zilizopewa hati yenye shaka ni Dodoma, Lindi, Mtwara, Mwanza, Ruvuma, Tabora na Tanga. Pia kwenye kundi hilo imo Mahakama ya Ardhi.
Ufafanuzi wa ofisi ya CAG unaonyesha kwamba hati zenye shaka hutolewa pale kunapokuwa na udhaifu wenye uzito na unaoathiri taarifa za fedha lakini hausababishi taarifa hizo kukosa maana kabisa.
Taarifa inasema Bunge lilipewa hati yenye shaka kutokana na mlolongo wa makosa ya kanuni za fedha ikiwa ni pamoja na kulipa matibabu ya Sh. Milioni 102 nje ya nchi bila kuidhinishwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Ofisi zilizopewa hati isiyoridhisha, kwa mujibu wa ufafanuzi, udhaifu unaojitokeza unapotosha kabisa tarifa za hesabu ni pamoja na Wizara ya Kazi, Idara ya Uhamiaji na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.
Wizara hiyo katika ripoti hiyo inaonyesha kulikuwa na upotevu wa Sh. milioni 90.9 na taarifa za masurufu yasiyorejeshwa ilikuwa inatofutiana.
CHANZO: Nipashe
Subscribe to:
Posts (Atom)