18 Apr 2009
Na Leon BahatiSAKATA la Halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein na ujumbe wake limechukuwa sura mpya, baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Celina Kombani kuunga mkono uamuzi wa halmashauri ni sahihi.
Akizungumza na Mwananchi Jumapili, Kombani alisema halmashauri za wilaya haziwajibiki kuchangia ziara za mawaziri, rais au makamu wake, wanapotembelea katika maeneo yao.
Kombani alibainisha kuwa kama ingekuwa utaratibu huo upo, halmashauri nyingi zingefilisika hasa ambazo mawaziri wanatoka, kwa sababu wana utaratibu maalumu wa kutembelea zaidi ya mara tano kwenye maeneo yao, kwa mwaka.
"Kwa mfano kwa mwaka mimi hufanya ziara mara sita katika wilaya yangu ya Ulanga (Morogoro). Tukisema wanigharamie basi ingefilisika pamoja na halmashauri nyingine ambazo zina mawaziri," alisema Kombani ambaye ni Mbunge wa Ulanga Mashariki.
Akielezea kuhusu taratibu za matumizi ya fedha kwenye halmashauri, alisema kwa kawaida matumizi yote hupitishwa kwenye vikao vya madiwani.
Alibainisha kuwa gharama za msafara wa rais, makamu wa rais na mawaziri hugharamiwa na serikali kuu, kulingana na taratibu zilizowekwa.
"Ndiyo maana rais anapokuwa kwenye ziara huenda na vyakula vyake," alisema Kombani lakini akafahamisha kuwa halmashauri zinaweza kutenga fungu kwa ajili ya kuuandalia ugeni kwenye maeneo yao chakula cha jioni.
Iwapo halmashauri itaamua kufanya hivyo, alisema kuwa ni lazima fungu hilo liwe limepitishwa na halmashauri kupitia vikao vyake halali na si mkurugenzi na watendaji wake.
Alipoulizwa juu ya adhabu ya kiongozi wa halmashauri atakayetoa fedha pasipokufuata taratibu; alisema kila halmashauri ina taratibu zake za kuwajadili viongozi au maofisa waliokiuka taratibu na kuwachukulia hatua.
Suala la Halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais pamoja na ujumbe wake liliripotiwa na gazeti la Mwananchi Jumatano iliyopita likionyesha kuwa Mkuu wa wilaya hiyo, Mathew Sedoyeka alimjia juu na kumtaka aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Majid Myao, aandike barua ya kujieleza kwanini alikataa kutoa fedha za kulipia ziara ya makamu wa rais wilayani humo.
Sedoyeka hakufurahishwa na kitendo cha halmashauri hiyo kugoma kulipa kiasi cha Sh2 milioni ambazo ni malipo ya kulala siku moja pamoja na chakula kwa ujumbe huo wa makamu wa rais, katika hoteli ya Bougain Villea ya mjini Karatu.
Kwenye barua ya kujieleza iliyoandikwa Machi 3, 2009 yenye kumbukumbu namba kdc/ded/cv.3/1/121, Myao amejitetea kuwa uamuzi wa kutolipiwa ziara hiyo, umetokana na kamati ya fedha ya madiwani kukataa kuidhinisha fedha hizo.
Alisema kutokana na kutoidhinishwa malipo hayo, aliona angekiuka Sheria namba tisa ya mwaka 1982 ambayo inahusu masuala ya matumizi ya fedha za halmashauri na maamuzi ya kamati ya fedha.
“Kama mimi ningetoa malipo hayo ni wazi ningekiuka sheria za serikali za mitaa hasa ikizingatiwa madiwani katika kikao chao halali ndio waligomea,” alieleza Myao.
Akizungumzia sakata hilo, Mbunge wa Jimbo la Karatu, Dk Willibrod Slaa alisema alichofanya ofisa huyo wa serikali ilikuwa halali kwa sababu walikuwa hawana bajeti ya malipo hayo.
Dk Slaa alitoa wito kwa serikali kutomuadhibu mtendaji yoyote wa halmashauri hiyo kutokana na uamuzi uliochukuliwa, ambao ulizingatia maadili ya kazi na utekelezaji wa utawala bora.
CHANZO: Mwananchi

Riyadh, April 16 - Saudi investors have asked Tanzania if they can lease 500,000 hectares of farmland mainly for rice and wheat farming as part of a plan to secure food supplies for the desert kingdom, officials said.
Senior officials from the Saudi capital's chamber of commerce made the request on the sidelines of a meeting with visiting Tanzanian President Jakaya Kikwete.
"Tanzania is ready to do business with you ... There is 100 million acres (40.5 million hectares) of good arable land," Kikwete told Saudi businessmen.
Samir Ali Kabbani, head of the chamber's agriculture committee, said: "We had very positive feedback."
"He (Kikwete) told us that Tanzanian authorities can lease us plots each of which covers up to 10,000 hectares for a 99-year period," he told Reuters after the meeting.
The Saudi government has joined private operators to invest in farm projects abroad after a long and costly food sufficiency plan threatened to deplete the desert kingdom's water supplies.
Saudi businessmen and officials will visit Tanzania in the next few weeks.
"They can lease the land from the government," January Makamba, an aide to President Kikwete, told Reuters.
"But we have to make sure we don't end up in a situation similar to that of Nigeria: Huge oil reserves but long queues in front of petrol stations," Makamba said.
Saudi officials are particularly interested in Tanzania because of its geographic proximity, political stability and the availability of water resources and farmland.
Several Saudi firms have already started investing in agricultural projects from Indonesia to Ethiopia.
Indonesia said in August that Saudi BinLadin Group would invest $4.3 billion on 500,000 hectares for rice farming.
Saudi Arabia's annual wheat needs are estimated at about 2.5 million tonnes and it imported a little over 1 million tonnes of rice in 2008, according to the U.S. Department of Agriculture.
Senior officials from the Saudi capital's chamber of commerce made the request on the sidelines of a meeting with visiting Tanzanian President Jakaya Kikwete.
"Tanzania is ready to do business with you ... There is 100 million acres (40.5 million hectares) of good arable land," Kikwete told Saudi businessmen.
Samir Ali Kabbani, head of the chamber's agriculture committee, said: "We had very positive feedback."
"He (Kikwete) told us that Tanzanian authorities can lease us plots each of which covers up to 10,000 hectares for a 99-year period," he told Reuters after the meeting.
The Saudi government has joined private operators to invest in farm projects abroad after a long and costly food sufficiency plan threatened to deplete the desert kingdom's water supplies.
Saudi businessmen and officials will visit Tanzania in the next few weeks.
"They can lease the land from the government," January Makamba, an aide to President Kikwete, told Reuters.
"But we have to make sure we don't end up in a situation similar to that of Nigeria: Huge oil reserves but long queues in front of petrol stations," Makamba said.
Saudi officials are particularly interested in Tanzania because of its geographic proximity, political stability and the availability of water resources and farmland.
Several Saudi firms have already started investing in agricultural projects from Indonesia to Ethiopia.
Indonesia said in August that Saudi BinLadin Group would invest $4.3 billion on 500,000 hectares for rice farming.
Saudi Arabia's annual wheat needs are estimated at about 2.5 million tonnes and it imported a little over 1 million tonnes of rice in 2008, according to the U.S. Department of Agriculture.
SOURCE: Reuters
"TANZANIAN AUTHORITIES CAN LEASE THE SAUDIS PLOTS EACH OF WHICH COVERS UP TO 10K HECTARES FOR A 99-YEAR PERIOD!?"
"TANZANIAN AUTHORITIES CAN LEASE THE SAUDIS PLOTS EACH OF WHICH COVERS UP TO 10K HECTARES FOR A 99-YEAR PERIOD!?"
DID I QUOTE THAT RIGHT? YES I DID.
CALL ME ONE OF THE DOUBTING THOMASES BUT IF THIS STORY IS TRUE,THEN PERHAPS THE LIKE OF CHIEF MANGUNGO WERE NOT SO DUMB WHEN THEY WERE DUPPED INTO SIGNING SOME CRAZY LAND CONTACT WITH KARL PETERS&co..AT LEAST THE CHIEFS COULD HAVE AN EXCUSE...IT'S DURING THE "DARK AGES" AND THE FORE-RUNNERS OF COLONIALISM TOOK OF ADVANTAGE OF THE CHIEFS' ILLITERACY AND LACK OF SUFFICIENT KNOWLEDGE IN GOVARNANCE OF THEIR PEOPLE AND PROPERTY.
BY THE WAY,INSTEAD OF BEGGING THE SAUDIS,WHY SHOULDNT THE PRIORITY BE IN EMPOWERING THE LOCAL FARMERS IN A COUNTRY WHERE THE ECONOMY DEPENDES HEAVILY ON AGRICULTURE THAT ACCOUNTS FOR MORE THAN 40% OF GDP?
HIVI HAWA WAHINDI WAMETUROGA HADI KUFIKIA HATUA YA KUBADILISHA MAJINA YA MITAA YETU KWA MINAJILI TU YA KUKIDHI LADHA ZAO!HUYU ABUU JUMA,MEYA WA MANISPAA YA ILALA SI ALIAHIDI KUFANYIA KAZI TABIA HII CHAFU YA KUBADILISHA MITAA PASIPO KIBALI?FOR THAT MATTER,INAELEKEA CITY FATHERS WAMEAMUA "KUKUBALI MATOKEO" NA HATIMAYE KUWAACHA HAO WAHINDI WAJIBADILISHIE MAJINA YA MITAA KWA NAMNA WANAVYOTAKA!
NA KAMA DESTURI ILIVYO,YAYUMKINIKA KUAMINI KWAMBA "KUKUBALI MATOKEO" HUKO HAKUKUFANYIKA HIVI HIVI TU,KUNA FISADI "KADIKISHWA KITU" KURIDHIA UCHAFUZI WA HISTORIA.OLE WAO WANAOENDEKEZA TAMAA ZAO ZA FEDHA NA KUPUUZA URITHI WETU WA KIHISTORIA.IPO SIKU MAKABURI YAO YATABOMOLEWA KWA HASIRA YA VIZAZI VIJAVYO.WHY NOT?MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU ANAPASWA KUKASIRISHWA NA UPUUZI WA NAMNA HII.
17 Apr 2009
17.4.09
Evarist Chahali
CCM, JK, RUSHWA TANZANIA, YUSUPH MAKAMBA
No comments
KWA MUJIBU WA GAZETI LA Uhuru,KATIBU MKUU WA CCM,YUSUPH MAKAMBA,AMEAGIZA UONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZAKE NGAZI ZA MIKOA KUANDAA MAPAMBANO YA KUMPONGEZA JK NA SERIKALI KWA KAZI NZURI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA.....Nadhani muda si mrefu kutakuwa na tangazo jingine la kuagiza maandamano ya kupongeza mafanikio ya kutimizwa kwa ahadi ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA sambamba na pongezi za kuwabainisha wamiliki wa Kagoda.
CCM HOYEEEE!!!!!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!
That's all I can say!
Habari nyingine ndani ya gazeti hilo ni pamoja na "UFISADI MALIASILI:Sh Bil 2.4 zayeyuka kiutatanishi;Mil 790 zatumika kununua pikipiki hewa;Watumishi watimuliwa,wachunguzwa"
17.4.09
Evarist Chahali
BRITISH MONARCHY, TRUST., YOUGOV
No comments

Queen Elizabeth II is Britain's most trusted public figure, leaving Prime Minister Gordon Brown and other politicians trailing in her wake, a new survey revealed on Friday...CONTINUE

