2 Jun 2009


Na Lilian Lugakingira, Bukoba

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeanza safari ndefu ya kumnadi Rais Jakaya Kikwete ili awe mgombea pekee katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na tayari wilaya ya Bukoba Mjini imetoa hundi ya Sh1milioni za kulipia fomu yake ya kuwania nafasi hiyo.

Hundi hiyo ilitolewa jana na Umoja wa Vijana wa CCM wilaya ya Bukoba Mjini kwa maelezo kuwa umeridhishwa na uongozi wa Kikwete katika kutekeleza na kutimiza ilani ya CCM, na hivyo kuungana na jumuiya nyingine, vikundi na watu mbalimbali waliojitokeza kuanza kumkapenia Kikwete.

Hata hivyo, katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba aliiambia Mwananchi jana kuwa hajui kwa nini jumuiya hiyo ya vijana wa chama chake imefanya hivyo na kwamba atawatafuta ili kupata ukweli na sababu za kitendo hicho.

"Niano msimamo wa chama, lakini siwezi kusema kwa sababu sijajua wamefanya nini. Bila shaka wanayo sababu," alisema Makamba baada ya kuuliza maswali mengi kuhusu kitendo hicho cha UVCCM Bukoba.

Katika halfa iliyofanyika mjini hapa, mwenyekiti wa UVCCM wa Bukoba Mjini, Chifu Kalumuna alimkabidhi mwenyekiti wa CCM wilayani Bukoba Mjini, luteni mstaafu Ally Shamte hundi ya fedha za kuchukulia fomu hizo.

Katika hafla hiyo, Kalumuna pia alimkabidhi mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki hundi ya Sh 100,000 kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania ubunge katika uchaguzi huo.

Akizungumzia sababu za kutoa fedha kwa Kikwete na Kagasheki kwa ajili ya kuchukulia fomu, katibu wa vijana wa Bukoba Mjini, Yusuph Kaliat alisema wamefanya hivyo kutokana na kuridhika na ufanisi katika utekelezaji wa ilani ya CCM.

“Sisi kama vijana na nguzo ya taifa, tumeamua kutoa zawadi hiyo ili viongozi hao waendelee kuongoza, kila mmoja kwa nafasi aliyokuwa nayo,” alisema Kaliat katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na viongozi kadhaa wa CCM na UVCCM, akiwemo Kagasheki.

Chifu Kalumuna alikabidhi hundi zote mbili kwa Balozi Kagasheki ambaye naye alimkabidhi Shamte.Hakuna maelezo yaliyotolewa kwa nini UVCCM wilaya ya Bukoba imeamua kutoa fedha hizo sasa, ikiwa ni mwaka mmoja kabla ya mchakato wa uteuzi za majina ya wagombea na kuanza kampeni.

Kwa kawaida, CCM ina kipindi chake cha kuanza kampeni za ndani kwa wagombea wa nafasi zote za kuanzia serikali za mitaa, udiwani, ubunge na urais, lakini muda rasmi unaoruhusiwa na Tume ya Uchaguzi kwa ajili ya kuanza kampeni ni miezi minne kabla ya tarehe ya uchaguzi.

Uchaguzi mkuu utafanyika mwezi Agosti mwaka 2010.

Kitendo cha wilaya hiyo kutoa fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu kinaelekea kuwa ni mkakati mpya wa kumnadi Kikwete pamoja na Kagasheki, ambaye hivi karibuni alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari akisema hatawania kiti hicho tena.

Fedha hizo za jumuiya ya vijana ya Bukoba Mjini ni sehemu ya kampeni kadhaa ambazo zimekuwa zikionekana katika miezi ya karibuni kumpigia debe Kikwete, ambaye alipata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa mwaka 2005.

Hivi karibuni Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Manyara ulimpendekeza Kikwete kuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais katika chama chao cha CCM.Umoja huo ulitoa msimamo huo Mei 30 katika mkutano mkuu wa mkoa uliofanyika kata ya Magugu wilayani Babati ambako mgeni rasmi alikuwa katibu mkuu wa UWT, Hasna Sudi Mwilima.Risala ya akina mama hao iliyosomwa na katibu wa mkoa, Venosa Mjema ilisema wamenufaika zaidi na uongozi wa Rais Kikwete tangu alipoingia madarakani mwaka 2005.

Pia mkoa wa Rukwa ulionyesha kuridhishwa na uongozi wa Kikwete katika hafla ya kuchangisha pesa kwa ajili ya ujenzi wa shule za mkoa huo.Katika hafla hiyo iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam na ambayo mgeni rasmi alikuwa Kikwete, kiasi cha Sh 1.4bilioni kilichangwa kwa fedha taslimu au ahadi.

Wanachama wengine wa CCM waliowahi kutoa kauli za kutaka Kikwete awe mgombea pekee wa chama hicho ni pamoja na makamu mstaafu wa rais, Samuel Malecela, mwenyekiti wa zamani wa CCM mkoani Dodoma, Pancras Ndejembi na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoani Dar es Salaam, Mzee Hemed Mkali.

Baada ya wazee hao kutoa kauli hiyo mapema mwaka huu, Mbunge wa Sumve, John Shibuda alidai kwamba atachukua fomu kuwania urais mwaka 2010. Shibuda pia alikuwa miongoni mwa wana-CCM 11 waliochukua fomu kuwania urais mwaka 2005.

Wengine ni makamu mwenyekiti wa zamani wa CCM, Malecela, waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Prof Mark Mwandosya, Balozi Patrick Chokara, Balozi Ali Karume, Dk Abdallah Kigoda, Dk William Shija, Dk Salim Ahmed Salim na Idd Simba.

Akionekana kunogesha kampeni za chini kwa chini hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi Shinyanga, Rais Kikwete mwenyewe alisema haoni sababu kwa nini akina mama waliofaidika na mradi huo wamnyime kura mwakani.

Nasema, kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kupata usingizimimi sioni kwa nini akina mama walionufaika na mradi huu waninyime kura,” alisema Kikwete huku akishangiliwa na akina mama waliofika kwenye uzinduzi
huo.

CHANZO: Mwananchi
HABARI INAYOSHABIHIANA NA HII: UWT Wamteua Kikwete Kuwa Mgombea Pekee

PENGINE NI MUHIMU KUJIULIZA HAO UVCCM WILAYA YA BUKOBA MJINI WANA MRADI GANI WA KUWAWEZESHA KUWAKIRIMU "WAGOMBEA" HAO WATARAJIWA!PENGINE UTAULIZA KWANINI NI MUHIMU.WELL,NI RAHISI SANA KWA MAFISADI KUTUMIA COVER KAMA HIYO KUJIPENYEZA KWENYE ANGA ZA KITAIFA KWA MINAJILI YA KUFISADI NCHI BAADA YA UCHAGUZI HUO.

