21 Apr 2009

Shule ya Sekondari ya kutwa ya Marambo yenye wanafunzi 253 ya kidato cha Kwanza hadi cha Nne , iliyopo Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi ina mwalimu mmoja. Mkuu wa shule hiyo, Saidi Mbutuka ndiye pekee aliye shuleni hapo anayelazimika kushika nyadhifa zote.

Mbutuka aliliambia gazeti hili kuwa hali hiyo inatishia mustakabali wa elimu kwa wanafunzi shuleni hapo kwa kukosa elimu inayostahili. ''Mimi ndiye mkuu wa shule, ndiye mwalimu wa zamu, mwalimu wa taaluma, kila siku za kazi natakiwa kuingia katika madarasa yote manne, kwa siku ninakuwa na vipindi zaidi ya 10'', alisema.

Aliongeza, ''kwa hali hiyo hata kama ningekuwa mwalimu mzuri, kuna kila sababu ya kutilia mashaka na ubora wa elimu, mimi ni mwalimu wa masomo ya Sanaa, lakini nalazimika kufundisha Sayansi,'' alisema Mbutuka.

Alifafanua kuwa tatizo hilo limejitokeza mwaka huu baada ya walimu wanne waliokuwa shuleni hapo kwenda kusoma. 'Tunao wanafunzi wa kidato cha Nne ambao wanahitaji wafanye mtihani wa kuhitimu elimu yao, hivi tujiulize nini watavuna wanafunzi hawa kwa kufundishwa na mwalimu mmoja ambaye pia ndiyo nguzo kwa wanafunzi wa vidato vingine,'' alihoji.

Kwa mujibu wa mwalimu huyo, akiondoka kwenda mjini hulazimika kuwatawanya wanafunzi au kuwaacha chini ya uangalizi wa wanafunzi wenzao ambao ni viongozi.
Mbutuka alibainisha kuwa pamoja na tatizo hilo shule hiyo inakabiliwa na tatizo sugu la mdondoko wa wanafunzi unaotokana na wanafunzi hao kukimbilia katika machimbo ya madini ya Miruwi, Nachianji na Mituguru yaliyopo jirani na shule hiyo.

Alisema mwaka 2006, wanafunzi 53 waliripoti shuleni hapo hata hivyo waliobakia ni 31, wakati mwaka 2007 wanafunzi walioripoti walikuwa 111 waliopo 73. Mwaka 2008 wanafunzi 80 waliripoti na waliopo ni 50. Ofisa Elimu Vifaa na Takwimu wa Wilaya ya Nachingwea, Bakari Mussa, alikiri kuwapo kwa tatizo hilo na kuongeza kuwa halmashauri inashindwa kuwahamishia walimu shuleni hapo kutoka shule zingine ili kupunguza ukubwa wa tatizo kutokana na kukosa fedha za uhamisho.

''Kuna waraka wa serikali unaomtaka mwajiri kutomhamisha mtumishi yeyote bila kumlipa stahiki zake, kwa sababu halmashauri haina pesa tunashindwa namna ya kuiisaidia shule hiyo, lakini uwapo wa tatizo hilo sote tunautambua'' alisema Mussa.

CHANZO:Habarileo


HALAFU 2010 CCM WATAKUJA KUTUIMBIA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA ELIMU,NA KUDAI WAPEWE TENA MUDA WA KUIPELEKA NCHI YETU WANAKUJUA WAO.MIAKA ZAIDI YA 40 BAADA YA UHURU BADO TUNAKUWA NA SHULE YENYE MWALIMU MMOJA?WATETEZI WATASEMA SIE MASIKINI.MASIKINI GANI ANAYEWALIPA WABUNGE ZAIDI YA 300 SHS MILIONI 7 KWA MWEZI?MASIKINI GANI ALIEIBIWA BILIONI 40 NA KAGODA LAKINI ANAMWONEA AIBU HATA KUMTAJA HADHARANI?






Baraza la Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) limepitisha uamuzi wa kuishirikisha Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) kuhakiki vyeti vya wote wanaoomba kuwania nafasi za kisiasa ili sifa zao kielimu zitambulike.

Katibu Mtendaji wa TCU, Profesa Mayunga Nkunya, aliwaambia waandishi wa habari jana Dar es Salaam, TCU imewasiliana na NEC kwa barua, ili utaratibu huo uanze kutumika katika uchaguzi mkuu ujao mwakani.

