16 Apr 2009


Raiamwema Merged
Raiamwema Merged JIMMY PHILEMON Habari katika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema

Picha kwa hisani ya KENNEDY

Mwanahalisi Merged
Mwanahalisi Merged JIMMY PHILEMON Article ya Mwanahalisi kuhusu ufisadi na 2010.

Picha kwa hisani ya Kennedy

Mke wa Lowassa azindua kitabu

Na Mwandishi Wetu,
MTANZANIA, Aprili 15, 2009.

Watu mbali mbali jana jioni walimiminika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kushuhudia uzinduzi wa kitabu kilichotungwa na mkewe Regina, uliofanywa na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.

Regina aliandika kitabu hicho wakati akiwa katika matembezi binafsi inchini Israel, siku chache baada ya mumewe kujiuzulu uwaziri mkuu Februari mwaka jana kutokana na sakata la Richmond.

Kitabu hicho kilichoandikwa kwa lugha ya Kiingereza kiitwacho “Walk The Path With Diary in Israel, The Holy Land” kina kurasa 15 na dibaji yake imeandikwa na Monsinyori Julian Kangalawe kutoka Kanisa la Mtakatifu Joseph la Dar es Salaam.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Kardinali Pengo, bila kufafanua, aliwataka Watanzania waache tabia ya kusulubiana. “Yesu alikuja duniani, akasulubiwa na hadi leo watu wanaendelea kusulubiana. Tuache mchezo huo,” alisema.

Mhubiri maarufu mwenye makazi yake mjini Arusha, Christopher Mwakasege, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, alisema ni yeye aliyetoa wazo kwa Lowassa na mkewe kutembelea Israel baada ya matatizo yaliyowakuta.

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, aliwahimiza watu kujenga moyo wa kupendana ili kujenga nchi yenye maelewano.

Mbali na Mlasasusa, Askofu Mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Mashariki ni Pwani, Elinaza Sendoro, pia alihudhuria hafla hiyo, na akatumia nafasi hiyo kuwashawishi watu kutembelea Israel kujionea namna watu wa dini tofauti wanavyoishi.

Akizunmgumza katika hafla hiyo, Lowassa mwenyewe alisema baada ya kupata matatizo nayo, yeye na familia yake waliamua kumgeukia Mungu na kwamba ndio maana wakaamua kwenda Israel kutembelea maeneo takatifu.

LET'S BE HONEST.LOWASSA ALIJIUZULU KUTOKANA NA UFISADI WA RICHMOND.HILO HALINA MJADALA.SINA TATIZO NA HIYO ZIARA YAKE YA KUTEMBELEA ISRAEL.KAMA KWELI ALIENDA KUTUBU AU LA,ANAJUA YEYE NA MUNGU WAKE .LAKINI NASHINDWA KUWAELEWA HAO MAASKOFU WALIOJITOKEZA KATIKA SHUGHULI HIYO.NAELEWA KUWA DINI INAHUBIRI UPENDO NA KUSAMEHE WAKOSAJI LAKINI SIDHANI KAMA HIYO INAMAANISHA VIONGOZI WA DINI KUWA KARIBU NA WATUHUMIWA WA UFISADI.
NA MHASHAMU PENGO ANAPOTOA MFANO WA YESU KUSULUBIWA ANATAKA KUTUELEZA NINI?KWAMBA LOWASSA NAE ALISULUBIWA KAMA YESU?HIVI SIO RICHMOND NA BINAMU YAKE DOWANS ILIYOWASULUBU WALALAHOI WA TANZANIA KWA MAMILIONI YA SHILINGI!YESU ALISULUBIWA MSALABANI ILI KUWANUSUBURU WANYONGE,MASIKINI,WAJANE,YATIMA,NK KUTOKA KWA MINYORORO WANAYOFUNGWA NA MAFISADI.

JAPO NINA HESHIMA KUBWA KWA VIONGOZI HAO WA DINI LAKINI YAYUMKINIKA KUELEZA KWAMBA UHUDHURIAJI WAO HUO KATIKA HAFLA YA MTUHUMIWA WA UFISADI UNAWEZA KUTAFSIRIWA NA WAUMINI WAO KUWA NAO WANASAPOTI UFISADI.
IN A WIDER CONTEXT,UFISADI NI MATOKEO YA KUMOMONYOKA KWA MAADILI YA KIROHO.KITACHOTUPA IMANI KUWA WATUHUMIWA WA UFISADI WAMEAMUA KUMREJEA MUNGU SIO PUBLICITY STUNTS BALI FIRM COMMITMENT KATIKA KUHURUMIA NAFSI NA ROHO ZINAZOANGAMIA KUTOKANA NA MATENDO YA MAFISADI HAO.

15 Apr 2009



Hip Hop Shakespeare from The Hip Hop Shakespeare Company on Vimeo.

Would Shakespear be a rapper today?CLICK HERE to explore.


The Obama administration has issued a chilling warning to US police forces about the threat of a rise in violent rightwing extremist groups fuelled by recession, the return of disgruntled army veterans from Iraq and Afghanistan, and hostility over the election of the first black president.

The internal report, which was not meant for publication, was drawn up by the department of homeland security, set up after the 9/11 attacks to co-ordinate internal security.

A leaked copy says: "The economic downturn and the election of the first African-American president present unique drivers for rightwing radicalisation and recruitment."