LAKINI CHA SEHEMU MUHIMU ZAIDI KATIKA HABARI HIYO HAPO JUU NI HIYO NUKUU NILIYOI-HIGHLIGHT KWA RANGI NYEKUNDU.IT SAYS IT ALL

1 Jun 2009

That's confirmed.He will reportedly have more than £50 Million to spend on signing new players.Rumours has it that Salomon Kalou and Florent Malouda could face the chop.


UMASIKINI AU KUTOKUWA MAARUFU KUNA FAIDA ZAKE,HASA LINAPOKUJA SUALA LA KIFO.UKIENDA KWENYE MSIBA WA TAJIRI NA KUKUTA WATU WANALIA KWA UCHUNGU MKUBWA,USIDHANI NI MAJONZI PEKEE;KUNA WANAOLILIA FEDHA ZA MAREHEMU.PENGINE KUNA UKWELI KWENYE MSEMO KUWA UKIWA TAJIRI AU MTU MAARUFU BASI UTAANDAMWA HADI KABURINI.

HABARI KUTOKA HUKO BONDENI KWA MZEE MANDELA ZINADOKEZA KWAMBA KUNA KIMBEMBE KINAENDELEA KWENYE FAMILIA YA MWANASIASA HUYO MKONGWE BAADA YA MMOJA WA WAJUKUU WAKE KUTUHUMIWA KUUZA HAKI ZA KUTANGAZA MAZISHI YA BABU YAKE NA KUCHIKICHIA ZAIDI YA RANDI ZA KISAUZI MILIONI 3.MJUKUU HUYO MANDLA MANDELA (Pichani KUSHOTO),ANAYETARAJIWA KUWA MRITHI WA KISIASA WA MANDELA,AMEKANUSHA TUHUMA HIZO KWAMBA AMEUZA HAKI ZA MAZISHI YA MANDELA KWA SHIRIKA LA RUNINGA LA SABC.

MANDELA ANA UMRI WA MIAKA 91,LAKINI KAMA TUJUAVYO,NI UCHURO KATIKA JAMII NYINGI ZA KIAFRIKA KUANZA MAANDALIZI YA MAZISHI YA MTU ALIYE HAI HATA KAMA UMRI UMEMTUPA MKONO.WANANDUGU KATIKA FAMILIA HIYO WAMECHUKIZWA SANA NA KITENDO HICHO. LAKINI KWA VILE UMAARUFU NI BI DEAL,INATARAJIWA KUWA PINDI MZEE HUYO AKIFARIKI KILA CHOMBO KIKUBWA CHA HABARI DUNIANI KITAHITAJI KUPATA NAFASI YA KURUSHA TUKIO HILO HEWANI....NA MJUKUU AKAONA LIWALO NA LIWE.

LAKINI SI MARA YA KWANZA KWA MJUKUU HUYO KUMGEUZA BABU YAKE NI MTAJI WA NAMNA FLANI.MWEZI FERBAURI MWAKA HUU ALIRUSHIWA MAKOMBORA YA SHUTUMA PALE ALIPOFANIKIWA "KUMSOMESHA2 BABU YAKE (ALIYEDHOOFIKA KIAFYA) HADI AKAKUBALI KUPANDA JUKWAANI KATIKA KAMPENI ZA MANDLA KUGOMBEA UBUNGE.JAPO BABU MANDELA HAKUWEZA KUHUTUBIA KUTOKANA NA KUWA DHOFUL HALI,TAYARI MJUKUU WAKE ALISHANUFAIKA NA PRESENCE YA MWANASIASA HUYO MKONGWE MWENYE MVUTO

MWEZI JANA,MANDLA ALIZUSHA KIMBEMBE KINGINE BAADA YA KUFANYA NJAMA ZA KUMWONDOSHA BINAMU YAKE KUTOKA KWENYE NYUMBA ANAYOISHI (BINAMU HUYO) ILI BAADAYE AIGEUZE NYUMBA HIYO KUWA KIVUTIO CHA WATALII (KWA VILE INA UHUSIANO NA HISTORIA YA MANDELA,WHICH IN TURN NI DILI LA MAANA).


The former head of MI6 says he is concerned about the big brother surveillance society and the 'loss of liberties' in Britain. Sir Richard Dearlove said the extensive use of anti-terrorist stop and search powers by the Metropolitan Police in London was one of the worst examples. He warned it could even be an 'abuse' of the law to use the power so excessively.

The former boss of the Secret Intelligence Service, who was in charge of combating Al-Qaeda in Britain in the aftermath of the September 11 attacks, made the comments during a speech at the Hay Festival in Wales...
CONTINUE

SOURCE: The Daily Mail.


NIMEMALIZA KUSOMA RIWAYA YA KWANZA YA MATUKIO YA KWELI (NON-FICTION) KWA MTUNZI MAHIRI WA RIWAYA ULIMWENGUNI,JOHN GRISHAM.BINAFSI,GRISHAM NA SIDNEY SHELDON NDIO WALIOJAZA KIJIMAKTABA CHANGU CHA VITABU MBALIMBALI.NILIANZA KUSOMA RIWAYA ZA LUGHA YA KIINGEREZA NILIPOKUWA SHULE YA MSINGI,NA SHUKRANI ZIMWENDEE BABA MZEE CHAHALI KWA KUTUSIMULIA WANAWE YALIYOMO KWENYE RIWAYA YA JAMES HADLEY CHASE YA COME EASY GO EASY,KISHA NIKAJITUTUMUA KUISOMA MWENYEWE NA KUFANIKIWA KUELEWA.TANGU MUDA HUO,MIE NA NOVELS TUMEKUWA DAM DAM.KWA UJUMLA MIONGONI MWA INTERESTS ZANGU NI PAMOJA NA KUSOMA VITABU PAMOJA NA UANDISHI BUNIFU (CREATIVE WRITING).

RIWAYA HIYO YA GRISHAM INAITWA THE INNOCENT MAN.PASIPO KUINGIA KWA UNDANI ZAIDI,INAHUSU SHERIA INAPOKWENDA MRAMA.MWAKA 1982 YALITOKEA MAUAJI YA BINTI AITWAYE DEBRA CARTER KATIKA MJI MDOGO WA ADA,PONTOTOC COUNTY JIMBONI OKLAHOMA POLISI WAKASUASUA KUMPATA MUUAJI,"KESI IKABAMBIKWA" KWA RON WILLIAMSON (MHUSIKA MKUU KATIKA STORI HIYO) AMBAYE KIMSINGI ALIKUWA NA MATATIZO YA AKILI,HALI AMBAYO ILIPELEKEA "AKIRI KUWA MUUAJI" LAKINI KATIKA SIMULIZI YA NDOTO ALIYOOTA USIKU MMOJA.RAFIKI YAKE WA KARIBU,DENNIS FRITZ NAE AKAFANYWA MTUHUMIWA NAMBARI MBILI,KWA VILE TU "RAMLI YA POLISI" (KAMA HIYO ILIYOPIGWA KWENYE
AJALI YA MWAKYEMBE) ILIONYESHA KUWA ISINGEKUWA RAHISI KWA MAUAJI HUSIKA KUFANYWA NA MTU MMOJA.HATIMAYE,RON ALIHUKUMIWA KIFO NA KUPELEKWA DEATH ROW NA DENIIS ALIHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA.KUSALIMIKA KWA "WAUAJI HAO" NI TEKNOLOJIA YA D.N.A AMBAYO ILIONYESHA KUWA HAWAKUHUSIKA NA MAUAJI HAYO.