Nkunya alitoa taarifa hiyo wakati akizungumzia maonyesho ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na TCU yatakayoanza kesho hadi Aprili 24, mwaka huu. “Baraza letu limepitisha uamuzi ili watu wanaotaka kugombea nafasi za kisiasa, vyeti vyao vihakikiwe, ili akipita sifa ijulikane rasmi kama ni daktari basi awe daktari na si daktari feki,” alisema Profesa Nkunya.

Hatua hiyo ya tume inatokana na kilichoelezwa na Nkunya kuwa ni kukithiri kwa vyuo na vyeti bandia nchini, jambo ambalo alisema wamejipanga kulivalia njuga kwa kushirikiana na wadau ili kuhakikisha Tanzania haiangamii kitaalamu na kitaaluma.

Alisema orodha ya vyuo visivyotambulika vya nje ambavyo Watanzania wengi wakiwamo mawaziri na wabunge wamesoma, ni ya kweli na kwamba kama kuna mtu anahisi kuonewa ruhusa kwenda mahakamani...ENDELEA

CHANZO: Habarileo.

TAMKO ZURI LAKINI LINALOSTAHILI UMAKINI KATIKA KULIAMINI.HAWA TCU WAKATI WANAZUNGUMZIA UCHAGUZI WA 2010,WANATAKA KUTUMBIA HAWAKUWEPO 2005?AU WATAPATA NGUVU HIYO 2010?JE KAMA SASA WANASHINDWA KUWASHUGHULIKIA HAO "MADAKTARI WA FALSAFA" WALIOKWAA SHAHADA ZAO MTANDAONI TUTAAMINI VIPI KUWA WATAWEZA HIYO 2010?
TATIZO LA NCHI YETU SIO SHERIA,KWANI ZIMEKUWEPO TANGU TUNAKABIDHIWA UHURU NA MKOLONI.TATIZO NI UTEKELEZAJI WA SHERIA HIZO.KUNA MBUNGE ALIKUWA NA TUHUMA ZA KUFOJI ELIMU (SIO YA CHUO KIKUU) BALI YA SEKONDARI.CHA AJABU HADI LEO "ANAPETA".JE HII HAILETI USHAWISHI KWA VIHIYO WENGINE KUJARIBU BAHATI ZAO?

TATIZO LA PILI LA NCHI YETU SIO SHERIA BALI UTEKELEZAJI WAKE UNAOELEMEA ZAIDI AINA YA MKOSAJI.YALEYALE YA ANAEIBA KUKU KWA NJAA KUITWA MWIZI LAKINI ANAYEFUJA MABILIONI ANAOTWA M-BADHIRIFU (NA SANASANA BADALA YA KWENDA JELA ATAHAMISHWA KITUO CHA KAZI).KUNA SHERIA KWA AJILI YA VIGOGO (KAMA AKINA CHEYO WANAOUA KWENYE AJALI LAKINI WANAUNDIWA TUME BADALA YA SHERIA KUCHUKUA MKONDO WAKE) NA SHERIA NYINGINE NI KWA AJILI YA MAKABWELA.


SAKATA la mgodi wa Kiwira kufikishwa bungeni, limeendelea kugubikwa na wingu zito, kutokana na ratiba za bunge kutoonyesha kama serikali itatoa ripoti.

Mgodi wa Kiwira, ambao unamuhusisha Rais wa Serikali ya awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na aliyekuwa Waziri wa Nishati, Daniel Yona umejaa utata kutokana na madai kuwa kampuni ya Tan Power Resources Limited iliununua kwa Sh70 milioni badala ya thamani yake halisi ya Sh4 bilioni.

Hadi sasa serikali haijatoa ufafanuzi wowote kuhusu utata huo licha ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuahidi katika mkutano wa 13 wa bunge kwamba,ingetoa taarifa bungeni.

Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja alisema tu kwa kifupi "vuta subira".

Iwapo serikali haitatoa ripoti hiyo katika mkutano unaoendelea itakuwa ni mara ya tatu kupigwa tarehe suala hilo.

Katika mkutano wa 13, wakati mjadala wa mgodi wa Kiwira na Meremeta ukiwa umepamba moto, Pinda alisema serikali ilikuwa ikiandaa taarifa lakini akasema ni bora asulubiwe kuliko kutaja wamiliki wa Meremeta kwa maelezo kuwa inahusu usalama wa taifa.