A total of US$30 million (over 36bn/-) given to Tanzania as aid by the Norwegian government in the past 12 years may have been squandered through corruption and mismanagement, an independent report has revealed.
The just-released Anti-corruption Resource Centre Report entitled `Does Aid work?`, which considers the challenges to aid effectiveness in major natural resources programmes, says half of the US$60 million did not make it to the primary targets and ended up lost.
The report is authored by Erik Jansen, a senior advisor at NORAD Evaluation Department.
A former programme officer at the Norwegian Embassy in Tanzania quotes in the report an evaluation by independent consultants in 2006 as having established these facts.
``Those who have control over the natural resources are in a powerful position and usually have easy access to money... Tanzania has not been successful in managing its natural resources in a sustainable and equitable manner, nor has the country been able to achieve significant economic growth in its utilisation of these resources,`` notes the report.
Norway financed the Management of Natural Resources Programme (MNRP) in Tanzania from 1994 to 2006 and the report names the Natural Resources and Tourism ministry as being in charge of managing the forestry, fisheries and wildlife resources.
``The Ministry had three separate divisions, each dealing with one of these resources. MNRP had projects in the forestry, fisheries, and wildlife sectors that were closely connected to these three divisions of the Ministry. In all of the three sectors there has been pervasive corruption during the last decades. Management and staff in the Ministry, together with politicians and people from the local population, have plundered the resources and exploited the resources in a way that is not sustainable. Often this has been in collaboration with foreign investors,`` writes Jansen.
The example is given of assistance from the Kuwait Fund for Arab Economic Development, the OPEC Fund for International Development, and the Saudi Fund for Development, which resulted in one of the largest bridges in Africa. It was built over the Rufiji River in 2003.
``The bridge led straight into a natural forest of about 20,000 square kilometres that had remained fairly unexploited until then. A comprehensive study conducted after the completion of the bridge showed extensive illegal exploitation of the forest,`` says the report.
It adds: ``Logs worth tens of million of US dollars were exported illegally to China and other countries in Asia. Taxes and royalties were paid for only four per cent of the forests that were harvested.``
According to the study, illegal logging cost Tanzania about US$ 52 million of its potential revenue annually.
The reports further notes that corrupt politicians and representatives of the fisheries and wildlife sectors allowed these resources to be plundered by national and international companies, provided they themselves obtained a share of the resultant profit.
``Both in the fisheries and wildlife sectors, licences are allocated to investors at a price that is only a fraction of the market price. Corrupt representatives of the Government earn huge amounts of money that should have gone into the Treasury,`` the report states.
``The development partners in Dar es Salaam recently notified the Government that the fees which the Government received from the wildlife sector were minimal. The Government only charged US$ 8,000 for hunting blocks that had a much higher market value.
``The Government accepted the complaint by the development partners and increased the fees to US$ 40,000 for each block. However, many of the politicians and ministers who controlled these hunting blocks complained that the increased fees would lower their profit and therefore demanded that fees should remain at the old levels,`` it adds.
Some 150 trawlers from EU member countries and the Far East operating within Tanzania`s Exclusive Economic Zone in the Indian Ocean are said to have been paying a paltry US$18,000 annually to obtain a licence. But on a good day of fishing, the trawlers are able to catch fish of the same value.
The report says that, if the Government had charged market value for these licences, the Treasury could have collected US$20 million annually for the trawlers` licences.
``It is also well known that the export of Nile perch from Lake Victoria has been underreported for many years in order to avoid taxation. There is much money to be earned by government officials and politicians who contribute to increased export of natural resources without it being taxed,`` it adds.
The Natural Resources and Tourism ministry is viewed as being in a special position in the government set-up because of its opportunity to generate its own resources from taxes, fees and royalties. It also receives allocations from the Treasury.
``It is difficult to estimate how much money the Ministry transfers to the Treasury and how much disappears due to corruption. With all the potential income from natural resources, the Government of Tanzania should have been able to manage its own natural resources without depending on funds from development partners,`` notes the report further.
A report from the World Bank enforces this view, saying: ``Because of policy failures, Tanzania’s natural resource endowments are not harnessed in an optimal way to achieve both economic growth and poverty reduction. On the contrary, owing to weak governance regimes in revenue-generating sectors, resources are offered below market price to the benefit of a few powerful winners and the loss of the majority of the rural population.``
It adds: ``Yet these natural resources provide substantive potential for income to communities in the rural areas. The weakness in governance regimes in forestry, wildlife and fisheries include primarily the lack of transparency and accountability in issuing rights to extract resources and accrue revenues from them, inequitable sharing of benefits with communities, and monitoring and surveillance of stocks.
``In all four principal sectors providing natural capital in the growth equation – forestry, wildlife, fisheries, and mining – royalties are set arbitrarily and do not reflect scarcity. Royalties are hence not used as a policy instrument of intertemporal resource pricing and sustained yield management (Pfliegner 2008).``
The World Bank report stresses that the problem is not lack of legal acts and instruments, policies, strategies and plans that explains the mismanagement and corruption in the natural resources sector but lack of the political will to follow up on the adopted instruments.
``The Government of Tanzania has a complicated relationship to its task of managing the natural resources. On the one hand the government has, with the support of its development partners, spent much time and resources in developing legal acts, policies, strategies, national plans, and sector strategies for its forestry, fisheries, and wildlife resources which are compatible with those of the international community.
No doubt many government officials in Tanzania do their utmost to comply with and follow up these adopted plans and strategies.`
``On the other hand, there are also many government officials and politicians who undermine the policies they themselves have been central in having Parliament adopt.
Many of these politicians and government officials have held high positions in the Ministry. These leaders can force honest government officials to adopt corrupt practices,`` it adds.
Published as part of the project named `Corruption in Natural Resource Management`, the paper suggests a more sophisticated approach to budget and programme support.
``If we are to improve and understand the relationships between a plan and the reality, it is important that we are open and share experiences made in development aid.
It is therefore a good thing that the political leadership in the Ministry of Foreign Affairs and Norad welcomes a broader and more open debate on development aid,`` writes Jansen.
Renewable natural resources in Tanzania play an important role both for the population in rural areas of the country and for the economy as a whole.
Of Tanzania`s total population of about 40 million people, 75 per cent live in rural areas.
Most of the rural population has access to forestry, fish and/or wildlife resources.
It is estimated that on average 40 per cent of the income in rural households comes from one of these three natural resources.
Agriculture is the main economic sector in the rural areas but most people living off the land use simple technology and land productivity is very low.
Efforts to improve the agricultural sector are slow and income and food from forests, fisheries and wildlife will for many years continue to play an important role for the rural population.
Natural resources are important at the national level too. Timber from the forests is important for economic activities in the country and it is also a major source of foreign exchange.
The country also receives substantial foreign exchange from the export of Nile perch from Lake Victoria and shellfish from the coastal areas. Wildlife brings income from tourism and hunting licences.
Traditionally, local people have used their own rules of management for the various natural resources they have found of interest. But this has changed during the last few decades.
A new set of actors, very often foreign investors, have discovered the value of Tanzania`s natural resources and stiff competition for scarce natural resources has changed the constellation among the actors.
The just-released Anti-corruption Resource Centre Report entitled `Does Aid work?`, which considers the challenges to aid effectiveness in major natural resources programmes, says half of the US$60 million did not make it to the primary targets and ended up lost.
The report is authored by Erik Jansen, a senior advisor at NORAD Evaluation Department.
A former programme officer at the Norwegian Embassy in Tanzania quotes in the report an evaluation by independent consultants in 2006 as having established these facts.
``Those who have control over the natural resources are in a powerful position and usually have easy access to money... Tanzania has not been successful in managing its natural resources in a sustainable and equitable manner, nor has the country been able to achieve significant economic growth in its utilisation of these resources,`` notes the report.
Norway financed the Management of Natural Resources Programme (MNRP) in Tanzania from 1994 to 2006 and the report names the Natural Resources and Tourism ministry as being in charge of managing the forestry, fisheries and wildlife resources.
``The Ministry had three separate divisions, each dealing with one of these resources. MNRP had projects in the forestry, fisheries, and wildlife sectors that were closely connected to these three divisions of the Ministry. In all of the three sectors there has been pervasive corruption during the last decades. Management and staff in the Ministry, together with politicians and people from the local population, have plundered the resources and exploited the resources in a way that is not sustainable. Often this has been in collaboration with foreign investors,`` writes Jansen.
The example is given of assistance from the Kuwait Fund for Arab Economic Development, the OPEC Fund for International Development, and the Saudi Fund for Development, which resulted in one of the largest bridges in Africa. It was built over the Rufiji River in 2003.
``The bridge led straight into a natural forest of about 20,000 square kilometres that had remained fairly unexploited until then. A comprehensive study conducted after the completion of the bridge showed extensive illegal exploitation of the forest,`` says the report.
It adds: ``Logs worth tens of million of US dollars were exported illegally to China and other countries in Asia. Taxes and royalties were paid for only four per cent of the forests that were harvested.``
According to the study, illegal logging cost Tanzania about US$ 52 million of its potential revenue annually.
The reports further notes that corrupt politicians and representatives of the fisheries and wildlife sectors allowed these resources to be plundered by national and international companies, provided they themselves obtained a share of the resultant profit.
``Both in the fisheries and wildlife sectors, licences are allocated to investors at a price that is only a fraction of the market price. Corrupt representatives of the Government earn huge amounts of money that should have gone into the Treasury,`` the report states.
``The development partners in Dar es Salaam recently notified the Government that the fees which the Government received from the wildlife sector were minimal. The Government only charged US$ 8,000 for hunting blocks that had a much higher market value.
``The Government accepted the complaint by the development partners and increased the fees to US$ 40,000 for each block. However, many of the politicians and ministers who controlled these hunting blocks complained that the increased fees would lower their profit and therefore demanded that fees should remain at the old levels,`` it adds.
Some 150 trawlers from EU member countries and the Far East operating within Tanzania`s Exclusive Economic Zone in the Indian Ocean are said to have been paying a paltry US$18,000 annually to obtain a licence. But on a good day of fishing, the trawlers are able to catch fish of the same value.
The report says that, if the Government had charged market value for these licences, the Treasury could have collected US$20 million annually for the trawlers` licences.
``It is also well known that the export of Nile perch from Lake Victoria has been underreported for many years in order to avoid taxation. There is much money to be earned by government officials and politicians who contribute to increased export of natural resources without it being taxed,`` it adds.
The Natural Resources and Tourism ministry is viewed as being in a special position in the government set-up because of its opportunity to generate its own resources from taxes, fees and royalties. It also receives allocations from the Treasury.
``It is difficult to estimate how much money the Ministry transfers to the Treasury and how much disappears due to corruption. With all the potential income from natural resources, the Government of Tanzania should have been able to manage its own natural resources without depending on funds from development partners,`` notes the report further.
A report from the World Bank enforces this view, saying: ``Because of policy failures, Tanzania’s natural resource endowments are not harnessed in an optimal way to achieve both economic growth and poverty reduction. On the contrary, owing to weak governance regimes in revenue-generating sectors, resources are offered below market price to the benefit of a few powerful winners and the loss of the majority of the rural population.``
It adds: ``Yet these natural resources provide substantive potential for income to communities in the rural areas. The weakness in governance regimes in forestry, wildlife and fisheries include primarily the lack of transparency and accountability in issuing rights to extract resources and accrue revenues from them, inequitable sharing of benefits with communities, and monitoring and surveillance of stocks.
``In all four principal sectors providing natural capital in the growth equation – forestry, wildlife, fisheries, and mining – royalties are set arbitrarily and do not reflect scarcity. Royalties are hence not used as a policy instrument of intertemporal resource pricing and sustained yield management (Pfliegner 2008).``
The World Bank report stresses that the problem is not lack of legal acts and instruments, policies, strategies and plans that explains the mismanagement and corruption in the natural resources sector but lack of the political will to follow up on the adopted instruments.
``The Government of Tanzania has a complicated relationship to its task of managing the natural resources. On the one hand the government has, with the support of its development partners, spent much time and resources in developing legal acts, policies, strategies, national plans, and sector strategies for its forestry, fisheries, and wildlife resources which are compatible with those of the international community.
No doubt many government officials in Tanzania do their utmost to comply with and follow up these adopted plans and strategies.`
``On the other hand, there are also many government officials and politicians who undermine the policies they themselves have been central in having Parliament adopt.
Many of these politicians and government officials have held high positions in the Ministry. These leaders can force honest government officials to adopt corrupt practices,`` it adds.
Published as part of the project named `Corruption in Natural Resource Management`, the paper suggests a more sophisticated approach to budget and programme support.
``If we are to improve and understand the relationships between a plan and the reality, it is important that we are open and share experiences made in development aid.
It is therefore a good thing that the political leadership in the Ministry of Foreign Affairs and Norad welcomes a broader and more open debate on development aid,`` writes Jansen.
Renewable natural resources in Tanzania play an important role both for the population in rural areas of the country and for the economy as a whole.
Of Tanzania`s total population of about 40 million people, 75 per cent live in rural areas.
Most of the rural population has access to forestry, fish and/or wildlife resources.
It is estimated that on average 40 per cent of the income in rural households comes from one of these three natural resources.
Agriculture is the main economic sector in the rural areas but most people living off the land use simple technology and land productivity is very low.
Efforts to improve the agricultural sector are slow and income and food from forests, fisheries and wildlife will for many years continue to play an important role for the rural population.
Natural resources are important at the national level too. Timber from the forests is important for economic activities in the country and it is also a major source of foreign exchange.
The country also receives substantial foreign exchange from the export of Nile perch from Lake Victoria and shellfish from the coastal areas. Wildlife brings income from tourism and hunting licences.
Traditionally, local people have used their own rules of management for the various natural resources they have found of interest. But this has changed during the last few decades.
A new set of actors, very often foreign investors, have discovered the value of Tanzania`s natural resources and stiff competition for scarce natural resources has changed the constellation among the actors.
SOURCE: Ippmedia
17.4.09
Evarist Chahali
WEIRD STUFFS
No comments
SOUNDS LIKE SCARING PEOPLE IS FAR MORE EASIER THAN HAVING A CLOSE SHAVE WITH DEATH!
16 Apr 2009
16.4.09
Evarist Chahali
JK, RAIA MWEMA, THE ROAD TO 2010, UFISADI
1 comment
16.4.09
Evarist Chahali
JK, MAFISADI, THE ROAD TO 2010
No comments
Mke wa Lowassa azindua kitabu
Na Mwandishi Wetu,
MTANZANIA, Aprili 15, 2009.
Watu mbali mbali jana jioni walimiminika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kushuhudia uzinduzi wa kitabu kilichotungwa na mkewe Regina, uliofanywa na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Regina aliandika kitabu hicho wakati akiwa katika matembezi binafsi inchini Israel, siku chache baada ya mumewe kujiuzulu uwaziri mkuu Februari mwaka jana kutokana na sakata la Richmond.
Kitabu hicho kilichoandikwa kwa lugha ya Kiingereza kiitwacho “Walk The Path With Diary in Israel, The Holy Land” kina kurasa 15 na dibaji yake imeandikwa na Monsinyori Julian Kangalawe kutoka Kanisa la Mtakatifu Joseph la Dar es Salaam.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Kardinali Pengo, bila kufafanua, aliwataka Watanzania waache tabia ya kusulubiana. “Yesu alikuja duniani, akasulubiwa na hadi leo watu wanaendelea kusulubiana. Tuache mchezo huo,” alisema.