SI LENGO LANGU KUWASIMULIA SIMULIZI KUTOKA KWENYE RIWAYA BALI THE INNOCENT MAN IMENIFANYA NIJIULIZE KUHUSU HUKUMU YA KWENDA JELA MIAKA 11 ALIYOPEWA ALIYEKUWA HAKIMU WA MAHAKAMA YA WILAYA YA TEMEKE,
JAMILA NZOTA.MWANAMAMA HUYO ALIKUTWA NA HATIA YA KOSA LA KUOMBA NA KUPOKEA RUSHWA YA SHILINGI LAKI 7 (AWALI ALIDAI MLUNGULA WA SHS MILIONI 4).

HAKI IMETENDEKA.LAKINI KWA UPANDE FLANI INAWEZEKANA HAKI HAIJAONEKANA KUTENDEKA,SI KWA HAKIMU NZOTA BALI WALE ALIOWAHI KUWAHUKUMU WAKATI WA UTAWALA WAKE.HIVI HAKUNA UWEZEKANA KWAMBA TUKIO LILOPELEKEA HAKIMU HUYO KUKAMATWA NA MLOLONGO WA MATUKIO KADHAA KATIKA MAISHA YA UHAKIMU WA JAMILA?MAANA WASWAHILI WANAPOSEMA ZA MWIZI NI 40 WANAMAANISHA PIA KUWA MWIZI ANAENDELEA NA WIZI WAKE HADI ITAPOJIRI HIYO 40

KATIKA MANTIKI HIYOHIYO,KUKAMATWA KWA HAKIMU HUYO KULIKUWA NI SAWA NA 40 YA "WIZI" WAKE,LAKINI PIA KULIASHIRIA MWISHO WA SHUGHULI ILIYOANZA AT A CERTAIN POINT OF TIME.MIMI NA WEWE HATUJUI NI LINI LAKINI YAYUMKINIKA KUAMINI KUWA KUNA HUKUMU ZILIZOTOLEWA NA HAKIMU HUYO AMBAZO ZILIKUWA INFLUENCED NA "MCHEZO" WAKE WA KUOMBA NA KUPOKEA RUSHWA.HAPA KUNA MAWILI:KUNA WALITOA RUSHWA ILI WASIKUTWE NA HATIA KATIKA HUKUMU ZA HAKIMU NZOTA,NA KUNA WALIOHUKUMIWA KWENDA JELA LICHA YA KUWA HAWANA HATIA LAKINI WALISHINDWA KUTOA RUSHWA KWA HAKIMU HUYO.

SISHANGAI KWANINI HABARI YA KIFUNGO CHA HAKIMU HUYO IMESHASAHAULIKA.NDIO TANZANIA YETU HIYO.LICHA YA AMANI NA TULIVU,TUNASIFIKA PIA KWA USAHALIFU HATA KATIKA MAMBO YANAYOWEZA KUWA NA MADHARA MAKUBWA MBELENI.TUNGETARAJI VIKUNDI VYA UTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU AU TAASISI ZA KISHERIA ZISHIKILIE BANGO KUHUSU MAPITIO (REVIEWS) YA HUKUMU ZILIZOTOLEWA NA HAKIMU HUYO.LAKINI KATIKA UTAMADUNI WA LAISSEZ FAIRE,NDIO "IMETOKA HIYO" KAMA WASEMAVYO WATOTO WA MJINI (ILA SINA HAKIKA KAMA MSEMO HUU BADO UNATUMIKA AS KISWAHILI KINAKUA KWA KASI YA TSUNAMI).

NI UTAMADUNI HUU WA "BORA LIENDE" UNAOIMARISHA UNYONGE WA WATANZANIA NA KUDUMISHA ULAFI WA MAFISADI KATIKA KILA NYANJA.NI UTAMADUNI HUU TUTAKAOUSHUHUDIA TENA MWAKA KESHO WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI AMBAPO WABABAISHAJI WALEWALE WALIOAHIDI BAKULI ZA MAZIWA NA ASALI HAPO 2005 (LAKINI WAKAISHIA KUTUMWAGIA UJI WA MWAROBAINI NA SHUBIRI) WATAKUJA TENA NA AHADI ZILEZILE,ILA ZIKINOGESHWA NA UONGO KUWA TUMEJIPANGA VYA KUTOSHA.BADALA YA BAKULI ZENYE MAZIWA NA ASILI TUMEAMUA KUWAJENGEA MABWAWA KABISA YATAKAYOKUWA YAKITIRIRIKA MAZIWA NA ASALI 24/7.WATAKAPOULIZWA KWANINI AWALI WALIAHIDI HIVYO NA BADALA YAKE WAKATOA MWAROBAINI NA SHUBIRI,WATAJIBU KISIASA KUWA MCHAKATO WA UTEKELEZAJI ENDELEVU WA BLAH BLAH BLAH NDIO ULIPELEKEA HIVYO LAKINI SASA KILA KITU KIKO TAYARI...TUPENI KURA ZENU ILI MFAIDI UHONDO KWENYE ARDHI YA MAZIWA NA ASALI....NA WATAPEWA.

TUMEROGWA?

IN A GROUP PHOTO.
WITH SUZAN BOYLE (2nd Right) and JULIAN SMITH (Far Right)


31 May 2009







Glenn Beck is the fastest-rising star on American TV. He's part of a right-wing broadcasting boom that's become the most powerful opposition to the President...CONTINUE.



30 May 2009


MHH,AJALI ZINAZOWAANDAMA WABUNGE "WA AINA MOJA" ZINAWEZA KUZUA MASWALI YA NAMNA FLANI JAPO YAWEZEKANA KABISA KUWA NI AJALI KAMA NYINGINEZO.HEBU SOMA KWANZA HABARI IFUATAYO,KISHA TUJIULIZE MASWALI MAWILI MATATU:

Ally Sonda na Rehema Matowo, Mwanga

MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Aloyce Kimaro amenusurika kufa baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kuparamia mawe yaliyopangwa barabarani na kupata ajali usiku wa kuamkia jana. Habari zilizolifikia gazeti hili jana na kuthibitishwa na Kimaro na polisi zinasema kuwa, ajali hiyo ilitokea katika kijiji cha Mikongeni kata ya Lembeni wilayani Mwanga, Kilimanjaro kwenye barabara kuu ya Moshi-Tanga, akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda jimboni kwake.

