24 Apr 2009
Boniface Meena na Mkinga Mkinga
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Reginald Mengi jana aliamua kujitoa muhanga alipotangaza majina ya wafanyabiashara watano wenye asili ya Kiasia ambao anadai kuwa ni mafisadi papa wanaoiba mabilioni ya fedha za wananchi na kutaka wachukuliwe hatua kwa madai kuwa wataiyumbisha na kuitingisha nchi.
Kati ya wafanyabiashara waliotajwa na Mengi, wawili wamefunguliwa mashtaka ya tuhuma za wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), wengine wakiwa wameshatajwa kwenye kashfa mbalimbali, zikiwemo za zabuni ya utoaji umeme wa dharura ya Richmond Development na uuzwaji wa jengo la Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Mengi, ambaye anamiliki kampuni ya IPP yenye kampuni mbalimbali zikiwemo za habari na vinywaji, alitaja wafanyabiashara hao watano akisema kuwa ndio papa kwa ufisadi lakini akasema idadi ya mafisadi wanaofilisi nchi hawazidi 10.
"Wanaotuhumiwa kuwa mafisadi papa wanahusishwa na karibu kila kashfa kubwa hapa nchini zikiwepo kashfa za Richmond, EPA, Dowans, helikopta na magari ya jeshi, ndege ya rais, rada, NSSF, Bahati Nasibu ya Taifa, mradi wa makaa ya mawe wa Mchuchuma na kadhalika," alidai Mengi katika mkutano wake na waandishi wa habari alioufanya kwenye ofisi yake jijini Dar es salaam.
>
Kati ya wafanyabiashara hao watano ambao Mengi alidai ni mapapa wa ufisadi, wamo Rostam Aziz, Yusuf Manji na Jayantkumar Chandubhai Patel (Jeetu Patel), ambao Mwananchi ilipata nafasi ya kuzungumza nao kuhusu tuhuma hizo za Mengi.
Hata hivyo, Mengi hakuwa tayari kutoa vielelezo kuthibitisha madai yake, lakini akasema iwapo watamshtaki mahakamani na wafanye hivyo kwa kuwa huko ndiko haki inakopatikana.
Mengi alirusha tuhuma nyingi kwa watu hao ambao alidai kuwa wamecharuka baada ya Rais Jakaya Kikwete kuamua kupambana nao na hivyo wameamua kupambana na yeyote anayemsaidia mkuu huyo wa nchi katika vita hiyo.
"Jitihada kubwa za Mhe. Rais za kuleta maendeleo na maisha bora kwa kila Mtanzania zinazoofishwa na wizi mkubwa wa rasilimali za taifa. Bado Watanzania wengi wanaandamwa na umaskini mkubwa; hawajui hata mlo mmoja kwa siku utatoka wapi," alidai Mengi ambaye pia alitoa taarifa ya maandishi aliyoisaini.
"Cha kusikitisha ni kuwa pale Mtanzania mwema mwenye uwezo anaposaidia jamii kuondokana na umasikini, mafisadi wanapiga kelele kuwa misaada ya aina hiyo ina agenda. Wanapinga kwa kuwa wanataka Watanzania wafe na njaa na matatizo mengine."
Mengi alikwenda mbali zaidi na kudai mafisadi anaowatuhumu wanaweza wakaunga mkono matatizo yanayotokana na Deci, taasisi inayoendesha mchezo wa kuchangisha fedha na kulipa maradufu na Watanzania kubakia "wakifukuzana na wachungaji bila ya kujiuliza ni kina nani hasa wanachochea vurugu".
Wakiongea na Mwananchi, watu hao wanaotuhumiwa kwa ufisadi hawakutaka kujibu kwa kirefu na badala yake walimtuhumu mwenyekiti huyo mtendaji wa IPP kuwa ana wivu, fitina chuki na ambaye ameshindwa kuendesha nyumba na biashara zake, huku mwingine akieleza kuwa anatumia haki yake ya kidemokrasia ya kutoa maoni yake.
"Mengi... (si mstaarabu)," alisema Manji ambaye anamiliki kampuni ya Quality Group. " Biashara zake zimemshinda ndio maana anazungumza ovyo."
Rostam Aziz, ambaye ni mbunge wa Igunga anayejishughulisha na biashara mbalimbali za miradi mikubwa ya ujenzi, uchimbaji na habari, alimuelezea Mengi kama mtu ambaye analingana kwa umri na baba yake mzazi na hivyo hawezi kubishana naye.
Lakini akasema: "Mengi amejaa chuki, wivu na fitina. Sina cha kumsaidia isipokuwa kumuombea Mungu ili amsaidie kwa kumpuuzia hayo maana ni adhabu kwa nafsi yake mwenyewe. Kwa malezi niliyopata, siwezi kubishana na mzee."
Jeetu Patel naye alisema haoni busara kujibizana na Mengi na kwamba alichofanya mwenyekiti huyo wa Chama cha Wafanyabiashara Wenye Viwanda (CTI) ni kutumia haki yake ya kidemokrasia ya uhuru wa kuongea.
“Hayo ni matatizo yake," alisema Patel, ambaye anakabiliwa na kesi ya tuhuma za wizi wa fedha za EPA. "Amewaita waandishi kuzungumza nao... sikumsikia lakini ninachoweza kusema ni kwamba anatumia uhuru wake wa kujieleza.>
"Binafsi sijui chochote kuhusu hizo tuhuma za Mengi dhidi yangu, ila anayo haki ya kusema chochote. Nina mambo mengi ya kufanya hivyo sioni kama itanisaidia kwenye biashara zangu za kila siku kuanza majibizano na Mengi."
Katika mkutano wake na waandishi wa habari, Mengi alidai kuwa watu hao aliowataja si tu kwamba wanaiba rasilimali za Tanzania, bali pia wanaiba muda wa Watanzania.
"Badala ya kutumia muda katika shughuli za maendeleo, tunajikuta tukitumia muda mwingi kupambana nao na hawatingishiki," alidai Mengi. "Badala yake wanatumia fedha walizotuibia kuanzisha magazeti ya kujenga kiburi cha kutudharau, kututukana na kutunyanyasa. Inakuwa kesi ya mwizi kumkimbiza na kumpiga aliyeibiwa.
"Hata sasa hivi, mafisadi papa wanaendelea kutumia uwezo wao wa kiuchumi uliotokana na wizi wa rasilimali za nchi yetu kushawishi na kupata miradi mikubwa mikubwa kwa kutumia majina tofauti tofauti huku wakipuuza kabisa kelele za wananchi kuhusu ufisadi wao.
Alisema ni muhimu wananchi wakajiuliza hawa mafisadi wanapata wapi ujasiri wa majigambo, dharau na nguvu za kutukana na kunyanyasa watu.
Alisema mafisadi papa ni lazima wajue kwamba iwapo wapambanaji wa ufisadi watapata madhara kwa njia yoyote hapa nchini au nje ya nchi, wananchi wa Tanzania watawawajibisha.
"Ni lazima Watanzania wote tuone kwamba sasa tumefika mahali pa kusema imetosha," alidai Mengi.
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Reginald Mengi jana aliamua kujitoa muhanga alipotangaza majina ya wafanyabiashara watano wenye asili ya Kiasia ambao anadai kuwa ni mafisadi papa wanaoiba mabilioni ya fedha za wananchi na kutaka wachukuliwe hatua kwa madai kuwa wataiyumbisha na kuitingisha nchi.
Kati ya wafanyabiashara waliotajwa na Mengi, wawili wamefunguliwa mashtaka ya tuhuma za wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), wengine wakiwa wameshatajwa kwenye kashfa mbalimbali, zikiwemo za zabuni ya utoaji umeme wa dharura ya Richmond Development na uuzwaji wa jengo la Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Mengi, ambaye anamiliki kampuni ya IPP yenye kampuni mbalimbali zikiwemo za habari na vinywaji, alitaja wafanyabiashara hao watano akisema kuwa ndio papa kwa ufisadi lakini akasema idadi ya mafisadi wanaofilisi nchi hawazidi 10.
"Wanaotuhumiwa kuwa mafisadi papa wanahusishwa na karibu kila kashfa kubwa hapa nchini zikiwepo kashfa za Richmond, EPA, Dowans, helikopta na magari ya jeshi, ndege ya rais, rada, NSSF, Bahati Nasibu ya Taifa, mradi wa makaa ya mawe wa Mchuchuma na kadhalika," alidai Mengi katika mkutano wake na waandishi wa habari alioufanya kwenye ofisi yake jijini Dar es salaam.
>

Kati ya wafanyabiashara hao watano ambao Mengi alidai ni mapapa wa ufisadi, wamo Rostam Aziz, Yusuf Manji na Jayantkumar Chandubhai Patel (Jeetu Patel), ambao Mwananchi ilipata nafasi ya kuzungumza nao kuhusu tuhuma hizo za Mengi.
Hata hivyo, Mengi hakuwa tayari kutoa vielelezo kuthibitisha madai yake, lakini akasema iwapo watamshtaki mahakamani na wafanye hivyo kwa kuwa huko ndiko haki inakopatikana.
Mengi alirusha tuhuma nyingi kwa watu hao ambao alidai kuwa wamecharuka baada ya Rais Jakaya Kikwete kuamua kupambana nao na hivyo wameamua kupambana na yeyote anayemsaidia mkuu huyo wa nchi katika vita hiyo.
