12 Apr 2011



Hatimaye habari za "tiba ya miujiza ya Babu wa Loliondo" zimefunikwa kidogo,at least kwa muda,baada ya chama tawala CCM kufanya mabadiliko yanayoitwa makubwa katika safu za uongozi wake.Katika mabadiliko hayo,kamati kuu ya chama hicho ililazimika kujiuzulu na kufuatiwa na uteuzi wa wajumbe wapya.

Tukio hilo linaonekana kuwagusa Watanzania wengi na tayari baadhi yao wameanza kumpongeza Mwenyekiti wa chama hicho,Rais Jakaya Kikwete,kwa kile kinachotajwa kama "maamuzi magumu na mazito".

Hebu nikuulize msomaji mpendwa.Hivi ukiamua kuanzisha urafiki na jambazi unategemea hatima yake itakuwa nini?Na pindi ukitambua kuwa urafiki huo unakupeleka kubaya,na hatimaye kuamua kuachana na jambazi huyo,unastahili sifa gani?

Mfano huo unamhusu Kikwete na CCM kwa ujumla.Wakati baadhi yetu wanapiga vigeregere vya pongezi kutokana na "ujasiri wa Kikwete" kinachopuuzwa ni ukweli kuwa ni Kikwete huyuhuyo aliyewawezesha watu kama Edward Liowassa na Rostam Aziz kufikia hapo walipo sasa.

Baada ya Mwalimu Julius Nyerere "kumzuia" kuongoza Tanzania mwaka 1995,Kikwete alijenga uswahiba na Lowassa na Rostam kwa minajili ya kuchukua urais mwaka 2005 baada ya Rais Benjamin Mkapa kumaliza miaka yake 10.Mbinu chafu zilizotumiwa na wanasiasa hao watatu zinafahamika kwa takriban kila mmoja wetu.Utatu huo usio mtakatifu uliounda genge hatari linalojulikana kama "Wanamtandao".Genge hilo lilifanya kila mbinu kuhakikisha kuwa lazima Kikwete anakamata urais mwaka 2005.Na hatimaye walifanikiwa baada ya kujipenyeza katika kila nyanja ya jamii ya Tanzania.

Baada ya kuukwaa urais,Kikwete aliwaruhusu washirika wake kufanya mambo wapendavyo kana kwamba Tanzania ni kampuni ya mtu binafsi.Sijui ni kujisahau au kuvimbiwa,haikuchukua muda kwa maswahiba hao wa Kikwete kuanza kufanya mambo "ndivyo sivyo".Kufupisha stori,skandali kama za Richmond,EPA,nk kwa kiwango kikubwa ni matokeo ya moja kwa moja ya harakati za wanasiasa hawa.

Sasa,kilichotokea Dodoma na kupachikwa jina "kujivua magamba" ni sawa kabisa na mfano niliotoa hapo awali wa mtu kujenga urafiki na jambazi.Baada ya Kikwete kumaizi kuwa asipokuwa makini anaweza kujikuta akifiwa na CCM mikononi mwake,amelazimika kujitenga na maswahiba waliomsaidia kuukwaa urais.

Kwanini basi naamini kuwa Kikwete hastahili pongezi zozote kutokana na uamuzi wa kuwatosa maswahiba zake?Kwanza,hata huko "kuwatosa" kwenyewe kumefanyika katika mazingira ya uoga.Inaelezwa kuwa matakwa ya waliohitaji mageuzi ndani ya chama hicho yalikuwa kuwatimua kabisa Lowassa,Rostam na Chenge.Lakini kinyume chake,Kikwete akaamua kuvunja kamati kuu nzima.Usisahau msemo wa Kiswahili kuwa kilio cha wengi ni harusi.

Je ni kweli kwamba kamati kuu nzima ilikuwa na mapungufu ya kulazimisha kuivunja yote?Je kamati kuu nzima ilikuwa ya kifisadi kwa vile tu miongoni mwao kulikuwa na watuhumiwa wa ufisadi?

Ukweli unabaki kwamba Kikwete hakuweza kuwa na jeuri ya kuwatosa Lowassa,Rostam na Chenge kama mtu mmoja mmoja na badala yake akaamua kuchukua kile wanachoita Waingereza "blanket decision" ambapo waliomo na wasiomo wakajikuta wanabwagwa.

Tukiweka hilo kando,kuna hoja ya pili ambayo ni nafasi ya waliotoswa kuendeleza kile kile kilichopelekea kuondolewa kwenye kamati kuu in the first place.Lowassa,Rostam na Chenge wanaendelea kubaki wabunge wa CCM,huku Lowasssa akiendelea pia kuongoza kamati influential ya Ulinzi na Usalama.Je kwa nafasi walizobaki nazo wanasiasa hao hawawezi kujitutumua kuendeleza harakati zao?Muda utatueleza.

Lakini pia tunapaswa kumwangalia Kikwete sio tu kama Mwenyekiti wa CCM bali pia Rais wa nchi.Kama tukiamini kuwa ujasiri wake ndio uliopelekea maamuzi hayo "magumu" ndani ya chama chake,kwanini basi huko serikalini inamwia vigumu kuondoa rundo la uozo linalohatarisha future ya nchi yetu?

Na ieleweke kwamba wakati chama kinaendeshwa kisiasa zaidi,serikali inaendeshwa kwa kuzingatia sheria na taratibu zilizopo,au zinazoweza kutengenezwa kwa makusudi maalum.

Kikwete huyuhuyu ndiye aliyetamka mara baada ya kupata urais mwaka 2005 kuwa anawafahamu wala rushwa kwa majina,na kwamba anawapa muda wa kujirekebisha.Sote tunafahamu kuwa wala rushwa sio tu hawajajirekebisha bali pia wamepuuza indefinite deadline hiyo ya Kikwete.

Sijui ni usahaulifu au hatupo makini,baadhi ya wenzetu wameshasahau kuwa katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita hivi majuzi tu Kikwete huyuhuyu alisimama majukwaani kuwapigia debe Lowassa,Rostam na Chenge huku akiwamwagia sifa lukuki.

Kama haitoshi,Kikwete alimudu kuwatetea "live" alipoongea na waandishi wa habari huku akisisitiza kuwa wanasiasa hao hawajatiwa hatiani na kinachodaiwa dhidi yao ni tuhuma tu.Sasa kama huo ndio ukweli,how come basi safari hii kawatosa ilhali hawajawahi kutiwa hatiani?

Na watatiwaje hatiani katika mazingira ya sasa ambapo sheria zipo tu kwa ajili ya kuwabana wamachinga,wezi wa kuku,walalahoi wanaoshindwa kumudu kulipa kodi kutokana na umasikini wao na Watanzania wengine wa kawaida,ilhali vigogo wakiachwa wafanye wapendavyo?

Hivi kweli tumesahau mzaha wa hukumu dhidi ya Chenge katika kesi yake ya kuua watu wawili kwa kuwagonga na gari ambalo bima yake ilikuwa imesha-expire?Kuna Watanzania wangapi wanaosota jela sio kwa vile wameshatiwa hatiani bali hawana uwezo wa kuwahonga waendesha mashtaka na mahakimu?

Don't get me wrong kuwa labda namchukia Kikwete.Hapana.Sina tatizo naye kama Jakaya Kikwete bali tatizo langu lipo kwenye udhaifu wa uongozi wake kama Rais Jakaya Kikwete.

Tusiwe wepesi wa kuamini kila jambo linapotokea hata kabla ya kupima ufanisi wake.Kadhalika,tusiwe wepesi wa kupuuza historia,kwa mfano kusahau kuwa Kikwete huyu huyu alituahidi maisha bora kwa kila Mtanzania na matokeo yake imeishia kuwa maisha bora kwa kila fisadi.