It adds that the threat posed by "lone wolves" and small terrorist cells is more pronounced than in past years.

The report generated criticism from Republicans and military veterans' groups, who resented the implication that returning troops presented a danger. The American Legion called it "unfair", "incomplete" and "politically motivated".

Marked "for official use only", the nine-page report was drawn up by the extremism and radicalisation branch of homeland security. A leaked copy initially appeared on conservative websites and was then picked up by the US media.

The assessment contends: "Rightwing extremists will attempt to recruit and radicalise returning veterans in order to exploit their skills and knowledge derived from military training and combat. These skills ... have the potential to boost the capabilities of extremists, including 'lone wolves or small terrorist cells', to carry out violence. The willingness of a small percentage of military personnel to join extremist groups during the 1990s because they were disgruntled, disillusioned or suffering from the psychological effects of war is being replicated today."

The early 1990s saw a rise in militias and cults that were anti-government and anti-Bill Clinton, against a background of economic recession. Some looked to survivalism; others were motivated by racism or religion. There was a series of incidents and shoot-outs with federal agents, including the Waco siege in 1993 and the Oklahoma City bombing in 1995.

David Rehbein, national commander of the American Legion, which has 2.6 million members, today protested in a letter to the homeland security secretary, Janet Napolitano, at the implication that troops presented a danger, saying: "I think it is important for all of us to remember that Americans are not the enemy. The terrorists are. The American Legion is well aware and horrified at the pain inflicted during the Oklahoma City bombing, but Timothy McVeigh was only one of more than 42 million veterans who have worn this nation's uniform during wartime. To continue to use McVeigh as an example of the stereotypical 'disgruntled military veteran' is as unfair as using Osama bin Laden as the sole example of Islam."

The report says that threats from white supremacist and violent anti-government groups have been largely rhetorical so far, but a prolonged economic downturn "could create a fertile recruiting environment for rightwing extremists".

It adds: "Rightwing extremists have capitalised on the election of the first African-American president, and are focusing their efforts to recruit new members, mobilise existing supporters, and broaden their scope and appeal through propaganda." In particular it highlights antagonism at Obama's perceived stance on issues ranging from immigration to social programmes for minorities and proposed firearms limits. Since the election, rightwing extremists have been using propaganda to reach potential recruits.

It cites as an example of potential violence that could have been related to rightwing extremism the shooting of three police officers in Pittsburgh, Pennsylvania, this month. The alleged gunman was reportedly influenced by racist ideology and anti-government and anti-Jewish conspiracy theories. Internet chatter by rightwing extremists blames some job losses on a cabal of Jewish financial elites.

SOURCE: The Guardian







A 19-year-old volleyball player from the eastern city of Hangzhou has become the first black athlete to be called up to represent China, triggering fierce curiosity among his compatriots.Ding Hui, who is affectionately nicknamed Xiao Hei, or Little Black, by his team mates, was included in the national team's new 18-man training squad.

The son of a South African father and a Chinese mother, Ding is expected to play a key role in China's push for gold at the London Olympics in 2012.

However, despite the fact that he was born in China and only speaks Mandarin and his city's local dialect, his elevation has stirred up some racial prejudices among his countrymen.

Commentators have noted that he has a "pleasant and perky nature" and is talented at "singing and dancing". On Chinese internet forums, he has been lauded for the "whiteness" of his teeth and the "athleticism of his genes".

China's black population is tiny, and attitudes remain relatively unsophisticated. One predominately African suburb in the southern city of Guangzhou is cheerfully referred to as "Chocolate City".

In the run-up to last year's Olympic Games in Beijing, large numbers of blacks were rounded up by police on suspicion of being drug dealers.

However, the black population is growing rapidly. Since 2003, when China started pouring investments into Africa, there has been a significant movement of Africans in the opposite direction. Guangzhou authorities believe there are now 100,000 Africans from Nigeria, Guinea, Cameroon, Liberia and Mali in the city, and the flow is growing by 30 to 40 per cent annually.

Mr Ding told the Shanghai Wenhui newspaper that "people seem to care more about my heritage and appearance, but all I want to do is to play good volleyball". Referring to China's policy of drafting foreigners to boost its teams, he added: "I am not a foreign aid. I want to be included."

Li Shiping, the captain of the volleyball team, said the players had been irritated by the gawping of the Chinese media. "I had hoped the press would not dig out the boy's African heritage or his family details but instead focus on his skills and performance," he said, adding that there would be no chance to see Ding until a press conference next week.




SAKATA la halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein na ujumbe wake limechukuwa sura mpya baada ya aliyekuwa kaimu mkurugenzi wakati wa ziara hiyo, Majid Myao kutakiwa kutoa maelezo.

Myao aliitwa na mkuu wa wilaya ya Karatu, Mathew Sedoyeka hivi karibuni ili akatoe maelezo juu ya suala hilo hasa kutokana na halmashauri hiyo kugoma kulipa kiasi cha Sh2milioni ambazo ni malipo ya kulala siku moja na chakula kwa ujumbe huo, katika hoteli ya Bougain Villea ya mjini Karatu.

Kwa mujibu wa maelezo ya maandishi ya Myao, yaliyopo katika barua yake ya Machi 3, 2009 yenye kumbukumbu namba kdc/ded/cv.3/1/121, Myao amejitetea kuwa uamuzi wa kutolipiwa ziara hiyo, umetokana kamati ya fedha ya madiwani kukataa kuidhinisha fedha hizo.