"Jitihada kubwa za Mhe. Rais za kuleta maendeleo na maisha bora kwa kila Mtanzania zinazoofishwa na wizi mkubwa wa rasilimali za taifa. Bado Watanzania wengi wanaandamwa na umaskini mkubwa; hawajui hata mlo mmoja kwa siku utatoka wapi," alidai Mengi ambaye pia alitoa taarifa ya maandishi aliyoisaini.
"Cha kusikitisha ni kuwa pale Mtanzania mwema mwenye uwezo anaposaidia jamii kuondokana na umasikini, mafisadi wanapiga kelele kuwa misaada ya aina hiyo ina agenda. Wanapinga kwa kuwa wanataka Watanzania wafe na njaa na matatizo mengine."
Mengi alikwenda mbali zaidi na kudai mafisadi anaowatuhumu wanaweza wakaunga mkono matatizo yanayotokana na Deci, taasisi inayoendesha mchezo wa kuchangisha fedha na kulipa maradufu na Watanzania kubakia "wakifukuzana na wachungaji bila ya kujiuliza ni kina nani hasa wanachochea vurugu".
Wakiongea na Mwananchi, watu hao wanaotuhumiwa kwa ufisadi hawakutaka kujibu kwa kirefu na badala yake walimtuhumu mwenyekiti huyo mtendaji wa IPP kuwa ana wivu, fitina chuki na ambaye ameshindwa kuendesha nyumba na biashara zake, huku mwingine akieleza kuwa anatumia haki yake ya kidemokrasia ya kutoa maoni yake.
"Mengi... (si mstaarabu)," alisema Manji ambaye anamiliki kampuni ya Quality Group. " Biashara zake zimemshinda ndio maana anazungumza ovyo."
Rostam Aziz, ambaye ni mbunge wa Igunga anayejishughulisha na biashara mbalimbali za miradi mikubwa ya ujenzi, uchimbaji na habari, alimuelezea Mengi kama mtu ambaye analingana kwa umri na baba yake mzazi na hivyo hawezi kubishana naye.Lakini akasema: "Mengi amejaa chuki, wivu na fitina. Sina cha kumsaidia isipokuwa kumuombea Mungu ili amsaidie kwa kumpuuzia hayo maana ni adhabu kwa nafsi yake mwenyewe. Kwa malezi niliyopata, siwezi kubishana na mzee."
Jeetu Patel naye alisema haoni busara kujibizana na Mengi na kwamba alichofanya mwenyekiti huyo wa Chama cha Wafanyabiashara Wenye Viwanda (CTI) ni kutumia haki yake ya kidemokrasia ya uhuru wa kuongea.
“Hayo ni matatizo yake," alisema Patel, ambaye anakabiliwa na kesi ya tuhuma za wizi wa fedha za EPA. "Amewaita waandishi kuzungumza nao... sikumsikia lakini ninachoweza kusema ni kwamba anatumia uhuru wake wa kujieleza.>

"Binafsi sijui chochote kuhusu hizo tuhuma za Mengi dhidi yangu, ila anayo haki ya kusema chochote. Nina mambo mengi ya kufanya hivyo sioni kama itanisaidia kwenye biashara zangu za kila siku kuanza majibizano na Mengi."
Katika mkutano wake na waandishi wa habari, Mengi alidai kuwa watu hao aliowataja si tu kwamba wanaiba rasilimali za Tanzania, bali pia wanaiba muda wa Watanzania.
"Badala ya kutumia muda katika shughuli za maendeleo, tunajikuta tukitumia muda mwingi kupambana nao na hawatingishiki," alidai Mengi. "Badala yake wanatumia fedha walizotuibia kuanzisha magazeti ya kujenga kiburi cha kutudharau, kututukana na kutunyanyasa. Inakuwa kesi ya mwizi kumkimbiza na kumpiga aliyeibiwa.
"Hata sasa hivi, mafisadi papa wanaendelea kutumia uwezo wao wa kiuchumi uliotokana na wizi wa rasilimali za nchi yetu kushawishi na kupata miradi mikubwa mikubwa kwa kutumia majina tofauti tofauti huku wakipuuza kabisa kelele za wananchi kuhusu ufisadi wao.
Alisema ni muhimu wananchi wakajiuliza hawa mafisadi wanapata wapi ujasiri wa majigambo, dharau na nguvu za kutukana na kunyanyasa watu.
Alisema mafisadi papa ni lazima wajue kwamba iwapo wapambanaji wa ufisadi watapata madhara kwa njia yoyote hapa nchini au nje ya nchi, wananchi wa Tanzania watawawajibisha.
"Ni lazima Watanzania wote tuone kwamba sasa tumefika mahali pa kusema imetosha," alidai Mengi.
CHANZO:Mwananchi
22 Apr 2009
22.4.09
Evarist Chahali
DECI
No comments

Na Waandishi Wetu
VURUGU kubwa zimeibuka katika Makao Makuu ya taasisi ya Development of Entrepreneurship for Community Initiative (Deci), wanachama wake walipokuwa wakigombea kuingia ndani ya ofisi hizo kuorodhoresha majina yao kwa ajili ya kung’oa mbegu walizopanda.
Kati msongamano wa wanachama waliokuwa wakigombea kuingia ndani ya ofisi za taasisi hiyo jana; baadhi ya watu walianguka chini, kumi kati yao walipoteza fahamu na saba walinusurika kufa baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji kilichopo katika eneo hilo.
Mashuhuda wa tukio hilo waliliambia gazeti hili kuwa watu hao walianza kusukumana kwenye lango la kuingilia ndani ya ofisi hizo, muda mfupi baada ya kufunguliwa na kukaidi amri ya kufuata foleni iliyotolewa na muhudumu wa Deci.
Walisema baada ya wanachama hao kukaidi amri hiyo, walijazana kwenye mlango wa kuingilia ndani ya ofisi hizo na ndipo walinzi wa kampuni binafsi wanaolinda ofisi hizo walitumia nguvu kuwarudisha nyuma wanachama hao bila mafanikio.
“Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya walifunga mlango wa kuingilia na shughuli za taasisi hiyo kusimamishwa kwa muda,” alisema mmoja wa mashuhuda.
Alisema ofisi zilisitishwa kuanzia saa 3:00 hadi saa 4:05 zilipofunguliwa baada ya kuwasili kwa askari polisi kutoka Kituo cha Magomeni.
Polisi hao wakiwa na silaha waliwasili kwenye ofisi hizo na kuingia ndani kupitia katika mlango uliokuwa umezingirwa na umati wa watu, ili waweze kuwalazimisha kufuata foleni.
Hata hivyo, zoezi hilo lilizidi kuwa gumu bada ya watu hao kuendelea kusukumana mlangoni hapo licha ya polisi kuingia ndani ya ofisi hizo na wahudumu wa Deci kutangaza kuwa wanachama waliopanda mbegu zao Machi mosi hadi 10, mwaka huu kuwa ndio wanatakiwa kuingia kupata huduma.
Kutokana na vurugu kuongezeka, ofisi hizo zilifungwa tena saa 7:45 mchana na kuwataka wanachama waondoke hadi kesho saa 2:00 asubuhi.
Hata hivyo muhudumu aliyekuwa anatoa taarifa kwa wanachama hao aliwataka kutofuata ratiba iliyoandaliwa na taasisi hiyo awali ya kuwahudumia waliopanda mbegu zao Februari. Badala yake aliwataka waliopanda mbegu zao kuanzia Machi mosi hadi 5, mwaka huu ndio watatakiwa kwenda kujiorodhesha leo.
Mmoja wa wanachama waliotumbikia kwenye kisima, Getruda Moto aliliambia Mwananchi kuwa akiwa na wenzake, alishituka baada ya mbao alizokuwa amesimamia juu yake zikizama.
“Mimi nilikuwa nimesimama pembeni, lakini kuna watu walikuja na kukanyaga mbao iliyogusa kwenye mgomba, ndipo ikatengua mbao zilizoegeshwa kwenye kisima hiki na mimi pamoja na wenzangu kutumbukia,” alisema Moto.
Hata hivyo alisema mara baada ya kuokolewa alifarijiwa na wanachama wenzake, wakimtaka asiilaumu Deci, bali serikali ambayo ndiyo chanzo cha yote hayo.
“Usiilaumu Deci hii haikudhamiria kufanya haya bali ni serikali iliyoifunga na kusababisha yote haya” alisema mama mmoja ambaye jina lake halikupatikana.
Mchungaji wa Kanisa la Sharoom Gospel la Yombo Buza, Kamiliusi Macha ambaye ni mmoja wa wanachama wa Deci aliilalamikia serikali kwa kutoweka ulinzi wa kutosha katika eneo hilo linalokusanya umati mkubwa wa watu.
“Hapa walitakiwa kuwepo askari wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU), ndiyo wangeweza kuwalazimisha wanachi kupanga foleni na hali hii ya wanachama ya kujazana mlangoni isingekuwapo,” alisema Macha.