Kwa mujibu wa habari hizo, wakati ajali hiyo inatokea, Kimaro alikuwa na rafiki yake Joseph Temu ambaye ndiye aliyekuwa anaendesha gari hilo aina ya Mercedes Benz akiwa na mkewe na watoto wake watatu. Katika ajali hiyo hakuna aliyejeruhiwa.

Kimaro alisema baada ya ajali hiyo mfanyabiashara wa Mwanga, Shafii Hasanal alitoa msaada wa kulivuta gari hilo hadi kwenye kituo cha mafuta Kisangara.

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Lucas Ng’hoboko alisema kuwa ajali hiyo ilitokea saa 2:30 usiku, chanzo kikiwa ni mawe makubwa na matofali yaliyokuwa yamepangwa barabarani katika eneo lenye kona na mlima.

Kamanda Ng’hoboko alisema kuwa watu wanaosadikiwa kuwa ni wezi, walipanga mawe hayo barabarani kwa lengo la kusababisha ajali ili kuwaibia abiria.

“Gari ya mbunge huyo ilipofika katika eneo hilo likiwa katika mwendo wa kawaida na mbele yao kukiwa na lori ambalo liliweza kuyapita mawe hayo bila tatizo, wao walipojaribu kuyapita tairi la mbele upande wa kulia na ‘sampo’ ya gari hilo vilipasuka wakashindwa kuendelea na safari,” alisema Ng’hoboko.

Kamanda huyo alisema kuwa miaka ya nyuma eneo hilo lilikuwa na matukio mengi ya aina hiyo ambayo yameanza kujitokeza upya, kwa kuwa awali wananchi wa eneo hilo kwa kushirikiana na polisi walikuwa wameyamaliza. Alibainisha kuwa polisi wanafanya operesheni ili kuwadhibiti wezi hao na kuwasaka waliohusika na tukio hilo ili wafikishwe mbele ya sheria.


Kimaro ni miongoni mwa wabunge waliojitokeza hadharani kupambana na vitendo vya ufisadi. Mwaka jana aliibua hoja bungeni kutaka, Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa ashitakiwe kwa kutumia madaraka vibaya ya kufanya biashara akiwa ikulu.

Hii ni ajali ya pili inayohusisha wabunge kutokea ndani ya wiki mbili baada ya ajali iliyomhusisha mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe iliyotokea eneo la Ihemi, Ifunda mkoani Iringa. Dk Mwakyembe, alinusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Kyela kwenda Dar es Salaam kuacha njia na kupinduka.

Ripoti ya polisi iliyotolewa wiki hii ilieleza kwamba ajali hiyo ilitokana na uzembe wa dereva, lakini mbunge huyo ameiponda na kuifananisha na ripoti ya mpiga ramli kwa vile haikuzingatia vigezo na utaalamu katika uchunguzi.


CHANZO: Mwananchi
NAAMINI WENGI WETU TUNAKUMBUKA AJALI ILIYOMHUSISHA MHESHIMIWA CHEYO a.k.a "Mzee wa Vijisenti" AMBAYO ILIPELEKEA VIFO VYA WATU WAWILI.TOFAUTI KATI YA AJALI YA CHENGE NA HIZI ZA MWAKYEMBE NA KIMARO NI REACTION YA POLISI.BAADA YA GARI LA CHENGE KUUA,SIKUWAHI KUSIKIA RPC AU RTC AKIKURUPUKA KUELEZA CHANZO CHA AJALI HUSIKA (JAPO KATIKA MAZINGIRA YA KAWAIDA,NI RAHISI KUIHUSISHA AJALI YA SAA 10 ALFAJIRI NA STIMU ZA KILEVI).BADALA YAKE ILIUNDWA TUME AMBAYO HADI LEO HAIJATUELEZA MATOKEO YA UCHUNGUZI WAKE (IF AT ALL ILIFANYA UCHUNGUZI).WORSE STILL,INAELEZWA KUWA WAKATI AJALI HIYO INATOKEA GARI LA CHENGE LILIKUWA NA BIMA ILIYOISHA MUDA WAKE.


ALIPOPATA AJALI MWAKYEMBE,RPC AKAKURUPUKA NA KUDAI KWAMBA CHANZO CHA AJALI NI MWENDO MKALI NA SHIMO LILILOKUWA BARABARANAI.BAADAYE TUME YA KAMANDA KOMBE IKAZIDI KUCHANGANYA MADAWA KWA KUTOA FINDINGS AMBAZO SI TU ZIMEINGILIA KAZI YA MAHAKAMA KWA KUWAHUKUMU MWAKYEMBE (kuwa alikuwa amelala wakati wa ajali) NA DEREVA WAKE (kwa uzembe) LAKINI PIA HAZIKUHUSISHA MAELEZO YA MWAKYEMBE KWA VILE HAKUHOJIWA NA TUME HIYO!


KINGINE CHA KUSHANGAZA NI KWAMBA WHILE KWENYE AJALI YA CHENGE,DEREVA WA BAJAJI NA MMILIKI WAKE WALIAMRIWA KUJISALIMISHA POLISI MARA MOJA,HATUJASIKIA KAULI YOYOTE KUTOKA KWA POLISI KUHUSU DEREVA WA LORI LILIOHUSIKA KWENYE AJALI YA MWAKYEMBE!


NA SASA KATIKA AJALI YA KIMARO TUNAELEZWA KUWA MAWE HAYO YALIPANGWA NA WEZI.HOW DID THE POLICE KNOW KUWA WALIOFANYA HIVYO NI WEZI NA SIO WATU WALIOKUWA WANAWINDA UHAI WA MHESHIMIWA KIMARO?KWANINI(ANGALAU KWA KUTUZUGA) ISIUNDWE TUME KAMA ILE YA AJALI YA CHENGE AMBAPO HAKUKUWA HATA HAJA YA KUFANYA SPECULATION LET ALONE KUUNDA TUME?


CALL ME A CONSPIRACY THEORIST,LAKINI NADHANI AJALI HIZI ZINA TAFSIRI KUBWA ZAIDI YA TUNACHOSIKIA AU KUONA KWA MACHO YETU.LET'S WAIT AND SEE!