Unaweza kunihoji kwanini nawasihi kuwa na subira kabla ya kukimbilia kupiga vigeregere vya furaha na pongezi kwa maamuzi ya "kijasiri" ya Kikwete,lakini wakati huohuo mie pia nakimbilia kumwaga lawama na kusambaza "sumu ya kutotarajia mema" badala ya kusubiri matokeo.

Jibu langu ni jepesi.Historia inamhukumu Kikwete.Amekuwa mahiri zaidi wa kutoa ahadi lakini mwepesi sana wa kusahau ahadi zake.Historia pia inatukumbusha kuwa hata Lowassa alipojiuzulu kwa kuhusika kwake kwenye skandali ya Richmond Kikwete alimpongeza na kudai kilichomkumba swahiba wake huyo ni ajali tu ya kisiasa.Na Waziri Mkuu Mizengo Pinda akapigilia msumari kwa kudai kuwa sikum moja Lowassa anaweza kurejea kwenye uongozi serikalini.Kwanini basi sasa tuamini kuwa kutoswa kwa wanasiasa hao ndio mwisho wa yote wanayolifanyia taifa hili?

Mwisho,nadhani tumezowea mno kuona madudu kiasi kwamba hata kiongozi anapotimiza wajibu wake tunalazimika kumpongeza.Kwanini hatujipongezi kwa kunawa uso au kupiga mswaki kila tunapoamka?Yah,hatujipongezi kwa vile vitendo hivyo ni wajibu wetu wa kila siku.

Kwanini hatujipongezi kwa kwenda makazini au mashuleni?Alichofanya Kikwete sio ujasiri bali kimsingi ni wajibu wake kama kiongozi.Na kwa hakika hakipaswi kuishia huko CCM pekee,chama chenye wanachama pungufu ya watu milioni tano wakati nchi yetu ina watu takriban milioni 50,bali kama yupo serious kweli na anajua kwanini yupo Ikulu,basi ni lazima aanze kusafisha uozo uliopo kila kona.

Kuna tofauti kubwa kati ya jambo jema linalostahili pongezi na utekelezaji wa wajibu.Alichofanya Kikwete ni the latter:ametekeleza wajibu wake kama kiongozi.Jambo jema linaloweza kutufanya tummwagie rundo la pongezi ni pindi atakapoamka usingizini na kutambua nchi inateketea kwa ufisadi huku virusi vya udini vikizidi kuzagaa katika jamii yetu kutokana na jitihada za matapeli wa kisiasa wanaowatumia wazembe wanapoouza vipaumbele vyao (kwa mfano wanaopotosha kuwa upinzani dhidi ya mchakato wa mabadiliko ya katiba unatokana na chuki ya Wakristo kwa Muislam Kikwete.This is way too low,na tusipokuwa makini tutaanza kutetea vibaka,majambazi,makahaba,mafuska,wabakaji,nk kwa vile tu wanatoka dhehebu flani).

10 Apr 2011




Habari zilizopatikana kutoka Dodoma kwenye kikao cha CCM chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete zinaeleza kuwa baadhi ya viongozi waadamizi wa chama hicho wamevuliwa madaraka.Kwa mujibu wa vyanzo vya mtandaoni,waliokumbwa na panga la Kikwete ni pamoja na maswahiba wake wakuu kisiasa,Edward Lowassa na Rostam Aziz.Wengine wanaotajwa kwa mujibu wa habari hizo ni "Mzee wa Vijisenti" Andrew Chenge na "mgosi" Yusuph Makamba.

Ningependa kuichambua habari hii kwa kirefu lakini nasubiri kwanza tamko rasmi la CCM.Hata hivyo,tukiamini kuwa habari hizo ni sahihi,kuna uwezekano ya yafuatayo kutokea:

Kwanza,ni muhimu kufahamu watu kama Lowassa na Rostam wametoka wapi.Hawa walikuwa vioungo muhimu kwa ushindi wa Kikwete mwaka 2005.Wanaowajua vema wanawa-describe kwa mlolongo huu:Lowassa-mwanasiasa haswa (simaanishi kuwa ni mwanasiasa mwadilifu),Rostam-bwana fedha,na Kikwete-mtawala.Wajuzi wa siasa chafu wanaeleza kuwa ushirikiano huo wa watu hawa watatu ulitumia kila aina ya mbinu kuhakikisha Kikwete anaingia Ikulu hapo 2005.Na ikawa hivyo,baada ya viongozi hao wakuu wa "Mtandao" kufanikiwa kupenya takriban kila kundi la jamii;kutoka viongozi wa dini hadi wakuu wa taasisi za dola,kutoka wanahabari hadi wasanii.

Pasipo kuuma maneno,ushirika huu usio mtakatika wa Lowassa,Rostam na Kikwete ni mithili ya joka lenye vichwa vitatu.Sasa iwapo ni kweli kuwa Kikwete kaamua kubaki kichwa pekee kwenye joka hilo basi yayumkinika kubashiri kuwa uhai wa joka hilo nao uko matatani.

Pili,kwa kufuata mlolongo wa nilichoandika hapo juu,inaelezwa kuwa Lowassa ndiye aliyefanya kazi kubwa zaidi ya kutengeneza serikali ya Kikwete.Ikumbukwe kuwa japo wote wawili walishashika nyadhifa mbalimbali serikali kabla ya 2005,Lowassa alikuwa amejijenga zaidi kiuchumi na kisiasa ukilinganisha na Kikwete.Kadhalika-na hapa nafafanua kwanini niliandika hapo juu kuwa Lowassa ni mwanasiasa haswa(japo simaanishi ni mwanasiasa mwadilifu)-ni ukweli kuwa mwanasiasa huyo ana ushawishi wa kisiasa zaidi ya Kikwete.Japo wote wawili ni wapenda umaarufu (populists),wakati Kikwete amekuwa akitumia zaidi turufu ya "tabasamu la muda wote" na "kuwa karibu na watu",Lowassa amekwenda mbali zaidi na kujifanya anayafahamu matatizo ya wananchi na kuyatolea ufumbuzi mapema (ndio maana licha ya kulazimika kujiuzulu kutokana na ufisadi wa Richmond bado kuna wanaomwona kama mwajibikaji).Kwa kifupi,Lowassa ni mwepesi wa kuchukua maamuzi (hususan yale yatayopelekea yeye kuonekana kama "Sokoine flani hivi"),Kikwete ni mzito wa maamuzi (huku walio karibu naye wakidai tatizo sio uzito wa maamuzi bali hajui vipaumbele vyake).

Inaaminika kuwa Lowassa ana ufuasi mkubwa ndani ya CCM na serikalini kwa ujumla.Kwa mujibu wa wajuzi wa mambo,faida aliyonayo Lowassa ndani ya chama hicho ni uwezo wa kifedha,ambapo inaelezwa kwamba amewasaidia viongozi mbalimbali wa CCM kiuchumi na kuwawezesha kuwepo walipo leo.Kadhalika,akiutumia vema urafiki wake na Kikwete, na nafasi yake kama Waziri Mkuu kabla ya skandali ya Richmond,aliweza kutengeneza "mtandao ndani ya mtandao",kwa maana ya kuwaweka madarakani watu wenye utiifu kwake zaidi kuliko CCM au Kikwete.Inaelezwa wateuliwa wengi kwenye nafasi za kiserikali na kichama ngazi za mikoa na wilaya ni wafuasi wa Lowassa,kwa mfano ma-RC na ma-DC,na wenyeviti na makatibu wa CCM mikoani na wilayani.

Swali la muhimu ni je,kuondoka kwa Lowassa katika wadhifa mmoja kutazuwia nguvu na ushawishi wake kwa wafuasi wake,wengi wao wakiwa ni watu walio madarakani kutokana na fadhila za mwanasiasa huyo?