Lakini, hadi mkutano huo unamalizika hakukuwa na ripoti yoyote ya serikali na hata ulivyokuja mkutano wa 14 hakukuwa na ripoti kama hiyo.

Tayari ratiba ya bunge imetoka na kuonyesha kwamba, hoja nzito inayotarajiwa kutikisa bunge hadi sasa ni ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ambayo imepangwa kuwasilishwa bungeni Aprili

20 Apr 2009



Mie adhabu zangu HUKO O'level zilikuwa kwenye namba (HISABATI) ambayo kwa miujiza mikubwa nillibuka na D (japo ilikuwa dhaifu mno,na chupchup iwe F) na FIZIKIA ambayo sikuwa na ujanja nayo na nikaambulia F.

18 Apr 2009


Na Leon Bahati

SAKATA la Halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein na ujumbe wake limechukuwa sura mpya, baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Celina Kombani kuunga mkono uamuzi wa halmashauri ni sahihi.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili, Kombani alisema halmashauri za wilaya haziwajibiki kuchangia ziara za mawaziri, rais au makamu wake, wanapotembelea katika maeneo yao.

Kombani alibainisha kuwa kama ingekuwa utaratibu huo upo, halmashauri nyingi zingefilisika hasa ambazo mawaziri wanatoka, kwa sababu wana utaratibu maalumu wa kutembelea zaidi ya mara tano kwenye maeneo yao, kwa mwaka.

"Kwa mfano kwa mwaka mimi hufanya ziara mara sita katika wilaya yangu ya Ulanga (Morogoro). Tukisema wanigharamie basi ingefilisika pamoja na halmashauri nyingine ambazo zina mawaziri," alisema Kombani ambaye ni Mbunge wa Ulanga Mashariki.

Akielezea kuhusu taratibu za matumizi ya fedha kwenye halmashauri, alisema kwa kawaida matumizi yote hupitishwa kwenye vikao vya madiwani.

Alibainisha kuwa gharama za msafara wa rais, makamu wa rais na mawaziri hugharamiwa na serikali kuu, kulingana na taratibu zilizowekwa.

"Ndiyo maana rais anapokuwa kwenye ziara huenda na vyakula vyake," alisema Kombani lakini akafahamisha kuwa halmashauri zinaweza kutenga fungu kwa ajili ya kuuandalia ugeni kwenye maeneo yao chakula cha jioni.

Iwapo halmashauri itaamua kufanya hivyo, alisema kuwa ni lazima fungu hilo liwe limepitishwa na halmashauri kupitia vikao vyake halali na si mkurugenzi na watendaji wake.

Alipoulizwa juu ya adhabu ya kiongozi wa halmashauri atakayetoa fedha pasipokufuata taratibu; alisema kila halmashauri ina taratibu zake za kuwajadili viongozi au maofisa waliokiuka taratibu na kuwachukulia hatua.

Suala la Halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais pamoja na ujumbe wake liliripotiwa na gazeti la Mwananchi Jumatano iliyopita likionyesha kuwa Mkuu wa wilaya hiyo, Mathew Sedoyeka alimjia juu na kumtaka aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Majid Myao, aandike barua ya kujieleza kwanini alikataa kutoa fedha za kulipia ziara ya makamu wa rais wilayani humo.

Sedoyeka hakufurahishwa na kitendo cha halmashauri hiyo kugoma kulipa kiasi cha Sh2 milioni ambazo ni malipo ya kulala siku moja pamoja na chakula kwa ujumbe huo wa makamu wa rais, katika hoteli ya Bougain Villea ya mjini Karatu.

Kwenye barua ya kujieleza iliyoandikwa Machi 3, 2009 yenye kumbukumbu namba kdc/ded/cv.3/1/121, Myao amejitetea kuwa uamuzi wa kutolipiwa ziara hiyo, umetokana na kamati ya fedha ya madiwani kukataa kuidhinisha fedha hizo.

Alisema kutokana na kutoidhinishwa malipo hayo, aliona angekiuka Sheria namba tisa ya mwaka 1982 ambayo inahusu masuala ya matumizi ya fedha za halmashauri na maamuzi ya kamati ya fedha.

“Kama mimi ningetoa malipo hayo ni wazi ningekiuka sheria za serikali za mitaa hasa ikizingatiwa madiwani katika kikao chao halali ndio waligomea,” alieleza Myao.

