Showing posts with label TANZANIA. Show all posts
Showing posts with label TANZANIA. Show all posts

17 Jun 2011


Like subway posters or highway billboards, wall murals have long been popular as a form of cheap advertising in Tanzania for such products as Coca-Cola, Pepsi and Kilimanjaro beer. But as GlobalPost's Iva Skoch has found, the murals have taken on a new, albeit more provocative, role: promoting sex education throughout Dar Es Salaam, the country's largest city.
Little is considered taboo in the colorful new ads, which depict everything from general condom use and masturbation to more severe topics like teen pregnancy and female genital mutilation. While the murals may often be done in a tongue-in-cheek manner, Tanzania's statistics are considerably less so. The current HIV rate hovers at about 6 percent, while 40 percent of 18-year-old girls are already mothers or currently pregnant.
Officials say the occasionally racy murals are already proving effective, and many local schools are opting to follow suit with their own sex ed walls. "If you use a photograph, people don't identify with the person," said Alex Ngaiza, HIV program manager at the health communication organization PSI. "But with a mural, everyone can relate."


Read the full article, and view the amazing full gallery, here.
See photos of Tanzania's sex education murals, courtesy of GlobalPost, below:




3 Jan 2011



Smiling happily as she teaches medicine in Africa, this is the young doctor who was ‘betrayed’ by Britain’s healthcare postcode lottery.
Becky Smith, 30, was told she could be dead within 18 months after her breast cancer was missed four times and health chiefs refused to fund a breakthrough treatment.
The Daily Mail told in May how her local NHS trust had denied funding for the £23,000 treatment, despite it being freely available from 40 other trusts across Britain.

Dr Smith won a funding U-turn after the Mail highlighted her case, and has now had the drug therapy, which she hopes will help to prolong her life. Together with months of chemotherapy and other treatment, it has stabilised her condition and left her well enough to realise her dream of teaching her skills to doctors in Africa.

Dr Smith flew to Tanzania within days of finishing her latest round of chemotherapy, and has just completed a two-week stint of voluntary work at a hospital there.

She said: ‘I am so grateful that I have had this chance – I have no symptoms at the moment, I’m not ill and I don’t feel ill.
‘For the first time in months, I don’t feel like a cancer patient. It goes to show what is possible, even with a terminal diagnosis.
‘But it’s only possible if you’re given the treatment you need to give you a fighting chance.’

Dr Smith found a pea-sized lump in her left breast in April 2008, when she was 28 and working at High Wycombe Hospital in Buckinghamshire.

She went to her GP but was told to wait a month because she was considered too young to have breast cancer and it was more likely to be a cyst.

She returned to her doctor in June and was referred to a specialist cancer clinic at the John Radcliffe Hospital in Oxford. She was given an ultrasound scan and examination but was told the lump was a benign cyst which posed no risk to her health.
But by December 2008 the lump had grown to the size of a golf ball and she returned to see a third GP at her local practice. Again, her fears were dismissed.

Dr Smith, a urologist, then asked a cancer care nurse at her own hospital for help. A scan revealed three lumps in her breast and she was diagnosed with cancer the day after her 29th birthday.

Worse still, further scans found it had spread to her liver and her spine, where it was inoperable.

She had a mastectomy to remove the breast cancer, and doctors believe she could live for ten to 20 years with the tumours in her spine, if they can treat her liver cancer. Specialists recommended she receive Selective Internal Radiation Therapy, but her local primary care trust in Ryde, on the Isle of Wight, refused to fund it.

It said there was not enough evidence that it was cost-effective, or that it would be successful.
Dr Smith was faced with having to cancel her wedding to childhood sweetheart Simon Morton to pay for the treatment, or allowing her retired parents to remortgage their house.

Within days of the Mail reporting her plight, generous readers had pledged more than £12,000 to help her. But she won an appeal against the funding decision, and completed her last round of treatment in November.

It is too early to know if it has successfully shrunk the tumours in her liver enough for them to be removed or destroyed, but preliminary scans have shown an improvement.

Meanwhile, Dr Smith married her fiance, a chartered engineer, in July and was able to carry out charity work on the Tanzanian island of Zanzibar, where average life expectancy is just 47.

Before her cancer diagnosis, she had been due to do a year’s voluntary work at the Makunduchi Hospital on the island, but was forced to cancel it while she had treatment.

Dr Smith said: ‘It’s been wonderful to be back in a hospital and working alongside doctors again.’

SOURCE: Daily Mail

17 Nov 2010

• RIPOTI MPYA YA UNDP YAANIKA KILA KITU

na Tutindaga Mwakalonge

SHIRIKA la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), limetoa ripoti yake ya hali ya maendeleo duniani inayoichambua Tanzania kuwa moja ya nchi zilizo nyuma sana kimaendeleo kwa kuwa na watu wengi wanaokabiliwa na umaskini.

Ripoti hiyo inayopima maendeleo ya nchi husika kwa kutazama maendeleo ya watu wake ilizinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam jana na kuitaja Tanzania kuwa nchi ya 148 kati ya nchi 169.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, katika kila Watanzania mia moja, 36 wanaishi katika hali mbaya sana ya umaskini, sawa na asilimia 36 ya watu wote, milioni 41.3.

Pia ripoti hiyo ya kimataifa imeonyesha kuwa katika kila Watanzania mia moja, 97 wanaishi kwenye umaskini wa kipato wa chini ya dola 2 za Marekani kwa siku, sawa na chini ya takriban sh 2,000 za Kitanzania kwa siku.

Aidha, ripoti hiyo iliyobeba kauli ya ‘Utajiri halisi wa mataifa’, imeonyesha kuwa katika kila Watanzania mia moja, 89 wametajwa kuishi chini ya dola moja ya Marekani kwa siku.

“Kwa takwimu hizo, Watanzania wengi wako katika umaskini wa kutisha kwa sababu ya kuwa na uwezo duni wa kifedha wa kumudu maisha yao ya kila siku”, alifafanua mtaalamu mmoja aliyehudhuria uzinduzi huo.

Hata hivyo, pamoja na takwimu hizo, Wizara ya Fedha na Uchumi, kupitia kwa Katibu wake, Ramadhani Khijjah, iliendelea kusifia mwenendo wa ukuaji wa uchumi nchini huku ikidai kuwa sekta za elimu na afya zimekuwa zikichochea ukuaji wa uchumi.


8 Jun 2010

Rais Kikwete akikabidhi zawadi ya kinyago kwa mchezaji wa Brazil,Kaka,huku mtoto wa Rais,Ridhiwani Kikwete (kulia kwa Rais),akishuhudia na "tabasamu la haja" (Picha kwa hisani ya Ankal Michuzi)

Niite mzandiki,mkosoaji wa kila kitu,au hata mpuuzi.Yote sawa.Lakini haihitaji upeo hata wa mtoto mchanga kutambua kuwa uamuzi wa "kununua" kipigo cha mabao matano kutoka kwa Wabrazili ilhali tumegubikwa na matatizo lukuki ya kiuchumi ni,well,upuuzi.