Alisema kutokana na kutoidhinishwa malipo hayo, aliona angekiuka sheria namba tisa ya mwaka 1982 ambayo inahusu masuala ya matumizi ya fedha za halmashauri na maamuzi ya kamati ya fedha.

“Kama mimi ningetoa malipo hayo ni wazi ningekiuka sheria za serikali za mitaa hasa ikizingatiwa madiwani katika kikao chao halali ndio waligomea,”alieleza Myao.

Akizungumzia sakata hilo, mbunge wa jimbo la Karatu,
Dk Wilbroad Slaa alisema ni halali kwani walikuwa hawana bajeti ya malipo hayo na aliomba mtendaji yoyote wa halmashauri hiyo asiwajibishwe kwa suala hilo.

CHANZO: Mwananchi


STORRS, Conn. - University of Connecticut junior men’s basketball player Hasheem Thabeet (Dar Es Salaam, Tanzania) has chosen to give up his final season of eligibility and enter his name into the 2009 NBA Draft, it was announced Tuesday.

“After spending time with my family and friends and speaking with Coach Calhoun, I have decided to give up my final year at UConn and enter my name in the 2009 NBA Draft,” said Thabeet. “I have had a great experience at Connecticut and cannot thank my coaches and teammates enough. I look forward to the challenge of playing professionally and know that my time here at UConn has prepared me to be successful in the future. I also want to thank all of the fans in Husky Nation that have followed my career, especially those from my homeland of Tanzania, and hope they will all be as supportive of me at the professional level as they have been to this point.”“Hasheem is more than ready to make the move to the next level,” said head coach Jim Calhoun. “He has been one of the most dominant defensive players in the history of college basketball and I am certain that where ever he ends up in the NBA, he is ready to be equally successful. He is a special player and even more special as a person. He will truly be remembered as one of the great players in UConn history, not only for his accomplishments, but also because of the type of person he is.”

Thabeet was named First Team All-American in 2008-09 by the NABC and the John R. Wooden Award. He was the NABC National Defensive Player of the Year and BIG EAST Defensive Player of the Year in each of the past two seasons and was the 2008-09 BIG EAST Co-Player of the Year. He averaged 13.6 points, 10.8 rebounds and 4.2 blocked shots per game (No. 2 nationally) in 2008-09 and helped lead the Huskies the 2009 NCAA Final Four and a 31-5 final record.Thabeet is the 11th player at UConn to declare early for the NBA Draft and nine of the previous ten were drafted in the first round. Eight of the ten were taken in the lottery portion of the first round

I’m not surprised at this. Thabeet is definitely a lottery pick and could be one of the top three picks. I’d expect Blake Griffin from Oklahoma to go No. 1 overall.
It could now be a long season for the Huskies as they will now need to replace Thabeet as well as A.J. Price, Craig Austrie and Jeff Adrien. Kemba Walker should fill-in nicely at the point and will need Stanley Robinson to play consistently like he did throughout the NCAA Tournament - soxanddawgs.com/2009-04-14 Thabeet is heading to the NBA .

SOURCE: Da Subi

Two years after winning Europe's biggest weekly lottery prize, a Portuguese couple are still waiting to get their hands on the €15m (£13.3m) prize, which remains locked away in a frozen bank account.

Cristina Simoes, 20, and Luis Ribeiro, 23, were lovers who planned to study hard and leave behind the harsh rural life of their parents in the Portuguese countryside near the northern town of Barcelos. Friends expected them to marry.

Then they won the EuroMillions prize. They had played the pan-European lottery together every Friday, but that week Cristina called her boyfriend to buy an extra ticket when he placed their normal bet of €4. That was the ticket that won. Cristina says that she paid Luis back the €2 for it. Cristina and Luis picked up the prize cheque, and opened a joint bank account partly controlled by her parents. That was in January 2007. Now the couple only see each other in court, and a judge has frozen the prize money account. The couple broke up after Cristina's parents refused Luis permission to withdraw money. He challenged them in court and Cristina now says she wants all the money.

"I'm not desperate about this," Luis told a newspaper. "But I'll follow it through to the end. She didn't want to give me a cent of it." Cristina says Luis lied to her, claiming he was at college when he had secretly travelled to Lisbon to see the bank manager. Luis's lawyers say he is quite happy to divide the prize in half. Luis still gets up at 6am to milk the cows before going to college, while Cristina studies to become a pharmacist and lives behind bolted doors in her parents' house - convinced someone is going to kidnap her. Attempts to reach agreement broke down last month when Cristina failed to appear in court. Now the judges must decide.

SOURCE: The Guardian

14 Apr 2009


Emcee Lupe Fiasco,along with Justin Timberlake and Ethiopian-born Pop singer Kenna will climb Africa’s Mount Kilimanjaro to raise awareness about the global water crisis. "My dad almost died as a child from waterborne diseases in Ethiopia, and he had talked to me about digging a well there, and I thought, ‘I have too many friends who would be concerned with the subject of clean water. Maybe I can help out," Kenna told Elle magazine.

If the three artists make it to the summit they will have climbed Africa’s highest peak. The mountain, which is located in Tanzania, is nearly 20,000 feet high. "I’m an adventure junkie,” explained Lupe Fiasco. “Part of the motivation is beating Kenna to the top. Sabotaging his tent, taking the lining out of his coat, lacing it with ants or something like that."