29 May 2009

ILIKUWA SIKU,WIKI,MIEZI NA SASA UMETIMIA MWAKA TANGU BWANA ALIPOKUCHUKUA MPENDWA WETU MAMA ADELINA MAPANGO (Mama CHAHALI).PENGO ULILOTUACHIA HALITOZIBIKA MILELE.KINACHOTULIWAZA NI MAPENZI YA BWANA.JAPO SIE TULIKUPENDA,LAKINI YEYE ALIKUPENDA ZAIDI,NA NDIO MAANA AKAKUCHUKUA SAA4.30 USIKU WA TAREHE 29/05/2008.JAPO HAUKO NASI KIMWILI,LAKINI TUKO SOTE KIROHO.

KWA NIABA YA FAMILIA YA MZEE PHILEMON CHAHALI,NACHUKUA FURSA HII KUTOA SHUKRANI ZA DHATI KWA WOTE WALIOSHIRIKIANA NASI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KATIKA SALA/DUA WAKATI TUNAMUUGUZA MAREHEMU ADELINA,NA SAPOTI MLIYOTUPATIA KUTUFARIJI BAADA YA MSIBA.BWANA AWABARIKI SANA.

BWANA ALITOA,BWANA ALITWAA.JINA LAKE LIHIMIDIWE MILELE,AMEN.

PUMZIKO LA MILELE UMPE EE BWANA,NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE.APUMZIKE KWA AMANI.AMEEN

27 May 2009





CLICK HERE for more on the nomination including reactions.

24 May 2009


CLICK HERE for more.

CLICK HERE for full story from various sources.

23 May 2009



CLICK HERE for full story

22 May 2009




















Astonishing video footage was released today showing prison guards allowing dangerous drug traffickers to stroll out of a Mexican jail without a word of protest.

Now the prison’s entire 51-member staff – including the warden – are themselves behind bars facing a major corruption probe into whether kickbacks were paid to the poorly-paid guards in return for them turning a blind eye to the escape.

A total of 53 inmates walked past guards and were ferried to freedom in a convoy of fake police cars in the most brazen example yet of the sway held by Mexico’ s powerful drug cartels.

At least a dozen of the escapees were drug suspects and others carried out crimes like kidnapping and extortion that are linked to trafficking. It was only after the inmates had fled that the guards leaped into action ‘Jim Carrey-style' to act like they were trying to prevent the break-out.

The action – of lack of it – was all caught on security cameras at the prison in Cieneguillas in Mexico’s northern state of Zacatecas. Interpol described the worst of the criminals, who escaped without firing a shot, as ‘a risk to the safety and security of citizens around the world.’

The inmates stole 23 guns from a prison storage room before walking out through the front gates.

A prison spokesman said the police uniforms worn by the getaway drivers and the fleet of police cars that pulled up outside the prison with flashing lights to ferry away the escapees were all fakes.

But investigators refused to rule out the possibility of police involvement.

Last night’s outcry over the film footage was another major blow to the Mexican government mired in a bloody war with drug cartels that, along with the swine flu outbreak, has devastated tourism. The video was released by the Attorney General’s office after it was leaked to the Reforma newspaper. It shows bored looking guards watching television and stepping aside as a group of prisoners burst in.

A second camera catches two guards opening the front gate to allow in the getaway convoy. Eight gunmen wearing police jackets then escort the inmates to the cars waiting in the car park. When the prisoners have fled, the guards can be seen suddenly coming to life, some running towards the gate and others crouching with their guns drawn.

Mexico’s Reforma newspaper said the guards appear to be over-acting for the cameras, looking like extras in a film by comedian Jim Carrey. All the guards on duty at the time of the escape, along with the prison director and senior officials are being held for 30 days pending an investigation into their possible involvement.

Two of the men who escaped were arrested in January by soldiers who discovered 11.4 tons of marijuana at a house belonging to a local state senator. Mexico has long struggled to reduce corruption and ineptitude in its justice system. President Felipe Calderon has acknowledged that jailed drug traffickers often operate from behind bars, and has extradited a record number of drug dealers to serve time in more secure US prisons.

Two prison guards are serving up to 19 years for aiding the escape of Mexico's most-wanted drug lord, Joaquin ‘El Chapo’ Guzman. He rode out of prison in Jalisco state in a laundry cart after bribing guards in 2001. And Otto Garcia, who helped turn Guatemala into a corridor for US-bound cocaine, escaped in May 2005 from a jail in southern Mexico City.

That jail's warden, his deputy and 10 others were arrested for allegedly accepting bribes to facilitate his freedom.


SOURCE: The Daily Mail




21 May 2009

20 May 2009


Government axe to fall on luxury spending

*Budget procuring of government vehicles to be strictly prohibited, Cut down of maintenance and running cost of vehicles .
*Funds to be saved in the process will be channelled to financing core activities

By Ray Naluyaga

The Government plans to curb luxury spending in the next Budget, as part of its comprehensive measures to cut costs, the Treasury says.

The implementation of the proposals will see a 10 per cent expenditure ceiling on the administrative costs of funds allocated for development projects.

The measures, according to the ministry of Finance, also reflect the Government's intention to ensure effective use of available resources.

Also targeted in the expenditure control and cost reduction is the tendency in the Government to buy luxury vehicles for use by civil servants, the proliferation of seminars and workshops, allowances, trips by public officials and spending on government hospitality.


The Treasury says allocations to those areas will be reduced and the saved funds channelled into financing core activities. And accounting officers have been instructed to strictly scrutinise and vet such expenses.
There will also be regular inspections of public sector payrolls to, among other things, ascertain their authenticity. This will also ensure that employees removed from the payroll for any reason,death, retirement or dismissal stay off it.

Two experts interviewed yesterday commended the Government move. An activist for good governance, Mr Moses Kulaba, said recurrent expenditure items constituted up to 70 per cent of the total development project budgets.

Deloitte senior tax manager Edward Mwachinga said the expenditure on "managerial issues has been a double tragedy for the national Budget, with seminars and workshops wasting a lot of time and resources.

Those activities, he added, took people away from their workstations with no value being added to their productivity in the end. As result, he said, they were, in fact, inhibiting productivity.
>

"While recurrent expenditure items can't be completely avoided in development projects, to cater for administrative costs, accounting officers are required to ensure that such costs do not constitute more than 10 per cent of total project cost," the Treasury notes in its Budget preparation document.

The Medium Term Plan and Budget Guidelines for 2009/10 -2011/12 says that many development projects constitute more recurrent items than the development ones. That, the document explains, has greatly contributed to failure to implement or complete some projects.

In the forthcoming budget, project funding is forecast at about Sh2.8 trillion, up from Sh2.4 trillion in the current financial year. This time around, local funding of development expenditure will be Sh1 trillion instead of Sh940 billion during 2008/09.

"In ensuring accountability in using public resources, accounting officers are required to adhere to the approved budgets," the Treasury says.