Akizungumzia kampuni hiyo alisema kwa sasa inakatisha tamaa kwani taarifa zake ni za kutatanisha. Ofisi hizo pia ziligubikwa na kila aina ya vituko baada ya vibaka kuibuka na kuwaibia watu simu za mkononi pamoja na risiti zao za Deci.
Mwanachama mmoja aliporwa risiti zote za Deci zenye thamani ya Sh 200,000 akiwa nje ya makao makuu ya ofisi hizo. Mwanachama huyo ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini alisema aliporwa karatasi hizo alizokuwa amezishika mkononi na kuachiwa karatasi ya ratiba.
Alisema mara baada ya kuporwa stakabadhi hizo alikwenda kituo cha polisi cha Urafiki kutoa taarifa, lakini alipofika huko aliambiwa arudi katika ofisi za Deci ambako angepewa barua ya utambulisho.
Hata hivyo juhudi za kupata barua hiyo zilishindikana baada ya watendaji wa Deci kukataa kufungua mlango wa ofisi hizo kwa madai kuwa muda wa kufanya kazi ulikuwa umemalizika.
“Nifungulieni mimi nimeibiwa naomba mnisaidie, nimeshaenda polisi nimeambiwa nije huku mniandikie barua,” alilalamika bila mafanikio baada ya sauti kutoka ndani ya ofisi hizo ikidai muda wa kazi umeisha.
Mwenyekiti wa kamati ya dharura ya wanachama wa Deci, Mchungaji Isaack Kalenge alifika katika ofisi hizo na kuwatangazia wanachama juu ya mkutano wao utakofanyika Jumamosi wiki hii kuanzia saa 7:00 katika viwanja vya Jangwani na kuwataka wanachama wote kufika bila kukosa.
Kabla ya kufika katika ofisi hizo mkutano aliokuwa ameuitisha na waandishi wa habari Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo, ulivunjwa na maofisa wa maelezo kwa kushirikiana na maafisa usalama, baada ya mchungaji huyo kutoa kauli iliyodaiwa kumdhihaki Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Mkutano huo ulivunjwa baada ya mchungaji huyo kusema kuwa kauli ya Waziri Mkuu kuwa Deci ina Sh1.8 bilioni katika akaunti yake badala ya 54bilioni zilizotajwa na viongozi wa taasisi hiyo, ni ya kuropoka na kupotosha umma.
Kauli hiyo iliwaudhi maofisa wa maelezo hivyo kumtaka aache kuongea habari za viongozi wa taasisi hiyo, hata wa serikali badala yake kusoma maandishi aliyoyaandika katika karatasi yake.
“Wewe siyo kiongozi wa Deci hivyo unatakiwa kuzungumzia masuala yako binafsi kwa kuwa ni mwanachama wa taasisi hiyo, si kumdhihaki na kumtukana Waziri Mkuu,” alisikika kiongozi mmoja wa maelezo na kuamsha kelele kutoka kwa waandishi waliokuwepo katika mkutano huo.
Hata hivyo mchungaji huyo aliitaka serikali kupitia Wizara ya Fedha kuwajengea wananchi mazingira ya kupata fedha zao.
Hata hivyo Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alimtaka mchungaji huyo kufuata utaratibu uliowekwa na jeshi hilo kabla ya kufanya mkutano wake Jumamosi ijayo kwa kuwa kufanya hivyo bila kibali ni kukiuka Sheria namba 322 ya Jeshi la Polisi iliyofanyiwa mabadiliko mwaka 2002.
Katika tawi la Deci lililopo maeneo ya Gongo la Mboto, jijini Dar es Salaam umati mkubwa wa wanachama ulikusanyika huku ukiulalamikia utaratibu wa kujiandikisha majina na kuacha risiti mpaka siku ya kurudishiwa fedha zao.
Mwananchi lilishuhudia washiriki hao wakizozana na baadhi ya viongozi wa tawi hilo na kuwalazimu kubadili uamuzi huo kwa kubandika tangazo ambalo lilikuwa linaonyesha utaratibu wa malipo kwa waliopanda mbegu kuanzia Oktoba mwaka jana mpaka Aprili, mwaka huu.
“Hatutaki kabisa kuacha risiti hapa kwani ikifika siku ya malipo mtaturuka. Tunasema hatutaki, nyie tuambieni siku ya kuja kuchukua fedha zetu, tutakuja na risiti zetu,” walisema washiriki hao.
Wakati hayo yakiendelea Deci katika taasisi nyingine ya Malingumu Investment iliyopo maeneo ya Ukonga karibia na lilipo tawi la Deci wanachama wake walionekana wakiendelea kupanda kama kawaida.
Mwananchi lilifika eneo hilo saa tisa alasiri ilikuta wanachama wa taasisi hiyo wakigombania kuingia ndani, huku wakiwa wanazuiwa na walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wakilinda eneo hilo.
VURUGU kubwa zimeibuka katika Makao Makuu ya taasisi ya Development of Entrepreneurship for Community Initiative (Deci), wanachama wake walipokuwa wakigombea kuingia ndani ya ofisi hizo kuorodhoresha majina yao kwa ajili ya kung’oa mbegu walizopanda.
Kati msongamano wa wanachama waliokuwa wakigombea kuingia ndani ya ofisi za taasisi hiyo jana; baadhi ya watu walianguka chini, kumi kati yao walipoteza fahamu na saba walinusurika kufa baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji kilichopo katika eneo hilo.
Mashuhuda wa tukio hilo waliliambia gazeti hili kuwa watu hao walianza kusukumana kwenye lango la kuingilia ndani ya ofisi hizo, muda mfupi baada ya kufunguliwa na kukaidi amri ya kufuata foleni iliyotolewa na muhudumu wa Deci.
Walisema baada ya wanachama hao kukaidi amri hiyo, walijazana kwenye mlango wa kuingilia ndani ya ofisi hizo na ndipo walinzi wa kampuni binafsi wanaolinda ofisi hizo walitumia nguvu kuwarudisha nyuma wanachama hao bila mafanikio.
“Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya walifunga mlango wa kuingilia na shughuli za taasisi hiyo kusimamishwa kwa muda,” alisema mmoja wa mashuhuda.
Alisema ofisi zilisitishwa kuanzia saa 3:00 hadi saa 4:05 zilipofunguliwa baada ya kuwasili kwa askari polisi kutoka Kituo cha Magomeni.
Polisi hao wakiwa na silaha waliwasili kwenye ofisi hizo na kuingia ndani kupitia katika mlango uliokuwa umezingirwa na umati wa watu, ili waweze kuwalazimisha kufuata foleni.
Hata hivyo, zoezi hilo lilizidi kuwa gumu bada ya watu hao kuendelea kusukumana mlangoni hapo licha ya polisi kuingia ndani ya ofisi hizo na wahudumu wa Deci kutangaza kuwa wanachama waliopanda mbegu zao Machi mosi hadi 10, mwaka huu kuwa ndio wanatakiwa kuingia kupata huduma.
Kutokana na vurugu kuongezeka, ofisi hizo zilifungwa tena saa 7:45 mchana na kuwataka wanachama waondoke hadi kesho saa 2:00 asubuhi.
Hata hivyo muhudumu aliyekuwa anatoa taarifa kwa wanachama hao aliwataka kutofuata ratiba iliyoandaliwa na taasisi hiyo awali ya kuwahudumia waliopanda mbegu zao Februari. Badala yake aliwataka waliopanda mbegu zao kuanzia Machi mosi hadi 5, mwaka huu ndio watatakiwa kwenda kujiorodhesha leo.
Mmoja wa wanachama waliotumbikia kwenye kisima, Getruda Moto aliliambia Mwananchi kuwa akiwa na wenzake, alishituka baada ya mbao alizokuwa amesimamia juu yake zikizama.
“Mimi nilikuwa nimesimama pembeni, lakini kuna watu walikuja na kukanyaga mbao iliyogusa kwenye mgomba, ndipo ikatengua mbao zilizoegeshwa kwenye kisima hiki na mimi pamoja na wenzangu kutumbukia,” alisema Moto.
Hata hivyo alisema mara baada ya kuokolewa alifarijiwa na wanachama wenzake, wakimtaka asiilaumu Deci, bali serikali ambayo ndiyo chanzo cha yote hayo.
“Usiilaumu Deci hii haikudhamiria kufanya haya bali ni serikali iliyoifunga na kusababisha yote haya” alisema mama mmoja ambaye jina lake halikupatikana.
Mchungaji wa Kanisa la Sharoom Gospel la Yombo Buza, Kamiliusi Macha ambaye ni mmoja wa wanachama wa Deci aliilalamikia serikali kwa kutoweka ulinzi wa kutosha katika eneo hilo linalokusanya umati mkubwa wa watu.
“Hapa walitakiwa kuwepo askari wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU), ndiyo wangeweza kuwalazimisha wanachi kupanga foleni na hali hii ya wanachama ya kujazana mlangoni isingekuwapo,” alisema Macha.
Akizungumzia kampuni hiyo alisema kwa sasa inakatisha tamaa kwani taarifa zake ni za kutatanisha. Ofisi hizo pia ziligubikwa na kila aina ya vituko baada ya vibaka kuibuka na kuwaibia watu simu za mkononi pamoja na risiti zao za Deci.