Mhubiri maarufu mwenye makazi yake mjini Arusha, Christopher Mwakasege, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, alisema ni yeye aliyetoa wazo kwa Lowassa na mkewe kutembelea Israel baada ya matatizo yaliyowakuta.
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, aliwahimiza watu kujenga moyo wa kupendana ili kujenga nchi yenye maelewano.
Mbali na Mlasasusa, Askofu Mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Mashariki ni Pwani, Elinaza Sendoro, pia alihudhuria hafla hiyo, na akatumia nafasi hiyo kuwashawishi watu kutembelea Israel kujionea namna watu wa dini tofauti wanavyoishi.
Akizunmgumza katika hafla hiyo, Lowassa mwenyewe alisema baada ya kupata matatizo nayo, yeye na familia yake waliamua kumgeukia Mungu na kwamba ndio maana wakaamua kwenda Israel kutembelea maeneo takatifu.
Na Mwandishi Wetu,
MTANZANIA, Aprili 15, 2009.
Watu mbali mbali jana jioni walimiminika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kushuhudia uzinduzi wa kitabu kilichotungwa na mkewe Regina, uliofanywa na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Regina aliandika kitabu hicho wakati akiwa katika matembezi binafsi inchini Israel, siku chache baada ya mumewe kujiuzulu uwaziri mkuu Februari mwaka jana kutokana na sakata la Richmond.
Kitabu hicho kilichoandikwa kwa lugha ya Kiingereza kiitwacho “Walk The Path With Diary in Israel, The Holy Land” kina kurasa 15 na dibaji yake imeandikwa na Monsinyori Julian Kangalawe kutoka Kanisa la Mtakatifu Joseph la Dar es Salaam.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Kardinali Pengo, bila kufafanua, aliwataka Watanzania waache tabia ya kusulubiana. “Yesu alikuja duniani, akasulubiwa na hadi leo watu wanaendelea kusulubiana. Tuache mchezo huo,” alisema.

Mhubiri maarufu mwenye makazi yake mjini Arusha, Christopher Mwakasege, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, alisema ni yeye aliyetoa wazo kwa Lowassa na mkewe kutembelea Israel baada ya matatizo yaliyowakuta.
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, aliwahimiza watu kujenga moyo wa kupendana ili kujenga nchi yenye maelewano.
Mbali na Mlasasusa, Askofu Mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Mashariki ni Pwani, Elinaza Sendoro, pia alihudhuria hafla hiyo, na akatumia nafasi hiyo kuwashawishi watu kutembelea Israel kujionea namna watu wa dini tofauti wanavyoishi.
Akizunmgumza katika hafla hiyo, Lowassa mwenyewe alisema baada ya kupata matatizo nayo, yeye na familia yake waliamua kumgeukia Mungu na kwamba ndio maana wakaamua kwenda Israel kutembelea maeneo takatifu.
LET'S BE HONEST.LOWASSA ALIJIUZULU KUTOKANA NA UFISADI WA RICHMOND.HILO HALINA MJADALA.SINA TATIZO NA HIYO ZIARA YAKE YA KUTEMBELEA ISRAEL.KAMA KWELI ALIENDA KUTUBU AU LA,ANAJUA YEYE NA MUNGU WAKE .LAKINI NASHINDWA KUWAELEWA HAO MAASKOFU WALIOJITOKEZA KATIKA SHUGHULI HIYO.NAELEWA KUWA DINI INAHUBIRI UPENDO NA KUSAMEHE WAKOSAJI LAKINI SIDHANI KAMA HIYO INAMAANISHA VIONGOZI WA DINI KUWA KARIBU NA WATUHUMIWA WA UFISADI.
NA MHASHAMU PENGO ANAPOTOA MFANO WA YESU KUSULUBIWA ANATAKA KUTUELEZA NINI?KWAMBA LOWASSA NAE ALISULUBIWA KAMA YESU?HIVI SIO RICHMOND NA BINAMU YAKE DOWANS ILIYOWASULUBU WALALAHOI WA TANZANIA KWA MAMILIONI YA SHILINGI!YESU ALISULUBIWA MSALABANI ILI KUWANUSUBURU WANYONGE,MASIKINI,WAJANE,YATIMA,NK KUTOKA KWA MINYORORO WANAYOFUNGWA NA MAFISADI.
JAPO NINA HESHIMA KUBWA KWA VIONGOZI HAO WA DINI LAKINI YAYUMKINIKA KUELEZA KWAMBA UHUDHURIAJI WAO HUO KATIKA HAFLA YA MTUHUMIWA WA UFISADI UNAWEZA KUTAFSIRIWA NA WAUMINI WAO KUWA NAO WANASAPOTI UFISADI.
IN A WIDER CONTEXT,UFISADI NI MATOKEO YA KUMOMONYOKA KWA MAADILI YA KIROHO.KITACHOTUPA IMANI KUWA WATUHUMIWA WA UFISADI WAMEAMUA KUMREJEA MUNGU SIO PUBLICITY STUNTS BALI FIRM COMMITMENT KATIKA KUHURUMIA NAFSI NA ROHO ZINAZOANGAMIA KUTOKANA NA MATENDO YA MAFISADI HAO.
15 Apr 2009
15.4.09
Evarist Chahali
AKALA, HIP HOP, SHAKESPEAR
No comments
Hip Hop Shakespeare from The Hip Hop Shakespeare Company on Vimeo.
Would Shakespear be a rapper today?CLICK HERE to explore.