Nilishabashiri awali kuwa baada ya mechi kati ya Taifa Stars na Wabrazili itakuja mechi kali zaidi kuhusu faida au hasara za mechi hiyo.Na hapa nazungumzia fedha.Kwa mujibu wa tovuti ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC),mechi hiyo ilifanikishwa na mkopo wa benki flani kwa Shirikisho letu la Soka chini ya uongozi wa Leodgar Tenga.Inaelezwa kuwa TFF walitarajia mpambano huo ungeingiza takriban dola milioni tatu ambazo zingerejesha gharama zinazokisiwa kuwa dola milioni mbili unusu (zaidi ya shilingi bilioni tatu)walizotumia "kununua" mechi hiyo.Kwa akili ya Tenga na wenzake,walitarajia uwanja wenye uwezo wa kuchukua watu 60,000 ungefurika na pengine kuzalisha faida kubwa zaidi ya hizo dola milioni tatu zilizokisiwa.Sijui ni kufumbia macho umasikini unaowakabili Watanzania wengi au ni ubishi tu,TFF wakaweka viingilio vya juu na vitakavyoingia kwenye vitabu vya historia ya soka la Tanzania.

Sidhani kama tutafahamisha gharama halisi za mechi hiyo wala kuelezwa hasara kamili.Na si kwamba tutafichwa kwa sababu ya aibu ya waandaaji bali kuna "wajanja" (isomeke MAFISADI) watakaoongeza ukubwa wa hasara hiyo kwa kujirejeshea gharama wasizostahili.Lakini pamoja na usiri huo,tovuti ya BBC imemnukuu Waziri wa Habari na Michezo George Mkuchika akisema kuwa serikali haikuchangia chochote katika "ununuzi" wa mechi hiyo,na akatupa "kigongo" kingine kwa kudai TFF walikopa fedha kutoka benki kumudu gharama hizo.

Lakini kauli ya Mkuchika inakinzana na kauli ya awali iliyotolewa na Tenga,ambapo kwa mujibu wa tovuti ya gazeti la Daily Nation,alinukuliwa akieleza kuwa (nanukuu) "Tuliongea na Rais wetu (Jakaya Kikwete),na ni yeye ndiye aliyewezesha mechi hii kuwezekana".Tenga alisema (nanukuu tena) "(Rais) alivutiwa tangu mwanzo na kuhakikisha kila uwezo wa dola (serikali) unawezesha mechi hiyo".

Sasa sijui nani anasema ukweli kati ya Mkuchika na Tenga.Na pengine swali la muhimu zaidi ni nani atayebeba mzigo wa deni hilo kama si mlipakodi wa Tanzania.Na ni mzigo kweli kwani dalili za wazi za uzembe wa waandaaji wa pambano hilo tunaloaminishwa kuwa litaitangaza Tanzania ni matangazo mengi ya makampuni ya kigeni badala ya vivutio vya taifa letu.Well,unatarajia nini kutoka kwa wazembe walioshindwa hata kuwa na CD  ya uhakika ya wimbo wa taifa letu?

19 Jan 2010


DAILY NEWS Reporter, 18th January 2010 @ 12:13,

IN an interesting twist of events, President Jakaya Kikwete failed to hand over two ambulance vehicles today, after controversy ensued over the rightful identity of the targeted receivers.

The confusion ensued after a representative from Ngorongoro District in Arusha Region turned up instead of an official from Longido, whom documents indicated was supposed to receive the donation.

The twist happened at the State House grounds before officials and journalists, when the president seemed confused after he discovered it was a representative from Ngorongoro and not from the targeted Longido, who had turned up.

A representative from Mbozi District in Mbeya Region who was meant to receive the second vehicle on behalf of his district had not yet arrived, prompting the president to hand it over to someone else who was present.

When he approached the two cars recently donated by CMC Automobiles Limited, Chief Executive Officer, Mr Abdul Haji, President Kikwete was introduced to the receiver as the Executive Director of Ngorongoro District Council, Kayange Jacob when he suddenly stood back.

“You are….. (as he was being introduced by the State House Comptroller), ahh, you are from Loliondo, this car is not yours, I won’t hand it over to you. It’s not yours. It’s for the people of Longido and not Loliondo.

Turning to State House officials, he asked: What is this. This is scandalous. Apologise to those you invited to witness this”, said the president.

“This one car is to cater for the people of Longido, not Loliondo, who sent you here?’

The Executive Director of Ngorongoro District Council who introduced himself as Kayage, explained to the president that he had been sent by his Regional Commissioner, to come and receive the vehicle as a donation to carry sick people in Ngorongoro.

But the president explained that records show that one of the two cars was supposed to go to Engarinaibo Village in Longido District, following his promise to them when he toured Arusha last year.

“I personally promised the villagers I would give them an ambulance, when I receive a donation of vehicles after witnessing their difficulty in transporting their sick people to hospital. Now what is this? This is scandalous,” he repeated.

Efforts by the State House officials to explain to the president that he hands over the car to the Ngorongoro Director, as there was no other were in vain as he (president) walked back to his office.

After the drama that lasted for approximately 20 minutes, the Assistant Director of Communications at the State House, Premy Kibanga, told journalists that there was negligence on the part of some officials who had verified the documents, subsequently messing up issues.

“There has been a problem of communication here at State House, as all documents including the letter to presiding secretary in Arusha, show that those entitled to the donation is Engarinaiko village in Longido and not Loliondo,”said Kibanga.

Ms Kibanga attributed the anomaly to negligence on the part of the State House official, who was supposed to verify the documents of the director before the handing over, also blaming it on the late arrival of the two officials by ten minutes and that of Mbozi by 20 minutes.

She said the letter from State House to the presiding secretary in Arusha, dispatched at the end of last year, was clear that that the donation was for Engarinaiko village in Longido and had asked the official to release a municipal driver, to get a short course on how to use the facility at CMC.

However, it is not clear to this evening as to whether it was the driver of Longido or Ngorongoro who had received the short training prior to yesterday’s event.

The director of Ngorongoro told journalists that he had been sent by the Regional Commissioner to receive the donation, after a phone call came from the State House asking them to send a representative to receive it.

Efforts to reach the Arusha Regional Commissioner, Isidori Shirima, were futile as his phone went unanswered.

But information sent by the Communication Directorate of State House, said the president handed over one vehicle to the Director of Mbozi District, Levison Chilewa, to cater for citizens of Kamsamba as ambulance.

It was part of the president’s pledge to the area when he visited last year. Earlier, Mr Chilewa told journalists that it would support 26 wards in Mbozi with special target at Kamsamba, Ivuna, Chilulumo, Chitete and Msangano wards.

The two vehicles - Land Rover Defender 110 Hard Top - worth 108,000 US dollars (about 130m/-), were donated by CMC in honour of the manager’s wife, who lived in the country for 30 years before passing away.

30 Nov 2009


(AFP) – 7 hours ago

PORT OF SPAIN — Tanzania has fiercely denied allegations said to come from the United Nations that it has illegally funneled arms to Rwandan Hutu rebels in the Democratic Republic of Congo.

"It is simply not true. It is an outright malicious lie being concocted with the evil intention of tarnishing the good name of Tanzania and our government," Tanzanian Foreign Minister Bernard Membe said in a statement late Saturday.

"Tanzania has never and will not even contemplate to indulge in such despicable, reckless and worthless causes of trafficking in arms which foment violent conflicts against friendly neighbors like Rwanda and the DRC."

Membe, attending a Commonwealth summit in Trinidad, also demanded an apology from the United Nations, saying the allegations were contained in a report for the UN Security Council.

He said the allegations were based on "second hand quotes, hearsay, farfetched assumptions and stretched extrapolations."

In the report, as yet unpublished and seen by AFP, researchers said this year's attempts by Congolese, Rwandan and UN forces to disarm Rwandan Hutu rebels in eastern DR Congo have not succeeded and global action is needed to cut off their funds.

"This report concludes that military operations against the FDLR have failed to dismantle the organization's political and military structures on the ground in eastern DRC," the detailed 93-page document begins.