La tatu ni ukweli kuwa Lowassa anataka urais hapo 2015.Na hilo halikuanza jana au juzi bali wajuzi wa mambo wanaeleza kuwa kulikuwa na makubaliano rasmi kati ya Kikwete na Lowassa kuwa wangepokezana uongozi maara baada ya Kikwete kumaliza miaka yake 10.Japo suala la Richmond lilizua mfarakano wa aina flani kati ya wawili hao lakini ukweli unabaki kuwa "heshima" aliyotoa Kikwete kwa Lowassa kwa kutomtimua bali kusubiri ajiuzulu mwenyewe iliwaacha wawili hao wakiendelea na urafiki wao japo si kama ilivyokuwa mwanzoni.

Haifahamiki kama Kikwete bado anaheshimu "makubaliano" yake na Lowassa kuhusu "kupokezana kijiti cha urais hapo 2015" lakini hiyo haimzuwii Lowassa kuamini kuwa "piga au" lazima achukue nafasi hiyo.Of course,kuna majina kama Bernard Membe (mtu anayetajwa kuuweka uhusiano na Lowassa katika wakati mgumu kwa vile yeye na Lowassa "picha hazipandi" ilhali yeye na Kikwete ni "damu damu",na Kikwete na Lowassa ndio hivyo tena "hawakufahamiana mtaani" kama ilivyowahi kutamkwa hadharani ) lakini turufu ya Lowassa haitegemei sana baraka za Kikwete bali ushawishi na nguvu yake ndani ya CCM,sambamba na uwezo wake mkubwa wa kifedha (alizitoa wapi....waulize TAKUKURU).Na ana faida nyingine kubwa ambayo ni uswahiba wake na Rostam,mfanyabiashara mwenye asili ya kiasia anayetajwa kuwa na nguvu zaidi ya Kikwete-kutokana na utajiri wake unaoweza kumfanya kuwa mtu tajiri kuliko wote Tanzania.Kadhalika,inaelezwa kuwa Rostam ni mjuzi wa mbinu chafu hususan kwa kutumia fedha zake na "njaa" za wanaohitaji chochote kutoka kwake.

Jingine,ambalo linaweza kuwa si la msingi sana japo lina umuhimu wa aina flani ni ukweli kwamba Lowassa na Rostam wana siri muhimu kumhusu Kikwete na urais wake kwa ujumla.Njia pekee kuwadhibiti wawili hao kwa kutumia Idara ya Usalama wa Taifa.Katika siasa zetu za "ovyo ovyo" ni rahisi tu kwa rais kuiamuru taasisi hiyo imfanyie kazi zake binafsi badala ya zile za kikatiba.Hilo linawezekana zaidi kutokana na nafasi ya Rais kama consumer wa taarifa zote za kishushushu.

Nisingependa kutabiri matokeo kabla ya taarifa kamili ya CCM lakini tukiamini habari zilizopo na ikathibitika kuwa ni kweli basi nachobashiri ni mwanzo wa mwisho wa chama hicho tawala.Naomba unielewe vizuri: tatizo la msingi sio kutimuliwa kwa Lowassa na Rostam bali ukweli kuwa USHIRIKA WA WACHAWI HAUDUMU.Sambamba na hilo ni ukweli mwingine kuwa JOKA LENYE VICHWA VITATU HALIWEZI KUWA HAI MUDA MREFU PINDI VICHWA VIWILI VIKIKATWA.

Lakini la muhimu kuliko yote ni manufaa kwa Watanzania kutokana na mabadiliko hayo ndani ya CCM.Kwa kifupi,ukiacha vichwa vikubwa vya habari kwenye magazeti yetu,mabadiliko hayo hayana manufaa yoyote kwa masikini wasio na hakika ya mlo wao wa kesho,wanafunzi wanaokaa sakafuni kwa uhaba wa madawati,akina mama wanaoletewa bajaj za kuwawahisha hospitali wakiwa wajawazito japo wabunge wanapewa mashangingi ya uheshimiwa,nk nk nk.Wa kuondoka na CCM kama chama kilichopo madarakani.Wanapoondoana ndani kwa ndani haimsaidii Mtanzania wa kawaida.

9 Apr 2011

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikodolea macho ambulance ya bajaji.Labda macho yangu tu lakini naona kama Pinda hana hakika kama tupo karne ya 21 au tunarejea Zama za Mawe!
Na mwenye dhamana ya afya ya Watanzania kwa sasa ni Babu wa Loliondo.

HII NDIO TANZANIA ZAIDI YA UNAVYOIJUA




Chelsea striker tells Stuart James he has more than football on his mind – his father is caught up in the Ivory Coast conflict

Salomon Kalou has a huge weight on his mind and it has nothing to do with Chelsea's Champions League defeat against Manchester United in midweek. The prospect of finishing the season at Stamford Bridge without a trophy is hard to contemplate but it pales into insignificance compared with the heartache Kalou feels when he turns his thoughts to his family and friends caught up in the conflict in the Ivory Coast.

The bitter and bloody fallout from last November's presidential elections has plunged the country where Kalou spent the first 17 years of his life back into civil war. Thousands have been killed and the harrowing images of the street battles in Abidjan, where his father, Antoine, and other members of his extended family live, together with the stories of food and water shortages in what was once West Africa's most prosperous country, plague Kalou's conscience.

"It's very hard to go on to the pitch and say I'm not thinking about people dying every day, I'm not thinking about my friends not eating, my dad not getting help," Kalou says. "To be honest, I worry every day. I am thinking more about that than anything else. Any chance I have to go on the phone or to go on the news and check I do, because that's my main priority. I need to make sure my family are safe.

"I got my mum and five sisters out four days before it started. When we played against Benin in Ghana last month with Ivory Coast [in an African Cup of Nations qualifier moved to a neutral venue because of the violence], I got them to come and watch the game and from there they went to Togo. They can stay there until the end of the situation. My dad was going to come as well but the war started on the day he was going to come."

Kalou acknowledges he is in a fortunate position to be able to afford sanctuary for his mother and sisters in Togo for as long as they need it, but he feels "helpless" in relation to his father's predicament. The problems in Abidjan mean that, at the time of this interview, which takes place at his home in Surrey on Thursday evening, Kalou has gone three days without speaking to his father. He is desperate to hear news of a peaceful resolution.

"I don't want to take any sides and I don't want to get involved in the politics of the Ivory Coast because politics is for politicians, but it hurts me to see my friends, my brothers, killing each other," he says. "Some of my best friends are from the north, I'm from the west, I have friends from the south – I have a lot of Ivorian friends. Ivorians don't have problems with Ivorians. Politics are dividing people. But is that a reason for people to kill? Why not stop that now and talk.

People from outside should help to bring peace. Bring food and water to people. That's what I call worrying about the civilians. Then I can have respect for that and say those people really care. If your priority is to say one side loses and one side wins, then you are not stopping anything. They will keep fighting and, in the end, when everyone is gone, what is left for those people? Those kids who have seen the war and people dying, how many years is it going to take for them to get over it?"

Although Kalou admits it is impossible to erase those questions from his mind, the football pitch at least provides a place to try to escape. His only wish is that he spent much more time immersing himself in playing, rather than watching from the substitutes' bench, which was again the case on Wednesday night, when Chelsea lost 1-0 to United and Kalou was forced to endure the familiar sight of the strikers picked ahead of him fluffing their lines.

It is a frustrating situation, especially as this season Kalou has by far the best goals-to-minutes ratio in the Premier League of the four Chelsea forwards and is second only to Nicolas Anelka in all competitions. "That speaks for itself," Kalou says as he runs his eyes over the figures. "I think a player can be great if you have the opportunity to play every week and show what you can do. If you take a player like [Lionel] Messi and you don't play him, you won't see how good he is.

"All along my time at Chelsea there is always a big name playing and that makes it difficult for the manager to put me in the team. And I understand that, because coming in as a young player in a big club, you have to fight your way through. But I have been here for five years, scored over 50 goals for the club and there are some big players who have been here who haven't done that. But I think the fans appreciate my record."