The Obama administration has issued a chilling warning to US police forces about the threat of a rise in violent rightwing extremist groups fuelled by recession, the return of disgruntled army veterans from Iraq and Afghanistan, and hostility over the election of the first black president.
The internal report, which was not meant for publication, was drawn up by the department of homeland security, set up after the 9/11 attacks to co-ordinate internal security.
A leaked copy says: "The economic downturn and the election of the first African-American president present unique drivers for rightwing radicalisation and recruitment."
It adds that the threat posed by "lone wolves" and small terrorist cells is more pronounced than in past years.
The report generated criticism from Republicans and military veterans' groups, who resented the implication that returning troops presented a danger. The American Legion called it "unfair", "incomplete" and "politically motivated".
Marked "for official use only", the nine-page report was drawn up by the extremism and radicalisation branch of homeland security. A leaked copy initially appeared on conservative websites and was then picked up by the US media.
The assessment contends: "Rightwing extremists will attempt to recruit and radicalise returning veterans in order to exploit their skills and knowledge derived from military training and combat. These skills ... have the potential to boost the capabilities of extremists, including 'lone wolves or small terrorist cells', to carry out violence. The willingness of a small percentage of military personnel to join extremist groups during the 1990s because they were disgruntled, disillusioned or suffering from the psychological effects of war is being replicated today."
The early 1990s saw a rise in militias and cults that were anti-government and anti-Bill Clinton, against a background of economic recession. Some looked to survivalism; others were motivated by racism or religion. There was a series of incidents and shoot-outs with federal agents, including the Waco siege in 1993 and the Oklahoma City bombing in 1995.
David Rehbein, national commander of the American Legion, which has 2.6 million members, today protested in a letter to the homeland security secretary, Janet Napolitano, at the implication that troops presented a danger, saying: "I think it is important for all of us to remember that Americans are not the enemy. The terrorists are. The American Legion is well aware and horrified at the pain inflicted during the Oklahoma City bombing, but Timothy McVeigh was only one of more than 42 million veterans who have worn this nation's uniform during wartime. To continue to use McVeigh as an example of the stereotypical 'disgruntled military veteran' is as unfair as using Osama bin Laden as the sole example of Islam."
The report says that threats from white supremacist and violent anti-government groups have been largely rhetorical so far, but a prolonged economic downturn "could create a fertile recruiting environment for rightwing extremists".
It adds: "Rightwing extremists have capitalised on the election of the first African-American president, and are focusing their efforts to recruit new members, mobilise existing supporters, and broaden their scope and appeal through propaganda." In particular it highlights antagonism at Obama's perceived stance on issues ranging from immigration to social programmes for minorities and proposed firearms limits. Since the election, rightwing extremists have been using propaganda to reach potential recruits.
It cites as an example of potential violence that could have been related to rightwing extremism the shooting of three police officers in Pittsburgh, Pennsylvania, this month. The alleged gunman was reportedly influenced by racist ideology and anti-government and anti-Jewish conspiracy theories. Internet chatter by rightwing extremists blames some job losses on a cabal of Jewish financial elites.
The internal report, which was not meant for publication, was drawn up by the department of homeland security, set up after the 9/11 attacks to co-ordinate internal security.
A leaked copy says: "The economic downturn and the election of the first African-American president present unique drivers for rightwing radicalisation and recruitment."
It adds that the threat posed by "lone wolves" and small terrorist cells is more pronounced than in past years.
The report generated criticism from Republicans and military veterans' groups, who resented the implication that returning troops presented a danger. The American Legion called it "unfair", "incomplete" and "politically motivated".
Marked "for official use only", the nine-page report was drawn up by the extremism and radicalisation branch of homeland security. A leaked copy initially appeared on conservative websites and was then picked up by the US media.
The assessment contends: "Rightwing extremists will attempt to recruit and radicalise returning veterans in order to exploit their skills and knowledge derived from military training and combat. These skills ... have the potential to boost the capabilities of extremists, including 'lone wolves or small terrorist cells', to carry out violence. The willingness of a small percentage of military personnel to join extremist groups during the 1990s because they were disgruntled, disillusioned or suffering from the psychological effects of war is being replicated today."
The early 1990s saw a rise in militias and cults that were anti-government and anti-Bill Clinton, against a background of economic recession. Some looked to survivalism; others were motivated by racism or religion. There was a series of incidents and shoot-outs with federal agents, including the Waco siege in 1993 and the Oklahoma City bombing in 1995.
David Rehbein, national commander of the American Legion, which has 2.6 million members, today protested in a letter to the homeland security secretary, Janet Napolitano, at the implication that troops presented a danger, saying: "I think it is important for all of us to remember that Americans are not the enemy. The terrorists are. The American Legion is well aware and horrified at the pain inflicted during the Oklahoma City bombing, but Timothy McVeigh was only one of more than 42 million veterans who have worn this nation's uniform during wartime. To continue to use McVeigh as an example of the stereotypical 'disgruntled military veteran' is as unfair as using Osama bin Laden as the sole example of Islam."
The report says that threats from white supremacist and violent anti-government groups have been largely rhetorical so far, but a prolonged economic downturn "could create a fertile recruiting environment for rightwing extremists".
It adds: "Rightwing extremists have capitalised on the election of the first African-American president, and are focusing their efforts to recruit new members, mobilise existing supporters, and broaden their scope and appeal through propaganda." In particular it highlights antagonism at Obama's perceived stance on issues ranging from immigration to social programmes for minorities and proposed firearms limits. Since the election, rightwing extremists have been using propaganda to reach potential recruits.
It cites as an example of potential violence that could have been related to rightwing extremism the shooting of three police officers in Pittsburgh, Pennsylvania, this month. The alleged gunman was reportedly influenced by racist ideology and anti-government and anti-Jewish conspiracy theories. Internet chatter by rightwing extremists blames some job losses on a cabal of Jewish financial elites.
SOURCE: The Guardian
RELATED: US National Security

A 19-year-old volleyball player from the eastern city of Hangzhou has become the first black athlete to be called up to represent China, triggering fierce curiosity among his compatriots.Ding Hui, who is affectionately nicknamed Xiao Hei, or Little Black, by his team mates, was included in the national team's new 18-man training squad.
The son of a South African father and a Chinese mother, Ding is expected to play a key role in China's push for gold at the London Olympics in 2012.
However, despite the fact that he was born in China and only speaks Mandarin and his city's local dialect, his elevation has stirred up some racial prejudices among his countrymen.
Commentators have noted that he has a "pleasant and perky nature" and is talented at "singing and dancing". On Chinese internet forums, he has been lauded for the "whiteness" of his teeth and the "athleticism of his genes".
China's black population is tiny, and attitudes remain relatively unsophisticated. One predominately African suburb in the southern city of Guangzhou is cheerfully referred to as "Chocolate City".
In the run-up to last year's Olympic Games in Beijing, large numbers of blacks were rounded up by police on suspicion of being drug dealers.
However, the black population is growing rapidly. Since 2003, when China started pouring investments into Africa, there has been a significant movement of Africans in the opposite direction. Guangzhou authorities believe there are now 100,000 Africans from Nigeria, Guinea, Cameroon, Liberia and Mali in the city, and the flow is growing by 30 to 40 per cent annually.
Mr Ding told the Shanghai Wenhui newspaper that "people seem to care more about my heritage and appearance, but all I want to do is to play good volleyball". Referring to China's policy of drafting foreigners to boost its teams, he added: "I am not a foreign aid. I want to be included."
Li Shiping, the captain of the volleyball team, said the players had been irritated by the gawping of the Chinese media. "I had hoped the press would not dig out the boy's African heritage or his family details but instead focus on his skills and performance," he said, adding that there would be no chance to see Ding until a press conference next week.
The son of a South African father and a Chinese mother, Ding is expected to play a key role in China's push for gold at the London Olympics in 2012.
However, despite the fact that he was born in China and only speaks Mandarin and his city's local dialect, his elevation has stirred up some racial prejudices among his countrymen.
Commentators have noted that he has a "pleasant and perky nature" and is talented at "singing and dancing". On Chinese internet forums, he has been lauded for the "whiteness" of his teeth and the "athleticism of his genes".
China's black population is tiny, and attitudes remain relatively unsophisticated. One predominately African suburb in the southern city of Guangzhou is cheerfully referred to as "Chocolate City".
In the run-up to last year's Olympic Games in Beijing, large numbers of blacks were rounded up by police on suspicion of being drug dealers.
However, the black population is growing rapidly. Since 2003, when China started pouring investments into Africa, there has been a significant movement of Africans in the opposite direction. Guangzhou authorities believe there are now 100,000 Africans from Nigeria, Guinea, Cameroon, Liberia and Mali in the city, and the flow is growing by 30 to 40 per cent annually.
Mr Ding told the Shanghai Wenhui newspaper that "people seem to care more about my heritage and appearance, but all I want to do is to play good volleyball". Referring to China's policy of drafting foreigners to boost its teams, he added: "I am not a foreign aid. I want to be included."
Li Shiping, the captain of the volleyball team, said the players had been irritated by the gawping of the Chinese media. "I had hoped the press would not dig out the boy's African heritage or his family details but instead focus on his skills and performance," he said, adding that there would be no chance to see Ding until a press conference next week.
SOURCE: The Telegraph

SAKATA la halmashauri ya Karatu, kugomea kulipia malazi ya Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein na ujumbe wake limechukuwa sura mpya baada ya aliyekuwa kaimu mkurugenzi wakati wa ziara hiyo, Majid Myao kutakiwa kutoa maelezo.
Myao aliitwa na mkuu wa wilaya ya Karatu, Mathew Sedoyeka hivi karibuni ili akatoe maelezo juu ya suala hilo hasa kutokana na halmashauri hiyo kugoma kulipa kiasi cha Sh2milioni ambazo ni malipo ya kulala siku moja na chakula kwa ujumbe huo, katika hoteli ya Bougain Villea ya mjini Karatu.
Kwa mujibu wa maelezo ya maandishi ya Myao, yaliyopo katika barua yake ya Machi 3, 2009 yenye kumbukumbu namba kdc/ded/cv.3/1/121, Myao amejitetea kuwa uamuzi wa kutolipiwa ziara hiyo, umetokana kamati ya fedha ya madiwani kukataa kuidhinisha fedha hizo.
Alisema kutokana na kutoidhinishwa malipo hayo, aliona angekiuka sheria namba tisa ya mwaka 1982 ambayo inahusu masuala ya matumizi ya fedha za halmashauri na maamuzi ya kamati ya fedha.
“Kama mimi ningetoa malipo hayo ni wazi ningekiuka sheria za serikali za mitaa hasa ikizingatiwa madiwani katika kikao chao halali ndio waligomea,”alieleza Myao.
Akizungumzia sakata hilo, mbunge wa jimbo la Karatu, Dk Wilbroad Slaa alisema ni halali kwani walikuwa hawana bajeti ya malipo hayo na aliomba mtendaji yoyote wa halmashauri hiyo asiwajibishwe kwa suala hilo.
Myao aliitwa na mkuu wa wilaya ya Karatu, Mathew Sedoyeka hivi karibuni ili akatoe maelezo juu ya suala hilo hasa kutokana na halmashauri hiyo kugoma kulipa kiasi cha Sh2milioni ambazo ni malipo ya kulala siku moja na chakula kwa ujumbe huo, katika hoteli ya Bougain Villea ya mjini Karatu.
Kwa mujibu wa maelezo ya maandishi ya Myao, yaliyopo katika barua yake ya Machi 3, 2009 yenye kumbukumbu namba kdc/ded/cv.3/1/121, Myao amejitetea kuwa uamuzi wa kutolipiwa ziara hiyo, umetokana kamati ya fedha ya madiwani kukataa kuidhinisha fedha hizo.
Alisema kutokana na kutoidhinishwa malipo hayo, aliona angekiuka sheria namba tisa ya mwaka 1982 ambayo inahusu masuala ya matumizi ya fedha za halmashauri na maamuzi ya kamati ya fedha.
“Kama mimi ningetoa malipo hayo ni wazi ningekiuka sheria za serikali za mitaa hasa ikizingatiwa madiwani katika kikao chao halali ndio waligomea,”alieleza Myao.
Akizungumzia sakata hilo, mbunge wa jimbo la Karatu, Dk Wilbroad Slaa alisema ni halali kwani walikuwa hawana bajeti ya malipo hayo na aliomba mtendaji yoyote wa halmashauri hiyo asiwajibishwe kwa suala hilo.
CHANZO: Mwananchi
HABARI ZINAZOSHABIHIANA: Halmashauri za Wilaya na Miji Zatakiwa Kuangalia Matumizi ya Mapato Yao