The report alleges that the FDLR recruits and arms fighters using profits from a corrupt international trade in minerals, and calls on the international community to step up efforts to cut off rebel funds.

The militia sprang up in camps in the east of the Democratic Republic of Congo (DRC) housing mainly ethnic Hutu refugees who fled Rwanda after their leaders launched the 1994 genocide, which left some 800,000 people dead.

The document was researched on the ground in Congo and the region over six months by a five-strong stream of experts hired by UN Secretary General Ban Ki-moon.

It was addressed to the chairman of the UN Security Council committee on September 9. It is not known when it will be published.

26 Jun 2009


Kwa mujibu wa MZEE WA CHANGAMOTO,Hasheem Thabeet amenyakuliwa na klabu ya mpira wa kikapu ya Memphis Grizzlies katika draft ya NBA.

Hii ni miongoni mwa njia mwafaka-na nafuu-za kuitangaza Tanzania.Kila la kheri Hasheem.Mafanikio yako ni zaidi ya kufanikiwa kimichezo,umeingia kwenye orodha ya vitambulisho vya Tanzania kama vile Mlima Kilimanjaro,madini ya Tanzanite (japo mafisadi wamepania kuyamaliza kama walivyomaliza dhahabu ilivyo huko Tulawaka),Hifadhi ya Selous na vivutio vinginevyo.Kuna cha zaidi kuhusu mafanikio yako.Umevunja "utamaduni" wa Kitanzania wa ku-settle for less.Angalia timu yetu ya taifa,kwa mfano.Tumekuwa na Maximo kwa muda sasa,na wajuzi wa michezo wanatuambia tumepiga hatua.Kupiga hatua kwa kutoka sare na Senegal?Angalia Simba na Yanga,kila msimu wanahangaika na "wachezaji wa kimataifa",lakini huhitaji kuwa mtaalam wa soka kumaizi kuwa ma-pro" hao ni wababaishaji tu na hawajasaidia kuzifanya klabu hizo zitambe katika anga za soka la kimataifa (na tunaambiwa kocha wa Yanga ni profesa wa soka!Lakini msimu wa pili huu hakuna kombe la kimataifa na wana-Yanga wameridhika,sio na mafanikio ya klabu yao bali kuwa na kocha mgeni "profesa wa soka").Angalia baadhi ya mitazamo yetu.Shangwe na vigelegele tukisikia Zeutamu kakamatwa ilhali majambazi wa Kagoda bado wanapeta,na huku tukizugwa kuwa eti ufisadi wa Meremeta na Tangold ni siri za taifa! (Na kweli ni siri maana ni nadra kwa wizi kufanyika hadharani).

Mafanikio yako yanaweza kuwa chachu kwa Watanzania wengine kuondokana na unyonge wa kifikra kwamba kila baya linalotusibu ndio destiny yetu.Na ni kwa namna hiyo ndio mafisadi wanazidi kutufisadi kwa vile wanatambua unyonge na udhaifu wetu wa kukubali matokeo kirahisi.

Hongera sana,Hasheem.Sote tunajivunia jina lako.

5 Apr 2009


JAMII imetakiwa kushirikishwa katika maamuzi yaliyotolewa na Baraza la Madiwani pamoja na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kubadili jina la Wilaya ya Missenyi na kuiita Wilaya ya Nkenge ambayo tayari yamekubaliwa na baraza hilo pamoja na chama ili kuona kama kubadilika kuna manufaa kwa jamii.

Ombi hilo limetolewa jana na wajumbe wa kikao cha Kamati cha Ushauri wa Wilaya ya Missenyi (DCC) kilichofanyika katika Kata ya Kassambya ambapo baadhi ya wananchi na viongozi walisema kubadilisha jina la wilaya hiyo hakuna maana yoyote.

Mmoja wa watendaji wa kata za wilaya ya missenyi Joseph Kitakule ambaye ni mtendaji wa Kassambya, alisema wadau wa maendeleo inabidi wapinge vikali suala la kubadilisha jina kwa kuwa litaiingiza halmashauri hiyo kwenye hasara kubwa na watakuwa wamekiuka maamuzi ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa aliyebariki jina hilo.

Alisema kumekuwepo kundi la watu wachache wenye maslahi yao binafsi ambao jina hilo likibadilishwa na wizara husika basi wao watakuwa wamepata faida kubwa na watakuwa wamefanikisha adhma yao.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Izidor Mtalo, alisema suala hilo wao kama watendaji walilikabidhi Baraza la Madiwani kwa vile ndiyo wenye uwamuzi wa kubadilisha au kutobadilisha.

Alisema hakuna kikao chochote ambacho kinaweza kutengua uamuzi huo kwani likishapitishwa na madiwani linapelekwa katika kikao cha ushauri cha mkoa na baadaye kwa waziri mwenye dhamana.

Akitoa uamuzi wa kubadilisha jina hilo na kuitwa Nkenge, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, William Katunzi, alisema kutokana na mkanganyiko wa majina ya tarafa za Kiziba na Missenyi ambazo zinaunda Jimbo la Nkenge kitendo ambacho kimeibua malalamiko kutoka kwa wakazi wa Kiziba.

“Hawa wakazi wa Kiziba wanahoji kama makao makuu ya wilaya yapo katika tarafa ya Misenyi inakuwaje na jina la wilaya ipewe jina la tarafa na wakati jina la jimbo ni tofauti na wilaya kwa hiyo ndiyo sababu kubwa wanayolalamikia na kutaka jina la wilaya liwe sawa na la jimbo Nkenge,” alisema Katunzi


7 Dec 2008


A Dutch-operated container ship outran pirates off the coast of Tanzania this weekend, an official with the International Maritime Bureau said Sunday.

The incident took place "very far out to sea," showing that Somali-based pirates are extending their reach further and further, Noel Choong of the IMB's Piracy Reporting Center told CNN.

"Earlier attacks were on ships off the coast of Somalia, then off the coast of Kenya, and now this was 450 nautical miles off Dar es Salaam," he said, tracing the southward expansion of the pirates' area of operations.

The ship, which Choong declined to name, came under attack from rocket-propelled grenades, starting a fire on board, he said. The crew was able to put out the fire and escape by increasing speed.

The ship and crew are now out of danger, he said, following the incident at 11:42 GMT Saturday.

Piracy has become increasingly common in the Gulf of Aden and the Indian Ocean this year. So far, pirates have attacked almost 100 vessels off Somalia's coast and successfully hijacked nearly 40, according to the center.

Those hijacked vessels include an enormous oil tanker, a chemical tanker, and a ship laden with Soviet-era arms including tanks. The pirates normally hold the ships for ransom.

A luxury cruise ship carrying more than 1,000 passengers and crew successfully outran pirates off the coast of Yemen last weekend.

The IMB has tracked at least 11 incidents of actual or attempted piracy near the Tanzanian coast this year.

A multinational fleet, including vessels from the U.S., NATO member states, Russia and India, has been patrolling the Indian Ocean waters near the Gulf of Aden, which connects the Red Sea and the Arabian Sea. Around 20,000 oil tankers, freighters and merchant vessels pass along the crucial shipping route each year. Watch anti-piracy vessels patrol the region. »

In a recent interview provided to CNN, a pirate leader claimed attacks on shipping would continue as long as life in Somalia remained desperate.

"The pirates are living between life and death," said the pirate leader, identified by only one name, Boyah. "Who can stop them? Americans and British all put together cannot do anything."