Kalou reels off the names of Hernán Crespo, Andriy Shevchenko, Mateja Kezman and Claudio Pizarro to illustrate his point. It is tempting to wonder whether the much-maligned Fernando Torres will be next on the list, although Kalou insists he is pleased the Spaniard signed. "The arrival of Torres is a benefit to me because now I get to play my real position, behind the striker – that's where I was playing before I joined Chelsea. I played with Torres against Manchester City and I thought it was really good. We had very good movement and created chances."

Chelsea triumphed 2-0 that day, although it was the only match Kalou has started in the last seven, raising the obvious question about what he can do to change things. "I think I can talk to the club and see what my position is because it's frustrating to not get involved knowing that you're playing better than others," the former Feyenoord striker says. "I did speak to Carlo Ancelotti. He is an understanding man. He knows what I feel as a player because he played before."

Will it get to the stage where he thinks he has to go to a club where he will be the main forward? "Of course. I think about it all the time," Kalou says. "That's what my goal is [to be the first choice]. If you look at those statistics, if I play double the games, I'm sure I can do better than that. I think people know and I think the club know – they never let me go or try to sell me. I believe that my time is coming at Chelsea, and if it's not at Chelsea it will be at another team."

Yet Kalou is such an affable, laid-back character that it is difficult to imagine him making demands or creating a scene when overlooked. "If I'm not happy I'm not playing, I don't really show my emotions," the 25-year-old admits. "Sometimes, maybe I should show more because it's good for the manager to know that the player is pissed off not to play. I'm relaxed and easy-going and people think that whatever he gets to play he will be happy. But that's not the case sometimes."

For Kalou, though, it is about "showing respect" for his team-mates when he is left out and supporting them, which helps to explain why he is so well liked at Chelsea at all levels. He smiles knowingly when it is suggested he is popular with Roman Abramovich, the club's owner, and the rest of the board.

"They know that I never complain, never make trouble and never try to bring the club's image down. They have the belief that most of the players who will complain will be doing crazy stuff in training and not training well and that's not the case with me, so I think they respect that and they also have respect for the fact that, even though I am not playing, I can have better statistics than the player who does."

One statistic Kalou would prefer not to have to his name, however, is the club record he broke last Saturday at Stoke, when he made his 94th substitute appearance for Chelsea. "It's like getting a plastic medal. It's kind of like, you've done good to be a sub. That's not what I want," he says, shaking his head. "I want to have a real impact as an important player for Chelsea because I know I have the ability to do that.

"The only thing is to be playing regularly and have the confidence and rhythm of those games. Then you can show what you can do. If you can play 20 minutes and change a game, you can change a game in 90 minutes."

The evidence of one of his more recent contributions from the bench can be found in his lounge, where the man-of-the-match champagne from the Blackpool game last month, when he replaced Didier Drogba to create two Chelsea goals in a 3-1 victory, sits next to the signed ball he took home after scoring a hat-trick against Stoke City 12 months ago. One of Usain Bolt's running shoes, a picture of Diego Maradona in his prime and a signed Muhammad Ali boxing glove complete the sporting backdrop.

Kalou gives a guided tour of the rest of the house, which is decorated with shirts from some of the world's greatest players, as an interview that lasts the length of time he would like to spend on the pitch against Wigan on Saturday draws to a close. One conversation, though, is difficult to leave behind. "We need to stop the war," he says. "What I worry about is my family to not get hurt and my country to not get destroyed. My concern is not who is going to govern. My main concern is peace."

SOURCE:The Guardian

7 Apr 2011



This panel explored the joint case on litigating reparations initiatives for the Herero Genocide in German South-West Africa (1904-08) and the Mau Mau Emergency in British Kenya (1952-1960). Both historical events can be described as two of the most atrocious chapters in the book of European colonialism in Africa and the groundbreaking scholarship of the panel's speakers has been instrumental in pursuing the respective legal actions against the Federal Republic of Germany and the United Kingdom.

David Anderson on the Mau Mau case

For many years in Kenya Mau Mau was deemed best forgotten. Reparations movements were suppressed under the Kenyatta government. However, in the 1990s a number of reparation organisations were formed. Originally these were local in focus – largely being claims for property stolen whilst suspected Mau Mau members were imprisoned. The Kenyatta government was not keen on opening up this potentially divisive subject, and so several thousand claim cases were recorded but never brought to court. In effect, the government helped suppress the national memory of Mau Mau.

In the 1990s the Kenya Human Rights Commission (KHRC) was formed, following a global shift towards such rights and entitlements. The KHRC was however initially reluctant to take on seemingly ‘unwinnable’ Mau Mau case. Difficult questions existed as to which courts would hear cases of claims against the British government and under which national jurisdiction would they occur?

The KHRC did however take up the cases, and it is important to note that the momentum towards litigation by Mau Mau claimants pre-dated the publishing of books on the subject – notably David Anderson’s Histories of the hanged and Caroline Elkins’ Britain’s Gulag – which both came out in 2005. These publications however provided the claimants (and their lawyers) with greater ammunition for their cases. The Kenyan government has been a little wary about the implications of successful claims, as it is not keen to arbitrate on who should benefit from reparations. The Mau Mau claim is also seen as being nationally divisive, as Mau Mau is not considered a national movement but rather an ethnic one. Under the present coalition government, no one in Kenya wants to tackle such potentially divisive subjects.

David Anderson’s role in the current Mau Mau case (to go to court in London on 4th April) is that of an expert witness. As such, he provided historical background from his own research.

Anderson stated that at the atrocities that took place by – or on behalf of – the British government, between 1952 and 60, were not a secret. They were widely reported on by the British press, but no one felt the need to do anything.

They Kenya National Archive has very good records from the Mau Mau period. However, Anderson made the point that things are missing. Areas in which documents are missing are easily identified by any historian, as it is obvious when certain categories of documents have been removed. For example, documents about detentions centres, screening teams (set up to conduct interrogations) and collective punishments (administered to entire villages) are missing, when it is known that records of all such actions were taken.

The case currently under preparation is focussed on 5 claimants who claim torture in a variety of different prison camps. Lawyers are charged with proving British government culpability and liability for the torture.

Whilst culpability may be proven, liability is more problematic. One argument which seeks to counter liability claim is that, upon independence, Kenya’s assumption of its national sovereignty was an implicit acceptance of liability for any outstanding claims against its national administration. This logic may mean that the British government accepts culpability for torture (from the time of its sovereignty over Kenya) but is not liable for it.

Anderson stated that he has tried to persuade the British government that an out of court settlement would be the best solution. This would ideally also include a public acknowledgement of wrongdoing, and even an apology. This is what happened with the German government and the case of the Herero. An apology and a ‘gift’ – to be used for developmental purposes – was provided. It was stated that some progress was made on this under the last government.

In his statement to the courts for the upcoming case Anderson cited the existence of missing documents. He stated that these documents may have been removed by the exiting British administration in 1963. Evidence was provided from documents Anderson has seen which detail certain files that were ‘retrieved’ to London upon independence. These removals were of a significant scale – there are references to ‘3 crates of documents’ having been ‘retrieved.’ These documents have now however been found, and were released to both defence and prosecution. An open question was asked as to whether this was a ‘cock up or conspiracy.’

Whilst the missing documents in the Kenya case have been found, Anderson questioned whether in other instances – Malaya, Cyprus, Nigeria (to name just 3 possible examples) – there might also be missing documents, ‘retrieved’ to London, with much to tell us about the actions of colonial administrations.

The Mau Mau claim is not the only claim the British government may have to worry about. Claims mau arise from, for example Malaya or Palestine, and as such there is a fear that a successful claim could set a precedent for reparations claims. However, the point was made that the ongoing Mau Mau case does affect relations between Britain and the Kenyan government. Anderson strongly advocates that it would be better for all involved to settle out of court.

Robert Murtfeld on the Herero case

Robert Murtfield is a PhD student focussed on international law – with a focus on the case of the Herero genocide in what is now Namibia. He has been working on the Herero case for 5 years.