The lengthy climb is expected to take place some time during fall later this year. In similar news, Lupe Fiasco announced last month that he would be releasing his third studio album entitled Lasers later this year.

SOURCE: HipHopDX


Lupe Fiasco- Kick, Push - Funny video clips are a click away




13 Apr 2009



THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

A TANZANIAN national is reported to have been murdered in southern Sudan on suspicion of being a member of the Sudanese intelligence and security service.

The Tanzanian, identified as Wera Tarimo, was slain last Thursday in the Rumbek township of Sudan, along with a Kenyan national named as James Ndungu Wanjiriu.

It could not be immediately established exactly what Tarimo and Wanjiriu were doing in the Sudan.

According to the reports, the duo were suspected of being ’spies’ for Sudan’s National Intelligence and Security Service (NISS), and were allegedly involved in the assassination of an official with the opposition Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM).

The SPLM official assassinated on Thursday has been identified as Thon Wuong Manyuon, the movement’s assistant secretary for both Rumbek North County (Maper) and the Lake State secretariat, and also education inspector of Rumbek North County.

According to an eyewitness statement quoted in the Sudan Tribune newspaper, Tarimo and Wanjiriu were then killed on the same day, as part of a revenge campaign by angry relatives of the slain SPLM official.

’’A family member from Rumbek North, who was very angry, took revenge by killing one man from Tanzania and one man from Kenya, suspecting them to be members of the NISS,’’ said the newspaper in its report.

Quoting what it described as a ’foreigner’ who was related to one of the victims, the newspaper said James Ndungu Wanjiriu from Kenya was killed on Thursday at 3 pm, while Wera Tarimo from Tanzania was killed the same day at 8 pm.

It is understood that the bodies of the two were transported from Rumbek to Kenya on Saturday, with Tarimo’s remains expected to be flown out from Kenya to Tanzania.

’’In order to transport the remains of the deceased back to their respective countries, Lake State governor Lt. General Daniel Awet Akot provided assistance to the foreigners by giving them one car with contribution from the Trade Union of East Africa, whose members reside in Rumbek,’’ said the report.

In the meantime, two NISS officers � believed to also be members of the Sudan People’s Liberation Army (SPLA) which is the SPLM military wing - are reported to have been placed under arrest in connection with Manyuon’s death.

Lakes State Deputy Governor Awan Guol Riak, who also acts as Sudan’s minister for local government and law enforcement, has called for an investigation into the killing.

’’The officers of the National Security who are suspected of involvement in this killing are in custody awaiting investigation,’’ he said.

In 2005, following a peace agreement ending the second Sudanese civil war, the SPLM chose Rumbek as an interim administrative centre of the semi-autonomous southern regions.

With no multi-storey buildings or paved roads and a population of around 100,000, Rumbek is serviced by a dirt airstrip, and is described as a ’’ramshackle town.’’

Records also show that back in October last year, another Tanzanian national was shot and wounded in his garage in Rumbek, and hardly a week later another Kenyan national was shot dead by an unknown assailant in the same township.

A contingent of 875 soldiers from the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) are currently being deployed to the international peacekeeping forces in the war-torn Darfur region of Sudan.

The TPDF squad in Darfur, led by Lieutenant Colonel Ally Katimbe, is part of a hybrid mission set up by the African Union and United Nations Missions in Darfur (UNAMID).
SOURCE: ThisDay
AND YET WE ARE STILL OPPOSED TO AL-BASHIR'S ARREST WARRANT !?


Ally Sonda, Moshi

MBUNGE wa Jimbo la Vunjo(CCM) Aloyce Kimaro,amewataka mafisadi wanaojiandaa kumng'oa madarakani Rais Jakaya Kikwete na kundi la wabunge waliojitoa kafara kupinga ufisadi kuvunja mtandao wao mara moja kwa kuwa hautafanikiwa.

Akizungumza kwa kujiamini na huku akishangiliwa na umati wa watu,Kimaro alisema mwaka ujao wa uchaguzi, Rais Kikwete atashinda kwa kura nyingi sanjari na wabunge mahiri wanaomsaidia kupambana na ufisadi wakiwa ndani na nje ya Bunge.

Kimaro ambaye alikuwa akiwahutubia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) kata ya Kahe Mashariki,alisema mafisadi wote wasiotaka Kikwete aendelee kuiongoza nchi kutokana na chuki za kuumbuliwa wataaibika zaidi mwaka ujao.

"Hivi sasa tunajua kuwa wapo mafisadi wanajipanga kuhakikisha kuwa Rais na wabunge waliojitoa mhanga kufa kwa kupinga ufisadi nikiwemo mimi tunang'oka mwaka 2010. Nasema hivi, hang'oki mtu hapa,Kikwete ni Rais hadi 2015 na sisi wabunge tutashinda vilevile, Mungu yupo mbele yetu,"alisema Kimaro.

Alisema bomu alilolilipua bungeni kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali ambalo limeanza kuleta mafanikio baada ya nyumba hizo kuanza kurejeshwa ni sehemu ndogo sana ya mikakati yake ya kupambana na mafisadi 'wanaoitafuna' nchi bila kunawa.Kimaro alisema ufisadi ndani ya Tanzania ni mkubwa na ndiyo sababu nchi inaendelea kuwa maskini na hivyo kujiendesha kwa kuombaomba misaada kutokana na watu wachache kuiba raslimali za taifa na kuzitorosha nje ya nchi.