Mwanachama mmoja aliporwa risiti zote za Deci zenye thamani ya Sh 200,000 akiwa nje ya makao makuu ya ofisi hizo. Mwanachama huyo ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini alisema aliporwa karatasi hizo alizokuwa amezishika mkononi na kuachiwa karatasi ya ratiba.
Alisema mara baada ya kuporwa stakabadhi hizo alikwenda kituo cha polisi cha Urafiki kutoa taarifa, lakini alipofika huko aliambiwa arudi katika ofisi za Deci ambako angepewa barua ya utambulisho.
Hata hivyo juhudi za kupata barua hiyo zilishindikana baada ya watendaji wa Deci kukataa kufungua mlango wa ofisi hizo kwa madai kuwa muda wa kufanya kazi ulikuwa umemalizika.
“Nifungulieni mimi nimeibiwa naomba mnisaidie, nimeshaenda polisi nimeambiwa nije huku mniandikie barua,” alilalamika bila mafanikio baada ya sauti kutoka ndani ya ofisi hizo ikidai muda wa kazi umeisha.
Mwenyekiti wa kamati ya dharura ya wanachama wa Deci, Mchungaji Isaack Kalenge alifika katika ofisi hizo na kuwatangazia wanachama juu ya mkutano wao utakofanyika Jumamosi wiki hii kuanzia saa 7:00 katika viwanja vya Jangwani na kuwataka wanachama wote kufika bila kukosa.
Kabla ya kufika katika ofisi hizo mkutano aliokuwa ameuitisha na waandishi wa habari Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo, ulivunjwa na maofisa wa maelezo kwa kushirikiana na maafisa usalama, baada ya mchungaji huyo kutoa kauli iliyodaiwa kumdhihaki Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Mkutano huo ulivunjwa baada ya mchungaji huyo kusema kuwa kauli ya Waziri Mkuu kuwa Deci ina Sh1.8 bilioni katika akaunti yake badala ya 54bilioni zilizotajwa na viongozi wa taasisi hiyo, ni ya kuropoka na kupotosha umma.
Kauli hiyo iliwaudhi maofisa wa maelezo hivyo kumtaka aache kuongea habari za viongozi wa taasisi hiyo, hata wa serikali badala yake kusoma maandishi aliyoyaandika katika karatasi yake.
“Wewe siyo kiongozi wa Deci hivyo unatakiwa kuzungumzia masuala yako binafsi kwa kuwa ni mwanachama wa taasisi hiyo, si kumdhihaki na kumtukana Waziri Mkuu,” alisikika kiongozi mmoja wa maelezo na kuamsha kelele kutoka kwa waandishi waliokuwepo katika mkutano huo.
Hata hivyo mchungaji huyo aliitaka serikali kupitia Wizara ya Fedha kuwajengea wananchi mazingira ya kupata fedha zao.
Hata hivyo Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alimtaka mchungaji huyo kufuata utaratibu uliowekwa na jeshi hilo kabla ya kufanya mkutano wake Jumamosi ijayo kwa kuwa kufanya hivyo bila kibali ni kukiuka Sheria namba 322 ya Jeshi la Polisi iliyofanyiwa mabadiliko mwaka 2002.
Katika tawi la Deci lililopo maeneo ya Gongo la Mboto, jijini Dar es Salaam umati mkubwa wa wanachama ulikusanyika huku ukiulalamikia utaratibu wa kujiandikisha majina na kuacha risiti mpaka siku ya kurudishiwa fedha zao.
Mwananchi lilishuhudia washiriki hao wakizozana na baadhi ya viongozi wa tawi hilo na kuwalazimu kubadili uamuzi huo kwa kubandika tangazo ambalo lilikuwa linaonyesha utaratibu wa malipo kwa waliopanda mbegu kuanzia Oktoba mwaka jana mpaka Aprili, mwaka huu.
“Hatutaki kabisa kuacha risiti hapa kwani ikifika siku ya malipo mtaturuka. Tunasema hatutaki, nyie tuambieni siku ya kuja kuchukua fedha zetu, tutakuja na risiti zetu,” walisema washiriki hao.
Wakati hayo yakiendelea Deci katika taasisi nyingine ya Malingumu Investment iliyopo maeneo ya Ukonga karibia na lilipo tawi la Deci wanachama wake walionekana wakiendelea kupanda kama kawaida.
Mwananchi lilifika eneo hilo saa tisa alasiri ilikuta wanachama wa taasisi hiyo wakigombania kuingia ndani, huku wakiwa wanazuiwa na walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wakilinda eneo hilo.
CHANZO: Mwananchi
Baadhi ya washiriki hao walikuwa na nia ya kung’oa mbegu zao kwa kuhofia taasisi hiyo kufungiwa kama ilivyofungiwa Deci.
Baadhi ya washiriki hao walikuwa na nia ya kung’oa mbegu zao kwa kuhofia taasisi hiyo kufungiwa kama ilivyofungiwa Deci.
22.4.09
Evarist Chahali
DECI, PONZI SCHEME
No comments

KWA MFANO KATINA GAZETI LA SANI KUNA HABARI KWAMBA MWANANCHI MMOJA ALIYEPANDA MBEGU ZENYE THAMANI YA SHS MILIONI 20 "AMEPARALAIZI" (AMEPOOZA)UPANDE MMOJA WA MWILI WAKE BAADA YA HABARI KUWA HUENDA MBEGU YAKE HIYO IKAWA "IMEOZA ARDHINI".....KIBAYA ZAIDI NI KWAMBA MBEGU HIZO (SHS MILIONI 20) ZILIKUWA NI FEDHA ZA URITHI WA FAMILIA,NA "MPANDA MBEGU" HUYU ALITUMIA TU NAFASI YAKE KAMA MWEKA HAZINA WA FUNGU HILO AKIAMINI MBEGU ZINGEZAA FAIDA NA KISHA ANGEREJESHA KIWANGO HICHO......

22.4.09
Evarist Chahali
PIRACY, SOMALIA
No comments

Captured Somali pirates,like Abduwali Abdukhadir Muse (pictured above,smiling as he arrives on the U.S soil) are most likely to seek for asylum in the U.S. upon completion of their jail terms.Compared to the current situation in Somalia,life in a U.S. prison could most probably be perceived as a once-in-lifetime-luxury many Somalis could only imagine.Couldn't this encourage even more pirate attacks in the future?
May be that's why the captured pirate is all smiles....
22.4.09
Evarist Chahali
BARACK OBAMA
No comments
1 When presidents get invited to the annual Gridiron Dinner for a night of political skits among the Washington press corps, they always go. Not this one, who became the first sitting President politely to decline.2 We have had lots of canine companions on the rugs of the Oval Office, but Obama's is the first first whose name, Bo, is also his master's initials. Better still, Portuguese water dogs come with fine Democrat credentials – Senator Ted Kennedy has litters of them
3 Americans have become accustomed to knowing that the so-called "enemy combatants" were being held at a safe distance – at Guantanamo Bay. But BO comes into office and instantly declares he will close it within a year.
4 Never mind the Bush policy of hostility to Iran, BO has been making tentative overtures, asking Tehran to cooperate on Afghanistan and edging towards face-to-face talks on its nuclear programme without preconditions.
5 In his first formal press conference, BO took a question from a correspondent of The Huffington Post, the political blog site. In this White House, old journalism must compete with new journalism.
6 As soon as the first cherry buds were bursting in Washington, Michelle Obama, accompanied by local school children, was breaking sod for the First Family's organic vegetable patch.
7 America is no longer shrugging its shoulders at the drug cartel violence shaking Mexico. BO and Secretary of State Hillary Clinton acknowledged that the US is fueling the problem, supplying guns and consuming the drugs.
8 The Beast. The new first limousine – a Cadillac with more armour than your average tank and bullet-proof windows – has already prowled the streets of London, Strasbourg, Prague and Istanbul. And Pennsylvania Avenue on Inauguration Day.
9 Rush Limbaugh is the conservative blowhard on the radio who millions of Americans long ago learned to love or hate. But now his visibility, ratings and influence have soared. Some even tag him the unofficial head of the Republican opposition.
10 When Nato fed live footage of Barack and Michelle arriving for a dinner hosted by Angela Merkel into a packed press room, scores of normally cynical reporters rose to their feet to clap...CONTINUE
SOURCE: The Independent
21 Apr 2009
Shule ya Sekondari ya kutwa ya Marambo yenye wanafunzi 253 ya kidato cha Kwanza hadi cha Nne , iliyopo Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi ina mwalimu mmoja. Mkuu wa shule hiyo, Saidi Mbutuka ndiye pekee aliye shuleni hapo anayelazimika kushika nyadhifa zote.Mbutuka aliliambia gazeti hili kuwa hali hiyo inatishia mustakabali wa elimu kwa wanafunzi shuleni hapo kwa kukosa elimu inayostahili. ''Mimi ndiye mkuu wa shule, ndiye mwalimu wa zamu, mwalimu wa taaluma, kila siku za kazi natakiwa kuingia katika madarasa yote manne, kwa siku ninakuwa na vipindi zaidi ya 10'', alisema.
Aliongeza, ''kwa hali hiyo hata kama ningekuwa mwalimu mzuri, kuna kila sababu ya kutilia mashaka na ubora wa elimu, mimi ni mwalimu wa masomo ya Sanaa, lakini nalazimika kufundisha Sayansi,'' alisema Mbutuka.