"Ministries, departments and agencies (MDAs), regions and local government authorities (LGAs) will have to exercise a high degree of financial discipline."

According to the document, the procuring of government vehicles "is strictly prohibited". Until further notice, it adds, no funds should be allocated for buying vehicles in the next financial year. Another measure to cut cost is the reduction of maintenance and running expenses of vehicles.

Seminars and workshops have been singled out as one of the items costing the Government dearly, thus contributing to increased expenditure. The Government has conceded that many of these are �unnecessarily conducted in expensive hotels".


Those that will be held after getting approval from the Prime Minister's Office will now be hosted in public institutions, according to the new directives.

"Starting from this financial year, accounting officers are required to seek approval to conduct seminars and workshops from the Prime Minister's Office," the Treasury says.

On per diem and travel allowances, the Government says, accounting officers must ensure that every expenditure incurred has value for money. The only foreign trips that will be authorised will be those of national interest, and which reflect the expected returns.

Furniture bought should be of high quality. The Treasury advises against the tendency to procuring expensive imported furniture that is less durable than locally made items. The Government also expects to curb costs in the public procurement and management.

"A big portion of public expenditure is on procurement of works, goods and services. Accounting officers and public procurement units should take measures to improve supervision and monitoring of purchases."

Deloitte tax manager Mwachinga said that under the current circumstances, the Government had had no choice but to initiate cost cutting measures.

"Taxpayers' money has for many years been used to pay public officials' fat allowances to attend seminars and workshops in expensive luxury hotels where what they do is have a good time," he said.


Mr Kulaba warning the Government against failure to implement the cost-cutting measures, as had been the practice in the past. However, he welcomed the zeal with which Prime Minister Mizengo Pinda has been dealing with the matter to curb wastefulness in the Government.

SOURCE: The Citizen.Cartoons courtersy of Kipanya



HOW OFTEN HAVE WE HEARD THAT?DIFFERENT BEATS BUT SAME LYRICS.ONLY EXCUSE NOW,THE CURRENT GLOBAL FINANCIAL CRISIS.THAT'S SIMPLY ALL TALK,BUT DON'T EXPECT ANY SIGNIFICANT ACTIONS.

COST-CUSTING MEASURES SHOULD HAVE BEEN GOOD NEWS TO EVERY MWANANCHI,BUT WE HAVE BEEN THERE BEFORE.REMEMBER WHAT WE WERE TOLD AFTER THE 1978-79 TZ-UGANDA WAR?"TUFUNGE MIKANDA" (WE SHOULD TIGHTEN OUR BELTS).IRONICALLY,MOST OF OUR LEADERS COULDN'T DO SO NOT BECAUSE MADUKA YA KAYA HAD RUN OUT OF STOCK OF BELTS,BUT RATHER THEIR WAISTS WERE TOO LARGE TO BE TIGHTENED!HOWEVER,IN THE SPIRIT OF AMANI NA UTULIVU AND UMOJA NA MSHIKAMANO THE MAJORITY OF US (WALALAHOI) HAD TO DO IT FOR THE PRIVILEGED FEW (VINGUNGE).

OKAY,WE COULD AGREE TO ADHERE TO WISDOM OF OUR FOREFATHERS THAT "YALIYOPITA SI NDWELE,TUGANGE YAJAYO" (LET BYGONES BE BYGONES),AND AGREE WITH THE PROPOSED MEASURES.BUT,COST-CUTTING AT WHOSE EXPENSE?MAFISADI OR WANANCHI?HOW SUCH MEASURES MAKE ANY SENSE WHEN OUR SELFISH MPs UNASHAMEDLY PROPOSE TO SKYROCKET THEIR SALARIES FROM THE CURRENT Tshs 7 Million PER MONTH TO Tshs 12 Million ?

19 May 2009


Source of funds remains elusive

By Costantine Sebastian

Poor revenue collections, the unpredictability of donor funds and an economy reeling from the biting global recession -- the challenges for the 2009/10 national budget seem just too much to bear.

After months of wallowing in the global economic crisis, the Government should now be talking about finding a way to fund the next budget and get the economy going.

Early this month, President Jakaya Kikwete hinted at the uncertainty of funds for the budget when he revealed that domestic revenues are expected to continue on the downward path since the global crisis was persisting.

While source of funds for the current budget were considered evasive at a time the crunch had not hit this part of the world hard enough, economists predict the worst is yet to come.

Economists say there would be major problems implementing the Government's financial plan for the 2009/10 year.

This is largely due to the falling revenue collections and the unpredictability of donor support caused by the recession that has adversely affected Western donor countries, they say.

For instance, the depletion of tax revenue this year will see the outturn of the current budget falling to Sh6.98 trillion instead of the planned Sh7.22 trillion.

And budget preparation documents confirm the Government's awkward fiscal position. Some economists have raised concerns that the desire to fulfill political promises would make the situation even more desperate.

Decreasing revenues

In the medium term, the Treasury puts domestic revenue at 17 per cent of the Gross Domestic Product (GDP) in the forthcoming fiscal year from 17.7 per cent in 2008/09 while aid will fall to 8.9 per cent from 9.1 per cent during the same period.

The Treasury asserts that the overall resource envelope in 2009/10 will decrease to 25.9 per cent of the GDP, which is a 0.2 per cent decline compared to the current fiscal year.

"This trend will persist and reach 22.8 per cent in 2011/12, primarily on account of the projected decline in foreign assistance," the document on resource envelope and expenditure reads in part.

It also notes that foreign aid will further plummet in the medium term to 5.3 per cent of the GDP.

2010 Elections

And the 2010 elections will not take the Government out of its tight corners. Instead, they are widely expected to make the financing and management of the forthcoming budget even more difficult.

"Although the elections will come in the second half of 2010, and therefore a subject matter of the 2010/11 budget, they are expected to impact the 2009/10 budget substantially," Mr Honest Ngowi, an economist and lecturer at Mzumbe University, said.

He added: "The Government will naturally want to be voted back into office. As such, among other things, it will have to deliver on its previous election manifesto."

Mr Ngowi says the "unfulfilled promises" are major poverty reduction projects that would require financing from State coffers.

He based his predictions on the economic theory of government opportunism, which states that sitting governments would to do everything in their power to win support before a competitive election.

In the case of Tanzania, he said, the Government would attempt to implement a number of infrastructure, health, education, water and other social service projects in order to win votes, come 2010.

World Bank economist for the East Africa Poverty Reduction & Economic Management unit, Mr Paolo Zacchia, said Tanzania faces huge budgetary challenges under the prevailing circumstances.

He said the dire situation was evidenced by the failure to meet revenue targets during the current financial year and poor performance of key sectors such as mining and tourism.

Rescue packages?
Yet while Tanzania's budget is heavily dependent on donor funding, last year, donor funds for the 2008/09 budget did not come on a silver plate.