STORRS, Conn. - University of Connecticut junior men’s basketball player Hasheem Thabeet (Dar Es Salaam, Tanzania) has chosen to give up his final season of eligibility and enter his name into the 2009 NBA Draft, it was announced Tuesday.
“After spending time with my family and friends and speaking with Coach Calhoun, I have decided to give up my final year at UConn and enter my name in the 2009 NBA Draft,” said Thabeet. “I have had a great experience at Connecticut and cannot thank my coaches and teammates enough. I look forward to the challenge of playing professionally and know that my time here at UConn has prepared me to be successful in the future. I also want to thank all of the fans in Husky Nation that have followed my career, especially those from my homeland of Tanzania, and hope they will all be as supportive of me at the professional level as they have been to this point.”“Hasheem is more than ready to make the move to the next level,” said head coach Jim Calhoun. “He has been one of the most dominant defensive players in the history of college basketball and I am certain that where ever he ends up in the NBA, he is ready to be equally successful. He is a special player and even more special as a person. He will truly be remembered as one of the great players in UConn history, not only for his accomplishments, but also because of the type of person he is.”
Thabeet was named First Team All-American in 2008-09 by the NABC and the John R. Wooden Award. He was the NABC National Defensive Player of the Year and BIG EAST Defensive Player of the Year in each of the past two seasons and was the 2008-09 BIG EAST Co-Player of the Year. He averaged 13.6 points, 10.8 rebounds and 4.2 blocked shots per game (No. 2 nationally) in 2008-09 and helped lead the Huskies the 2009 NCAA Final Four and a 31-5 final record.Thabeet is the 11th player at UConn to declare early for the NBA Draft and nine of the previous ten were drafted in the first round. Eight of the ten were taken in the lottery portion of the first round
I’m not surprised at this. Thabeet is definitely a lottery pick and could be one of the top three picks. I’d expect Blake Griffin from Oklahoma to go No. 1 overall.
It could now be a long season for the Huskies as they will now need to replace Thabeet as well as A.J. Price, Craig Austrie and Jeff Adrien. Kemba Walker should fill-in nicely at the point and will need Stanley Robinson to play consistently like he did throughout the NCAA Tournament - soxanddawgs.com/2009-04-14 Thabeet is heading to the NBA .
“After spending time with my family and friends and speaking with Coach Calhoun, I have decided to give up my final year at UConn and enter my name in the 2009 NBA Draft,” said Thabeet. “I have had a great experience at Connecticut and cannot thank my coaches and teammates enough. I look forward to the challenge of playing professionally and know that my time here at UConn has prepared me to be successful in the future. I also want to thank all of the fans in Husky Nation that have followed my career, especially those from my homeland of Tanzania, and hope they will all be as supportive of me at the professional level as they have been to this point.”“Hasheem is more than ready to make the move to the next level,” said head coach Jim Calhoun. “He has been one of the most dominant defensive players in the history of college basketball and I am certain that where ever he ends up in the NBA, he is ready to be equally successful. He is a special player and even more special as a person. He will truly be remembered as one of the great players in UConn history, not only for his accomplishments, but also because of the type of person he is.”
Thabeet was named First Team All-American in 2008-09 by the NABC and the John R. Wooden Award. He was the NABC National Defensive Player of the Year and BIG EAST Defensive Player of the Year in each of the past two seasons and was the 2008-09 BIG EAST Co-Player of the Year. He averaged 13.6 points, 10.8 rebounds and 4.2 blocked shots per game (No. 2 nationally) in 2008-09 and helped lead the Huskies the 2009 NCAA Final Four and a 31-5 final record.Thabeet is the 11th player at UConn to declare early for the NBA Draft and nine of the previous ten were drafted in the first round. Eight of the ten were taken in the lottery portion of the first round
I’m not surprised at this. Thabeet is definitely a lottery pick and could be one of the top three picks. I’d expect Blake Griffin from Oklahoma to go No. 1 overall.
It could now be a long season for the Huskies as they will now need to replace Thabeet as well as A.J. Price, Craig Austrie and Jeff Adrien. Kemba Walker should fill-in nicely at the point and will need Stanley Robinson to play consistently like he did throughout the NCAA Tournament - soxanddawgs.com/2009-04-14 Thabeet is heading to the NBA .
SOURCE: Da Subi
15.4.09
Evarist Chahali
WEIRD NEWS
No comments
Two years after winning Europe's biggest weekly lottery prize, a Portuguese couple are still waiting to get their hands on the €15m (£13.3m) prize, which remains locked away in a frozen bank account.Cristina Simoes, 20, and Luis Ribeiro, 23, were lovers who planned to study hard and leave behind the harsh rural life of their parents in the Portuguese countryside near the northern town of Barcelos. Friends expected them to marry.
Then they won the EuroMillions prize. They had played the pan-European lottery together every Friday, but that week Cristina called her boyfriend to buy an extra ticket when he placed their normal bet of €4. That was the ticket that won. Cristina says that she paid Luis back the €2 for it. Cristina and Luis picked up the prize cheque, and opened a joint bank account partly controlled by her parents. That was in January 2007. Now the couple only see each other in court, and a judge has frozen the prize money account. The couple broke up after Cristina's parents refused Luis permission to withdraw money. He challenged them in court and Cristina now says she wants all the money.
"I'm not desperate about this," Luis told a newspaper. "But I'll follow it through to the end. She didn't want to give me a cent of it." Cristina says Luis lied to her, claiming he was at college when he had secretly travelled to Lisbon to see the bank manager. Luis's lawyers say he is quite happy to divide the prize in half. Luis still gets up at 6am to milk the cows before going to college, while Cristina studies to become a pharmacist and lives behind bolted doors in her parents' house - convinced someone is going to kidnap her. Attempts to reach agreement broke down last month when Cristina failed to appear in court. Now the judges must decide.
SOURCE: The Guardian
14 Apr 2009

Emcee Lupe Fiasco,along with Justin Timberlake and Ethiopian-born Pop singer Kenna will climb Africa’s Mount Kilimanjaro to raise awareness about the global water crisis. "My dad almost died as a child from waterborne diseases in Ethiopia, and he had talked to me about digging a well there, and I thought, ‘I have too many friends who would be concerned with the subject of clean water. Maybe I can help out," Kenna told Elle magazine.
If the three artists make it to the summit they will have climbed Africa’s highest peak. The mountain, which is located in Tanzania, is nearly 20,000 feet high. "I’m an adventure junkie,” explained Lupe Fiasco. “Part of the motivation is beating Kenna to the top. Sabotaging his tent, taking the lining out of his coat, lacing it with ants or something like that."
The lengthy climb is expected to take place some time during fall later this year. In similar news, Lupe Fiasco announced last month that he would be releasing his third studio album entitled Lasers later this year.
SOURCE: HipHopDX
Lupe Fiasco- Kick, Push - Funny video clips are a click away
13 Apr 2009

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
A TANZANIAN national is reported to have been murdered in southern Sudan on suspicion of being a member of the Sudanese intelligence and security service.
The Tanzanian, identified as Wera Tarimo, was slain last Thursday in the Rumbek township of Sudan, along with a Kenyan national named as James Ndungu Wanjiriu.
It could not be immediately established exactly what Tarimo and Wanjiriu were doing in the Sudan.
According to the reports, the duo were suspected of being ’spies’ for Sudan’s National Intelligence and Security Service (NISS), and were allegedly involved in the assassination of an official with the opposition Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM).
The SPLM official assassinated on Thursday has been identified as Thon Wuong Manyuon, the movement’s assistant secretary for both Rumbek North County (Maper) and the Lake State secretariat, and also education inspector of Rumbek North County.
According to an eyewitness statement quoted in the Sudan Tribune newspaper, Tarimo and Wanjiriu were then killed on the same day, as part of a revenge campaign by angry relatives of the slain SPLM official.
’’A family member from Rumbek North, who was very angry, took revenge by killing one man from Tanzania and one man from Kenya, suspecting them to be members of the NISS,’’ said the newspaper in its report.
Quoting what it described as a ’foreigner’ who was related to one of the victims, the newspaper said James Ndungu Wanjiriu from Kenya was killed on Thursday at 3 pm, while Wera Tarimo from Tanzania was killed the same day at 8 pm.
It is understood that the bodies of the two were transported from Rumbek to Kenya on Saturday, with Tarimo’s remains expected to be flown out from Kenya to Tanzania.
’’In order to transport the remains of the deceased back to their respective countries, Lake State governor Lt. General Daniel Awet Akot provided assistance to the foreigners by giving them one car with contribution from the Trade Union of East Africa, whose members reside in Rumbek,’’ said the report.
In the meantime, two NISS officers � believed to also be members of the Sudan People’s Liberation Army (SPLA) which is the SPLM military wing - are reported to have been placed under arrest in connection with Manyuon’s death.
Lakes State Deputy Governor Awan Guol Riak, who also acts as Sudan’s minister for local government and law enforcement, has called for an investigation into the killing.
’’The officers of the National Security who are suspected of involvement in this killing are in custody awaiting investigation,’’ he said.
In 2005, following a peace agreement ending the second Sudanese civil war, the SPLM chose Rumbek as an interim administrative centre of the semi-autonomous southern regions.
With no multi-storey buildings or paved roads and a population of around 100,000, Rumbek is serviced by a dirt airstrip, and is described as a ’’ramshackle town.’’
Records also show that back in October last year, another Tanzanian national was shot and wounded in his garage in Rumbek, and hardly a week later another Kenyan national was shot dead by an unknown assailant in the same township.
A contingent of 875 soldiers from the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) are currently being deployed to the international peacekeeping forces in the war-torn Darfur region of Sudan.
The TPDF squad in Darfur, led by Lieutenant Colonel Ally Katimbe, is part of a hybrid mission set up by the African Union and United Nations Missions in Darfur (UNAMID).
SOURCE: ThisDay
AND YET WE ARE STILL OPPOSED TO AL-BASHIR'S ARREST WARRANT !?