Alifafanua kuwa tatizo hilo limejitokeza mwaka huu baada ya walimu wanne waliokuwa shuleni hapo kwenda kusoma. 'Tunao wanafunzi wa kidato cha Nne ambao wanahitaji wafanye mtihani wa kuhitimu elimu yao, hivi tujiulize nini watavuna wanafunzi hawa kwa kufundishwa na mwalimu mmoja ambaye pia ndiyo nguzo kwa wanafunzi wa vidato vingine,'' alihoji.
Kwa mujibu wa mwalimu huyo, akiondoka kwenda mjini hulazimika kuwatawanya wanafunzi au kuwaacha chini ya uangalizi wa wanafunzi wenzao ambao ni viongozi.
Mbutuka alibainisha kuwa pamoja na tatizo hilo shule hiyo inakabiliwa na tatizo sugu la mdondoko wa wanafunzi unaotokana na wanafunzi hao kukimbilia katika machimbo ya madini ya Miruwi, Nachianji na Mituguru yaliyopo jirani na shule hiyo.
Alisema mwaka 2006, wanafunzi 53 waliripoti shuleni hapo hata hivyo waliobakia ni 31, wakati mwaka 2007 wanafunzi walioripoti walikuwa 111 waliopo 73. Mwaka 2008 wanafunzi 80 waliripoti na waliopo ni 50. Ofisa Elimu Vifaa na Takwimu wa Wilaya ya Nachingwea, Bakari Mussa, alikiri kuwapo kwa tatizo hilo na kuongeza kuwa halmashauri inashindwa kuwahamishia walimu shuleni hapo kutoka shule zingine ili kupunguza ukubwa wa tatizo kutokana na kukosa fedha za uhamisho.
''Kuna waraka wa serikali unaomtaka mwajiri kutomhamisha mtumishi yeyote bila kumlipa stahiki zake, kwa sababu halmashauri haina pesa tunashindwa namna ya kuiisaidia shule hiyo, lakini uwapo wa tatizo hilo sote tunautambua'' alisema Mussa.
CHANZO:Habarileo
HALAFU 2010 CCM WATAKUJA KUTUIMBIA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA ELIMU,NA KUDAI WAPEWE TENA MUDA WA KUIPELEKA NCHI YETU WANAKUJUA WAO.MIAKA ZAIDI YA 40 BAADA YA UHURU BADO TUNAKUWA NA SHULE YENYE MWALIMU MMOJA?WATETEZI WATASEMA SIE MASIKINI.MASIKINI GANI ANAYEWALIPA WABUNGE ZAIDI YA 300 SHS MILIONI 7 KWA MWEZI?MASIKINI GANI ALIEIBIWA BILIONI 40 NA KAGODA LAKINI ANAMWONEA AIBU HATA KUMTAJA HADHARANI?

Baraza la Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) limepitisha uamuzi wa kuishirikisha Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) kuhakiki vyeti vya wote wanaoomba kuwania nafasi za kisiasa ili sifa zao kielimu zitambulike.
Katibu Mtendaji wa TCU, Profesa Mayunga Nkunya, aliwaambia waandishi wa habari jana Dar es Salaam, TCU imewasiliana na NEC kwa barua, ili utaratibu huo uanze kutumika katika uchaguzi mkuu ujao mwakani.
Nkunya alitoa taarifa hiyo wakati akizungumzia maonyesho ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na TCU yatakayoanza kesho hadi Aprili 24, mwaka huu. “Baraza letu limepitisha uamuzi ili watu wanaotaka kugombea nafasi za kisiasa, vyeti vyao vihakikiwe, ili akipita sifa ijulikane rasmi kama ni daktari basi awe daktari na si daktari feki,” alisema Profesa Nkunya.
Hatua hiyo ya tume inatokana na kilichoelezwa na Nkunya kuwa ni kukithiri kwa vyuo na vyeti bandia nchini, jambo ambalo alisema wamejipanga kulivalia njuga kwa kushirikiana na wadau ili kuhakikisha Tanzania haiangamii kitaalamu na kitaaluma.
Alisema orodha ya vyuo visivyotambulika vya nje ambavyo Watanzania wengi wakiwamo mawaziri na wabunge wamesoma, ni ya kweli na kwamba kama kuna mtu anahisi kuonewa ruhusa kwenda mahakamani...ENDELEA
Katibu Mtendaji wa TCU, Profesa Mayunga Nkunya, aliwaambia waandishi wa habari jana Dar es Salaam, TCU imewasiliana na NEC kwa barua, ili utaratibu huo uanze kutumika katika uchaguzi mkuu ujao mwakani.
Nkunya alitoa taarifa hiyo wakati akizungumzia maonyesho ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na TCU yatakayoanza kesho hadi Aprili 24, mwaka huu. “Baraza letu limepitisha uamuzi ili watu wanaotaka kugombea nafasi za kisiasa, vyeti vyao vihakikiwe, ili akipita sifa ijulikane rasmi kama ni daktari basi awe daktari na si daktari feki,” alisema Profesa Nkunya.
Hatua hiyo ya tume inatokana na kilichoelezwa na Nkunya kuwa ni kukithiri kwa vyuo na vyeti bandia nchini, jambo ambalo alisema wamejipanga kulivalia njuga kwa kushirikiana na wadau ili kuhakikisha Tanzania haiangamii kitaalamu na kitaaluma.
Alisema orodha ya vyuo visivyotambulika vya nje ambavyo Watanzania wengi wakiwamo mawaziri na wabunge wamesoma, ni ya kweli na kwamba kama kuna mtu anahisi kuonewa ruhusa kwenda mahakamani...ENDELEA
CHANZO: Habarileo.
TAMKO ZURI LAKINI LINALOSTAHILI UMAKINI KATIKA KULIAMINI.HAWA TCU WAKATI WANAZUNGUMZIA UCHAGUZI WA 2010,WANATAKA KUTUMBIA HAWAKUWEPO 2005?AU WATAPATA NGUVU HIYO 2010?JE KAMA SASA WANASHINDWA KUWASHUGHULIKIA HAO "MADAKTARI WA FALSAFA" WALIOKWAA SHAHADA ZAO MTANDAONI TUTAAMINI VIPI KUWA WATAWEZA HIYO 2010?
TATIZO LA NCHI YETU SIO SHERIA,KWANI ZIMEKUWEPO TANGU TUNAKABIDHIWA UHURU NA MKOLONI.TATIZO NI UTEKELEZAJI WA SHERIA HIZO.KUNA MBUNGE ALIKUWA NA TUHUMA ZA KUFOJI ELIMU (SIO YA CHUO KIKUU) BALI YA SEKONDARI.CHA AJABU HADI LEO "ANAPETA".JE HII HAILETI USHAWISHI KWA VIHIYO WENGINE KUJARIBU BAHATI ZAO?
TATIZO LA PILI LA NCHI YETU SIO SHERIA BALI UTEKELEZAJI WAKE UNAOELEMEA ZAIDI AINA YA MKOSAJI.YALEYALE YA ANAEIBA KUKU KWA NJAA KUITWA MWIZI LAKINI ANAYEFUJA MABILIONI ANAOTWA M-BADHIRIFU (NA SANASANA BADALA YA KWENDA JELA ATAHAMISHWA KITUO CHA KAZI).KUNA SHERIA KWA AJILI YA VIGOGO (KAMA AKINA CHEYO WANAOUA KWENYE AJALI LAKINI WANAUNDIWA TUME BADALA YA SHERIA KUCHUKUA MKONDO WAKE) NA SHERIA NYINGINE NI KWA AJILI YA MAKABWELA.
21.4.09
Evarist Chahali
KIWIRA, MKAPA, UFISADI
No comments

SAKATA la mgodi wa Kiwira kufikishwa bungeni, limeendelea kugubikwa na wingu zito, kutokana na ratiba za bunge kutoonyesha kama serikali itatoa ripoti.
Mgodi wa Kiwira, ambao unamuhusisha Rais wa Serikali ya awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na aliyekuwa Waziri wa Nishati, Daniel Yona umejaa utata kutokana na madai kuwa kampuni ya Tan Power Resources Limited iliununua kwa Sh70 milioni badala ya thamani yake halisi ya Sh4 bilioni.
Hadi sasa serikali haijatoa ufafanuzi wowote kuhusu utata huo licha ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuahidi katika mkutano wa 13 wa bunge kwamba,ingetoa taarifa bungeni.
Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja alisema tu kwa kifupi "vuta subira".
Iwapo serikali haitatoa ripoti hiyo katika mkutano unaoendelea itakuwa ni mara ya tatu kupigwa tarehe suala hilo.
Katika mkutano wa 13, wakati mjadala wa mgodi wa Kiwira na Meremeta ukiwa umepamba moto, Pinda alisema serikali ilikuwa ikiandaa taarifa lakini akasema ni bora asulubiwe kuliko kutaja wamiliki wa Meremeta kwa maelezo kuwa inahusu usalama wa taifa.
Lakini, hadi mkutano huo unamalizika hakukuwa na ripoti yoyote ya serikali na hata ulivyokuja mkutano wa 14 hakukuwa na ripoti kama hiyo.