Donors clearly spelt out their conditions: governance issues needed to be sorted out first before any funding pledge could be fulfilled.

The donors, probably irked by corruption among senior government officials, were apparently reluctant to release the general support funds.

Most of them had, however, honoured their commitments by February this year.

And once more the Government is expected to get a kick out of rescue packages pledged by the Bretton Woods institutions and other bilateral donors like the US.

Tanzania recently received a $340 million (Sh452.2 billion) fiscal stimulus from the International Monetary Fund (IMF). The World Bank has also promised another bailout package of about $200 million (Sh266 billion).

The major challenge though is how far that crumb of comfort would go to salvage the Government from the 2009/10 budget ordeal.

According to the World Bank economist, the main difficulty faced in financing the current budget was offset by domestic borrowing, which is expected to persist during this coming year.

Excessive domestic borrowing is often said to affect credit lines for the private sector and cause interest rates to skyrocket.

"But borrowing domestically is inevitable, yet it has to be done carefully to avoid a negative impact on interest rates," Mr Zacchia cautioned.

The Government is obviously walking on eggshells before it comes up with a realistic and workable budget amid the global crisis that has started to take its toll on the people.

Key economic sectors stunned by the crunch need to be rescued, otherwise revenue sources will continue to take a nosedive and thousands of people will lose their jobs.

By March, the Tanzania Revenue Authority (TRA) had managed to collect only about 70 per cent of the budgeted Sh4,485 billion tax collections, missing the target for the three quarters by about Sh279.2 billion.

Tax revenue constitutes nearly 95 per cent of the domestic resources that were required to finance government expenditure in the current financial year and about 62.2 per cent of the total budget.

The Bank of Tanzania (BoT) said in a March report the cumulative budget deficit of Sh750.7 billion by February was one per cent above the expected level.

"The (July 2008-February 2009) deficit was financed through foreign borrowing to the tune of Sh674.4 billion, and the balance through domestic borrowing," the central bank noted in the March monthly economic review (MER).


SOURCE: The Citizen


LET'S WAIT AND SEE!



Israel's internal intelligence service urged the public today to exercise caution when using Facebook, saying Arabs are trying to recruit spies on the popular social networking site.

The Shin Bet security agency warned Israelis against answering unsolicited messages or sharing telephone numbers and other sensitive information over the Internet. It said there have been numerous incidents recently in which violent groups tried to recruit Israelis through Facebook and other networking sites...continue

Tall men earn more than their vertically challenged colleagues, research shows. An extra couple of inches in height can be worth hundreds of pounds in annual income...CONTINUE

18 May 2009


Michael Martin was condemned as a 'dead Speaker walking' last night after an unprecedented parliamentary mutiny against his rule. During historic scenes, five MPs directly confronted Mr Martin to tell him to resign, the first move to oust a sitting Speaker for more than 300 years...CONTINUE
SOURCE: The Daily Mail


The British National Party was accused of staging 'a cynical con' yesterday, after it was revealed that men featured on its keynote poster campaign are foreigners. One of the posters, which is being advertised up and down the country on a BNP truck, shows three men in hard-hats under the slogan 'British jobs for British workers'. But it has emerged they are in fact American models who posed for a photoshoot in the U.S....CONTINUE



That's according to The Daily Mail.Word of encouragement for the little angel is,however,what doesn't kill you makes you stronger.

17 May 2009

KATIKA KUZURURA KWANGU MTANDAONI NIMEKUTANA NA HABARI IFUATAYO,AMBAYO KAMA ITAKWENDA SAWA BASI INAWEZA KUFUNGUA FURSA KUBWA YA KUWAADABISHA MAFISADI.HEBU ISOME KWANZA,KISHA TUJIULIZE

A senior judge in Paris is about to cause the French government serious embarrassment with an investigation into the allegedly stolen wealth of three African presidents who are closely allied to France.

Two previous complaints by an anti-corruption group have been buried under pressure by the French authorities. But the most senior investigating magistrate in Paris, Françoise Desset, has now agreed to investigate the portfolios – from chateâux to Ferraris to multiple bank accounts – owned by the ruling families of Gabon, Equatorial Guinea and Congo-Brazzaville.

President Nicolas Sarkozy, who is close to one of the three accused African leaders, Omar Bongo of Gabon, must decide in the next few days whether to order an appeal against the decision.

The investigation, which could last for many months, follows a formal complaint by a French open government pressure group, Transparence International. Daniel Lèbegue, the organisation's president, said the ruling

by Judge Desset was a "historic decision, which could mean the end of the impunity for corrupt leaders around the globe".

"This is the first time, anywhere in the world, that a judge has recognised the right of a non-governmental organisation to bring a law suit in the names of victims of corruption," he said.

The NGO's legal complaint claims that the three families' wealth "could only have been assembled through the embezzlement of public money". The organisation's lawyer, William Bourdon, said: "Each luxury apartment bought by President Bongo's clan is a public hospital less in Libreville."

Two previous law suits brought by Transparence International were blocked after pressure by the French public prosecutor's office,which is under government control. Judge Desset decided this week that there was a possible case.

According to information leaked to the French newspaper Libération, President Bongo – the longest serving leader in sub-Saharan Africa – has property in France worth tens of millions of euros. He and his family are thought to have 70 different bank accounts, several chateaux and 11 houses and apartments in and around Paris.

They also have a family compound in Nice, extending to three houses, two apartments and a swimming pool. The Bongo family car fleet is said to include two Ferraris and five Mercedes.

The family of President Sassou-Nguesso of Congo-Brazzaville – one of the poorest countries in the world – is estimated by French police to have 11 bank accounts, 13 luxury cars and nine properties in the Paris area. President Obiang of Equatorial Guinea is reported to have a more modest portfolio of a private jet, two luxury cars and a $35m villa in Malibu, California.

M. Bourdon predicted that the state prosecution service would appeal against the judge's decision. "I fear that it will become obvious that the prosecution service is the tool of raison d'etat in France," he said.

If the investigation does go ahead, it could lead to a prosecution of the African leaders but this would be unlikely to succeed without state backing. Transparence International's main objective seems to be to embarrass the three presidents – something that it has already achieved.

President Sassou-Nguesso has dismissed the legal moves against him as an "echo of neocolonialism". In 2007, he said: "Every leader in the world has chateaux and palaces in France, whether they are from the Gulf, from Europe or from Africa."



SIE TUNANGOJA NINI?

How a deported `EPA mogul` enjoys Dar`s life

His dodgy deals cost the government $100million in 1994, but he is today walking and living freely in Dar es Salaam despite the Parliamentary recommendations that he should be arrested and prosecuted immediately.

The man who in 1994 set up and then stole from the debt buy-back programme that is now known as the External Payment Arrears (EPA) account has been living in the country for the last five years despite being declared a prohibited immigrant.