SOURCE: CNN

1 Dec 2008


Over 300 people have died in Muslim-Christian clashes in the worst sectarian violence in Nigeria since 2004.
Angry mobs burned homes, churches and mosques on Saturday in the central state of Plateau, according to The Associated Press.

Initially a clash between supporters of the region’s two main political parties, the violence was soon divided along ethnic and religious lines.

Tension began when electoral workers did not post the results in ballot centers, causing many locals to assume the election was going to be another fraudulent political event. After riots broke out, a curfew was declared and the governor of Plateau state ordered troops to shoot on sight to enforce the curfew in neighborhoods affected by the violence.

About 7,000 people in conflict areas have left their homes and are seeking refuge in government buildings and religious centers, the Red Cross reported.

Sectarian violence is not new in Plateau, with more than 1,000 people killed in Jos – the state’s capital – in September 2001 due to Christian-Muslim hostility.

This weekend’s sectarian violence was the worst clash in the West African nation since 2004, when as many as 700 died in Plateau and over 100 churches were destroyed. The 2004 violence was said to have been sparked by land disputes between members of the predominantly Christian Tarok tribe and Muslim Hausa-Fulani farmer.

Nigeria is split nearly evenly between a predominantly Muslim north and a Christian south. According to Compass Direct, religious conflicts between Muslims and Christians have claimed more than 10,000 lives since 1999.

SOURCE: EURWEB

WAKATI HAYO YAKIENDELEA HUKO NIGERIA,INAELEKEA BADO KUNA WENZETU HUKO NYUMBANI TANZANIA WANGEPENDA TUONJE HAYO YANAYOWAKUTA WENZETU WA NIGERIA.HEBU SOMA KWANZA STORI HII HAPA CHINI

Waislamu, Wakristo waishika pabaya CCM
NI KATIKA SUALA LA MAHAKAMA YA KADHI, OIC

Na Geofrey Nyang’oro

WAUMINI na dini mbili kuu nchini za Kiislamu na Kikristo wameiweka pabaya serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kufanya maamuzi kutokana na mvutano mkali unaoendelea, huku pande hizo zikiwa zimeshikilia misimamo mikali kuhusu hoja ya Mahakama ya Kadhi na nchi kujiunga na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC).

Mjadala kuhusu masuala hayo mawili ulikuwa umepoa, lakini uliibuka hivi karibuni baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk Bernard Membe, kuzungumzia suala la OIC wakati akizungumza na waandishi kuhusu ziara ya rais nje ya nchi.

Baada ya maaskofu kuitahadharisha serikali ya CCM kuwa hawatafanya nayo kazi iwapo itashikilia msimamo huo wa kujiunga na OIC, jana Waislamu nao waliipa serikali mwezi mmoja iwe imeshatoa tamko rasmi kuhusiana na hoja hizo, vinginevyo wataing'oa CCM madarakani kwa kuwa imeshindwa kutekeleza suala hilo, wakidai suala la Mahakama ya Kadhi limo kwenye ilani ya chama hicho tawala.

Kauli hiyo ilitolewa na Waislamu kwenye kongamano la "Hatima ya Elimu ya Uislamu na Urejeshwaji wa Mahakama ya Kadhi," lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA jana jijini Dar es Salaam jana.

Pia kwenye kongamano hilo, Waislamu walimtaka Waziri Membe kuomba radhi au kujiuzulu kutokana na kauli yake ambayo walidai kuwa, inakashifu fedha kutoka OIC kwa madai kuwa ni ya shetani.

Walitoa msimamo huo wakati waumini wa makanisa mbalimbali yaliyo chini ya CCT, KLPT wakiwa wameshatoa tamko lao la nguvu kupinga hatua ya serikali kudhamiria kujiunga na OIC, wakieleza athari ambazo serikali itapata iwapo haitakuwa makini.

"Tuna uhakika kuwa yaliyomo ndani ya OIC ni hatari kabisa, kwani endapo yakikubalika katiba, nchi itakuwa imevunjika na Watanzania watakuwa wameingia katika migogoro itakayoua maridhiano, mshikamano, utengemano na umoja wa kitaifa, " walisema maaskofu hao katika tamko lao.

Rais Jakaya Kikwete pia alitaka waumini wa Kiislamu kuwa na subira na kuiachia serikali itafakari kwa utulivu ili ifanye uamuzi ya hekima utakaojenga na kulihakikishia taifa umoja, amani, utulivu na upendo miongoni mwa raia.

"Tujiepushe na vitendo au kauli ambazo zitawatia watu hofu na kujenga chuki miongoni mwa raia wa nchi yetu wanaopendana na kujenga chuki na kutoaminiana baina ya raia na serikali yao inayowapenda na kuwathamini," alisema Rais Kikwete mwezi uliopita.

Lakini Waislamu jana wakawa na kauli kali wakati wakijadili masuala hayo kwenye kongamano hilo, ambalo pia lilihudhuriwa na baadhi ya viongozi wa Kikristo na kufikia hatua ya kutoa tamko hilo na wameazimia kufanya maandamano makubwa jijini Dar es Salaam ambayo yatakwenda sambamba na mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika kesho kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja.

Akizungumza kwenye kongamano la jana, Katibu Mkuu wa Baraza la Habari la Kiislamu Tanzania (Bahakita), Sheikh Sadiki Godigodi alisema suluhisho la uwepo wa haki na usawa kwa wote hapa nchini ni urejeshwaji wa Mahakama ya Kadhi pamoja na upatikanaji wa haki ya kielimu kwa Waislamu.

Alisema ukimya wa serikali ya CCM kuhusu Mahakama ya Kadhi unaonyesha kuwa serikali hiyo, ambayo walidai inaongozwa na Jumuiya ya Kikristo (CCT), kutokana na kuonyesha kuipinga dhana hiyo, haina nia ya kutekeleza ilani yake licha ya kwamba suala hilo halina madhara kwa Watanzania wote na ni muhimu kwa dini ya Kiislamu na Uislamu kwa ujumla.

Godigodi alisema kwa sasa Uislamu hapa nchini hautakuwa tayari kudhulumiwa haki zake na hautakuwa tayari kuona mtu yeyote anajitokeza kukwamisha jitihada za kudai haki zao ambazo ni urejeshwaji wa Mahakama ya Kadhi na nchi kujiunga na OIC na kudai kuwa mtu yeyote atakayejitokeza kupinga jitahada hizo, atakuwa anatangaza uadui kati yake na Uislamu.

Sheikh Mustafa Lema kutoka Arusha alisema anashangazwa na serikali ya CCM licha ya kuliweka suala la Mahakama ya Kadhi kwenye ilani ya uchaguzi ya mwaka 2005, imeamua kukaa kimya katika utekelezaji wake.

Alisema Mahakama ya Kadhi ni suala la kiimani katika dini ya Uislamu na wala si la dini ya Kikristo wala serikali, hivyo jambo la msingi linalotakiwa kufanywa na serikali ni kurudishwa kwa chombo hicho.

“Ukimuuliza Mkristo anajua nini kuhusu dini atakupa habari kuhusu maaskofu, mashemasi na wachungaji na mambo yote yanayofanyika ndani ya imani yao, ukimuuliza Mwuislamu yeye atakueleza habari za masheikh, OIC na Mahakama ya Kadhi, hiyo ndiyo imani yao iweje leo Wakristo waje kuipinga Mahakama ya Kadhi ambayo siyo suala la imani yao?” alihoji Godigodi.