Akizungumzia sakata hilo, Mbunge wa Jimbo la Karatu, Dk Willibrod Slaa alisema alichofanya ofisa huyo wa serikali ilikuwa halali kwa sababu walikuwa hawana bajeti ya malipo hayo.

Dk Slaa alitoa wito kwa serikali kutomuadhibu mtendaji yoyote wa halmashauri hiyo kutokana na uamuzi uliochukuliwa, ambao ulizingatia maadili ya kazi na utekelezaji wa utawala bora.
CHANZO: Mwananchi


Riyadh, April 16 - Saudi investors have asked Tanzania if they can lease 500,000 hectares of farmland mainly for rice and wheat farming as part of a plan to secure food supplies for the desert kingdom, officials said.

Senior officials from the Saudi capital's chamber of commerce made the request on the sidelines of a meeting with visiting Tanzanian President Jakaya Kikwete.

"Tanzania is ready to do business with you ... There is 100 million acres (40.5 million hectares) of good arable land," Kikwete told Saudi businessmen.

Samir Ali Kabbani, head of the chamber's agriculture committee, said: "We had very positive feedback."

"He (Kikwete) told us that Tanzanian authorities can lease us plots each of which covers up to 10,000 hectares for a 99-year period," he told Reuters after the meeting.

The Saudi government has joined private operators to invest in farm projects abroad after a long and costly food sufficiency plan threatened to deplete the desert kingdom's water supplies.

Saudi businessmen and officials will visit Tanzania in the next few weeks.

"They can lease the land from the government," January Makamba, an aide to President Kikwete, told Reuters.

"But we have to make sure we don't end up in a situation similar to that of Nigeria: Huge oil reserves but long queues in front of petrol stations," Makamba said.

Saudi officials are particularly interested in Tanzania because of its geographic proximity, political stability and the availability of water resources and farmland.

Several Saudi firms have already started investing in agricultural projects from Indonesia to Ethiopia.

Indonesia said in August that Saudi BinLadin Group would invest $4.3 billion on 500,000 hectares for rice farming.

Saudi Arabia's annual wheat needs are estimated at about 2.5 million tonnes and it imported a little over 1 million tonnes of rice in 2008, according to the U.S. Department of Agriculture.


SOURCE: Reuters

"TANZANIAN AUTHORITIES CAN LEASE THE SAUDIS PLOTS EACH OF WHICH COVERS UP TO 10K HECTARES FOR A 99-YEAR PERIOD!?"

DID I QUOTE THAT RIGHT? YES I DID.

CALL ME ONE OF THE DOUBTING THOMASES BUT IF THIS STORY IS TRUE,THEN PERHAPS THE LIKE OF CHIEF MANGUNGO WERE NOT SO DUMB WHEN THEY WERE DUPPED INTO SIGNING SOME CRAZY LAND CONTACT WITH KARL PETERS&co..AT LEAST THE CHIEFS COULD HAVE AN EXCUSE...IT'S DURING THE "DARK AGES" AND THE FORE-RUNNERS OF COLONIALISM TOOK OF ADVANTAGE OF THE CHIEFS' ILLITERACY AND LACK OF SUFFICIENT KNOWLEDGE IN GOVARNANCE OF THEIR PEOPLE AND PROPERTY.

BY THE WAY,INSTEAD OF BEGGING THE SAUDIS,WHY SHOULDNT THE PRIORITY BE IN EMPOWERING THE LOCAL FARMERS IN A COUNTRY WHERE THE ECONOMY DEPENDES HEAVILY ON AGRICULTURE THAT ACCOUNTS FOR MORE THAN 40% OF GDP?


HIVI HAWA WAHINDI WAMETUROGA HADI KUFIKIA HATUA YA KUBADILISHA MAJINA YA MITAA YETU KWA MINAJILI TU YA KUKIDHI LADHA ZAO!HUYU ABUU JUMA,MEYA WA MANISPAA YA ILALA SI ALIAHIDI KUFANYIA KAZI TABIA HII CHAFU YA KUBADILISHA MITAA PASIPO KIBALI?FOR THAT MATTER,INAELEKEA CITY FATHERS WAMEAMUA "KUKUBALI MATOKEO" NA HATIMAYE KUWAACHA HAO WAHINDI WAJIBADILISHIE MAJINA YA MITAA KWA NAMNA WANAVYOTAKA!