In 2004 the Herero recognised the centenary of the genocide carried out against them by the German army in South West Africa. This centenary was also made notable by the delivering of an apology by the German Minister for Economic Development and Cooperation. Murtfield however stated that this apology never received German parliamentary approval, and was framed in a development context. In essence, it was not enough, and Murtfield now seeks to revitalise the Herero debate 10 years after the 2004 apology.

The case of the Herero exemplifies a very violent instance of colonialism. German South West Africa (modern day Namibia) was the primary German settler colony. The Herero – who were the original occupiers of this land – felt threatened by the settler presence, and started a war against the settlers, killing 120 – 130 of them. The imminent loss of control of its colony engendered a military response from the German government. The Herero were militarily encircled and given one route through which they could escape – by crossing the Kalahari desert. This was in essence an order of extermination.

As with Kenya and the Mau Mau, the actions of the colonial military/administration were not a secret. The extermination order by the commander of the German forces was communicated back to Germany where it was initially accepted. The order was later withdrawn, but concentration camps (based on the British model from the Boer War) were set up, where many Herero were worked to death.

A case brought against the Federal Republic of Germany through a US court failed due to the inability of such a court to rule upon what was a German case. The Herero could also not appeal to the International Court of Justice (ICJ), as the ICJ only deals with appeals made by states (the claim was made on behalf of the Herero and not Namibia as a national entity.) The Herero case had a complex national politics to it in Namibia, as Germany is the biggest aid donor to Namibia. The Namibian government did not want to endanger this aid due to the actions of one section of its population.

Both presentations demonstrated the difficulties inherent in international law, and emanating from national governments, in gaining reparations for such claims. The Mau Mau litigation - begining of April 4th - could make history as the first successful example of such a claim.

Many thanks to The Royal African Society for tweeting  to me the link to the article


Makala yangu yawiki hii katika Jarida mahiri la Raia Mwema toleo la Jumatano April 6,2011 inaangalia ahadi za Rais Jakaya Kikwete na jeuri za Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM).Pamoja na makala hiyo (BONYEZA HAPA KUISOMA) ni habari na uchambuzi motomoto ndani ya jarida hili maridhawa kabisa la Raia Mwema.


Wakenya wanne wanaodai waliteswa na utawala wa kikoloni wa Uingereza katika jitihada zake za kukandamiza harakati za kundi la Mau Mau,wamefungua kesi jijini London.

Kundi hilo linalodai fidia katika mahakama kuu ya hapa linadai kuwa walishambuliwa na maafisa wa serikali ya kikoloni ya Uingereza nchini Kenya kati ya mwaka 1952 na 1961.

Maelfu ya wanaharakati wa Mau Mau waliwekwa kwenye kambi za wakoloni hao na kuteswa huku wengine wakiuawa,wanasema wanaharakati hao.

Serikali ya Uingereza inadai kuwa muda mrefu umepita tangu yalipotokea matukio hayo,na hivyo inadai haiwajibiki nayo.

Hatua hiyo ya kisheria inachukuliwa na wanaume watatu na mwanamke mmoja ambao umri wao ni kati ya miaka 70 na 80.

Mawakili wao wanadai kuwa Wakenya hao wanne wanawakilisha sehemu kubwa ya jamii ya Wakenya walionyanyaswa kutokana na ushiriki wao,au kuhusiswa na harakati za mapambano dhid ya wakoloni katika miaka ya 1950s.

"Wizara" ya Mambo ya Nje ya Uingereza (Foreign Office) inakiri kwamba suala la Mau Mau linazua hisia kali na kwamba zama hizo zilisababisha maumivu makubwa kwa pande zote.

Hata hivyo,"Wizara" inaeleza kuwa Uingereza itajitetea kikamilifu dhidi ya madai yaliyomo kwenye kesi hiyo,ikidai kuwa haiwajibiki.

Uchambuzi wa nyaraka zinazohusiana na kesi hiyo umepelekea kugundulika kwa maelfu ya mafaili ya tawala za kikoloni za Waingereza,ikiwa ni pamoja na nchini Kenya,na "Wizara" ya Mambo ya Nje inatarajia kuweka rekodi hizo hadharani.

Harakati za Mau Mau zilianza miaka ya 1950s kwa lengo la kudai ardhi iliyoporwa na utawala wa kikoloni.

Wanahistoria wanadai kuwa harakati za Mau Mau zilichangia katika kupatikana uhuru wa Kenya.

Hata hivyo,harakati hizo pia zilishutumiwa kwa ukatili dhidi ya wakulima wa kizungu na mapambano ya umwagaji damu dhidi ya askari wa utawala wa kikoloni.

Kamisheni ya Haki za Binadamu nchini Kenya imesema kuwa zaidi ya Wakenya 90,000 waliteswa au kuuawa katika kipindi hicho,na watu 160,000 waliwekwa kizuizini katika mazingira ya kuogofya.

Ripoti rasmi iliyochapishwa mwaka 1961 ilidai kuwa zaidi ya Waafrika 11,000,wengi wao wakiwa raia wa kawaida,na wazungu 32 waliuwa katika kipindi hicho.

Habari hii imeandaliwa kutokana na habari kwenye kipindi cha "Breakfast" cha BBC1 Scotland na tafsiri isiyo rasmi kutoka kwenye tovuti ya BBC

6 Apr 2011




Nathamini sana ubunifu.Na mmoja wa vijana wabunifu wenye vipaji vya kupigiwa mstari ni Michael Carter Mlingwa,au maarufu kama Mxcarter.Mie napendelea kumuita Mr Carter (as in Shawn Carter,yaani Jay-Z).Bonyeza bango hilo hapo juu kutembelea tovuti hiyo,na naamini utakubaliana nami kuwa kijana huyu anajituma vilivyo kuendeleza fani mbalimbali za sanaa mtandaoni.

Unaweza pia kum-join Twitter @twitter.com/mxcarter (au bonyeza picha ifuatayo)



au kutembelea ukurasa wake wa Facebook unaopatikana kwa kubonyeza picha ifuatayo



Tovuti hii iko mbioni kufanya mahojiano na Mxcarter,na yatarushwa hapa pindi yatapokamilika.Yote hiyo ni kuenzi vipaji vya Tanzania yetu.


PLEASE VOTE FOR SPORAH NJAU UNDER COMMUNITY SERVICE/ORGANISATION OF THE YEAR ON AFRICAN WOMEN EUROPEAN AWARDS 2011.

TO CAST YOUR VOTE  FOR SPORAH,PLEASE VISIT CLICK THE IMAGE BELOW



OR GO DIRECTLY TO


AND IF YOU JOIN THE EVENT IN BERLIN YOU WILL HAVE A CHANCE TO WIN A FLIGHT TICKET TO AFRICA WITH AIR FRANCE!
THANK YOU

 Tanzania Constitutional Review Bill 2011

5 Apr 2011


Balozl Peter Kallaghe

JUMUIYA YA WATANZANIA-TANZ-UK ikishirikiana na TA Reading Inapenda kuwakumbushia tena  watanzania wote waishio Reading, Slough, Oxford na vitongoji vingine,  Kuwa  Ziara ya Balozi wetu MH Peter Kallaghe akiambatana na Mama Kallaghe Itaanza rasmi siku ya Ijumaa jioni tarehe 8/4/11 na kuendelea Tarehe 9/4/11 Jumamosi ambapo Mh. Balozi Kallaghe atakutana na Jumuiya mbali mbali za Ki-Tanzania, pamoja na kutembelea miradi na Taasisi mbali mbali za KiTanzania.