“Sisi tunataka Mahakama ya Kadhi ili tuweze kutetea haki zetu, hatuwezi kushughulikia mambo yahusuyo Uislamu ikiwa ni pamoja na mirathi, talaka na mali za Uislamu kama kiwanja cha Chang’ombe,” aliongeza.

Walisema kutokana na serikali ya CCM kuendelea kudhulumu haki za Uislamu na kuwachezea mara kwa mara kwa kushindwa kushughulikia masuala hayo, hawatakuwa tayari kukichagua chama hicho na badala yake watafanya kila linalowezekana kuhakikisha Waislamu wanakitosa chama hicho kwenye chaguzi zijazo.

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia alisema suala la Mahakama ya Kadhi linapaswa kuanzishwa, lakini akasisitiza uwepo wa elimu ya kutosha katika suala hilo.

Alisema tatizo lililopo ni watu kutojua nini maana ya Mahakama ya Kadhi na kazi zake na kwamba kama watapatiwa elimu ya kutosha na kueleweshwa vema, itaanzishwa kwa amani na utulivu.

Alisema elimu pekee ndiyo itakayokwenda sambamba na mijadala ya uso kwa uso kati ya makundi yote mawili na hivyo kuwezesha uanzishwaji wa mahakama hiyo kuwa wa amani.

“Tatizo linalosababisha watu kupinga ni kutoelewa Mahakama ya Kadhi nini na kazi zake. Hapa inatakiwa elimu kwa wananchi wote kuhusu mahakama hiyo ili kuwaondoa hofu," alisema.

Hata hivyo Mbatia aliwataka Waislamu kuiachia serikali ifanye kazi zake katika kushughulikia hilo kutokana na ukweli kuwa iliahidi kulishughulikia.

Katika kongamano hilo, Waislamu hao walianzisha mchango wa hiari ili kupata Sh2 milioni kwa kwa ajili ya kuendesha zoezi la kufanya kampeni ya kuzunguka nchi nzima kutangaza azma yao ya kukusanya kadi na kuzirudisha kwa CCM kama serikali haitatekeleza suala hilo.

CHANZO: Mwananchi

TATIZO LETU NI KUKURUPUKA KWA WANASIASA AMBAO WAKATI WA CHAGUZI HUTOA AHADI KAMA ZILE ZA KWENYE WIMBO NDIO MZEE WA PROF JAY ILHALI WANAJUA KABISA HAWANA UWEZO WA KUZITEKELEZA.KULIKUWA NA HAJA GANI KWA CCM KUINGIZA KWENYE MANIFESTO YAKE YA 2005 AHADI YA KUPATIA UFUMBUZI SUALA LA MAHAKAMA YA KADHI IWAPO HAIKUWA INAJUA NAMNA YA KUITEKELEZA?NA NANI ALIMTUMA MEMBE KUROPOKA HUKO DODOMA KUHUSU OIC WAKATI MAMBO BAADO KABISA?KAMA ILIVYO RAHISI KWA DEREVA ASIYE MAKINI KUSABABISHA AJALI NDIVYO WANASIASA WASIO MAKINI WANAVYOWEZA KUINGIZA NCHI KATIKA MATATIZO AMBAYO YANAWEZA KABISA KUEPUKIKA.NA KAMA ILIVYO KAWAIDA,WALIOWASHA MOTO HUO WAKO KIMYA KWA SASA KANA KWAMBA SIO WAO WALIOTUFIKISHA HAPA.

25 Nov 2008

7 Nov 2008


THROWN out by the Ugandan government on grounds of corruption, a South African firm has landed a multi-billion-shilling deal in Tanzania to produce Smartcard driving licences. 

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has embraced Face Technologies of South Africa to undertake the project, despite the fact that quotations of the firm have raised eyebrows among local information technology experts. 

According to informed sources, the company is charging $21.53 (approximately 25,200/-) per Smartcard driving licence but local experts claim that the amount is more than double the real cost. 

Reports from Uganda said the firm, established six years ago, was ordered to pack its bags from Kampala because it had inflated the cost for a similar project in the country. 

Media reports quoting Uganda’s internal affairs ministry said that Face Technologies quoted $97m while the ministry’s own evaluation had put the cost at $56m. 

In addition, Uganda’s Inspector-General of Government reported that the tender submitted in 2006 by the South African company was tainted with corruption. 

The company has since resorted to court for remedy, but Kampala has reportedly ignored the case. 

Meanwhile, TRA Commissioner General Harry Kitillya, has affirmed to THISDAY that the Smartcard driving licences tender, awarded to Face Technologies in 2006, is on track and that the authority and the Tanzania Police Force would soon introduce the licences to local motorists. 

Kitillya said yesterday that preparations for the licences had reached a final stage but he declined to mention the date for the kick-off of the exercise. 

He dismissed allegations that the project had stalled because the government intended to integrate it with the national identity card project. 

’’We talked to [Dickson] Mwaimu regarding integration of the project into the national identity card project but he was of the opinion that we proceed,’’ Kitillya said. 

Mwaimu is chief executive officer of the Registration, Insolvency and Trusteeship Agency. 

The South African company is also said to be vying for the national identity cards project. 

A number of local and international companies submitted bids for the computerised drivers licence system tender which was based on a build, operate and transfer arrangement in 2006. 

Those companies included Contec Global Limited, Global Enterprises Technologies, Techno Brain Limited, Electronics Corporation of India Limited & AKS Smart Card System Limited, Shivacom Limited, Quality Group Limited, Simba Technology (T) Limited, Afsat Communication (T) Limited & G Fischer Consulting (Pyt) Limited, 3i Infotech Limited and Starten Limited & LR Group Limited. 

The South African company’s Managing Director, Serfies Sorfontein, and Tshepo Boikanyo, General Manager of its holding company Arivia, did not respond to several mails sent by THISDAY over the past fortnight. 

On its website, however, the company has posted its TRA car registration computerisation system and Smartcard driving licences as projects that have been completed successfully. 

’’Face Technologies has become arivia.kom’s human face of information technology in Africa. The subsidiary is active in 11 African countries and gained major new public sector contracts on the continent in the past two years,’’ said the announcement. 

Since its establishment in 2002, the company claims it has won several tenders which included a drivers’ licence system for Namibia, traffic information systems for Malawi and Zambia, motor vehicle registration system for Tanzania and a national social security fund system and police identification systems for Uganda. 

In its court plea to Uganda’s Commercial Court, Face Technologies is seeking a $23m payment as compensation and damages for the alleged breach of contract. 

According to the suit documents, the firm claims it spent a lot of funds before the project was suspended in February 2006 by the Uganda Bureau of Statistics (UBOS) on orders of the Inspector General of Government (IGG).The firm claims it had started rolling out the project after carrying out a feasibility study . 

The project was suspended following a complaint from one of the bidders, Contec Global, which accused UBOS of flouting the laws in awarding the deal to Face Technologies.