NA KAMA DESTURI ILIVYO,YAYUMKINIKA KUAMINI KWAMBA "KUKUBALI MATOKEO" HUKO HAKUKUFANYIKA HIVI HIVI TU,KUNA FISADI "KADIKISHWA KITU" KURIDHIA UCHAFUZI WA HISTORIA.OLE WAO WANAOENDEKEZA TAMAA ZAO ZA FEDHA NA KUPUUZA URITHI WETU WA KIHISTORIA.IPO SIKU MAKABURI YAO YATABOMOLEWA KWA HASIRA YA VIZAZI VIJAVYO.WHY NOT?MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU ANAPASWA KUKASIRISHWA NA UPUUZI WA NAMNA HII.

17 Apr 2009

KWA MUJIBU WA GAZETI LA Uhuru,KATIBU MKUU WA CCM,YUSUPH MAKAMBA,AMEAGIZA UONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZAKE NGAZI ZA MIKOA KUANDAA MAPAMBANO YA KUMPONGEZA JK NA SERIKALI KWA KAZI NZURI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA.....
Nadhani muda si mrefu kutakuwa na tangazo jingine la kuagiza maandamano ya kupongeza mafanikio ya kutimizwa kwa ahadi ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA sambamba na pongezi za kuwabainisha wamiliki wa Kagoda.
CCM HOYEEEE!!!!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!

That's all I can say!

Habari nyingine ndani ya gazeti hilo ni pamoja na "UFISADI MALIASILI:Sh Bil 2.4 zayeyuka kiutatanishi;Mil 790 zatumika kununua pikipiki hewa;Watumishi watimuliwa,wachunguzwa"






Queen Elizabeth II is Britain's most trusted public figure, leaving Prime Minister Gordon Brown and other politicians trailing in her wake, a new survey revealed on Friday...CONTINUE


A total of US$30 million (over 36bn/-) given to Tanzania as aid by the Norwegian government in the past 12 years may have been squandered through corruption and mismanagement, an independent report has revealed.

The just-released Anti-corruption Resource Centre Report entitled `Does Aid work?`, which considers the challenges to aid effectiveness in major natural resources programmes, says half of the US$60 million did not make it to the primary targets and ended up lost.

The report is authored by Erik Jansen, a senior advisor at NORAD Evaluation Department.

A former programme officer at the Norwegian Embassy in Tanzania quotes in the report an evaluation by independent consultants in 2006 as having established these facts.

``Those who have control over the natural resources are in a powerful position and usually have easy access to money... Tanzania has not been successful in managing its natural resources in a sustainable and equitable manner, nor has the country been able to achieve significant economic growth in its utilisation of these resources,`` notes the report.

Norway financed the Management of Natural Resources Programme (MNRP) in Tanzania from 1994 to 2006 and the report names the Natural Resources and Tourism ministry as being in charge of managing the forestry, fisheries and wildlife resources.

``The Ministry had three separate divisions, each dealing with one of these resources. MNRP had projects in the forestry, fisheries, and wildlife sectors that were closely connected to these three divisions of the Ministry. In all of the three sectors there has been pervasive corruption during the last decades. Management and staff in the Ministry, together with politicians and people from the local population, have plundered the resources and exploited the resources in a way that is not sustainable. Often this has been in collaboration with foreign investors,`` writes Jansen.

The example is given of assistance from the Kuwait Fund for Arab Economic Development, the OPEC Fund for International Development, and the Saudi Fund for Development, which resulted in one of the largest bridges in Africa. It was built over the Rufiji River in 2003.

``The bridge led straight into a natural forest of about 20,000 square kilometres that had remained fairly unexploited until then. A comprehensive study conducted after the completion of the bridge showed extensive illegal exploitation of the forest,`` says the report.

It adds: ``Logs worth tens of million of US dollars were exported illegally to China and other countries in Asia. Taxes and royalties were paid for only four per cent of the forests that were harvested.``

According to the study, illegal logging cost Tanzania about US$ 52 million of its potential revenue annually.

The reports further notes that corrupt politicians and representatives of the fisheries and wildlife sectors allowed these resources to be plundered by national and international companies, provided they themselves obtained a share of the resultant profit.

``Both in the fisheries and wildlife sectors, licences are allocated to investors at a price that is only a fraction of the market price. Corrupt representatives of the Government earn huge amounts of money that should have gone into the Treasury,`` the report states.