Akizungumzia watu wanaolimezea mate jimbo lake na hivyo kujipanga kuwania ubunge mwakani, Kimaro alisema hana tatizo na vyama vya upinzani ambavyo vimeanza kutangaza kusimamisha wagombea, bali ugomvi wake ni kwa wanaCCM walioanza kujitangazia ubunge wa jimbo hilo hivi sasa. Aliiomba CCM wilaya ya Moshi Vijijini, kuwaonya wanachama hao kwa madai kuwa wanaleta mgawanyiko ndani ya CCM, kitendo ambacho kinaweza kutumika vibaya na kambi ya upinzani kuwasambaratisha wanaCCM.

"Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM, nakiomba Chama kiwaonye wanaCCM hawa wanaojitangazia ubunge wa Vunjo wakati wanajua kuwa mimi ndiye Mbunge halali wa Vunjo,nakuomba sana waonye la sivyo wataona cha mtema kuni,"alisema Kimaro bila kufafanua.

Katika mkutano huo, uliohudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Moshi,ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM ya wilaya hiyo,Alhaji Musa Samizi,Mwenyekiti wa CCM,Gabriel Masenga aliwataka wanaCCM wote wanaotaka ubunge wa Moshi Vijijini na Vunjo wasubiri muda muafaka ufike.

"Napenda kuwaomba wanaCCM wote wanaotaka Ubunge kwenye majimbo yetu mawili (Moshi Vijijini na Vunjo) wawe watulivu muda muafaka ufike,tutawapa fomu,tutawachuja kwa kura kama wanafaa,kujipitishapitisha hivi sasa ni kuleta vurugu ndani ya Chama na Jumuiya zake"alisema Masenga.

Masenga alitumia mkutano huo kuwataka baadhi ya wanachama wanaokikashifu Chama na viongozi wake baada ya kuadhibiwa kwa mujibu wa Katiba na hivyo kutishia kukihama CCM , waondoke mara moja na kujiunga upinzani kwa madai kuwa kuendelea kwao kuwa CCM ni sawa na kukumbatia Bomu.

"Wapo baadhi ya wanaCCM wameadhibiwa kwa kukiuka katiba ya Chama,sasa wana hasira wamekuwa wakikashifu Chama na baadhi ya viongozi,sasa kwa niaba ya Chama nawaomba waondoke CCM,huenda wakijiunga na vyama vya upinzani watafanya kazi yao vizuri ya kupambana na CCM,"alisema Masenga kwa kujiamini.
CHANZO: Mwananchi

12 Apr 2009

US cargo ship captain Richard Phillips has been rescued from pirates after a dramatic shootout. Mr Phillips was freed unharmed but the US military killed three Somali kidnappers who were holding him hostage on a lifeboat, according to reports. A fourth pirate is in custody.

Initial reports said the sailor jumped overboard before a gunfight broke out between his captors and US Navy Seals. US President Barack Obama gave authority to kill the pirates, and a commander acted when he concluded the pirates were about to kill the hostage, a US Navy official said.

Mr Phillips has now contacted his family, received a medical evaluation, and is resting aboard the amphibious assault ship USS Boxer. His ship the Maersk Alabama, a container carrying food aid for Somalians, was attacked far out in the Indian Ocean on Wednesday, but its 20 American crew apparently fought off the pirates and regained control.

Crew members said Mr Phillips volunteered to go with the pirates in a lifeboat in exchange for safe passage for his crew. Maersk Line chief executive John Reinhart said in a statement: "We are all absolutely thrilled to learn that Richard is safe and will be reunited with his family." The crew of the Maersk Alabama let off flares and hoisted an American flag at the news of their captain's rescue.

One crew member shouted: "We are very happy. He's a hero" at journalists amid raucous celebrations. Mr Phillips, 53, was the first American taken captive by Somali pirate gangs who have marauded in the busy Gulf of Aden and Indian Ocean shipping lanes for years.



SOURCE: ITN

11 Apr 2009

MAELEZO YA PICHA KUTOKA KATIKA GAZETI LA HABARI LEO YANASOMEKA:

Behewa la mafuta la TRL liliacha njia eneo la Kurasini, Dar es Salaam na kuanguka.Wafanyakazi wa kampuni hiyo walikutwa wakikinga mafuta hayo ili kuyahifadhi katika mapipa chini ya ulinzi mkali wa polisi. (Picha na Yusuf Badi).
NADHANI MWENZANGU PIA UKIANGALIA PICHA HIYO KWA MAKINI UTABAKI UNAJIULIZA KWAMBA HAO WAHINDI WA TRL NI WAWEKEZAJI KWELI AU VIINIMACHO?TALKING OF VIINIMACHO,YAYUMKINIKA KUJIULIZA IWAPO HAWA JAMAA HAWAJAWAROGA HAO WANAONG'ANG'ANIA KUENDELEZA MKATABA WA KIMAZINGAOMBWE NA TRL.KAMA ILIVYO DESTURI YETU YA ZIMAMOTO,TUNASUBIRI WALIKOROGE KWANZA,KISHA WAINGIE MITINI HALAFU KUNYWA TULINYWE SIE!NA HAPA NENO "KULIKOROGA" LINAMAANISHA KU-MESS UP NA MAISHA YA ABIRIA WANAOTEGEMEA USAFIRI WA RELI YA KATI.