Ally Sonda, Moshi
MBUNGE wa Jimbo la Vunjo(CCM) Aloyce Kimaro,amewataka mafisadi wanaojiandaa kumng'oa madarakani Rais Jakaya Kikwete na kundi la wabunge waliojitoa kafara kupinga ufisadi kuvunja mtandao wao mara moja kwa kuwa hautafanikiwa.
Akizungumza kwa kujiamini na huku akishangiliwa na umati wa watu,Kimaro alisema mwaka ujao wa uchaguzi, Rais Kikwete atashinda kwa kura nyingi sanjari na wabunge mahiri wanaomsaidia kupambana na ufisadi wakiwa ndani na nje ya Bunge.
Kimaro ambaye alikuwa akiwahutubia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) kata ya Kahe Mashariki,alisema mafisadi wote wasiotaka Kikwete aendelee kuiongoza nchi kutokana na chuki za kuumbuliwa wataaibika zaidi mwaka ujao.
"Hivi sasa tunajua kuwa wapo mafisadi wanajipanga kuhakikisha kuwa Rais na wabunge waliojitoa mhanga kufa kwa kupinga ufisadi nikiwemo mimi tunang'oka mwaka 2010. Nasema hivi, hang'oki mtu hapa,Kikwete ni Rais hadi 2015 na sisi wabunge tutashinda vilevile, Mungu yupo mbele yetu,"alisema Kimaro.
Alisema bomu alilolilipua bungeni kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali ambalo limeanza kuleta mafanikio baada ya nyumba hizo kuanza kurejeshwa ni sehemu ndogo sana ya mikakati yake ya kupambana na mafisadi 'wanaoitafuna' nchi bila kunawa.Kimaro alisema ufisadi ndani ya Tanzania ni mkubwa na ndiyo sababu nchi inaendelea kuwa maskini na hivyo kujiendesha kwa kuombaomba misaada kutokana na watu wachache kuiba raslimali za taifa na kuzitorosha nje ya nchi.
Akizungumzia watu wanaolimezea mate jimbo lake na hivyo kujipanga kuwania ubunge mwakani, Kimaro alisema hana tatizo na vyama vya upinzani ambavyo vimeanza kutangaza kusimamisha wagombea, bali ugomvi wake ni kwa wanaCCM walioanza kujitangazia ubunge wa jimbo hilo hivi sasa. Aliiomba CCM wilaya ya Moshi Vijijini, kuwaonya wanachama hao kwa madai kuwa wanaleta mgawanyiko ndani ya CCM, kitendo ambacho kinaweza kutumika vibaya na kambi ya upinzani kuwasambaratisha wanaCCM.
"Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM, nakiomba Chama kiwaonye wanaCCM hawa wanaojitangazia ubunge wa Vunjo wakati wanajua kuwa mimi ndiye Mbunge halali wa Vunjo,nakuomba sana waonye la sivyo wataona cha mtema kuni,"alisema Kimaro bila kufafanua.
Katika mkutano huo, uliohudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Moshi,ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM ya wilaya hiyo,Alhaji Musa Samizi,Mwenyekiti wa CCM,Gabriel Masenga aliwataka wanaCCM wote wanaotaka ubunge wa Moshi Vijijini na Vunjo wasubiri muda muafaka ufike.
"Napenda kuwaomba wanaCCM wote wanaotaka Ubunge kwenye majimbo yetu mawili (Moshi Vijijini na Vunjo) wawe watulivu muda muafaka ufike,tutawapa fomu,tutawachuja kwa kura kama wanafaa,kujipitishapitisha hivi sasa ni kuleta vurugu ndani ya Chama na Jumuiya zake"alisema Masenga.
Masenga alitumia mkutano huo kuwataka baadhi ya wanachama wanaokikashifu Chama na viongozi wake baada ya kuadhibiwa kwa mujibu wa Katiba na hivyo kutishia kukihama CCM , waondoke mara moja na kujiunga upinzani kwa madai kuwa kuendelea kwao kuwa CCM ni sawa na kukumbatia Bomu.
"Wapo baadhi ya wanaCCM wameadhibiwa kwa kukiuka katiba ya Chama,sasa wana hasira wamekuwa wakikashifu Chama na baadhi ya viongozi,sasa kwa niaba ya Chama nawaomba waondoke CCM,huenda wakijiunga na vyama vya upinzani watafanya kazi yao vizuri ya kupambana na CCM,"alisema Masenga kwa kujiamini.
CHANZO: Mwananchi
12 Apr 2009
12.4.09
Evarist Chahali
PIRACY, SOMALIA, USA
No comments
US cargo ship captain Richard Phillips has been rescued from pirates after a dramatic shootout. Mr Phillips was freed unharmed but the US military killed three Somali kidnappers who were holding him hostage on a lifeboat, according to reports. A fourth pirate is in custody.Initial reports said the sailor jumped overboard before a gunfight broke out between his captors and US Navy Seals. US President Barack Obama gave authority to kill the pirates, and a commander acted when he concluded the pirates were about to kill the hostage, a US Navy official said.
Mr Phillips has now contacted his family, received a medical evaluation, and is resting aboard the amphibious assault ship USS Boxer. His ship the Maersk Alabama, a container carrying food aid for Somalians, was attacked far out in the Indian Ocean on Wednesday, but its 20 American crew apparently fought off the pirates and regained control.
Crew members said Mr Phillips volunteered to go with the pirates in a lifeboat in exchange for safe passage for his crew. Maersk Line chief executive John Reinhart said in a statement: "We are all absolutely thrilled to learn that Richard is safe and will be reunited with his family." The crew of the Maersk Alabama let off flares and hoisted an American flag at the news of their captain's rescue.
One crew member shouted: "We are very happy. He's a hero" at journalists amid raucous celebrations. Mr Phillips, 53, was the first American taken captive by Somali pirate gangs who have marauded in the busy Gulf of Aden and Indian Ocean shipping lanes for years.
SOURCE: ITN
11 Apr 2009
MAELEZO YA PICHA KUTOKA KATIKA GAZETI LA HABARI LEO YANASOMEKA:Behewa la mafuta la TRL liliacha njia eneo la Kurasini, Dar es Salaam na kuanguka.Wafanyakazi wa kampuni hiyo walikutwa wakikinga mafuta hayo ili kuyahifadhi katika mapipa chini ya ulinzi mkali wa polisi. (Picha na Yusuf Badi).
NADHANI MWENZANGU PIA UKIANGALIA PICHA HIYO KWA MAKINI UTABAKI UNAJIULIZA KWAMBA HAO WAHINDI WA TRL NI WAWEKEZAJI KWELI AU VIINIMACHO?TALKING OF VIINIMACHO,YAYUMKINIKA KUJIULIZA IWAPO HAWA JAMAA HAWAJAWAROGA HAO WANAONG'ANG'ANIA KUENDELEZA MKATABA WA KIMAZINGAOMBWE NA TRL.KAMA ILIVYO DESTURI YETU YA ZIMAMOTO,TUNASUBIRI WALIKOROGE KWANZA,KISHA WAINGIE MITINI HALAFU KUNYWA TULINYWE SIE!NA HAPA NENO "KULIKOROGA" LINAMAANISHA KU-MESS UP NA MAISHA YA ABIRIA WANAOTEGEMEA USAFIRI WA RELI YA KATI.
11.4.09
Evarist Chahali
ANNE KILANGO, CCM, UFISADI
No comments
ASEMA WACHACHE WALIOTHUBUTU WAACHIWE WAPIGE VITA UFISADISalim Said
MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela amesema viongozi wa chama tawala (CCM) wanaogopa kupambana na ufisadi kwa kuwa wanaopambana nao ni viongozi au wabunge wenzao na hivyo kutaka wale wachache waliothubutu kuendeleza vita hiyo waachiwe.
Mama huyo, ambaye amekuwa mmoja wa watu wenye uwezo wa kujenga hoja bungeni wakati wa kuzungumzia ufisadi, alisema anashangaa jinsi viongozi wanavyoshindwa kupambana na ufisadi kama unavyoelezwa kwenye sura ya nane ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM inayozungumzia vita dhidi ya uovu huo.
Bila ya kutoa mifano bayana, mama huyo amesema ni wabunge wachache wanaoweza kusimama kidete kutetea kipengele hicho, akiwemo yeye; na kwamba kama vita ya ufisadi itafanyiwa kazi ipasavyo, nchi yote itakuwa na utulivu na amani, vitu ambavyo alisema vinahitajiwa na kila Mtanzania.
Akizungumza katika kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachorushwa hewani na kituo cha televisheni cha Star Tv, Kilango alisema ugumu wa kipengele hicho ni kwamba, wanapambana na wabunge, viongozi na wanachama wenzao wa CCM.
"Ugumu wa sura ya nane ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM, ni kwamba unapambana na mwanachama mwenzako, mbunge na hata kiongozi mwenzako. Na hii ndio inawafanya watu wengi kushindwa, isipokuwa wachache kama mimi ambao tumethubutu," alisema Kilango.
"Unaposimama imara kutaka kufanya mabadiliko, kutetea haki na kupinga ubatili, unapaswa kutegemea mengi na mimi niliyategemea na ndio maana sipati tabu katika vita dhidi ya rushwa na ufisadi."
Kilango alisema viongozi na wananchi wa Tanzania wanapaswa kuwa wa kweli na wawazi katika kupinga rushwa kama wanavyofanya watu wa Marekani.
"Nchini Marekani mtu aliyetaka kurithi nafasi ya useneta wa Obama alitanguliza rushwa ili kuwashawishi wajumbe, jambo ambalo liliwafanya Wamarekani kusimama imara na kuzungumza ukweli kuhusu kashfa hiyo," alisema.
Kilango, ambaye alipata tuzo ya 'Mwanamke Jasiri' aliyopewa na serikali ya Marekani hivi karibuni, alisema jamii inapaswa kuwaunga mkono kwa nguvu zote wachache waliothubutu kuikemea rushwa nchini.
"Kuna watu wachache ambao walijiona wana haki ya kula mali za umma, lazima tuwanyoshee vidole na jamii ituunge mkono katika hili," alisema Kilango.
"Tunawaomba wengi wasiothubutu kusema, watuachie tulioweza... wasitubughudhi, wasitunyamazishe na wala wasiwe na nia ya kutaka kutumaliza kwa kuwa hawatafanikiwa kamwe. Sisi tutaendelea hadi awamu ijayo."
Katika kashfa nyingi za ufisadi, viongozi na wabunge wa CCM ndio wamekuwa wakituhumiwa kuhusika na miongoni mwa waliofikishwa mahakamani ni viongozi wa zamani katika serikali ya CCM, huku moto dhidi ya wabunge wa sasa ukizidi kuwaka katika kashfa za miradi mikubwa.
Miongoni mwa miradi hiyo ni ununuzi wa rada, ambao umeelezwa kuwa ulifanywa kwa kuongeza bei ili iwe juu kwa lengo la kujipatia kamisheni nzuri, mradi wa uzalishaji umeme wa dharura uliosababisha mawaziri kujiuzulu baada ya kutajwa kwenye ripoti ya kamati teule ya bunge na mradi wa uzalishaji umeme kwa kutumia makaa ya mawe wa Kiwira.
Pia kashfa nyingine iliyohusisha wanachama na viongozi wa CCM ni wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), kashfa ambayo inahusisha majina vigogo wanaohusishwa na kampuni zilizochota fedha nyingi lakini imekuwa ni vigumu kuwataja.
Kashfa hizo zimekuwa zikisababisha malumbano baina ya wanachama wa CCM.
Lakini Kilango hakutaja majina ya watu wanaojaribu kuwazuia au kuwamaliza, bali aliapa kuendelea na vita hiyo kwa kuwa hayo ni maumbile yake.
"Mimi ndivyo nilivyozaliwa na ni maumbile yangu kuzungumza ukweli. Rangi nyekundu nitaisema kuwa ni nyekundu na bluu pia, wala hakuna mtu atakayeweza kuninyamazisha ili niseme kuwa ni nyeupe, kibaiolojia siku zote naweza," alisema na kuongeza:
"Wapo wapole, waoga ambao hata chumbani kulala peke yao wanaogopa, lakini pia wako majasiri wanaothubutu."
Alisema Watanzania walishachoshwa na rushwa na walifikia hatua ya kujenga imani kuwa wabunge wa CCM wapo kwa ajili ya kuilinda serikali yao na wanaoweza kuikosoa ni wabunge wa upinzani tu.
"Sasa wananchi wa Tanzania wanapaswa kuondoa imani hiyo na sisi tupo kwa ajili ya wananchi na msimamo wangu mimi chama hakiwezi kupendwa kama hakikosolewi. Tukikosoa ndio tunakipa afya na si kukidhoofisha kama wanavyodhani baadhi ya watu," alisema.
Alifafanua kuwa, vita dhidi ya rushwa ni kama mashindano ya riadha kwani kuna wanaoanza, wanaoshindwa katikati, wanaomaliza na pia kuna wasiothubutu kuanza.
Kilango alikataa kuwataja wale wanaompiga vita, lakini alisema anaposimama bungeni kuzungumza anafahamu kuwa anazungumza na dunia, hivyo hategemei kupigiwa makofi na wote au kapingwa na wote.
"Wanaopiga makofi nafurahi, pia kuna wale ninaogusa masilahi yao waache wachukie. Lakini mimi nimeamua kuwa kiongozi, hivyo sitishwi na sitatingishwa na watu wenye mitazamo tofauti na mimi. Dhamira yangu ya kuwatumikia Watanzania ipo palepale," alisisitiza Kilango.
Mama huyo, ambaye amekuwa mmoja wa watu wenye uwezo wa kujenga hoja bungeni wakati wa kuzungumzia ufisadi, alisema anashangaa jinsi viongozi wanavyoshindwa kupambana na ufisadi kama unavyoelezwa kwenye sura ya nane ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM inayozungumzia vita dhidi ya uovu huo.
Bila ya kutoa mifano bayana, mama huyo amesema ni wabunge wachache wanaoweza kusimama kidete kutetea kipengele hicho, akiwemo yeye; na kwamba kama vita ya ufisadi itafanyiwa kazi ipasavyo, nchi yote itakuwa na utulivu na amani, vitu ambavyo alisema vinahitajiwa na kila Mtanzania.
Akizungumza katika kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachorushwa hewani na kituo cha televisheni cha Star Tv, Kilango alisema ugumu wa kipengele hicho ni kwamba, wanapambana na wabunge, viongozi na wanachama wenzao wa CCM.
"Ugumu wa sura ya nane ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM, ni kwamba unapambana na mwanachama mwenzako, mbunge na hata kiongozi mwenzako. Na hii ndio inawafanya watu wengi kushindwa, isipokuwa wachache kama mimi ambao tumethubutu," alisema Kilango.
"Unaposimama imara kutaka kufanya mabadiliko, kutetea haki na kupinga ubatili, unapaswa kutegemea mengi na mimi niliyategemea na ndio maana sipati tabu katika vita dhidi ya rushwa na ufisadi."
Kilango alisema viongozi na wananchi wa Tanzania wanapaswa kuwa wa kweli na wawazi katika kupinga rushwa kama wanavyofanya watu wa Marekani.
"Nchini Marekani mtu aliyetaka kurithi nafasi ya useneta wa Obama alitanguliza rushwa ili kuwashawishi wajumbe, jambo ambalo liliwafanya Wamarekani kusimama imara na kuzungumza ukweli kuhusu kashfa hiyo," alisema.
Kilango, ambaye alipata tuzo ya 'Mwanamke Jasiri' aliyopewa na serikali ya Marekani hivi karibuni, alisema jamii inapaswa kuwaunga mkono kwa nguvu zote wachache waliothubutu kuikemea rushwa nchini.
"Kuna watu wachache ambao walijiona wana haki ya kula mali za umma, lazima tuwanyoshee vidole na jamii ituunge mkono katika hili," alisema Kilango.
"Tunawaomba wengi wasiothubutu kusema, watuachie tulioweza... wasitubughudhi, wasitunyamazishe na wala wasiwe na nia ya kutaka kutumaliza kwa kuwa hawatafanikiwa kamwe. Sisi tutaendelea hadi awamu ijayo."
Katika kashfa nyingi za ufisadi, viongozi na wabunge wa CCM ndio wamekuwa wakituhumiwa kuhusika na miongoni mwa waliofikishwa mahakamani ni viongozi wa zamani katika serikali ya CCM, huku moto dhidi ya wabunge wa sasa ukizidi kuwaka katika kashfa za miradi mikubwa.
Miongoni mwa miradi hiyo ni ununuzi wa rada, ambao umeelezwa kuwa ulifanywa kwa kuongeza bei ili iwe juu kwa lengo la kujipatia kamisheni nzuri, mradi wa uzalishaji umeme wa dharura uliosababisha mawaziri kujiuzulu baada ya kutajwa kwenye ripoti ya kamati teule ya bunge na mradi wa uzalishaji umeme kwa kutumia makaa ya mawe wa Kiwira.
Pia kashfa nyingine iliyohusisha wanachama na viongozi wa CCM ni wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), kashfa ambayo inahusisha majina vigogo wanaohusishwa na kampuni zilizochota fedha nyingi lakini imekuwa ni vigumu kuwataja.
Kashfa hizo zimekuwa zikisababisha malumbano baina ya wanachama wa CCM.
Lakini Kilango hakutaja majina ya watu wanaojaribu kuwazuia au kuwamaliza, bali aliapa kuendelea na vita hiyo kwa kuwa hayo ni maumbile yake.
"Mimi ndivyo nilivyozaliwa na ni maumbile yangu kuzungumza ukweli. Rangi nyekundu nitaisema kuwa ni nyekundu na bluu pia, wala hakuna mtu atakayeweza kuninyamazisha ili niseme kuwa ni nyeupe, kibaiolojia siku zote naweza," alisema na kuongeza:
"Wapo wapole, waoga ambao hata chumbani kulala peke yao wanaogopa, lakini pia wako majasiri wanaothubutu."
Alisema Watanzania walishachoshwa na rushwa na walifikia hatua ya kujenga imani kuwa wabunge wa CCM wapo kwa ajili ya kuilinda serikali yao na wanaoweza kuikosoa ni wabunge wa upinzani tu.
"Sasa wananchi wa Tanzania wanapaswa kuondoa imani hiyo na sisi tupo kwa ajili ya wananchi na msimamo wangu mimi chama hakiwezi kupendwa kama hakikosolewi. Tukikosoa ndio tunakipa afya na si kukidhoofisha kama wanavyodhani baadhi ya watu," alisema.
Alifafanua kuwa, vita dhidi ya rushwa ni kama mashindano ya riadha kwani kuna wanaoanza, wanaoshindwa katikati, wanaomaliza na pia kuna wasiothubutu kuanza.
Kilango alikataa kuwataja wale wanaompiga vita, lakini alisema anaposimama bungeni kuzungumza anafahamu kuwa anazungumza na dunia, hivyo hategemei kupigiwa makofi na wote au kapingwa na wote.
"Wanaopiga makofi nafurahi, pia kuna wale ninaogusa masilahi yao waache wachukie. Lakini mimi nimeamua kuwa kiongozi, hivyo sitishwi na sitatingishwa na watu wenye mitazamo tofauti na mimi. Dhamira yangu ya kuwatumikia Watanzania ipo palepale," alisisitiza Kilango.
CHANZO: Mwananchi
BRAVO MHESHIMIWA KILANGO,IT'S HIGH TIME SOMEONE CALLS A SPADE A SPADE.WHEN YOU MAKE ENEMIES,THAT MEANS YOU'VE STOOD UP FOR SOMETHING YOU BELIEVE IN.IT IS IN PEOPLE LIKE YOU,MHESHIMIWA KILANGO,THAT MANY OF WAZALENDO AND WALALAHOI FIND A GLIME OF HOPE FOR TANZANIA.SILENCE IS NOT AN OPTION AS IT MIGHT BE TRANSLATED BY MAFISADI AS INSTITUTIONALISING THEIR SABOTAGE OF OUR ECONOMY AND PLUNDER OF WHATEVER IS LEFT OF OUR NATURAL RESOURCES.
10 Apr 2009
NAOMBA USOME HABARI IFUATAYO KISHA TUSHIRIKIANE KUFANYA TAFAKURI KATIKA MASWALI YANAYOJITOKEZA (katika maneno yenye rangi nyekundu).Na Salim Said
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa imekikataa kwa mara ya pili kitabu cha hesabu za mapato na matumizi ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha baada ya kubaini mapungufu, ikiwa ni pamoja na udanganyifu.
Kamati hiyo pia imewapa adhabu ya kukatwa asilimia 15 ya mishahara ya watendaji sita wa halmashauri hiyo kwa kosa la kuidanganya kamati hiyo ilipowatembelea Januari mwaka huu.
Kamati hiyo ilianza kupitia taarifa za mapato na matumizi ya serikali za mitaa kuanzia Jumatatu wiki hii na imeshapitia hesabu za halmashauri za mkoa wa Dodoma na jana ilipitia halmashauri za mkoa wa Arusha.
Awali kabla ya kukataliwa kwa kitabu hicho, mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Cyprian Oyier alionekana kushindwa kutoa maelezo ya kutosha kwa wabunge kuhusu makosa waliyofanya na mapungufu yaliyojitokeza katika kitabu chao.
Oyier alikiri mbele ya wajumbe wa kamati hiyo na wageni waalikwa kuwa waliidanganya kamati ilipoenda kuwatembelea wilayani kwao kwa kuwaeleza kuwa halmashauri ilijenga nyumba ya walimu kwa Sh30 milioni, jambo ambalo halikuwa la kweli.
Nyumba hiyo iliyogharimu zaidi ya Sh 30 milioni ilibainika kuwa imejengwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa (Tanapa) na wao kukabidhiwa funguo tu baada ya wajumbe kufanya ziara shuleni hapo.
Baada ya kukitaa kitabu hicho, wakuu wa halmashauri hiyo na waandishi, walitakiwa kutoka nje kwa muda, ili kuwapa nafasi wabunge kupanga adhabu. Baada ya dakika 20, kaimu mwenyekiti wa kamati hiyo, Samuel Chitalilo alisema kuidanganya kamati ni kosa la jinai, lakini kamati imewaonea huruma.
Alisema wangeweza kuwataka kurudi tena mbele ya kamati, lakini wanawasamehe kwa kuwakata asilimia 15 mishahara yao ya mwezi wa tano mwaka huu. “Tunawarudisha mkaandae tena kitabu chenu... hiki tunakikataa kwa mara ya pili. Angalieni wenzenu wa Same walivyoandaa vizuri ili mkija tena tusije kukikataa tena,” alisema Chitalilo na kuongeza:
“Mmeidanganya kamati na mmekiri kosa, hili ni kosa la jinai, lakini kamati imewaonea huruma kwa kuwapa adhabu ya kujifunza na ili iwe fundisho kwa wengine”.
“Mkurugenzi wa halmashauri, mhandisi, ofisa mipango, mkaguzi wa ndani, mweka hazina na ofisa elimu aliyekuwapo wakati huo tutawakata asilimia 15 ya mishahara yenu ya Mei.”
Naye mbunge wa Kinondoni na mjumbe wa kamati hiyo, Idd Azzan alisema halmashauri hiyo ilitoa taarifa za uongo kwa kamati na kwamba walipokwenda kuitembelea shule hiyo walipewa taarifa tofauti kutoka kwa mkuu wa shule hiyo.
Alifafanua kwamba wanatoa adhabu hiyo ili iwe fundisho kwa halmashauri zinazotoa taarifa za uongo. “Adhabu hii tunataka iwe fundisho kwa wengine, kwa kuwa fedha za serikali hazitumiki ipasavyo katika ngazi za halmashauri, zinatumika kwa safari na posho za viongozi jambo ambalo ni kinyume na malengo ya fedha hizo,” alisema Azzan.
Mkurugenzi wa halmashauri hiyo alikataa kuzungumza na Mwananchi baada ya kupewa adhabu hiyo, huku mwenyekiti wa halmashauri hiyo, David Pelo akisema kuwa hiyo ni bahati mbaya na hakuna aliyekusudia kutoa taarifa za uongo.
“Tutajitahidi kufuata maelekezo yenu, tunawashukuru kwa kutoturudisha tena katika kamati kwa kuwa fedha za halmashauri zingetumika pia kwa usafiri,” alisema Pelo.
“Haya ni ya kawaida na yanaweza kutokea kwa halmashauri yoyote, pia tutarudia kuandika kitabu kama tulivyoelekezwa na tutaenda kwa wenzetu wa Same kwa kuwa wao wamefanya vizuri.”
Kamati mbalimbali za bunge zinaendelea na vikao vyake kwenye ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatatu wiki hii.
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa imekikataa kwa mara ya pili kitabu cha hesabu za mapato na matumizi ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha baada ya kubaini mapungufu, ikiwa ni pamoja na udanganyifu.
Kamati hiyo pia imewapa adhabu ya kukatwa asilimia 15 ya mishahara ya watendaji sita wa halmashauri hiyo kwa kosa la kuidanganya kamati hiyo ilipowatembelea Januari mwaka huu.
Kamati hiyo ilianza kupitia taarifa za mapato na matumizi ya serikali za mitaa kuanzia Jumatatu wiki hii na imeshapitia hesabu za halmashauri za mkoa wa Dodoma na jana ilipitia halmashauri za mkoa wa Arusha.
Awali kabla ya kukataliwa kwa kitabu hicho, mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Cyprian Oyier alionekana kushindwa kutoa maelezo ya kutosha kwa wabunge kuhusu makosa waliyofanya na mapungufu yaliyojitokeza katika kitabu chao.
Oyier alikiri mbele ya wajumbe wa kamati hiyo na wageni waalikwa kuwa waliidanganya kamati ilipoenda kuwatembelea wilayani kwao kwa kuwaeleza kuwa halmashauri ilijenga nyumba ya walimu kwa Sh30 milioni, jambo ambalo halikuwa la kweli.
Nyumba hiyo iliyogharimu zaidi ya Sh 30 milioni ilibainika kuwa imejengwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa (Tanapa) na wao kukabidhiwa funguo tu baada ya wajumbe kufanya ziara shuleni hapo.
Baada ya kukitaa kitabu hicho, wakuu wa halmashauri hiyo na waandishi, walitakiwa kutoka nje kwa muda, ili kuwapa nafasi wabunge kupanga adhabu. Baada ya dakika 20, kaimu mwenyekiti wa kamati hiyo, Samuel Chitalilo alisema kuidanganya kamati ni kosa la jinai, lakini kamati imewaonea huruma.