Tayari ratiba ya bunge imetoka na kuonyesha kwamba, hoja nzito inayotarajiwa kutikisa bunge hadi sasa ni ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ambayo imepangwa kuwasilishwa bungeni Aprili
Mgodi wa Kiwira, ambao unamuhusisha Rais wa Serikali ya awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na aliyekuwa Waziri wa Nishati, Daniel Yona umejaa utata kutokana na madai kuwa kampuni ya Tan Power Resources Limited iliununua kwa Sh70 milioni badala ya thamani yake halisi ya Sh4 bilioni.
Hadi sasa serikali haijatoa ufafanuzi wowote kuhusu utata huo licha ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuahidi katika mkutano wa 13 wa bunge kwamba,ingetoa taarifa bungeni.
Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja alisema tu kwa kifupi "vuta subira".
Iwapo serikali haitatoa ripoti hiyo katika mkutano unaoendelea itakuwa ni mara ya tatu kupigwa tarehe suala hilo.
Katika mkutano wa 13, wakati mjadala wa mgodi wa Kiwira na Meremeta ukiwa umepamba moto, Pinda alisema serikali ilikuwa ikiandaa taarifa lakini akasema ni bora asulubiwe kuliko kutaja wamiliki wa Meremeta kwa maelezo kuwa inahusu usalama wa taifa.
Lakini, hadi mkutano huo unamalizika hakukuwa na ripoti yoyote ya serikali na hata ulivyokuja mkutano wa 14 hakukuwa na ripoti kama hiyo.
Tayari ratiba ya bunge imetoka na kuonyesha kwamba, hoja nzito inayotarajiwa kutikisa bunge hadi sasa ni ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ambayo imepangwa kuwasilishwa bungeni Aprili
20 Apr 2009
20.4.09
Evarist Chahali
KATUNI
No comments
18 Apr 2009
Na Leon BahatiSAKATA la Halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein na ujumbe wake limechukuwa sura mpya, baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Celina Kombani kuunga mkono uamuzi wa halmashauri ni sahihi.
Akizungumza na Mwananchi Jumapili, Kombani alisema halmashauri za wilaya haziwajibiki kuchangia ziara za mawaziri, rais au makamu wake, wanapotembelea katika maeneo yao.
Kombani alibainisha kuwa kama ingekuwa utaratibu huo upo, halmashauri nyingi zingefilisika hasa ambazo mawaziri wanatoka, kwa sababu wana utaratibu maalumu wa kutembelea zaidi ya mara tano kwenye maeneo yao, kwa mwaka.
"Kwa mfano kwa mwaka mimi hufanya ziara mara sita katika wilaya yangu ya Ulanga (Morogoro). Tukisema wanigharamie basi ingefilisika pamoja na halmashauri nyingine ambazo zina mawaziri," alisema Kombani ambaye ni Mbunge wa Ulanga Mashariki.
Akielezea kuhusu taratibu za matumizi ya fedha kwenye halmashauri, alisema kwa kawaida matumizi yote hupitishwa kwenye vikao vya madiwani.
Alibainisha kuwa gharama za msafara wa rais, makamu wa rais na mawaziri hugharamiwa na serikali kuu, kulingana na taratibu zilizowekwa.
"Ndiyo maana rais anapokuwa kwenye ziara huenda na vyakula vyake," alisema Kombani lakini akafahamisha kuwa halmashauri zinaweza kutenga fungu kwa ajili ya kuuandalia ugeni kwenye maeneo yao chakula cha jioni.
Iwapo halmashauri itaamua kufanya hivyo, alisema kuwa ni lazima fungu hilo liwe limepitishwa na halmashauri kupitia vikao vyake halali na si mkurugenzi na watendaji wake.
Alipoulizwa juu ya adhabu ya kiongozi wa halmashauri atakayetoa fedha pasipokufuata taratibu; alisema kila halmashauri ina taratibu zake za kuwajadili viongozi au maofisa waliokiuka taratibu na kuwachukulia hatua.
Suala la Halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais pamoja na ujumbe wake liliripotiwa na gazeti la Mwananchi Jumatano iliyopita likionyesha kuwa Mkuu wa wilaya hiyo, Mathew Sedoyeka alimjia juu na kumtaka aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Majid Myao, aandike barua ya kujieleza kwanini alikataa kutoa fedha za kulipia ziara ya makamu wa rais wilayani humo.
Sedoyeka hakufurahishwa na kitendo cha halmashauri hiyo kugoma kulipa kiasi cha Sh2 milioni ambazo ni malipo ya kulala siku moja pamoja na chakula kwa ujumbe huo wa makamu wa rais, katika hoteli ya Bougain Villea ya mjini Karatu.
Kwenye barua ya kujieleza iliyoandikwa Machi 3, 2009 yenye kumbukumbu namba kdc/ded/cv.3/1/121, Myao amejitetea kuwa uamuzi wa kutolipiwa ziara hiyo, umetokana na kamati ya fedha ya madiwani kukataa kuidhinisha fedha hizo.
Alisema kutokana na kutoidhinishwa malipo hayo, aliona angekiuka Sheria namba tisa ya mwaka 1982 ambayo inahusu masuala ya matumizi ya fedha za halmashauri na maamuzi ya kamati ya fedha.
“Kama mimi ningetoa malipo hayo ni wazi ningekiuka sheria za serikali za mitaa hasa ikizingatiwa madiwani katika kikao chao halali ndio waligomea,” alieleza Myao.
Akizungumzia sakata hilo, Mbunge wa Jimbo la Karatu, Dk Willibrod Slaa alisema alichofanya ofisa huyo wa serikali ilikuwa halali kwa sababu walikuwa hawana bajeti ya malipo hayo.
Dk Slaa alitoa wito kwa serikali kutomuadhibu mtendaji yoyote wa halmashauri hiyo kutokana na uamuzi uliochukuliwa, ambao ulizingatia maadili ya kazi na utekelezaji wa utawala bora.
CHANZO: Mwananchi

Riyadh, April 16 - Saudi investors have asked Tanzania if they can lease 500,000 hectares of farmland mainly for rice and wheat farming as part of a plan to secure food supplies for the desert kingdom, officials said.
Senior officials from the Saudi capital's chamber of commerce made the request on the sidelines of a meeting with visiting Tanzanian President Jakaya Kikwete.
"Tanzania is ready to do business with you ... There is 100 million acres (40.5 million hectares) of good arable land," Kikwete told Saudi businessmen.
Samir Ali Kabbani, head of the chamber's agriculture committee, said: "We had very positive feedback."
"He (Kikwete) told us that Tanzanian authorities can lease us plots each of which covers up to 10,000 hectares for a 99-year period," he told Reuters after the meeting.
The Saudi government has joined private operators to invest in farm projects abroad after a long and costly food sufficiency plan threatened to deplete the desert kingdom's water supplies.
Saudi businessmen and officials will visit Tanzania in the next few weeks.
"They can lease the land from the government," January Makamba, an aide to President Kikwete, told Reuters.
"But we have to make sure we don't end up in a situation similar to that of Nigeria: Huge oil reserves but long queues in front of petrol stations," Makamba said.
Saudi officials are particularly interested in Tanzania because of its geographic proximity, political stability and the availability of water resources and farmland.
Several Saudi firms have already started investing in agricultural projects from Indonesia to Ethiopia.
Indonesia said in August that Saudi BinLadin Group would invest $4.3 billion on 500,000 hectares for rice farming.
Saudi Arabia's annual wheat needs are estimated at about 2.5 million tonnes and it imported a little over 1 million tonnes of rice in 2008, according to the U.S. Department of Agriculture.
Senior officials from the Saudi capital's chamber of commerce made the request on the sidelines of a meeting with visiting Tanzanian President Jakaya Kikwete.
"Tanzania is ready to do business with you ... There is 100 million acres (40.5 million hectares) of good arable land," Kikwete told Saudi businessmen.
Samir Ali Kabbani, head of the chamber's agriculture committee, said: "We had very positive feedback."
"He (Kikwete) told us that Tanzanian authorities can lease us plots each of which covers up to 10,000 hectares for a 99-year period," he told Reuters after the meeting.
The Saudi government has joined private operators to invest in farm projects abroad after a long and costly food sufficiency plan threatened to deplete the desert kingdom's water supplies.
Saudi businessmen and officials will visit Tanzania in the next few weeks.
"They can lease the land from the government," January Makamba, an aide to President Kikwete, told Reuters.
"But we have to make sure we don't end up in a situation similar to that of Nigeria: Huge oil reserves but long queues in front of petrol stations," Makamba said.
Saudi officials are particularly interested in Tanzania because of its geographic proximity, political stability and the availability of water resources and farmland.
Several Saudi firms have already started investing in agricultural projects from Indonesia to Ethiopia.
Indonesia said in August that Saudi BinLadin Group would invest $4.3 billion on 500,000 hectares for rice farming.
Saudi Arabia's annual wheat needs are estimated at about 2.5 million tonnes and it imported a little over 1 million tonnes of rice in 2008, according to the U.S. Department of Agriculture.
SOURCE: Reuters
"TANZANIAN AUTHORITIES CAN LEASE THE SAUDIS PLOTS EACH OF WHICH COVERS UP TO 10K HECTARES FOR A 99-YEAR PERIOD!?"