Wakati Huo huo Mama Kallaghe atajumuika na na akina mama wote Jumamosi kuanzia saa nane Mchana. Kisha Mh Balozi na Mama Balozi watahudhuria hafla kubwa iliyoandaliwa na Wanajumuiya kwa ajili ya kuwakaribisha kuanzia saa kumi na mbili jioni.  Bongo DJs watakuwepo wakifanya makamuzi  mpaka usiku wa manane.  Jumapili 10/4/11 kutakuwa na ibada ya Kiswahili itakayohitimisha Ziara hii ya kipekee.

Kutokana na muitiko mkubwa pamoja na ushirikiano wa hali ya juu kutoka kwa wanajumuia imelazimu kubadilisha ukumbi ili kufanikisha zaidi ziara hii.  Anuani ya Ukumbi Rasmi itakuwa WYCLIFFE 233 KINGS ROAD, READING RG1 4LS. Tunawaomba Radhi  wote kwa usumbufu uliotokana na mabadiliko hayo muhimu. Tafadhali mjulishe mwenzako na tuzingatie mda.

Kwa mawasiliano zaidi kuhusu ziara hii tafadhali wasiliana na wafuatao: Ndg. Hussein 07865673756, Ngd. Upete 07796122127, Mama Maria 07919874182.

Asanteni sana kwa ushirikiano wenu.

TANZ- UK / TA READING

4 Apr 2011


Magufuli atamba mbele ya Rais
• Atoa onyo la bomoabomoa kwa wakazi Dar

na Bakari Kimwanga

SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kumtaka Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, aache ubabe katika kutekeleza zoezi la bomoabomoa, jana waziri huyo alitoa onyo mbele yake akiwataka wakazi wa Tegeta jijini Dar es Salaam hasa waliokuwa katika hifadhi ya barabara ya Mwenge hadi Tegeta, wahame wenyewe kabla hajachukua hatua za kuwaondoa kwa nguvu.

Magufuli aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana huku Rais Kikwete mwenyewe akiwa pembeni yake, wakati wa sherehe za uzinduzi wa mradi wa upanuzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 12.9 inayojengwa kwa msaada wa serikali ya Japan kupitia shirika lake la maendeo (JICA).

Waziri huyo makeke alisema katu hataacha kusimamia sheria namba 18 ya mwaka 2007 ambayo ilisainiwa na Rais mwenyewe ambayo inakataza watu kuingilia eneo la hifadhi ya barabara kwa kujenga makazi au kufanya biashara.

“Mheshiwa Rais, hata wakileta malalamiko kwako usiwasikilize, kwani sheria namba 18 uliyoisaini inakataza….naahidi kuisimamia na kuwepo kwa Makatapila katika eneo la Tegeta sasa ni ishara tosha kwa wakazi waliovamia hifadhi ya barabara kuondoka wenyewe kabla sijaanza kuwaondoa kwa nguvu!”

“Mradi huu utachukua miezi 27 kuanzia mwezi Februari na unatarajiwa kukamilika Mei, 2013 na utagharimu shilingi bilioni 88 na fedha zote ni msaada toka serikali ya Japan,” alisema Magufuli.

Barabara hiyo inapanuliwa kwa kiwango cha lami na itakuwa na njia nne na vituo rasmi vya mabasi 22.

Aidha, alieleza kuwa hatua ya Rais Kikwete kumteua kushika wadhifa huo ni msukumo tosha kwa yeye na wasaidizi wake kuhakikisha wanasimamia sheria na ikiwa kutatokea utata Naibu Waziri wake, Harrison Mwakyembe, kwa kushirikiana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Hebert Mrango, wanaweza kuutatua kwani wao ni wanasheria kitaaluma.

Awali akizindua mradi huo, Rais Kikwete aliiagiza wizara hiyo kukishughulikia mara moja kile alichokiita “genge la watu waliojipanga kuidhulumu serikali na wananchi” kwa kuwalipa mabilioni ya fedha makandarasi ambao ujenzi wao wa barabara ni wa kiwango hafifu na cha chini.

Pia aliiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuacha mara moja kugawa maeneo ya wazi na badala yake iyasimamie ipasavyo maeneo hayo yakiwamo yale ya watoto kuchezea kwa kuzuia kabisa ujenzi katika maeneo hayo.

Hata hivyo agizo hilo la Rais Kikwete linaonekana limechelewa sana kwani tayari kuna tuhuma na malalamiko mengi yanayoonyesha kuwa tayari maeneo mengi ya wazi yamekwishagawiwa kwa watu binafsi wenye uwezo kinyume cha taratibu, huku ikielezwa kuwa wahusika bado hawajachukuliwa hatua.

“Tumejitahidi kupandisha bajeti ya barabara mwaka 2006; ilikuwa bilioni 470 na hivi sasa tumepanda hadi trilioni 1.3 ili kuimarisha miundombinu ya barabara za ndani.”

“Wizara na Tanroads sasa msifanye malipo kwa watu ambao ujenzi wao ni wa kiwango cha chini na msipokee barabara ambayo iko chini ya kiwango ili kuongeza ufanisi wa barabara zetu jamani,” alisema Rais Kikwete.

Alisema kukamilika kwa upanuzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta kutapunguza msongamano jiji la Dar es Salaam ambao kila mara umekuwa ukisumbua wakazi wa jiji.




Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Teresya Huvisa akipata kikombe cha Babu Loliondo.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro na mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dk Yohana Balelel wakipata tiba ya mchungaji Ambilikile Mwasapile wa kijiji cha Samunge, Loliondo.

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Steven Wassira (aka Tyson) na Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, akipata kikombe cha tiba ya babu, katika Kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro

Waziri wa Mwasiliano na Ujenzi DOKTA John Pombe Magufuli.International insult to the Doctorate of Philosophy (PhD)?


At least ishu ya "Babu" imetusaidia wengine kufahamu kuwa wengi wa viongozi wetu wana afya zenye mgogoro.Na haihitaji rocket science kuhisi kilichowapeleka kwa "Babu" ni tiba ya maradhi gani...

KWA VIONGOZI WA NAMNA HII TUANDIKE TUMELIWA

3 Apr 2011


Japo mechi ni ngumu sana,na maandalizi yalikuwa duni, historia ya Wana-Msimbazi Simba Sports Club kwenye michuano ya kimataifa ni ya kupigiwa mstari.Na hilo linatupa matumaini ya kuweka historia nyingine kwa kuwafunga hao Wakongomani TP Mazembe na hatimaye kuwavua ubingwa.

Laiti Mazembe wangekuwa na uhakika wa ushindi dhidi ya Simba katika mechi ya awali basi wasingehangaika kutaka kutoa rushwa kwa waamuzi na hatimaye kuwatishia vifo laiti wangemwaga siri hiyo baada ya waamuzi hao kukataa.Habari hiyo nimeisoma HAPA

Kila la heri wana Msimbazi

2 Apr 2011


Baadhi ya magazeti ya Tanzania yanaelekea kutothamini kabisa uwepo wake mtandaoni.Hivi inaingia akilini kweli kwa msomaji kutembelea tovuti ya gazeti na kukutana na "habari mpya" za Februari 3,2011?Hiyo ndio hali niliyokutana nayo kwenye tovuti ya gazeti la Tanzania Daima.

Awali,gazeti hili lilikuwa makini sana katika kuweka habari mpya kwenye tovuti yake lakini sijui "kirusi" gani kimewakumba.Tovuti yao imeendelea kuwakaribisha wasomaji na ujumbe kuwa ipo "off-line kwa matengenezo".Matengenezo gani hayo ya zaidi ya mwezi mzima?

Tatizo la msingi kwa magazeti yetu mengi ni dhana potofu kuwa toleo la mtandaoni ni kama fadhila kwa wasomaji.Pengine dhana hiyo inajengwa na ukweli kwamba matoleo ya mtandaoni husomwa bure,na hivyo kuwafanya wahusika kujiona kama "wanafanya kazi ya Kanisa" (yaani isiyo na ujira).