Vidyadhar G. Chavda, an Indian citizen, first came to Tanzania in 1978 without a penny to his name, according to his own words quoted in a 1994 parliamentary report, but after years of working here as an architect he moved into the finance services industry and orchestrated a number of very lucrative, very shoddy deals.

Chavda approached the government with his idea for the creation of the Debt Conversion Programme (DCP) - which sought to reduce the country’s outstanding debts by selling them off to third parties at discounted prices - the deal that cost the country Sh50bn/- ($100m at that time prevailing exchange rate) in taxpayer money from the programme.

“I came to this country without a single penny, a beggar…but I came with a brain worth millions of dollars supported by education and exposure,” Chavda said after the news of his multibillion-shilling scandal broke in 1994.

“The DCP funds were brought totally by my idea and efforts,” he said at the time. “What I have done is beyond the sphere of understanding Parliament…it is a purely financial issue which nobody is capable of grasping.”

To repair the economic damage caused by his sleazy deals, the Central Bank of Tanzania (BoT) was forced to print billions of shillings in 1994.

After his scandal was thoroughly investigated by the Parliamentary Committee chaired by Edward Oyombe Ayila, Chavda was finally deported in 1996, though he was not charged with any wrongdoing.

Despite being deported, Chavda had already caused a strong political rift within the ruling party, and then-minister for home affairs Augustine Mrema resigned because he disagreed with the way the scandal was handled.

In its recommendations, the Parliamentary Committee advised Chavda’s immediate arrest and prosecution for fraud, violation of the Foreign Exchange Act of 1992 and giving false statements contrary to section 122, 309 and 346 of the country’s penal code.

The Committee further recommended that legal action be taken against all traders and lawyers who conspired with Chavda for economic sabotage, and it urged the concerned authorities to cancel the business licenses for those who collaborated with him, including Subhash Patel.

Surprisingly only one recommendation was implemented - to revoke Chavda’s residence permit and deport him - essentially letting him and his partner off the hook.

He is now back in Tanzania where he has been living in the Masaki suburb of Dar es Salaam for the last five years, according to reliable details obtained by The Guardian on Sunday this week.

How he played the game
Having managed to shake the Parliamentary Committee that was formed to investigate him, Chavda carefully planned his comeback in 1997 just three years after he was deported.

On March 18, 1997, Chavda, acting through his lawyers Mkono & Company, asked the High Court of Tanzania to issue a Witness Summons to allow him to testify on August 5 of that year in a pending civil case brought by his wife against him, Civil Case No 130 of 1993.

His wife, an Indian citizen who had continued living in Tanzania legally after Chavda was deported, was suing him over a family financial dispute.

On April 1, 1997, the High Court wrote to the Director of Immigration seeking clarification on the legal position of Chavda’s status once he arrived in the country to testify.

As such, the Director of Immigration informed Mkono & Company on September 25, 1997, that Chavda had been given a visa for 30 days to allow him to enter the country only to testify in court.

Later findings from the court show, however, that during that 30-day period, the civil case was not scheduled for a hearing and Chavda’s claims that he needed to appear in court lacked grounds. His visa expired and he left the country, but with the intention to come back yet again.

Having identified a loophole in the system that could be exploited, Chavda planned a comeback in January 2002 centred on another ‘necessary’ appearance in court.

Chavda again had his lawyers - this time from the firm Gomba & Tadayo - write to the High Court requesting a Witness Summons to testify in Civil Case No 74 of 1996, a separate civil case filed by the National Bank of Commerce against him for an alleged 800m/- in outstanding loan repayments.

He was again allowed to enter the country after being given Entry Visa No 0000695 dated March 4, 2002. Chavda should have left within 28 days of the visa’s issuance, but he had stayed almost a year until the Director of Immigration caught on and ordered him to leave the country immediately.

According to details in our possession, Chavda then filed Miscellaneous Civil Case No 60 of 2003 asking the court to force the immigration department to grant him a visa so that he could testify in the two civil cases facing him.

On March 11, 2004, the High Court issued its ruling in Chavda’s favour, ordering the Director of Immigration to issue a two-year visa to the deportee.

One senior immigration official in Dar es Salaam told The Guardian on Sunday this week that the decision to grant Chavda the visa was both illogical and indefensible.

“The law is very clear; he should be outside the country and is only allowed to come once needed or summoned by the court,” said the official, who asked for anonymity on the grounds that he is not the department’s official spokesperson.

“A hearing can’t take two years, it is just one or a few weeks as long as the pending cases are civil cases.”

Chavda’s two-year visa expired in April 2006, but again neither of the two cases had been heard, and not even preliminary hearings had been held for either of them.

Following of the expiry of his visa, the office of the Attorney General wrote a letter on May 6, 2006, directing the Director of Immigration to act accordingly.

“Since the ruling date was March 11, 2004 then the time for stay in Tanzania has elapsed, and given the fact that Chavda didn’t appeal against the decision, now act according to the law on this issue,” reads part of the letter signed by D.L Chidowu on behalf of the AG.

Despite the AG’s letter, the immigration department has still not taken any action against Chavda.

In a May 25, 2007, letter to Professor Abdullah Safari of Safari Law Chambers - Chavda’s newest lawyer - the AG’s office wrote that it seemed the ministry of home affairs had flipped its position on the matter and was complicit in allowing Chavda to remain in the country.

“The issue of Chavda has taxed much this office. We as advocates of the government and chief legal advisers did our best to defend the position of the government in court to declare Chavda a prohibited immigrant…however it is now clear that the parent ministry [home affairs] has changed its previous position,” reads part of the letter signed by P. J Ngwembe on behalf of the AG.

When asked on Friday why Chavda was still being allowed to remain in Tanzania, Minister for Home Affairs Lawrence Masha was deliberately vague.

“It’s the government that has decided that he should stay in the country because he is still needed,” Masha told The Guardian on Sunday.

The minister would not elaborate on why Chavda was ‘needed’ in the country when he was no longer involved in any currently pending civil cases.

The minister’s response is a curious departure from what his boss, Prime Minister Mizengo Pinda, told Parliament on April 30 this year, in response to a question asked by Kigoma North MP Zitto Kabwe.

The Prime Minister said he wasn’t aware whether Chavda was still in the country, but he promised to thoroughly investigate on which grounds the Asian tycoon was allowed to stay in Tanzania if he were.

The senior immigration official said this ‘confusion’ among top-ranking government officials speaks to the deliberate obfuscation and questionable protection surrounding Chavda and his status in the country.

“This is a man who was supposed to be arrested and charged with criminal offences but surprisingly he is today a free man enjoying the protection of some government officials and a group of Asian traders,” the senior immigration official said.

SOURCE:
Guardian on Sunday

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.