"TANZANIAN AUTHORITIES CAN LEASE THE SAUDIS PLOTS EACH OF WHICH COVERS UP TO 10K HECTARES FOR A 99-YEAR PERIOD!?"
DID I QUOTE THAT RIGHT? YES I DID.
CALL ME ONE OF THE DOUBTING THOMASES BUT IF THIS STORY IS TRUE,THEN PERHAPS THE LIKE OF CHIEF MANGUNGO WERE NOT SO DUMB WHEN THEY WERE DUPPED INTO SIGNING SOME CRAZY LAND CONTACT WITH KARL PETERS&co..AT LEAST THE CHIEFS COULD HAVE AN EXCUSE...IT'S DURING THE "DARK AGES" AND THE FORE-RUNNERS OF COLONIALISM TOOK OF ADVANTAGE OF THE CHIEFS' ILLITERACY AND LACK OF SUFFICIENT KNOWLEDGE IN GOVARNANCE OF THEIR PEOPLE AND PROPERTY.
BY THE WAY,INSTEAD OF BEGGING THE SAUDIS,WHY SHOULDNT THE PRIORITY BE IN EMPOWERING THE LOCAL FARMERS IN A COUNTRY WHERE THE ECONOMY DEPENDES HEAVILY ON AGRICULTURE THAT ACCOUNTS FOR MORE THAN 40% OF GDP?
HIVI HAWA WAHINDI WAMETUROGA HADI KUFIKIA HATUA YA KUBADILISHA MAJINA YA MITAA YETU KWA MINAJILI TU YA KUKIDHI LADHA ZAO!HUYU ABUU JUMA,MEYA WA MANISPAA YA ILALA SI ALIAHIDI KUFANYIA KAZI TABIA HII CHAFU YA KUBADILISHA MITAA PASIPO KIBALI?FOR THAT MATTER,INAELEKEA CITY FATHERS WAMEAMUA "KUKUBALI MATOKEO" NA HATIMAYE KUWAACHA HAO WAHINDI WAJIBADILISHIE MAJINA YA MITAA KWA NAMNA WANAVYOTAKA!
NA KAMA DESTURI ILIVYO,YAYUMKINIKA KUAMINI KWAMBA "KUKUBALI MATOKEO" HUKO HAKUKUFANYIKA HIVI HIVI TU,KUNA FISADI "KADIKISHWA KITU" KURIDHIA UCHAFUZI WA HISTORIA.OLE WAO WANAOENDEKEZA TAMAA ZAO ZA FEDHA NA KUPUUZA URITHI WETU WA KIHISTORIA.IPO SIKU MAKABURI YAO YATABOMOLEWA KWA HASIRA YA VIZAZI VIJAVYO.WHY NOT?MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU ANAPASWA KUKASIRISHWA NA UPUUZI WA NAMNA HII.
17 Apr 2009
17.4.09
Evarist Chahali
CCM, JK, RUSHWA TANZANIA, YUSUPH MAKAMBA
No comments
KWA MUJIBU WA GAZETI LA Uhuru,KATIBU MKUU WA CCM,YUSUPH MAKAMBA,AMEAGIZA UONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZAKE NGAZI ZA MIKOA KUANDAA MAPAMBANO YA KUMPONGEZA JK NA SERIKALI KWA KAZI NZURI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA.....Nadhani muda si mrefu kutakuwa na tangazo jingine la kuagiza maandamano ya kupongeza mafanikio ya kutimizwa kwa ahadi ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA sambamba na pongezi za kuwabainisha wamiliki wa Kagoda.
CCM HOYEEEE!!!!!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!
That's all I can say!
Habari nyingine ndani ya gazeti hilo ni pamoja na "UFISADI MALIASILI:Sh Bil 2.4 zayeyuka kiutatanishi;Mil 790 zatumika kununua pikipiki hewa;Watumishi watimuliwa,wachunguzwa"
17.4.09
Evarist Chahali
BRITISH MONARCHY, TRUST., YOUGOV
No comments

Queen Elizabeth II is Britain's most trusted public figure, leaving Prime Minister Gordon Brown and other politicians trailing in her wake, a new survey revealed on Friday...CONTINUE

A total of US$30 million (over 36bn/-) given to Tanzania as aid by the Norwegian government in the past 12 years may have been squandered through corruption and mismanagement, an independent report has revealed.
The just-released Anti-corruption Resource Centre Report entitled `Does Aid work?`, which considers the challenges to aid effectiveness in major natural resources programmes, says half of the US$60 million did not make it to the primary targets and ended up lost.
The report is authored by Erik Jansen, a senior advisor at NORAD Evaluation Department.
A former programme officer at the Norwegian Embassy in Tanzania quotes in the report an evaluation by independent consultants in 2006 as having established these facts.
``Those who have control over the natural resources are in a powerful position and usually have easy access to money... Tanzania has not been successful in managing its natural resources in a sustainable and equitable manner, nor has the country been able to achieve significant economic growth in its utilisation of these resources,`` notes the report.
Norway financed the Management of Natural Resources Programme (MNRP) in Tanzania from 1994 to 2006 and the report names the Natural Resources and Tourism ministry as being in charge of managing the forestry, fisheries and wildlife resources.
``The Ministry had three separate divisions, each dealing with one of these resources. MNRP had projects in the forestry, fisheries, and wildlife sectors that were closely connected to these three divisions of the Ministry. In all of the three sectors there has been pervasive corruption during the last decades. Management and staff in the Ministry, together with politicians and people from the local population, have plundered the resources and exploited the resources in a way that is not sustainable. Often this has been in collaboration with foreign investors,`` writes Jansen.
The example is given of assistance from the Kuwait Fund for Arab Economic Development, the OPEC Fund for International Development, and the Saudi Fund for Development, which resulted in one of the largest bridges in Africa. It was built over the Rufiji River in 2003.
``The bridge led straight into a natural forest of about 20,000 square kilometres that had remained fairly unexploited until then. A comprehensive study conducted after the completion of the bridge showed extensive illegal exploitation of the forest,`` says the report.
It adds: ``Logs worth tens of million of US dollars were exported illegally to China and other countries in Asia. Taxes and royalties were paid for only four per cent of the forests that were harvested.``
According to the study, illegal logging cost Tanzania about US$ 52 million of its potential revenue annually.
The reports further notes that corrupt politicians and representatives of the fisheries and wildlife sectors allowed these resources to be plundered by national and international companies, provided they themselves obtained a share of the resultant profit.
``Both in the fisheries and wildlife sectors, licences are allocated to investors at a price that is only a fraction of the market price. Corrupt representatives of the Government earn huge amounts of money that should have gone into the Treasury,`` the report states.
``The development partners in Dar es Salaam recently notified the Government that the fees which the Government received from the wildlife sector were minimal. The Government only charged US$ 8,000 for hunting blocks that had a much higher market value.
``The Government accepted the complaint by the development partners and increased the fees to US$ 40,000 for each block. However, many of the politicians and ministers who controlled these hunting blocks complained that the increased fees would lower their profit and therefore demanded that fees should remain at the old levels,`` it adds.
Some 150 trawlers from EU member countries and the Far East operating within Tanzania`s Exclusive Economic Zone in the Indian Ocean are said to have been paying a paltry US$18,000 annually to obtain a licence. But on a good day of fishing, the trawlers are able to catch fish of the same value.
The report says that, if the Government had charged market value for these licences, the Treasury could have collected US$20 million annually for the trawlers` licences.
``It is also well known that the export of Nile perch from Lake Victoria has been underreported for many years in order to avoid taxation. There is much money to be earned by government officials and politicians who contribute to increased export of natural resources without it being taxed,`` it adds.
The Natural Resources and Tourism ministry is viewed as being in a special position in the government set-up because of its opportunity to generate its own resources from taxes, fees and royalties. It also receives allocations from the Treasury.
``It is difficult to estimate how much money the Ministry transfers to the Treasury and how much disappears due to corruption. With all the potential income from natural resources, the Government of Tanzania should have been able to manage its own natural resources without depending on funds from development partners,`` notes the report further.
A report from the World Bank enforces this view, saying: ``Because of policy failures, Tanzania’s natural resource endowments are not harnessed in an optimal way to achieve both economic growth and poverty reduction. On the contrary, owing to weak governance regimes in revenue-generating sectors, resources are offered below market price to the benefit of a few powerful winners and the loss of the majority of the rural population.``
It adds: ``Yet these natural resources provide substantive potential for income to communities in the rural areas. The weakness in governance regimes in forestry, wildlife and fisheries include primarily the lack of transparency and accountability in issuing rights to extract resources and accrue revenues from them, inequitable sharing of benefits with communities, and monitoring and surveillance of stocks.
``In all four principal sectors providing natural capital in the growth equation – forestry, wildlife, fisheries, and mining – royalties are set arbitrarily and do not reflect scarcity. Royalties are hence not used as a policy instrument of intertemporal resource pricing and sustained yield management (Pfliegner 2008).``
The World Bank report stresses that the problem is not lack of legal acts and instruments, policies, strategies and plans that explains the mismanagement and corruption in the natural resources sector but lack of the political will to follow up on the adopted instruments.