Alisema wangeweza kuwataka kurudi tena mbele ya kamati, lakini wanawasamehe kwa kuwakata asilimia 15 mishahara yao ya mwezi wa tano mwaka huu. “Tunawarudisha mkaandae tena kitabu chenu... hiki tunakikataa kwa mara ya pili. Angalieni wenzenu wa Same walivyoandaa vizuri ili mkija tena tusije kukikataa tena,” alisema Chitalilo na kuongeza:
“Mmeidanganya kamati na mmekiri kosa, hili ni kosa la jinai, lakini kamati imewaonea huruma kwa kuwapa adhabu ya kujifunza na ili iwe fundisho kwa wengine”.
“Mkurugenzi wa halmashauri, mhandisi, ofisa mipango, mkaguzi wa ndani, mweka hazina na ofisa elimu aliyekuwapo wakati huo tutawakata asilimia 15 ya mishahara yenu ya Mei.”
Naye mbunge wa Kinondoni na mjumbe wa kamati hiyo, Idd Azzan alisema halmashauri hiyo ilitoa taarifa za uongo kwa kamati na kwamba walipokwenda kuitembelea shule hiyo walipewa taarifa tofauti kutoka kwa mkuu wa shule hiyo.
Alifafanua kwamba wanatoa adhabu hiyo ili iwe fundisho kwa halmashauri zinazotoa taarifa za uongo. “Adhabu hii tunataka iwe fundisho kwa wengine, kwa kuwa fedha za serikali hazitumiki ipasavyo katika ngazi za halmashauri, zinatumika kwa safari na posho za viongozi jambo ambalo ni kinyume na malengo ya fedha hizo,” alisema Azzan.
Mkurugenzi wa halmashauri hiyo alikataa kuzungumza na Mwananchi baada ya kupewa adhabu hiyo, huku mwenyekiti wa halmashauri hiyo, David Pelo akisema kuwa hiyo ni bahati mbaya na hakuna aliyekusudia kutoa taarifa za uongo.
“Tutajitahidi kufuata maelekezo yenu, tunawashukuru kwa kutoturudisha tena katika kamati kwa kuwa fedha za halmashauri zingetumika pia kwa usafiri,” alisema Pelo.
“Haya ni ya kawaida na yanaweza kutokea kwa halmashauri yoyote, pia tutarudia kuandika kitabu kama tulivyoelekezwa na tutaenda kwa wenzetu wa Same kwa kuwa wao wamefanya vizuri.”
Kamati mbalimbali za bunge zinaendelea na vikao vyake kwenye ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatatu wiki hii.
CHANZO: Mwananchi
TAFAKURI:
KITABU CHA MAHESABU KILIPOKUTWA NA MAKOSA MARA YA KWANZA,WAHESHIMIWA WABUNGE WAKAAMUA KUKITAA ILI KIFANYIWE MAREKEBISHO.KILIPOLETWA MARA YA PILI,WAHUSIKA WAKAAMUA LIWALO NA LIWE,WAKAKIRI KUWA WALIDANGANYA.HIVI TUJIULIZE,WAHESHIMIWA WABUNGE WALIPOTAKA MAREKEBISHO HAWAKUWA WANAKARIBISHA USANII KUTOKA KWA WATENDAJI HAO WA HALMASHAURI?HAIHITAJI ELIMU YOYOTE KUTAMBUA KWAMBA MAHESABU YA TAASISI YA UMMA YANAPOKUWA NA KASORO INAASHIRIA UFISADI WA NAMNA FLANI,HIVYO KUWATAKA WAHUSIKA WAREKEBISHE NI MITHILI YA KUWAPA MUDA WA KUFUNIKA UFISADI HUO.
JAPO NAAFIKIANA NA MANTIKI YA KUWAADHIBU WATENDAJI WASIOTEKELEZA MAJUKUMU YAO IPASAVYO,NAPATWA NA WASIWASI NA NAMNA KAMATI HIYO YA BUNGE ILIVYOJIPA MAJUKUMU YA MAHAKAMA NA KUAMUA KUKATA ASILIMIA 15 YA MISHAHARA YA WATENDAJI HUSIKA.HUU NI UKIUKWAJI WA UTAWALA WA SHERIA KWA VILE KAMA ILIBAINIKA KUWAPO KWA UBADHIRIFU WA FEDHA ZA UMAA,MAHALA MWAFAKA PA KUSHUGULIKIA SUALA HILO NI POLISI NA MAHAKAMA.
NA JINGINE LA KUJIULIZA NI NAMNA MAKATO HAYO YATAVYOWEZA KUFIDIA FEDHA ZILIZOIBIWA NA USIMAMIZI WA KUHAKIKISHA KUWA MAKATO HAYO HAYAISHII MFUKONI MWA MAFISADI WENGINE.
MHESHIMIWA CHITALILO (rejea HAPA na HAPA) ANATAMKA BAYANA KWAMBA WATENDAJI HAO WAMETENDA KOSA LA JINAI,LAKINI CHA KUSHANGAZA ANADAI ETI KAMATI IMEWASAMEHE NA BADALA YAKE KUWAAMURU WAKWATWE ASILIMIA HIZO 15 ZA MISHAHARA YAO.HIVI INGEKUWA NI FEDHA ZAKE BINAFSI NDIO ZIMEIBIWA ANGEWEZA KUTOA MAAMUZI YA KUSTAAJABISHA NAMNA HIYO?
HIVI KWA UTARATIBU HUU WA KULEA UZEMBE,UBADHIRIFU,UJAMBAZI NA UFISADI KUNA UWEZEKANO WOWOTE WA KUFIKIA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?
TUTAFAKARI!