SOURCE: This Day

26 Oct 2008


Moja ya matokeo (findings) katika utafiti wangu wa shahada ya uzamifu (ambao unahusu harakati za Waislamu nchini Tanzania) ni mtizamo wa asilimia kubwa ya Waislamu kwamba hawatendewi haki.Wapo wanaoona kuwa chanzo cha tatizo hilo ni sera za mkoloni (hawa si wengi),wengine wanaliona Kanisa Katoliki kama chanzo,huko wengine wakiilaumu serikali.Makundi hayo yako more complicated than nilivyoeleza.Kuna wanaohusisha ukoloni na ukristo,hivyo upinzani dhidi ya uislamu.Kuna wanaouona ukoloni kama mfumo wa kibaguzi (hapo ni siasa zaidi kuliko dini).Na kwa wanaolilaumu kanisa katoliki (au tuseme Wakristo),baadhi wanamwona Mwalimu Nyerere kama kibaraka wa Kanisa,wengine wanawatuhumu viongozi watengeneza sera hasa waliosomeshwa na kanisa (seminari) kuwa wanalitumikia kanisa indirectly.As to lawama kwa serikali,wengi wanaoiona kama inatumiwa na kanisa (hao ni wengi),na wanatuhumu baadhi ya viongozi wa serikali ambao ni waislamu kuwa wanatumika aidha kwa tamaa zao za kidunia au kwa vile hawana jinsi (mtumikie kafiri upate mtaji wako).Kwa kifupi,manung'uniko ya waislamu yalikuwepo wakati wa ukoloni (hasa kutokana na sera za kikoloni),yalikuwepo mara baada ya uhuru (japo hayakuonekana kutokana na siasa zilizozuia uhuru wa kujieleza) na yamejidhihirisha zaidi baada ya mageuzi ya miaka ya 80.Moja ya matatizo ya msingi ni ukimya wa policy makers katika at least ku-acknowledge existence ya manung'uniko hayo na dhamira thabiti ya kuyafanyia kazi.Kutambua kuwapo kwa tatizo ni hatua muhimu katika kulitafutia ufumbuzi.

Si nia yangu kutoa summary ya matokeo hayo hapa (nataraji kuchapisha kitabu baada ya kumaliza ngwe iliyobaki) bali lengo langu ni kuonyesha wasiwasi katika masuala mawili,kuanzishwa kwa mahakama za kadhi na Tanzania kujiunga na OIC,kwamba pasipo umakini nchi yetu itaelekea kubaya (I hope hapa sintaitwa mchochezi).Tayari viongozi wa kidini upande wa Wakristo wameeleza bayana upinzani juu ya masuala hayo.Viongozi wa Waislam nao wameeleza bayana kuchukizwa kwao na upinzani wa wenzao viongozi hao wa Wakristo,huku wakitarajia kuwa kinachosubiriwa ni utekelezaji tu.

Naomba kuweka wazi kuwa uchambuzi huu mfupi unafanyika kitaaluma,na hauhusiani na imani yangu kama Mkristo.Ni wazi kwamba hoja za kadhi na OIC zimekuwa zikitumiwa vibaya na wanasiasa,na wao ndio waliotufikisha hapa.Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005 katika Sura ya Nane,Kipengere 108 (b) inaeleza dhamira ya chama hicho kulipatia ufumbuzi suala la kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi Tanzania Bara.Kwa kutotoa ufumbuzi huo hadi zaidi ya nusu ya muhula wake madarakani,yayumkinika kuhitimisha kuwa suala hilo liliingizwa kwenye Ilani aidha pasipo kufanyika utafiti wa kutosha au kwa madhumuni ya kupata kura za Waislamu.Kama ambavyo baadhi ya findings za utafiti wangu zinavyoonyesha,ukimya katika masuala yanahohitaji ufafanuzi au maamuzi unachangia sana kuelta mkorogani kwa wadau wa mambo hayo.Wanaodhani kwamba kwa suala hili litapotea kwa kukaa kimya,sio tu wanajidanganya bali pia wanaiweka nchi yetu mahala pabaya.

Kuhusu suala la OIC,again, kauli za wanasiasa ambazo hazilengi kutoa ufumbuzi wa matatizo bali kuyaahirisha kwa kuahidi "mchakato" (Man,I really hate this word) ndio zimetufikisha hapa tulipo.Kama hoja ilikuwa ni mchakato,then why not kufanya huo mchakato kabla ya kukurupuka kuongea as if maamuzi yameshafanyika?Kuna mfano unaotolewa mara kwa mara kuhusu uanachama wa Uganda kwenye OIC.Does it mean kila wanachofanya Waganda lazima nasi tufanye?Binafsi nisingependa kusema hapa kwamba naunga mkono au napinga Tanzania kujiunga na OIC (nina sababu zangu za msingi kitaaluma) lakini busara nyepesi tu ingeweza kutumika katika the so-called mchakato:kuwa honest kwa Watanzania pasipo kujali imani zao.Honesty nayozungumzia hapa ni pointi kama je Watanzania wanahitaji uanachama wa OIC?Nasema Watanzania na sio Waislamu au Wakristo kwa vile katiba inasema nchi yetu haina dini,ila wananchi wana dini.Tatizo la OIC ni la kikatiba zaidi kuliko kisiasa,na ilipaswa wanaolizungumzia walioanishe na vifungu husika vya katiba.Unfortunately,katiba yetu nayo ni sehemu ya matatizo yanayotukabili.

Kwa kuhitimisha,naomba akili na busara itumike katika kuyashughulikia masuala haya mawili.Let's put common sense infront of emotions.Kwa bahati mbaya,masuala ya imani yana tabia ya kuwafanya wahusika kuwa emotional.Ni muhimu pia kwa wanasiasa wetu kuweka mbele maslahi ya taifa na sio ya kufurahisha nafsi zao au kuwafurahisha watu wachache.It can be done,tukiweka mbele maslahi ya umoja,mshikamano,upendo na utaifa wetu. 

24 Oct 2008


Pamoja na umasikini,madudu ya kisiasa,ufisadi na mengineyo yanayochukiza kuhusu nchi yetu ya Tanzania,mimi (na pengine wewe mwenzangu) bado tunaipenda nchi yetu.Nina sababu lukuki za kuipenda (au hata kuichukia) Tanzania,lakini ya msingi zaidi ni ukweli kwamba mimi ni Mtanzania,Tanzania ni nchi yangu na kwa vyovyote itakavyokuwa huko mbeleni bado nitabaki kuwa Mtanzania.

Hata hivyo,haitoshi kuwa Mtanzania tu.Haitoshi kuipenda Tanzania pasipo kutafsiri mapenzi hayo kwa vitendo.Kwanini?Kwa sababu pasipo kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa bora,inakuwa mahala salama pa kuishi,na inadumu kama nchi,Utanzania na mapenzi yetu kwa nchi yetu yanaweza yasiwe na faida au kuna mahala tunaweza kufika tunapenda kitu kisichokuwepo.Au kibaya zaidi,tunaweza kufika mahala ambapo ukisema "naipenda Tanzania" unaonekana taahira kama hutoishia kupigwa mawe.

Weka pembeni umasikini,weka pembeni maradhi,ufisadi,na matatizo mengine ya kijamii,kiuchumi au kisiasa.Tatizo kubwa na la hatari zaidi kwa Tanzania ni UZALENDO.Ni tatizo kwa sababu uzalendo unapotea kwa kasi.Ni tatizo kwa sababu nchi iko ilipo sasa kutokana na wachache wasio na uzalendo kwa nchi yetu.Ni tatizo pia kwa vile imefika mahala ambapo baadhi ya wenzetu wameanza kutafsiri uzalendo ni sawa na uhaini.Hawa ni wale ambao kwa vile wana uhakika wa kuamka wakiwa salama,kupata matibabu ya daraja la kwanza,kupata mishahara na posho nono sambamba na usafiri wa bure,pamoja privileges nyingine.Wenzetu hawa wanasahau kwamba wana babu,bibi,baba,mama,kaka,dada,wadogo,ndugu,jamaa na marafiki mtaani ambao wanateseka kutokana na matendo ya wasio wazalendo (mafisadi,nk).