``The Government of Tanzania has a complicated relationship to its task of managing the natural resources. On the one hand the government has, with the support of its development partners, spent much time and resources in developing legal acts, policies, strategies, national plans, and sector strategies for its forestry, fisheries, and wildlife resources which are compatible with those of the international community.
No doubt many government officials in Tanzania do their utmost to comply with and follow up these adopted plans and strategies.`
``On the other hand, there are also many government officials and politicians who undermine the policies they themselves have been central in having Parliament adopt.
Many of these politicians and government officials have held high positions in the Ministry. These leaders can force honest government officials to adopt corrupt practices,`` it adds.
Published as part of the project named `Corruption in Natural Resource Management`, the paper suggests a more sophisticated approach to budget and programme support.
``If we are to improve and understand the relationships between a plan and the reality, it is important that we are open and share experiences made in development aid.
It is therefore a good thing that the political leadership in the Ministry of Foreign Affairs and Norad welcomes a broader and more open debate on development aid,`` writes Jansen.
Renewable natural resources in Tanzania play an important role both for the population in rural areas of the country and for the economy as a whole.
Of Tanzania`s total population of about 40 million people, 75 per cent live in rural areas.
Most of the rural population has access to forestry, fish and/or wildlife resources.
It is estimated that on average 40 per cent of the income in rural households comes from one of these three natural resources.
Agriculture is the main economic sector in the rural areas but most people living off the land use simple technology and land productivity is very low.
Efforts to improve the agricultural sector are slow and income and food from forests, fisheries and wildlife will for many years continue to play an important role for the rural population.
Natural resources are important at the national level too. Timber from the forests is important for economic activities in the country and it is also a major source of foreign exchange.
The country also receives substantial foreign exchange from the export of Nile perch from Lake Victoria and shellfish from the coastal areas. Wildlife brings income from tourism and hunting licences.
Traditionally, local people have used their own rules of management for the various natural resources they have found of interest. But this has changed during the last few decades.
A new set of actors, very often foreign investors, have discovered the value of Tanzania`s natural resources and stiff competition for scarce natural resources has changed the constellation among the actors.
The just-released Anti-corruption Resource Centre Report entitled `Does Aid work?`, which considers the challenges to aid effectiveness in major natural resources programmes, says half of the US$60 million did not make it to the primary targets and ended up lost.
The report is authored by Erik Jansen, a senior advisor at NORAD Evaluation Department.
A former programme officer at the Norwegian Embassy in Tanzania quotes in the report an evaluation by independent consultants in 2006 as having established these facts.
``Those who have control over the natural resources are in a powerful position and usually have easy access to money... Tanzania has not been successful in managing its natural resources in a sustainable and equitable manner, nor has the country been able to achieve significant economic growth in its utilisation of these resources,`` notes the report.
Norway financed the Management of Natural Resources Programme (MNRP) in Tanzania from 1994 to 2006 and the report names the Natural Resources and Tourism ministry as being in charge of managing the forestry, fisheries and wildlife resources.
``The Ministry had three separate divisions, each dealing with one of these resources. MNRP had projects in the forestry, fisheries, and wildlife sectors that were closely connected to these three divisions of the Ministry. In all of the three sectors there has been pervasive corruption during the last decades. Management and staff in the Ministry, together with politicians and people from the local population, have plundered the resources and exploited the resources in a way that is not sustainable. Often this has been in collaboration with foreign investors,`` writes Jansen.
The example is given of assistance from the Kuwait Fund for Arab Economic Development, the OPEC Fund for International Development, and the Saudi Fund for Development, which resulted in one of the largest bridges in Africa. It was built over the Rufiji River in 2003.
``The bridge led straight into a natural forest of about 20,000 square kilometres that had remained fairly unexploited until then. A comprehensive study conducted after the completion of the bridge showed extensive illegal exploitation of the forest,`` says the report.
It adds: ``Logs worth tens of million of US dollars were exported illegally to China and other countries in Asia. Taxes and royalties were paid for only four per cent of the forests that were harvested.``
According to the study, illegal logging cost Tanzania about US$ 52 million of its potential revenue annually.
The reports further notes that corrupt politicians and representatives of the fisheries and wildlife sectors allowed these resources to be plundered by national and international companies, provided they themselves obtained a share of the resultant profit.
``Both in the fisheries and wildlife sectors, licences are allocated to investors at a price that is only a fraction of the market price. Corrupt representatives of the Government earn huge amounts of money that should have gone into the Treasury,`` the report states.
``The development partners in Dar es Salaam recently notified the Government that the fees which the Government received from the wildlife sector were minimal. The Government only charged US$ 8,000 for hunting blocks that had a much higher market value.
``The Government accepted the complaint by the development partners and increased the fees to US$ 40,000 for each block. However, many of the politicians and ministers who controlled these hunting blocks complained that the increased fees would lower their profit and therefore demanded that fees should remain at the old levels,`` it adds.
Some 150 trawlers from EU member countries and the Far East operating within Tanzania`s Exclusive Economic Zone in the Indian Ocean are said to have been paying a paltry US$18,000 annually to obtain a licence. But on a good day of fishing, the trawlers are able to catch fish of the same value.
The report says that, if the Government had charged market value for these licences, the Treasury could have collected US$20 million annually for the trawlers` licences.
``It is also well known that the export of Nile perch from Lake Victoria has been underreported for many years in order to avoid taxation. There is much money to be earned by government officials and politicians who contribute to increased export of natural resources without it being taxed,`` it adds.
The Natural Resources and Tourism ministry is viewed as being in a special position in the government set-up because of its opportunity to generate its own resources from taxes, fees and royalties. It also receives allocations from the Treasury.
``It is difficult to estimate how much money the Ministry transfers to the Treasury and how much disappears due to corruption. With all the potential income from natural resources, the Government of Tanzania should have been able to manage its own natural resources without depending on funds from development partners,`` notes the report further.
A report from the World Bank enforces this view, saying: ``Because of policy failures, Tanzania’s natural resource endowments are not harnessed in an optimal way to achieve both economic growth and poverty reduction. On the contrary, owing to weak governance regimes in revenue-generating sectors, resources are offered below market price to the benefit of a few powerful winners and the loss of the majority of the rural population.``
It adds: ``Yet these natural resources provide substantive potential for income to communities in the rural areas. The weakness in governance regimes in forestry, wildlife and fisheries include primarily the lack of transparency and accountability in issuing rights to extract resources and accrue revenues from them, inequitable sharing of benefits with communities, and monitoring and surveillance of stocks.
``In all four principal sectors providing natural capital in the growth equation – forestry, wildlife, fisheries, and mining – royalties are set arbitrarily and do not reflect scarcity. Royalties are hence not used as a policy instrument of intertemporal resource pricing and sustained yield management (Pfliegner 2008).``
The World Bank report stresses that the problem is not lack of legal acts and instruments, policies, strategies and plans that explains the mismanagement and corruption in the natural resources sector but lack of the political will to follow up on the adopted instruments.
``The Government of Tanzania has a complicated relationship to its task of managing the natural resources. On the one hand the government has, with the support of its development partners, spent much time and resources in developing legal acts, policies, strategies, national plans, and sector strategies for its forestry, fisheries, and wildlife resources which are compatible with those of the international community.
No doubt many government officials in Tanzania do their utmost to comply with and follow up these adopted plans and strategies.`
``On the other hand, there are also many government officials and politicians who undermine the policies they themselves have been central in having Parliament adopt.
Many of these politicians and government officials have held high positions in the Ministry. These leaders can force honest government officials to adopt corrupt practices,`` it adds.
Published as part of the project named `Corruption in Natural Resource Management`, the paper suggests a more sophisticated approach to budget and programme support.
``If we are to improve and understand the relationships between a plan and the reality, it is important that we are open and share experiences made in development aid.
It is therefore a good thing that the political leadership in the Ministry of Foreign Affairs and Norad welcomes a broader and more open debate on development aid,`` writes Jansen.
Renewable natural resources in Tanzania play an important role both for the population in rural areas of the country and for the economy as a whole.
Of Tanzania`s total population of about 40 million people, 75 per cent live in rural areas.
Most of the rural population has access to forestry, fish and/or wildlife resources.
It is estimated that on average 40 per cent of the income in rural households comes from one of these three natural resources.
Agriculture is the main economic sector in the rural areas but most people living off the land use simple technology and land productivity is very low.
Efforts to improve the agricultural sector are slow and income and food from forests, fisheries and wildlife will for many years continue to play an important role for the rural population.
Natural resources are important at the national level too. Timber from the forests is important for economic activities in the country and it is also a major source of foreign exchange.
The country also receives substantial foreign exchange from the export of Nile perch from Lake Victoria and shellfish from the coastal areas. Wildlife brings income from tourism and hunting licences.
Traditionally, local people have used their own rules of management for the various natural resources they have found of interest. But this has changed during the last few decades.
A new set of actors, very often foreign investors, have discovered the value of Tanzania`s natural resources and stiff competition for scarce natural resources has changed the constellation among the actors.
SOURCE: Ippmedia
17.4.09
Evarist Chahali
WEIRD STUFFS
No comments
SOUNDS LIKE SCARING PEOPLE IS FAR MORE EASIER THAN HAVING A CLOSE SHAVE WITH DEATH!
Subscribe to:
Posts (Atom)