``The development partners in Dar es Salaam recently notified the Government that the fees which the Government received from the wildlife sector were minimal. The Government only charged US$ 8,000 for hunting blocks that had a much higher market value.

``The Government accepted the complaint by the development partners and increased the fees to US$ 40,000 for each block. However, many of the politicians and ministers who controlled these hunting blocks complained that the increased fees would lower their profit and therefore demanded that fees should remain at the old levels,`` it adds.

Some 150 trawlers from EU member countries and the Far East operating within Tanzania`s Exclusive Economic Zone in the Indian Ocean are said to have been paying a paltry US$18,000 annually to obtain a licence. But on a good day of fishing, the trawlers are able to catch fish of the same value.

The report says that, if the Government had charged market value for these licences, the Treasury could have collected US$20 million annually for the trawlers` licences.

``It is also well known that the export of Nile perch from Lake Victoria has been underreported for many years in order to avoid taxation. There is much money to be earned by government officials and politicians who contribute to increased export of natural resources without it being taxed,`` it adds.

The Natural Resources and Tourism ministry is viewed as being in a special position in the government set-up because of its opportunity to generate its own resources from taxes, fees and royalties. It also receives allocations from the Treasury.

``It is difficult to estimate how much money the Ministry transfers to the Treasury and how much disappears due to corruption. With all the potential income from natural resources, the Government of Tanzania should have been able to manage its own natural resources without depending on funds from development partners,`` notes the report further.

A report from the World Bank enforces this view, saying: ``Because of policy failures, Tanzania’s natural resource endowments are not harnessed in an optimal way to achieve both economic growth and poverty reduction. On the contrary, owing to weak governance regimes in revenue-generating sectors, resources are offered below market price to the benefit of a few powerful winners and the loss of the majority of the rural population.``

It adds: ``Yet these natural resources provide substantive potential for income to communities in the rural areas. The weakness in governance regimes in forestry, wildlife and fisheries include primarily the lack of transparency and accountability in issuing rights to extract resources and accrue revenues from them, inequitable sharing of benefits with communities, and monitoring and surveillance of stocks.

``In all four principal sectors providing natural capital in the growth equation – forestry, wildlife, fisheries, and mining – royalties are set arbitrarily and do not reflect scarcity. Royalties are hence not used as a policy instrument of intertemporal resource pricing and sustained yield management (Pfliegner 2008).``

The World Bank report stresses that the problem is not lack of legal acts and instruments, policies, strategies and plans that explains the mismanagement and corruption in the natural resources sector but lack of the political will to follow up on the adopted instruments.

``The Government of Tanzania has a complicated relationship to its task of managing the natural resources. On the one hand the government has, with the support of its development partners, spent much time and resources in developing legal acts, policies, strategies, national plans, and sector strategies for its forestry, fisheries, and wildlife resources which are compatible with those of the international community.

No doubt many government officials in Tanzania do their utmost to comply with and follow up these adopted plans and strategies.`

``On the other hand, there are also many government officials and politicians who undermine the policies they themselves have been central in having Parliament adopt.

Many of these politicians and government officials have held high positions in the Ministry. These leaders can force honest government officials to adopt corrupt practices,`` it adds.

Published as part of the project named `Corruption in Natural Resource Management`, the paper suggests a more sophisticated approach to budget and programme support.

``If we are to improve and understand the relationships between a plan and the reality, it is important that we are open and share experiences made in development aid.

It is therefore a good thing that the political leadership in the Ministry of Foreign Affairs and Norad welcomes a broader and more open debate on development aid,`` writes Jansen.

Renewable natural resources in Tanzania play an important role both for the population in rural areas of the country and for the economy as a whole.

Of Tanzania`s total population of about 40 million people, 75 per cent live in rural areas.

Most of the rural population has access to forestry, fish and/or wildlife resources.

It is estimated that on average 40 per cent of the income in rural households comes from one of these three natural resources.

Agriculture is the main economic sector in the rural areas but most people living off the land use simple technology and land productivity is very low.

Efforts to improve the agricultural sector are slow and income and food from forests, fisheries and wildlife will for many years continue to play an important role for the rural population.

Natural resources are important at the national level too. Timber from the forests is important for economic activities in the country and it is also a major source of foreign exchange.