Sasa,kama wanataka habari zao zisomwe mtandaoni kwa malipo wanaweza kuanzisha huduma ya kulipia (paywall).Lakini kama wameamua kwa hiari yao kuanzisha tovuti na kuweka habari zisomwe bure basi wanapaswa kuwajibika kwa kutuwekea habari mpya kama inavyostahili.


Bwana Alitoa,Bwana Ametwaa.Jina lake lihimidiwe milele.
Sie tulimpenda Adam-hasa kwa makala zake zilizosheheni ufundi mkubwa "wa kuchezea lugha ya Kiingereza" huku akifikisha ujumbe mzito.Lakini sie ni nani zaidi ya Muumba?Yeye Alimpenda Adamu zaidi yetu,na sasa ameamua kumrejesha katika makazi yake ya milele.Adamu ametangulia,na sisi sote tupo njiani.

Pumziko la Milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie,astarehe kwa amani,Amina

1 Apr 2011



Hivi msomaji mpendwa umeshwahi kujiuliza ungekuwa unafanya shughuli gani kama sio hiyo unayofanya sasa?Binafsi,ukiweka kando ndoto zangu za kitaaluma,nilikuwa na ndoto nyingine mbili.Moja ni kuwa daktari,ndoto iliyoyeyuka baada ya kupata F kwenye Fizikia na D kwenye Hisabati,japo nilikuwa na A ya Kemia na C ya Bailojia.Nilipofaulu kujiunga na Kidato cha Tano nikaamua kuchukua mchepuo wa Historia,Jiografia na Kiingereza (HGL).

Ndoto ya pili ilikuwa kuwa mtengeneza muziki au prodyuza.Msanii aliyenivutia sana (na anayeendelea kunivutia hadi leo) ni Dr Dre.Bahati mbaya,masuala ya shule yakanielemea zaidi na ndoto hiyo pia ikaenda na maji.Hata hivyo,tangu wakati huo nimekuwa nikiwathamini sana watu wanaofanya kazi kubwa japo haionekani waziwazi na pengine hawafahamiki zaidi ya wanaoonekana.

Chukulia mfano wa prodyuza wa muziki.Wakati takriban dunia nzima inawajua akina Lady Gaga,Beyonce na wengineo,ni watu wangapi wanaowafahamu wanaotunga nyimbo za wasanii hao?Au wataalamu wanao-prodyuzi miziki yao?

Mfano mwingine ni kwenye filamu.Wakati majina yanayovuma ni ya actors na actresses,watengeneza filamu-kwa maana ya waandishi wa script,waongozaji,nk wanabaki kuonekana kwenye shukrani za mwisho wa filamu tu japo wao ndio hasa wanaowawezesha actors na actresses kupata majina na kufanya movies zivunje rekodi za mauzo.

Na unapoangalia runinga,unapata wasaa wa kujiuliza kuhusu watu walio nyuma ya kamera,waandaaji wa kipindi,na wengineo wanaofanya mtangazaji unayemowna kwenye runinga afanye kile unachotarajia kama mtizamaji?

Hizi ndizo sababu zilizopelekea tovuti hii kumsaka Sophia Mwanauta,binti wa Kitanzania anayeishia hapa Uingereza,ambaye ni "moyo" wa utengenezaji wa kipindi maarufu cha Sporah Show,kinachoandaliwa hapa na kurushwa hewani na vituo vya BEN TV ya Uingereza na Star TV ya huko nyumbani.

Historia ya maisha ya Sophia,na namna alivyoingia kwenye fani ya kutengeneza vipindi vya televisheni kwa kamera,na hadi kuimudu fani hiyo,sio tu ya kuvutia bali inatia moyo na kutoa changamoto kubwa kwa Watanzania wengine,hususan akina dada.

Basi nisiongee kwa niaba yake bali nikuachie msomaji mpendwa usome mwenyewe historia ya maisha ya mwanadada huyu kwa maelezo yake mwenyewe.

Kwa jina naitwa Sophia Mwanauta ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto watatu ya Mr & Mrs Mwanauta. Nilizaliwa Arusha, Nimesoma Primary Arusha international school liliyopo Arusha, Secondary nimesoma Arusha Day Secondary school mpaka form four na A-level nilitoka nje ya nyumbani kidogo na kwenda Kampala Uganda katika shule ya St.Marys Kitende. Safari haikuishia hapo nilipomaliza A-level nilirudi nyumbani na kujiunga na Chuo cha Uhasibu Arusha (Arusha School of Accountant) ambapo nilitunikiwa cheti cha Certificate ya Accounting and Finance na baada ya hapo ndio nilikuja London na kufanya Joint Degree ya Accounting and Business of which I finished last year June.


Nini kilimvutia Sophia hadi akaingia kwenye fani yake anayoimudu vilivyo?
Ni swali ambalo nalipata kilaniendapo kufanya kazi. Being behind the camera nikazi amboyo niliipenda sana tangu mdogo i really enjoy it. Nakumbuka wakati na maliza darasa la saba mama yangu aliniandalia mtu wa kuchukaa video katika graduation yangu! Alie kuja kufanya hiyo video alikuwa ni mwanamke alinivutia sana, since nilijiambia ningependa kufanya kazi hiyo nikiwa mkubwa japo wakati huo kazi za camera, haikua kazi ambazo wanawake wengi waliifanya hivyo sikuweza kujitoa directly kwamba hii ndio kazi nataka kuifanya in future ndio maana nilienda kusoma course tofauti kabisa.
Wakati nilipofika London kufanya Degree yangu, sikumoja tulikaa na ndugu yangu Sporah na katika maongezi yetu tulikutana na interest zinazofanana yeye alipenda kuwa Talk Show Host na mimi nilipenda kufanya kazi ya Camera hivyo tukaungana na kuamua kufanya tunachofanya sasa ( THE SPORAH TV SHOW) Kusema kweli at that point sikuwa na any knowledge ya camera so nilichokuwa nafanya nikuwa nyuma ya Ma camera men walipokuja kufanya filming kwenye SPORAH SHOW. Niliendelea hivyo hivyo bila kuchoka mpaka nikajua atleast the basic things to do on a camera, believe me nilikuwa so determines baada ya muda mfupi tu nilijua kipi kinafanya nini kwenye camera. Mwisho nikaamua kwenda kufanya training ndogondogo ilikuelewa kazi vizuri zaidi.
Kwakweli mwanzo ilikua ni ngumu sana maana wote mimi na SPORAH tulikuwa bado tupo University na tulikuwa tunasoma course tofauti kabisa na kazi tunazozifanya lakini kwasababu tulikuwa determided tuliweza.


Sote tunafahamu kuwa kila safari ya maisha ya mwanadamu ni mchanganyiko wa milima na mabonde,vihunzi na tambarare.Je safari ya mwanadada Sophia ilikuwaje?
It was not an easy journey, kwani ilibidi tuachane na mambo yoote ili kufanya kazi, tulipoteza marafiki zetu wakaribu wakati mwingine hata familia zilikua hazituelewi maana hata kupiga simu nyumbani haikua sana kama mwanzo, na hii ilikua napale tulipokua tunakimbizana na shule na hapo hapo kurun a TV SHOW Every Week.
NO, IT WAS NOT EASY AT ALL!! , lakini namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwani tumefika tulipo leo inaonyesha matumaini.


Maisha ni changamoto.Ukipiga hatua moja unapata changamoto ya kupiga hatua zaidi.Lakini kuna changamoto nyingine zinatokana na jinsia,hususan mfumo dume unaopendelea kuangalia fani flani kama ni za kiume pekee.Je ni changamoto zipi anazokabiliana nazo Sophia?

Kwa mimi binafsi kwanza kabisa ni kuwa Mwanamke katika field hii, watu wengi wakikuona umevaa umependeza basi wanaona huwezi kushika Camera. Wakati mwingine nakutana na wanaume ambao wana just basic knowledge kuhusu Filming, lakini mara tu wakikuona we ni mwanamke then wanaona kama huwezi kazi, "Wakati mwingine inauzi sana"
So am always on computer and reading alot of books ili tu kujua mengi kuhusu Filming. Naipenda sana kazi yangu.