ASEMA WACHACHE WALIOTHUBUTU WAACHIWE WAPIGE VITA UFISADI

Salim Said


MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela amesema viongozi wa chama tawala (CCM) wanaogopa kupambana na ufisadi kwa kuwa wanaopambana nao ni viongozi au wabunge wenzao na hivyo kutaka wale wachache waliothubutu kuendeleza vita hiyo waachiwe.

Mama huyo, ambaye amekuwa mmoja wa watu wenye uwezo wa kujenga hoja bungeni wakati wa kuzungumzia ufisadi, alisema anashangaa jinsi viongozi wanavyoshindwa kupambana na ufisadi kama unavyoelezwa kwenye sura ya nane ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM inayozungumzia vita dhidi ya uovu huo.

Bila ya kutoa mifano bayana, mama huyo amesema ni wabunge wachache wanaoweza kusimama kidete kutetea kipengele hicho, akiwemo yeye; na kwamba kama vita ya ufisadi itafanyiwa kazi ipasavyo, nchi yote itakuwa na utulivu na amani, vitu ambavyo alisema vinahitajiwa na kila Mtanzania.

Akizungumza katika kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachorushwa hewani na kituo cha televisheni cha Star Tv, Kilango alisema ugumu wa kipengele hicho ni kwamba, wanapambana na wabunge, viongozi na wanachama wenzao wa CCM.

"Ugumu wa sura ya nane ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM, ni kwamba unapambana na mwanachama mwenzako, mbunge na hata kiongozi mwenzako. Na hii ndio inawafanya watu wengi kushindwa, isipokuwa wachache kama mimi ambao tumethubutu," alisema Kilango.

"Unaposimama imara kutaka kufanya mabadiliko, kutetea haki na kupinga ubatili, unapaswa kutegemea mengi na mimi niliyategemea na ndio maana sipati tabu katika vita dhidi ya rushwa na ufisadi."

Kilango alisema viongozi na wananchi wa Tanzania wanapaswa kuwa wa kweli na wawazi katika kupinga rushwa kama wanavyofanya watu wa Marekani.

"Nchini Marekani mtu aliyetaka kurithi nafasi ya useneta wa Obama alitanguliza rushwa ili kuwashawishi wajumbe, jambo ambalo liliwafanya Wamarekani kusimama imara na kuzungumza ukweli kuhusu kashfa hiyo," alisema.

Kilango, ambaye alipata tuzo ya 'Mwanamke Jasiri' aliyopewa na serikali ya Marekani hivi karibuni, alisema jamii inapaswa kuwaunga mkono kwa nguvu zote wachache waliothubutu kuikemea rushwa nchini.

"Kuna watu wachache ambao walijiona wana haki ya kula mali za umma, lazima tuwanyoshee vidole na jamii ituunge mkono katika hili," alisema Kilango.

"Tunawaomba wengi wasiothubutu kusema, watuachie tulioweza... wasitubughudhi, wasitunyamazishe na wala wasiwe na nia ya kutaka kutumaliza kwa kuwa hawatafanikiwa kamwe. Sisi tutaendelea hadi awamu ijayo."

Katika kashfa nyingi za ufisadi, viongozi na wabunge wa CCM ndio wamekuwa wakituhumiwa kuhusika na miongoni mwa waliofikishwa mahakamani ni viongozi wa zamani katika serikali ya CCM, huku moto dhidi ya wabunge wa sasa ukizidi kuwaka katika kashfa za miradi mikubwa.

Miongoni mwa miradi hiyo ni ununuzi wa rada, ambao umeelezwa kuwa ulifanywa kwa kuongeza bei ili iwe juu kwa lengo la kujipatia kamisheni nzuri, mradi wa uzalishaji umeme wa dharura uliosababisha mawaziri kujiuzulu baada ya kutajwa kwenye ripoti ya kamati teule ya bunge na mradi wa uzalishaji umeme kwa kutumia makaa ya mawe wa Kiwira.

Pia kashfa nyingine iliyohusisha wanachama na viongozi wa CCM ni wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), kashfa ambayo inahusisha majina vigogo wanaohusishwa na kampuni zilizochota fedha nyingi lakini imekuwa ni vigumu kuwataja.

Kashfa hizo zimekuwa zikisababisha malumbano baina ya wanachama wa CCM.

Lakini Kilango hakutaja majina ya watu wanaojaribu kuwazuia au kuwamaliza, bali aliapa kuendelea na vita hiyo kwa kuwa hayo ni maumbile yake.

"Mimi ndivyo nilivyozaliwa na ni maumbile yangu kuzungumza ukweli. Rangi nyekundu nitaisema kuwa ni nyekundu na bluu pia, wala hakuna mtu atakayeweza kuninyamazisha ili niseme kuwa ni nyeupe, kibaiolojia siku zote naweza," alisema na kuongeza:

"Wapo wapole, waoga ambao hata chumbani kulala peke yao wanaogopa, lakini pia wako majasiri wanaothubutu."

Alisema Watanzania walishachoshwa na rushwa na walifikia hatua ya kujenga imani kuwa wabunge wa CCM wapo kwa ajili ya kuilinda serikali yao na wanaoweza kuikosoa ni wabunge wa upinzani tu.