The country also receives substantial foreign exchange from the export of Nile perch from Lake Victoria and shellfish from the coastal areas. Wildlife brings income from tourism and hunting licences.

Traditionally, local people have used their own rules of management for the various natural resources they have found of interest. But this has changed during the last few decades.

A new set of actors, very often foreign investors, have discovered the value of Tanzania`s natural resources and stiff competition for scarce natural resources has changed the constellation among the actors.

SOURCE: Ippmedia


SOUNDS LIKE SCARING PEOPLE IS FAR MORE EASIER THAN HAVING A CLOSE SHAVE WITH DEATH!

16 Apr 2009



VIOLENCE AND MORE VIOLENCE:SURVIVAL OF THE TOUGHEST OF THE TOUGHTEST (45 MINS)



Raiamwema Merged
Raiamwema Merged JIMMY PHILEMON Habari katika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema

Picha kwa hisani ya KENNEDY

Mwanahalisi Merged
Mwanahalisi Merged JIMMY PHILEMON Article ya Mwanahalisi kuhusu ufisadi na 2010.

Picha kwa hisani ya Kennedy

Mke wa Lowassa azindua kitabu

Na Mwandishi Wetu,
MTANZANIA, Aprili 15, 2009.

Watu mbali mbali jana jioni walimiminika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kushuhudia uzinduzi wa kitabu kilichotungwa na mkewe Regina, uliofanywa na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.

Regina aliandika kitabu hicho wakati akiwa katika matembezi binafsi inchini Israel, siku chache baada ya mumewe kujiuzulu uwaziri mkuu Februari mwaka jana kutokana na sakata la Richmond.

Kitabu hicho kilichoandikwa kwa lugha ya Kiingereza kiitwacho “Walk The Path With Diary in Israel, The Holy Land” kina kurasa 15 na dibaji yake imeandikwa na Monsinyori Julian Kangalawe kutoka Kanisa la Mtakatifu Joseph la Dar es Salaam.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Kardinali Pengo, bila kufafanua, aliwataka Watanzania waache tabia ya kusulubiana. “Yesu alikuja duniani, akasulubiwa na hadi leo watu wanaendelea kusulubiana. Tuache mchezo huo,” alisema.

Mhubiri maarufu mwenye makazi yake mjini Arusha, Christopher Mwakasege, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, alisema ni yeye aliyetoa wazo kwa Lowassa na mkewe kutembelea Israel baada ya matatizo yaliyowakuta.

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, aliwahimiza watu kujenga moyo wa kupendana ili kujenga nchi yenye maelewano.

Mbali na Mlasasusa, Askofu Mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Mashariki ni Pwani, Elinaza Sendoro, pia alihudhuria hafla hiyo, na akatumia nafasi hiyo kuwashawishi watu kutembelea Israel kujionea namna watu wa dini tofauti wanavyoishi.

Akizunmgumza katika hafla hiyo, Lowassa mwenyewe alisema baada ya kupata matatizo nayo, yeye na familia yake waliamua kumgeukia Mungu na kwamba ndio maana wakaamua kwenda Israel kutembelea maeneo takatifu.

LET'S BE HONEST.LOWASSA ALIJIUZULU KUTOKANA NA UFISADI WA RICHMOND.HILO HALINA MJADALA.SINA TATIZO NA HIYO ZIARA YAKE YA KUTEMBELEA ISRAEL.KAMA KWELI ALIENDA KUTUBU AU LA,ANAJUA YEYE NA MUNGU WAKE .LAKINI NASHINDWA KUWAELEWA HAO MAASKOFU WALIOJITOKEZA KATIKA SHUGHULI HIYO.NAELEWA KUWA DINI INAHUBIRI UPENDO NA KUSAMEHE WAKOSAJI LAKINI SIDHANI KAMA HIYO INAMAANISHA VIONGOZI WA DINI KUWA KARIBU NA WATUHUMIWA WA UFISADI.
NA MHASHAMU PENGO ANAPOTOA MFANO WA YESU KUSULUBIWA ANATAKA KUTUELEZA NINI?KWAMBA LOWASSA NAE ALISULUBIWA KAMA YESU?HIVI SIO RICHMOND NA BINAMU YAKE DOWANS ILIYOWASULUBU WALALAHOI WA TANZANIA KWA MAMILIONI YA SHILINGI!YESU ALISULUBIWA MSALABANI ILI KUWANUSUBURU WANYONGE,MASIKINI,WAJANE,YATIMA,NK KUTOKA KWA MINYORORO WANAYOFUNGWA NA MAFISADI.

