Left to Right: JJ, Chisumo, Ms Jestina, Gardol na Frank
Frank na Ms Jestina
![]() |
| Ms Jestina |
Mdau akichangia
Mkurugenzi wa Locus Impex Shipping,B. Chisumo akifungua harambee
Mtoto Shanelle akimpa mchango Ms Jestina
Toa ndugu ikiendelea
![]() |
| Wadau |
Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida mahiri la Raia Mwema inazungumzia suala lililokamata hisia za Watanzania wengi kwa sasa la CCM kujivua magamba
Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema inazungumzia namna watawala wetu wanavyoendekeza matumizi ya anasa huku wananchi wa kawaida wakizidi kuwa masikini
Makala yangu wiki hii inajadili changamoto zinazowakabili mashushushu wetu
![]() |
| Ms Jestina |
![]() |
| Wadau |
Tanzania kama nchi haiwezi kujitokeza wazi wazi kuunga mkono ama kupinga kinachotokea nchini humo kwa sababu ina raia wake wanaoishi huko hivyo kitendo chochote cha kushabikia kwa kuunga mkono ama kupinga kinahatarisha maisha yao.
Unajua tuna raia wetu kule sasa siyo vizuri kuonyesha utashi wetu inaweza kuhatarisha maisha ya wananchi wetu kwani hii ilitokea kule Misri kwa wale waliojitokeza kuunga mkono waliweza kushambuliwa na kuharibiwa biashara zao
Mapambano ya kudai demokrasia yanasambaa maeneo mapya barani Afrika: Cameroon,Gabon,Zimbabwe,Mauritania.
Wanaharakati wakutana Zimbabwe kujadili yaliyojiri Misri na Tunisia na wameishia kukamatwa.Mugabe hajaelewa somo
Hali ya taharuki imetanda mji wa Dar Es Salaam, nchini Tanzania, huku wakaazi wakiamka kuomboleza vifo vya zaidi ya watu kumi na zaidi ya wengine 60 kujeruhiwa kufuatia milipuko iliyotokea kwenye ghala la kuhifadhi silaha za kijeshi, lililo karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege.
Wakaazi wa eneo la Gongo la Mboto lililo karibu na ghala hilo wamekesha nje baada ya makaazi yao kubomoka kutokana na mtikisiko wa milipuko hiyo iliyodumu kwa saa kadhaa. Milipuko hiyo ilisikika kwa umbali wa zaidi ya kilomita ishirini kutoka kituo hicho cha kijeshi.
Inaarifiwa kuwa milipuko hiyo ilianza mwendo wa saa mbili usiku.
Msemaji mmoja wa jeshi amesema kuwa kuna watu wengi ambao wamepoteza maisha yao lakini idadi kamili haijajulikana.
Kamanda wa polisi jijini Dar-es-Salaam, Suleiman Kova, ametoa wito kwa raia wa mji kuwa huo watulivu huku maafisa wa ulinzi wakiendelea na mikakati ya kurejesha hali ya uthabiti.
Kova amesema uchunguzi wa awali umebainisha kuwa mlipuko huo ni ajali na wala sio shambulio la kigaidi.
Ni hii mara ya pili kwa milipuko kama hiyo kutoka jijini Dar es Saalam katika kipindi cha miaka miwili iliyopita mwaka wa 2009 zaidi ya watu ishirini waliuawa na wengine 300 kujerihiwa


Sasa unaweza kusoma tovuti hii katika mwonekano (sura) mbalimbali.Bonyeza maandishi 'yanayotembea' hapo juu yanayosomeka 'BONYEZA HAPA KUSOMA TOVUTI HII KATIKA MWONEKANO MBALIMBALI' kisha utahamishiwa katika ukurasa mwingine ambapo unaweza kuchagua kuisoma tovuti hii kama CLASSIC, FLIPCARD, MAGAZINE, MOSAIC, SIDEBAR, SNAPSHOT au TIMELINE.Bonyeza kimshale ← kwenye browser yako ili kurudi kwenye mwonekano wa kawaida wa tovuti hii.