"Sasa wananchi wa Tanzania wanapaswa kuondoa imani hiyo na sisi tupo kwa ajili ya wananchi na msimamo wangu mimi chama hakiwezi kupendwa kama hakikosolewi. Tukikosoa ndio tunakipa afya na si kukidhoofisha kama wanavyodhani baadhi ya watu," alisema.

Alifafanua kuwa, vita dhidi ya rushwa ni kama mashindano ya riadha kwani kuna wanaoanza, wanaoshindwa katikati, wanaomaliza na pia kuna wasiothubutu kuanza.

Kilango alikataa kuwataja wale wanaompiga vita, lakini alisema anaposimama bungeni kuzungumza anafahamu kuwa anazungumza na dunia, hivyo hategemei kupigiwa makofi na wote au kapingwa na wote.

"Wanaopiga makofi nafurahi, pia kuna wale ninaogusa masilahi yao waache wachukie. Lakini mimi nimeamua kuwa kiongozi, hivyo sitishwi na sitatingishwa na watu wenye mitazamo tofauti na mimi. Dhamira yangu ya kuwatumikia Watanzania ipo palepale," alisisitiza
Kilango.

CHANZO: Mwananchi

BRAVO MHESHIMIWA KILANGO,IT'S HIGH TIME SOMEONE CALLS A SPADE A SPADE.WHEN YOU MAKE ENEMIES,THAT MEANS YOU'VE STOOD UP FOR SOMETHING YOU BELIEVE IN.IT IS IN PEOPLE LIKE YOU,MHESHIMIWA KILANGO,THAT MANY OF WAZALENDO AND WALALAHOI FIND A GLIME OF HOPE FOR TANZANIA.SILENCE IS NOT AN OPTION AS IT MIGHT BE TRANSLATED BY MAFISADI AS INSTITUTIONALISING THEIR SABOTAGE OF OUR ECONOMY AND PLUNDER OF WHATEVER IS LEFT OF OUR NATURAL RESOURCES.

10 Apr 2009

NAOMBA USOME HABARI IFUATAYO KISHA TUSHIRIKIANE KUFANYA TAFAKURI KATIKA MASWALI YANAYOJITOKEZA (katika maneno yenye rangi nyekundu).
Na Salim Said

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa imekikataa kwa mara ya pili kitabu cha hesabu za mapato na matumizi ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha baada ya kubaini mapungufu, ikiwa ni pamoja na udanganyifu.

Kamati hiyo pia imewapa adhabu ya kukatwa asilimia 15 ya mishahara ya watendaji sita wa halmashauri hiyo kwa kosa la kuidanganya kamati hiyo ilipowatembelea Januari mwaka huu.

Kamati hiyo ilianza kupitia taarifa za mapato na matumizi ya serikali za mitaa kuanzia Jumatatu wiki hii na imeshapitia hesabu za halmashauri za mkoa wa Dodoma na jana ilipitia halmashauri za mkoa wa Arusha.

Awali kabla ya kukataliwa kwa kitabu hicho, mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Cyprian Oyier alionekana kushindwa kutoa maelezo ya kutosha kwa wabunge kuhusu makosa waliyofanya na mapungufu yaliyojitokeza katika kitabu chao.

Oyier alikiri mbele ya wajumbe wa kamati hiyo na wageni waalikwa kuwa waliidanganya kamati ilipoenda kuwatembelea wilayani kwao kwa kuwaeleza kuwa halmashauri ilijenga nyumba ya walimu kwa Sh30 milioni, jambo ambalo halikuwa la kweli.

Nyumba hiyo iliyogharimu zaidi ya Sh 30 milioni ilibainika kuwa imejengwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa (Tanapa) na wao kukabidhiwa funguo tu baada ya wajumbe kufanya ziara shuleni hapo.

Baada ya kukitaa kitabu hicho, wakuu wa halmashauri hiyo na waandishi, walitakiwa kutoka nje kwa muda, ili kuwapa nafasi wabunge kupanga adhabu. Baada ya dakika 20, kaimu mwenyekiti wa kamati hiyo, Samuel Chitalilo alisema kuidanganya kamati ni kosa la jinai, lakini kamati imewaonea huruma.

Alisema wangeweza kuwataka kurudi tena mbele ya kamati, lakini wanawasamehe kwa kuwakata asilimia 15 mishahara yao ya mwezi wa tano mwaka huu. “Tunawarudisha mkaandae tena kitabu chenu... hiki tunakikataa kwa mara ya pili. Angalieni wenzenu wa Same walivyoandaa vizuri ili mkija tena tusije kukikataa tena,” alisema Chitalilo na kuongeza:

Mmeidanganya kamati na mmekiri kosa, hili ni kosa la jinai, lakini kamati imewaonea huruma kwa kuwapa adhabu ya kujifunza na ili iwe fundisho kwa wengine”.

“Mkurugenzi wa halmashauri, mhandisi, ofisa mipango, mkaguzi wa ndani, mweka hazina na ofisa elimu aliyekuwapo wakati huo tutawakata asilimia 15 ya mishahara yenu ya Mei.”

Naye mbunge wa Kinondoni na mjumbe wa kamati hiyo, Idd Azzan alisema halmashauri hiyo ilitoa taarifa za uongo kwa kamati na kwamba walipokwenda kuitembelea shule hiyo walipewa taarifa tofauti kutoka kwa mkuu wa shule hiyo.