JAPO NINA HESHIMA KUBWA KWA VIONGOZI HAO WA DINI LAKINI YAYUMKINIKA KUELEZA KWAMBA UHUDHURIAJI WAO HUO KATIKA HAFLA YA MTUHUMIWA WA UFISADI UNAWEZA KUTAFSIRIWA NA WAUMINI WAO KUWA NAO WANASAPOTI UFISADI.
IN A WIDER CONTEXT,UFISADI NI MATOKEO YA KUMOMONYOKA KWA MAADILI YA KIROHO.KITACHOTUPA IMANI KUWA WATUHUMIWA WA UFISADI WAMEAMUA KUMREJEA MUNGU SIO PUBLICITY STUNTS BALI FIRM COMMITMENT KATIKA KUHURUMIA NAFSI NA ROHO ZINAZOANGAMIA KUTOKANA NA MATENDO YA MAFISADI HAO.

15 Apr 2009



Hip Hop Shakespeare from The Hip Hop Shakespeare Company on Vimeo.

Would Shakespear be a rapper today?CLICK HERE to explore.


The Obama administration has issued a chilling warning to US police forces about the threat of a rise in violent rightwing extremist groups fuelled by recession, the return of disgruntled army veterans from Iraq and Afghanistan, and hostility over the election of the first black president.

The internal report, which was not meant for publication, was drawn up by the department of homeland security, set up after the 9/11 attacks to co-ordinate internal security.

A leaked copy says: "The economic downturn and the election of the first African-American president present unique drivers for rightwing radicalisation and recruitment."

It adds that the threat posed by "lone wolves" and small terrorist cells is more pronounced than in past years.

The report generated criticism from Republicans and military veterans' groups, who resented the implication that returning troops presented a danger. The American Legion called it "unfair", "incomplete" and "politically motivated".

Marked "for official use only", the nine-page report was drawn up by the extremism and radicalisation branch of homeland security. A leaked copy initially appeared on conservative websites and was then picked up by the US media.

The assessment contends: "Rightwing extremists will attempt to recruit and radicalise returning veterans in order to exploit their skills and knowledge derived from military training and combat. These skills ... have the potential to boost the capabilities of extremists, including 'lone wolves or small terrorist cells', to carry out violence. The willingness of a small percentage of military personnel to join extremist groups during the 1990s because they were disgruntled, disillusioned or suffering from the psychological effects of war is being replicated today."

The early 1990s saw a rise in militias and cults that were anti-government and anti-Bill Clinton, against a background of economic recession. Some looked to survivalism; others were motivated by racism or religion. There was a series of incidents and shoot-outs with federal agents, including the Waco siege in 1993 and the Oklahoma City bombing in 1995.

David Rehbein, national commander of the American Legion, which has 2.6 million members, today protested in a letter to the homeland security secretary, Janet Napolitano, at the implication that troops presented a danger, saying: "I think it is important for all of us to remember that Americans are not the enemy. The terrorists are. The American Legion is well aware and horrified at the pain inflicted during the Oklahoma City bombing, but Timothy McVeigh was only one of more than 42 million veterans who have worn this nation's uniform during wartime. To continue to use McVeigh as an example of the stereotypical 'disgruntled military veteran' is as unfair as using Osama bin Laden as the sole example of Islam."

The report says that threats from white supremacist and violent anti-government groups have been largely rhetorical so far, but a prolonged economic downturn "could create a fertile recruiting environment for rightwing extremists".

It adds: "Rightwing extremists have capitalised on the election of the first African-American president, and are focusing their efforts to recruit new members, mobilise existing supporters, and broaden their scope and appeal through propaganda." In particular it highlights antagonism at Obama's perceived stance on issues ranging from immigration to social programmes for minorities and proposed firearms limits. Since the election, rightwing extremists have been using propaganda to reach potential recruits.

It cites as an example of potential violence that could have been related to rightwing extremism the shooting of three police officers in Pittsburgh, Pennsylvania, this month. The alleged gunman was reportedly influenced by racist ideology and anti-government and anti-Jewish conspiracy theories. Internet chatter by rightwing extremists blames some job losses on a cabal of Jewish financial elites.

SOURCE: The Guardian


Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.