Kwa kulinda maslahi yao binafsi na ya wale waliowaweka kwenye ulaji,wenzetu hawa hawataki kusikia neno lolote linalowahusu watu wa kawaida.Kuzungumzia lolote kuhusu kundi hili la walio wengi inatafsiriwa kuwa ni utovu wa nidhamu,kwenda kinyume na taratibu na pengine uhaini.Wanachosahau ni kwamba Tanzania ikichafuka,hizo raha zinazowalewesha nazo zitapotea.Badala ya kuwanyanyasa wale wanaohangaika kuifanya nchi yetu iwe katika hali nzuri,wanapaswa kuwaenzi na kuwasapoti.

Tanzania ni yetu sote,sio ya kikundi kidogo cha watu wanaotaka kusikia yale wanayopenda wao tu japo nao wanaona kabisa madudu yanayofannywa na majambazi,mafisadi,wazembe,mafuska wa itikadi,nk.Hizi tabia za kupiga makofi ya shangwe hata chifu anaposahau kufunga zipu yake zitatupeleka pabaya.Amani ina tabia tatu kuu: inachukua muda kuipata/kuijenga,inachukua muda mfupi sana kuiharibu/kuipoteza,na inachukua muda mrefu zaidi kuirejesha pindi ikitoweka (na pengine ikishapotea hairejei tena).Tuna kila aina ya mifano inayotuzunguka:Somalia,DRC (Zaire),Sudan,nk.

Tusipofanya sasa tunachopaswa kufanya kuilinda Tanzania kwa nguvu zote na kuwasapoti wazalendo wote wanaotusaidia kufanya hivyo tutaishia kujilaumu huko mbeleni.Na hakuna sehemu mbaya ya tatizo kama inapofikia hatua ya kusema "laiti tunge..."

28 Sept 2008

Picha kwa hisani ya  Chesi Mpilipili
Shirika la Umeme Tanzania,TANESCO,limetangaza ratiba mpya ya mgao wa umeme ambao tofauti na yale masaa matano ya awali   sasa tatizo hilo litadumu kwa masaa kumi kwa siku.Ni muhimu kuwa tatizo hili linakuja wakati tatizo jingine la nishati ya mafuta likiwa halijatulia sawasawa.Angalau katika suala la kupanda kwa bei za mafuta liko nje ya uwezo wetu kwa vile linakuwa determined na soko la dunia.Lakini inakuwa vigumu kuingia akilini pale ambapo takriban kila mwaka lazima TANESCO watangaze mgao wa umeme.Na ninaposema kila mwaka najaribu ku-neglect power cuts za mara kwa mara zisizo na ratiba ambazo zimekuwa kama suala la kawaida huko nyumbani.

Kwa mtazamo wangu,tatizo kubwa zaidi linaloikabili TANESCO sio uhaba wa fedha bali namna linavyoendeshwa kisiasa.Pengine unaweza kudhani ufumbuzi wa tatizo hilo ni kulibinafsisha shirika hilo la umma.Lakini pengine kabla hujafikiri hivyo ni vema ukaangalia baadhi ya mashirika ya umma ambayo kubinafsishwa kwake hakujaweza kuyafanya yamudu uendeshwaji wa mafanikio.Mfano mzuri ni Sherika la Reli (TRC) ambapo huduma zake zimeendelea kuwa mbovu licha ya kupatiwa mwekezaji ambaye pengine mafanikio yake makubwa yamekuwa katika kuishawishi serikali impatie fedha za kumkwamua kila linapotokea tishio la mgomo wa wafanyakazi.Sikatai kwamba kuna some few success stories katika ubinafsishaji wa mashirika yetu ya umma,mfano mzuri ukiwa TBL,lakini mafanikio hayo yanaendelea kubaki kuwa mithili ya matone kwenye bahari.

Uendeshwaji wa TANESCO kisiasa ndio uliopelekea shirika hilo kusaini mkataba wa ajabu na kampuni ya IPTL.Mkataba huo umeendelea kuiumiza TANESCO kwa muda mrefu sana na hakuna dalili za kuisha kwa tatizo hilo.Ahadi za kupitia mikataba mibovu zimeendelea kubaki ahadi huko akina IPTL wakiendelea kuikalia kooni,hali inayopelekea maumivu zaidi kwa wananchi wa kawaida.

Kuna hujuma za kiwango kidogo dhidi ya TANESCo zinazofanywa na wezi wa mafuta ya transfoma,mita za luku na hata nyaya za umeme.Hujuma hizi zinazodaiwa kuwashirikisha baadhi ya watumishi wasio waaminifu wa shirika hilo haziwezi kulinganishwa hata kidogo na hujuma kubwa kama hiyo ya IPTL.Hivi inaingia akilini kweli kwa shirika kulilipa shirika jingine hata lisipotoa huduma inayokusudiwa kwenye mkataba?

Kuna Watanzania wenzetu wanaofanya kila liwezekanalo kuona TANESCO haiishi kulingana na matarajio yake na ya wateja wake.Hawa ni pamoja na wale waliotuingiza mkenge kwenye utapeli wa Richmond.Hawa wanaombea ukame ujitokeze tena ili waje na scams nyingine za kuongeza mabilioni ya shilingi kwenye akaunti zao.Ni katika mazingira ya namna hii ndipo tunapojikuta tukipatwa na hisia kwamba hata kuharibika kwa mitambo ya umeme ya Songas (ambapo imepelekea kuwepo kwa mgao huu wa sasa) kunaweza kuwa hujuma ya hao wenzetu ambao kuumia kwa wengi ndio mafanikio yao.

Kabla ya kuangalia chanzo kikubwa cha utendaji wa kiwango cha chini kabisa kwa TANESCO (mbali na uendeshwaji wa kisiasa) ni vema pia kuangalia sera nzima ya nishati nchini.Katika dunia hii ambayo nchi kama zetu za dunia ya tatu (na hivi karibuni hata kwa nchi zilizoendelea) hazina uwezo madhubuti wa kukabiliana na matukio yasiyotarajiwa (eg kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia na the current world economy crisis) ni muhimu kujitengenezea mazingira ya kuzuia madhara ya huko mbeleni.Tukiendelea kutegemea mvua zijaze mabwawa ili mitambo ya TANESCO huko Kidatu na kwingineko ifanye kazi sawasawa,tutazidi kuumia.Pasipo kuwa na chombo madhubuti zaidi ya EWURA na TPDC,ni dhahiri wafanyabiashara wa mafuta wataendelea kuuza nishati hiyo kwa bei wapendazo wao.

Lakini ili yote yawezekane ni lazima kila Mtanzania aweke mbele maslahi ya taifa badala ya maslahi binafsi.Maamuzi mengi mabovu ni matokeo ya kukithiri kwa upungufu wa uzalendo na uchungu kwa taifa letu.Wataalam tunao lakini mara nyingi ushauri wao unapuuzwa kwa vile unaonekana kuathiri maslahi binafsi ya mafisadi.Kibaya zaidi,ushauri mzuri kwa maslahi ya taifa unaweza pia kutafsiriwa kuwa ni uchochezi.Siasa inaelekea kutawala kwenye kila nyanja na professionalism inanyang'anywa nafasi yake na hamasa za kisiasa.Nothing good ever comes out of putting emotions (in this case political sentiments) in front of common sense (hapa ni maslahi ya taifa)


25 Sept 2008

Kwa mujibu wa The Citizen,Tanzania itakumbwa na mgao wa umeme wa masaa matano kwa siku kutokana na kuharibika kwa mitambo ya Songas.Let's hope this won't lead to another Richmond-like scam.Lakini pengine huu ni wakati mwafaka wa kujiuliza ni lini matatizo ya umeme yatakwisha nchini.Katika kipindi nilichokuwa nyumbani hivi karibuni,katika baadhi ya maeneo kama Sinza ilikuwa as if tayari kuna mgao wa umeme.Yayumkinika kuhisi kwamba kuna mafisadi wanaoombea tatizo hilo liwe kubwa zaidi ili watuumize tena.Who know,they might even be the force behind the Songas turbine collapse.