BLOGU HII INAKUTAKIA WEWE MSOMAJI MPENDWA IJUMAA KUU NJEMA.KAMA AMBAVYO BWANA WETU YESU KRISTO ALIVYOWEZA KUVUMILIA MATESO NA HATIMAYE KIFO MSALABANI ILI KUTOKOMBOA SISI WANADAMU,KILA MMOJA WETU KATIKA NAFASI YAKE ANAWEZA KUJINYIMA KUWASAIDIA WALE WANAOHITAJI MSAADA WETU KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE.
My Lord,
your son has suffered so much, shed so much blood.
I was born with so many faults
and my nature is so full of weakness,
and yet your son Jesus has died on the cross.
For me.
I know your grace has the power
to cleanse me of my many sins
and to make me more like your Son.
Thank you for your goodness and love for me.
I ask you, Father, to watch over me - always.
May the Lord bless us,
protect us from all evil
and bring us to everlasting life.
Amen.

9 Apr 2009
Twelve men have been arrested during a major anti-terror operation which was triggered by a top police officer's security blunder. Skip related content
Eight addresses in Liverpool, Lancashire and Greater Manchester were raided by counter-terrorism police in connection with a suspected al-Qaeda plot.
One man was held at Liverpool John Moores University while four others were arrested in the Toxteth and Wavertree areas of the city during the operation by officers from the North West Counter-Terrorism Unit, Merseyside Police, Greater Manchester Police and Lancashire Constabulary.
In Greater Manchester, two men were held at an internet cafe in Cheetham Hill Road and two others were arrested at an address in Galsworthy Road while another man was detained on the M602.
In Clitheroe, Lancashire, two security guards were reportedly arrested at a Homebase store.
It has emerged that the raids had to be brought forward after Metropolitan Police Assistant Commissioner Bob Quick was earlier photographed walking into 19 Downing Street carrying sensitive documents, some of which could be read.
One of the papers, which was clearly marked "secret", is said to have carried an outline briefing of an ongoing counter-terrorism operation and reportedly included the names of several senior officers, locations and details about the nature of the threat.
Mr Quick, the UK's most senior anti-terror officer, had been due to meet Prime Minister Gordon Brown and Home Secretary Jacqui Smith. He has apologised to Metropolitan Police Commissioner Sir Paul Stephenson, saying he "deeply regretted" the incident.
At the Liverpool university, terrified students were held inside the main library on Maryland Street for up to 30 minutes as two Asian men in their mid to late 20s were searched by police.
Craig Ahmed, 24, a business student from Maghull, Merseyside, said: "Suddenly there was all shouting and commotion outside so I went to the window and saw about eight police officers.
"One of them was armed and was pointing his gun at two men who were ordered to lie face down on the ground. For about half an hour they held the men on the floor. The police were shouting things at them but I couldn't hear what was being said."
Elsewhere, there were multiple arrests as armed police raided an internet cafe and other addresses in Cheetham Hill in Manchester.
Police also sealed off a terrace of properties in Earle Road in the Wavertree area of Liverpool while arrests were made at a Homebase store in Clitheroe, Lancashire.
Meanwhile, Whitehall officials are said to be furious about the security breach.
But it is not the first time Mr Quick, who returned to the Met last year from Surrey where he was chief constable, has become embroiled in controversy. Last December he apologised for an outburst in which he accused senior Conservatives of leaking a story about his wife's business interests.
Mr Quick faced unwanted newspaper headlines after it emerged his wife Judith was running a luxury car hire firm from their home and details of their address were published on a website.
The stories followed hot on the heels of his involvement in overseeing the arrest of shadow immigration minister Damian Green as part of a Whitehall leak inquiry.
Speaking at his home, Mr Quick told a reporter his wife and children were forced to move out because of security concerns sparked by the public furore. The comments were an unusual response from a man who regularly meets members of the global intelligence community and whose role thrives on discretion.
Eight addresses in Liverpool, Lancashire and Greater Manchester were raided by counter-terrorism police in connection with a suspected al-Qaeda plot.
One man was held at Liverpool John Moores University while four others were arrested in the Toxteth and Wavertree areas of the city during the operation by officers from the North West Counter-Terrorism Unit, Merseyside Police, Greater Manchester Police and Lancashire Constabulary.
In Greater Manchester, two men were held at an internet cafe in Cheetham Hill Road and two others were arrested at an address in Galsworthy Road while another man was detained on the M602.
In Clitheroe, Lancashire, two security guards were reportedly arrested at a Homebase store.
It has emerged that the raids had to be brought forward after Metropolitan Police Assistant Commissioner Bob Quick was earlier photographed walking into 19 Downing Street carrying sensitive documents, some of which could be read.
One of the papers, which was clearly marked "secret", is said to have carried an outline briefing of an ongoing counter-terrorism operation and reportedly included the names of several senior officers, locations and details about the nature of the threat.
Mr Quick, the UK's most senior anti-terror officer, had been due to meet Prime Minister Gordon Brown and Home Secretary Jacqui Smith. He has apologised to Metropolitan Police Commissioner Sir Paul Stephenson, saying he "deeply regretted" the incident.
At the Liverpool university, terrified students were held inside the main library on Maryland Street for up to 30 minutes as two Asian men in their mid to late 20s were searched by police.
Craig Ahmed, 24, a business student from Maghull, Merseyside, said: "Suddenly there was all shouting and commotion outside so I went to the window and saw about eight police officers.
"One of them was armed and was pointing his gun at two men who were ordered to lie face down on the ground. For about half an hour they held the men on the floor. The police were shouting things at them but I couldn't hear what was being said."
Elsewhere, there were multiple arrests as armed police raided an internet cafe and other addresses in Cheetham Hill in Manchester.
Police also sealed off a terrace of properties in Earle Road in the Wavertree area of Liverpool while arrests were made at a Homebase store in Clitheroe, Lancashire.
Meanwhile, Whitehall officials are said to be furious about the security breach.
But it is not the first time Mr Quick, who returned to the Met last year from Surrey where he was chief constable, has become embroiled in controversy. Last December he apologised for an outburst in which he accused senior Conservatives of leaking a story about his wife's business interests.
Mr Quick faced unwanted newspaper headlines after it emerged his wife Judith was running a luxury car hire firm from their home and details of their address were published on a website.
The stories followed hot on the heels of his involvement in overseeing the arrest of shadow immigration minister Damian Green as part of a Whitehall leak inquiry.
Speaking at his home, Mr Quick told a reporter his wife and children were forced to move out because of security concerns sparked by the public furore. The comments were an unusual response from a man who regularly meets members of the global intelligence community and whose role thrives on discretion.
SOURCE: ITN
RELATED NEWS: Chief's list of blunders.
Subscribe to:
Posts (Atom)