Alifafanua kwamba wanatoa adhabu hiyo ili iwe fundisho kwa halmashauri zinazotoa taarifa za uongo. “Adhabu hii tunataka iwe fundisho kwa wengine, kwa kuwa fedha za serikali hazitumiki ipasavyo katika ngazi za halmashauri, zinatumika kwa safari na posho za viongozi jambo ambalo ni kinyume na malengo ya fedha hizo,” alisema Azzan.

Mkurugenzi wa halmashauri hiyo alikataa kuzungumza na Mwananchi baada ya kupewa adhabu hiyo, huku mwenyekiti wa halmashauri hiyo, David Pelo akisema kuwa hiyo ni bahati mbaya na hakuna aliyekusudia kutoa taarifa za uongo.

“Tutajitahidi kufuata maelekezo yenu, tunawashukuru kwa kutoturudisha tena katika kamati kwa kuwa fedha za halmashauri zingetumika pia kwa usafiri,” alisema Pelo.

Haya ni ya kawaida na yanaweza kutokea kwa halmashauri yoyote, pia tutarudia kuandika kitabu kama tulivyoelekezwa na tutaenda kwa wenzetu wa Same kwa kuwa wao wamefanya vizuri.”

Kamati mbalimbali za bunge zinaendelea na vikao vyake kwenye ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatatu wiki hii.

CHANZO: Mwananchi

TAFAKURI:

KITABU CHA MAHESABU KILIPOKUTWA NA MAKOSA MARA YA KWANZA,WAHESHIMIWA WABUNGE WAKAAMUA KUKITAA ILI KIFANYIWE MAREKEBISHO.KILIPOLETWA MARA YA PILI,WAHUSIKA WAKAAMUA LIWALO NA LIWE,WAKAKIRI KUWA WALIDANGANYA.HIVI TUJIULIZE,WAHESHIMIWA WABUNGE WALIPOTAKA MAREKEBISHO HAWAKUWA WANAKARIBISHA USANII KUTOKA KWA WATENDAJI HAO WA HALMASHAURI?HAIHITAJI ELIMU YOYOTE KUTAMBUA KWAMBA MAHESABU YA TAASISI YA UMMA YANAPOKUWA NA KASORO INAASHIRIA UFISADI WA NAMNA FLANI,HIVYO KUWATAKA WAHUSIKA WAREKEBISHE NI MITHILI YA KUWAPA MUDA WA KUFUNIKA UFISADI HUO.

JAPO NAAFIKIANA NA MANTIKI YA KUWAADHIBU WATENDAJI WASIOTEKELEZA MAJUKUMU YAO IPASAVYO,NAPATWA NA WASIWASI NA NAMNA KAMATI HIYO YA BUNGE ILIVYOJIPA MAJUKUMU YA MAHAKAMA NA KUAMUA KUKATA ASILIMIA 15 YA MISHAHARA YA WATENDAJI HUSIKA.HUU NI UKIUKWAJI WA UTAWALA WA SHERIA KWA VILE KAMA ILIBAINIKA KUWAPO KWA UBADHIRIFU WA FEDHA ZA UMAA,MAHALA MWAFAKA PA KUSHUGULIKIA SUALA HILO NI POLISI NA MAHAKAMA.

NA JINGINE LA KUJIULIZA NI NAMNA MAKATO HAYO YATAVYOWEZA KUFIDIA FEDHA ZILIZOIBIWA NA USIMAMIZI WA KUHAKIKISHA KUWA MAKATO HAYO HAYAISHII MFUKONI MWA MAFISADI WENGINE.

MHESHIMIWA CHITALILO (rejea HAPA na HAPA) ANATAMKA BAYANA KWAMBA WATENDAJI HAO WAMETENDA KOSA LA JINAI,LAKINI CHA KUSHANGAZA ANADAI ETI KAMATI IMEWASAMEHE NA BADALA YAKE KUWAAMURU WAKWATWE ASILIMIA HIZO 15 ZA MISHAHARA YAO.HIVI INGEKUWA NI FEDHA ZAKE BINAFSI NDIO ZIMEIBIWA ANGEWEZA KUTOA MAAMUZI YA KUSTAAJABISHA NAMNA HIYO?

HIVI KWA UTARATIBU HUU WA KULEA UZEMBE,UBADHIRIFU,UJAMBAZI NA UFISADI KUNA UWEZEKANO WOWOTE WA KUFIKIA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?

TUTAFAKARI!


BLOGU HII INAKUTAKIA WEWE MSOMAJI MPENDWA IJUMAA KUU NJEMA.KAMA AMBAVYO BWANA WETU YESU KRISTO ALIVYOWEZA KUVUMILIA MATESO NA HATIMAYE KIFO MSALABANI ILI KUTOKOMBOA SISI WANADAMU,KILA MMOJA WETU KATIKA NAFASI YAKE ANAWEZA KUJINYIMA KUWASAIDIA WALE WANAOHITAJI MSAADA WETU KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE.

My Lord,
your son has suffered so much, shed so much blood.
I was born with so many faults
and my nature is so full of weakness,
and yet your son Jesus has died on the cross.
For me.
I know your grace has the power
to cleanse me of my many sins
and to make me more like your Son.
Thank you for your goodness and love for me.
I ask you, Father, to watch over me - always.

May the Lord bless us,
protect us from all evil
and bring us to everlasting life.
Amen.



Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.