23 Sept 2008



Mgomo wa NMB nchi nzima-Mishahara kuchelewa

Na Waandishi Wetu 

ZAIDI ya wafanyakazi 5,000 nchini wanaochukua mishahara yao kupitia Benki ya National Microfinance Bank (NMB) watalazimika kutolipwa wiki hii kutokana na mgomo wa nchi nzima wa wafanyakazi wa benki hiyo ulioanza jana. 

Wafanyakazi hao waligoma wakiishinikiza Serikali kuwalipa mafao na kupewa asilimia tano ya hisa zilizotengwa kwa ajili yao wakati Serikali ilipoamua kuuza hisa zake. 

Mgomo huo umekuja baada ya Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO), kutoa notisi ya saa 48, Septemba 19 mwaka huu ikieleza kusudio la kugoma. 

Akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu mgomo huo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Ben Christiaanse, alisema hatua iliyochukuliwa na wafanyakazi hao katika matawi 121 nchini, ni kubwa kuliko tatizo lililopo. 

Aliulaumu uongozi wa TUICO kwa kile alichodai mbali ya kusababisha matatizo mengine, umekiuka amri ya mahakama kwa kuwa suala la wafanyakazi hao bado lilikuwa linashughulikiwa na kusisitiza, kwamba mgomo huo umesababisha matatizo makubwa kwa mamilioni ya Watanzania. 

Akizungumza kwenye mkutano huo, Mwanasheria wa NMB, Bw. Rosan Mbwambo, alisema jana asubuhi benki hiyo iliwasilisha ombi rasmi mahakamani la kukiukwa amri hiyo iliyotolewa Januari 21 mwaka huu na kutaka wahusika kuchukuliwa hatua za kijinai. 

Alisema baada ya kuwasilisha ombi hilo, mahakama hiyo iliagiza pande mbili, Benki na Chama cha Wafanyakazi, kufika mahakamani leo asubuhi. 

Aliwataja viongozi wa TUICO wanaotakiwa mahakamani leo kuwa ni Katibu Mkuu wa TUICO, Bw. Boniface Nkakatisi, naibu wake Alquine Senga, Mwenyekiti wa NMB TUICO Tawi na Kamati ya Majadiliano, Bw. Joseph Misana na Katibu wa Tawi la NMB, Bw. Abdallah Kinenekejo. 

Kutoka Tanga, Benedict Kaguo anaripoti kuwa wateja wa Benki ya NMB waliulalamikia uongozi wa benki hiyo kwa kushindwa kusikiliza madai ya watumishi wao hadi kusababisha mgomo mkubwa ulioleta adha kubwa. 

Wakizungumza kwa jazba nje ya ofisi za benki hiyo tawi la Madaraka jana baada ya kukuta tangazo lililowaomba radhi wateja kuwa hakutakuwa na huduma, wateja hao walidai jambo hilo limetokana na kupuuzwa hoja za wafanyakazi hao. 

Walieleza kutofurahishwa na kauli ya Mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Christiaanse kung’ang’ania kuwa mgomo huo ni batili bila kueleza chochote ama ni hatua gani amechukua kutekeleza madai ya wafanyakazi wake. 

“Sisi tunamshangaa huyu Mkurugenzi wa NMB, anaacha kueleza ni nini atawafanyia wafanyakazi hawa ili wasigome, yeye anang’ang’ania kuwa mgomo ni batili haya ni mambo ya ajabu sana,” alisema Mwalimu Deo Temba. 

Alieleza kuwa NMB ni benki kongwe nchini, hivyo kitendo cha kutowajali watumishi wake kinaifedhesha benki hiyo ndani ya jamii. 

Kutoka Shinyanga, Suleiman Abeid anaripoti kuwa mgomo ulichukua sura mpya baada ya wafanyakazi benki hiyo kutishia kuwashawishi na kuwaomba wafanyakazi wa sekta nyingine nao wagome kuishinikiza Serikali ikubali kutekeleza madai yao. 

Wakizungumza na waandishi wa habari mjini humo jana, wafanyakazi hao wakiongozwa na viongozi wao wa chama chao, ngazi ya tawi na mkoa, walisema watafanya chini juu kuwaomba wafanyakazi wenzao wawaunge mkono, ili Serikali ishughulikie haraka madai yao. 

“Iwapo madai yetu hayatapatiwa ufumbuzi mapema, sisi tutaendelea na mgomo wetu na ni wazi wafanyakazi wenzetu hawataweza kulipwa mishahara yao na hata baadhi ya wafanyabiashara watapata shida, tutawaomba nao wagome katika maeneo yao,” alieleza Bw. Emmanuel Samara Katibu TUCTA mkoani hapa. 

Naye Katibu wa TUICO Shinyanga, Bw. Gabriel Melchior, alisema wafanyakazi wa NMB hawajagoma bali wanaendeleza mgomo ulioanzishwa na Serikali na mwajiri wao. 

Naye Francis Godwin kutoka Iringa anaripoti kuwa mgomo wa wafanyakazi NMB ulikabiliwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) baada ya kutanda benki hiyo huku wateja wakiwa wamepanga foleni tangu asubuhi wakisubiri kuchukua fedha zao katika ATM. 

Kutokana mgomo huo baadhi ya wananchi walimtaka Waziri wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo, kuchukua hatua ya kujiuzulu haraka kwa kushindwa kumudu nafasi hiyo. 

Mwandishi wa habari hizi alishuhudia wateja hao wengi wao wakiwa ni walimu na watumishi wa Serikali wakisubiri milango ya benki hiyo ifunguliwe, kutokana na kutokuwapo tangazo lolote lililoonesha kuwapo mgomo katika benki hizo. Matangazo hayo yalibandikwa saa 5 asubuhi. 

Kutoka Mwanza Jovin Mihambi anaripoti kuwa wafanyakazi katika matawi mawili ya NMB jijini humo walisema wataendelea na mgomo licha ya Menejimenti na Serikali kupuuza mwito wa kuwataka kukutana nao kutatua matatizo yao. 

Wakizungumza na Majira katika ukumbi wa DVN maeneo ya Posta jijini hapa, walisema awali walikubaliana na uongozi wa benki hiyo kupitia kwa Meneja wake, Bw. Methusela Israel, kuwa wangekutana kujua hatma ya nyongeza ya mishahara yao ambayo walisema kuwa ni asilimia tano. 

Katibu wa TUICO Mkoa wa Mwanza, Bw. Renatus Chimola, ambaye aliungana na wafanyakazi wa benki hiyo, alisema kama menejimenti na viongozi wa Serikali hawatatokea katika kikao hicho, mgomo huo utaendelea hadi leo mpaka uongozi huo utakapokutana nao na kujadili matakwa yao. 

Alisema wananchi ambao ni wateja katika matawi hayo watapata usumbufu, yeye na wafanyakazi hao, hawatajali usumbufu huo kwa madai kuwa wanachodai ni maslahi yao ambayo yatawawezesha kutenda kazi yao kwa ufanisi zaidi kama benki zingine nchini

SOURCE:Majira


Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.