Maisha ni malengo.Mtu asiye na malengo ni sawa na mtu asiyejua kwanini yupo duniani.Je Sophia ana malengo gani ya baadaye?

My future plan is to have my own production company one day and be successful in what am doing ,i would love to be recognise internationally.

Je ana ushauri gani kwa akina dada wenzake-hususan wanaokubali dhana potofu kuwa fani flani ni kwa wanaume tu?
Kwanza kabisa ningependa kuwaambia wakinadada waondoe wazo la kuona wanamke ana tofauti na wanaume kwenye kazi kwani binadamu wote nisawa anachoweza kufanya mwanaume ,mwanamke pia anaweza kukifanya. Pia kama ukiweka nia, dhamira na juhudi katika kitu hicho utafanikiwa. (“Think like a queen. A queen is not afraid to fail. Failure is another stepping stone to greatness
The big secret in life is, Whatever your goal, you can get there if you're willing to work.

Tovuti hii inampongeza sana mwanadada Sophia Mwanauta kwa bidii na jitihada zake zinazostahili kuwa mfano wa kuigwa.Pia inamshakuru kwa mahojiano haya.Lakini kabla ya kumaliza,aliulizwa kama ana ujumbe wowote kwa jamii,hususan wapenzi wa Sporah Show,na alikuwa na haya kusema


Asante sana na Msikose kuangalia THE SPORAH SHOW, kila IJUMAA SAA KUMI NA MBILI Jioni na JUMAMOSI SAA SABA Mchana STAR TV IN TANZANIA.
And in EUROPE EVERY MONDAY 9:30PM BEN TV SKY 184.
Pia tembelea tovuti yetu inayopatikana www.sporah.com na www.sporahshow.com.Pia karibuni sana kutembelea blogu yetu inayopatikana www.thesporahshow.blogspot.com.

Join Us On Face Book at:

Check Our Video's on Youtube http://www.youtube.com/user/sporahshow
Asanteni





Moto ulioikumba Tanzania na nchi jirani baada ya kupatikana habari kwamba Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKKT),Ambilikile Mwasapile,anatoa matibabu ya magonjwa sugu ukiwemo Ukimwi,sasa unatarajiwa kuhamia Bara la Ulaya na Marekani.

Kwa mujibu wa Mchungaji Conrad Munro wa Jumuiya ya Makanisa la Kiluteri Duniani,Mchungaji Ambikile,almaarufu kama "Babu",atazuru nchi kadhaa za Ulaya kabla ya kuelekea Marekani kwa huduma za uponyaji.

Akieleza ratiba ya "Babu",Mchungaji Munro alibainisha kuwa ziara hizo za uponyaji zilizopewa jina Jesus Heals,yaani Yesu Huponya,zitaanzia jijini Edinburgh Scotland mnamo April 15,kabla ya kuendelea katika majiji ya London,Manchester na Birmingham.Baada ya hapo,Mchungaji Ambilikile ataelekea Sweden,Ujerumani,Poland na hatimaye Ufaransa,kabla ya kuhitimisha ziara hiyo yake ya kwanza nje ya Tanzania kwa kutembelea Marekani.Mchungaji Munro alitaja baadhi ya majimbo yatakayobahatika kupata huduma ya "Babu" ni pamoja na Texas (ambapo atazuru Houston na Dallas).

Tovuti hii ilipowasiliana na Mchungaji Munro kwa barua-pepe  ili kufahamu utaratibu wa jinsi ya kuhudhuria huduma hiyo ya maombezi,alieleza kuwa wanaohitaji kuhudhuria wanaweza kuwasiliana naye kupitia tovuti hii kuanzia leo April Mosi hadi hapo utapoandaliwa utaratibu maalum wa mawasiliano.Alisisitiza kuwa ni muhimu kwa kila anayetaka kuhudhuria kujiandikisha mapema ili kuwezesha upatikanaji wa ukumbi utakaomudu idadi ya wahudhuriaji.

31 Mar 2011


Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida mahiri la Raia Mwema inazungumzia changamoto zinazoikabili Idara yetu ya Usalama wa Taifa (TISS).BONYEZA HAPA kuisoma pamoja na habari na makala nyingine moto moto ndani ya jarida hili makini kwa habari na uchambuzi.

26 Mar 2011

Habari na picha hii zimetumwa na mdau wa Mbeya yetu,nami naiwasilisha kama ilivyo...with no comment!



Mganga mwingine wa tiba za magonjwa Sugu aliyefahamika kwa jina la Jafar Welino(17) mkazi wa mtaa wa Mianzini Kitongoji cha Mabatini jijini Mbeya ameibuka na kutoa tiba kwa mamia ya wakazi wa jiji la Mbeya na viotongoji vyake.



Umati wa watu ulionekana katika nyumba anayoishi kijana huyo wakisubiri kupatiwa tiba hiyo huku wakiwa na vikombe vyao mikononi. Baadhi ya wananchi waliofika eneo hilo walidai kuwa wamefika hapo kutokana na taarifa za kuwa kijana huyo anatibu magonjwa Sugu bure kama vile ambavyo anatibu Mchungaji mstaafu wa Loliondo Mzee Ambilikile Mwasapila.



Akizungumza kwa niaba ya kijana huyo mama mkubwa wa mganga huyo aliyejitambulisha kwa jina la Edina Sanga alisema kuwa kijana huyo alianza tiba hiyo wiki mbili zilizopita ambapo kabla ya kuanza kutibu alimueleza mama yake huyo kuwa alitokewa na mama yake mzazi a,mbaye kwa sasa ni marehemu akimuelekeza kurithi mikoba yake.



Bi.Sanga alisema kuwa mama yake kijana huyo ambaye kwa sasa ni marehemu alikuwa ni mtu mwenye maruhani ambapo kwa kutumia maruhani hayo alikuwa akitoa tiba kwa wakazi mbalimbali mjini Mbeya.Alisema kijana huyo ambaye wamezaliwa mapacha na dada yake aliyemtambulisha kwa jina la Hadija Welino kwamba yeye anasoma kidato cha Nne katika shule ya sekondari Itende.

Hata hivyo Bi.Sanga alisema kuwa kijana huyo aliitwa katika ofisi ya Ofisa Mtendaji ili kutoa maelezo ya namna ambavyo anaendesha tiba hiyo na kuwa hata hivyo anaendelea kutoa tiba kwa watu kwa kunywa vikombe viwili kwa muda wa siku mbili. Alisema kuwa dawa hiyo aliifuata katika kijiji cha Iyula kilichopo wilayani Mbozi na kuwa mara alipofika alianza kuichemsha na kuwagawia wananchi wanaosumbuliwa na maradhi sugu. Aidha umati wa watu walikuwa wamejipanga katika mistari kusubiri tiba hiyo ambapo


Mwenyekiti wa mtaa wa Mianzini Bi.Elizabethy Mwakabungu aliweka utaratibu wa wananchi kupata tiba ikiwa ni pamoja na kuchangia fedha kidogo kwa ajili ya kununulia kuni za kuchemshia dawa hiyo.Akizungumza na umati wa watu waliokuja kujipatia tiba hiyo Mwenyekiti huyo wa mtaa alisema kuwa kila ambaye atapata kikombe kimoja cha dawa anatakiwa kupata kikombe cha pili siku inayofuata.



‘’Mganga katuagiza kuwa kila anayekunywa kikombe kimoja anatakiwa kunywa kikombe cha pili siku inayofuata…yeyote atakayekunywa hatakiwi kunywa pombe kwa muda wa siku saba,’’alisema Bi. Mwakabungu


Wakipata kikombe

maelekezo ya kufika eneo hilo

Pamoja tunaendeleza kupashana Habari


HABARI NA PICHA: Mbeya Yetu

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.